Mungu mbele sisi nyuma burundi Tanzania na Congo ❤❤❤❤❤❤
@meshackmwaluko84423 күн бұрын
Safi sana
@EliudLikakali14 күн бұрын
Mladi huo wa ushoroba wa kati utakuwa mkombozi mkubwa kwa maisha kwa Wananchi wa nchi hizo kwani gharama ya bidhaa zitapungua kwa kiasi kikubwa Mungu ibariki nchi zote tatu kwa kutekereza mradi huo
@fredysamizi98775 ай бұрын
safi
@edwardmizambwa237Ай бұрын
Beni Mwanantala tumekimisi sana rtl
@user-qh4bd1sh8n20 күн бұрын
Fujo za ubungo leo
@theophilmawe97762 ай бұрын
Mbona Rwanda cjaisikia
@ibrahimcongeram.8067 сағат бұрын
Ugomvi kati ya Burundi na Rwanda ukiisha Rwanda itachukuwa kutoka Gitega hadi Kigali. Burundi wanasubilia Rwanda iwakabizi wale walio jalibu kutaka kupindua serekali ya Nkurunziza wafikishwe mbele ya Maakam kuu ya Burundi huku Rwanda ikikataa kuwapana. Warundi na wanyarwanda ni kitu kimoja ila siasa ndio inawavurugia.