Nakukubaali Mkuu waMkoa Tabora One' Good- hebu gonga LIKE kama unamkubali huyu Mutu.
@mwanahamishassunisaid56654 жыл бұрын
Sle
@sagayefamily51494 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa unafaa kuwa waziri wa mambo ya ndan, laa sivyo uhamishiwe hapa dar kumepwaya sana
@mainakamau56574 жыл бұрын
Twahitaji Kama yeye hapa kenya
@eliasikujua66504 жыл бұрын
Fadhili platnumz Ata mm namkubali Sana uyo
@babukongwee71863 жыл бұрын
sana...
@ringoaskali76254 жыл бұрын
Kama magufuri angepata viongozi 20 kama hawa dah tungefika mbali sana nakupenda sana mwanri unafanya kazi bila kuangalia sura safi sana mungu akupe nguvu na uhai ili upewe majukumu makubwa zaidi ya hayo ili ututete wanyonge
@salehaltooq58294 жыл бұрын
Ameena
@mustafahassan82864 жыл бұрын
AMIN
@isakaally36414 жыл бұрын
Mwanri nakutabiria uwaziri wa mambo ya ndani ktk jina la Yesu pokea!
@robbsonmosha75574 жыл бұрын
Ameniii
@hassansaid99254 жыл бұрын
Huyu mkuu wa mkoa anapandwaga na pumzi sana ila nimependa ana imigine feeling za maumivu wanayoyapata watu wa chini,, , very finee RC MWANRI👏👏👏👏👏
@florianarchard94514 жыл бұрын
Uyu mzeee bhana ni hatarii kanyoooosha maelezo briefly and clear but simple zaid sana message understood and accepted
@salimsaidjr.38944 жыл бұрын
King Rc tabora Mwenye ezimungu akujaalie Afya umri ili uzidi kututetea
@lothmoses84394 жыл бұрын
Comeooooòooooòooon
@sadockalfred67504 жыл бұрын
Yaan huyu kiongoz nampenda kwa hekima na busara zake anavyozitumia kwenye uongoz wake bila kumwonea mtu yeyote aise nakuombea kwa Mungu akupandishe zaidi ya hapo
@salehaltooq58294 жыл бұрын
Ameen
@nasrangayenda18534 жыл бұрын
Safi sana endelea kusimamia haki baba mungu azidi kukupa nguvu na afya njema RC
@frediricknandonde16904 жыл бұрын
Huyu mzee anafanya kazi vzr sana sio mkuu wangu mpenda sifa makondee
@beachgizaarea53704 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa wa tabora mungu akulinde napenda sana kazi yako nakupenda sana mungu akupe uhai mrefu
@jumaaiddy69334 жыл бұрын
Mkuu mwanri Tabora, wewe ni zao bora sana la Rais Magufuli unafanya kazi nzuri sana sana mikoa.yote ingekuwa hivi nchi yetu ingezidi kuwa nzuri sana aisee,Rais muangalie sana huyu mkuu
@chibothedon5674 жыл бұрын
sukuma ndan aisee nampenda sana agrei kwa uongoz wake
@magynzioka11224 жыл бұрын
Nakupendanga bure unajua kazi yako unajali mwanaiji wa chini babu tulia uyu mkuu wa mkoa ni jembe 💘🔥🔥💪💫
@saidinalmsofethatsgoodwaya64544 жыл бұрын
Front line kutatua kero za wananchi!Good job! My Mwanri tutakumiss Sana'a umewabadilisha Sana'a mind set za wanatabora!
@simionmaregesi97384 жыл бұрын
Kazi nzuri sana mkuu wa mkoa . Itakuwa vizuri kama mara hii ataletwa mkoa wa mara atunyooshe maan hakuna kinachofanyika uk
@libanjama81544 жыл бұрын
African people they, need leaders like this,
@twaibumikidadi73774 жыл бұрын
huuu utawala will never never be fogettable!
@suleimanmrisho93664 жыл бұрын
Exactly
@dhahajongo90494 жыл бұрын
Exactly brother
@kimambomedia77664 жыл бұрын
Ayo nakukubali sana habari zako ni za kweli na za haraka by Kimambo kibo ubungo
@kingcopper_tz4 жыл бұрын
Mzee anapga kaz kichizi, come on meeeeen
@mgasa_tz55273 жыл бұрын
😆😆😆
@eliasjillanga31584 жыл бұрын
Tbr kweli mmelamba dume Nampenda sana huyu jamaa🙏🏻🙏🏻
@frankkaiza36584 жыл бұрын
Mungu akuweke mzee naomba nafasi yko hii ungekua cheo chajuu nchi hii adi raha bonge la kiongoziii god bless u...!!!!!
@barakamakabara35574 жыл бұрын
Mzee wa Tolonto kazi njemaa mkuu.... Mungu mwema atakuwa pamoja nawe!
@emmanuelmosha31074 жыл бұрын
I like this man kwa kweli anapiga kazi. MUNGU azidi kumpa hekima
@bibletv98184 жыл бұрын
Hii ndiyo maana tunampenda sana Mhe. Rais John Pombe Magufuli. Je, tunadhani kwamba nje ya uwepo wa Mhe. JPM wanyonge hawa wangesikilizwa. Tanzania tuliishafika mahali pa kila mwenye ndevu kugeuka baba wa familia. Asante Mungu kwa kutujalia uongozi unaojali maisha ya wanyonge. Mimi suala la nani sijui yupi kapotea kwangu si tatizo kubwa. Maana ya usalama wa nchi ni pana, na ndiyo maana inapojitokeza mtu anataka kutuharibia usalama wa nchi, hekima na busara zinapaswa kutuongoza kumharibu yeye ili kusalimisha maisha ya wengi. Vinginevyo napongeza sana juhudi zinazofanywa kuhakikisha Tanzania inafanyika ya Watanzania badala ya kufanyika ya akina fulani tu.
@alexkabeho56094 жыл бұрын
Hatujawai skia, mwenye hera zake ndo alikua na ruksa ya kuishi peke, wengine ni kupigwa mapanga hivo kama mifugo
@jambostaamringa94904 жыл бұрын
Uyu mzee kaeleza alivo maliza ujumbe umesha fika anataka kusema sema anajua Sana kujieleza na uyu mkuu wa mkoa ndo atakua mkuu wa mkoa bora kbsa 🙏🏾
@OmanOman-gp7xm3 жыл бұрын
Safi mkuu tanzania tunatakiwa tupelekwe ivyo hongera mungekuwa kama kumi inchi ingehendelea
@sweetmama68854 жыл бұрын
Mzee Mwanri oyeeeeeee. Oyeeeee....! I ❤ you mpenzi. 😁
@charlesnyabori76694 жыл бұрын
Kuna mtu kala bango nani kaona😂😂😂😂dah had wameniaribia concentration
@hemedbacco47194 жыл бұрын
Nimeona 😂😂
@zulekhaally35244 жыл бұрын
😂😂😂😂😂Katapembe Katapembe katakatakata dondosha chiniii🤣🤣🙌🙌wacha kabisa iyo kituuu
@neziafranc34224 жыл бұрын
Hahahaha kata pembe zote
@hishamally48464 жыл бұрын
Yupo vizuri kazi nzuri hongera mkuu
@sengeremaxleo92954 жыл бұрын
We need more leaders like this man
@jumandutu22754 жыл бұрын
Hahahahaaa sio sir huyu baba huwa ananitoa stress na misemo yake 😂😂😂 come on men'
@buthaymaahmad5573 жыл бұрын
Nilikuwa nimejaa roho mtakatifu lkn roho anisamehe mmeniudhi Sana 😂😂💪
@abdulimalikhamadi10784 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa nimekuelewa leo vizur sana juz kwenye ujenzi nilifrah sana
@hassanabdalla27414 жыл бұрын
Mm kazi yng kukata pembe wale wote wanaoota pembe!! Hongera sn RC Mwanri
@julytito38914 жыл бұрын
Kumekuchaaaaa🤣🤣🤣😂😂😂 Kumekuchaaaa🚶🏿♀🚶🏿♀🚶🏿♀🚶🏿♀kwl uongoz huu wa awamu ya tano nauvulia kofia na viatu pia acha nipekue tu 😂😂😂
@seremalatznaaustralia14624 жыл бұрын
😁😁😁😁😁 khaaa aisee ata mimi napekua nawewe wai. Ni shida watu hawahemi.
@neemamayco32384 жыл бұрын
Tena tabora ni hatar sana
@noxlosingida23694 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣angali miba isikuchome miguuni
@khadijaomari93444 жыл бұрын
ili jembe kweli
@julytito38914 жыл бұрын
@@noxlosingida2369 😅😅😅sawaa
@ignasiissaya17183 жыл бұрын
Mama samia mrudishe huyu mtu mchapa kazi sana huyu!!.watu kama hawa hawatakiwi kukaa hv hv taifa linawaitajii
@juliaayieta25784 жыл бұрын
Mzee umeelezea vizuri 💪💪💪
@woissobb41844 жыл бұрын
👏👏👏👏
@paulmaziku2404 жыл бұрын
Aliyesikia..."kaa hapo hapo..mpigieni makofi..! Gonga like twende pamoja...!
@hassansaid99254 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀nimecheka sana
@paulmaziku2404 жыл бұрын
@@hassansaid9925 RC Mwanri anamikwara sana..
@hassansaid99254 жыл бұрын
@@paulmaziku240 tena saaaana ila nampenda anapiga kazi kwakweli
@ivanymtaki35854 жыл бұрын
Kama umewaona jamaa wameshikilia bango lisianguke weka like
@mu-crzymahez92294 жыл бұрын
no kudondok hiloo
@hamissmaganga98594 жыл бұрын
Come on men
@paiwanjara35024 жыл бұрын
nakukubali mkuu big up natamani ungekuwa mkuu wa mkoa wa dsm
@peterkaombwe6251 Жыл бұрын
Mama tunakuomba mtulidishie mwanly wetu tabora aendelee kuinyosha na kuipiga msasa
@revocutuswillibard68544 жыл бұрын
Mi nasomaga comment kwanza 😂😂😂😂
@user-un3df1sl2h3 жыл бұрын
Kumbe upo kama mimi
@jacobmbogella90274 жыл бұрын
Aliye ona bango limedondoka twende wote hapa
@noxlosingida23694 жыл бұрын
Engineer ngapi hapo soma Mita. Sukuma ndani🤣🤣hao
@arakazakinglight42534 жыл бұрын
😂😂😂😂😂🇧🇮
@theresiajames75744 жыл бұрын
Yaani huyu mkuu WA mkoa namkubaliii...
@lucymacha95783 жыл бұрын
Asante baba kwa kazi nzuri
@shufaaiddi10504 жыл бұрын
Mi Mwanri namkubali mia. Kwa mia. Good job
@mohammedshaaban95094 жыл бұрын
Huyu ndio RC bora kwangu katika serikali ya awamu ya tano Aggrey mwanri🙏🙏
@abdulmembe23494 жыл бұрын
Baba angu mwanri juwa fika mwanao na enjoy uwepo wako Sana baba angu hahahaha noma
@sharonke74424 жыл бұрын
This man is leader and a comedian too😂😂😂ningekuwa mtanzania ningempa kura zote
@mohamedirajabu74054 жыл бұрын
Nakubali mkuu wa mkoa wa tabora sana natamani Aje Dar es salaam mkuu wa mkoa wa Dar Aende tabora
@abdulkillya26554 жыл бұрын
Kaa hapo hapo, pigeni makofi 😂😂😂😂😂
@kingcopper_tz4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@hjhj62304 жыл бұрын
😃😃😃kamata sukuma ndani 😃😃😃
@angelgerald15614 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@rukiamohammed50314 жыл бұрын
🤣🤣🤣Nimecheka kwa nguvu
@mu-crzymahez92294 жыл бұрын
hhhhhh
@methewmigodela42114 жыл бұрын
Mungu awalinde viongozi kama Hawa hakika ni wazarendo sana people needed by JPM
@kingcopper_tz4 жыл бұрын
4:27 si mnasikia wananchi wanapiga makofi? Maana ake watu WANAOLEWA hapa 😂
@rayasaid40994 жыл бұрын
😂 😂 😂
@nelkaslydie41044 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@HASASON4 жыл бұрын
Wanaonewa 😂
@kingcopper_tz4 жыл бұрын
@@HASASON alichapia 😂😂
@josephalbano23244 жыл бұрын
Daah aisee 😂😂
@dottokulwa70754 жыл бұрын
Duuh muheshimwa hongela kwakusaidia wanyonge
@kadogoomushadi54094 жыл бұрын
Ubarikiwe mkuu nimefarijika nautendaji wakoo
@mkapaliberatus27743 жыл бұрын
Isee mwanry namkubal sana mzee anachaoa kaz
@meddy_upette95114 жыл бұрын
😁😁😁 sema polisi kanifurahisha sana kanywea ile mbaya
@vivarealrapper43444 жыл бұрын
Sukuma ndani
@dyanatanz65744 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀kata pembe. Mumehongwa shingap daaa kuzaa laha jaman. Mama ako kawaletea wananchi zawad kutoka kwa Mungu
@xerxespersian13844 жыл бұрын
Yaani mtu ameshambuliwa Alafu mshambuliwa kalazwa nyie mnatoa dhamana Daaaaaa RC UMEONGEA UKWELI SASA CJUI HAWA WANAOPEWA UONGOZI CJUI WANABAHATI GANI
@luckykelvin67094 жыл бұрын
Niko Mbeya mna bonge la mkuu wa mkowa ,hatuwezi vumilia watu kuonewa na viongozi husika wakawa wanafukia
@bienvemwami67684 жыл бұрын
bring this man to goma (Drc) he is the best
@saidbabu91984 жыл бұрын
Rais wetu kila uteuzi wako mwingi wa viongozi wa hii awamu kweli mkono wa Mungu upo nawe. Wengi wamekuwa chaguo lenye imani kwa watu.Mungu azidi kukupa mwelekeo ambao unatumia kuwapata hawa viongozi wenye dhati ya kweli, kweli intai faraja Toka nimezaliwa kuona ukweli wa viongozi kufanya kazi nikweli.Mungu awe nanyi na sisi sote.
Good hakuna kuangalia ujinga lazma Kila mtu aishi kwa Uhuru bila kuoneana hakuna mtu mweny nguvu
@radhiasalum71564 жыл бұрын
Nakupenda Sana baba yani wanafugaji wanaboa
@flova70222 жыл бұрын
Baada ya mpoki na joti ni huyu mzeee aiseee dahh hahahahahahahahahaha
@harounplaurent83594 жыл бұрын
😂😂😂😂 mtendaji katenda nini 😂 ila huyu mama ndo angekua anamjibu #chuma sijui2😅😅😅😅
@hassansaid99254 жыл бұрын
Mimi kazi yangu kama kuna mtu anaota pembe nakata kata pembe zote naweka chini afu nione😀😀😀😀😀😀
@mbotwambotwa21862 жыл бұрын
Hongera sana tutakumiss tu
@ahmadjuma38164 жыл бұрын
Babu leo kafukuwa makaburi ,acha kabisa hiyo kitu sukuma ndani
@samuelfilmessimon40462 жыл бұрын
Baba hongera sana kwa kutetea wanyonge
@khadijaomar84274 жыл бұрын
Mzee anajua kujieleza
@mushrifumbotoni70104 жыл бұрын
Sawa
@mauldhamza96314 жыл бұрын
Kabisa
@khadijaomari93444 жыл бұрын
kabisa
@khadijaomari93444 жыл бұрын
mambo wajina😍😍
@ibrahimbakar6224 жыл бұрын
Wewe je?
@amiriramadhan77534 жыл бұрын
Mtu anapigwa panga mnachekelea heeeiii wacha iyo 😂 😂 😂
@barakarobert95164 жыл бұрын
Leo tabora,ingunga na nzega zina taa za mtaani kwa ajiri ya kusaidia usalama wa mji ila jiji la arusha na mwanza yapo gizan hii aibu hongera mkuu wa mkoa Tabora
@isayakalafya58653 жыл бұрын
Mungu akulinde na akupe maisha marefu
@josephinesiril95214 жыл бұрын
Safi Sana mzee sukuma ndani tuna kuamini
@chayogasperi97834 жыл бұрын
Mtendaji unasema kesi ya watu wako ikiwa Polisi huusiki ??? Acha uongo Mama . Mtendaji , Polisi , Mkuu wa Wilaya , ni wazembe , Mzee Mwanri sukuma ndani hao . Mnagombea Uongozi wa nini na kuongoza hamuwezi ???
@abdul-rahmanfakijuma18793 жыл бұрын
Mzee uko sawa nakukubali Allwah akupe nguvu
@ahmedathman16242 жыл бұрын
This is man does what magu did during his time...
@ummuadam24234 жыл бұрын
Ukizubaaa wataku Tia mkenge Hao, mkuu💪💪
@lulually52093 жыл бұрын
Come on men 😄😄😄 nimecheka kwa sauti huyo ndio mh mwanri wataisoma namba shenzi kabisa
@sweetestgospelmelodies57234 жыл бұрын
Mimi hapa leo nimekuja roho mtakatifu sasa hapa roho mtakatifu anisamehe ahahah mzee chapa kazi
@oraionsabibi54974 жыл бұрын
Kijijini wakulima wanaonewa na wafugaji na police wanaangalia wenye nacho wanawaachia hakuna haki ci sawa kabisa
@salomemukani16274 жыл бұрын
Asande sana muguu .ata kama Roho Ame tawala moyo Akuonoze2 kabisa usimamie nafasi yako. Uyu mzee apewe ulinzi kwa sababu mutu anapo sema ukweli ana uliwa.. wengi utaka2 wakunyanyase. ukinyamaza.
@elizabethdismas76604 жыл бұрын
Jamani nimempenda Sana Huyu kiongoza kWA kutetea mkoa wake na Watu wake,
@faredamobilo36782 жыл бұрын
YES TRUE ,THATS GOOD 👍, HESHIMA NAOVR ETC YANI UTU NA P9A ASANTE BW.MKOA DOLEE!
@steveagustino93684 жыл бұрын
sio wananchi wanapiga makofi km mtu anaolewa hapa.onyesha status..hapa
@kingcopper_tz4 жыл бұрын
Mama yangu aliniambia hv, utavuna ulichopanda
@titodaudi89494 жыл бұрын
Vituo vyote vya polisi vya vijijini hususan mkowani Tabora vinafanya kazi kama mahakama ili kupokea rushwa
@rajabplatinum36524 жыл бұрын
We need life revolution... Ukisikia Democracy ndo hii.
Baaah Mzee Mwanri ww urudi tuu nyumbani siha au mkuu akuchague urudi K/manjaro unyooshe huu mkoa na maendeleo yawepo kama kipindi ulichokuwa parliamentary,Sanya Naibil ngaritati kidire mpaka leo hakuna lami Mungu akuongoze baba mkuu wa mkoa
@israelmoses8834 жыл бұрын
Nikweli watu kama hawa wapo kwenye jamii tunayo ishi ila round hii wataelewa tu 😂😂😂😂😂