"NAOMBA TUSITANIANE NATOA DAKIKA TANO HUYU MZEE AWE AMEPATA HAKI YAKE"-RC MAKONDA

  Рет қаралды 111,802

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 144
@user-lucas047onyango
@user-lucas047onyango 3 ай бұрын
Makonda ana mienendo kama ya magufulii
@JumaKobossa-gb2br
@JumaKobossa-gb2br 4 ай бұрын
Hongera kwa kazi uifanyayo mungu awe nawe watetee wanyonge. Kila la kheri kwako bro
@MinnahMnyanyi-ee1bw
@MinnahMnyanyi-ee1bw 3 ай бұрын
Ila jamani laana tunajitkia TU kumdhulumu huyu mzee
@NasoroZuberi
@NasoroZuberi 4 ай бұрын
Safi sana hii enaitwa hapakazitu yani unanikosha sana mungu aubaliki sana tenasana
@MojaZirro
@MojaZirro 3 ай бұрын
Makonda Mungu akubariki
@ramadhanaldawiyya8659
@ramadhanaldawiyya8659 3 ай бұрын
Abarikiwe mh MAKONDa
@benlaizer9936
@benlaizer9936 4 ай бұрын
Hakika huyu ndiye ajaye kuvivaa vile viatu vilivyokosa mvaaji
@MirryKirungi
@MirryKirungi 3 ай бұрын
Kwakweli
@asteriashios1852
@asteriashios1852 4 ай бұрын
Kweli watu wanateseka kwajili ya watu wengine wanaodhulumu
@daudimaniseli759
@daudimaniseli759 4 ай бұрын
IBRAHIM LA TRAULE,, THOMAS SANKAL,,JPM TANZANIA,JKN, TANZANIA... MAKONDA NI 1
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 ай бұрын
gongeni LIKES ili watu wengi waipate na kuskiliza majadiliano ya viongozi wetu/ hiii itatusaidia kukaza maombi kuwaombea
@JbahattBahhatt
@JbahattBahhatt 3 ай бұрын
Makonda kazi Safi unafaa kuwa raisi baba
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 3 ай бұрын
Haitojalisha ni lini lakini makonda atakuja awe Raisi wa nchi hii
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw 4 ай бұрын
Haw wapumbavu sana wasambua viongoz wenzao sana sijui kwa nn hamuafukuzi
@PHARESVENANCE-ye8wh
@PHARESVENANCE-ye8wh 4 ай бұрын
Natamani Makonda nikuone walau ata Kwa macho nakuonaje jamani
@fatumasaidimmependezamjeng8994
@fatumasaidimmependezamjeng8994 3 ай бұрын
Nenda ofisini kwake
@PeterPeteraugustino
@PeterPeteraugustino 3 ай бұрын
Mm nautaka huo
@WibroadWiliusi
@WibroadWiliusi 3 ай бұрын
Acheni uoongo wakuturagai haipo hja yakutsmbua kumaliza data zetu Bure BIRA Faida hamna maanana kutaka wizi poreni tumewajua burre
@makoyelwango6048
@makoyelwango6048 3 ай бұрын
Nchi hii
@NasibuKitwana
@NasibuKitwana 4 ай бұрын
Huyu Makonda yupo kimagufuli magufuli tuu,ila sidhani kama atamaliza siku nyingi Mungu asipokaa naye kila mahali
@nehemia397
@nehemia397 4 ай бұрын
TISS huyo kitambo... ana watu nyuma yake huwezi dhania ...yuko vizuri kiusalama
@HamisiForogo
@HamisiForogo 4 ай бұрын
MUNGU anaona na atamlinda kabisa
@Nedjadist
@Nedjadist 4 ай бұрын
HATA SURA ZAO ZAONESHA WATU WASIO HURUMA, WASIOJALI...NA MATUMBO MAKUBWA YA BIA TU. HII NCHI ASILIMIA 98 YA WATENDAJI WANGEFUKUZWA, TUANZE UPYA!
@mkambamaulid447
@mkambamaulid447 3 ай бұрын
Kiukweli tungepata akina Makonda kama Makonda anavyo fanya sijui kama tungemkumbuka kwa maumivu makali JPM Mungu akuongoze Makonda kwa upande wangu unakwenda vzr Sana hasa kwa wanyonge🙏🏼 Utafika mbaaali Sana kama utasimamia haki hasa kwa wanyonge wenye maumivu makali wanayo tembea nayo na hawajui wapi wakaseme ili kupata haki zao Thank you very much Brother Makonda History nchii hiii kuhusu ww tayari Ipo🙏🏼
@babalevinerlameki5425
@babalevinerlameki5425 4 ай бұрын
Makonda the future president from heaven welcome we are waiting you one day
@reubenalfred9707
@reubenalfred9707 4 ай бұрын
Hata kama ni kweli alipata zero, lakini ameonesha uhodari kwenye utendaji zaidi ya wasomi.! Na pengine ni mifumo yetu tu mibovu ya elimu ndio ilisababisha afeli form four lakini Makonda ni smart sana kuliko hata Gwajima na kebehi zake
@santebnassary7411
@santebnassary7411 3 ай бұрын
Kusoma Ni makaratasi utendaji kazi upo ndani ya mtu sio kwenye makaratasi ukichukua huyu anaweza kuwazidi hata maprofesa waliosoma hadi wakakutana na skull basi
@FedyKafyulilo-iz2nw
@FedyKafyulilo-iz2nw 3 ай бұрын
Ingekuwa inawezekana tungeungana wote tumpitishe makonda awe rais,maana anatosha kila secta,sema tu umoja haupo ila mm namuomba mungu atufanyie muujiza awe rais tu
@octavianpeter8472
@octavianpeter8472 4 ай бұрын
Mungu wa mbingun akulinde muheshimiwa
@jennytugara9470
@jennytugara9470 4 ай бұрын
Taifa la lele Mama kila Mtu anatupa mpira kwa mwenzie. Eti si kazi yetu tullishamaliza jalada lipo kwa Mkuu wa wilaya Nonsense
@LusajoKabuka
@LusajoKabuka 4 ай бұрын
Kura zitakua nyingi za kusukwa sukwa tunapomsifia wanachukia mafisadi anayoyafanya hafanyii chumbani tunaona watu wanafutwa machozi tunaomba mungu mlinde baba wanaopigana naye pigana nao
@jesselyimo3403
@jesselyimo3403 4 ай бұрын
Mungu mbariki huyu Makonda baba aje kuwa Rais wa Tanzanis kwa jina la Yesu.
@MirryKirungi
@MirryKirungi 3 ай бұрын
Kwakweli
@Shalom2018
@Shalom2018 3 ай бұрын
Amina
@mouldykomba1852
@mouldykomba1852 3 ай бұрын
Amen
@mrsferuzi7443
@mrsferuzi7443 3 ай бұрын
Aaamen
@JoalAlma-ci1hi
@JoalAlma-ci1hi 3 ай бұрын
Mamayetu mama samia naomb kama utaipata hi sms tafuta watu wengine 10 kama uyu baba waweke kweny mikoa kolofi jamna mama uyu mtu anafanya kazi saan naiman yapo mashetani yatakuwa yanamlinda yamtoe mpe ulinzi uyu baba anaitaji kuangaliwa kwa machoyoote
@Nerialulambo
@Nerialulambo 3 ай бұрын
Wewe ni Raisi kabisa yaan Mungu akubariki na akulinde
@GilbertGombeye
@GilbertGombeye 4 ай бұрын
Mheshimiwa mkuu wa mkoa wa Arusha tuliokuwa wafanyakazi wa iliyokuwa hotel 77 ya serikali madai yetu hatujalipwa tangu mwaka 2000 mpaka sasa juni 2024 hatujui hatima ya madai yetu tunaomba msaada
@RhodaLema-z8w
@RhodaLema-z8w 4 ай бұрын
Piga kazi kijana wetu tuko nyuma yako tunakuombea kwa Yehovah akulinde
@chrismassawe2939
@chrismassawe2939 3 ай бұрын
Makonda anaweza na anamanisha
@sunaybrajabu238
@sunaybrajabu238 3 ай бұрын
Viongoz mtachomwa moto jamani hamumuon hata mzee wa watu
@DaudMabumba
@DaudMabumba 4 ай бұрын
Mungu akulinde najuwa wabaya hawatapenda
@mussaMagaji-ey1tu
@mussaMagaji-ey1tu 3 ай бұрын
makonda ni moto wakuotea mbali inaitwa gusa unase
@thepowerofchristministry1918
@thepowerofchristministry1918 4 ай бұрын
Ivi hii nchi tukienda hivi tutafika kweli? Mmemwachia makonda matatizo yote ya watu wa nchi hii,na mnapokea mishahara kweli!?
@HamisiForogo
@HamisiForogo 4 ай бұрын
Hata Mimi nashangaa makonda ndo kaajiliwa na serikali peke yake
@JeremiahMwalukosya-eh5nf
@JeremiahMwalukosya-eh5nf 3 ай бұрын
Makonda anastaili kuwa rais wa Tanzania lkn ccm naujizi wao naujambazi na ifisadi wao watakubali kwelii maana hapo akiwa rais makonda ufisadi kwisa abali yake CCM nikikwazo kukibwa sana ndo shetani wa Tanzania anaetuyumbisha nakututesa kiukweli ccm haifai hata robo
@SaidiGolo
@SaidiGolo 3 ай бұрын
Ujizi,ujambazi na ufisadi hata chadema upo km huamini muulize msigwa
@hawamohammed9740
@hawamohammed9740 3 ай бұрын
Yaani nimelia kwa sana kwa ujasiri wa makonda wallah Yaa Rabbi mlinde na Shari za walimwengu huyu mja wako hakika huyu ni zawad kutoka kwa Allah mama Samia hapo upate msaidizi😢😢😢najisikia raha
@IsmailMjesh
@IsmailMjesh 2 ай бұрын
Alhamdullilah nilipata kwenda Arusha wallah kuna watu wengi, mpk haipatikani
@emmanuelfari8924
@emmanuelfari8924 4 ай бұрын
+MUNGU+ alie HAI azidi KUKUBARIKI na kukutunza hata na uzao wako baada yako 1 WAKORINTO 1:9🙏
@gm7045
@gm7045 4 ай бұрын
Makonda (King Salomon )❤
@MeckitilidaTushabe-or9hu
@MeckitilidaTushabe-or9hu 3 ай бұрын
Kabisa
@malila4582
@malila4582 4 ай бұрын
Iki kidume bwana💪
@martinwangwe8966
@martinwangwe8966 4 ай бұрын
endelea kupiga spana wavivu
@DicksonCharles-km9vu
@DicksonCharles-km9vu 3 ай бұрын
Unastaili kuakiongozi mkubwa atnzania
@lunangabenjamin3121
@lunangabenjamin3121 4 ай бұрын
Ivi binadamu hamna haibu ya kumsumbuwa mzee mlemavu tena mgondjwa mlaaniwe.makonda fanya kazi baba kwa ukali kwenye sikali kuna washamba na ushamba mwingi ni ujinga.washenzi sana hamna adabu kabisa.
@josephmachariamwangi7733
@josephmachariamwangi7733 3 ай бұрын
Asanteni tanzania maghufuri bado yup tu
@donardmsomi8451
@donardmsomi8451 4 ай бұрын
Huwa naenjoi sana kusikia maamuzi ya chapuchapu kwa kiongozi.
@yusufmohamed8874
@yusufmohamed8874 4 ай бұрын
Ningekuwa raisi walau wiki moja.... Ninge fukuza wafanya kazi wooote na kuteua wanafunzi wote walio maliza vyuo vikuu vyote waanze kazi mara moja
@msafirimaulidi5054
@msafirimaulidi5054 3 ай бұрын
Ao ndo mafyongo kabisa hi mch wenye akili wanafeli au awana uwezo wa kujiendeleza
@MwanaKanyoro
@MwanaKanyoro 3 ай бұрын
Mpaka nimelia jaman
@azizigaston8631
@azizigaston8631 4 ай бұрын
Spana spana spana piga spana mh makonda wanaonea sana watu hao usiskile wanafiki na wanataka kikurudisha nyuma ni Bora ufe kwenye haki kuliko kufa kwe dhuruma mbona baba yako kipenzi magufuli wetu naamini amepumzika kwenye haki wewe chapa kazi maombi yetu yapo juu yako
@remymsangi4546
@remymsangi4546 2 ай бұрын
Vizuri havidumu,mambwa wa hii nchi ole wenu mumfanye kama mlivyomfanya .......,tuachieni makonda wetu
@musicheals1545
@musicheals1545 3 ай бұрын
piga spana kenge haooo
@hawamohammed9740
@hawamohammed9740 3 ай бұрын
Naomba Allah anikutanishe nae live huyu makonda nijisikie raha zaid Mimi nimekua mtu wa kutoka machozi kila siku nionapo ujasiri wake😢😢😢
@KilimbikeHaji-iy2fm
@KilimbikeHaji-iy2fm 3 ай бұрын
Laiti viongozi wa Tanzania wangekuwa kama wewe tungekuwa mbali sana mungu Akupe ulinzi eww makonda uwanyooshe washenzi
@juliusjkalela9164
@juliusjkalela9164 4 ай бұрын
Nakuona makonda ukiingia njia ya magufuri😭😭😭😭😭 binafsi natamani sana ukpate kiti cha uraisi af utufanyie haya
@dubariz_mic_killa
@dubariz_mic_killa 3 ай бұрын
Mh.shimiwa makonda anaijuwa kuishi na watu mungu ampenguvu iliaweze kututumikia vyema❤❤❤🤲🇹🇿 am Dubariz Wapagazi
@mwanakombopopo5117
@mwanakombopopo5117 3 ай бұрын
Yu ni anaconda maana yuwawameza wafisadi 😂bila uoga barikiwa baba nko 🇰🇪 ila nitaama arusha
@ShaidaAfati
@ShaidaAfati 4 ай бұрын
Makonda wewe ndiyo unastahili kuwa raisi wa nchi hi lakini raisi gani kilasiku kigu na njia kazi njema mrisi wa magufuli❤
@NunuKupela
@NunuKupela 3 ай бұрын
Anapambana Kwa ajili yetu
@SaidiGolo
@SaidiGolo 3 ай бұрын
Shaida huyo makonda anafanya kazi alieagizwa na huyo unaemzarau na kumuita eti kila siku kiguu na njia maana hizi ndio kazi zao wakuu wa mikoa na sio ishu ndogo km hizi eti asimamie rais Sasa wao wameteuliwa ili wafanye Nini shaida chunga mdomo wako uhuru wa kuongea usikupe kiburi ukazungumza unachojisikia hizo ziara anazoenda mama ni faida ya watanzania wote
@PurityJohn-if4ei
@PurityJohn-if4ei 3 ай бұрын
😊
@Ericomtz5
@Ericomtz5 3 ай бұрын
​@@SaidiGolonakubaliana na wewe mkuu by ericomtz05 from Geita Tanzania
@Winnfrida-sx3in
@Winnfrida-sx3in 3 ай бұрын
Makonda baba tunakupa urais chukuwa fm bb ugombee wewe no msaada wa wanyonge
@StanleyMolla
@StanleyMolla 4 ай бұрын
Watu wa arusha msiponenepa tena mtakuwa mmelaaniwa
@oscarjokelijokeli
@oscarjokelijokeli 3 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅Na kwl
@PeterPeteraugustino
@PeterPeteraugustino 3 ай бұрын
Kiongoz mzr ni yule anaye sikiliza kelo za watu na kuzitatua bila kubagua
@SalhaMlombo
@SalhaMlombo 2 ай бұрын
Mungu alinde huyu baba na watu wabaya kwakwel ni mtetez wa wanyonge
@janemcharo5371
@janemcharo5371 3 ай бұрын
Sina lakusema mheshimiwa Makonda ila tuu MUNGU Akukumbuke kwenye ufalme wake hilo tuuu❤
@ShortyShorty-mr3jb
@ShortyShorty-mr3jb 4 ай бұрын
Safi sana😂mhe makonda
@allysaleh2220
@allysaleh2220 3 ай бұрын
Kuna mmoja yupo dar huko anakazi ya kolopoka lopika2 😂😂
@EzekielMussa-j5h
@EzekielMussa-j5h Ай бұрын
Mh makoda nakuombea kwa mungu akupe maisha marefu
@EdmondKiprono-eu2nn
@EdmondKiprono-eu2nn Ай бұрын
Hae
@barikimaluli6107
@barikimaluli6107 4 ай бұрын
Hakika jins namna mambo yalivyo unaweza kufikili kua tanzania kiongozi ni wewe peke yako hatujaona kama wewe makonda toka ukiwa dsm wewe ni kiongozi wa mfano sanaa
@japhetmasunga8889
@japhetmasunga8889 3 ай бұрын
kumbe kina magufuli bado wapo nimeamni
@YonaBangili
@YonaBangili Ай бұрын
Muweza ni muweza2 rais mtarajiwa
@KilimbikeHaji-iy2fm
@KilimbikeHaji-iy2fm 3 ай бұрын
Piga kazi makonda mungu yupamoja nasi
@omarwahab7191
@omarwahab7191 4 ай бұрын
Makonda Allah akulinde
@BukinduBukindu
@BukinduBukindu 3 ай бұрын
Wana Arusha Mungu awape nini❤
@EdmondKiprono-eu2nn
@EdmondKiprono-eu2nn Ай бұрын
hunafanya kazi makondaa
@thepowerofchristministry1918
@thepowerofchristministry1918 4 ай бұрын
Makonda gombea urais tuko na wewe
@oscarjokelijokeli
@oscarjokelijokeli 3 ай бұрын
Tena atapita Kw kishindo tena Akuna aja kupga kampen akae nyumban tu
@Joery-pb5tz
@Joery-pb5tz 3 ай бұрын
We makonda ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@jerryshah4880
@jerryshah4880 3 ай бұрын
I think it is time to get back to Arusha.
@shmaiderkiborey5144
@shmaiderkiborey5144 4 ай бұрын
Hii nchi inawatu ambao hawana huruma hata kidogo
@salehehassan4191
@salehehassan4191 3 ай бұрын
Mama samia tunamtaka makonda Aje Tanga mana ukuzuluma za Ardhiz ninyingisana
@asteriashios1852
@asteriashios1852 3 ай бұрын
Tanga si mtamloga aisee unamtakia mwema kweli ? Duh makonda Kwa Tanga tutamkosa Bora mikoa mwingine arudishwe Kilimanjaro tuu etie?
@SamsonOttuma-te3lu
@SamsonOttuma-te3lu 3 ай бұрын
Hatari wana chuga
@andrewmaiga4331
@andrewmaiga4331 4 ай бұрын
Safi sana
@naimatemba8061
@naimatemba8061 3 ай бұрын
Mpaka machozi
@PeterKisiongo
@PeterKisiongo 3 ай бұрын
Mungu awe nawe
@ayoubomary9336
@ayoubomary9336 3 ай бұрын
Chuma jr
@japhetkahindi4791
@japhetkahindi4791 4 ай бұрын
Iwish uongozi huu ingekuwa kenya
@binkhalifa6956
@binkhalifa6956 4 ай бұрын
Allah akulinde Mh Makonda
@oscarcharles9624
@oscarcharles9624 3 ай бұрын
makonda wewe ni mwema sana yani mungu ambariki mama alekuzaa unasaidia wanyonge
@DjohariNdayizeye-pm5xd
@DjohariNdayizeye-pm5xd 3 ай бұрын
Mungu akubarik Sana ,
@HusseinChai
@HusseinChai 4 ай бұрын
Mungu ni mkubwa makonda natamani nikuone ukiwa rais TZA
@dbwaxvevo5780
@dbwaxvevo5780 4 ай бұрын
Anachokifanya makonda ni kuomyesha madudu yaliyopo kwenye mikoa yetu
@victorcephas3618
@victorcephas3618 4 ай бұрын
Kuna watu wanadhani mzee atakufa wamdhulumu ili watoto wake wakose irithi
@OthmanKibao-mg6ik
@OthmanKibao-mg6ik 3 ай бұрын
Piga spana tu dadeck😂
@HemedMnyambwa
@HemedMnyambwa 3 ай бұрын
Nishuhudia huu mtifuano
@ramadhanimrisho6094
@ramadhanimrisho6094 3 ай бұрын
Makonda unatisha sans
@mabulajoel1967
@mabulajoel1967 4 ай бұрын
Hata dakika tano kwangu nahisi nyingi timua kazi huyo
@muniraahmed624
@muniraahmed624 3 ай бұрын
Aseee dah 😢😢😢
@musakatwale1959
@musakatwale1959 4 ай бұрын
JPM FUFUKA BABA.
@hamidabarraball3162
@hamidabarraball3162 4 ай бұрын
Watu wenye shida za namna hiyo wako millions mkisaidia hao wachache waliokuja kumiona na hao wasio kuwa na uwezo wakuja kumiona je? Atasaidiwa na nani?
@SaidiAyubu-of8zt
@SaidiAyubu-of8zt 4 ай бұрын
Acha uchoko ndugu
@ismailabdallah4362
@ismailabdallah4362 4 ай бұрын
Acha ukuma wewe kwaiyo unataka awafate Nyumbani ?
@StephanoAmos-p9v
@StephanoAmos-p9v 4 ай бұрын
Kama yuko nyumban tu atasaidiwaje hata ungekuwa wewe mkuu wa mkoa ungefanyaje mtu hajaja
@Xuxu-f7j
@Xuxu-f7j 4 ай бұрын
Kwaio wasisaidiwe au sio unaongea vitu kama na ni mmoja wa wanaodhulumu
@masboy952
@masboy952 4 ай бұрын
Kwahyo unamanisha ni bora wote wasisaidike au
@maharagendondo
@maharagendondo 4 ай бұрын
MAKONDA,NA WAZIRI SLAA HAMJA ZALIWA MMESHUSHWA KAMA MALAIKA MUNGU AWAWEKE
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 3 ай бұрын
Usimsahau na chalamila jamani
@SylvesterRaymond-q3o
@SylvesterRaymond-q3o 4 ай бұрын
So sad
@theresiacostantine132
@theresiacostantine132 4 ай бұрын
Pokea maua yako
FISTON MAYELE APIGA SALUTI KWA MAXI/NITARUDI YANGA/MSIKIE.
5:26
Do you choose Inside Out 2 or The Amazing World of Gumball? 🤔
00:19
Players vs Corner Flags 🤯
00:28
LE FOOT EN VIDÉO
Рет қаралды 70 МЛН
OYUNCAK MİKROFON İLE TRAFİK LAMBASINI DEĞİŞTİRDİ 😱
00:17
Melih Taşçı
Рет қаралды 12 МЛН
AJALI: GARI LA TAKA LAUA WATU WAWILI MOROGORO
5:11
Wasafi Media
Рет қаралды 3 М.
Do you choose Inside Out 2 or The Amazing World of Gumball? 🤔
00:19