One of the best Evangelists that the country has. Ishi sana Baba.
@janeobure3006 Жыл бұрын
Nabarikiwa sana na mtumishi huyu.MUNGU azidi kukupigania.
@user-ol3bb4nm4b5 ай бұрын
Daaah wew ni nomaa!Mungu amekupaka mafuta kwel kwel😍
@theopistamwayeya1764 Жыл бұрын
Yan nimecheka kwa sauti kyaaaaa! Barikiwa baba.
@RenathaElias2 ай бұрын
Barikiwa mchungaji mungu mwema Kila wakati nimecheka xana Lakn nimejifunza kitu kweli Kila jambo ni kumtanguliza kwaza mungu🙏🙏🙏🙏
@cocotz18925 ай бұрын
Mungu ni mwema.Nimejifunza jambo kubwa sana
@deborahmgedzi63210 ай бұрын
Mungu Baba Mwenyezi Anakupenda sana mtumishi.
@erickpallangyo13252 ай бұрын
Amen 🙏
@florashauri9228 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana Pastor ushuhuda huu unainiinua kiwango changu cha Imani .Bwana Yesu azidi kukutunza
@ericmtalemwa3573 Жыл бұрын
Ahsante pastor kwa ushuhuda. Bwana Yesu aendelee kutufundisha na huruma yake iwe juu yetu siku zote. Amen
@nigananurunjema Жыл бұрын
Dr Kimaro umeongea point kubwa sana. Niliacha kwenda morning glory lakini leo nimepata changamoto naomba Mungu anisamehe na anisitiri sitaacha tena kwenda hata kama Sina pesa
@ombeninassary2151 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
@prisca4612 Жыл бұрын
Amen Amen Amen!!!!!
@grasherchavala2732 Жыл бұрын
Ubarikiwe.mtumishi kwa ushuhuda huu unaotujenga na kutuongeza imanii na.kujifunza tumtegemee yesu ktk kila jambo.
@greenermichael2057 Жыл бұрын
Mchungaji Mungu akutunze kwa kwel nmefurah
@dennomtotowasarah1519 Жыл бұрын
God bless you man of God
@aishahaisha4941 Жыл бұрын
Aki Kwa kweli Mungu akubariki mchungaji umenichekesha mno atlist umetoa sumu mwilini mwangu
@florakitio646 Жыл бұрын
Amen amen 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏽🙏🏾🙏
@DouglasTiepon10 ай бұрын
Amen man of God
@gracelyimo6256 Жыл бұрын
Amen
@alfredmaingi3506 Жыл бұрын
Duh mch, nimecheka kwelikweli, na mm nimejifunza mengi pamoja na kucheka
@reginameitavan4032 Жыл бұрын
Mtumishi umejua umenifurahisha na kunielimisha,Mungu aendelee kukumiminia mibaraka tele
@loveemanuely4026 Жыл бұрын
Ubarikiwe Sana baba
@aminamavura6834 Жыл бұрын
Ushuhuda mzuri hongera mch Kimaro
@bryasonlaizer Жыл бұрын
Ubarikiwee
@hadijangaina2833 Жыл бұрын
Subhanallah, nimecheka na kuhuzunika dooooh
@fathiasaed9718 Жыл бұрын
Amina
@irenefaustine6301 Жыл бұрын
Umenichekesha Sana mchungaji, ila nakukaribisha tena ukerewe shida ulipanda mitumbwi itwayo Yamaha siku hizi tuna vyombo imara vya usafiri hivyo karibu Sana
@jennytugara9470 Жыл бұрын
Mmhhh maji hayana urafiki ndugu
@jumannekhalfan2732 Жыл бұрын
MUNGU ALIKUWA NA KUSUDI LAKE!HATA INGEKUWA NI HIVYO VYOMBO VYA KISASA VISINGEMZUIA MUNGU APENYEZE KUSUDI LAKE! MUNGU AKUBARIKI MTUMISHI ,NIMEJENGEKA MNOO!
@SARAHHALIFA-wm2kg Жыл бұрын
Nasikia Kuna uchawi balaa huku
@elianaarsen9942 Жыл бұрын
Ushuhuda mzuri sana,Mungu akubariki
@danieldavid9223 Жыл бұрын
Nabarikiwa sana
@christinakembe3869 Жыл бұрын
Kweli Mungu anatumia chochote
@joycelaura4611 Жыл бұрын
👋👋🙏🙏
@masindemagee9603 Жыл бұрын
Kweli
@ernestbutagalala9 күн бұрын
Hahahaaa ubarikiwe mtumish kwa ushuhuda 😂😂😂😂
@consolatamedard6593 Жыл бұрын
😃😃😃 Amen nimejifunza kitu ubarkiwe Mtumish
@esthernkya717 Жыл бұрын
Kweli Mchangaji unajua kututia moyo kwa mafundisho yako
@fridafrida7665 Жыл бұрын
God bless you father
@greenermichael2057 Жыл бұрын
Mchungaji mie nakupenda BAC TU
@florahemmanuel8323 Жыл бұрын
Daaa huyo Teja unaweza mtumbukiza Kwaaji
@emmanueljohn8970 Жыл бұрын
Nimebarikiwa mno
@naomimhamba4367 Жыл бұрын
kila kitu ni mtumishi wa Mungu! BIG statement.
@purple10116 Жыл бұрын
Dah nimecheka sana lakini pia nimejifunza kitu Mungu azidi kukuinua zaidi mchungaji
@mukembanyikalinda8908 Жыл бұрын
😃😃😃😃
@malkavoice2570 Жыл бұрын
Eliona au Eliyona
@judicalosika76424 ай бұрын
Eliona
@estherchege90749 ай бұрын
Ah hii nayo testimony ya ajab... nakwambia wacha tumkiri Yesu wakati wote..
@joycerichard927411 ай бұрын
4:13 😅😊
@tonestiachristian9222 Жыл бұрын
Nimecheka kifara………….Barikiwa mtumish wa Mungu😅😅🤣🤣
@lovenesswalter6650 Жыл бұрын
Teja kanichekesha Sana
@user-zb7xz5wm1y11 ай бұрын
Balikiwa sana
@gracefollowingnikiwautawal8715 Жыл бұрын
Kunja kenya pastor tunakupenda
@dafrosamsonge2007 Жыл бұрын
Htr pata picha watu WA MV Bukoba n precion walivokunywa maji
@roseallen7198 Жыл бұрын
Hahahaha teja nomaaaa
@kechuagrosupplies Жыл бұрын
Pole kaka angu 🤣🤣
@fransiscarbrunoh6889 Жыл бұрын
Pole sana mungu akbark
@florahemmanuel8323 Жыл бұрын
Sipati picha hapo pastor Sijui ulisha wahi mjua Yesu hapo Utaanza kutubu Kila dhambi naona
@frankritte5837 Жыл бұрын
Mchungaji hapo KKKT Kijitonyama usihame utawaacha waumini wapweke.
@frankritte5837 Жыл бұрын
Waumini msikubali Mchungaji Kimaro shame.
@allenangunangwa369421 күн бұрын
ASANTE MUNGU KWA HUDUMA ILIYOTUKUKA.USICHOKE SONGA MBELE
@catherinenjeeri649 Жыл бұрын
😁😁😁😁😁teja mweeh
@oscanyakunga Жыл бұрын
Amen😂😂😂😂😂
@nuruanafisoo4220 Жыл бұрын
Nimecheka jamn
@fredrickfilbert392211 ай бұрын
Msg na simu 1995-96
@evalinemmary7070 Жыл бұрын
Emen hakika ushuuda umenibariki
@ashurakodd1589 Жыл бұрын
Yaan umenichekesha
@florahemmanuel8323 Жыл бұрын
Maombi ya kistaarabu hakuna hapo
@frankmosha5978 Жыл бұрын
Walokole vp hapo injili imepigwa na teja
@RaymondCharlesSaliboko-to6vxАй бұрын
😅😂😂
@neemakisaka4089 Жыл бұрын
Kujifunza kwa njia ngumu
@deborahmgedzi63210 ай бұрын
Mungu Alimtumia huyu mtu kukumbusha umuhimu wa kumjtambulisha Mungu wetu.
@beatrice3671 Жыл бұрын
Nimecheka mpaka nimejikojolea uuwiiiiiii
@emmanuelmchome7015 Жыл бұрын
We betrece sa itakuwaje ??
@sonicaghendewa9886 Жыл бұрын
😂😂😂Teja kibokooo
@deborambutu9547 Жыл бұрын
Hahahaha Apo kwenye kujiandika mchaga wa marangu..jmn
@goodluckyabsalom516 Жыл бұрын
Hhhhha jamani Mungu atupe ulinz mkali amen Mtumishi barikiwa
@margaritoraphael3805 Жыл бұрын
Nimecheka🤣🤣
@theresiamatiya1599 Жыл бұрын
Hahahahaaaaaa uuuuuuuwiiii.
@miriamalute15405 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@convinemukidanyi864 Жыл бұрын
Teja 😂😂😂
@misojiyona2648 Жыл бұрын
Yaani nimecheka mpaka machozi
@shinemakenzi8101 Жыл бұрын
Ila hilo kanisa lina wanawake wazur cheki walivyo valia matiti nje nje dada vaeni vizur bac mbona mitego live kwa mchungaji
@mahobesiku5921 Жыл бұрын
Haaahaaa,oyaa skliza mahubiri usiangalie titi
@joasmeta7480 Жыл бұрын
Mbavu zangu
@vickyayo8712 Жыл бұрын
Auwe wote na yeye akiwa wapi
@professorbenjamin1027 Жыл бұрын
😄😄😄 Yeye alikuwa anajua kuogelea
@emmanueljohn8970 Жыл бұрын
Umeona eh
@emmanueljohn8970 Жыл бұрын
Alikuwa mfanyakazi Wa Boti inaelekea
@misojiyona2648 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@fredrickfilbert392211 ай бұрын
Magogo ziwani jamani
@lovenesswalter6650 Жыл бұрын
Popote mtambulishe Mungu wako
@PhilipoMangeraАй бұрын
Coolio to simon o8y9mkg
@frankmosha5978 Жыл бұрын
Walokole vp hapo injili imepigwa na teja
@valeriamtenga3384 Жыл бұрын
Mungu hana formula, na akili zake hazichunguziki kamwe! Na pia anaweza tumia hata mnyama, hata mawe kufikisha ujumbe ! Ilikua ni siku ya kufundishwa na mtu tusiedhania