RC MAKONDA AAHIDI SIKU 100 ZA KUTEKELEZA AHADI ZAKE MKOANI ARUSHA NA ULINZI KUIMARIKA ARUSHA

  Рет қаралды 6,171

JAMBO TV

JAMBO TV

Күн бұрын

Пікірлер: 20
@wilfredmaimu1958
@wilfredmaimu1958 3 ай бұрын
Hongera sana mkuu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@lameckrange-ol6uz
@lameckrange-ol6uz 3 ай бұрын
Mm naona uongoze kila Mkoa Tz Siku 100 itafaa Sana Kwan unafanya KAZI nzr sana
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 3 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤Makonda Mungu awatangulie katika kazi zako
@marandoruzali1946
@marandoruzali1946 3 ай бұрын
Wakuu wa mikoa wangekua kama Makonda basi nchi hii ingekuwa nzuri Sana na rais asingekuwa na usumbufu Sana katika utawala wake
@jamesmzaki6041
@jamesmzaki6041 3 ай бұрын
Daaah! Amsha amsha kama hizi zingekuwa mikoa kama Morogoro,,Lindi,,Katavi na Kigoma kwenye maswala ya utalii mbona wananchi wa hayo maeneo wangefaidi,,Hebu angalia mkoa kama Moro una Mikumi, Udzungwa na Selous,,Lindi napo kuna Selous na yale maghofu ya Kivinje,masoko na Kishwani yanaporomoka tu daah😭😭😭
@elifasiscawa5698
@elifasiscawa5698 3 ай бұрын
Asante jembe letu
@shinipapaya846
@shinipapaya846 3 ай бұрын
Hivi ni nani mkuu wa mkoa wa Morogoro? Kuanzia leo tunamtaka afanye kazi kama MAKONDA sio ombi bali ni LAZIMA kama hawezi atupishe haraka sana 😢😢😢
@jamesmzaki6041
@jamesmzaki6041 3 ай бұрын
@@shinipapaya846 mkuu wa mkoa wa Morogoro ni Adam Malima.
@alluminiumexperttz.12mview13
@alluminiumexperttz.12mview13 3 ай бұрын
Ifike mahali na wakuu wengine wafanye mambo yao kwa uwazi kama makonda ili wananchi tujue tuko wapi na tunaelekea wapi. Mgufuli alitumia akili sana kila kitu kinachoendelea alikuwa anakiweka wazi kila mtu anaona.
@ThomasfrancisMvella
@ThomasfrancisMvella 3 ай бұрын
Mama samia tulindie mh poul makunda kwa nguvu zote,,,,ili cku moja tushuhudie akiapishwa kuwa mkuu wa nchi next after u 2030+,,,,,,,,,,huyu n baraka kwa nchi yetu
@tituskaponda9343
@tituskaponda9343 3 ай бұрын
Huyo ndo Paul❤
@mtakatifubony5525
@mtakatifubony5525 3 ай бұрын
Huyu ndie rais wa Arusha
@grandgrand4376
@grandgrand4376 3 ай бұрын
Makonda HURAAAAAA
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g 3 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🎉🎉
@MageleFidelis
@MageleFidelis 3 ай бұрын
Kwakweli stairi yako ya uongozi inawapa Imani wanyonge popote utakapo teuliwa na rais
@mtakatifubony5525
@mtakatifubony5525 3 ай бұрын
Huyo ndio Makonda Mtoto wa magufuli hana kazi mbovu
@SylvesterMayunga
@SylvesterMayunga 3 ай бұрын
Mbona afande mwita anapiga miayo
@MageleFidelis
@MageleFidelis 3 ай бұрын
Wewe ni mkuu wa mkoa .unayejichanganya na watu wa lika mbalimbali na wakakuelewa. Endelea kupambania ndoto zako
@marybalya2371
@marybalya2371 3 ай бұрын
Hizo Keri zinaletwa na Nani wakati watawala Ni ccm?. Au mnatengeneza tatizo halafu mjidai mnatatua.
@nicodemashaggite8429
@nicodemashaggite8429 3 ай бұрын
Acha upuuzi wa vyama hapa
MBOWE AELEZA MAZITO KIFO CHA MOHAMEDI ALLY KIBAO
11:55
JAMBO TV
Рет қаралды 3,1 М.
WILL IT BURST?
00:31
Natan por Aí
Рет қаралды 42 МЛН
Whoa
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 55 МЛН
MWANAMAPINDUZI: "TUTAWAPOTEZA, POLISI MSIWATAFUTE..." amtaja spika tulia
13:56
NO JOKES! LISTEN TO WHAT DP GACHAGUA SAID IN CHURCH TODAY!
16:36
Kenya News Alerts TV
Рет қаралды 204
ROBOTI KUBWA LILIVYOMPELEKEA RAIS SAMIA KIFURUSHI CHA 5G
9:54
Wasafi Media
Рет қаралды 392 М.