Hongera kwa kazi uifanyayo mungu awe nawe watetee wanyonge. Kila la kheri kwako bro
@MinnahMnyanyi-ee1bw3 ай бұрын
Ila jamani laana tunajitkia TU kumdhulumu huyu mzee
@NasoroZuberi4 ай бұрын
Safi sana hii enaitwa hapakazitu yani unanikosha sana mungu aubaliki sana tenasana
@MojaZirro3 ай бұрын
Makonda Mungu akubariki
@ramadhanaldawiyya86593 ай бұрын
Abarikiwe mh MAKONDa
@benlaizer99364 ай бұрын
Hakika huyu ndiye ajaye kuvivaa vile viatu vilivyokosa mvaaji
@MirryKirungi3 ай бұрын
Kwakweli
@asteriashios18524 ай бұрын
Kweli watu wanateseka kwajili ya watu wengine wanaodhulumu
@daudimaniseli7594 ай бұрын
IBRAHIM LA TRAULE,, THOMAS SANKAL,,JPM TANZANIA,JKN, TANZANIA... MAKONDA NI 1
@jedidahbintidaudi82414 ай бұрын
gongeni LIKES ili watu wengi waipate na kuskiliza majadiliano ya viongozi wetu/ hiii itatusaidia kukaza maombi kuwaombea
@JbahattBahhatt3 ай бұрын
Makonda kazi Safi unafaa kuwa raisi baba
@amisamaurid18823 ай бұрын
Haitojalisha ni lini lakini makonda atakuja awe Raisi wa nchi hii
@MasterOil-qm6vw4 ай бұрын
Haw wapumbavu sana wasambua viongoz wenzao sana sijui kwa nn hamuafukuzi
@PHARESVENANCE-ye8wh4 ай бұрын
Natamani Makonda nikuone walau ata Kwa macho nakuonaje jamani
@fatumasaidimmependezamjeng89943 ай бұрын
Nenda ofisini kwake
@PeterPeteraugustino3 ай бұрын
Mm nautaka huo
@WibroadWiliusi3 ай бұрын
Acheni uoongo wakuturagai haipo hja yakutsmbua kumaliza data zetu Bure BIRA Faida hamna maanana kutaka wizi poreni tumewajua burre
@makoyelwango60483 ай бұрын
Nchi hii
@NasibuKitwana4 ай бұрын
Huyu Makonda yupo kimagufuli magufuli tuu,ila sidhani kama atamaliza siku nyingi Mungu asipokaa naye kila mahali
@nehemia3974 ай бұрын
TISS huyo kitambo... ana watu nyuma yake huwezi dhania ...yuko vizuri kiusalama
@HamisiForogo4 ай бұрын
MUNGU anaona na atamlinda kabisa
@Nedjadist4 ай бұрын
HATA SURA ZAO ZAONESHA WATU WASIO HURUMA, WASIOJALI...NA MATUMBO MAKUBWA YA BIA TU. HII NCHI ASILIMIA 98 YA WATENDAJI WANGEFUKUZWA, TUANZE UPYA!
@mkambamaulid4473 ай бұрын
Kiukweli tungepata akina Makonda kama Makonda anavyo fanya sijui kama tungemkumbuka kwa maumivu makali JPM Mungu akuongoze Makonda kwa upande wangu unakwenda vzr Sana hasa kwa wanyonge🙏🏼 Utafika mbaaali Sana kama utasimamia haki hasa kwa wanyonge wenye maumivu makali wanayo tembea nayo na hawajui wapi wakaseme ili kupata haki zao Thank you very much Brother Makonda History nchii hiii kuhusu ww tayari Ipo🙏🏼
@babalevinerlameki54254 ай бұрын
Makonda the future president from heaven welcome we are waiting you one day
@reubenalfred97074 ай бұрын
Hata kama ni kweli alipata zero, lakini ameonesha uhodari kwenye utendaji zaidi ya wasomi.! Na pengine ni mifumo yetu tu mibovu ya elimu ndio ilisababisha afeli form four lakini Makonda ni smart sana kuliko hata Gwajima na kebehi zake
@santebnassary74113 ай бұрын
Kusoma Ni makaratasi utendaji kazi upo ndani ya mtu sio kwenye makaratasi ukichukua huyu anaweza kuwazidi hata maprofesa waliosoma hadi wakakutana na skull basi
@FedyKafyulilo-iz2nw3 ай бұрын
Ingekuwa inawezekana tungeungana wote tumpitishe makonda awe rais,maana anatosha kila secta,sema tu umoja haupo ila mm namuomba mungu atufanyie muujiza awe rais tu
@octavianpeter84724 ай бұрын
Mungu wa mbingun akulinde muheshimiwa
@jennytugara94704 ай бұрын
Taifa la lele Mama kila Mtu anatupa mpira kwa mwenzie. Eti si kazi yetu tullishamaliza jalada lipo kwa Mkuu wa wilaya Nonsense
@LusajoKabuka4 ай бұрын
Kura zitakua nyingi za kusukwa sukwa tunapomsifia wanachukia mafisadi anayoyafanya hafanyii chumbani tunaona watu wanafutwa machozi tunaomba mungu mlinde baba wanaopigana naye pigana nao
@jesselyimo34034 ай бұрын
Mungu mbariki huyu Makonda baba aje kuwa Rais wa Tanzanis kwa jina la Yesu.
@MirryKirungi3 ай бұрын
Kwakweli
@Shalom20183 ай бұрын
Amina
@mouldykomba18523 ай бұрын
Amen
@mrsferuzi74433 ай бұрын
Aaamen
@JoalAlma-ci1hi3 ай бұрын
Mamayetu mama samia naomb kama utaipata hi sms tafuta watu wengine 10 kama uyu baba waweke kweny mikoa kolofi jamna mama uyu mtu anafanya kazi saan naiman yapo mashetani yatakuwa yanamlinda yamtoe mpe ulinzi uyu baba anaitaji kuangaliwa kwa machoyoote
@Nerialulambo3 ай бұрын
Wewe ni Raisi kabisa yaan Mungu akubariki na akulinde
@GilbertGombeye4 ай бұрын
Mheshimiwa mkuu wa mkoa wa Arusha tuliokuwa wafanyakazi wa iliyokuwa hotel 77 ya serikali madai yetu hatujalipwa tangu mwaka 2000 mpaka sasa juni 2024 hatujui hatima ya madai yetu tunaomba msaada
@RhodaLema-z8w4 ай бұрын
Piga kazi kijana wetu tuko nyuma yako tunakuombea kwa Yehovah akulinde
@chrismassawe29393 ай бұрын
Makonda anaweza na anamanisha
@sunaybrajabu2383 ай бұрын
Viongoz mtachomwa moto jamani hamumuon hata mzee wa watu
@DaudMabumba4 ай бұрын
Mungu akulinde najuwa wabaya hawatapenda
@mussaMagaji-ey1tu3 ай бұрын
makonda ni moto wakuotea mbali inaitwa gusa unase
@thepowerofchristministry19184 ай бұрын
Ivi hii nchi tukienda hivi tutafika kweli? Mmemwachia makonda matatizo yote ya watu wa nchi hii,na mnapokea mishahara kweli!?
@HamisiForogo4 ай бұрын
Hata Mimi nashangaa makonda ndo kaajiliwa na serikali peke yake
@JeremiahMwalukosya-eh5nf3 ай бұрын
Makonda anastaili kuwa rais wa Tanzania lkn ccm naujizi wao naujambazi na ifisadi wao watakubali kwelii maana hapo akiwa rais makonda ufisadi kwisa abali yake CCM nikikwazo kukibwa sana ndo shetani wa Tanzania anaetuyumbisha nakututesa kiukweli ccm haifai hata robo
@SaidiGolo3 ай бұрын
Ujizi,ujambazi na ufisadi hata chadema upo km huamini muulize msigwa
@hawamohammed97403 ай бұрын
Yaani nimelia kwa sana kwa ujasiri wa makonda wallah Yaa Rabbi mlinde na Shari za walimwengu huyu mja wako hakika huyu ni zawad kutoka kwa Allah mama Samia hapo upate msaidizi😢😢😢najisikia raha
@IsmailMjesh2 ай бұрын
Alhamdullilah nilipata kwenda Arusha wallah kuna watu wengi, mpk haipatikani
@emmanuelfari89244 ай бұрын
+MUNGU+ alie HAI azidi KUKUBARIKI na kukutunza hata na uzao wako baada yako 1 WAKORINTO 1:9🙏
@gm70454 ай бұрын
Makonda (King Salomon )❤
@MeckitilidaTushabe-or9hu3 ай бұрын
Kabisa
@malila45824 ай бұрын
Iki kidume bwana💪
@martinwangwe89664 ай бұрын
endelea kupiga spana wavivu
@DicksonCharles-km9vu3 ай бұрын
Unastaili kuakiongozi mkubwa atnzania
@lunangabenjamin31214 ай бұрын
Ivi binadamu hamna haibu ya kumsumbuwa mzee mlemavu tena mgondjwa mlaaniwe.makonda fanya kazi baba kwa ukali kwenye sikali kuna washamba na ushamba mwingi ni ujinga.washenzi sana hamna adabu kabisa.
@josephmachariamwangi77333 ай бұрын
Asanteni tanzania maghufuri bado yup tu
@donardmsomi84514 ай бұрын
Huwa naenjoi sana kusikia maamuzi ya chapuchapu kwa kiongozi.
@yusufmohamed88744 ай бұрын
Ningekuwa raisi walau wiki moja.... Ninge fukuza wafanya kazi wooote na kuteua wanafunzi wote walio maliza vyuo vikuu vyote waanze kazi mara moja
@msafirimaulidi50543 ай бұрын
Ao ndo mafyongo kabisa hi mch wenye akili wanafeli au awana uwezo wa kujiendeleza
@MwanaKanyoro3 ай бұрын
Mpaka nimelia jaman
@azizigaston86314 ай бұрын
Spana spana spana piga spana mh makonda wanaonea sana watu hao usiskile wanafiki na wanataka kikurudisha nyuma ni Bora ufe kwenye haki kuliko kufa kwe dhuruma mbona baba yako kipenzi magufuli wetu naamini amepumzika kwenye haki wewe chapa kazi maombi yetu yapo juu yako
@remymsangi45462 ай бұрын
Vizuri havidumu,mambwa wa hii nchi ole wenu mumfanye kama mlivyomfanya .......,tuachieni makonda wetu
@musicheals15453 ай бұрын
piga spana kenge haooo
@hawamohammed97403 ай бұрын
Naomba Allah anikutanishe nae live huyu makonda nijisikie raha zaid Mimi nimekua mtu wa kutoka machozi kila siku nionapo ujasiri wake😢😢😢
@KilimbikeHaji-iy2fm3 ай бұрын
Laiti viongozi wa Tanzania wangekuwa kama wewe tungekuwa mbali sana mungu Akupe ulinzi eww makonda uwanyooshe washenzi
@juliusjkalela91644 ай бұрын
Nakuona makonda ukiingia njia ya magufuri😭😭😭😭😭 binafsi natamani sana ukpate kiti cha uraisi af utufanyie haya
@dubariz_mic_killa3 ай бұрын
Mh.shimiwa makonda anaijuwa kuishi na watu mungu ampenguvu iliaweze kututumikia vyema❤❤❤🤲🇹🇿 am Dubariz Wapagazi
@mwanakombopopo51173 ай бұрын
Yu ni anaconda maana yuwawameza wafisadi 😂bila uoga barikiwa baba nko 🇰🇪 ila nitaama arusha
@ShaidaAfati4 ай бұрын
Makonda wewe ndiyo unastahili kuwa raisi wa nchi hi lakini raisi gani kilasiku kigu na njia kazi njema mrisi wa magufuli❤
@NunuKupela3 ай бұрын
Anapambana Kwa ajili yetu
@SaidiGolo3 ай бұрын
Shaida huyo makonda anafanya kazi alieagizwa na huyo unaemzarau na kumuita eti kila siku kiguu na njia maana hizi ndio kazi zao wakuu wa mikoa na sio ishu ndogo km hizi eti asimamie rais Sasa wao wameteuliwa ili wafanye Nini shaida chunga mdomo wako uhuru wa kuongea usikupe kiburi ukazungumza unachojisikia hizo ziara anazoenda mama ni faida ya watanzania wote
@PurityJohn-if4ei3 ай бұрын
😊
@Ericomtz53 ай бұрын
@@SaidiGolonakubaliana na wewe mkuu by ericomtz05 from Geita Tanzania
@Winnfrida-sx3in3 ай бұрын
Makonda baba tunakupa urais chukuwa fm bb ugombee wewe no msaada wa wanyonge
@StanleyMolla4 ай бұрын
Watu wa arusha msiponenepa tena mtakuwa mmelaaniwa
@oscarjokelijokeli3 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅Na kwl
@PeterPeteraugustino3 ай бұрын
Kiongoz mzr ni yule anaye sikiliza kelo za watu na kuzitatua bila kubagua
@SalhaMlombo2 ай бұрын
Mungu alinde huyu baba na watu wabaya kwakwel ni mtetez wa wanyonge
@janemcharo53713 ай бұрын
Sina lakusema mheshimiwa Makonda ila tuu MUNGU Akukumbuke kwenye ufalme wake hilo tuuu❤
@ShortyShorty-mr3jb4 ай бұрын
Safi sana😂mhe makonda
@allysaleh22203 ай бұрын
Kuna mmoja yupo dar huko anakazi ya kolopoka lopika2 😂😂
@EzekielMussa-j5hАй бұрын
Mh makoda nakuombea kwa mungu akupe maisha marefu
@EdmondKiprono-eu2nnАй бұрын
Hae
@barikimaluli61074 ай бұрын
Hakika jins namna mambo yalivyo unaweza kufikili kua tanzania kiongozi ni wewe peke yako hatujaona kama wewe makonda toka ukiwa dsm wewe ni kiongozi wa mfano sanaa
@japhetmasunga88893 ай бұрын
kumbe kina magufuli bado wapo nimeamni
@YonaBangiliАй бұрын
Muweza ni muweza2 rais mtarajiwa
@KilimbikeHaji-iy2fm3 ай бұрын
Piga kazi makonda mungu yupamoja nasi
@omarwahab71914 ай бұрын
Makonda Allah akulinde
@BukinduBukindu3 ай бұрын
Wana Arusha Mungu awape nini❤
@EdmondKiprono-eu2nnАй бұрын
hunafanya kazi makondaa
@thepowerofchristministry19184 ай бұрын
Makonda gombea urais tuko na wewe
@oscarjokelijokeli3 ай бұрын
Tena atapita Kw kishindo tena Akuna aja kupga kampen akae nyumban tu
@Joery-pb5tz3 ай бұрын
We makonda ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@jerryshah48803 ай бұрын
I think it is time to get back to Arusha.
@shmaiderkiborey51444 ай бұрын
Hii nchi inawatu ambao hawana huruma hata kidogo
@salehehassan41913 ай бұрын
Mama samia tunamtaka makonda Aje Tanga mana ukuzuluma za Ardhiz ninyingisana
@asteriashios18523 ай бұрын
Tanga si mtamloga aisee unamtakia mwema kweli ? Duh makonda Kwa Tanga tutamkosa Bora mikoa mwingine arudishwe Kilimanjaro tuu etie?
@SamsonOttuma-te3lu3 ай бұрын
Hatari wana chuga
@andrewmaiga43314 ай бұрын
Safi sana
@naimatemba80613 ай бұрын
Mpaka machozi
@PeterKisiongo3 ай бұрын
Mungu awe nawe
@ayoubomary93363 ай бұрын
Chuma jr
@japhetkahindi47914 ай бұрын
Iwish uongozi huu ingekuwa kenya
@binkhalifa69564 ай бұрын
Allah akulinde Mh Makonda
@oscarcharles96243 ай бұрын
makonda wewe ni mwema sana yani mungu ambariki mama alekuzaa unasaidia wanyonge
@DjohariNdayizeye-pm5xd3 ай бұрын
Mungu akubarik Sana ,
@HusseinChai4 ай бұрын
Mungu ni mkubwa makonda natamani nikuone ukiwa rais TZA
@dbwaxvevo57804 ай бұрын
Anachokifanya makonda ni kuomyesha madudu yaliyopo kwenye mikoa yetu
@victorcephas36184 ай бұрын
Kuna watu wanadhani mzee atakufa wamdhulumu ili watoto wake wakose irithi
@OthmanKibao-mg6ik3 ай бұрын
Piga spana tu dadeck😂
@HemedMnyambwa3 ай бұрын
Nishuhudia huu mtifuano
@ramadhanimrisho60943 ай бұрын
Makonda unatisha sans
@mabulajoel19674 ай бұрын
Hata dakika tano kwangu nahisi nyingi timua kazi huyo
@muniraahmed6243 ай бұрын
Aseee dah 😢😢😢
@musakatwale19594 ай бұрын
JPM FUFUKA BABA.
@hamidabarraball31624 ай бұрын
Watu wenye shida za namna hiyo wako millions mkisaidia hao wachache waliokuja kumiona na hao wasio kuwa na uwezo wakuja kumiona je? Atasaidiwa na nani?
@SaidiAyubu-of8zt4 ай бұрын
Acha uchoko ndugu
@ismailabdallah43624 ай бұрын
Acha ukuma wewe kwaiyo unataka awafate Nyumbani ?
@StephanoAmos-p9v4 ай бұрын
Kama yuko nyumban tu atasaidiwaje hata ungekuwa wewe mkuu wa mkoa ungefanyaje mtu hajaja
@Xuxu-f7j4 ай бұрын
Kwaio wasisaidiwe au sio unaongea vitu kama na ni mmoja wa wanaodhulumu
@masboy9524 ай бұрын
Kwahyo unamanisha ni bora wote wasisaidike au
@maharagendondo4 ай бұрын
MAKONDA,NA WAZIRI SLAA HAMJA ZALIWA MMESHUSHWA KAMA MALAIKA MUNGU AWAWEKE