MWANRI KAWASHA MOTO MZEE KAONEWA "COME ON MEN, BABU TULIA NITAKULINDA, AGIZA VYOMBO KAMATA WOTE"

  Рет қаралды 519,229

Millard Ayo

Millard Ayo

4 жыл бұрын

Пікірлер: 421
@fadhilplatnumz6209
@fadhilplatnumz6209 4 жыл бұрын
Nakukubaali Mkuu waMkoa Tabora One' Good- hebu gonga LIKE kama unamkubali huyu Mutu.
@mwanahamishassunisaid5665
@mwanahamishassunisaid5665 4 жыл бұрын
Sle
@sagayefamily5149
@sagayefamily5149 4 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa unafaa kuwa waziri wa mambo ya ndan, laa sivyo uhamishiwe hapa dar kumepwaya sana
@mainakamau5657
@mainakamau5657 4 жыл бұрын
Twahitaji Kama yeye hapa kenya
@eliasikujua6650
@eliasikujua6650 4 жыл бұрын
Fadhili platnumz Ata mm namkubali Sana uyo
@babukongwee7186
@babukongwee7186 3 жыл бұрын
sana...
@ringoaskali7625
@ringoaskali7625 4 жыл бұрын
Kama magufuri angepata viongozi 20 kama hawa dah tungefika mbali sana nakupenda sana mwanri unafanya kazi bila kuangalia sura safi sana mungu akupe nguvu na uhai ili upewe majukumu makubwa zaidi ya hayo ili ututete wanyonge
@salehaltooq5829
@salehaltooq5829 4 жыл бұрын
Ameena
@mustafahassan8286
@mustafahassan8286 4 жыл бұрын
AMIN
@isakaally3641
@isakaally3641 4 жыл бұрын
Mwanri nakutabiria uwaziri wa mambo ya ndani ktk jina la Yesu pokea!
@robbsonmosha7557
@robbsonmosha7557 4 жыл бұрын
Ameniii
@hassansaid9925
@hassansaid9925 4 жыл бұрын
Huyu mkuu wa mkoa anapandwaga na pumzi sana ila nimependa ana imigine feeling za maumivu wanayoyapata watu wa chini,, , very finee RC MWANRI👏👏👏👏👏
@florianarchard9451
@florianarchard9451 4 жыл бұрын
Uyu mzeee bhana ni hatarii kanyoooosha maelezo briefly and clear but simple zaid sana message understood and accepted
@salimsaidjr.3894
@salimsaidjr.3894 4 жыл бұрын
King Rc tabora Mwenye ezimungu akujaalie Afya umri ili uzidi kututetea
@lothmoses8439
@lothmoses8439 4 жыл бұрын
Comeooooòooooòooon
@sadockalfred6750
@sadockalfred6750 4 жыл бұрын
Yaan huyu kiongoz nampenda kwa hekima na busara zake anavyozitumia kwenye uongoz wake bila kumwonea mtu yeyote aise nakuombea kwa Mungu akupandishe zaidi ya hapo
@salehaltooq5829
@salehaltooq5829 4 жыл бұрын
Ameen
@nasrangayenda1853
@nasrangayenda1853 4 жыл бұрын
Safi sana endelea kusimamia haki baba mungu azidi kukupa nguvu na afya njema RC
@frediricknandonde1690
@frediricknandonde1690 4 жыл бұрын
Huyu mzee anafanya kazi vzr sana sio mkuu wangu mpenda sifa makondee
@beachgizaarea5370
@beachgizaarea5370 4 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa wa tabora mungu akulinde napenda sana kazi yako nakupenda sana mungu akupe uhai mrefu
@jumaaiddy6933
@jumaaiddy6933 4 жыл бұрын
Mkuu mwanri Tabora, wewe ni zao bora sana la Rais Magufuli unafanya kazi nzuri sana sana mikoa.yote ingekuwa hivi nchi yetu ingezidi kuwa nzuri sana aisee,Rais muangalie sana huyu mkuu
@chibothedon567
@chibothedon567 4 жыл бұрын
sukuma ndan aisee nampenda sana agrei kwa uongoz wake
@magynzioka1122
@magynzioka1122 4 жыл бұрын
Nakupendanga bure unajua kazi yako unajali mwanaiji wa chini babu tulia uyu mkuu wa mkoa ni jembe 💘🔥🔥💪💫
@saidinalmsofethatsgoodwaya6454
@saidinalmsofethatsgoodwaya6454 4 жыл бұрын
Front line kutatua kero za wananchi!Good job! My Mwanri tutakumiss Sana'a umewabadilisha Sana'a mind set za wanatabora!
@simionmaregesi9738
@simionmaregesi9738 4 жыл бұрын
Kazi nzuri sana mkuu wa mkoa . Itakuwa vizuri kama mara hii ataletwa mkoa wa mara atunyooshe maan hakuna kinachofanyika uk
@libanjama8154
@libanjama8154 4 жыл бұрын
African people they, need leaders like this,
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 4 жыл бұрын
huuu utawala will never never be fogettable!
@suleimanmrisho9366
@suleimanmrisho9366 4 жыл бұрын
Exactly
@dhahajongo9049
@dhahajongo9049 4 жыл бұрын
Exactly brother
@kimambomedia7766
@kimambomedia7766 4 жыл бұрын
Ayo nakukubali sana habari zako ni za kweli na za haraka by Kimambo kibo ubungo
@kingcopper_tz
@kingcopper_tz 4 жыл бұрын
Mzee anapga kaz kichizi, come on meeeeen
@mgasa_tz5527
@mgasa_tz5527 3 жыл бұрын
😆😆😆
@eliasjillanga3158
@eliasjillanga3158 4 жыл бұрын
Tbr kweli mmelamba dume Nampenda sana huyu jamaa🙏🏻🙏🏻
@frankkaiza3658
@frankkaiza3658 4 жыл бұрын
Mungu akuweke mzee naomba nafasi yko hii ungekua cheo chajuu nchi hii adi raha bonge la kiongoziii god bless u...!!!!!
@barakamakabara3557
@barakamakabara3557 4 жыл бұрын
Mzee wa Tolonto kazi njemaa mkuu.... Mungu mwema atakuwa pamoja nawe!
@emmanuelmosha3107
@emmanuelmosha3107 4 жыл бұрын
I like this man kwa kweli anapiga kazi. MUNGU azidi kumpa hekima
@bibletv9818
@bibletv9818 4 жыл бұрын
Hii ndiyo maana tunampenda sana Mhe. Rais John Pombe Magufuli. Je, tunadhani kwamba nje ya uwepo wa Mhe. JPM wanyonge hawa wangesikilizwa. Tanzania tuliishafika mahali pa kila mwenye ndevu kugeuka baba wa familia. Asante Mungu kwa kutujalia uongozi unaojali maisha ya wanyonge. Mimi suala la nani sijui yupi kapotea kwangu si tatizo kubwa. Maana ya usalama wa nchi ni pana, na ndiyo maana inapojitokeza mtu anataka kutuharibia usalama wa nchi, hekima na busara zinapaswa kutuongoza kumharibu yeye ili kusalimisha maisha ya wengi. Vinginevyo napongeza sana juhudi zinazofanywa kuhakikisha Tanzania inafanyika ya Watanzania badala ya kufanyika ya akina fulani tu.
@alexkabeho5609
@alexkabeho5609 4 жыл бұрын
Hatujawai skia, mwenye hera zake ndo alikua na ruksa ya kuishi peke, wengine ni kupigwa mapanga hivo kama mifugo
@jambostaamringa9490
@jambostaamringa9490 4 жыл бұрын
Uyu mzee kaeleza alivo maliza ujumbe umesha fika anataka kusema sema anajua Sana kujieleza na uyu mkuu wa mkoa ndo atakua mkuu wa mkoa bora kbsa 🙏🏾
@OmanOman-gp7xm
@OmanOman-gp7xm 3 жыл бұрын
Safi mkuu tanzania tunatakiwa tupelekwe ivyo hongera mungekuwa kama kumi inchi ingehendelea
@sweetmama6885
@sweetmama6885 4 жыл бұрын
Mzee Mwanri oyeeeeeee. Oyeeeee....! I ❤ you mpenzi. 😁
@charlesnyabori7669
@charlesnyabori7669 4 жыл бұрын
Kuna mtu kala bango nani kaona😂😂😂😂dah had wameniaribia concentration
@hemedbacco4719
@hemedbacco4719 4 жыл бұрын
Nimeona 😂😂
@zulekhaally3524
@zulekhaally3524 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂Katapembe Katapembe katakatakata dondosha chiniii🤣🤣🙌🙌wacha kabisa iyo kituuu
@neziafranc3422
@neziafranc3422 4 жыл бұрын
Hahahaha kata pembe zote
@hishamally4846
@hishamally4846 4 жыл бұрын
Yupo vizuri kazi nzuri hongera mkuu
@sengeremaxleo9295
@sengeremaxleo9295 4 жыл бұрын
We need more leaders like this man
@jumandutu2275
@jumandutu2275 4 жыл бұрын
Hahahahaaa sio sir huyu baba huwa ananitoa stress na misemo yake 😂😂😂 come on men'
@buthaymaahmad557
@buthaymaahmad557 3 жыл бұрын
Nilikuwa nimejaa roho mtakatifu lkn roho anisamehe mmeniudhi Sana 😂😂💪
@abdulimalikhamadi1078
@abdulimalikhamadi1078 4 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa nimekuelewa leo vizur sana juz kwenye ujenzi nilifrah sana
@hassanabdalla2741
@hassanabdalla2741 4 жыл бұрын
Mm kazi yng kukata pembe wale wote wanaoota pembe!! Hongera sn RC Mwanri
@julytito3891
@julytito3891 4 жыл бұрын
Kumekuchaaaaa🤣🤣🤣😂😂😂 Kumekuchaaaa🚶🏿‍♀🚶🏿‍♀🚶🏿‍♀🚶🏿‍♀kwl uongoz huu wa awamu ya tano nauvulia kofia na viatu pia acha nipekue tu 😂😂😂
@seremalatznaaustralia1462
@seremalatznaaustralia1462 4 жыл бұрын
😁😁😁😁😁 khaaa aisee ata mimi napekua nawewe wai. Ni shida watu hawahemi.
@neemamayco3238
@neemamayco3238 4 жыл бұрын
Tena tabora ni hatar sana
@noxlosingida2369
@noxlosingida2369 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣angali miba isikuchome miguuni
@khadijaomari9344
@khadijaomari9344 4 жыл бұрын
ili jembe kweli
@julytito3891
@julytito3891 4 жыл бұрын
@@noxlosingida2369 😅😅😅sawaa
@ignasiissaya1718
@ignasiissaya1718 3 жыл бұрын
Mama samia mrudishe huyu mtu mchapa kazi sana huyu!!.watu kama hawa hawatakiwi kukaa hv hv taifa linawaitajii
@juliaayieta2578
@juliaayieta2578 4 жыл бұрын
Mzee umeelezea vizuri 💪💪💪
@woissobb4184
@woissobb4184 4 жыл бұрын
👏👏👏👏
@paulmaziku240
@paulmaziku240 4 жыл бұрын
Aliyesikia..."kaa hapo hapo..mpigieni makofi..! Gonga like twende pamoja...!
@hassansaid9925
@hassansaid9925 4 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀nimecheka sana
@paulmaziku240
@paulmaziku240 4 жыл бұрын
@@hassansaid9925 RC Mwanri anamikwara sana..
@hassansaid9925
@hassansaid9925 4 жыл бұрын
@@paulmaziku240 tena saaaana ila nampenda anapiga kazi kwakweli
@ivanymtaki3585
@ivanymtaki3585 4 жыл бұрын
Kama umewaona jamaa wameshikilia bango lisianguke weka like
@mu-crzymahez9229
@mu-crzymahez9229 4 жыл бұрын
no kudondok hiloo
@hamissmaganga9859
@hamissmaganga9859 4 жыл бұрын
Come on men
@paiwanjara3502
@paiwanjara3502 4 жыл бұрын
nakukubali mkuu big up natamani ungekuwa mkuu wa mkoa wa dsm
@peterkaombwe6251
@peterkaombwe6251 Жыл бұрын
Mama tunakuomba mtulidishie mwanly wetu tabora aendelee kuinyosha na kuipiga msasa
@revocutuswillibard6854
@revocutuswillibard6854 4 жыл бұрын
Mi nasomaga comment kwanza 😂😂😂😂
@user-un3df1sl2h
@user-un3df1sl2h 3 жыл бұрын
Kumbe upo kama mimi
@jacobmbogella9027
@jacobmbogella9027 4 жыл бұрын
Aliye ona bango limedondoka twende wote hapa
@noxlosingida2369
@noxlosingida2369 4 жыл бұрын
Engineer ngapi hapo soma Mita. Sukuma ndani🤣🤣hao
@arakazakinglight4253
@arakazakinglight4253 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂🇧🇮
@theresiajames7574
@theresiajames7574 4 жыл бұрын
Yaani huyu mkuu WA mkoa namkubaliii...
@lucymacha9578
@lucymacha9578 3 жыл бұрын
Asante baba kwa kazi nzuri
@shufaaiddi1050
@shufaaiddi1050 4 жыл бұрын
Mi Mwanri namkubali mia. Kwa mia. Good job
@mohammedshaaban9509
@mohammedshaaban9509 4 жыл бұрын
Huyu ndio RC bora kwangu katika serikali ya awamu ya tano Aggrey mwanri🙏🙏
@abdulmembe2349
@abdulmembe2349 4 жыл бұрын
Baba angu mwanri juwa fika mwanao na enjoy uwepo wako Sana baba angu hahahaha noma
@sharonke7442
@sharonke7442 4 жыл бұрын
This man is leader and a comedian too😂😂😂ningekuwa mtanzania ningempa kura zote
@mohamedirajabu7405
@mohamedirajabu7405 4 жыл бұрын
Nakubali mkuu wa mkoa wa tabora sana natamani Aje Dar es salaam mkuu wa mkoa wa Dar Aende tabora
@abdulkillya2655
@abdulkillya2655 4 жыл бұрын
Kaa hapo hapo, pigeni makofi 😂😂😂😂😂
@kingcopper_tz
@kingcopper_tz 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@hjhj6230
@hjhj6230 4 жыл бұрын
😃😃😃kamata sukuma ndani 😃😃😃
@angelgerald1561
@angelgerald1561 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@rukiamohammed5031
@rukiamohammed5031 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣Nimecheka kwa nguvu
@mu-crzymahez9229
@mu-crzymahez9229 4 жыл бұрын
hhhhhh
@methewmigodela4211
@methewmigodela4211 4 жыл бұрын
Mungu awalinde viongozi kama Hawa hakika ni wazarendo sana people needed by JPM
@kingcopper_tz
@kingcopper_tz 4 жыл бұрын
4:27 si mnasikia wananchi wanapiga makofi? Maana ake watu WANAOLEWA hapa 😂
@rayasaid4099
@rayasaid4099 4 жыл бұрын
😂 😂 😂
@nelkaslydie4104
@nelkaslydie4104 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@HASASON
@HASASON 4 жыл бұрын
Wanaonewa 😂
@kingcopper_tz
@kingcopper_tz 4 жыл бұрын
@@HASASON alichapia 😂😂
@josephalbano2324
@josephalbano2324 4 жыл бұрын
Daah aisee 😂😂
@dottokulwa7075
@dottokulwa7075 4 жыл бұрын
Duuh muheshimwa hongela kwakusaidia wanyonge
@kadogoomushadi5409
@kadogoomushadi5409 4 жыл бұрын
Ubarikiwe mkuu nimefarijika nautendaji wakoo
@mkapaliberatus2774
@mkapaliberatus2774 3 жыл бұрын
Isee mwanry namkubal sana mzee anachaoa kaz
@meddy_upette9511
@meddy_upette9511 4 жыл бұрын
😁😁😁 sema polisi kanifurahisha sana kanywea ile mbaya
@vivarealrapper4344
@vivarealrapper4344 4 жыл бұрын
Sukuma ndani
@dyanatanz6574
@dyanatanz6574 4 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀kata pembe. Mumehongwa shingap daaa kuzaa laha jaman. Mama ako kawaletea wananchi zawad kutoka kwa Mungu
@xerxespersian1384
@xerxespersian1384 4 жыл бұрын
Yaani mtu ameshambuliwa Alafu mshambuliwa kalazwa nyie mnatoa dhamana Daaaaaa RC UMEONGEA UKWELI SASA CJUI HAWA WANAOPEWA UONGOZI CJUI WANABAHATI GANI
@luckykelvin6709
@luckykelvin6709 4 жыл бұрын
Niko Mbeya mna bonge la mkuu wa mkowa ,hatuwezi vumilia watu kuonewa na viongozi husika wakawa wanafukia
@bienvemwami6768
@bienvemwami6768 4 жыл бұрын
bring this man to goma (Drc) he is the best
@saidbabu9198
@saidbabu9198 4 жыл бұрын
Rais wetu kila uteuzi wako mwingi wa viongozi wa hii awamu kweli mkono wa Mungu upo nawe. Wengi wamekuwa chaguo lenye imani kwa watu.Mungu azidi kukupa mwelekeo ambao unatumia kuwapata hawa viongozi wenye dhati ya kweli, kweli intai faraja Toka nimezaliwa kuona ukweli wa viongozi kufanya kazi nikweli.Mungu awe nanyi na sisi sote.
@alexkabeho5609
@alexkabeho5609 4 жыл бұрын
Jamani umesema ukweli
@cleofasnyoni3836
@cleofasnyoni3836 4 жыл бұрын
Mwanri Mwanri nkukubl sana unafundsha kitu fln
@jumannemwakalinga2586
@jumannemwakalinga2586 9 ай бұрын
Mh Mwanri, clips zako nazifuatilia sana. Nimeenda Tabora juzi kweli Toronto yako inapendeza sana!
@AfroLofiSafariGrooves
@AfroLofiSafariGrooves 4 жыл бұрын
come on mennnnnnnnnnnnnnnnnnn
@japhetjoseph1772
@japhetjoseph1772 4 жыл бұрын
Good hakuna kuangalia ujinga lazma Kila mtu aishi kwa Uhuru bila kuoneana hakuna mtu mweny nguvu
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 4 жыл бұрын
Nakupenda Sana baba yani wanafugaji wanaboa
@flova7022
@flova7022 2 жыл бұрын
Baada ya mpoki na joti ni huyu mzeee aiseee dahh hahahahahahahahahaha
@harounplaurent8359
@harounplaurent8359 4 жыл бұрын
😂😂😂😂 mtendaji katenda nini 😂 ila huyu mama ndo angekua anamjibu #chuma sijui2😅😅😅😅
@hassansaid9925
@hassansaid9925 4 жыл бұрын
Mimi kazi yangu kama kuna mtu anaota pembe nakata kata pembe zote naweka chini afu nione😀😀😀😀😀😀
@mbotwambotwa2186
@mbotwambotwa2186 2 жыл бұрын
Hongera sana tutakumiss tu
@ahmadjuma3816
@ahmadjuma3816 4 жыл бұрын
Babu leo kafukuwa makaburi ,acha kabisa hiyo kitu sukuma ndani
@samuelfilmessimon4046
@samuelfilmessimon4046 2 жыл бұрын
Baba hongera sana kwa kutetea wanyonge
@khadijaomar8427
@khadijaomar8427 4 жыл бұрын
Mzee anajua kujieleza
@mushrifumbotoni7010
@mushrifumbotoni7010 4 жыл бұрын
Sawa
@mauldhamza9631
@mauldhamza9631 4 жыл бұрын
Kabisa
@khadijaomari9344
@khadijaomari9344 4 жыл бұрын
kabisa
@khadijaomari9344
@khadijaomari9344 4 жыл бұрын
mambo wajina😍😍
@ibrahimbakar622
@ibrahimbakar622 4 жыл бұрын
Wewe je?
@amiriramadhan7753
@amiriramadhan7753 4 жыл бұрын
Mtu anapigwa panga mnachekelea heeeiii wacha iyo 😂 😂 😂
@barakarobert9516
@barakarobert9516 4 жыл бұрын
Leo tabora,ingunga na nzega zina taa za mtaani kwa ajiri ya kusaidia usalama wa mji ila jiji la arusha na mwanza yapo gizan hii aibu hongera mkuu wa mkoa Tabora
@isayakalafya5865
@isayakalafya5865 3 жыл бұрын
Mungu akulinde na akupe maisha marefu
@josephinesiril9521
@josephinesiril9521 4 жыл бұрын
Safi Sana mzee sukuma ndani tuna kuamini
@chayogasperi9783
@chayogasperi9783 4 жыл бұрын
Mtendaji unasema kesi ya watu wako ikiwa Polisi huusiki ??? Acha uongo Mama . Mtendaji , Polisi , Mkuu wa Wilaya , ni wazembe , Mzee Mwanri sukuma ndani hao . Mnagombea Uongozi wa nini na kuongoza hamuwezi ???
@abdul-rahmanfakijuma1879
@abdul-rahmanfakijuma1879 3 жыл бұрын
Mzee uko sawa nakukubali Allwah akupe nguvu
@ahmedathman1624
@ahmedathman1624 2 жыл бұрын
This is man does what magu did during his time...
@ummuadam2423
@ummuadam2423 4 жыл бұрын
Ukizubaaa wataku Tia mkenge Hao, mkuu💪💪
@lulually5209
@lulually5209 3 жыл бұрын
Come on men 😄😄😄 nimecheka kwa sauti huyo ndio mh mwanri wataisoma namba shenzi kabisa
@sweetestgospelmelodies5723
@sweetestgospelmelodies5723 4 жыл бұрын
Mimi hapa leo nimekuja roho mtakatifu sasa hapa roho mtakatifu anisamehe ahahah mzee chapa kazi
@oraionsabibi5497
@oraionsabibi5497 4 жыл бұрын
Kijijini wakulima wanaonewa na wafugaji na police wanaangalia wenye nacho wanawaachia hakuna haki ci sawa kabisa
@salomemukani1627
@salomemukani1627 4 жыл бұрын
Asande sana muguu .ata kama Roho Ame tawala moyo Akuonoze2 kabisa usimamie nafasi yako. Uyu mzee apewe ulinzi kwa sababu mutu anapo sema ukweli ana uliwa.. wengi utaka2 wakunyanyase. ukinyamaza.
@elizabethdismas7660
@elizabethdismas7660 4 жыл бұрын
Jamani nimempenda Sana Huyu kiongoza kWA kutetea mkoa wake na Watu wake,
@faredamobilo3678
@faredamobilo3678 2 жыл бұрын
YES TRUE ,THATS GOOD 👍, HESHIMA NAOVR ETC YANI UTU NA P9A ASANTE BW.MKOA DOLEE!
@steveagustino9368
@steveagustino9368 4 жыл бұрын
sio wananchi wanapiga makofi km mtu anaolewa hapa.onyesha status..hapa
@kingcopper_tz
@kingcopper_tz 4 жыл бұрын
Mama yangu aliniambia hv, utavuna ulichopanda
@titodaudi8949
@titodaudi8949 4 жыл бұрын
Vituo vyote vya polisi vya vijijini hususan mkowani Tabora vinafanya kazi kama mahakama ili kupokea rushwa
@rajabplatinum3652
@rajabplatinum3652 4 жыл бұрын
We need life revolution... Ukisikia Democracy ndo hii.
@scariothagreat
@scariothagreat 4 жыл бұрын
nimecheka sana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@Thuon_
@Thuon_ 2 жыл бұрын
Nampenda sana huyu jogoo.
@godlovemrosso5973
@godlovemrosso5973 4 жыл бұрын
Baaah Mzee Mwanri ww urudi tuu nyumbani siha au mkuu akuchague urudi K/manjaro unyooshe huu mkoa na maendeleo yawepo kama kipindi ulichokuwa parliamentary,Sanya Naibil ngaritati kidire mpaka leo hakuna lami Mungu akuongoze baba mkuu wa mkoa
@israelmoses883
@israelmoses883 4 жыл бұрын
Nikweli watu kama hawa wapo kwenye jamii tunayo ishi ila round hii wataelewa tu 😂😂😂😂😂
@ramadhanikibenga6317
@ramadhanikibenga6317 4 жыл бұрын
Mzee wa Toronto very good
@annalaizer4128
@annalaizer4128 4 жыл бұрын
Mh mwandri tunakusubiri siha yetu tumebaki nyuma
@mirzah117
@mirzah117 2 жыл бұрын
Mungu ambariki huyu mzee mwanri
@maulidhamad3659
@maulidhamad3659 4 жыл бұрын
Camon mana 😂😂😂
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 22 МЛН
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 7 МЛН
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 206 МЛН
"MZEE WA SUKUMA NDANI"  AJA NA MAPYA MBELE YA RAIS
4:53
KTV TZ ONLINE
Рет қаралды 44 М.
KIZAAZAA CHA RC MWANRI KWA DEREVA ALIYEGONGA MTI WAKE
5:04
Millard Ayo
Рет қаралды 813 М.
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 586 М.
AFISA ELIMU AZIMIA GHAFLA KISA KATUMBULIWA NA RC MWANRI
7:06
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 22 МЛН