Mchungaji Kimaro yaani nimeyakubali mahubiri yako! Yaani kinachokosekana kwa watu wengi ni kukosa kujitambua na kujua kusudi lake.
@beatricegaston51969 ай бұрын
Ameen mchungaji Mungu wa Mbinguni aendelee kukutumia kwa viwango vya juu
@estherchege90749 ай бұрын
Camping kama hii ya vijana inapangwa lini tungependa sana vijana wetu wahudhurie kutoka kenya please connect me kindly.. church team ektv.. mchungaji eliona kimaro
@lucianagodson4379 ай бұрын
Mungu azidi kukutunza Mchungaji
@badyangasimon5198Ай бұрын
Amen amen
@mussaelia86939 ай бұрын
Mungu azidi kukuinua our pastor , Tunaomba session ya kwanza alofundisha pastor Mastai , Hatujaweza ipata , Kwenye channel ya usharika kuna session ya pili na ya tatu tu . Ikikupendeza tupate pia nasi tuliomiss ibada hii baba mchungaji
@adamzachariakinyekile69489 ай бұрын
kweli kabisa vijana wengi hatutaki kujitafuta mpaka tutafutwe,wengi wanajua kubeti tuu
@ANODIUSPROJESTSEVELIN-vu9xt7 ай бұрын
Baba ubarikiwe napokea
@Hilgath8 ай бұрын
Amina
@damianurio63059 ай бұрын
Amen barikiwa Mchungaji karibu sana Arusha
@adamzachariakinyekile69489 ай бұрын
Na mimi wa kwenye mtandao ni bilionea nijae
@jescaelia29519 ай бұрын
Am the future billionaire in the name of Jesus
@deniskaiza43068 ай бұрын
Nimebarikiwa
@alex_vincent9 ай бұрын
Hallelujah
@joelmilendo47059 ай бұрын
Am the chosen one
@eunicekileo9 ай бұрын
Haleluyaaaaaaaaa!
@user-yz5zn4tr6i9 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤AMEN 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@josephlukumaya42239 ай бұрын
Amena MUNGU akubariki
@estherchege90749 ай бұрын
Naomba vile ninavyoweza kupata namba ya mchungaji
@Hilgath8 ай бұрын
Ingia kwenye hii anaunt yake zipo namba zake
@bightmind.tv19 ай бұрын
mafanikio yako na siri kubwa Mungu atusaidie sana, kuanzia semi traler, laki tano kuzaa 1.5 billion, .... tuzidi kufanya kazi kwa bidii na kuwa na subirah