Nakukubaali Mkuu waMkoa Tabora One' Good- hebu gonga LIKE kama unamkubali huyu Mutu.
@mwanahamishassunisaid56654 жыл бұрын
Sle
@sagayefamily51494 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa unafaa kuwa waziri wa mambo ya ndan, laa sivyo uhamishiwe hapa dar kumepwaya sana
@mainakamau56574 жыл бұрын
Twahitaji Kama yeye hapa kenya
@eliasikujua66504 жыл бұрын
Fadhili platnumz Ata mm namkubali Sana uyo
@babukongwee71863 жыл бұрын
sana...
@ringoaskali76254 жыл бұрын
Kama magufuri angepata viongozi 20 kama hawa dah tungefika mbali sana nakupenda sana mwanri unafanya kazi bila kuangalia sura safi sana mungu akupe nguvu na uhai ili upewe majukumu makubwa zaidi ya hayo ili ututete wanyonge
@salehaltooq58294 жыл бұрын
Ameena
@mustafahassan82864 жыл бұрын
AMIN
@florianarchard94514 жыл бұрын
Uyu mzeee bhana ni hatarii kanyoooosha maelezo briefly and clear but simple zaid sana message understood and accepted
@salimsaidjr.38944 жыл бұрын
King Rc tabora Mwenye ezimungu akujaalie Afya umri ili uzidi kututetea
@lothmoses84394 жыл бұрын
Comeooooòooooòooon
@hassansaid99254 жыл бұрын
Huyu mkuu wa mkoa anapandwaga na pumzi sana ila nimependa ana imigine feeling za maumivu wanayoyapata watu wa chini,, , very finee RC MWANRI👏👏👏👏👏
@beachgizaarea53704 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa wa tabora mungu akulinde napenda sana kazi yako nakupenda sana mungu akupe uhai mrefu
@lucymacha95783 жыл бұрын
Asante baba kwa kazi nzuri
@isakaally36414 жыл бұрын
Mwanri nakutabiria uwaziri wa mambo ya ndani ktk jina la Yesu pokea!
@robbsonmosha75574 жыл бұрын
Ameniii
@simionmaregesi97384 жыл бұрын
Kazi nzuri sana mkuu wa mkoa . Itakuwa vizuri kama mara hii ataletwa mkoa wa mara atunyooshe maan hakuna kinachofanyika uk
@OmanOman-gp7xm3 жыл бұрын
Safi mkuu tanzania tunatakiwa tupelekwe ivyo hongera mungekuwa kama kumi inchi ingehendelea
@saidinalmsofethatsgoodwaya64544 жыл бұрын
Front line kutatua kero za wananchi!Good job! My Mwanri tutakumiss Sana'a umewabadilisha Sana'a mind set za wanatabora!
@magynzioka11224 жыл бұрын
Nakupendanga bure unajua kazi yako unajali mwanaiji wa chini babu tulia uyu mkuu wa mkoa ni jembe 💘🔥🔥💪💫
@frankkaiza36584 жыл бұрын
Mungu akuweke mzee naomba nafasi yko hii ungekua cheo chajuu nchi hii adi raha bonge la kiongoziii god bless u...!!!!!
@frediricknandonde16904 жыл бұрын
Huyu mzee anafanya kazi vzr sana sio mkuu wangu mpenda sifa makondee
@libanjama81544 жыл бұрын
African people they, need leaders like this,
@twaibumikidadi73774 жыл бұрын
huuu utawala will never never be fogettable!
@suleimanmrisho93664 жыл бұрын
Exactly
@dhahajongo90494 жыл бұрын
Exactly brother
@hassanabdalla27414 жыл бұрын
Mm kazi yng kukata pembe wale wote wanaoota pembe!! Hongera sn RC Mwanri
@shufaaiddi10504 жыл бұрын
Mi Mwanri namkubali mia. Kwa mia. Good job
@nasrangayenda18534 жыл бұрын
Safi sana endelea kusimamia haki baba mungu azidi kukupa nguvu na afya njema RC
@emmanuelmosha31074 жыл бұрын
I like this man kwa kweli anapiga kazi. MUNGU azidi kumpa hekima
@sadockalfred67504 жыл бұрын
Yaan huyu kiongoz nampenda kwa hekima na busara zake anavyozitumia kwenye uongoz wake bila kumwonea mtu yeyote aise nakuombea kwa Mungu akupandishe zaidi ya hapo
@salehaltooq58294 жыл бұрын
Ameen
@sweetmama68854 жыл бұрын
Mzee Mwanri oyeeeeeee. Oyeeeee....! I ❤ you mpenzi. 😁
nakukubali mkuu big up natamani ungekuwa mkuu wa mkoa wa dsm
@shedrackjohn59343 жыл бұрын
You have any other questions
@kingcopper_tz4 жыл бұрын
Mzee anapga kaz kichizi, come on meeeeen
@mgasa_tz55273 жыл бұрын
😆😆😆
@sengeremaxleo92954 жыл бұрын
We need more leaders like this man
@bibletv98184 жыл бұрын
Hii ndiyo maana tunampenda sana Mhe. Rais John Pombe Magufuli. Je, tunadhani kwamba nje ya uwepo wa Mhe. JPM wanyonge hawa wangesikilizwa. Tanzania tuliishafika mahali pa kila mwenye ndevu kugeuka baba wa familia. Asante Mungu kwa kutujalia uongozi unaojali maisha ya wanyonge. Mimi suala la nani sijui yupi kapotea kwangu si tatizo kubwa. Maana ya usalama wa nchi ni pana, na ndiyo maana inapojitokeza mtu anataka kutuharibia usalama wa nchi, hekima na busara zinapaswa kutuongoza kumharibu yeye ili kusalimisha maisha ya wengi. Vinginevyo napongeza sana juhudi zinazofanywa kuhakikisha Tanzania inafanyika ya Watanzania badala ya kufanyika ya akina fulani tu.
@alexkabeho56094 жыл бұрын
Hatujawai skia, mwenye hera zake ndo alikua na ruksa ya kuishi peke, wengine ni kupigwa mapanga hivo kama mifugo
@jumaaiddy69334 жыл бұрын
Mkuu mwanri Tabora, wewe ni zao bora sana la Rais Magufuli unafanya kazi nzuri sana sana mikoa.yote ingekuwa hivi nchi yetu ingezidi kuwa nzuri sana aisee,Rais muangalie sana huyu mkuu
@isayakalafya58654 жыл бұрын
Mungu akulinde na akupe maisha marefu
@mohamedirajabu74054 жыл бұрын
Nakubali mkuu wa mkoa wa tabora sana natamani Aje Dar es salaam mkuu wa mkoa wa Dar Aende tabora
@barakamakabara35574 жыл бұрын
Mzee wa Tolonto kazi njemaa mkuu.... Mungu mwema atakuwa pamoja nawe!
@jambostaamringa94904 жыл бұрын
Uyu mzee kaeleza alivo maliza ujumbe umesha fika anataka kusema sema anajua Sana kujieleza na uyu mkuu wa mkoa ndo atakua mkuu wa mkoa bora kbsa 🙏🏾
@juliaayieta25784 жыл бұрын
Mzee umeelezea vizuri 💪💪💪
@woissobb41844 жыл бұрын
👏👏👏👏
@buthaymaahmad5574 жыл бұрын
Nilikuwa nimejaa roho mtakatifu lkn roho anisamehe mmeniudhi Sana 😂😂💪
@chibothedon5674 жыл бұрын
sukuma ndan aisee nampenda sana agrei kwa uongoz wake
@ramadhanikibenga63174 жыл бұрын
Mzee wa Toronto very good
@eliasjillanga31584 жыл бұрын
Tbr kweli mmelamba dume Nampenda sana huyu jamaa🙏🏻🙏🏻
@mkapaliberatus27744 жыл бұрын
Isee mwanry namkubal sana mzee anachaoa kaz
@samuelfilmessimon40462 жыл бұрын
Baba hongera sana kwa kutetea wanyonge
@kimambomedia77664 жыл бұрын
Ayo nakukubali sana habari zako ni za kweli na za haraka by Kimambo kibo ubungo
@meddy_upette95114 жыл бұрын
😁😁😁 sema polisi kanifurahisha sana kanywea ile mbaya
@berthamakortha83874 жыл бұрын
Asante. Wawekwe ndanii haswaa ni wauwaji haoo
@ivanymtaki35854 жыл бұрын
Kama umewaona jamaa wameshikilia bango lisianguke weka like
@mu-crzymahez92294 жыл бұрын
no kudondok hiloo
@hamissmaganga98594 жыл бұрын
Come on men
@eugenmgaya66234 жыл бұрын
Hongera sana mkuu wa mkoa !
@sweetbertvahaye14824 жыл бұрын
My Role model....
@ignasiissaya17183 жыл бұрын
Mama samia mrudishe huyu mtu mchapa kazi sana huyu!!.watu kama hawa hawatakiwi kukaa hv hv taifa linawaitajii
@dottokulwa70754 жыл бұрын
Duuh muheshimwa hongela kwakusaidia wanyonge
@sharonke74424 жыл бұрын
This man is leader and a comedian too😂😂😂ningekuwa mtanzania ningempa kura zote
@paulmaziku2404 жыл бұрын
Aliyesikia..."kaa hapo hapo..mpigieni makofi..! Gonga like twende pamoja...!
@hassansaid99254 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀nimecheka sana
@paulmaziku2404 жыл бұрын
@@hassansaid9925 RC Mwanri anamikwara sana..
@hassansaid99254 жыл бұрын
@@paulmaziku240 tena saaaana ila nampenda anapiga kazi kwakweli
@peterkaombwe6251 Жыл бұрын
Mama tunakuomba mtulidishie mwanly wetu tabora aendelee kuinyosha na kuipiga msasa
@khadijaomar84274 жыл бұрын
Mzee anajua kujieleza
@mushrifumbotoni70104 жыл бұрын
Sawa
@mauldhamza96314 жыл бұрын
Kabisa
@khadijaomari93444 жыл бұрын
kabisa
@khadijaomari93444 жыл бұрын
mambo wajina😍😍
@ibrahimbakar6224 жыл бұрын
Wewe je?
@noxlosingida23694 жыл бұрын
Engineer ngapi hapo soma Mita. Sukuma ndani🤣🤣hao
@arakazakinglight42534 жыл бұрын
😂😂😂😂😂🇧🇮
@theresiajames75744 жыл бұрын
Yaani huyu mkuu WA mkoa namkubaliii...
@zulekhaally35244 жыл бұрын
😂😂😂😂😂Katapembe Katapembe katakatakata dondosha chiniii🤣🤣🙌🙌wacha kabisa iyo kituuu
@neziafranc34224 жыл бұрын
Hahahaha kata pembe zote
@abdul-rahmanfakijuma18793 жыл бұрын
Mzee uko sawa nakukubali Allwah akupe nguvu
@ahmedissa78822 жыл бұрын
Nimefurahi sana Mama kwa kurudisha
@faredamobilo36782 жыл бұрын
YES TRUE ,THATS GOOD 👍, HESHIMA NAOVR ETC YANI UTU NA P9A ASANTE BW.MKOA DOLEE!
@methewmigodela42114 жыл бұрын
Mungu awalinde viongozi kama Hawa hakika ni wazarendo sana people needed by JPM
@charlesnyabori76694 жыл бұрын
Kuna mtu kala bango nani kaona😂😂😂😂dah had wameniaribia concentration
@hemedbacco47194 жыл бұрын
Nimeona 😂😂
@revocutuswillibard68544 жыл бұрын
Mi nasomaga comment kwanza 😂😂😂😂
@مارثاتنزانيا4 жыл бұрын
Kumbe upo kama mimi
@julytito38914 жыл бұрын
Kumekuchaaaaa🤣🤣🤣😂😂😂 Kumekuchaaaa🚶🏿♀🚶🏿♀🚶🏿♀🚶🏿♀kwl uongoz huu wa awamu ya tano nauvulia kofia na viatu pia acha nipekue tu 😂😂😂
@seremalatznaaustralia14624 жыл бұрын
😁😁😁😁😁 khaaa aisee ata mimi napekua nawewe wai. Ni shida watu hawahemi.
@neemamayco32384 жыл бұрын
Tena tabora ni hatar sana
@noxlosingida23694 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣angali miba isikuchome miguuni
@khadijaomari93444 жыл бұрын
ili jembe kweli
@julytito38914 жыл бұрын
@@noxlosingida2369 😅😅😅sawaa
@radhiasalum71564 жыл бұрын
Nakupenda Sana baba yani wanafugaji wanaboa
@mirzah1172 жыл бұрын
Mungu ambariki huyu mzee mwanri
@cleofasnyoni38364 жыл бұрын
Mwanri Mwanri nkukubl sana unafundsha kitu fln
@godlovemrosso59734 жыл бұрын
Baaah Mzee Mwanri ww urudi tuu nyumbani siha au mkuu akuchague urudi K/manjaro unyooshe huu mkoa na maendeleo yawepo kama kipindi ulichokuwa parliamentary,Sanya Naibil ngaritati kidire mpaka leo hakuna lami Mungu akuongoze baba mkuu wa mkoa
@sweetestgospelmelodies57234 жыл бұрын
Mimi hapa leo nimekuja roho mtakatifu sasa hapa roho mtakatifu anisamehe ahahah mzee chapa kazi
@hassansaid99254 жыл бұрын
Mimi kazi yangu kama kuna mtu anaota pembe nakata kata pembe zote naweka chini afu nione😀😀😀😀😀😀
@vivarealrapper43444 жыл бұрын
Sukuma ndani
@kingcopper_tz4 жыл бұрын
4:27 si mnasikia wananchi wanapiga makofi? Maana ake watu WANAOLEWA hapa 😂
@rayasaid40994 жыл бұрын
😂 😂 😂
@nelkaslydie41044 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@HASASON4 жыл бұрын
Wanaonewa 😂
@kingcopper_tz4 жыл бұрын
@@HASASON alichapia 😂😂
@josephalbano23244 жыл бұрын
Daah aisee 😂😂
@harounplaurent83594 жыл бұрын
😂😂😂😂 mtendaji katenda nini 😂 ila huyu mama ndo angekua anamjibu #chuma sijui2😅😅😅😅
@Thuon_2 жыл бұрын
Nampenda sana huyu jogoo.
@abdulmembe23494 жыл бұрын
Baba angu mwanri juwa fika mwanao na enjoy uwepo wako Sana baba angu hahahaha noma
@mohammedshaaban95094 жыл бұрын
Huyu ndio RC bora kwangu katika serikali ya awamu ya tano Aggrey mwanri🙏🙏
@abdulimalikhamadi10784 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa nimekuelewa leo vizur sana juz kwenye ujenzi nilifrah sana
@ahmedathman16242 жыл бұрын
This is man does what magu did during his time...
@jumandutu22754 жыл бұрын
Hahahahaaa sio sir huyu baba huwa ananitoa stress na misemo yake 😂😂😂 come on men'
@dyanatanz65744 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀kata pembe. Mumehongwa shingap daaa kuzaa laha jaman. Mama ako kawaletea wananchi zawad kutoka kwa Mungu
@kekiplus1andonly4 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏mkuu wa mkoa kwenye ubora wake
@kekiplus1andonly4 жыл бұрын
Na mzee anajua kujieleza hatareeee...
@kekiplus1andonly4 жыл бұрын
Wazee hawatakiwi kuonewa jamani...tuangalie na nafasi,mzee hawezi kujitetea ila isiwe kigezo cha kuonewa
@kingcopper_tz4 жыл бұрын
Mama yangu aliniambia hv, utavuna ulichopanda
@saidbabu91984 жыл бұрын
Rais wetu kila uteuzi wako mwingi wa viongozi wa hii awamu kweli mkono wa Mungu upo nawe. Wengi wamekuwa chaguo lenye imani kwa watu.Mungu azidi kukupa mwelekeo ambao unatumia kuwapata hawa viongozi wenye dhati ya kweli, kweli intai faraja Toka nimezaliwa kuona ukweli wa viongozi kufanya kazi nikweli.Mungu awe nanyi na sisi sote.
@alexkabeho56094 жыл бұрын
Jamani umesema ukweli
@lulually52093 жыл бұрын
Come on men 😄😄😄 nimecheka kwa sauti huyo ndio mh mwanri wataisoma namba shenzi kabisa
@abdulkillya26554 жыл бұрын
Kaa hapo hapo, pigeni makofi 😂😂😂😂😂
@kingcopper_tz4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@hjhj62304 жыл бұрын
😃😃😃kamata sukuma ndani 😃😃😃
@angelgerald15614 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@rukiamohammed50314 жыл бұрын
🤣🤣🤣Nimecheka kwa nguvu
@mu-crzymahez92294 жыл бұрын
hhhhhh
@vivarealrapper43444 жыл бұрын
Mzee ameuwasha moto vizur sana
@shabanidigalu5664 жыл бұрын
Next prime minister
@chiefog13434 жыл бұрын
Pigaaa kaziii mzeee
@anonymouse39932 жыл бұрын
Nice mwar
@elizabethdismas76604 жыл бұрын
Jamani nimempenda Sana Huyu kiongoza kWA kutetea mkoa wake na Watu wake,
@hassanmkungile60214 жыл бұрын
Jembeee namkubali sana uyu mzee
@jacobmbogella90274 жыл бұрын
Aliye ona bango limedondoka twende wote hapa
@bienvemwami67684 жыл бұрын
bring this man to goma (Drc) he is the best
@isayakalafya58654 жыл бұрын
Kama unamuombea mema kiongozi huyu like
@geembwana6189Ай бұрын
Mama Samia ningeomba kama mimi mwana inchi wako mwema mrudishe huyu Mzee kwenye uwongozi tafadhari 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@ummuadam24234 жыл бұрын
Ukizubaaa wataku Tia mkenge Hao, mkuu💪💪
@muasewamukadogo18462 жыл бұрын
Dah huyu mwanli angeendelea dah safi sana
@ahmadjuma38164 жыл бұрын
Babu leo kafukuwa makaburi ,acha kabisa hiyo kitu sukuma ndani
@chiefog13434 жыл бұрын
Pigaaaa kaziii mzee sukumaaa ote ndaniii😁😁😁
@marcondokeji89824 жыл бұрын
Asante kiogozi wetu.
@sophiasophia69454 жыл бұрын
Mungu wangu kwa nini huyu baba asingekuwa mkuu wa mkoa Manyara? Maana huko kuna uozo utasema siyo Tanzania