RIDHIWANI AFUNGUKA: Ni kuhusu kukamatwa kwa Yusuph Manji

  Рет қаралды 74,245

Millard Ayo

Millard Ayo

7 жыл бұрын

Kwenye On Air With Millard Ayo Ridhiwani Kikwete ambaye ni Mbunge wa Chalinze amezungumzia swala la Yusuph Manji ambapo alikamatwa kwa ajili ishu ya matumizi ya Dawa za Kulevya,

Пікірлер: 23
@zaudatmakula3454
@zaudatmakula3454 7 жыл бұрын
barikiwa Sanaa mwana wa kikwete daa umemgusia manji roho imeniuma na yanga yetu
@summanelson3718
@summanelson3718 7 жыл бұрын
Riziwani kaongea point sana. Ndiyo maana watu walimtetea manji pamoja na tuhuma nyingi alizonazo.
@jimmyhabarugira4232
@jimmyhabarugira4232 7 жыл бұрын
Umeongeya point,
@peterherman4279
@peterherman4279 7 жыл бұрын
unabusara sana kaka
@fafi9092
@fafi9092 7 жыл бұрын
Bagamoyo tanzania kuzur sana
@danielmwaipopo1858
@danielmwaipopo1858 7 жыл бұрын
mh upo vzur
@eliajonathan6090
@eliajonathan6090 7 жыл бұрын
MUNGU AKUINUE KAKA
@aikadonath812
@aikadonath812 7 жыл бұрын
Subscribe kwene KZbin Channel yangu kupata Fursa mpya za Elimu na Ujasiriamali kila wiki.
@saladaniel907
@saladaniel907 6 жыл бұрын
mtoto WA baba yangu kikwete , umenena vema
@yasiniramadhan8391
@yasiniramadhan8391 6 жыл бұрын
Sala Daniel isadie basi yanga
@yasiniramadhan8391
@yasiniramadhan8391 6 жыл бұрын
Tutafutie mzamin yanga
@stormingfoh
@stormingfoh 7 жыл бұрын
Ridhwani..Ndugu yangu... Umeongea mambo mazito...yenye akili! Hakika unastahili Uongozi.. Wewe ni nyayo za kipenzi chetu Jakaya Kikwete! Wewe ni mzao wa CCM kweli kweli Mola Akubariki..Akujalie mema... Aminia
@marblebaswige614
@marblebaswige614 7 жыл бұрын
StormingFo HADI huyu ana busara na hekima kama baba yake big up sana
@stormingfoh
@stormingfoh 7 жыл бұрын
Safi
@husnaaliy6158
@husnaaliy6158 3 жыл бұрын
unaongea point lkn uwongzi huupati ww mwenywe muuza madawa mzri tu
@romanomlanda7184
@romanomlanda7184 6 жыл бұрын
kila la kheri ridhiwani
@meshacklwambano7744
@meshacklwambano7744 6 жыл бұрын
Uko. Vizuri. Kaka. Mungu. Akuweke
@henrystanley4077
@henrystanley4077 3 жыл бұрын
Yani lazima ujiamini Sana kama hv hakika hakuna wakukutisha kbs mzee hawamjui tu alipotoka na nchi hii... hahahahahaha uliwachana vzur kbs kbs sasa habari yao imekwisha...walikua wanaongoza nchi kwa misifa tu na kuaibisha watu hadharani..walikua wanaropoka na walijawa na roho za visasi...na hili wasituharibie nchi yetu na maendeleo yake amewawahi mapema sana
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 3 ай бұрын
Point kubwa sana mkuu
@tereseamasawe8111
@tereseamasawe8111 7 жыл бұрын
mi napita njia tu.
@sareheporesanadiyoupabanaj9057
@sareheporesanadiyoupabanaj9057 6 жыл бұрын
kweri wwe umefata yayo ya baba wetu
@ShashuMihayo
@ShashuMihayo 7 жыл бұрын
msomi ni msomi tu, mh, Rizone kaongea point, hili janga nitaratibu tu lisifananishwe na kutawanya machinga kariakoo ,
@mekikileo5702
@mekikileo5702 3 жыл бұрын
LIAR
PART 1: UTASHANGAZWA NA UWEKEZAJI HUU/ NG'OMBE ANAUZWA MILIONI 30
31:59
NAIBU WAZIRI KHAMIS HAMZA KHAMIS AKIJIBU MASWALI BUNGENI
3:36
𝗢𝗙𝗜𝗦𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗞𝗔𝗠𝗨 𝗪𝗔 𝗥𝗔𝗜𝗦
Рет қаралды 29
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 49 МЛН
Yusuph Manji baada ya kutajwa na Makonda sakata la dawa za kulevya
13:52
"Yusuph Manji akitoka Hospitali aje, tunamuhitaji UHAMIAJI"
7:51
Millard Ayo
Рет қаралды 105 М.
Dakika 215 za Yusuph Manji kujitetea kesi ya dawa za kulevya leo
2:59
Tribute to Marhum Yusuf Manji at HIC Orlando July 2 2024
3:42
Bachupira
Рет қаралды 3,7 М.
Dua kwa ajili ya Yusuf Manji, Kikwete, watoto wake wazungumza
1:00:51
MTOTO WA MRISHO MPOTO AWALIZA VIONGOZI KWA UCHUNGU
17:36
MrishoMpoto
Рет қаралды 43 М.