No video

RICARDO MOMO ATOA YA MOYONI-"KUSEMA KWELI KWA UFUPI TU NIMEACHWA NA MKE WANGU"

  Рет қаралды 137,495

Wasafi Media

Wasafi Media

Жыл бұрын

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 217
@uwimana6533
@uwimana6533 Жыл бұрын
Pole momo mungu akupe subra kila lenye mwanzo linamwosho wake atachezewa na wa Nigeria wakimchoka wanatupa kule uchafu
@johnhanga7583
@johnhanga7583 Жыл бұрын
Mungu akupe nguvu bro Rikado momo najua uchungu wa kuachwa
@Fahadi2023
@Fahadi2023 Жыл бұрын
Real man Momo, kiufupi nimeachwa💯
@Kidotii
@Kidotii Жыл бұрын
Duh the voice ni Diamond hawa watu ni ndugu!
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 Жыл бұрын
Si baba mmoja jamani 😂😂
@hassanmakame4382
@hassanmakame4382 Жыл бұрын
Alie skia ili jamaa saut yake km ya mondi gonga like
@najmahhassan7853
@najmahhassan7853 Жыл бұрын
Kabisa 👌
@lipiharun6105
@lipiharun6105 Жыл бұрын
Anaitwa Iddi santos. They are brothers
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Жыл бұрын
Wanafanana sn
@aishahasan7722
@aishahasan7722 Жыл бұрын
Huyo na mond ni baba1
@yustomlay
@yustomlay Жыл бұрын
Wanafanana na mondi hata sura
@hhhhhhhgbhnnhn
@hhhhhhhgbhnnhn Жыл бұрын
kaachwa manara na hele zake , kaachwa dr mwaka na dawa zake za nguvu za kiume ukiwaelewa wanawake umeyaelewa maisha
@rose_Winchester86
@rose_Winchester86 Жыл бұрын
😹
@doreenmsafari2945
@doreenmsafari2945 Жыл бұрын
Nimekuelewa Asante
@wekezauchumi7440
@wekezauchumi7440 Жыл бұрын
Idd santos sauti yake kama ni ya Diamond...ebu sikilizen vizur
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 Жыл бұрын
Undugu balaaaa
@kamaalali4022
@kamaalali4022 Жыл бұрын
Sio kweli. Kwani hata wewe ulipoanza kuwaona Wazazi wako( Baba na Mama) ulizani ni ndugu au sio! Kwanini? Kwa sababu wameshakaa kwa pamoja kwa muda mrefu wanafanana Tabia.
@Myplusbee
@Myplusbee Жыл бұрын
@@kamaalali4022 Sasa umeambiwa wamefanana tabia au wamefanana sauti?
@soudnassor2956
@soudnassor2956 Жыл бұрын
Hawa diamond ni ndugu zake wa damu 100% huyo mdgo sauti ya Monday tu
@mariammnongo2149
@mariammnongo2149 Жыл бұрын
@@kamaalali4022 hao ndugu wameshare baba
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no Жыл бұрын
Daah pole Sana Kwa kweli Momo
@fidelekahezi5175
@fidelekahezi5175 Жыл бұрын
Sauti ya Santos utafkiri diamond aisee
@najmahhassan7853
@najmahhassan7853 Жыл бұрын
Wamefanana pia.
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Жыл бұрын
Saaana
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 ай бұрын
ni kweli
@EK-kp2np
@EK-kp2np Жыл бұрын
Yaani huyu Santos ana sauti kama Diamond 🥳
@user-ym5ko9ov2o
@user-ym5ko9ov2o 10 ай бұрын
Umeona yaani kooopi
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 ай бұрын
kabisa yaani
@dottohami
@dottohami Жыл бұрын
Mwaka huu ni mwaka wawatu kuachana jamani hatali sana hizi ndoa mtihani
@Emedroadtocanada
@Emedroadtocanada Жыл бұрын
Idi santosi hii kanzu nimeipenda aisee nitaitafuta insha allah
@donlinechanell4760
@donlinechanell4760 Жыл бұрын
Daaah recardo kanchekesha sanaaaa
@zariadunia6328
@zariadunia6328 Жыл бұрын
Huyu santos wanafanana sauti na Diamond kweli hawa ndugu mzee Abdul atulie mond si mwanae
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 Жыл бұрын
Idi Santos amempa kaka yake ushauri mzuri sana
@afisamipango005
@afisamipango005 Жыл бұрын
Mzee wa za ndaaaaani za ndaaaaaaaaani kabisaaaa ameachwa
@marymwaluko3364
@marymwaluko3364 Жыл бұрын
nimechekaaa eti kwa kifupi nimeachwa😂😂😂
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 Жыл бұрын
Nimecheka kifala
@elizabethswai7777
@elizabethswai7777 Жыл бұрын
Team Vigugumizi
@dignakanje4508
@dignakanje4508 Жыл бұрын
Nimekuelewa sana momo.Naulichokifanya nichakiume hswa,nimwelewa sana .
@tiffanyakramJr822
@tiffanyakramJr822 Жыл бұрын
Mwaka 2023 ni mwaka wa talaka sijui, kwani huu mwaka unanyota gani jamani khaaa🤗 mi mwenyewe nishaacha teari😂😂
@biaishaallybiaishaally4784
@biaishaallybiaishaally4784 Жыл бұрын
Kweli kabisa mwez wa pili talak simjaa sana kwa kweli🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@shairiharuna2544
@shairiharuna2544 Жыл бұрын
Hahahaaaaaah
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 Жыл бұрын
Mzur tu tala watatoa
@lydiamajula5083
@lydiamajula5083 Жыл бұрын
Mweny nimeachwa japo huk hawajui
@Mina.15
@Mina.15 Жыл бұрын
45 minutes ago nimepatiwa talaka 2 I'm waiting for the last one
@asumaathuman6094
@asumaathuman6094 Жыл бұрын
Mr momo njoo mwanza!!😍😍
@christinaonditi9341
@christinaonditi9341 Жыл бұрын
Na mie huku nampepea Momo jamani😭
@mwanaishasilima8039
@mwanaishasilima8039 Жыл бұрын
Maskini wee anaonekana ilikuwa anampenda sana zaidi ya sana
@godsson5954
@godsson5954 Жыл бұрын
ndo tatzo hilo kujifanya AUSTAZ huku unatamani wanawake WAHUNI ni sawa na kuvaa ijabu huku ndani umevaa kimini cha makahaba
@abdulkheri7322
@abdulkheri7322 Жыл бұрын
Mamaee ety nyambizi la za ndani leo kigugumizi tele🤣🤣🤣
@alimkumbukwa8363
@alimkumbukwa8363 Жыл бұрын
Kwa kifupi nimeachwa 😂
@ahz6907
@ahz6907 Жыл бұрын
All in oll ofkoz nimeachwa!😊
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr Жыл бұрын
Eti kwa ufupi nimeachwa 😂maskini. Pole bro
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 Жыл бұрын
Ricardo kachanganyikiwa huyo wakae nae karibu asije jiua😂😂😂
@Mina.15
@Mina.15 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@joycenicodemus.2232
@joycenicodemus.2232 Жыл бұрын
Kweli kabisa anajikaza tu Ila anaumia Sana kuachwa namke wake.
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 Жыл бұрын
Nyie huu mwaka sijui kama nitatoboa bila kuachwa mbona talaka nyingi sana 😂😂😂
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Жыл бұрын
Mapenzi jmn shikamoo
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 Жыл бұрын
Hahaaa momo jmn et kifupi nimeachwaa
@tajirihalisi823
@tajirihalisi823 Жыл бұрын
Dah mahojiano mazur na pole san ricardo
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Жыл бұрын
Mimi wanawake wa Kitanzania hata sitaki kuwasikia wengi wao ni wasaliti kupita maelezo , ni bora uowe watu wa mataifa mengine hata mzungu oa, huyu malaya hawajui wanigeria walivyokuwa matapeli na washenzi
@mwanaishaabubakar5013
@mwanaishaabubakar5013 Жыл бұрын
Tena owa ulimwengumzima lakini sio mnigeria si watu wale, vijibwa mwitu
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Жыл бұрын
@@mwanaishaabubakar5013 sio watu wale wanawake wao washenzi pia
@stephennaaman1971
@stephennaaman1971 Жыл бұрын
Eti sio kwa ubaya😂😂
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 Жыл бұрын
Na kaka momo taftq msichana wa saiz yuko usitafte maji marefu kwakuwq wewe ndugu wa diamond. Maji marefu yatakutenda mana hayatakuja kwa mapenzi ya dhat
@hanifahanifa1010
@hanifahanifa1010 Жыл бұрын
Kwan mond mungu
@travellingandadventures2549
@travellingandadventures2549 Жыл бұрын
Pole bro..ndo uwanaume
@user-wk1ix1gm1p
@user-wk1ix1gm1p Жыл бұрын
Pole sana kaka ndo ukubwa, mungu atakupa alomwema inshaallah
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 Жыл бұрын
😂😂😂😂 kuachwaa kuchwaa kuachwaa kuachwa ni shughuli pevu mtaachwa sana mwaka huu wanaume😂😂
@gloriamkude7172
@gloriamkude7172 Жыл бұрын
Watu wamechoka wanaaacha tuu
@anwarKhan-gn6yt
@anwarKhan-gn6yt Жыл бұрын
Alieona kapaja ka dida agonge like
@jokhaali5893
@jokhaali5893 Жыл бұрын
Kwanza kabisa natoa pole kwa RICARDO MOMO. Halafu tizameni wanawAke wa kuoa kwa size zenu musichukuwe waliowahi kuwa wazuri kwa sura kuliko wenyewe. Sumu ya mwanamke ni kusifiwa kwa uzuri wake
@janemhangomhango5841
@janemhangomhango5841 Жыл бұрын
Hawa wanafanana kuongea na Diamond
@janemhangomhango5841
@janemhangomhango5841 Жыл бұрын
Na kumdomo
@selemanimkwichu782
@selemanimkwichu782 Жыл бұрын
Pole kaka angu utapona tu
@chulitolove6648
@chulitolove6648 Жыл бұрын
Wa Nigeria walisha kadanganya😂😂😂.....all i can say is ,. All the best malaika
@hawaomary8486
@hawaomary8486 Жыл бұрын
Acheka kishoga juma
@babyjohn2712
@babyjohn2712 Жыл бұрын
Hawadanganyi wale ni wanatoa hela vibaya mno no story mamae mwanamke wako akikutana na wannaigeria wenye hela case close yaan sahau
@chulitolove6648
@chulitolove6648 Жыл бұрын
@@babyjohn2712 Hela yes wanatoa ila wanakuchezea mwisho Wa Siku píší nyingine Kali wakiiona wanaanza kuifukuzia na kuimwagia Hela na kumspoil alafu uyu malaika atasahaulika ....Yaani Sawa watakupa Hela ila they will never take you serious ety wakuweke ndani wakuoe hee sahau😂😂
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 Жыл бұрын
kuachwa kubaya Pole kaka
@doctorgames5011
@doctorgames5011 Жыл бұрын
Malaika huwa hakosei ( Angels are perfect)
@josephinelwamlema7331
@josephinelwamlema7331 Жыл бұрын
Familia yao ina nini hawa..watakuwawanamatatizo
@agreysteven
@agreysteven Жыл бұрын
Wamuwach nn watu wanapga chakula hpo bataa duuu aisee pole sana
@bethjohn928
@bethjohn928 Жыл бұрын
Kweli mond momo Santos ni damu Moja sio kwa kufanana sauti
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 Жыл бұрын
mbna naongea kama mond Santos
@safiyatheonlything7848
@safiyatheonlything7848 Жыл бұрын
Ndugu hao
@evelynmonica1019
@evelynmonica1019 Жыл бұрын
Kwani iki kipindi kinakuwaga saa ngapi jamani nijulisheni mwenzenu
@kamikazisalma5209
@kamikazisalma5209 Жыл бұрын
2023 balalake sondogo 😂😂😂😂😂😂😂 kaka achana nauyo mwanamke hakufayi kabisa uyo kashapata madanga wenzake 😂😂😂😂😂😂😂
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 Жыл бұрын
Yn hw wote wmefanana sauti jmn kaa
@adamally6
@adamally6 Жыл бұрын
za ndaaaaani ushapigwa
@mwamedypwemu6117
@mwamedypwemu6117 Жыл бұрын
jamaa anaongea kidin zaid allah akupe mke mwema toeni wake wema tu
@maulidhatibu4859
@maulidhatibu4859 Жыл бұрын
Momo kiwewe kimekushika huna lako jambo dini mmeiweka kando mnamtaka umagharibi
@teddymutani856
@teddymutani856 Жыл бұрын
Niliwahi kusikia kuwa mond babaake sio mzee Abdul bali mama mond alizaa na baba yao Ricardo Momo naanza kuamin maana daaah hiyo sauti ya Santos yani kama ya mond na hata sura zao wanafanan kinyama daaah inaezekana ukweli upo jamnii anayefikia kama mimi agonge like
@bettygervas2042
@bettygervas2042 Жыл бұрын
Kwa hiyo mama yao mmoja au momo na santos wana mama yao?
@nyandutozzy8434
@nyandutozzy8434 Жыл бұрын
Ricardo nakuelew huna baya inshaallah mung atatia wepec
@godcheudandy2534
@godcheudandy2534 Жыл бұрын
Yani kifupi nimeachwa
@mrsilverclassic6785
@mrsilverclassic6785 Жыл бұрын
Eti lakum diinukum Yani jamaa anapenda kutumia Qur'an kwenye upumbavu..
@voomtv1254
@voomtv1254 Жыл бұрын
" CHALIIIIII "
@kelvinimlan
@kelvinimlan 2 ай бұрын
Yani momo anaonekana anamajozi sana .mwacheni
@khadracilmi8929
@khadracilmi8929 Жыл бұрын
Wewe ni gentleman !
@ayeshiiddi302
@ayeshiiddi302 Жыл бұрын
Ila juma jamn khaaa
@dianabanga2625
@dianabanga2625 Жыл бұрын
duuuh santos sauti .,kuongea ., yaan diamond mtupu duuh
@mesukanku6016
@mesukanku6016 Жыл бұрын
EX WA ESMA AVAIT PARLÉ DE CETTE FEMME ELLE PENSE QU'ELLE EST UN STAR DOMMAGE
@mohamedrajabu8375
@mohamedrajabu8375 Жыл бұрын
Mzee wa kudele, leo wamekudele ww pole mzee baba.
@sharifapazi3259
@sharifapazi3259 Жыл бұрын
Zamu yako sasa unapenda kuzungumza ya wengine
@mauamwessa2944
@mauamwessa2944 Жыл бұрын
Nimeachwaaaa nimependa😂
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Жыл бұрын
Juma jmn🤣🤣
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 Жыл бұрын
Juma umenifanya nicheke km bwege coz unesema ulikuwa unakwenda ukouko
@sweet16honey75
@sweet16honey75 Жыл бұрын
Ricardo resembles NJ
@nanaleetz
@nanaleetz Жыл бұрын
Momo anajilambalanba lips ya juu inachekesha
@panchovalentino3576
@panchovalentino3576 Жыл бұрын
Noumaaa saàna
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 Жыл бұрын
Kwanza mtu una weza vipi kuoa demu ukimwona tu ana muonekano wa mdangaji😂😂 ki malaya
@thebroski9763
@thebroski9763 Жыл бұрын
Jamaa mondi mtupu
@pendobaharia5598
@pendobaharia5598 Жыл бұрын
🤣🤣🤣jumaa mbeeeea
@rukiyyarukiyya6317
@rukiyyarukiyya6317 Жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀
@hemedyawadhi2935
@hemedyawadhi2935 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣et coment tu waooo daah kuacha kunauma
@edgartemu8299
@edgartemu8299 Жыл бұрын
Mungu akupe uvumilivu kaka
@sultankivumbi9255
@sultankivumbi9255 3 ай бұрын
Jamaa ukimfunikia unto haongei tena mpaka kesho
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 3 ай бұрын
Halafu ni a8bu mmume mtu w dini halafu anajul7kana mke ndo ambamtia aibu huku mke nguo anazovaa na kujiuuza hakukosa ukija shemeji anayeshitakiwa ndiye mwenyewe malaya daimond sasa wake wanaolewa malaya ukuja daimond salaa esma alisema hamkumuamini si alimchukulia bwana ake
@jumanassoro1552
@jumanassoro1552 Жыл бұрын
Duu uyo lokole yan amevunjika mabega hivi
@emmanuelanthony3496
@emmanuelanthony3496 Жыл бұрын
Momo anaongea simple sana lakini Moyoni nahisi maumivu yake anaumia sana
@sultanmaxmed366
@sultanmaxmed366 Жыл бұрын
Juma lokole huna tarumbeta Leo la kutangaza mitaani...😳😳 Naona nanyie mmeachwa Hujatangaza kwa Bomba au kwakuwa lenu haliwatapishi...🤸🤣🤣🙈
@doreenmsafari2945
@doreenmsafari2945 Жыл бұрын
Ongeza sauti huku nyuma hawajasikia plz🤣😅👍
@salmasaid7058
@salmasaid7058 Жыл бұрын
Kuachwa jmn
@safiyatheonlything7848
@safiyatheonlything7848 Жыл бұрын
Kwaiyo queen ss keshatolewa kwenye family khaaa nyie
@hadijarama2774
@hadijarama2774 Жыл бұрын
Huyu hawara mutembea uchi huyu hakuwa mwanake wa kuoa Allaha akupe mke mwenye heri na nuru huyu Hapana hata peponi humpati huyu atababaika humu duniani tuu
@hiki242
@hiki242 Жыл бұрын
Juma tena jmn km alikuwa anaita hii ndoa ivunjike
@user-ym5ko9ov2o
@user-ym5ko9ov2o 10 ай бұрын
Anasauti kama ya Diamond
@rukiyyarukiyya6317
@rukiyyarukiyya6317 Жыл бұрын
Jinimkatakamba ameivaa tz kwa wanandoa
@rehemaothman2475
@rehemaothman2475 Жыл бұрын
Bhana weeeee
@josephjohnmagesa8256
@josephjohnmagesa8256 Жыл бұрын
Aaha awa jamaa ndugu
@misschagga8042
@misschagga8042 Жыл бұрын
Hadi kucheka santos anafanana sauti kucheka ni kama diamond
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 Жыл бұрын
Duh,bongo kila mtu anaweza kuwa mtangazaji ehhh
@josephlucas1412
@josephlucas1412 Жыл бұрын
Muuzaji wa daw za ujana nae kaachwa duh! Mapenz nyoko
@sultansallah8772
@sultansallah8772 Жыл бұрын
Shehe kanzu
@youtub8320
@youtub8320 Жыл бұрын
Tatizo hii channel inakua kama ya kifamily
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 Жыл бұрын
Nampenda uyu kakq uwa mkweli sn na hn ht ws ws
@asumaathuman6094
@asumaathuman6094 Жыл бұрын
Dida anakelele
@babyjohn2712
@babyjohn2712 Жыл бұрын
Ule mziki huuwezi mtu akishaanza kujiuza kumueka ndani ngumu🤣🤣🤣,kashazoea kulala hotel nzur wanaume wanatoa hela then bado wakusifie kutwa kucha halaf wanakuskiliza nyie😂😂😂 huyu kaka asijaribu kujiingiza kwa anga za machangudoa internatinal
لقد سرقت حلوى القطن بشكل خفي لأصنع مصاصة🤫😎
00:33
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 20 МЛН
Playing hide and seek with my dog 🐶
00:25
Zach King
Рет қаралды 35 МЛН
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 9 МЛН
لقد سرقت حلوى القطن بشكل خفي لأصنع مصاصة🤫😎
00:33
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 20 МЛН