Huyu mama wa hovyo sana kwanza hana adabu anajibu jibu tu wala hafikirii kama anamjibu mkuu wamkoa tena Rais mtarajiwa
@onesmomalifedha4709Ай бұрын
Mh Makonda nchi hii ilishaoza utachoka sana.Kurekebisha haya ni hadi chama chetu kijisafishe ndani kwanza ili kiisafishe serikali kwa wananchi.Matatizo hayo yako hivyo hivyo nchi nzima.
@mandileykiritokangai3042Ай бұрын
Makonda mungu akubariki akulinde pia na family yako
@user-br7sf6ey9tАй бұрын
Mwamba wamaicrofon 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤ vzuri sana yn umuduniani kunavitu vingi vinapotea bilaufumbuzi
@user-qi2uv5zr3lАй бұрын
Mtumishi RC Makonda mkuu wa mkoa arusha, mwanzoni nilikuwa sijakuelewa, ila kwa sasa nimekuelewa sana. Mungu wa mbinguni awe pamoja nawe katika uongozi wako.
@BeatriceKitembe-gs9siАй бұрын
Makonda fanya kazi.. MUNGU yu pamoja nawe🙏🙏🙏🙏Mungu atakusimamia,na kukulinda.
@lukomanomaliki5442Ай бұрын
Makonda utapata sana msala kwa huyo dada.Maana hawakawii kukwambia unamdhalilisha.
@Christianben-xf4chАй бұрын
Huyu n zaidi ya mwambaa aseh mungu amlindee 🙏🇹🇿
@MoinaminaAmina-qh1jbАй бұрын
Ubarikiwe mh makonda mungu akubariki kwa kazi unavofanya kwa mkowa wa Arusha
@wekesapeter936119 күн бұрын
Amen bwana makonda yupo vizuri kiongozi WA mkowa kazi unazozifanya ila mungu atakuripa
@user-zx3he3lp3oАй бұрын
Rc Makonda ni jembe la ufisadi kwa wananchi kupatahaki zao mungu mubariki Rc Makonda maisha marefu
@yessesamsom961Ай бұрын
Safi sana makonda unatufurahisha sana kwa matendo yako na utandaji wako tuko pamoja mahali popote
@ndagijimanakibibi7381Ай бұрын
Wewe Nihan’a wawanyinge Mungu sendele kulinda tanzania mukifanya hi yo namkumbuka baba wataifa Magufuli mungu amlaze mahalipema
@user-qv8qo3ff3qАй бұрын
Huyu mama ni mbabaishaji sana
@onesmomwakasege5215Ай бұрын
Uyo dada alie kula za uso siku zile ameludi tena duh!!!
@chantalharakandi2576Ай бұрын
Wanyooshe baba makonda wanatesa wanyonge
@bakarimuhibu602Ай бұрын
Allah akutunze Mzee makonda
@saidsuleiman1753Ай бұрын
Huyu engineer mpaka Makonda akiondoka Arusha na yeye hoi ila atajifunza mambo mengi kwa Makonda na yatamsaidia kwenye kazi zake
@nyiqatonyiqa7114Ай бұрын
Kweli kabisa 🙏
@SamwelMtasiwa-ok2qzАй бұрын
Machozi yamenitoka kiukweli ubarikiwe sana BABA
@RICHARDWAUSA-ep4xeАй бұрын
The definition of real man❤ Piga kazi mwamba
@African511Ай бұрын
Hawajui shida hawa watu wa ofisini,wangekua tunabadilishana nao mwaka mwaka, sisi tufanye ofisini na wao waje mtaani adabu ingekuepo.
@BeatriceKitembe-gs9siАй бұрын
Fanya kazi.. MTETEZI wako yu Hai Mh Makonda... Wabane Sawa Sawa... MUNGU at akulinda na Familia yako🙏
@onesmomalifedha4709Ай бұрын
Atafanyakazi peke yake while wenzake wote akili iko kwenye kura?.Tz kazi tunayo aisee 😊
@GwakisaMwaisanga-th7uzАй бұрын
Aendee tu hata kwa hiki kichache
@BeatriceKitembe-gs9siАй бұрын
MTETEZI wao Ni wewe makonda. Mungu kakuleta kwa sababu.... MUNGU azidi kukutunza na kukulinda 🙏
@meesvtcinstitute6568Ай бұрын
Kwa kweli makonda ni mtumishi kiongozi wa watanzania
@linahmacha37029 күн бұрын
Ee Mungu huyu ni Makonda au ni Magufuli ndani ya mwili wa Makonda Mama Samia ubarikiwe sana kijana kazi wa nguvu tunaye kwa kweli 🙏🙏
@florencemeza6540Ай бұрын
Hilo ni dili lak mkuu wa wilaya, engineer wanagawana
@aminmohammed4249Ай бұрын
Yaani huyu jamaa bora tu unyamaze yaishe😢 ukienda naye
@jitabojilala6162Ай бұрын
Nchi hii mama samia imekuwa ya hovyo sana mama ,huyu kijana tutamuombea na akitoka arusha aende sehemu nyingine tena
@user-zx3he3lp3oАй бұрын
Watu wa jiji la Aruxha ni mataperi sana
@abelmbijima4324Ай бұрын
Rushwa engineer
@adieljoshua640Ай бұрын
Hongera sana Mheshimiwa
@user-dx2zl1vo5sАй бұрын
Msimloge tu makonda wetu
@chantalharakandi2576Ай бұрын
Makonda Mwenyezi Mungu akubariki baba unatetea wanyonge
@samsonhamery3809Ай бұрын
Nimeamini mfumo wa Magufuri wa papo kwa papo ulikuwa mzuri sana unatibu shida za watu papo kwa papo Makonda anatumia mfumo huo
@user-gv8yn9lg1iАй бұрын
Ndivyo inavyotakiwa, dawa ni kutembea na dawa wagonjwa wanatibiwa hapo hapo kama Jpm.
@aminaomary5567Ай бұрын
Yaan hapo kuna shida enj . Kwanza huyu dada ni ndio yule aliyesemea Chitanda kuwa ulimtukana?😁😁❤❤❤❤
@f.a6043Ай бұрын
Haya ndio mambo tunayoyataka sisi sio siasa za kijinga
@jonaskilomba4094Ай бұрын
Kbsa
@GeraldLembris-jr3yzАй бұрын
Alaf uyu mwanamke atakipata kwa makonda, yan kila kona kwenye kaz zake anamapungufu
@mussanyamibara332121 күн бұрын
Makonda mungu akipee umli mulefu
@yukundapeter8200Ай бұрын
Mafundi hawalipi vbarua,ndo maana vbarua wanalalamika mafundi Mungu anayaona,km lilinoniibia cement,likaiba nondo,Mungu akulaani popote ulipo na wixi wako,utahangaika hutokaa ujenge mpaka kifo,uli2sababishia hasara kubwa mno.Mifundi yote inayothulumu Mungu ayalaani.
@mlipanolatifaАй бұрын
Anabahati mbaya huyu dada na mkuu
@dickchambilo9138Ай бұрын
Dada mwenyewe miyeyusho...hana majibu ya ufuatiliaji ktk kazi yake
@binismail202923 күн бұрын
Adil TV. Tunaipongeza lakini tafuteni Camera unganisheni NA yollobox
@Aureliaghana-jl6me23 күн бұрын
Amewafariji mungu amlinde
@user-qg9fi1uv5hАй бұрын
Mungu akupe maisha marefu muheshimiwa wetu
@KidotiiАй бұрын
Future Magufuli!
@AgnesEphraim-jw6dv27 күн бұрын
Kweli inauma sana Mkuu wangalie hao vijana wanafanya ivyo ili wasomeshe watoto na kulea familia lakini kwa vile wao wanapokea mwisho wa mwezi awajali saidia fundi wakati saidia fundi ndiye anaye umia kuliko ata fundi serikal iangalie hili kwaupande wapil
@farhannahomary5505Ай бұрын
Dada mwongo huyu jmn anayaweza na miwani
@user-ew7xd1xu3s13 күн бұрын
Makonda mungu akubariki lakin kunawatu wenye tamaa hatawatakuwinda pole baba
@marthaswai1185Ай бұрын
Mifumo ya Chama changu tawala imeaanguka.Matatizo ni mchanga wa bahari.Watendaji tokeni ofisini,Muogopeni Mungu
@maureenmgeniАй бұрын
Injinia upo vizuri kwa maelezo kama ungepewa nafasi ya kusikilizwa.
@hopehealthcs3294Ай бұрын
Hakuna maelezo vizuri wakati wafanya kazi wamechukua mwaka mzima bila malipo
@AmbweneАй бұрын
Usiwe kama mpumbavu watu wamefanya kazi miezi kibaaao hawajalipwa unasema anajieleza aisee usitumie matako kufikiria tumia Akili 😅😅😅😅😅
@jamesmasome359Ай бұрын
Hujitambuwi ww...
@martinabayyo9982Ай бұрын
Mla rushwa mwenzako nadhani maana unatetea maovu watu wamefanya kazi na hawajalipwa
@samsonmgaya430628 күн бұрын
Mnamlaumu Injinia mnaacha kuilaumu kamati inayolipa....injinia hata mkataba hasaini yeye