RICARDO MOMO AFUNGUKA KUVUNJIKA KWA NDOA YAKE-"SITAKI KUHUSISHWA NA HABARI ZAKE KABISA"

  Рет қаралды 56,865

Wasafi Media

Wasafi Media

Жыл бұрын

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 77
@felistersmejumaa
@felistersmejumaa Жыл бұрын
Nampenda sana huyu jamaa yaani yupo smart kwa matendo yke ,,,, Inshallah Allah atakupa mke mwema momo
@gracemsalila7735
@gracemsalila7735 Жыл бұрын
Kweli there you are
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 Жыл бұрын
Mh kupata mke/mume mwema nyakati izi za mitandao inahitaji miujiza dear
@dottohami
@dottohami Жыл бұрын
Dr mwaka njoo uwaone wanaume wenzio nasio ww unagoma kutoa talaka Insha Allha mungu atakujalia utapata mke mwema
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Жыл бұрын
Inshaallah
@magufulitvkenya6315
@magufulitvkenya6315 Жыл бұрын
Mungu. Amupe. Muke. Mwema
@maabadmmanga2896
@maabadmmanga2896 Жыл бұрын
Momo Yule Mwanamke Hukuendana Maye Hata Kidogo Kwa Kila Kitu🙌
@georgekaduga2918
@georgekaduga2918 Жыл бұрын
Kabisa hata mimi niliona hapa🤔🤔🤔🤔
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
Dida Vs Kumbilamoto Queen Vs Mwaka Rushayna Vs Manara Kajala Vs Harmonise Duh! Hatari sana,,,,,,,,wote wamepigana chini!!
@abdourazakndeze4157
@abdourazakndeze4157 Жыл бұрын
Ricardo Momo busara nyingi ...umeweza kabisa...Allah asimamie amali zako
@hanifamziray277
@hanifamziray277 Жыл бұрын
Pole sn momo mungu yupo na ww yule ni kahaba cha aende zake utapata mwingne
@fedhandunga5935
@fedhandunga5935 Жыл бұрын
Unaroho nzuri wwe kaka Mungu atakulipa kwa iloo
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Жыл бұрын
Yaan wanaume wote wangekuwa hivi ingekuwa raha sana
@jumaamohamed2815
@jumaamohamed2815 Жыл бұрын
Momo Anaongea kwa Huzuni sana, Pole ostadhi kwa Kuachika" kuachika kunauma sana"
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Жыл бұрын
Hahaha eti kuachika🤣🤣
@safyunaathumani2110
@safyunaathumani2110 Жыл бұрын
Duuuh pole momo
@dr.madevualcantara4775
@dr.madevualcantara4775 Жыл бұрын
Nilimuona kitambo yule mwanamke na kma momo atakumbuka vizuri niliwahi kumfuata kwenye dm yake ya IG nikamshauri vitu vingi ila nashkuru alinielewa na hakunijibu vibaya this guy so smart kma mwengine angesema nifuate mambo yangu ila jambo nililokua silijuwi ni kwamba nilijua yeye ndo anaekubaliananae kuvaa nguo za uchi ila kumbe ni umalaya wake tu..good broo Allah amekuvua hili akuepushie na jengine siri na dhahiri..aamin🤲
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Жыл бұрын
Anaonekana mstaarabu sana
@aika3024
@aika3024 Жыл бұрын
Mganga Juma (Dk Mwaka) njoo, umwone Mwanaume mwenzio
@fatumaali4275
@fatumaali4275 Жыл бұрын
Momo kuwa na amani. Shukuru shetani limekuepuka, njoo Pemba 🤲
@mbanga6759
@mbanga6759 Жыл бұрын
She Pemba kwakua huku Kuna waume watupu.? Au huko Pemba hawana visa .?
@salehegiza3305
@salehegiza3305 Жыл бұрын
Dunia inaenda mbio sana wambea wanafurahi noma sana
@lifeonearth94
@lifeonearth94 Жыл бұрын
Mbona dem zuri hvyo
@shamsakiobia6421
@shamsakiobia6421 Жыл бұрын
Mbona ndoa zinaenda mitandaoni wanatulilia wasomaji alafu inaonekana mwanaume bado anampenda bibie
@abdourazakndeze4157
@abdourazakndeze4157 Жыл бұрын
Yule Dr Mwaka aje ajifunze kitu hapa, ndoa sio karaha...ubishi mwingi huna maana ...ujanja ukizidi unaharibu..Mwqka kubali yaishe.
@salimhassan3369
@salimhassan3369 Жыл бұрын
Kama ndoa yko ulipo ifanya uliusisha watu mitandaoni basi jua aitawai sahaulika utausishwa mpaka mwisho wako, tuwe makini Sana Katka maisha sio kila kitu kina paswa kuwekwa mitandaoni..... Mungu atupe wepesi wa maisha kwa kuyafata alio tupa muelekeo..
@fredrickmatiku7783
@fredrickmatiku7783 Жыл бұрын
Dada alikuwa anadanga sana dubai anakaaa uchi sana machupi
@aminamatumbo2519
@aminamatumbo2519 Жыл бұрын
Umeaona eeh anamdharirisha mumewe
@jaymandy8136
@jaymandy8136 Жыл бұрын
Sio wanawake wazuri tu ndo wanaozingua bali wanawake wote kwa ujumla
@arafakiloli749
@arafakiloli749 Жыл бұрын
Siyo kweli
@gabbyhenrgy1157
@gabbyhenrgy1157 Жыл бұрын
Dr. Mwaka umesikia huyu ndo mwanaume mwny uelewa na Talaka
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 Жыл бұрын
Kila mtu ana ukurasa wake wa mahusiano ya Dr mwaka na momo kila mtu ana yake
@zaharahussain5734
@zaharahussain5734 Жыл бұрын
@@mtzhalisi2232 kuwowa nikuwowa kuwaca ni kuwaca
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no Жыл бұрын
Daah inauma kweli
@AmCool_
@AmCool_ Жыл бұрын
Sawa wameachana, lakini sasa AMEMLA? 😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣
@socialtv9879
@socialtv9879 Жыл бұрын
Yani hii Wasafi sijui hawa Watangazaji wao wanawatoleag wapi maana inafika kipindi huelewi Anayehojiwa ni nani na Mtangazaji ni nani ? Maana unakuta mtu kaulizwa swali analijibu ten hapo hapo Mtangazaji anarukia kuongea bas unakuta inakuwa ni Makelele tu.
@jaymandy8136
@jaymandy8136 Жыл бұрын
Media zote za Tanzania ni hizo.
@D-Man.B-Free
@D-Man.B-Free Жыл бұрын
Show inaitwa mashamshamu , I think unajua maana’ke
@ManzabaySalim
@ManzabaySalim Жыл бұрын
Wote motoni mbwa nyinyi mnafurahia kuvunjika ndoa
@saidiyahya2432
@saidiyahya2432 Жыл бұрын
mwajuma lokole loooh jamani mwakaa na jishoga studioni
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 Жыл бұрын
Maskn momo.mwaka wenu huu
@tonygee5680
@tonygee5680 Жыл бұрын
Hapa nakumbuka story ya Esma na Msiizwa. Esma alipata msge za Msiizwa kwa mke wa Momo hapo nikajua hamna kitu
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Жыл бұрын
Lisemwalo lipo aisee
@alexdukes5547
@alexdukes5547 Жыл бұрын
Huyu kaka kashikiwa ndoa yake na dada yake ndo kuvunja hiyo ndoa Esma hana adabu,pengine wanaume sie mafala kweli siku zote dada zetu tunapooa huwafanya mawifi zao fimbo ya uongo kuwachonganisha kwa kaka ili tu uachike waaze kumcheka,momo hebu chutama kwa mkeo, epuka sana mkeo kuwa na urafiki na dada mtu huwa dada zetu wajinga kweli,utakaa bila mke.
@fredymasawe2862
@fredymasawe2862 Жыл бұрын
Kuachika kunaumaeee
@senseiamani4684
@senseiamani4684 Жыл бұрын
Zaaandaaaani momo katemana na bibie
@rehemaothman2475
@rehemaothman2475 Жыл бұрын
Pazito kwa kweli
@ManzabaySalim
@ManzabaySalim Жыл бұрын
Dada lokole lini utaacha ushoga
@elisanteshayo3882
@elisanteshayo3882 Жыл бұрын
Ktk hali ya kiustaarabu mke wake alikutana nae club dada alikuwa muuza kuma alitegemea atambadili ila ki ukweli ilishindikana dada kaenda zake kuuza kuma dubai jamaa kabaki na wasafi
@selemanimkwichu782
@selemanimkwichu782 Жыл бұрын
Pole kaka utampata tu wako utapata amani
@gordiansoko9113
@gordiansoko9113 Жыл бұрын
Ukifikiria haya matatizo yaliyo ndani ya ndoa mtu ungetamani bora ungekuwa Padre wa kikatoliki maana ungeepuka hizi kadhia.Lakini ndio tumeshaonja lile tunda la Aden wacha tuchapike tu na ukiona Mambo yamekuzidi basi jiondoe taratibu kila mtu angalie ustaarabu wake.
@othumanlorenzo260
@othumanlorenzo260 Жыл бұрын
Kaka soko salama hida unamkumbuka
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 Жыл бұрын
Watu wakiachana pambe tu, tuko uku nje tunawakaribisha kwa shamrashamra zoteeee
@rahmazahor4333
@rahmazahor4333 Жыл бұрын
Lakini kaka watoto wako huyo mama atawaharibu na uhuni wake wake wa vichupichupi?
@salimjumaa8180
@salimjumaa8180 Жыл бұрын
Esma alitabiri hyu malaika alikua hataree fire, ndio yashakukuta ssa tuliza mdomo
@jareengeorge5478
@jareengeorge5478 Жыл бұрын
Zandaaaaaaaaani zimepatikana zakwake.fyuuuuuuuuuuuu
@gracemsalila7735
@gracemsalila7735 Жыл бұрын
Shemeji amesema hivi momo alimuumiza mke wake japo pia hata mkewe anamapungufu chanzo ni momo
@shabanadam1604
@shabanadam1604 Жыл бұрын
Manara kaachika na Hela zake,Dr mwaka kaachika na nguvu za kiume zake,momo kaachika na ujana🤣ukiwaelewa wanawake hupati tabu
@neemawilliam8415
@neemawilliam8415 Жыл бұрын
Manara ana hela gan Sasa na wew
@neamusic2601
@neamusic2601 Жыл бұрын
Ricardo Momo mbona umehamaki wwe sio wa kwanza kuacha au kuachwa.kaka.
@jareengeorge5478
@jareengeorge5478 Жыл бұрын
Domo Sasa unavyolibenjua
@tumainimatembo8688
@tumainimatembo8688 Жыл бұрын
Poz la Domo limenikela
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 Жыл бұрын
Momo mbona unalia ss piga moyo kondeboy
@ManzabaySalim
@ManzabaySalim Жыл бұрын
Maisha fake ya mitandaoo ndio hao mwisho wake unamwagwa
@rhodarobert5610
@rhodarobert5610 Жыл бұрын
Acha akae pengine ndo wanawake ULOKUA ukimzalilisha nao ameona afanye upendavyo wewe
@djtiffa9664
@djtiffa9664 Жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/eGGqfWWVirqeas0 JINSI YA KUMWITA JINI MAIMUNA , AKUPE UMALI NA PETE YA UTAJIRI *# kzbin.info/www/bejne/eGGqfWWVirqeas0
@criminalminds7723
@criminalminds7723 Жыл бұрын
Didah na domo lako Hilo huna KAZI,momo alipokuambia ni serious wewe ukaendelea kutoa maneno ujue ametoa simu akamtumia diamond text msimamishe kazi
@jan6703
@jan6703 Жыл бұрын
Dida akera sana kujifanya kujua kulikoni yule aliyeulizwa swali. Ndio maana hata ndoa zinamshinda. Kelele kama honi ya treni atavumilia nani?
@criminalminds7723
@criminalminds7723 Жыл бұрын
@@jan6703 halafu yeye mwenyewe aliolewa wiki moja Tu akaachwa sababu ya domo lake
@mathiasmanonga3939
@mathiasmanonga3939 Жыл бұрын
Kwani hii redio inazungumuzia stori za mshusiano ya watu kuna mambo mhimu ya inchi kuliko kuongea mambo ya kitandani hii redio kiboko they run unprofesional CEO wa redio hii nae ajitathimini ajiri watu wanaojielewa
@renatusndege
@renatusndege Жыл бұрын
Unaujua hicho kipindi kinaitwaje lakn?,Au we ni mgeni eeh
@zainabukimolo5827
@zainabukimolo5827 Жыл бұрын
Anaonekana bado anampenda,ndoa hz jmn
@frankngoloka2589
@frankngoloka2589 Жыл бұрын
Kama umeshamzalisha achanaye wewe angalia wtt,waliyomdanganya nao watamtosa tu atakuja kuomba msamahaa,mwache wakamcheezee kama mpira wa kona
He sees meat everywhere 😄🥩
00:11
AngLova
Рет қаралды 11 МЛН
Final muy increíble 😱
00:46
Juan De Dios Pantoja 2
Рет қаралды 53 МЛН
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 37 МЛН
СРОЧНО ДОМОЙ! Эта НЕ КОНФЕТА!
0:21
Клаунхаус Kids
Рет қаралды 1,8 МЛН
Поймал редкий кадр🤨
0:22
FERMACHI
Рет қаралды 2,7 МЛН
Heavy package 🤭🤣 #demariki
0:25
Demariki
Рет қаралды 6 МЛН
Хотел вывести 🤣❤️
0:54
Dragon Нургелды 🐉
Рет қаралды 1,1 МЛН