ROMA - Nitasimama Tena Feat Abiud

  Рет қаралды 202,692

VIVAROMA

VIVAROMA

Күн бұрын

Пікірлер: 518
@edwinntabwa5451
@edwinntabwa5451 4 ай бұрын
Huu wimbo umenigusa Sana mimi niliezaliwa katika familiar ya kimasikini. Lakini Leo Mungu kanijaalia riziki nimekuwa mkombozi na WA familia kiuchumi
@CosimasEdward-o9o
@CosimasEdward-o9o 4 ай бұрын
🙏🙏
@brucerashfordke5102
@brucerashfordke5102 4 ай бұрын
🙏🙏
@jumastephano2688
@jumastephano2688 4 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏
@dastopadady2402
@dastopadady2402 4 ай бұрын
Ina uma kweli 🎉
@PeterJohn-yp6bs
@PeterJohn-yp6bs 4 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@davidmwandalima2389
@davidmwandalima2389 4 ай бұрын
"huwezi chagua mzazi wa kukuzaa" nimependa hiyo nipen like sayansi ya Mungu🇹🇿🇹🇿
@GREATTRADERSUNION_GTU
@GREATTRADERSUNION_GTU 4 ай бұрын
From Kenya I love this song.. nipeni likes za Roma kindly
@chumkhamis8924
@chumkhamis8924 4 ай бұрын
Album ina madini yote mpaka inakera .Wanangu wa VIVA ROMA Njooni kwa like mzigo ukae on TREND.ROMA fans From Zurich 🇨🇭
@Manoni693
@Manoni693 4 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥 Kama unaamini Roma Mkatoliki anajua like nyingi....
@Danny254
@Danny254 4 ай бұрын
Huyu Mwana!!!jamani anafanya kazi nzuri sana..Tukianguka lazma turudishe mpira kwa kipa na tutaanza tena,ntasimama tena nina imani sana..🇰🇪🇰🇪🇹🇿
@dallasmusic6465
@dallasmusic6465 4 ай бұрын
Hakuna rapa anayemzidi Roma kwa hapa bongo 🎉🎉🎉🎉🎉
@Eizyme
@Eizyme 4 ай бұрын
SAYANSI YA MUNGU UTAIKUFURU KISA NJAA, ILA HUWEZ CHAGUA AINA YA MZAZI ATAE KUZAA, JILAN KAZALIWA NA WAZIRI WEWE MAMAKO KICHAA BABA MLEVI ALAFU KOND WA DALDALA KIBAHA. LIKE NYINGI SANA KWA LINE HII
@Manjalino
@Manjalino 4 ай бұрын
Kama umeguswa na hii kazi like nyingi team romaaa❤❤❤😢
@SoomaSoma-t8x
@SoomaSoma-t8x 4 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@JimmyByamungu
@JimmyByamungu 3 ай бұрын
Tunakukubal roma
@mathiasfrancis8047
@mathiasfrancis8047 4 ай бұрын
bigup kaka ngoma nikali kaka roma heshima sana ila abiud usimuache kaka muinue na yeye atoke ata kidg maan hiphop ninguma sana kwa underground kutoka muwek kwenye chati asaidie familia yeka na yeye ajiinue kaka maisha mema
@ChakaEmmanuel-l7i
@ChakaEmmanuel-l7i 4 ай бұрын
Wakwanza kutoka kenya ...Roma big up ...moto sana
@besteva499
@besteva499 4 ай бұрын
Roma mupendwa WANGU jana niriona picha yako yakifo yasamba mitandaoni wana habari waki urizana vip roma amekufa NIKAWA NAHOFU 😢😢😢KUMBE IRIKUWA CONTENT yahii ngoma big up Roma and more love❤❤❤❤❤
@eliahswai1607
@eliahswai1607 4 ай бұрын
Sante kaka wimbo mzuri hujawai kosea endelea hadi wale vichwa ngumu watingushe vichwa japo watakua wamechelewa kukuelewa one love
@carl-donald
@carl-donald 4 ай бұрын
Yaani huyu mwamba ndio soldier alobaki wa kuimba ukweli pekee. Much respect all the way from Mombasa Ke.
@DismasPhidason-vu6bt
@DismasPhidason-vu6bt 4 ай бұрын
Kweli ila mpe sikio DIZASTA VINA NI🔥🔥🔥
@serengetimediacentre
@serengetimediacentre 4 ай бұрын
Bado huyo dizasta na ndugu yake wa oh mahii
@ferdinandlazaro15
@ferdinandlazaro15 4 ай бұрын
Wanaosikiliza hii nyimbo tena 2065,Huu Wimbo Ulibadili mtazamo wa vijana Wengi Sana Kupambana Kwa ajili ya ndoto zao na familia zao..
@herrynkinda6589
@herrynkinda6589 4 ай бұрын
Twendeni nae mpaka mwisho..... Jamani hatari.... Kwa vizazi chipukizi.... Huyu jamaa funga kazo❤❤❤❤
@ShabaniRashidi-z3o
@ShabaniRashidi-z3o 4 ай бұрын
Ni hatari sana bonge la ujumbe
@RaulentJackson
@RaulentJackson Ай бұрын
Roma noma san 🎉🎉🎉🎉
@AngelstarBen-nv8bp
@AngelstarBen-nv8bp 4 ай бұрын
Ningeshangaa Roma asimame na Abiud af waharibu 🔥🔥🔥🔥
@sharifuahmed8340
@sharifuahmed8340 4 ай бұрын
Daaaaaah kumamake jmn jmn, hii ngoma daaaaaah, eeeeeh Allah niongoze jmn
@mboscinho
@mboscinho 4 ай бұрын
Kama wewe ni team rostam tumpeleke trending #1 Boy from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🙏🙏🙏🙏🙏
@abduladinane
@abduladinane 4 ай бұрын
🎉🎉
@saidbakari2408
@saidbakari2408 4 ай бұрын
Oya mwanangu Abiud yumo na anajua sana VIVA ROMA
@EliasLukas-xc1bo
@EliasLukas-xc1bo 4 ай бұрын
Sawa mwanangu Roma minakupa mauwa yako chukua Aya apa💐🌹🥀🌺🌷🌸💮🏵️🌻🌼💪nisubilie kidogo naenda kuleta mengine
@johnjohnjoseph9728
@johnjohnjoseph9728 4 ай бұрын
Kweliih mwamba upewee maua yakooh ❤️❤️
@johanesmachela
@johanesmachela 4 ай бұрын
Mwamba anachana msamba kwenye dili 😂😂😂😂😂 album ni nzuri mno Hats off bro
@GabrielAmede-h8d
@GabrielAmede-h8d 4 ай бұрын
Hii ngoma special kwa mahasira tuliotekea maisha Fulani ya kimasikini nyumbani hakuna hata kiti Cha kukalia
@franklukazula
@franklukazula 4 ай бұрын
from Burundi❤ Malawi heshima kwako roma
@WiliamuNjimbwi-yr4xu
@WiliamuNjimbwi-yr4xu 4 ай бұрын
🎉🎉 tutasimama tena Kila mipango inajamba 🤝🤝🤸
@fra_nyuki
@fra_nyuki 4 ай бұрын
Naona kama hii ndio Ngoma inayogusa wengi zaidi 🔥🔥🔥
@MICHAELEDWIN-fh5nq
@MICHAELEDWIN-fh5nq 4 ай бұрын
kama una mkubali roma gonga likee hapa
@johnmalale3860
@johnmalale3860 4 ай бұрын
Big up sana ROMA wewe siyo mwanamziki tu;! Hata katika maisha wewe ni mwalimu;!.ubalikiwe sana
@inkurushow2827
@inkurushow2827 4 ай бұрын
Kutoka Bujumbura Burundi, kaka hongela sana kabisa, nyimbo zako zinanijenga
@musanyami285
@musanyami285 4 ай бұрын
Hakuna artist kama wewe roma, u'r the perfect one ,,I love u bro and God bless u more.
@JamesRichard-jk4he
@JamesRichard-jk4he 4 ай бұрын
jamani Roma.umenigusa sana kweli huwezi kuchagua mzazi atakae kuzaa goddess❤❤❤🙏🙏🙏🙏
@bushbabytz
@bushbabytz 4 ай бұрын
huyu jamaa ana best chorus kila siku achana na mashairi ambayo ni motoo
@MashakaShobo-cs5wj
@MashakaShobo-cs5wj 4 ай бұрын
Roma MUNGU akutunze sana jamaa unatugusa wengi mno Abiud ana voko aisee ipo siku tutamuona mbali
@animationtz5
@animationtz5 4 ай бұрын
Usimtegemee ndugu atakupa msalaa 🙌🏾🙌🏾 ...hii ni ukweli mtupu
@djtrigaa
@djtrigaa 4 ай бұрын
Napenda the way Roma anaendelea kuwapa shavu Fresh Artist #NIPENIMAUAYANGUTHEALBUM❤🙌
@businessaccount1904
@businessaccount1904 4 ай бұрын
Kaka mm nakupa mauwa yako 🎉🎉 upo nchi ya ugenini lakini bado unatowa hit song 🎵 bro mm 🙌🙌 alafu wewe ni ✍️mnzuri sana oneday i will meet you ❤
@Issamkwizu-bh3io
@Issamkwizu-bh3io 4 ай бұрын
Kaka unajua mpaka unakera nakukubali sana miongoni mwa wasanii ninao wakubali ww namba moja kaka hongera sana
@oskarMwaipungu
@oskarMwaipungu 27 күн бұрын
Daaa. Umetishaa sanaaa . Chukua mauwa yakoo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@MisheckRanda
@MisheckRanda 4 ай бұрын
Hili goma ni nomaaaaaaaaa Roma ni. Mkali kweli fire🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 nitasimama tena
@kiawambui606
@kiawambui606 4 ай бұрын
Yani mtaji wa maskini nguvu zake mwenyewe.. Tambua sanh mwambah #254...
@RadjaboyKubita
@RadjaboyKubita 4 ай бұрын
Wakwanza toka Congo 🇨🇩 ebu nipeni likes zangu ✌️
@Tigerprocessworldwide
@Tigerprocessworldwide 4 ай бұрын
Kama kuna rapa mi namkubali east africa basi huyu mwamba❤❤tumpeni maua yake🎉
@penueldjuma2845
@penueldjuma2845 4 ай бұрын
Kama hii ngoma imekugusa basi nipe japo like 🎉🎉🎉❤
@PiussKabado
@PiussKabado 3 ай бұрын
ROMA❤❤❤❤ haujawahi kukosea mzeee 🎉🎉🎉🎉🎉
@PeterDanson-ps9iq
@PeterDanson-ps9iq 4 ай бұрын
Roma wa kwanza nitasimama tena toka 🇨🇩🇨🇩 congo 🎉🎉
@mwamposaa65
@mwamposaa65 4 ай бұрын
Kijana anayeaso ludia ii goma mala 5 utamshklu roma kuludisha mpira kw kipa so ushamba
@PETERNSIKALI
@PETERNSIKALI 3 ай бұрын
kaka ume tema fact yaaani duuu hiii mistar imekaaa vzur yaan 🙏🙏 nitasimama Tena na Imani kwa MUNGU
@VenanceGilbert
@VenanceGilbert 4 ай бұрын
mwanetu ROMA chukua maua yako na vikonyo, chukua matawi na miti ya maua na mizizi yake
@AmedeMassawe
@AmedeMassawe 4 ай бұрын
Jirani kazaliwa na Waziri ila we na mamaa àyo kichaa,baba mlevi alafu konda tu dalala kibaha dah.Usiikate tamaa na mute upate amasaa,we ndo wakuibadili Sura ya familia kwanzia sasa,naunawezaaa❤❤❤❤❤❤
@AmosRugaimukamu
@AmosRugaimukamu 4 ай бұрын
Umaskin nitabu, nilishindwa kuendelea namasomo ya chuo kisa karo, lakin Mungu nimwema naona Mwanga japo kwambali,
@AshaBonifasi
@AshaBonifasi 4 ай бұрын
Naiman kwel kaka ❤❤❤Ngoma imenigusa xan Yan Inanihusu
@neemavitalis9098
@neemavitalis9098 4 ай бұрын
Roma Asante kwanyimbo nzuri sana ❤❤
@OmmyMtaita
@OmmyMtaita 4 ай бұрын
Dadeq Roma wewe ndo msanii wangu pedwa for revar
@abubakarsaid8509
@abubakarsaid8509 4 ай бұрын
Umetisha sana broh
@stephenkhaoya6565
@stephenkhaoya6565 Ай бұрын
My mentor ....siku zote aninipa ujasiri
@sammmary8700
@sammmary8700 2 ай бұрын
Oya huu Muwa noma Mwana umetisha sana Brother ungekuwa Homeland ungepewa na tuzo zako🎉🎉
@AugustineokochaKifrebe-yd7cw
@AugustineokochaKifrebe-yd7cw 4 ай бұрын
Mwamba unajua sana huwimbo hakika umenigusa sana pia unatufundisha kua na confidence grade ya taifa
@FadhilaMuddy
@FadhilaMuddy 4 ай бұрын
Kaka hii nyimbo imenifanya nilie namuomba mungu baba angu arudi home yanii km umesikia kilio Cha mama angu I like
@DeeDan-sj1mr
@DeeDan-sj1mr 4 ай бұрын
Jaman huyu abiudy xio mtu mzuri kabxa maana yangu anajua xana
@Delightson48
@Delightson48 4 ай бұрын
Nguvu Ndy mtaji wa akili! My NO 1 Tanzania artist nakubali sana ROMA! Naimani Unanafasi yako kwenye Taifa hili
@MwanziaFelix-w4x
@MwanziaFelix-w4x Ай бұрын
Kali sana tena fact broo like it
@shahidenock757
@shahidenock757 3 ай бұрын
mwana hip-hop wangu bora wakati wote... viva Roma
@ContentLobster-vi6dq
@ContentLobster-vi6dq 4 ай бұрын
Roma katoa kazi nzuri hasa imemgusa abiud ambae amemshilikisha maana maisha aliyopitia mpaka kufika sasa ni magum alikua hana pakuishi akawa anafanya kazi kwa watu ili tu apate chakula na malazi Mungu zidi kumbalik abihud afike mbal
@FelixMatiabo-cn9qm
@FelixMatiabo-cn9qm 4 ай бұрын
Kichwa cha Tanzania kimeximama tena 2024🎉
@jay_mtamaduni6632
@jay_mtamaduni6632 4 ай бұрын
Dah,Abiud mtu💪 Shukran jazeelan Kwa kumshika mkono
@jamiinaafyanjema2966
@jamiinaafyanjema2966 4 ай бұрын
Yes nitasimama tena ngoma imesimama sana Yani kinoma noma
@hashkhantantrasiraji118
@hashkhantantrasiraji118 4 ай бұрын
Roma na Abiud umetusanua sana tusikate tamaaa tuwe naimani kesho yetu ni Bora ngoma kali🙏
@norregaraper5383
@norregaraper5383 4 ай бұрын
Abyun hajawahi fanya nyimbo mbovu nawewe💯💯💯
@ConsciousBNB
@ConsciousBNB 4 ай бұрын
Kama Maua Yangu Nishakupatia 🙌🙌🙌
@katanakazungu3993
@katanakazungu3993 4 ай бұрын
Viva roma mkatoliki 🎉🎉 hit song 🎵 bro +254 🇰🇪 tunakuwakilisha wanao .
@wingstarmsanii9862
@wingstarmsanii9862 4 ай бұрын
Hii ngoma Kali yenye mafunzo makubwa Kwa watoto wa ghetto ❤❤❤
@HamenyimanaJeanmarie
@HamenyimanaJeanmarie 4 ай бұрын
Mbona ulikuwa umekawiza mkatorika wetuuu 🥰🥰🥰,more love from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@ELIAMICHAEL46
@ELIAMICHAEL46 4 ай бұрын
Nice kaka ❤❤❤❤❤❤ kabisaaa
@LebahatiLaizer-b4q
@LebahatiLaizer-b4q 20 күн бұрын
Wimbo Enye na ujumbe tosha kaka 🌿🌿🌿🌿🌿
@DazlayanLukas
@DazlayanLukas 4 ай бұрын
Hii ngoma verse ya kwanza imewahusu wanawake verse ya pili imehusu wanaume 🔥
@BigZhumbe
@BigZhumbe 4 ай бұрын
Hii sasa ndio ngoma 🔥🔥🔥💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾🔥🔥🔥🔥🔥 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Justinndalama01
@Justinndalama01 4 ай бұрын
Rafiki zangu ujue tabia zangu😢😢😢😢 acha nibaki peke yangu
@DionisKisinga
@DionisKisinga 4 ай бұрын
Namkubar sana mwamba huyu 🔥
@FurahaNgomango-zr3bz
@FurahaNgomango-zr3bz 4 ай бұрын
Wewe jamani unajua mbaka unakela mungu awe nawewe Mzee unaweza unatapika dar
@mosesmhina9980
@mosesmhina9980 4 ай бұрын
JIWE TENA JIWE HASWAA...ISHI SANA HOME-BOY
@arnoldrwekaza2265
@arnoldrwekaza2265 4 ай бұрын
Safi sana, nyimbo hizi ndo vijana wasikilize wachape kazi
@elishatitus945
@elishatitus945 4 ай бұрын
Daaaaah hii Ngoma nimeirudia mara 15 viva Roma hakika ni bonge la wimbo
@kizitoalmas9248
@kizitoalmas9248 4 ай бұрын
Nakubali sana kaka chukua MAUA YAKO 🎉🎉🎉🎉
@emmanuelayall5029
@emmanuelayall5029 4 ай бұрын
Baba Roma babaaaa nimepata nguvu ya kupambana balaaaa❤❤❤
@garamasaid6631
@garamasaid6631 4 ай бұрын
Hii nyimbo inanigusa mahali kwakweli nampa💯💯💯
@HusseinMbaya
@HusseinMbaya 4 ай бұрын
Tafuta chako haina furaha hiyo pesa ya manyanyaso# kazi Good
@ImaMtandi
@ImaMtandi 4 ай бұрын
Oya like nyingi Kwa viva Roma wewe 🔥🔥🔥🔥🔥
@feaklasty
@feaklasty 4 ай бұрын
Rudisha MPIRA kwa kipaaa (Sio Dhambi)✅
@qtv4252
@qtv4252 4 ай бұрын
Duh hizi kilombero ni paka kwa nyuki big up mathematician
@hclever7731
@hclever7731 4 ай бұрын
Mungi mi nakosea wapi,, 😭😭
@munuosjonas
@munuosjonas 2 ай бұрын
🎉🎉unyama mwingi mnooo
@derdeedomedia
@derdeedomedia 4 ай бұрын
Nakutambua sana kaka
@DAKTARI_PESAZOSI_TV
@DAKTARI_PESAZOSI_TV 4 ай бұрын
Album romaaaaa MOTOOOO🔥🔥🔥
@nyiramba
@nyiramba 4 ай бұрын
👊👊👊nomah xana pongezi kwako👏👏👏👏👏
@laxmajor
@laxmajor 4 ай бұрын
Unyama mwingi Sanaa romaa💯💯💯🚀
@piasonNicholas-us1wh
@piasonNicholas-us1wh 4 ай бұрын
Roma hajawai kosea hata kidg bc kama unakubaliana na mm gonga dondosha like apa
@HassanSeif-mh6oh
@HassanSeif-mh6oh 4 ай бұрын
Hiki kichwa hatar sana haloo roma ongera sna we jamaaa n hatar❤❤❤
@johnsilima1629
@johnsilima1629 4 ай бұрын
Tunaoamin tutasimama milele na milele hatutaanguka gonga like hapa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@simonkofia7517
@simonkofia7517 4 ай бұрын
Unyakyusa sana mr mzazi Roma mkatoliki....Big shout sana mzazi kutoka mafinga town...KOFIAMBAYA mbea boi
ROMA ft Abiud - Nipeni Maua Yangu (official Audio)
7:00
VIVAROMA
Рет қаралды 2,2 МЛН
Nay wa Mitego Ft Raydiace - Nitasema(Official Music Lyrics)
3:26
1 сквиш тебе или 2 другому? 😌 #шортс #виола
00:36
Хасанның өзі эфирге шықты! “Қылмыстық топқа қатысым жоқ” дейді. Талғарда не болды? Халық сене ме?
09:25
Демократиялы Қазақстан / Демократический Казахстан
Рет қаралды 332 М.
إخفاء الطعام سرًا تحت الطاولة للتناول لاحقًا 😏🍽️
00:28
حرف إبداعية للمنزل في 5 دقائق
Рет қаралды 81 МЛН
Synyptas 4 | Арамызда бір сатқын бар ! | 4 Bolim
17:24
ROMA - Namuachia Mungu Feat Appy
4:00
VIVAROMA
Рет қаралды 98 М.
Professor Jay feat Alikiba - CALLING (Official Music Video)
4:26
ProfessorJay
Рет қаралды 698 М.
ROMA -  Story ndiyo Itakayobakia Feat One Six
3:54
VIVAROMA
Рет қаралды 128 М.
Nitasimama Tena
3:43
Roma Mkatoliki - Topic
Рет қаралды 35 М.
Roma Mkatoliki -Wee Mama Wee new Song Video #Romazimbabwe
2:01
MZALENDO DIGITAL
Рет қаралды 19 М.
MwanaFA Feat G Nako  - Mfalme (Official Video)
4:05
MwanaFA
Рет қаралды 1,4 МЛН
ROMA - Wape Habari Feat Byser & Latifah
3:32
VIVAROMA
Рет қаралды 83 М.
ROMA ft Abiud - Nipeni Maua Yangu
7:00
VIVAROMA
Рет қаралды 68 М.
Kontawa feat Nay wa Mitego : Champion (Official Video)
3:28
kontawa
Рет қаралды 3,9 МЛН
1 сквиш тебе или 2 другому? 😌 #шортс #виола
00:36