NAMUONA PAULO MAKONDA IKULU THE PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA 🇹🇿 ♥️ wanaoniunga mkono gonga like 👍
@user-xd2tg8eq1h24 күн бұрын
Kamwe hatoweza kuenda ikulu huyo mbwa koko izo sifa anazozitafuta hazina mpango wowote babu acha ushamba hawezi pewa ikulu huyo mbwa koko acha kujidanganya wasukuma wapenda sifa siku zote hawafiki mbali 😂😂😂😂
@khaliphaabubakar946623 күн бұрын
@@user-xd2tg8eq1h”mbwa koko” anawapiga spana wavivu,warasimu na watu kama wewe
@estherkibajiro34806 күн бұрын
@@user-xd2tg8eq1hChuki ni chukie lakini moyo wake muachie,,,,weweeeeeeee humpendi lakini tizama wimbi la wananchi watanzania wenye kujitambua wanavomfuata😅kati yako wewe na yeye nani mbwa koko??? 😅😅ilooooooo😅😅😅😮😮😮
@reenyaysher76395 ай бұрын
Baba katika jina la Yesu namfunika Paul Makonda kwa damu ya Yesu,imeandikwa ufunuo 12:11 tumemshinda Shetani kwa damu ya mwanakondoo Kwa damu ya ushindi Jehova namfunika mtu uyu ikawe ulinzi kwake..Ameni🙏
@DanielTumaini5 ай бұрын
Je kama na yeye katoa hiyo damu ya wanakondoo?
@Shalom20185 ай бұрын
Amina
@KhadijaKhatibu-nh4dl5 ай бұрын
Makonda mungu akutie nguvu kiongozi wetu ila nakuomba baba ebu chungulia Kyle kwenye mfuko wa TASAFU WATU WANA ZULUMIWA BABA 🙏🙏🙏
@richardodoyo75585 ай бұрын
Samia ukisitafu mwachie makonda inchi anaweza ❤
@dalianakerefu4905 ай бұрын
Magu konda💪💪piga kazi baba mungu akulinde tunakupenda saana kaka
@husseinbakary19696 ай бұрын
Asanteee ma samia kwa kutuletea huyu mtu kura yangu moja kwa moja kwako mama yangu
@mohamedwwnurumasagcom81716 ай бұрын
Nampongeza paul makonda kwa hii kazi ya kufumua majipu yaliyojificha, makonda atumbui ila yeye anafumua ili mama atumbue safi sana mwenezi wetu
@jameskenzedex6 ай бұрын
Magufuli amefufuka Tanzania back to real life God bless you
@user-xd2tg8eq1h24 күн бұрын
Eti magufuli kafufuka wakiristo bwana akili zao kama nguruwe vile
@aidakamonga52788 күн бұрын
Real he is back, nikimuona MAKONDA machozi yananitoka wallah
@estherkibajiro34806 күн бұрын
Magufuli kafufuka
@estherkibajiro34806 күн бұрын
@user-xd2tg8eq1h Hahaha inaonyesha wewe ni adui wa makonda 😅lakin sisi tunampenda
@njuka35156 ай бұрын
For Makonda i will vote
@maswamills31615 ай бұрын
Asante baba MAKONDA,shikilia sawasawa mbele kitaeleweka tu !!.❤ HAPA KAZI TU 👏👏👏👏👏💯
@hamishatibu6996 ай бұрын
Uyu Jamaa wakiwa Rais kuna Watu atamkimbia Nchi na wengine watakufa kwa BP hawa ndio viongozi ninao wataka .
@hamzafishten95606 ай бұрын
Hawa ndio viongozi tunataka africa kabisa
@sheckycobb52405 ай бұрын
Roho ya Magufulu inaishi,Asante Mungu kwa kutufariji
@estherkibajiro34806 күн бұрын
Kabisa Magufuli anaishi ❤
@SharoComedy-vt5nf5 ай бұрын
🎉daaaa kaka Makonda Mungu akupe maisha malefu mkowa wa tanga uta enda lini mnazi runguza kivingo kuna changamoto kubwa sana Mungu akutye nguvu 😊
@paulmagese79006 ай бұрын
Mungu akuzidishie maisha marefu Paul makonda
@EmilianKomba-sb4kn6 ай бұрын
Makonda kwenyeee uraisiiiiiiii Moja kwa kwa mojaaaaaasaaaaaa akuna upinzaniii
@angelatarimo19695 ай бұрын
😮
@joycemfuru47525 ай бұрын
jidanganye
@fatemafatema4780Ай бұрын
Mashallah kweli mungu kamleta mjasiri.mwenye moyo kama marehemu magufuli.makonda oyeee mimi nipo kufatilia program zako nazipenda sana na watu wengi sana wanapenda sana program zako sababu unatetea haki za wananchi haki za wanyonge makonda oyeee mama samia oyeeee😂😂😂❤
@joeldaniel33486 ай бұрын
Naimani uko aliko lala kipenz chetu magufuri anachekelea kwa majembe aliyo yaacha huko 2030 rais wa Tanzania paul makonda isipo kuwa ivo nipigwe mawe nife
@aminaomary55676 ай бұрын
Yaan Rais watu wako wanamadudu ni hatari na ndio maana Majaliwa uwa anaondokanao. Makonda ❤❤❤❤,Samia ❤❤❤🙏🙏
@user-dq3rv9mz3f5 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😅 0:24 0:24 0:25 😅 0:25
@user-eu5ly2sk8w5 ай бұрын
Mwenyenzi mungu akutunze muheshimiwa naona kabisa magufuli baba yetu katokea tena
@msolekaonlinemedia5 ай бұрын
Makonda anafanya kazi inayowashinda wateule wa Mama Kizimkazi Mungu akuweke sana Papa Paul
@abdulkarimfarah23365 ай бұрын
Makonda Saidia samia kumaliza ufisadi tanzania na mafissdi warudishe pesa na kufungwa
@nazarenajoseph26956 ай бұрын
Hongera makonda wetu Damu ya yesu ikufunike.
@mungholomakalanga89586 ай бұрын
Amina
@fbr51136 ай бұрын
AMINA, MUNGU ASIMCHUKIE MAKONDA ADUMU MIAKA 800
@nassorkhamis62336 ай бұрын
Unapo sema ivi unamanisha nini ndugu naomba elimu juu ya hii kauli yako mm ni muislam naomba kujifunza kupitia hii kauli yako
@MagutaMabawa-hz7if5 ай бұрын
Kujifunza ni kwamba Damu ya Yesu inalinda pia inaponya @@nassorkhamis6233
@josephmussa06255 ай бұрын
@@nassorkhamis6233amini unachoamini mzee
@kilogreekachananawatuwasio40546 ай бұрын
YOUNG MAKUFULI KINUKE MKOANI❤❤😂😂
@user-vi4wx7oi7o6 ай бұрын
Ndugu Makonda Leo nakuona uko na raha sana MashaAllah
@johnmtumishi85546 ай бұрын
11:23 hongera mweshimiwa makonda una akili sana Mungu akulinde akutunze katika Jina la Yesu Kristo Bwana amina
@jamesjahasa33486 ай бұрын
MUNGU ahsante kwa roho ya magufuri tunaanza kuona inafanya kazi ingawa magufuri amepumzishwa wapatie ulinzi Hawa tunaona matumaini mapya
@geraldmakalala60916 ай бұрын
Safi sana
@gadielmungure97116 ай бұрын
Hayo mahojiano kama mh unajua sababu za huo uhamisho haipo sababu ya kumhoji afisa utumishi tena. Waziri wa afya na waziri wa utumishi na waziri wa tamisemi wanafanya nini! Hao ndio wazembe hawafuatilii manunuzi ya fedha walizoomba kuidhinishiwa na bunge. Wadogo hao watatoleaje taarifa kwenye mikutano ya hadhara?
@euniestherwilliam15135 ай бұрын
KWELI KABISA. WATUMISHI WA AFYA WAPO CHINI YA WIZARA YA AFYA. KATIBU MKUU AJIBU HAYO MASWALI
@RamadhanMwinyimku-dw4od6 ай бұрын
Asante mungu kutuletea mgufuri2
@marymessay27685 ай бұрын
Ameeen Mungu wa mbinguni akulinde tunakufunika kwa damu ya Yesu
@KulwaMpuya-ph9ib5 ай бұрын
Sant kaka mungu akulinde toka afariki mzee jonh sijawai fatilia mambo ya kisiasa lakini ujio wako nimeanza kukufatilia ziara zako zote
@user-wu5jj5kn2h6 ай бұрын
Iv kwann huyu mwamba asiwe rais Ila Nora abaki asije tuacha mapema huyu no mwamba wasukuma huwa watu wanyoofu sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@JophasJohn-oh8zu6 ай бұрын
Eee Mungu ulio juu mbinguni nakuomba baba kwa unyenyekevu ukamulinde Makonda na familia yake yaani huyu ni ndugu yake na Magufuli
Watanzania woote ambao walimpenda magu nahuyu lazima watampenda kwa hio tuunfane kwa pa1 kumuombea huyu kaka vinginevyo mmh
@shaamemchauru13655 ай бұрын
KWELI KABISA 😅😅😅😅
@simonlulenga70625 ай бұрын
Makonda ni mtu wa hovyohovyo tu; lakini kusema ukweli nchi hii inahitaji mtu kama huyu Ili mambo yaende sawa. Viongozi wastaarabu kwa kweli wanadanganywa na wanaonewa sana.
@sheckycobb52405 ай бұрын
Kwajyo Makonda sio wa hovyo hovyo kivile sema ndivyo ilivyo
@user-rn6ft5yz2l5 ай бұрын
Nyanoko bhebhe
@edrisalusonge41416 ай бұрын
Aibu sana yani tunajivuta jasho na tishu angali safar ni ndefu na jua kali zaidi
@PeterBureta6 ай бұрын
Haya unayoyahoji viongozi wenzio wa Ccm.Walikuwa wapi hayo mahajiano ni kuonesha udhaifu wa serikali dhidi ya utendaji wake wa mazoea.Yanasikitisha sana!!
@idyjumanne97965 ай бұрын
Tulia ww makonda Afanye kz
@DanielTumaini5 ай бұрын
Hahahahaha Nape alisema kipindi kile ccm litashinda hata kwa goli la mkono sawa likashinda kweli kilichomkuta enzi za mwenda zake Tuliona hadharani kwa huyuuuu Leo yupo makukwani Leo,labda amekuja Tena kupaka damu mikono ya mama Samia isiyotaka damu
@josephrubanda2826 ай бұрын
Makonda yesu akusimamie
@philemoncharles50655 ай бұрын
mama samia raisi wetu hongera sana sana kwa kuchagua kaka yetu makonda kwa stahili hii tuna amani sana sana mungu awalinde nina furaha sana sanaaaa ccm oyeeeeeeeeeee
@hidayaswai31195 ай бұрын
Makonda Raisi wetu baada ya mama mkiti. Nakuombea kaka,kwa haya utalipwa na aliye juu. Tunakupenda na kukuombea
@sadikishishira81306 ай бұрын
Makonda hongera sana
@UKWELI-TV6 ай бұрын
kinacho mzuia makonda katika nafasi yake nikutumbua tu baadh ya watumishi wa serekali, ila Mungu atamuinua awe na cheo zaid ya alichonacho. ila kufa ni faradhi hakuna atakaebaki, hakuna mkamilifu, ila unaupiga mwingi makonda
@meshack32666 ай бұрын
Icho ndo kinachoniuma mm yani angekua na mamlaka ayo mbona panenoga
@geraldmakalala60916 ай бұрын
Huyu anatakiwa awe waziri mkuu
@user-fy3ni4yc5o6 ай бұрын
Kabla kumpongeza makonda mpongeze mama aliyemteua
@sheckycobb52405 ай бұрын
Safiiiiiii nilisema mama Samia alikua hili jembe litamfanyia kazi
@saimongilala89386 ай бұрын
Mimi nimependa sana ccm ya makonda
@geraldmakalala60916 ай бұрын
CCM ya Makonda ndiyo ile CCM ya Magufuli.
@ssekabiradauda71275 ай бұрын
Let him be careful because more enemies are being created as it was on magufuli, he should improve his personal security like not eating any how, you fight thieves, they fight you back in secrecy.
@KhadijaKhatibu-nh4dl5 ай бұрын
Kuna wajanja wanakuja hizo Hela 😭😭😭baba chondechomde na walengwa wanapewa kiduchu au hawapati kabisa nakuomba lifanyike u chunguzi wa kina kiongozi wetu🙏🙏
@MohamedMrija27 күн бұрын
Hongera sana makonda chapa kazi
@saratimoth47346 ай бұрын
Makonda Yesu baba akuinue akubariki akukumbuke sanasana
@tatukaratatatukarata7535 ай бұрын
Mama Samia hyo ndio kiongoz Bora c sio bora viongoz ❤ mauwa apewe 🙏
@NikolausLucas6 ай бұрын
Aisee makonda naikubali Sana kazi ya mkono yako mkuu
@danifani78995 ай бұрын
Watching live from Jordan good work mtumishi makonde
@nasrahassan73466 ай бұрын
Mh Makonda muulize pole pole afisa wetu jamani mengine siri
@user-hg7oz8ze4d6 ай бұрын
Hizo sir asilimia kubwa ndio ufisad wenyewe
@chefmikeyfrancisco67355 ай бұрын
Thubutu siri ukoo kwenu,.
@user-eu5ly2sk8w5 ай бұрын
Nimekuelewa sana mheshimiwa makonda hata mimi nina kero kubwa sana naamini namimi utanitetea nipewe haki yangu.kwa uwezo wa mungu.naishi arusha
@oswaldtemba27706 ай бұрын
Viva Makonda
@user-ii4vr9ij3l6 ай бұрын
mr makond piga kazi my brother
@BeullahBujah-lk3sx6 ай бұрын
Waooo!! CCM ya Makonda Mungu ailinde
@user-wq8kw7wb1n6 ай бұрын
Wezi hao wanamishara bado wanaiba pesa za umma fyeka hao waje walime waone kama nivyepesi nasisi tunalima ile hali tunasifa kama wao
@suleimankigada21066 ай бұрын
Mh hongela sana kazi nzuri unayoifanya usishie huko mikoani use na hapa dar ufukue minimum ya umeme na maji inatutesa saaaaanaaaa.....
@user-hk1cq9dk7b5 ай бұрын
Namuona makonda kuleeee anapaaa
@user-vs7om2xj7x6 ай бұрын
Huyu baba huyu mungu amsaidie sana ampe uhai mlefu tyu
@tabithaeppyness38675 ай бұрын
Kazi unayofanya kuwafuta machozi wanaolia wanyonge hakika Mungu anafurahia sana atakulinda nabaya lolote kwa jina la yesu Amen
@castmasawe32756 ай бұрын
Mtu yeyote akifanya Jambo ama Kazi bila ya kuwepo mwajibishaji Ile Kazi itakua chini ya kiwango tarajiwa...nimeipenda hii ya makonda na ninatamani mikoa yote pawepo na viongozi nje ya serikali kufuatilia watendaji wa serikali.nchi itanyooka..ikiwezekana wapewe hata wapinzani potelea mbali ...tuwekane Sawa.
@user-kt7bv1pq9p5 ай бұрын
Asante kazana tunakutakia kila la heri ziara ina manufaa makubwa sana
Mkuu mm niko namibia nakupata hewan kupitia tv zetu za online ila 2025 nakuja kupiga kura ya ccm japo nilikuwa nimeishakata tamaa
@erickmsigala1386 ай бұрын
Nchi hii inawajinga wengi sana ni vigumu sana kujikwamua
@SaadiyaMohammad-og5bgАй бұрын
Hakee makonda astahelia kuwa rais mungu tu afanye miujiza mm from kenya bro unaweza nakupongiza bro
@saratimoth47346 ай бұрын
Amen Amen Amen Amen kaka makonda
@othumanomari15895 ай бұрын
Madaraka yakurisi ndio shidayake unapewa taasisi uiongoze hujui unawekwa naninisasa
@obednyagani5065 ай бұрын
Natabiri kuwa atakuwa makamo wa rais mwakani
@user-qc9ph9he7u6 ай бұрын
Makonda nimekupenda kwa namna ulivojitoa kusikiliza kero za wananchi Mungu aendelee kukutunza
@idyjumanne97965 ай бұрын
Naomba makonda Apewe uraisi hata mwakni Anajiamini sana na ninamkubali
@migombaelinest35006 ай бұрын
Mm naamini kila kiongozi angesimama kwenye nafasi yake kama kaka etu Makonda anavyopambana taifa letu linsingekua na shida yoyote.
@HappyNdelwa-ut1cp6 ай бұрын
Hongera baba mungu akubariki
@husseinmaula49656 ай бұрын
Ukimtoa mungu mitume yake baba na mama pamoja na raisi samia mtu muhimu tuliebakia nae ni mheshimiwa Paul makonda ndio mtetezi wa wanyonge kwa sasa.
@joycemnanka39856 ай бұрын
Magu amerudi kivingine asante mungu
@user-yg7bw7hd5y6 ай бұрын
kweli kabsa
@laurentraphael54706 ай бұрын
Nchi hii Ina viongozi mizigo wengi sana wanakula mishahara ya bure kuwatumikia wananchi hakuna . Mhe. Makonda, Mungu akubariki sana.
@daudimwita-bk6mg6 ай бұрын
Jaman watanzania kuwen macho sasa kama utendaji wa viongozi wa serikali ndo huu, this is exactly systemic failure. John pombe alisimamia maadili ya watumishi ila kwa sasa eee...
@DanielTumaini5 ай бұрын
The time will tell ngoma ikivuma Sana lazima ipasuke
@user-yw6cn4yt4s5 ай бұрын
Ubarikiwe
@user-qn9wk4lr2t5 ай бұрын
Honger kak makonda
@CharlesTarimo-db6li5 ай бұрын
Wasukumwe ndani kaka mchwa wanatusumbua sana hao. Wezi wa mali za umma mtanyooka
@azizamvungi18716 ай бұрын
Mungu akulinde mdogo wangu
@nassirsbahock67106 ай бұрын
Kwetu hatuna uongozi tunapowaangalia uongozi unaofanyika tanzania huwa tunatamani na kenya tupate uongozi kama huu
@user-sj3wf5vz7l6 ай бұрын
Hakuna cha umri. Hao ni waajiriwa na wameajiriwa na serikali ya chamade cha mapinduzi. Boss kaja anataka majibu wananchi wanafanyiwa nini? Wewe jibu maswali mama
@PeterBureta6 ай бұрын
Nasikitika sana utawala wa ccm ndio wenye haya anayoyaeleza huyu sielewi.Wawatoe wote basi waajiri wengine!Inatuumiza sana.
@liannsambu72646 ай бұрын
Hon. Makonda je si sawa kuleta wakoloni watutawale tu , maana kama ndo madudu ya watendakazi wa serikali yenu hii na wanalipwa kodi za wananchi si aibu hii jamani ??? Mbona kuna watu nje huko wanatafuta ajira hawapewei wanapewa watu wa hovyo hivi kweli , hakika hii ni aibu na laana
@user-yi3mb1cv9l5 ай бұрын
Piga kazi makonda mungu yupo pamoja na wewe kwa kutetea watanzania kuna baadhi ya wizara ata bajeti za mapato na matumizi azijulikani ndani ya taifa letu.
@user-hj8sc7jv5m6 ай бұрын
Mimi makonda nina barua yangu ya kurejeshwa kazini nateseka Sana naomba unipe njia gani suala langu ulipate vyema
@sheckycobb52405 ай бұрын
We mtafute kny mizunguko huko km wenzako wanamfukuzia kila anapokwenda
@philipojoseph41924 ай бұрын
Safii sana Makonda safisha
@user-wu5jj5kn2h6 ай бұрын
Ah makonda mwamba kweli kweli😂❤
@khadijathani90646 ай бұрын
Tena awa wezi sana kama pale general hospitali uozo upo watu wanateseka sana
@AbdulmalikFedrick-ct7nb5 ай бұрын
Mueshimiwa Raisi Samia suluu Alha akufanyie wepesi inshallah kwenye uongozi wako Kwakumchagua mueshimiwa makonda
@habibasungur93756 ай бұрын
Masikini makondaaaa namuonea huruma jamani mmh mungu amlinde la sivyo mmh haya tuone
@JophasJohn-oh8zu6 ай бұрын
Huyu tumuombee Mungu aisee wasije wakamumaliza maana duu hii nchi haitaki watu wa kusema ukweli yaani Mungu amulinde huyu mwamba 🙏🙏🙏
@DavidEmilian-hq9xm5 ай бұрын
Afu mnataka haki sawa kuongoza mnashindwa
@DavidEmilian-hq9xm5 ай бұрын
Wakiwa maofisini maksudi sana hao
@saimongilala89386 ай бұрын
Yesu mlinde mama yetu Samia pamoja na makonda
@miltonjohn97796 ай бұрын
Mungu mbariki, umlaani Samia na mzoga group
@bennychawala27766 ай бұрын
Mmmh huyu tuwe makini mbona anamasihara sana,duuh anakauli za ajabu sana
@Kiggy226 ай бұрын
Makonda Oyeeee
@anizethmkumbi6 ай бұрын
YESU AKULINDE KAMA MBONI YA JICHO,NA AKUFICHE CHINI YA UVULI WA MBAWA ZAKE.ZABURI 17:8
@dionisiajohn5195 ай бұрын
Makonda safi sana, safisha mchwa hao.
@erickabel62015 ай бұрын
Kazi nzuri 🔥🔥🔥🔥
@calvinrichard45915 ай бұрын
Next president after mama Suluhu
@epimackjohn4616 ай бұрын
Ni jambo jema sana la kufuatilia KERO za wanachi na kuzitatua .Ila STAILI hii ya kudai majibu kwa ukali haifai kuna taratibu za kikazi ! Shirikiana na wenzako itafika watakuacha peke yako utashindwa maana hapa tayari CCM imeonyesha ilivochoka kwa muda meefu mpaka inaanza kutatua kero UCHAGUZI ukiwa umeanza kufika.
@user-tb4gh1sm9k5 ай бұрын
Makonda usiiache kwenda morogolo mang'ula wakazi wa mang'ula wamenyang'anywa mashamba yao na kugawana baazi ya viongozi na kusababisha wananchi wakichukie chama cha ccm na kuhamia upinzani lakini ukweli nikwamba ccm mang'ula inawapiga kura wengi sana makonda nenda mang'ula