Mh. Makonda kuna kipindi Fulani miaka michache huko nyuma kuliwa na gumzo lilianzishwa na mtu Fulani hapa nchini, akadai eti hoo! makonda hajasoma, tena akadai kuwa mnatoka Kijiji kimoja na akataja jina lako la kikabila (Bashite) watu walipiga zoga Sana juu ya tuhuma hizo, ila kwa hekima kubwa ulikaa kimyaa huku wengi wakiendelea kupiga soga Hilo baadhi ya wanasiasa wakavalia njuga tuhuma hizo, lakini pia uliendelea Kukaa kimyaa ukipiga kazi kwa bidii. Kwa Lugha nyingine ulikuwa unasema Elimu yangu nitaionyesha kwa Vitendo siyo mdomoni. Ndani ya Mienzi 6 tangu ujitokeze tena kwenye majukwaa ya Siasa na Uongozi umethibitisha tena na tena kwamba Wewe ni Msomi kuliko wote walitokuwa wanakubeza, unastahili kuwa Professor wao. MUNGU AKULINDE NA KUKUFUNGULIA MILANGO YA NEEMA ZOTE KIAFYA, KIAKILI NA KIROHO. MUNGU AKUKINGE NA MAADUI WA MAAENDELEO WOTE, AAAAMINA.
@Werema3760Ай бұрын
●Hao ni wamoja washayamaliza UTAELEWA MBELE relax. Miaka 2 tu utaelewa
@OmanOman-dn6djАй бұрын
Gwajima Alaaniwe kwa haya yote aliyasema yeye tena kanisani kwake
@istambulahmed6664Ай бұрын
Elimu sio makaratasi bali ni matendo mazuri ambayo jamii inashuhudia
@user13375Ай бұрын
@@OmanOman-dn6djEt askofu 😮😮😮😮
@ProsistaTarimoАй бұрын
Huyu jamaa amewapita hata wanasheria wasomi. Achana na Mungu kabisa amempa hekima kama Ile ya mzee Suleman kwenye maandiko matakatifu . Big up Makonda
@sarahdeograthias9097Ай бұрын
Piga spana wazembe wote,Makonda Vivaaaaaaaaaaaaaaaaaa..gongs like za kutoshaaaaa
@anitarafaАй бұрын
very good job in makonda, I'm from Kenya but I work in Saudi Arabia but I like the work in makonda and Waziri Silaa God bless mama samia.
@JeanMuzaliwa-bs6qhАй бұрын
Mheshimiwa Makonda very intelligent and smart natamani kukutana naye siku moja jameni mm nimu congo 🇨🇩 ila tanzania mna bahati kufanyikiwa viongozi wazuri wenye sense of humanity si kama sisi uku tunaumia jameni!
@jumaseif1109Ай бұрын
Huyu Mwamba yupo vizuri sana naiona Arusha yenye muonekano mpya
@user-ml5tq8hj2xАй бұрын
Yes wanunue material arusha safi sana waungishe watu ameeeeeeen barikiwa makonda
@ebenezermachange-zp4esАй бұрын
Glory to God kwaajili ya mh..Makonda
@laizermaasai6759Ай бұрын
Makonda yupo vizury sanaaaaa. Unajali sanaaa wa nyumbani ndo mana hata tunaanza kuona maendeleo Arusha
@user-br7sf6ey9tАй бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤ aowatoto wanamuwai mweshimiwa walau wapatepo kumgusa kidogo jamani 😂😂 aseee makonda tunakupenda sana adi malaika nao wanakupenda aseee mungu akutunze ufike kwenye kitikikuuu tunaomba ayo nakuamini aminaa
@kanankirannko6174Ай бұрын
Kipindi akiwa mkoa Wa Darsalam walikuwa wanamkataa lakini sisi Arusha tulisema tupeni Makonda manake tutaenda speed ya ajabu subirini muone tutakavyopaa
@jivitafoundation450Ай бұрын
Hongera sana kwa kuona umuhimu kuwashirikisha vijana katika Ajira
@KelvinAlfred-rc1hqАй бұрын
Makonda anaakili nyingi sana
@user-xk7vy4gb6gАй бұрын
Hongera sana Mh Makonda Mungu akulinde
@abaskhatoon9425Ай бұрын
UKITETEA WANYONGE WW ELIMU YAKO NI KUTOKA KWA MUNGU INAHESHIMA KATIKA USO WA DUNIA NA KHERI KATIKA MAISHA YA BAADA YA DUNIA.KAZI IENDELEE.MUNGU YUKO NA WEWE.
@makamehaji8204Ай бұрын
Des 2026 kwa wakandarasi wengi very risk wangepaswa wapewe termination ya May 2026 ili wawe na speed mchana usiku
@johpixel4108Ай бұрын
Hapo kwenye kununua matirio ndani ya area hiyo ni jambo zuri Kwa wengine watanufaika,hongera Mh
@israelimarco6465Ай бұрын
Ni maombi yangu kwako Kila siku ya maisha yangu Mungu akupe nguvu ya kustahili
@user-cw8jv1jm6nАй бұрын
Ongela kazi nzuli mungu akulinde
@ashrafkhamis1051Ай бұрын
Kazi njema mr makonda 🇹🇿🇰🇪🇺🇬
@patricknyiti5303Ай бұрын
local content lazima iwepo kwenye huo mkataba
@hamenyayohanakasase5836Ай бұрын
Ametumia lugha ya kawaida kabisa kuelezea Local Content, na ameeleweka sana.
@user-po3qj8gb7eАй бұрын
Ha haa we huyo ni mdogowake magufuli anafuta nyayo bila kukosea hutua hata Moja mzee wa spana nyoosha Arusha usiogope
@ShebbyMagetaАй бұрын
Makonda mwamba kabisa
@SomagroupAfrica-eh8uhАй бұрын
Brother upo very smart
@SalomeOmbeni-sg9mpАй бұрын
Asante makonda
@nkundechindwa9654Ай бұрын
Mheshimiwa Makonda naomba kukutana na wewe
@tahirnephessalum3678Ай бұрын
hivi wakuu wa mikoa mingine kazi yao ni nin? safi sana comrade makonda
@KhmsNsrАй бұрын
😂kula dinner na lunch.😂.
@PaskaliEdimundiАй бұрын
Hongera kaka unachapa kz sana mkuu
@dicksonmushi8309Ай бұрын
Huyu Mzee sio kama mnavofikiri magufuli amefufuka🙏
@aishaomaryyousefomaryloiru1990Ай бұрын
Kabisa my dear,amekivaa hicho kiatu cha magufuli
@OmanOman-dn6djАй бұрын
Mh Makonda❤
@josephnemgosi8804Ай бұрын
Makonda kemea mafundi wasije tembea na wanafunzi na mama zao wauza chakula hapo
@user-tt7de4kt7hАй бұрын
Kweli kabisa,
@PeterNassary-qs5efАй бұрын
Mheshimiwa nenda meru shida sana huko mbunge atusaidii chochote
@frankkitomary3878Ай бұрын
apo ndugu yangu sio kwamba sipendi wazabuni wa uku ndani shida wako sawaa awana magumashi maana utasikia pesa aikutosha angalieni vizuri kwa jicho la tatu
@PhilippeKasim-ut5jlАй бұрын
Hakuna anayejua
@oswaldmwita1520Ай бұрын
Wawape wa zawa kwenye tofali
@bakarithegeoinformatician7406Ай бұрын
Kuna mahali wanakimbilia wawape wazawa alafu wazawa wanakuwa na bei kubwa!
@PeterNassary-qs5efАй бұрын
mheshimiwa tunakuomba uende meru seeela kuna shule ya secondary wanafunzi wanaaambia wanunue vitabu vya waaalimu
@ramadhanmahongole9293Ай бұрын
Uwanja wa mfalme wa morocco dodoma mbona huyo mfe kaingia motoni ukaishia kujenga msikiti tu lkn uwanja kaukimbia
@josephnemgosi8804Ай бұрын
Wapangilie mji kama karatu
@hanifamziray277Ай бұрын
Hilo neno vijana wapate ajira hata.wizi utapungua
@eddechriss2664Ай бұрын
Eeeh mnatest baada ya kuweka jiwe la msingi, mlipotuonyesha site sie tukajuwa kila kitu ni approved
@josephnemgosi8804Ай бұрын
Babla ya ujenzi watu wafidiwe kwanza
@wingracealfred1978Ай бұрын
Mkuu wa mkoa njoo Barbara ya olasiti inajengwa taratibu Sana tunateseka
@RaphaelSamwel-xb3tmАй бұрын
Hchi kiwango kko wp Arusha sehem gan
@user-kg9uz2hh1yАй бұрын
contractors, umeme na ujenzi wawe ndani ya Arusha
@adelametili2283Ай бұрын
Makonda wewe ni mtu mwenye UTU sana... Materials zipatikane Arusha kwanza..Nimeipenda hii sentence.. Penda wewe sana..Mungu akutunze..mzee wa spanner 🔧
@LowassaPinielАй бұрын
Mh makonda piga kazi usicheke na wat wazemb kazn hasa hasa watendaji wa kata wa vijiji na madiwan hawajielew at na kukaribish ngaramton mkuu
@frbm1729Ай бұрын
Ukuu wa mkoa haukufai kabisa!!!! Ulistanili kuwa PM au VP
@Niika870Ай бұрын
Yule mfalme Tapeli kapiga mskiti tu uwanja hakuna hapo😂
@JemesjoniАй бұрын
Jamen 2026 ngombea ulais makonda
@user-fn6fs8oy5lАй бұрын
Kwani akitoa mikono mfukoni inakuwaje!!?Naamini unyenyekevu ni jambo la busara sana maana wengi hapo Wana umri unaostahili heshima.
@mercyzakariahАй бұрын
Rais wetu WA mkoa jembe letu wewe ni zaidi ya dhahabu isio shuka thamani kwetu tz nzima,
@mbolikop6419Ай бұрын
Huu uwanja unajengwa sehemu gani ya Arusha?
@Oscarmarwa-fitnesstrainerАй бұрын
Njiro
@user-sj3wf5vz7lАй бұрын
Huo uwanja ujengwe haraka. Wachaga tunausubiri tuje kula mwaka mpya 😂😂
@elibarikimollel7149Ай бұрын
Ni kampeni iliyonyooka lakini haitusahaulishi maumivu ya miaka 10, katiba mpya na tume huru ni sasa ili wapiga kura tuchague sio watupitishie bila kupingwa!....
@onelovetz7935Ай бұрын
Sema tanganyika
@vintz338Ай бұрын
Yan udongo kitest ni miez miwili 😂
@modestusndunguru7183Ай бұрын
Of course..kutest udongo sio kama...kutest zari mzee... hiyo ni soil science..ambayo Ina hatuna zake na wanachukua sampuli tofauti tofauti hapo 😂😂😂😂... sio malaria hayo. Na kinachojengwa ni uwanja..unamumuisha vitu vingi..a Na soili laxima iwe vizuri kwa usalama wa baadae
@kilogreekachananawatuwasio4054Ай бұрын
WAWE KWELI RAIS WA ARUSHA VIJANA WA ARUSHA UTAJILI WINJIWINJI MKITULIA😂😂😂
@MohamedMkotaАй бұрын
Ni wp unajengwa jmn tuchangamkie fursa
@emanuelmkama1325Ай бұрын
Nhix kisongo
@MohamedMkotaАй бұрын
@@emanuelmkama1325 kisongo sehemu gn
@emanuelmkama1325Ай бұрын
@@MohamedMkota nkisongo Ila sjui nsehem gan
@user-ml5tq8hj2xАй бұрын
Yani la baba makonda wapitie haswaa akili zimelala pita safari city tujenge tuwe karibu na afcon tuwape watu apatment barabara haipitiki safari city na watu wanataka kuanza kujenga tunashindwa
@MohamedMkotaАй бұрын
Naomba kuuliza huu. Unajengwa wp
@MohamedMkotaАй бұрын
A rusha sehemu gn
@rasnchimbiАй бұрын
Analolazimisha mwishowe vifaa feki visivyo na viwango,bola mradi eti viko Ars,zile chuma hazina ubora wa kudumu!zinaoza haraka.😢
@hamenyayohanakasase5836Ай бұрын
Ni heri feki ya nyumbani kuliko feki ya kutoka nje.