MWANRI KAWASHA MOTO MZEE KAONEWA "COME ON MEN, BABU TULIA NITAKULINDA, AGIZA VYOMBO KAMATA WOTE"

  Рет қаралды 528,090

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 421
@fadhilplatnumz6209
@fadhilplatnumz6209 4 жыл бұрын
Nakukubaali Mkuu waMkoa Tabora One' Good- hebu gonga LIKE kama unamkubali huyu Mutu.
@mwanahamishassunisaid5665
@mwanahamishassunisaid5665 4 жыл бұрын
Sle
@sagayefamily5149
@sagayefamily5149 4 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa unafaa kuwa waziri wa mambo ya ndan, laa sivyo uhamishiwe hapa dar kumepwaya sana
@mainakamau5657
@mainakamau5657 4 жыл бұрын
Twahitaji Kama yeye hapa kenya
@eliasikujua6650
@eliasikujua6650 4 жыл бұрын
Fadhili platnumz Ata mm namkubali Sana uyo
@babukongwee7186
@babukongwee7186 3 жыл бұрын
sana...
@ringoaskali7625
@ringoaskali7625 4 жыл бұрын
Kama magufuri angepata viongozi 20 kama hawa dah tungefika mbali sana nakupenda sana mwanri unafanya kazi bila kuangalia sura safi sana mungu akupe nguvu na uhai ili upewe majukumu makubwa zaidi ya hayo ili ututete wanyonge
@salehaltooq5829
@salehaltooq5829 4 жыл бұрын
Ameena
@mustafahassan8286
@mustafahassan8286 4 жыл бұрын
AMIN
@florianarchard9451
@florianarchard9451 4 жыл бұрын
Uyu mzeee bhana ni hatarii kanyoooosha maelezo briefly and clear but simple zaid sana message understood and accepted
@salimsaidjr.3894
@salimsaidjr.3894 4 жыл бұрын
King Rc tabora Mwenye ezimungu akujaalie Afya umri ili uzidi kututetea
@lothmoses8439
@lothmoses8439 4 жыл бұрын
Comeooooòooooòooon
@hassansaid9925
@hassansaid9925 4 жыл бұрын
Huyu mkuu wa mkoa anapandwaga na pumzi sana ila nimependa ana imigine feeling za maumivu wanayoyapata watu wa chini,, , very finee RC MWANRI👏👏👏👏👏
@beachgizaarea5370
@beachgizaarea5370 4 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa wa tabora mungu akulinde napenda sana kazi yako nakupenda sana mungu akupe uhai mrefu
@lucymacha9578
@lucymacha9578 3 жыл бұрын
Asante baba kwa kazi nzuri
@isakaally3641
@isakaally3641 4 жыл бұрын
Mwanri nakutabiria uwaziri wa mambo ya ndani ktk jina la Yesu pokea!
@robbsonmosha7557
@robbsonmosha7557 4 жыл бұрын
Ameniii
@simionmaregesi9738
@simionmaregesi9738 4 жыл бұрын
Kazi nzuri sana mkuu wa mkoa . Itakuwa vizuri kama mara hii ataletwa mkoa wa mara atunyooshe maan hakuna kinachofanyika uk
@OmanOman-gp7xm
@OmanOman-gp7xm 3 жыл бұрын
Safi mkuu tanzania tunatakiwa tupelekwe ivyo hongera mungekuwa kama kumi inchi ingehendelea
@saidinalmsofethatsgoodwaya6454
@saidinalmsofethatsgoodwaya6454 4 жыл бұрын
Front line kutatua kero za wananchi!Good job! My Mwanri tutakumiss Sana'a umewabadilisha Sana'a mind set za wanatabora!
@magynzioka1122
@magynzioka1122 4 жыл бұрын
Nakupendanga bure unajua kazi yako unajali mwanaiji wa chini babu tulia uyu mkuu wa mkoa ni jembe 💘🔥🔥💪💫
@frankkaiza3658
@frankkaiza3658 4 жыл бұрын
Mungu akuweke mzee naomba nafasi yko hii ungekua cheo chajuu nchi hii adi raha bonge la kiongoziii god bless u...!!!!!
@frediricknandonde1690
@frediricknandonde1690 4 жыл бұрын
Huyu mzee anafanya kazi vzr sana sio mkuu wangu mpenda sifa makondee
@libanjama8154
@libanjama8154 4 жыл бұрын
African people they, need leaders like this,
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 4 жыл бұрын
huuu utawala will never never be fogettable!
@suleimanmrisho9366
@suleimanmrisho9366 4 жыл бұрын
Exactly
@dhahajongo9049
@dhahajongo9049 4 жыл бұрын
Exactly brother
@hassanabdalla2741
@hassanabdalla2741 4 жыл бұрын
Mm kazi yng kukata pembe wale wote wanaoota pembe!! Hongera sn RC Mwanri
@shufaaiddi1050
@shufaaiddi1050 4 жыл бұрын
Mi Mwanri namkubali mia. Kwa mia. Good job
@nasrangayenda1853
@nasrangayenda1853 4 жыл бұрын
Safi sana endelea kusimamia haki baba mungu azidi kukupa nguvu na afya njema RC
@emmanuelmosha3107
@emmanuelmosha3107 4 жыл бұрын
I like this man kwa kweli anapiga kazi. MUNGU azidi kumpa hekima
@sadockalfred6750
@sadockalfred6750 4 жыл бұрын
Yaan huyu kiongoz nampenda kwa hekima na busara zake anavyozitumia kwenye uongoz wake bila kumwonea mtu yeyote aise nakuombea kwa Mungu akupandishe zaidi ya hapo
@salehaltooq5829
@salehaltooq5829 4 жыл бұрын
Ameen
@sweetmama6885
@sweetmama6885 4 жыл бұрын
Mzee Mwanri oyeeeeeee. Oyeeeee....! I ❤ you mpenzi. 😁
@jumannemwakalinga2586
@jumannemwakalinga2586 Жыл бұрын
Mh Mwanri, clips zako nazifuatilia sana. Nimeenda Tabora juzi kweli Toronto yako inapendeza sana!
@kadogoomushadi5409
@kadogoomushadi5409 4 жыл бұрын
Ubarikiwe mkuu nimefarijika nautendaji wakoo
@mbotwambotwa2186
@mbotwambotwa2186 3 жыл бұрын
Hongera sana tutakumiss tu
@hishamally4846
@hishamally4846 4 жыл бұрын
Yupo vizuri kazi nzuri hongera mkuu
@paiwanjara3502
@paiwanjara3502 4 жыл бұрын
nakukubali mkuu big up natamani ungekuwa mkuu wa mkoa wa dsm
@shedrackjohn5934
@shedrackjohn5934 3 жыл бұрын
You have any other questions
@kingcopper_tz
@kingcopper_tz 4 жыл бұрын
Mzee anapga kaz kichizi, come on meeeeen
@mgasa_tz5527
@mgasa_tz5527 3 жыл бұрын
😆😆😆
@sengeremaxleo9295
@sengeremaxleo9295 4 жыл бұрын
We need more leaders like this man
@bibletv9818
@bibletv9818 4 жыл бұрын
Hii ndiyo maana tunampenda sana Mhe. Rais John Pombe Magufuli. Je, tunadhani kwamba nje ya uwepo wa Mhe. JPM wanyonge hawa wangesikilizwa. Tanzania tuliishafika mahali pa kila mwenye ndevu kugeuka baba wa familia. Asante Mungu kwa kutujalia uongozi unaojali maisha ya wanyonge. Mimi suala la nani sijui yupi kapotea kwangu si tatizo kubwa. Maana ya usalama wa nchi ni pana, na ndiyo maana inapojitokeza mtu anataka kutuharibia usalama wa nchi, hekima na busara zinapaswa kutuongoza kumharibu yeye ili kusalimisha maisha ya wengi. Vinginevyo napongeza sana juhudi zinazofanywa kuhakikisha Tanzania inafanyika ya Watanzania badala ya kufanyika ya akina fulani tu.
@alexkabeho5609
@alexkabeho5609 4 жыл бұрын
Hatujawai skia, mwenye hera zake ndo alikua na ruksa ya kuishi peke, wengine ni kupigwa mapanga hivo kama mifugo
@jumaaiddy6933
@jumaaiddy6933 4 жыл бұрын
Mkuu mwanri Tabora, wewe ni zao bora sana la Rais Magufuli unafanya kazi nzuri sana sana mikoa.yote ingekuwa hivi nchi yetu ingezidi kuwa nzuri sana aisee,Rais muangalie sana huyu mkuu
@isayakalafya5865
@isayakalafya5865 4 жыл бұрын
Mungu akulinde na akupe maisha marefu
@mohamedirajabu7405
@mohamedirajabu7405 4 жыл бұрын
Nakubali mkuu wa mkoa wa tabora sana natamani Aje Dar es salaam mkuu wa mkoa wa Dar Aende tabora
@barakamakabara3557
@barakamakabara3557 4 жыл бұрын
Mzee wa Tolonto kazi njemaa mkuu.... Mungu mwema atakuwa pamoja nawe!
@jambostaamringa9490
@jambostaamringa9490 4 жыл бұрын
Uyu mzee kaeleza alivo maliza ujumbe umesha fika anataka kusema sema anajua Sana kujieleza na uyu mkuu wa mkoa ndo atakua mkuu wa mkoa bora kbsa 🙏🏾
@juliaayieta2578
@juliaayieta2578 4 жыл бұрын
Mzee umeelezea vizuri 💪💪💪
@woissobb4184
@woissobb4184 4 жыл бұрын
👏👏👏👏
@buthaymaahmad557
@buthaymaahmad557 4 жыл бұрын
Nilikuwa nimejaa roho mtakatifu lkn roho anisamehe mmeniudhi Sana 😂😂💪
@chibothedon567
@chibothedon567 4 жыл бұрын
sukuma ndan aisee nampenda sana agrei kwa uongoz wake
@ramadhanikibenga6317
@ramadhanikibenga6317 4 жыл бұрын
Mzee wa Toronto very good
@eliasjillanga3158
@eliasjillanga3158 4 жыл бұрын
Tbr kweli mmelamba dume Nampenda sana huyu jamaa🙏🏻🙏🏻
@mkapaliberatus2774
@mkapaliberatus2774 4 жыл бұрын
Isee mwanry namkubal sana mzee anachaoa kaz
@samuelfilmessimon4046
@samuelfilmessimon4046 2 жыл бұрын
Baba hongera sana kwa kutetea wanyonge
@kimambomedia7766
@kimambomedia7766 4 жыл бұрын
Ayo nakukubali sana habari zako ni za kweli na za haraka by Kimambo kibo ubungo
@meddy_upette9511
@meddy_upette9511 4 жыл бұрын
😁😁😁 sema polisi kanifurahisha sana kanywea ile mbaya
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 4 жыл бұрын
Asante. Wawekwe ndanii haswaa ni wauwaji haoo
@ivanymtaki3585
@ivanymtaki3585 4 жыл бұрын
Kama umewaona jamaa wameshikilia bango lisianguke weka like
@mu-crzymahez9229
@mu-crzymahez9229 4 жыл бұрын
no kudondok hiloo
@hamissmaganga9859
@hamissmaganga9859 4 жыл бұрын
Come on men
@eugenmgaya6623
@eugenmgaya6623 4 жыл бұрын
Hongera sana mkuu wa mkoa !
@sweetbertvahaye1482
@sweetbertvahaye1482 4 жыл бұрын
My Role model....
@ignasiissaya1718
@ignasiissaya1718 3 жыл бұрын
Mama samia mrudishe huyu mtu mchapa kazi sana huyu!!.watu kama hawa hawatakiwi kukaa hv hv taifa linawaitajii
@dottokulwa7075
@dottokulwa7075 4 жыл бұрын
Duuh muheshimwa hongela kwakusaidia wanyonge
@sharonke7442
@sharonke7442 4 жыл бұрын
This man is leader and a comedian too😂😂😂ningekuwa mtanzania ningempa kura zote
@paulmaziku240
@paulmaziku240 4 жыл бұрын
Aliyesikia..."kaa hapo hapo..mpigieni makofi..! Gonga like twende pamoja...!
@hassansaid9925
@hassansaid9925 4 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀nimecheka sana
@paulmaziku240
@paulmaziku240 4 жыл бұрын
@@hassansaid9925 RC Mwanri anamikwara sana..
@hassansaid9925
@hassansaid9925 4 жыл бұрын
@@paulmaziku240 tena saaaana ila nampenda anapiga kazi kwakweli
@peterkaombwe6251
@peterkaombwe6251 Жыл бұрын
Mama tunakuomba mtulidishie mwanly wetu tabora aendelee kuinyosha na kuipiga msasa
@khadijaomar8427
@khadijaomar8427 4 жыл бұрын
Mzee anajua kujieleza
@mushrifumbotoni7010
@mushrifumbotoni7010 4 жыл бұрын
Sawa
@mauldhamza9631
@mauldhamza9631 4 жыл бұрын
Kabisa
@khadijaomari9344
@khadijaomari9344 4 жыл бұрын
kabisa
@khadijaomari9344
@khadijaomari9344 4 жыл бұрын
mambo wajina😍😍
@ibrahimbakar622
@ibrahimbakar622 4 жыл бұрын
Wewe je?
@noxlosingida2369
@noxlosingida2369 4 жыл бұрын
Engineer ngapi hapo soma Mita. Sukuma ndani🤣🤣hao
@arakazakinglight4253
@arakazakinglight4253 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂🇧🇮
@theresiajames7574
@theresiajames7574 4 жыл бұрын
Yaani huyu mkuu WA mkoa namkubaliii...
@zulekhaally3524
@zulekhaally3524 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂Katapembe Katapembe katakatakata dondosha chiniii🤣🤣🙌🙌wacha kabisa iyo kituuu
@neziafranc3422
@neziafranc3422 4 жыл бұрын
Hahahaha kata pembe zote
@abdul-rahmanfakijuma1879
@abdul-rahmanfakijuma1879 3 жыл бұрын
Mzee uko sawa nakukubali Allwah akupe nguvu
@ahmedissa7882
@ahmedissa7882 2 жыл бұрын
Nimefurahi sana Mama kwa kurudisha
@faredamobilo3678
@faredamobilo3678 2 жыл бұрын
YES TRUE ,THATS GOOD 👍, HESHIMA NAOVR ETC YANI UTU NA P9A ASANTE BW.MKOA DOLEE!
@methewmigodela4211
@methewmigodela4211 4 жыл бұрын
Mungu awalinde viongozi kama Hawa hakika ni wazarendo sana people needed by JPM
@charlesnyabori7669
@charlesnyabori7669 4 жыл бұрын
Kuna mtu kala bango nani kaona😂😂😂😂dah had wameniaribia concentration
@hemedbacco4719
@hemedbacco4719 4 жыл бұрын
Nimeona 😂😂
@revocutuswillibard6854
@revocutuswillibard6854 4 жыл бұрын
Mi nasomaga comment kwanza 😂😂😂😂
@مارثاتنزانيا
@مارثاتنزانيا 4 жыл бұрын
Kumbe upo kama mimi
@julytito3891
@julytito3891 4 жыл бұрын
Kumekuchaaaaa🤣🤣🤣😂😂😂 Kumekuchaaaa🚶🏿‍♀🚶🏿‍♀🚶🏿‍♀🚶🏿‍♀kwl uongoz huu wa awamu ya tano nauvulia kofia na viatu pia acha nipekue tu 😂😂😂
@seremalatznaaustralia1462
@seremalatznaaustralia1462 4 жыл бұрын
😁😁😁😁😁 khaaa aisee ata mimi napekua nawewe wai. Ni shida watu hawahemi.
@neemamayco3238
@neemamayco3238 4 жыл бұрын
Tena tabora ni hatar sana
@noxlosingida2369
@noxlosingida2369 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣angali miba isikuchome miguuni
@khadijaomari9344
@khadijaomari9344 4 жыл бұрын
ili jembe kweli
@julytito3891
@julytito3891 4 жыл бұрын
@@noxlosingida2369 😅😅😅sawaa
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 4 жыл бұрын
Nakupenda Sana baba yani wanafugaji wanaboa
@mirzah117
@mirzah117 2 жыл бұрын
Mungu ambariki huyu mzee mwanri
@cleofasnyoni3836
@cleofasnyoni3836 4 жыл бұрын
Mwanri Mwanri nkukubl sana unafundsha kitu fln
@godlovemrosso5973
@godlovemrosso5973 4 жыл бұрын
Baaah Mzee Mwanri ww urudi tuu nyumbani siha au mkuu akuchague urudi K/manjaro unyooshe huu mkoa na maendeleo yawepo kama kipindi ulichokuwa parliamentary,Sanya Naibil ngaritati kidire mpaka leo hakuna lami Mungu akuongoze baba mkuu wa mkoa
@sweetestgospelmelodies5723
@sweetestgospelmelodies5723 4 жыл бұрын
Mimi hapa leo nimekuja roho mtakatifu sasa hapa roho mtakatifu anisamehe ahahah mzee chapa kazi
@hassansaid9925
@hassansaid9925 4 жыл бұрын
Mimi kazi yangu kama kuna mtu anaota pembe nakata kata pembe zote naweka chini afu nione😀😀😀😀😀😀
@vivarealrapper4344
@vivarealrapper4344 4 жыл бұрын
Sukuma ndani
@kingcopper_tz
@kingcopper_tz 4 жыл бұрын
4:27 si mnasikia wananchi wanapiga makofi? Maana ake watu WANAOLEWA hapa 😂
@rayasaid4099
@rayasaid4099 4 жыл бұрын
😂 😂 😂
@nelkaslydie4104
@nelkaslydie4104 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@HASASON
@HASASON 4 жыл бұрын
Wanaonewa 😂
@kingcopper_tz
@kingcopper_tz 4 жыл бұрын
@@HASASON alichapia 😂😂
@josephalbano2324
@josephalbano2324 4 жыл бұрын
Daah aisee 😂😂
@harounplaurent8359
@harounplaurent8359 4 жыл бұрын
😂😂😂😂 mtendaji katenda nini 😂 ila huyu mama ndo angekua anamjibu #chuma sijui2😅😅😅😅
@Thuon_
@Thuon_ 2 жыл бұрын
Nampenda sana huyu jogoo.
@abdulmembe2349
@abdulmembe2349 4 жыл бұрын
Baba angu mwanri juwa fika mwanao na enjoy uwepo wako Sana baba angu hahahaha noma
@mohammedshaaban9509
@mohammedshaaban9509 4 жыл бұрын
Huyu ndio RC bora kwangu katika serikali ya awamu ya tano Aggrey mwanri🙏🙏
@abdulimalikhamadi1078
@abdulimalikhamadi1078 4 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa nimekuelewa leo vizur sana juz kwenye ujenzi nilifrah sana
@ahmedathman1624
@ahmedathman1624 2 жыл бұрын
This is man does what magu did during his time...
@jumandutu2275
@jumandutu2275 4 жыл бұрын
Hahahahaaa sio sir huyu baba huwa ananitoa stress na misemo yake 😂😂😂 come on men'
@dyanatanz6574
@dyanatanz6574 4 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀kata pembe. Mumehongwa shingap daaa kuzaa laha jaman. Mama ako kawaletea wananchi zawad kutoka kwa Mungu
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 4 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏mkuu wa mkoa kwenye ubora wake
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 4 жыл бұрын
Na mzee anajua kujieleza hatareeee...
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 4 жыл бұрын
Wazee hawatakiwi kuonewa jamani...tuangalie na nafasi,mzee hawezi kujitetea ila isiwe kigezo cha kuonewa
@kingcopper_tz
@kingcopper_tz 4 жыл бұрын
Mama yangu aliniambia hv, utavuna ulichopanda
@saidbabu9198
@saidbabu9198 4 жыл бұрын
Rais wetu kila uteuzi wako mwingi wa viongozi wa hii awamu kweli mkono wa Mungu upo nawe. Wengi wamekuwa chaguo lenye imani kwa watu.Mungu azidi kukupa mwelekeo ambao unatumia kuwapata hawa viongozi wenye dhati ya kweli, kweli intai faraja Toka nimezaliwa kuona ukweli wa viongozi kufanya kazi nikweli.Mungu awe nanyi na sisi sote.
@alexkabeho5609
@alexkabeho5609 4 жыл бұрын
Jamani umesema ukweli
@lulually5209
@lulually5209 3 жыл бұрын
Come on men 😄😄😄 nimecheka kwa sauti huyo ndio mh mwanri wataisoma namba shenzi kabisa
@abdulkillya2655
@abdulkillya2655 4 жыл бұрын
Kaa hapo hapo, pigeni makofi 😂😂😂😂😂
@kingcopper_tz
@kingcopper_tz 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@hjhj6230
@hjhj6230 4 жыл бұрын
😃😃😃kamata sukuma ndani 😃😃😃
@angelgerald1561
@angelgerald1561 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@rukiamohammed5031
@rukiamohammed5031 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣Nimecheka kwa nguvu
@mu-crzymahez9229
@mu-crzymahez9229 4 жыл бұрын
hhhhhh
@vivarealrapper4344
@vivarealrapper4344 4 жыл бұрын
Mzee ameuwasha moto vizur sana
@shabanidigalu566
@shabanidigalu566 4 жыл бұрын
Next prime minister
@chiefog1343
@chiefog1343 4 жыл бұрын
Pigaaa kaziii mzeee
@anonymouse3993
@anonymouse3993 2 жыл бұрын
Nice mwar
@elizabethdismas7660
@elizabethdismas7660 4 жыл бұрын
Jamani nimempenda Sana Huyu kiongoza kWA kutetea mkoa wake na Watu wake,
@hassanmkungile6021
@hassanmkungile6021 4 жыл бұрын
Jembeee namkubali sana uyu mzee
@jacobmbogella9027
@jacobmbogella9027 4 жыл бұрын
Aliye ona bango limedondoka twende wote hapa
@bienvemwami6768
@bienvemwami6768 4 жыл бұрын
bring this man to goma (Drc) he is the best
@isayakalafya5865
@isayakalafya5865 4 жыл бұрын
Kama unamuombea mema kiongozi huyu like
@geembwana6189
@geembwana6189 Ай бұрын
Mama Samia ningeomba kama mimi mwana inchi wako mwema mrudishe huyu Mzee kwenye uwongozi tafadhari 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@ummuadam2423
@ummuadam2423 4 жыл бұрын
Ukizubaaa wataku Tia mkenge Hao, mkuu💪💪
@muasewamukadogo1846
@muasewamukadogo1846 2 жыл бұрын
Dah huyu mwanli angeendelea dah safi sana
@ahmadjuma3816
@ahmadjuma3816 4 жыл бұрын
Babu leo kafukuwa makaburi ,acha kabisa hiyo kitu sukuma ndani
@chiefog1343
@chiefog1343 4 жыл бұрын
Pigaaaa kaziii mzee sukumaaa ote ndaniii😁😁😁
@marcondokeji8982
@marcondokeji8982 4 жыл бұрын
Asante kiogozi wetu.
@sophiasophia6945
@sophiasophia6945 4 жыл бұрын
Mungu wangu kwa nini huyu baba asingekuwa mkuu wa mkoa Manyara? Maana huko kuna uozo utasema siyo Tanzania
@redsonbrown1874
@redsonbrown1874 4 жыл бұрын
Nakukubali Sana mkuu
"SOMBA WOTE WANAOFANANIA NA WIZI WEKA NDANI" - RC MWANRI
7:16
Millard Ayo
Рет қаралды 809 М.
Зу-зу Күлпаш 2. Интернет мошенник
40:13
ASTANATV Movie
Рет қаралды 647 М.
Хасанның өзі эфирге шықты! “Қылмыстық топқа қатысым жоқ” дейді. Талғарда не болды? Халық сене ме?
09:25
Демократиялы Қазақстан / Демократический Казахстан
Рет қаралды 317 М.
Help Me Celebrate! 😍🙏
00:35
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 85 МЛН
'Matokeo ya Uchunguzi kuhusu kupigwa kwangu risasi bado mpaka leo'
51:24
BBC News Swahili
Рет қаралды 103 М.
RC  MWANRI TENA: KAMATA  OFISA HUYU, SUKUMA NDANI!
7:06
Global TV Online
Рет қаралды 345 М.
KIZAAZAA CHA RC MWANRI KWA DEREVA ALIYEGONGA MTI WAKE
5:04
Millard Ayo
Рет қаралды 827 М.
"MZEE WA SUKUMA NDANI"  AJA NA MAPYA MBELE YA RAIS
4:53
KTV TZ ONLINE
Рет қаралды 56 М.