RICARDO MOMO ATOA YA MOYONI-"KUSEMA KWELI KWA UFUPI TU NIMEACHWA NA MKE WANGU"

  Рет қаралды 152,308

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

Пікірлер: 227
@uwimana6533
@uwimana6533 2 жыл бұрын
Pole momo mungu akupe subra kila lenye mwanzo linamwosho wake atachezewa na wa Nigeria wakimchoka wanatupa kule uchafu
@johnhanga7583
@johnhanga7583 2 жыл бұрын
Mungu akupe nguvu bro Rikado momo najua uchungu wa kuachwa
@hassanmakame4382
@hassanmakame4382 2 жыл бұрын
Alie skia ili jamaa saut yake km ya mondi gonga like
@najmahhassan7853
@najmahhassan7853 2 жыл бұрын
Kabisa 👌
@lipiharun6105
@lipiharun6105 2 жыл бұрын
Anaitwa Iddi santos. They are brothers
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
Wanafanana sn
@aishahasan7722
@aishahasan7722 2 жыл бұрын
Huyo na mond ni baba1
@yustomlay
@yustomlay 2 жыл бұрын
Wanafanana na mondi hata sura
@Kidotii
@Kidotii 2 жыл бұрын
Duh the voice ni Diamond hawa watu ni ndugu!
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 2 жыл бұрын
Si baba mmoja jamani 😂😂
@Fahadi2023
@Fahadi2023 2 жыл бұрын
Real man Momo, kiufupi nimeachwa💯
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 2 жыл бұрын
Daah pole Sana Kwa kweli Momo
@donlinechanell4760
@donlinechanell4760 2 жыл бұрын
Daaah recardo kanchekesha sanaaaa
@EK-kp2np
@EK-kp2np 2 жыл бұрын
Yaani huyu Santos ana sauti kama Diamond 🥳
@DeboraCalton
@DeboraCalton Жыл бұрын
Umeona yaani kooopi
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 9 ай бұрын
kabisa yaani
@azzaalhabsi1505
@azzaalhabsi1505 4 ай бұрын
Pole sana momo mungu atakupa mwenye heri na wewe.kila likuepukalo unaheri nalo kuwa mvumilivu tu ndio jambo la msingi.kizuri hakikosi kasoro.
@teddymutani856
@teddymutani856 2 жыл бұрын
Niliwahi kusikia kuwa mond babaake sio mzee Abdul bali mama mond alizaa na baba yao Ricardo Momo naanza kuamin maana daaah hiyo sauti ya Santos yani kama ya mond na hata sura zao wanafanan kinyama daaah inaezekana ukweli upo jamnii anayefikia kama mimi agonge like
@bettygervas2042
@bettygervas2042 2 жыл бұрын
Kwa hiyo mama yao mmoja au momo na santos wana mama yao?
@asumaathuman6094
@asumaathuman6094 2 жыл бұрын
Mr momo njoo mwanza!!😍😍
@fidelekahezi5175
@fidelekahezi5175 2 жыл бұрын
Sauti ya Santos utafkiri diamond aisee
@najmahhassan7853
@najmahhassan7853 2 жыл бұрын
Wamefanana pia.
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
Saaana
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 9 ай бұрын
ni kweli
@anwarKhan-gn6yt
@anwarKhan-gn6yt 2 жыл бұрын
Alieona kapaja ka dida agonge like
@marymwaluko3364
@marymwaluko3364 2 жыл бұрын
nimechekaaa eti kwa kifupi nimeachwa😂😂😂
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 2 жыл бұрын
Nimecheka kifala
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr 2 жыл бұрын
Eti kwa ufupi nimeachwa 😂maskini. Pole bro
@tiffanyakramJr814
@tiffanyakramJr814 2 жыл бұрын
Mwaka 2023 ni mwaka wa talaka sijui, kwani huu mwaka unanyota gani jamani khaaa🤗 mi mwenyewe nishaacha teari😂😂
@biaishaallybiaishaally4784
@biaishaallybiaishaally4784 2 жыл бұрын
Kweli kabisa mwez wa pili talak simjaa sana kwa kweli🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@shairiharuna2544
@shairiharuna2544 2 жыл бұрын
Hahahaaaaaah
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 2 жыл бұрын
Mzur tu tala watatoa
@lydiamajula5083
@lydiamajula5083 2 жыл бұрын
Mweny nimeachwa japo huk hawajui
@Mina.15
@Mina.15 2 жыл бұрын
45 minutes ago nimepatiwa talaka 2 I'm waiting for the last one
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 2 жыл бұрын
Nyie huu mwaka sijui kama nitatoboa bila kuachwa mbona talaka nyingi sana 😂😂😂
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 2 жыл бұрын
Idi Santos amempa kaka yake ushauri mzuri sana
@wekezauchumi7440
@wekezauchumi7440 2 жыл бұрын
Idd santos sauti yake kama ni ya Diamond...ebu sikilizen vizur
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 2 жыл бұрын
Undugu balaaaa
@kamaalali4022
@kamaalali4022 2 жыл бұрын
Sio kweli. Kwani hata wewe ulipoanza kuwaona Wazazi wako( Baba na Mama) ulizani ni ndugu au sio! Kwanini? Kwa sababu wameshakaa kwa pamoja kwa muda mrefu wanafanana Tabia.
@nassoroc
@nassoroc 2 жыл бұрын
@@kamaalali4022 Sasa umeambiwa wamefanana tabia au wamefanana sauti?
@soudnassor2956
@soudnassor2956 2 жыл бұрын
Hawa diamond ni ndugu zake wa damu 100% huyo mdgo sauti ya Monday tu
@mariammnongo2149
@mariammnongo2149 2 жыл бұрын
@@kamaalali4022 hao ndugu wameshare baba
@abdulkheri7322
@abdulkheri7322 2 жыл бұрын
Mamaee ety nyambizi la za ndani leo kigugumizi tele🤣🤣🤣
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 2 жыл бұрын
Ricardo kachanganyikiwa huyo wakae nae karibu asije jiua😂😂😂
@Mina.15
@Mina.15 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@joycenicodemus.2232
@joycenicodemus.2232 2 жыл бұрын
Kweli kabisa anajikaza tu Ila anaumia Sana kuachwa namke wake.
@ahz6907
@ahz6907 2 жыл бұрын
All in oll ofkoz nimeachwa!😊
@hhhhhhhgbhnnhn
@hhhhhhhgbhnnhn 2 жыл бұрын
kaachwa manara na hele zake , kaachwa dr mwaka na dawa zake za nguvu za kiume ukiwaelewa wanawake umeyaelewa maisha
@rose_Winchester86
@rose_Winchester86 2 жыл бұрын
😹
@doreenmsafari2945
@doreenmsafari2945 2 жыл бұрын
Nimekuelewa Asante
@dignakanje4508
@dignakanje4508 2 жыл бұрын
Nimekuelewa sana momo.Naulichokifanya nichakiume hswa,nimwelewa sana .
@elizabethswai7777
@elizabethswai7777 2 жыл бұрын
Team Vigugumizi
@dottohami
@dottohami 2 жыл бұрын
Mwaka huu ni mwaka wawatu kuachana jamani hatali sana hizi ndoa mtihani
@نجمةموبيبي
@نجمةموبيبي 2 жыл бұрын
Pole sana kaka ndo ukubwa, mungu atakupa alomwema inshaallah
@afisamipango005
@afisamipango005 2 жыл бұрын
Mzee wa za ndaaaaani za ndaaaaaaaaani kabisaaaa ameachwa
@godsson5954
@godsson5954 2 жыл бұрын
ndo tatzo hilo kujifanya AUSTAZ huku unatamani wanawake WAHUNI ni sawa na kuvaa ijabu huku ndani umevaa kimini cha makahaba
@alimkumbukwa8363
@alimkumbukwa8363 2 жыл бұрын
Kwa kifupi nimeachwa 😂
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 2 жыл бұрын
😂😂😂😂 kuachwaa kuchwaa kuachwaa kuachwa ni shughuli pevu mtaachwa sana mwaka huu wanaume😂😂
@gloriamkude7172
@gloriamkude7172 2 жыл бұрын
Watu wamechoka wanaaacha tuu
@christinaonditi9341
@christinaonditi9341 2 жыл бұрын
Na mie huku nampepea Momo jamani😭
@tajirihalisi823
@tajirihalisi823 Жыл бұрын
Dah mahojiano mazur na pole san ricardo
@doctorgames5011
@doctorgames5011 Жыл бұрын
Malaika huwa hakosei ( Angels are perfect)
@selemanimkwichu782
@selemanimkwichu782 2 жыл бұрын
Pole kaka angu utapona tu
@agreysteven
@agreysteven Жыл бұрын
Wamuwach nn watu wanapga chakula hpo bataa duuu aisee pole sana
@zariadunia6328
@zariadunia6328 2 жыл бұрын
Huyu santos wanafanana sauti na Diamond kweli hawa ndugu mzee Abdul atulie mond si mwanae
@AmosHashaka
@AmosHashaka 4 ай бұрын
Sasa hivi njoo tutaendeya bwana sasa wewe haukua naona binti Malaika bwana 😂😂😂
@stephennaaman1971
@stephennaaman1971 2 жыл бұрын
Eti sio kwa ubaya😂😂
@mwanaishasilima8039
@mwanaishasilima8039 2 жыл бұрын
Maskini wee anaonekana ilikuwa anampenda sana zaidi ya sana
@chulitolove6648
@chulitolove6648 2 жыл бұрын
Wa Nigeria walisha kadanganya😂😂😂.....all i can say is ,. All the best malaika
@hawaomary8486
@hawaomary8486 2 жыл бұрын
Acheka kishoga juma
@babyjohn2712
@babyjohn2712 Жыл бұрын
Hawadanganyi wale ni wanatoa hela vibaya mno no story mamae mwanamke wako akikutana na wannaigeria wenye hela case close yaan sahau
@chulitolove6648
@chulitolove6648 Жыл бұрын
@@babyjohn2712 Hela yes wanatoa ila wanakuchezea mwisho Wa Siku píší nyingine Kali wakiiona wanaanza kuifukuzia na kuimwagia Hela na kumspoil alafu uyu malaika atasahaulika ....Yaani Sawa watakupa Hela ila they will never take you serious ety wakuweke ndani wakuoe hee sahau😂😂
@travellingandadventures2549
@travellingandadventures2549 2 жыл бұрын
Pole bro..ndo uwanaume
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 2 жыл бұрын
Hahaaa momo jmn et kifupi nimeachwaa
@sharifapazi3259
@sharifapazi3259 2 жыл бұрын
Zamu yako sasa unapenda kuzungumza ya wengine
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 2 жыл бұрын
Mimi wanawake wa Kitanzania hata sitaki kuwasikia wengi wao ni wasaliti kupita maelezo , ni bora uowe watu wa mataifa mengine hata mzungu oa, huyu malaya hawajui wanigeria walivyokuwa matapeli na washenzi
@mwanaishaabubakar5013
@mwanaishaabubakar5013 2 жыл бұрын
Tena owa ulimwengumzima lakini sio mnigeria si watu wale, vijibwa mwitu
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 2 жыл бұрын
@@mwanaishaabubakar5013 sio watu wale wanawake wao washenzi pia
@kamikazisalma5209
@kamikazisalma5209 2 жыл бұрын
2023 balalake sondogo 😂😂😂😂😂😂😂 kaka achana nauyo mwanamke hakufayi kabisa uyo kashapata madanga wenzake 😂😂😂😂😂😂😂
@bethjohn928
@bethjohn928 2 жыл бұрын
Kweli mond momo Santos ni damu Moja sio kwa kufanana sauti
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
Mapenzi jmn shikamoo
@Emedroadtocanada
@Emedroadtocanada 2 жыл бұрын
Idi santosi hii kanzu nimeipenda aisee nitaitafuta insha allah
@edgartemu8299
@edgartemu8299 2 жыл бұрын
Mungu akupe uvumilivu kaka
@mohamedrajabu8375
@mohamedrajabu8375 2 жыл бұрын
Mzee wa kudele, leo wamekudele ww pole mzee baba.
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 2 жыл бұрын
Yn hw wote wmefanana sauti jmn kaa
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 2 жыл бұрын
kuachwa kubaya Pole kaka
@ayeshiiddi302
@ayeshiiddi302 2 жыл бұрын
Ila juma jamn khaaa
@emmanuelanthony3496
@emmanuelanthony3496 Жыл бұрын
Momo anaongea simple sana lakini Moyoni nahisi maumivu yake anaumia sana
@mesukanku6016
@mesukanku6016 2 жыл бұрын
EX WA ESMA AVAIT PARLÉ DE CETTE FEMME ELLE PENSE QU'ELLE EST UN STAR DOMMAGE
@janemhangomhango5841
@janemhangomhango5841 2 жыл бұрын
Hawa wanafanana kuongea na Diamond
@janemhangomhango5841
@janemhangomhango5841 2 жыл бұрын
Na kumdomo
@panchovalentino3576
@panchovalentino3576 2 жыл бұрын
Noumaaa saàna
@kelvinimlan
@kelvinimlan 9 ай бұрын
Yani momo anaonekana anamajozi sana .mwacheni
@mauamwessa2944
@mauamwessa2944 2 жыл бұрын
Nimeachwaaaa nimependa😂
@maulidhatibu4859
@maulidhatibu4859 2 жыл бұрын
Momo kiwewe kimekushika huna lako jambo dini mmeiweka kando mnamtaka umagharibi
@enockmlyuka6475
@enockmlyuka6475 4 ай бұрын
Alioa mwanamke hakuoa mke!
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 2 жыл бұрын
mbna naongea kama mond Santos
@safiyatheonlything7848
@safiyatheonlything7848 2 жыл бұрын
Ndugu hao
@jokhaali5893
@jokhaali5893 2 жыл бұрын
Kwanza kabisa natoa pole kwa RICARDO MOMO. Halafu tizameni wanawAke wa kuoa kwa size zenu musichukuwe waliowahi kuwa wazuri kwa sura kuliko wenyewe. Sumu ya mwanamke ni kusifiwa kwa uzuri wake
@SeverinoLuis-j1h
@SeverinoLuis-j1h 3 ай бұрын
Anauzuli gani anakuchimbia ebu angalia masikio yalivo
@mrsilverclassic6785
@mrsilverclassic6785 Жыл бұрын
Eti lakum diinukum Yani jamaa anapenda kutumia Qur'an kwenye upumbavu..
@khadracilmi8929
@khadracilmi8929 2 жыл бұрын
Wewe ni gentleman !
@sweet16honey75
@sweet16honey75 2 жыл бұрын
Ricardo resembles NJ
@nyandutozzy8434
@nyandutozzy8434 2 жыл бұрын
Ricardo nakuelew huna baya inshaallah mung atatia wepec
@sultanmaxmed366
@sultanmaxmed366 2 жыл бұрын
Juma lokole huna tarumbeta Leo la kutangaza mitaani...😳😳 Naona nanyie mmeachwa Hujatangaza kwa Bomba au kwakuwa lenu haliwatapishi...🤸🤣🤣🙈
@doreenmsafari2945
@doreenmsafari2945 2 жыл бұрын
Ongeza sauti huku nyuma hawajasikia plz🤣😅👍
@godcheudandy2534
@godcheudandy2534 2 жыл бұрын
Yani kifupi nimeachwa
@babyjohn2712
@babyjohn2712 Жыл бұрын
Ule mziki huuwezi mtu akishaanza kujiuza kumueka ndani ngumu🤣🤣🤣,kashazoea kulala hotel nzur wanaume wanatoa hela then bado wakusifie kutwa kucha halaf wanakuskiliza nyie😂😂😂 huyu kaka asijaribu kujiingiza kwa anga za machangudoa internatinal
@joycemgonja8156
@joycemgonja8156 2 жыл бұрын
Hahahahah😅😅😅😅 nyie wambea lakin si kwa mcheko huo
@Hdhdj-t7j
@Hdhdj-t7j Ай бұрын
Nyinyi sio utangazajitu naumbea mnao.
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 2 жыл бұрын
Na kaka momo taftq msichana wa saiz yuko usitafte maji marefu kwakuwq wewe ndugu wa diamond. Maji marefu yatakutenda mana hayatakuja kwa mapenzi ya dhat
@hanifahanifa1010
@hanifahanifa1010 2 жыл бұрын
Kwan mond mungu
@subirazuberi9672
@subirazuberi9672 Жыл бұрын
Pole kaka lkn huyo malaya ataujutia upendo wako mr momo
@voomtv1254
@voomtv1254 2 жыл бұрын
" CHALIIIIII "
@adamally6
@adamally6 2 жыл бұрын
za ndaaaaani ushapigwa
@kambiyusufu2776
@kambiyusufu2776 2 жыл бұрын
Lokole Kama lokole😅😅
@pendobaharia5598
@pendobaharia5598 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣jumaa mbeeeea
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 Жыл бұрын
Juma umenifanya nicheke km bwege coz unesema ulikuwa unakwenda ukouko
@mwamedypwemu6117
@mwamedypwemu6117 2 жыл бұрын
jamaa anaongea kidin zaid allah akupe mke mwema toeni wake wema tu
@hemedyawadhi2935
@hemedyawadhi2935 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣et coment tu waooo daah kuacha kunauma
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 жыл бұрын
Kwanza mtu una weza vipi kuoa demu ukimwona tu ana muonekano wa mdangaji😂😂 ki malaya
@evelynmonica1019
@evelynmonica1019 2 жыл бұрын
Kwani iki kipindi kinakuwaga saa ngapi jamani nijulisheni mwenzenu
@hadijarama2774
@hadijarama2774 2 жыл бұрын
Huyu hawara mutembea uchi huyu hakuwa mwanake wa kuoa Allaha akupe mke mwenye heri na nuru huyu Hapana hata peponi humpati huyu atababaika humu duniani tuu
@sultankivumbi9255
@sultankivumbi9255 9 ай бұрын
Jamaa ukimfunikia unto haongei tena mpaka kesho
@snakekobra6943
@snakekobra6943 4 ай бұрын
Ukiachwa Achika🤣🤣
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
Juma jmn🤣🤣
@DeboraCalton
@DeboraCalton Жыл бұрын
Anasauti kama ya Diamond
@DottoSalum-hw8zx
@DottoSalum-hw8zx 5 ай бұрын
Ila juma😂😂
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 Жыл бұрын
Sauti kama ya Daimond
@josephinelwamlema7331
@josephinelwamlema7331 2 жыл бұрын
Familia yao ina nini hawa..watakuwawanamatatizo
@paulmgoli4853
@paulmgoli4853 2 жыл бұрын
Yani kiufupi nimeachwa. 😂 momo situation ya serious anafanya masihara
@dianabanga2625
@dianabanga2625 Жыл бұрын
duuuh santos sauti .,kuongea ., yaan diamond mtupu duuh
@josephjohnmagesa8256
@josephjohnmagesa8256 2 жыл бұрын
Aaha awa jamaa ndugu
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 9 ай бұрын
Halafu ni a8bu mmume mtu w dini halafu anajul7kana mke ndo ambamtia aibu huku mke nguo anazovaa na kujiuuza hakukosa ukija shemeji anayeshitakiwa ndiye mwenyewe malaya daimond sasa wake wanaolewa malaya ukuja daimond salaa esma alisema hamkumuamini si alimchukulia bwana ake
@josephlucas1412
@josephlucas1412 2 жыл бұрын
Muuzaji wa daw za ujana nae kaachwa duh! Mapenz nyoko
@shijamasunga204
@shijamasunga204 2 жыл бұрын
Momo anapenda kusema za wenzake ZA NDAAANI KABISA BIBIE KAGOMA KAPIGA SIMU KWA BWANA MDOGO NA KUMWELEZA WAMWAMBIE NDUGU YAO ASIMSUMBUE YUKO ZAKE LAGOS ANAKULA MAISHA HIZI NI HABAR ZA NDANI KABISA PASINA SHAKA 😆😆😆
@tatotato506
@tatotato506 2 жыл бұрын
😄😄😄😄😄😄😄
@aboudiga6381
@aboudiga6381 2 жыл бұрын
Maine vyaelewa ujue vinatuzwa haya tafakari ya babu😛😜
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 2 жыл бұрын
Nampenda uyu kakq uwa mkweli sn na hn ht ws ws
Enceinte et en Bazard: Les Chroniques du Nettoyage ! 🚽✨
00:21
Two More French
Рет қаралды 42 МЛН
Cat mode and a glass of water #family #humor #fun
00:22
Kotiki_Z
Рет қаралды 42 МЛН
How Strong Is Tape?
00:24
Stokes Twins
Рет қаралды 96 МЛН
SENGA NA PEMBE KWENYE CHEKA TU
12:19
Cheka tu
Рет қаралды 1,4 МЛН