Kwenye On Air With Millard Ayo Ridhiwani Kikwete ambaye ni Mbunge wa Chalinze amezungumzia swala la Yusuph Manji ambapo alikamatwa kwa ajili ishu ya matumizi ya Dawa za Kulevya,
Пікірлер: 23
@zaudatmakula34547 жыл бұрын
barikiwa Sanaa mwana wa kikwete daa umemgusia manji roho imeniuma na yanga yetu
@summanelson37187 жыл бұрын
Riziwani kaongea point sana. Ndiyo maana watu walimtetea manji pamoja na tuhuma nyingi alizonazo.
@jimmyhabarugira42327 жыл бұрын
Umeongeya point,
@peterherman42797 жыл бұрын
unabusara sana kaka
@fafi90927 жыл бұрын
Bagamoyo tanzania kuzur sana
@danielmwaipopo18587 жыл бұрын
mh upo vzur
@eliajonathan60907 жыл бұрын
MUNGU AKUINUE KAKA
@aikadonath8127 жыл бұрын
Subscribe kwene KZbin Channel yangu kupata Fursa mpya za Elimu na Ujasiriamali kila wiki.
@saladaniel9076 жыл бұрын
mtoto WA baba yangu kikwete , umenena vema
@yasiniramadhan83916 жыл бұрын
Sala Daniel isadie basi yanga
@yasiniramadhan83916 жыл бұрын
Tutafutie mzamin yanga
@stormingfoh7 жыл бұрын
Ridhwani..Ndugu yangu... Umeongea mambo mazito...yenye akili! Hakika unastahili Uongozi.. Wewe ni nyayo za kipenzi chetu Jakaya Kikwete! Wewe ni mzao wa CCM kweli kweli Mola Akubariki..Akujalie mema... Aminia
@marblebaswige6147 жыл бұрын
StormingFo HADI huyu ana busara na hekima kama baba yake big up sana
@stormingfoh7 жыл бұрын
Safi
@husnaaliy61583 жыл бұрын
unaongea point lkn uwongzi huupati ww mwenywe muuza madawa mzri tu
@romanomlanda71846 жыл бұрын
kila la kheri ridhiwani
@meshacklwambano77446 жыл бұрын
Uko. Vizuri. Kaka. Mungu. Akuweke
@henrystanley40773 жыл бұрын
Yani lazima ujiamini Sana kama hv hakika hakuna wakukutisha kbs mzee hawamjui tu alipotoka na nchi hii... hahahahahaha uliwachana vzur kbs kbs sasa habari yao imekwisha...walikua wanaongoza nchi kwa misifa tu na kuaibisha watu hadharani..walikua wanaropoka na walijawa na roho za visasi...na hili wasituharibie nchi yetu na maendeleo yake amewawahi mapema sana
@GeorgeAkasha-zx2rj3 ай бұрын
Point kubwa sana mkuu
@tereseamasawe81117 жыл бұрын
mi napita njia tu.
@sareheporesanadiyoupabanaj90576 жыл бұрын
kweri wwe umefata yayo ya baba wetu
@ShashuMihayo7 жыл бұрын
msomi ni msomi tu, mh, Rizone kaongea point, hili janga nitaratibu tu lisifananishwe na kutawanya machinga kariakoo ,