RC Mwanri Amvunja Mbavu Waziri Mkuu "Nchi inakata roho"

  Рет қаралды 996,625

Global TV  Online

Global TV Online

5 жыл бұрын

RC Mwanri Amvunja Mbavu Waziri Mkuu "Nchi inakata roho"
Mkuu wa mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri, amemuhakikishia Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kuwa miradi yote inayotakiwa kutekelezwa ndani ya mkoa wake itakamilika ndani ya muda kwa sababu yeye sio mtu wa utani na atakayethubutu kumuangusha atamchukulia hatua kali.
RC Mwanri ameyasema hayo katika jukwaa la Biashara na Uwekezaji lililofanyika mkoani humo na kuhudhuriwa na mgeni rasmi Waziri Mkuu Majaliwa, ambapo pia amemuomba kutimiza ahadi za serikali katika kuendeleza ujenzi wa viwanda mkoani humo.
#RCMWANRI #WAZIRIMKUUMAJALIWA
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter:
GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK

Пікірлер: 718
@mropeamadeus5445
@mropeamadeus5445 5 жыл бұрын
Mh. mkuu wa Mkoa MUNGU akutuze Kwa Jina La Yesu Kristo, yote uliyo Nena kuhusu maendeleo MUNGU akatimiza kwa Jina La Yesu Kristo wote tuseme Amen
@mapiganohdmedia1282
@mapiganohdmedia1282 5 жыл бұрын
Amina
@linahherman3647
@linahherman3647 5 жыл бұрын
Mrope Amadeus Ameen
@eventelias3566
@eventelias3566 5 жыл бұрын
AMEN
@michaelmuriithi6808
@michaelmuriithi6808 5 жыл бұрын
This man is a true leader...I dare say, sent from above...he is a rare gem.
@ibrahimmaganga3429
@ibrahimmaganga3429 5 жыл бұрын
Mmmmh ni hatali
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 5 жыл бұрын
UMETUWAKILISHA vyema wazee. Tumezoea kuona wakuu wa mikoa vijana Hongera saaaaaaaana Comrade Mwanri.👏👏👏👏👍👍👍
@kaizamulinda633
@kaizamulinda633 5 жыл бұрын
Huyu jamaa ni very intelligent
@eventelias3566
@eventelias3566 5 жыл бұрын
Kaiza Mulinda ya hali ya juu
@riphathpeterson6364
@riphathpeterson6364 5 жыл бұрын
Sincerly speaking tuache wivu Jamaa anijitaidi sana and also he is a good speaker so much hauchoki kumsikia full wisdom good RC Mwanri
@stellahmajala7697
@stellahmajala7697 5 жыл бұрын
Duh! Nampenda Sana mkuu wa mkoa huu lugha anayotumia it's so nice ucheshi na pia anajua jinsi ya kuishi na watu wa aina zote najivunia kuzaliwa Tabora
@magehkihwele8274
@magehkihwele8274 5 жыл бұрын
Kuna utajiri wakunukia humu lakini kuna umasikin wa kunuka ahahahaaaaahaaa mkuu wa mkoa Tabora Nakupenda sana M/mungu azidi kukuweka😍😍😘
@lilianlema3107
@lilianlema3107 5 жыл бұрын
Huyu ni mtumishi wa Mungu ana hekima ya Mungu haweki watu ndani hovyo kama wakuu wa mikoa wengine.
@sophyeliah954
@sophyeliah954 5 жыл бұрын
Ukiwa na lengo utapata mipango ukiwa na mipango utapata mikakati ukiwa na mikakat utapata mbinu ukiwa na mbinu utapata ushindi... Nmempenda nimeipenda!!!!
@davidnyigu2061
@davidnyigu2061 5 жыл бұрын
as me
@nathanaelsanga1990
@nathanaelsanga1990 5 жыл бұрын
Mpango- mkakati-mbinu- Ushindi -Bambam
@bonifacelugulu1518
@bonifacelugulu1518 5 жыл бұрын
sophy eliah i love it
@ramahussenimlekwa
@ramahussenimlekwa 5 жыл бұрын
Nimekuelewa sana
@moimashole992
@moimashole992 5 жыл бұрын
Uko vzr Dada
@isibingotv2206
@isibingotv2206 5 жыл бұрын
He is good person , only time will tell
@mwinukafundibombanjombe
@mwinukafundibombanjombe 5 жыл бұрын
fantastic ,adorable ,awesome speech ..Shakamoo Adri Mwanri
@susanlazaro7492
@susanlazaro7492 5 жыл бұрын
Kama na Wewe Unamkubali Mh. Agrey Mzee wa fyekelea ndani tugonge like hapa twende Sawia
@severintheobald9460
@severintheobald9460 5 жыл бұрын
Q
@samwelkefa9231
@samwelkefa9231 5 жыл бұрын
Hongera Sana MKUu WA mkoa aro
@deomsigwa6426
@deomsigwa6426 5 жыл бұрын
Poa sana
@zuberially3120
@zuberially3120 4 жыл бұрын
P1 sana mkuu
@aloysrugazia
@aloysrugazia 5 жыл бұрын
Hotuba nzuri. Angetoa hotuba hii kwenye medani za kimataifa natumai ingepata heshima kubwa. Imejaa mizaa, imeelimisha imetoa taswira ya kitaifa, historia adimu ambayo wengi hawaifahamu lakini pia mtoa hotuba Mhe. Aggrey ameongea sio kama mtu bali kama taasisi. Aggrey hana ushamba wa uongozi wala taabu yoyote katika kuwanyenyekea viongozi wake wa juu na siyo kwa unafki wala uoga bali kama sehemu ya kudhihirisha uongozi bora. Hotuba hii inapaswa kutazamwa na viongozi wa kisiasa na wanafunzi wa siasa nchini. Aggrey ni mwanasiasa hodari.
@acreymwanisenga9549
@acreymwanisenga9549 5 жыл бұрын
Pamoja sana mkuu wa mkoa wetu,mungu akupe maisha marefu,Kama na naww unampenda gonga like
@pigapesa1013
@pigapesa1013 5 жыл бұрын
RC Bora Tanzania 2018 no comment!
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 5 жыл бұрын
yko jirani yake pale ila yy cdhn kama ni muongeaji sana
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 5 жыл бұрын
Rehema Ibrahim kwa sababu gani
@simonjane5566
@simonjane5566 5 жыл бұрын
Yeah
@sulemanjafari3152
@sulemanjafari3152 5 жыл бұрын
tuko 2019
@abujuhaifah7461
@abujuhaifah7461 4 жыл бұрын
Wewe makonda ndio bora
@johnbruno1043
@johnbruno1043 5 жыл бұрын
umoja wa wasoma koment tanzania(uwakota)tunamkubali agrey
@mzadomwongozo3671
@mzadomwongozo3671 5 жыл бұрын
Napitisha hoja mwenyekiti.
@priscadhambisiozambiramadh5303
@priscadhambisiozambiramadh5303 5 жыл бұрын
yah
@datiusblasio9485
@datiusblasio9485 5 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa wa tabora yuko vizuri sana na ana hekima ya kiroho ndani yake.
@kahembijoseph6999
@kahembijoseph6999 4 жыл бұрын
Tupo
@husseinomary4466
@husseinomary4466 5 жыл бұрын
Huyu mzee namfuatilia kila nikiweka bando gonga like Kama naww nihivo
@jacksonpeter4931
@jacksonpeter4931 5 жыл бұрын
Huyu Mzee nampenda Sana tuko safi mno.
@ramadhanijuma2175
@ramadhanijuma2175 5 жыл бұрын
Yupo vzr
@danielmbumila24
@danielmbumila24 5 жыл бұрын
Kama umeaona akicheka Mkuu wa mkoa😂😂 konga like hapa
@magekiria4716
@magekiria4716 5 жыл бұрын
upo vizuri mkuu mungu akulinde
@arfaxadmangowi9691
@arfaxadmangowi9691 5 жыл бұрын
Safi sana, wapigishe mchakamchaka mpaka wahitimu, na Roho Mt akuongezee neema, upendo, nguvu na kibali, ili ukamilishe kazi uliyotwa na Mungu hapo Tabora
@hasheembishopgaulige4803
@hasheembishopgaulige4803 4 жыл бұрын
Mungu ambariki Baba huyu amejaa hekima kubwa mno ahsante tunashukuru Tabora mmepata mkuu wa mkoa anayewaza mema sijuu ya tabora tu bari Tanzania nzima
@edisonkayaman8851
@edisonkayaman8851 5 жыл бұрын
Una maalifa sana yakuelewesha jamii ya watu ambao elim ya nindogo MUNGU akujalie ufanikiwa na wana nchi wako
@ezekielmapesa1175
@ezekielmapesa1175 5 жыл бұрын
Safi Sana mkuu wa mkoa
@oscarmakoye8805
@oscarmakoye8805 5 жыл бұрын
Noma san huyo mzeee
@mkalmoyotv1274
@mkalmoyotv1274 5 жыл бұрын
Mbeya we need people like you my Agreyy
@peterbayo4677
@peterbayo4677 5 жыл бұрын
Kiongozi wa kiroho katika utumishi wa Serikali huyu. Hekima na busara na maarifa mengi yako katika kinywa chake na ni energetic. Anayo haiba ya uongozi. Hongera kwake. Anaitendea haki nafasi yake na kuzidi....
@shakilamasoud8979
@shakilamasoud8979 5 жыл бұрын
Hata Kama were siyo mtabora Kama Mimi...ila unamkubali mzee wa fyekelea mbali. Gonga like usipite kimya
@suleymansaid9301
@suleymansaid9301 5 жыл бұрын
we ntumie nmba yako bc
@shakilamasoud8979
@shakilamasoud8979 5 жыл бұрын
@@suleymansaid9301 we bana wewe
@suleymansaid9301
@suleymansaid9301 5 жыл бұрын
Shakila Masoud nambie
@shakilamasoud8979
@shakilamasoud8979 5 жыл бұрын
@@suleymansaid9301 poa tuu....shwari
@shakilamasoud8979
@shakilamasoud8979 5 жыл бұрын
@@suleymansaid9301 nitumie yako nitakucheki whatsap
@bonifacemohono3486
@bonifacemohono3486 5 жыл бұрын
Uyo bwana anafaa kuwa kiongoz mkuu serikalini ili aissidie Tz nxima kwel ataibadilisha nchi
@dr.johnsonnyamohanga585
@dr.johnsonnyamohanga585 5 жыл бұрын
Hakika ukigombea uraisi Hakuna wakukupinga Mkuu una pita bila kupingwa, Mungu abariki kazi ya mikono yako!
@kambangwachanneltv8166
@kambangwachanneltv8166 5 жыл бұрын
Alishawahi kuwa naibu waziri wa tamisemi awamu iliopita
@mwaramikibuga1314
@mwaramikibuga1314 5 жыл бұрын
Kati ya watu ninaowakubali mmoja wapo ni wewe,, kwa kweli ni muwazi sana
@gracioussteven7953
@gracioussteven7953 5 жыл бұрын
@@kambangwachanneltv8166 na mambo yake yalikua hivi hivi
@lissochacha5218
@lissochacha5218 5 жыл бұрын
Huyu jamaa anafaa kuwa rais gonga like kama jibu ni ndio
@nyamitmm1227
@nyamitmm1227 5 жыл бұрын
Kama unanipenda tabora na mkuu wa mkoa wa tabora wake like
@musatbobius5472
@musatbobius5472 5 жыл бұрын
Tabora mmepata jembe la ukweli mkimchoka tunamuomba Mbeya
@nakimvungi4221
@nakimvungi4221 5 жыл бұрын
Hongera mkuu wa mkoa
@musatbobius5472
@musatbobius5472 5 жыл бұрын
Mkuu kura ya ndiooooo kwako😁😁😁😁😁😁
@ibrahimmaganga3429
@ibrahimmaganga3429 5 жыл бұрын
Naipnda ila cmpendi mbunge wangu zd
@ibrahimmaganga3429
@ibrahimmaganga3429 5 жыл бұрын
@@musatbobius5472 ohoho hatutaki
@hongeramgaya714
@hongeramgaya714 5 жыл бұрын
Rc wa Toronto oyeeeere
@ethanuk9437
@ethanuk9437 5 жыл бұрын
Jamaaa ana flow without kusoma kwenye karatasi......yuko vyemaaa
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 5 жыл бұрын
na haropokwi ajabu sana huyu mzee yuko sw
@rostammakenzi8277
@rostammakenzi8277 5 жыл бұрын
Thank u very much RC keep it up
@godwinmzurikwao4509
@godwinmzurikwao4509 5 жыл бұрын
Jamaa ni kichwa.. No disrespect
@consolatamedard9039
@consolatamedard9039 5 жыл бұрын
Yupo vizur sana
@mohamedimzungu79
@mohamedimzungu79 4 жыл бұрын
Yuko vyema
@allyianbgoya5163
@allyianbgoya5163 5 жыл бұрын
Najivunia Tabora mkoa wangu na mkuu wetu wa mkoa. Mungu ibariki Tanzania, mungu ibariki Tabora na mungu mmbariki RC aggrey Mwanri kuongoza na kuwaongoza Tabora. Amiin
@e.kabendera
@e.kabendera 5 жыл бұрын
Kwa Mara ya kwanza katika serikali ya Magufuli naona MTU mwenye HEKIMA na busara katika uongozi wake , kiongozi ni yule ambae akitokea watu humfurahia na si kumnunia . Mwanri yuko vizuri kwakweli !
@humphreymahenge7455
@humphreymahenge7455 5 жыл бұрын
Daah Mungu akupe maisha marefu..maana Mungu kakupa hekima, busara na maarifa..hongera mkuu.
@sawanjema4889
@sawanjema4889 5 жыл бұрын
safi sana mkuu,kwa kunena na neno LA mungu pia ubarikiwe
@rachelpaul188
@rachelpaul188 5 жыл бұрын
Yaani kwa mara ya kwanza kumuona anaongea anacheka
@mawazomacleanmwangobola6806
@mawazomacleanmwangobola6806 5 жыл бұрын
Nje ya ukuu wa mkoa kazi zingine anazoweza kuzifanya ni 1.kuhubiri 2.kuigiza(comedy)
@muhamedyabdal9541
@muhamedyabdal9541 4 жыл бұрын
Mkuu wa MKOA wa tbr tuko vzr na niseme anakipaji cha kuongea vzr kama Mwl. Nyerere. Hicho ni kipaji.
@juhudikihongosi3904
@juhudikihongosi3904 5 жыл бұрын
Mwanri ni mkuu wa mkoa anaeimudu kazi yake nakupa big up sana mzee chapa kazi kwa sana tu mkuu
@ashamwandu3781
@ashamwandu3781 4 жыл бұрын
Uko vzr bb,hamia shinyanga.
@matheihaule8586
@matheihaule8586 5 жыл бұрын
huyu ajekuwa wazili mkuu au rais yuko vizur sana
@janethjustin5256
@janethjustin5256 5 жыл бұрын
Mimi pia namuombea hivyo awe waziri mwisho wake awe Rais kabisa safiii
@imamuhemedi4387
@imamuhemedi4387 4 жыл бұрын
MATHEI HAULE
@teddyoscar6876
@teddyoscar6876 4 жыл бұрын
Yaani huyu mie nampenda aje kua Rais akimaliza Magufuli, yuko poa sana tena ni mzalendo
@dastanfussy4898
@dastanfussy4898 4 жыл бұрын
@@rehemaibrahim8475 ha ha haaaa
@kelvinmathias7357
@kelvinmathias7357 5 жыл бұрын
Hongera Rc Agrey Mwanri Mungu akibariki na akutimizie haja na hitaji la Moyo wako
@saidabdallah3764
@saidabdallah3764 4 жыл бұрын
Asante sana mwanri unafanya kazi nzuri sana hongera sana
@pamahujusaid4397
@pamahujusaid4397 5 жыл бұрын
kiongozi ambaye kwasasa anapendwa na watu wate na pia anafuatiliwa sana,kwani huchuki kumsikiliza ,pia anamaneno ya kutia moyo na busara na utani kiasi.kweli nampenda mno mno.Rais amepata jembe sana .mungu mbariki Aggrey mwanri na familia yake umpe maisha marefu na umjaze roho wako amuongoze katika kazi zake za kila siku .AMEN
@cosmasdaud3463
@cosmasdaud3463 5 жыл бұрын
Huyu jamaa kaonewa kuwa mkuu wa mkoa Nicomedian mzur Baraa Gonga like kwa comedian
@annaniasbyarugaba5788
@annaniasbyarugaba5788 5 жыл бұрын
Hpa Makonda hafiki hata nusu. Huyu jmaa hatar Saab,
@thomasenockgogomoka6056
@thomasenockgogomoka6056 5 жыл бұрын
Hongera mku wa mkoa @Agrey Mwami kazi yako ni nzuri unajua shida za mkoa wako na namna ya kutatua kero za mkoa wako. Unafanya kazi kwa manufaa ya maendelea ya mkoo wako, wewe uko tofauti sna na wakuu wengine wa mikoa.Mungu akubari sna
@octaviuskumburu8044
@octaviuskumburu8044 5 жыл бұрын
Anafaa sana
@josephndali9584
@josephndali9584 4 жыл бұрын
Huyu Mkuu anakipaji cha uongozi, nakubali Sana Sukuma ndani
@omarisukari7760
@omarisukari7760 5 жыл бұрын
Your the best hongera Mheshimiwa
@imanindalama9286
@imanindalama9286 5 жыл бұрын
Lozi muhandoOmari Sukari
@jumakapora6418
@jumakapora6418 5 жыл бұрын
Baba. unaeshima. sana. unaongea. na. waziri. mkuu. kwa. eshima. zuri. sana. mungu. akubariki. na. kukulinda. ''''''''
@jamesakhabuhaya6194
@jamesakhabuhaya6194 5 жыл бұрын
Amina mkali aisee
@mashakaharuna405
@mashakaharuna405 5 жыл бұрын
Huyu cjawahi kumuona kiongozi tz kama huyu asante mungu napata faraja sana ninapo sikia hekima zake huyu mzee
@masoudymichael1434
@masoudymichael1434 5 жыл бұрын
Hongera tabora sisi mkoa wetu anapambana tu na upinzani kila kukicha
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 4 жыл бұрын
Hahahahahahahhaha
@brightonshakila6406
@brightonshakila6406 5 жыл бұрын
Mungu atakuinua Mpaka dunia ishangae...piga kazi Baba unakubalika sana
@gastonkaiza3758
@gastonkaiza3758 5 жыл бұрын
Wew ni mtumish wa Mungu alafu wew unatakiwa uwe wazir wa elim
@zuberimkuba3674
@zuberimkuba3674 4 жыл бұрын
Yuko vizur sana mkuu
@micamathew6433
@micamathew6433 4 жыл бұрын
Tabora ni sehemu iliyobeba historia kubwa sana hapa Tanzania. Leo hii Tabora iko kama Toronto Canada. Hii kauli imenijaza furaha sana.. Nakupenda mzee wangu Aggrey Mwanry, ww sio mkuu wa mkoa wa Tabora pekee yake, ww ni mkuu wa mikoa yote ya Tanzania. Mungu akutie nguvu ktk kazi zako...akuangazie nuru za uso wake. Amen.
@jafarsalum8656
@jafarsalum8656 5 жыл бұрын
cjaona hata comments mbaya zinazomhusu mzee huyu hakika ni mfano mzur sana mzee umetisha
@mohamedsaidmohamed8664
@mohamedsaidmohamed8664 5 жыл бұрын
Mzee Hodari kwa kuongea .....salute RC 🙌🙌🙌💯
@abdallahrunwa1886
@abdallahrunwa1886 5 жыл бұрын
Mheshimiwa nami mwananchi wa hapa Buseresere nakupongeza sana uko vizuri viongozi wa sampuri yako ndiyo wanaohitajika katika serikali yetu ya Awamu ya tano hongera wana Tabora mmepata mkuu wa mkoa JEMBE...!
@estherngowi3690
@estherngowi3690 5 жыл бұрын
Hakuna mchagga mjinga akilini. watu wenye akili lazma wafanye vitu vyenye akili. Gonga like bas kama tunaenda sawa!!
@emanuelminja8750
@emanuelminja8750 5 жыл бұрын
Esther Ngowi aika mshiki
@lukelomwalongo1262
@lukelomwalongo1262 5 жыл бұрын
Acha ukabila aisee
@hekimandimubenya5665
@hekimandimubenya5665 5 жыл бұрын
The best RC in tz
@zakariasalum3432
@zakariasalum3432 5 жыл бұрын
Esther Ngowi acha ukabila
@danielmacha3642
@danielmacha3642 5 жыл бұрын
Mbona wewe unaonekana mjinga 😟😕
@maryosward1879
@maryosward1879 4 жыл бұрын
Yaani viongozi wa awamu ya tano naomba mungu awatunze mzidi kufanya kazi kwa moyo kwa ajili ya nchi yetu
@musatbobius5472
@musatbobius5472 5 жыл бұрын
Ktk maisha yang sijawai ona Rc km huyu,Mungu Kwanza jinsi ya kufikisha ujumbe kwa jamii Ni wa ainayake Mungu akubariki nakuombea
@jensennashon6147
@jensennashon6147 5 жыл бұрын
huyu mkuu wa mkoa hachoshi kumsikiliza
@teddyoscar6876
@teddyoscar6876 4 жыл бұрын
Hachoshi kweli, yani sichoki kumsikiliza kama Magufuli hachoshi pia.
@michaelmuriithi6808
@michaelmuriithi6808 5 жыл бұрын
I envy Tabora..The RC has his province at heart..he is a true leader..a leader with a vision for his people...he is concise..he is God fearing, he loathes corruption, he respects authority, he is a TRUE leader...God bless you RC
@mailacamillius
@mailacamillius 5 жыл бұрын
Umeandika maneno mazuri, lakini hukuwa na sababu ya kuandika kiingereza. Speech Ipo kwa Kiswahili, hakuna haja ya ku-andika kwa Kiingereza
@mzadomwongozo3671
@mzadomwongozo3671 5 жыл бұрын
True bila kusahau mkuu ni rafiki, ukibahatika kukutananaye face to face naamini utanielewa zaidi.
@odranslayo3298
@odranslayo3298 5 жыл бұрын
huyu Mkuu wamkoa anatumia sana hakma kuelimisha jamii
@amnizabdiz7938
@amnizabdiz7938 5 жыл бұрын
Saana hakeri mtuui
@eberhardmhagama1668
@eberhardmhagama1668 5 жыл бұрын
Ukijua unaongoza watu wa namna gan ,kua na namna yakuongea nao wakuelewe kiuraisi
@petertesha70
@petertesha70 5 жыл бұрын
kwel
@Mike-yg7pb
@Mike-yg7pb 5 жыл бұрын
Sanaaaa
@ibrahimmaganga3429
@ibrahimmaganga3429 5 жыл бұрын
Kweli
@ramsonrabison8612
@ramsonrabison8612 5 жыл бұрын
yahani hukiona hii suraa basi jua hutaongeza siku za kuishi kivyovyote vile yahani hii sura ni ya kubembelezea watoto lazima ucheke hee mungu msaidie haya kwako mwalimu kashasha hunazungumziaje hii.
@braysonlema3623
@braysonlema3623 5 жыл бұрын
Ramson Rabison mwalim kashahsha tumpe wizara ya michezo tukacheze kombe la dunia 2020
@bonifaceitilima5871
@bonifaceitilima5871 5 жыл бұрын
Big up mkuu
@halimajamaniamekuwamndeme9617
@halimajamaniamekuwamndeme9617 4 жыл бұрын
Nampenda sana, alikuwa mbunge wangu wa siha, alitufanyia makubwa sana siha, safi sanaaaaa
@davidmrema4136
@davidmrema4136 5 жыл бұрын
Safi sana RC mwanhr
@fredrickkakuru3366
@fredrickkakuru3366 5 жыл бұрын
Tabora muunge mkono huyu Rc.
@mustafakubri1924
@mustafakubri1924 4 жыл бұрын
Anavyoongea hasomi kwenye karatasi lakini hatoki kwenye njia,ni speech ambayo imeenda bachelor!! anaekubal flow hii twende sawa
@awadhirajabu7754
@awadhirajabu7754 5 жыл бұрын
Yani Wewe Mkuu Wa Kwanza Naona Uko Na Busala Wengine Yeye Kaz Kuiponda Serikali Unafikili Kama Yeye Kazaliwa Ulaya Badala Ya kutumia Elimu Yake Kutoa Mawazo Ya Kujenga Wao Wakiwazacho Kubomoa Tu AKili Zao Mbovu Kweli Wewe Mfano Kwa Wapiga Kelele
@samsonyonah2619
@samsonyonah2619 4 жыл бұрын
11179
@onesmosteven5673
@onesmosteven5673 5 жыл бұрын
Mzee nakukubali sana mh agry mwandri wewe kwanza ni mbunifu unatumia hekima kweli apo ni toronto
@elizabethdismas7660
@elizabethdismas7660 4 жыл бұрын
Naweka MB kwa ajili ya kuangalia Huyu mzee tu. Weka like tujuane
@emanuelmwakarata9721
@emanuelmwakarata9721 5 жыл бұрын
Uyu mkuu wa mkoa yuko vizuri sana mungu ampe maisha matefu
@ibrahimmaganga3429
@ibrahimmaganga3429 5 жыл бұрын
Kiukweli mmmmmmmh mungu humuongezea kweli kwenye hekima huongezewa hkima
@leonardp.bundala6989
@leonardp.bundala6989 5 жыл бұрын
Mungu akutunze uwe na maisha marefu pia mafanikio mema
@musatbobius5472
@musatbobius5472 5 жыл бұрын
Agrey Ni noma
@erickpaul9999
@erickpaul9999 5 жыл бұрын
Jamn huyu baba Mungu amlinde.. Amina!
@lydiathadeous6644
@lydiathadeous6644 5 жыл бұрын
😂😂😂😂🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾 THE BEST RC EVER KTK UONGOZI WA MH JPM
@matundukafwila7354
@matundukafwila7354 4 жыл бұрын
Mzee yupo vizur
@abelsabibi6192
@abelsabibi6192 5 жыл бұрын
Huyu RC wa Tabora no mfano wa kuigwa na viongozi wengine ktk taifa hili,ana kipaji cha kuelimisha wananchi na kuwashawishi kushiriki ktk shughuli za maendeleo ya mkoa.Hongera sna Mwanry.
@sultanvdeo4996
@sultanvdeo4996 5 жыл бұрын
Kumbe huwaga nayeye anacheka... safi sana kiongozi
@mrsmesia8568
@mrsmesia8568 5 жыл бұрын
hongera baba nakukubari sana
@moimashole992
@moimashole992 5 жыл бұрын
Dah hongera mkuu
@mathayolaizar8161
@mathayolaizar8161 5 жыл бұрын
Mwanry uko vizuri baba tunakukumbuka
@ibrahimagustino7891
@ibrahimagustino7891 4 жыл бұрын
Naomba mungu uhamishiwe mwanza safi san
@hagaieliya7942
@hagaieliya7942 5 жыл бұрын
Niliwahi kuwa nae tukizindua jengo la hospital ya polisi lilojengwa na the pool of Siloam Church tulikesha wote daah anampenda MUNGU kuliko jambo lingine, MUNGU BABA ambariki sana,
@tominowino
@tominowino 5 жыл бұрын
Kwa mara ya kwanza nimetumia data yangu nliyolipia kumsikiliza Mkuu wa mkoa usio wangu kwa dk. 19. He is smart.
@timothymgopa2740
@timothymgopa2740 5 жыл бұрын
sijawahi kuspend data yangu kusikiliza RC period,this guy is good
@kephasgembe9924
@kephasgembe9924 5 жыл бұрын
nakupenda sana Mh Mwanri,ubarikiwe sana tena mno
@sawanjema4889
@sawanjema4889 5 жыл бұрын
kwa mtazamo wangu naona ukuu wa mkoa haumtoshi ila angekuwa waziri wa nchi,mfano michezo tungecheza hata kombe LA dunia
@emmanuelkapaya1131
@emmanuelkapaya1131 5 жыл бұрын
Kabixa
@relaxmedia4934
@relaxmedia4934 5 жыл бұрын
Yaah awe WAZR wa michezo huyu ni zaidi ya jpm yaan kamzd jpm ubabe pia busara
@mohammedsalim6398
@mohammedsalim6398 5 жыл бұрын
Sawa Njema 😂 😂 Msanii Huyu
@mohammedsalim6398
@mohammedsalim6398 5 жыл бұрын
😂 😂 😂 siha walipata hasara kubwa kumkosa mwamri Kuwa mbunge Wao
@daniiboaa9337
@daniiboaa9337 5 жыл бұрын
Umezariwa Lin? Google CV yake
@vanrojaz8773
@vanrojaz8773 4 жыл бұрын
tunaotoka toronto..gonga like hp
@seniemmanuel763
@seniemmanuel763 5 жыл бұрын
najivunia sana kuwa mkuu wa mkoa mtendaji na mchapa kazi, TABORA stands up
@gideonredson7895
@gideonredson7895 5 жыл бұрын
Daaa hyu mkuu wa mkoa namfaham sana yuko poa toka akiwa mbunge wa siha anafanya poa
@maryammaram2612
@maryammaram2612 5 жыл бұрын
Dubai ndogo 😂😂😂😂 mashallah mkuu ubarikiwe
@iddykibosoro7970
@iddykibosoro7970 5 жыл бұрын
namkubali mkuu huyu mungu akuongoze ufike mbali
@kiptookomen4127
@kiptookomen4127 4 жыл бұрын
Tanzania ya Viwanda ndiyo hii. Inchi inanyooka BAM BAM!! Lengo V Mpango V Mkakati V Mbinu V Ushindi V BAM BAM!! Mkuu wa Mkoa Mwanri Chapa Kazi. 👍👍👍👍
@tharisilamacha6359
@tharisilamacha6359 5 жыл бұрын
wakuu Wa mikoa ndio huyu sio hawa wanaopiga siasa asante Baba kwa kuwa umemweka Mungu mbele utaweza na kufikia malengo.
@thobiasgodfrey9687
@thobiasgodfrey9687 5 жыл бұрын
Best RC nchi nzima more than .....konda
@publicadvisor6952
@publicadvisor6952 5 жыл бұрын
UONGOZI NIKIPAJI NA SIO WOTE WENYE HIKI KIPAJI
@emmanuelhemedy2564
@emmanuelhemedy2564 4 жыл бұрын
Salut
@petermwantole9433
@petermwantole9433 5 жыл бұрын
I do appreciate you Mh Mwanri ,, unajua kujenga hoja kiukweli hebu waamshe wana Tabora kiuchumi wanyanyuke...
@johnkihiyo5831
@johnkihiyo5831 5 жыл бұрын
Kutoka moyoni huyu ndo mkuu wa mkoa bora na anae jua nini anafanya Mungu mlinde baba huyu !
@musatbobius5472
@musatbobius5472 5 жыл бұрын
Wanatakiwa km Hawa Kila mkoa,ndio tutaenda kwa spidi Kali lkn tusipomtanguliza Mungu Mambo hayataenda ,Mambo mengine bila Mungu na maombi tusahau kubadilika,huku mbey nguvu nyingi saan badala ya hekima km Agrey,natamani kuhamia tabora
@wenslausmadinga9799
@wenslausmadinga9799 5 жыл бұрын
uongozi bora ni with kutoka kwa mungu
@tinamuller6942
@tinamuller6942 5 жыл бұрын
Wana Tabora km kwa juhudi hii ya mkuu wa mkoa tutashindwa kuendelea but tutakuwa tunamatizo yakujitakia maana Tabora wamezaliwa watu wenye akili. Pamoja tujenge Tabora yetu.
@felixkamkala3303
@felixkamkala3303 5 жыл бұрын
Safi sana Mkuu wa Mkoa
@pichabapa2201
@pichabapa2201 5 жыл бұрын
mwenzake yupo anakimbizana na Fiesta. Hongera zako Mhe.RC
@harunaabdallah309
@harunaabdallah309 5 жыл бұрын
Jamani MNA raha sana
@miriamulameck826
@miriamulameck826 4 жыл бұрын
Mungu mkuu na amubariki kwa kazi nzuri mheshimiwa aggrey mwanri na aendelee kumpa maisha marefu
@lucassalvatory7251
@lucassalvatory7251 5 жыл бұрын
Anaelekea kuwa PHILOSOPHER
Пранк пошел не по плану…🥲
00:59
Саша Квашеная
Рет қаралды 6 МЛН
MKUU WA MKOA TABORA, AGGREY MWANRI, ALIVYOONGEA KIINGEREZA.
5:26
"MZEE WA SUKUMA NDANI"  AJA NA MAPYA MBELE YA RAIS
4:53
KTV TZ ONLINE
Рет қаралды 43 М.
MBUNGE BWEGE: "Mnaua, Mnateka tu, Mlitaka Kuninunua nikakataa"
11:46
Global TV Online
Рет қаралды 750 М.
RC  MWANRI TENA: KAMATA  OFISA HUYU, SUKUMA NDANI!
7:06
Global TV Online
Рет қаралды 341 М.