Huu wimbo umenigusa Sana mimi niliezaliwa katika familiar ya kimasikini. Lakini Leo Mungu kanijaalia riziki nimekuwa mkombozi na WA familia kiuchumi
@CosimasEdward-o9o4 ай бұрын
🙏🙏
@brucerashfordke51024 ай бұрын
🙏🙏
@jumastephano26884 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏
@dastopadady24024 ай бұрын
Ina uma kweli 🎉
@PeterJohn-yp6bs4 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@davidmwandalima23894 ай бұрын
"huwezi chagua mzazi wa kukuzaa" nimependa hiyo nipen like sayansi ya Mungu🇹🇿🇹🇿
@GREATTRADERSUNION_GTU4 ай бұрын
From Kenya I love this song.. nipeni likes za Roma kindly
@chumkhamis89244 ай бұрын
Album ina madini yote mpaka inakera .Wanangu wa VIVA ROMA Njooni kwa like mzigo ukae on TREND.ROMA fans From Zurich 🇨🇭
@Manoni6934 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥 Kama unaamini Roma Mkatoliki anajua like nyingi....
@Danny2544 ай бұрын
Huyu Mwana!!!jamani anafanya kazi nzuri sana..Tukianguka lazma turudishe mpira kwa kipa na tutaanza tena,ntasimama tena nina imani sana..🇰🇪🇰🇪🇹🇿
@dallasmusic64654 ай бұрын
Hakuna rapa anayemzidi Roma kwa hapa bongo 🎉🎉🎉🎉🎉
@Eizyme4 ай бұрын
SAYANSI YA MUNGU UTAIKUFURU KISA NJAA, ILA HUWEZ CHAGUA AINA YA MZAZI ATAE KUZAA, JILAN KAZALIWA NA WAZIRI WEWE MAMAKO KICHAA BABA MLEVI ALAFU KOND WA DALDALA KIBAHA. LIKE NYINGI SANA KWA LINE HII
@Manjalino4 ай бұрын
Kama umeguswa na hii kazi like nyingi team romaaa❤❤❤😢
@SoomaSoma-t8x4 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@JimmyByamungu3 ай бұрын
Tunakukubal roma
@mathiasfrancis80474 ай бұрын
bigup kaka ngoma nikali kaka roma heshima sana ila abiud usimuache kaka muinue na yeye atoke ata kidg maan hiphop ninguma sana kwa underground kutoka muwek kwenye chati asaidie familia yeka na yeye ajiinue kaka maisha mema
@ChakaEmmanuel-l7i4 ай бұрын
Wakwanza kutoka kenya ...Roma big up ...moto sana
@besteva4994 ай бұрын
Roma mupendwa WANGU jana niriona picha yako yakifo yasamba mitandaoni wana habari waki urizana vip roma amekufa NIKAWA NAHOFU 😢😢😢KUMBE IRIKUWA CONTENT yahii ngoma big up Roma and more love❤❤❤❤❤
@eliahswai16074 ай бұрын
Sante kaka wimbo mzuri hujawai kosea endelea hadi wale vichwa ngumu watingushe vichwa japo watakua wamechelewa kukuelewa one love
@carl-donald4 ай бұрын
Yaani huyu mwamba ndio soldier alobaki wa kuimba ukweli pekee. Much respect all the way from Mombasa Ke.
@DismasPhidason-vu6bt4 ай бұрын
Kweli ila mpe sikio DIZASTA VINA NI🔥🔥🔥
@serengetimediacentre4 ай бұрын
Bado huyo dizasta na ndugu yake wa oh mahii
@ferdinandlazaro154 ай бұрын
Wanaosikiliza hii nyimbo tena 2065,Huu Wimbo Ulibadili mtazamo wa vijana Wengi Sana Kupambana Kwa ajili ya ndoto zao na familia zao..
@herrynkinda65894 ай бұрын
Twendeni nae mpaka mwisho..... Jamani hatari.... Kwa vizazi chipukizi.... Huyu jamaa funga kazo❤❤❤❤
@ShabaniRashidi-z3o4 ай бұрын
Ni hatari sana bonge la ujumbe
@RaulentJacksonАй бұрын
Roma noma san 🎉🎉🎉🎉
@AngelstarBen-nv8bp4 ай бұрын
Ningeshangaa Roma asimame na Abiud af waharibu 🔥🔥🔥🔥
@sharifuahmed83404 ай бұрын
Daaaaaah kumamake jmn jmn, hii ngoma daaaaaah, eeeeeh Allah niongoze jmn
@mboscinho4 ай бұрын
Kama wewe ni team rostam tumpeleke trending #1 Boy from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🙏🙏🙏🙏🙏
@abduladinane4 ай бұрын
🎉🎉
@saidbakari24084 ай бұрын
Oya mwanangu Abiud yumo na anajua sana VIVA ROMA
@EliasLukas-xc1bo4 ай бұрын
Sawa mwanangu Roma minakupa mauwa yako chukua Aya apa💐🌹🥀🌺🌷🌸💮🏵️🌻🌼💪nisubilie kidogo naenda kuleta mengine
@johnjohnjoseph97284 ай бұрын
Kweliih mwamba upewee maua yakooh ❤️❤️
@johanesmachela4 ай бұрын
Mwamba anachana msamba kwenye dili 😂😂😂😂😂 album ni nzuri mno Hats off bro
@GabrielAmede-h8d4 ай бұрын
Hii ngoma special kwa mahasira tuliotekea maisha Fulani ya kimasikini nyumbani hakuna hata kiti Cha kukalia
@franklukazula4 ай бұрын
from Burundi❤ Malawi heshima kwako roma
@WiliamuNjimbwi-yr4xu4 ай бұрын
🎉🎉 tutasimama tena Kila mipango inajamba 🤝🤝🤸
@fra_nyuki4 ай бұрын
Naona kama hii ndio Ngoma inayogusa wengi zaidi 🔥🔥🔥
@MICHAELEDWIN-fh5nq4 ай бұрын
kama una mkubali roma gonga likee hapa
@johnmalale38604 ай бұрын
Big up sana ROMA wewe siyo mwanamziki tu;! Hata katika maisha wewe ni mwalimu;!.ubalikiwe sana
@inkurushow28274 ай бұрын
Kutoka Bujumbura Burundi, kaka hongela sana kabisa, nyimbo zako zinanijenga
@musanyami2854 ай бұрын
Hakuna artist kama wewe roma, u'r the perfect one ,,I love u bro and God bless u more.
@JamesRichard-jk4he4 ай бұрын
jamani Roma.umenigusa sana kweli huwezi kuchagua mzazi atakae kuzaa goddess❤❤❤🙏🙏🙏🙏
@bushbabytz4 ай бұрын
huyu jamaa ana best chorus kila siku achana na mashairi ambayo ni motoo
@MashakaShobo-cs5wj4 ай бұрын
Roma MUNGU akutunze sana jamaa unatugusa wengi mno Abiud ana voko aisee ipo siku tutamuona mbali
@animationtz54 ай бұрын
Usimtegemee ndugu atakupa msalaa 🙌🏾🙌🏾 ...hii ni ukweli mtupu
@djtrigaa4 ай бұрын
Napenda the way Roma anaendelea kuwapa shavu Fresh Artist #NIPENIMAUAYANGUTHEALBUM❤🙌
@businessaccount19044 ай бұрын
Kaka mm nakupa mauwa yako 🎉🎉 upo nchi ya ugenini lakini bado unatowa hit song 🎵 bro mm 🙌🙌 alafu wewe ni ✍️mnzuri sana oneday i will meet you ❤
@Issamkwizu-bh3io4 ай бұрын
Kaka unajua mpaka unakera nakukubali sana miongoni mwa wasanii ninao wakubali ww namba moja kaka hongera sana
Hili goma ni nomaaaaaaaaa Roma ni. Mkali kweli fire🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 nitasimama tena
@kiawambui6064 ай бұрын
Yani mtaji wa maskini nguvu zake mwenyewe.. Tambua sanh mwambah #254...
@RadjaboyKubita4 ай бұрын
Wakwanza toka Congo 🇨🇩 ebu nipeni likes zangu ✌️
@Tigerprocessworldwide4 ай бұрын
Kama kuna rapa mi namkubali east africa basi huyu mwamba❤❤tumpeni maua yake🎉
@penueldjuma28454 ай бұрын
Kama hii ngoma imekugusa basi nipe japo like 🎉🎉🎉❤
@PiussKabado3 ай бұрын
ROMA❤❤❤❤ haujawahi kukosea mzeee 🎉🎉🎉🎉🎉
@PeterDanson-ps9iq4 ай бұрын
Roma wa kwanza nitasimama tena toka 🇨🇩🇨🇩 congo 🎉🎉
@mwamposaa654 ай бұрын
Kijana anayeaso ludia ii goma mala 5 utamshklu roma kuludisha mpira kw kipa so ushamba
@PETERNSIKALI3 ай бұрын
kaka ume tema fact yaaani duuu hiii mistar imekaaa vzur yaan 🙏🙏 nitasimama Tena na Imani kwa MUNGU
@VenanceGilbert4 ай бұрын
mwanetu ROMA chukua maua yako na vikonyo, chukua matawi na miti ya maua na mizizi yake
@AmedeMassawe4 ай бұрын
Jirani kazaliwa na Waziri ila we na mamaa àyo kichaa,baba mlevi alafu konda tu dalala kibaha dah.Usiikate tamaa na mute upate amasaa,we ndo wakuibadili Sura ya familia kwanzia sasa,naunawezaaa❤❤❤❤❤❤
@AmosRugaimukamu4 ай бұрын
Umaskin nitabu, nilishindwa kuendelea namasomo ya chuo kisa karo, lakin Mungu nimwema naona Mwanga japo kwambali,
@AshaBonifasi4 ай бұрын
Naiman kwel kaka ❤❤❤Ngoma imenigusa xan Yan Inanihusu
@neemavitalis90984 ай бұрын
Roma Asante kwanyimbo nzuri sana ❤❤
@OmmyMtaita4 ай бұрын
Dadeq Roma wewe ndo msanii wangu pedwa for revar
@abubakarsaid85094 ай бұрын
Umetisha sana broh
@stephenkhaoya6565Ай бұрын
My mentor ....siku zote aninipa ujasiri
@sammmary87002 ай бұрын
Oya huu Muwa noma Mwana umetisha sana Brother ungekuwa Homeland ungepewa na tuzo zako🎉🎉
@AugustineokochaKifrebe-yd7cw4 ай бұрын
Mwamba unajua sana huwimbo hakika umenigusa sana pia unatufundisha kua na confidence grade ya taifa
@FadhilaMuddy4 ай бұрын
Kaka hii nyimbo imenifanya nilie namuomba mungu baba angu arudi home yanii km umesikia kilio Cha mama angu I like
@DeeDan-sj1mr4 ай бұрын
Jaman huyu abiudy xio mtu mzuri kabxa maana yangu anajua xana
@Delightson484 ай бұрын
Nguvu Ndy mtaji wa akili! My NO 1 Tanzania artist nakubali sana ROMA! Naimani Unanafasi yako kwenye Taifa hili
@MwanziaFelix-w4xАй бұрын
Kali sana tena fact broo like it
@shahidenock7573 ай бұрын
mwana hip-hop wangu bora wakati wote... viva Roma
@ContentLobster-vi6dq4 ай бұрын
Roma katoa kazi nzuri hasa imemgusa abiud ambae amemshilikisha maana maisha aliyopitia mpaka kufika sasa ni magum alikua hana pakuishi akawa anafanya kazi kwa watu ili tu apate chakula na malazi Mungu zidi kumbalik abihud afike mbal
@FelixMatiabo-cn9qm4 ай бұрын
Kichwa cha Tanzania kimeximama tena 2024🎉
@jay_mtamaduni66324 ай бұрын
Dah,Abiud mtu💪 Shukran jazeelan Kwa kumshika mkono
@jamiinaafyanjema29664 ай бұрын
Yes nitasimama tena ngoma imesimama sana Yani kinoma noma
@hashkhantantrasiraji1184 ай бұрын
Roma na Abiud umetusanua sana tusikate tamaaa tuwe naimani kesho yetu ni Bora ngoma kali🙏
@norregaraper53834 ай бұрын
Abyun hajawahi fanya nyimbo mbovu nawewe💯💯💯
@ConsciousBNB4 ай бұрын
Kama Maua Yangu Nishakupatia 🙌🙌🙌
@katanakazungu39934 ай бұрын
Viva roma mkatoliki 🎉🎉 hit song 🎵 bro +254 🇰🇪 tunakuwakilisha wanao .
@wingstarmsanii98624 ай бұрын
Hii ngoma Kali yenye mafunzo makubwa Kwa watoto wa ghetto ❤❤❤
@HamenyimanaJeanmarie4 ай бұрын
Mbona ulikuwa umekawiza mkatorika wetuuu 🥰🥰🥰,more love from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@ELIAMICHAEL464 ай бұрын
Nice kaka ❤❤❤❤❤❤ kabisaaa
@LebahatiLaizer-b4q20 күн бұрын
Wimbo Enye na ujumbe tosha kaka 🌿🌿🌿🌿🌿
@DazlayanLukas4 ай бұрын
Hii ngoma verse ya kwanza imewahusu wanawake verse ya pili imehusu wanaume 🔥
@BigZhumbe4 ай бұрын
Hii sasa ndio ngoma 🔥🔥🔥💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾🔥🔥🔥🔥🔥 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉