Amen baba yangu, Mungu akuongeze utukufu hata utukufu, Roho wa Mungu yuko ndani yako hakika.
@furahaabdallah13772 жыл бұрын
Asante mtumishi, MUNGU akubariki mtumishi naomba Masada wa maombi sababu naota kila Mara niko kwenye mtiani na siumalizi ndoto hii inajirudia tafadhali nisaidie.kwa maombi.
@annmungai51912 жыл бұрын
Amen that pastor is talking the truth do not judge him he is truly a man ofGod
@maurinekelly252 Жыл бұрын
Niombee pastor mm kila siku nipo shuleni tena mazingira ya nyumbani kule huku nishaolewa
@mauwashomari81602 жыл бұрын
Bwana YESU CHRISTO asifiwe mtumishi wa Mungu, mimi naishi marecani , kwakweli izo ndoto mimi naziota sana nikiwa afrcan pia nikiwa darasani Mungu nisaidiye
@janemugwiria9846 Жыл бұрын
Thank you pastor.pray for me I had such a dream at night.i was in my village where I used to be many yrs ago.
@annafrancis26292 жыл бұрын
Asante babaa niombee mm mara nyingi naota Niko darasan kufanya mtihan mara kwa mara sana mungu anisaidie
@boaziskk5439 Жыл бұрын
Merci kwa mafasirio mimi ni Pasteur magnifique.
@boaziskk5439 Жыл бұрын
Pole
@edinakyaruzi9226 Жыл бұрын
Na mimi jamani
@SheilaIrusa2 ай бұрын
NAMI poa pastor
@greyjorgesgaspar-dd1lf21 күн бұрын
Ndoto hii inanitesa sana na mimi
@shukururukaga83342 жыл бұрын
Amen MTU wa mungu mungu hazidi kukutumia said Na zaid
@djumazuena522 жыл бұрын
Mungu ndoto m mbaya uzifute kwajina lakopeke yako. Mungu AMEN AMEN AMEN
@BarakaMwita-z7qКүн бұрын
Mimi iyo ndoto ya kurud kijijin naoyota sana naomba uniombee mtumishi wa mungu
@RabiusRaphael-b7y3 күн бұрын
Mungu akubariki
@NancyJohn-rp4uz2 ай бұрын
Amina mtumishi mungu awatie nguvu mtumishi
@afandechanel15072 жыл бұрын
Ndoto ambayo na pinganayo nia kuota upo kijijini eti nimbaya kwaio ukiota upo town ndo uta fanikiwa
@user-ub8vm1go9j2 ай бұрын
😂😂😂
@MilikaYohan2 ай бұрын
Mungu akupe maisha maref nabii uzdi kutufumbua macho
@esthernafula99952 жыл бұрын
Bwana asifiwe mchungaji, nahitaji maombi , hizo ndoto zote umeongelea huwa sinanikujia mara kwa mara nashindwa kuelewa shida ni nini, nashukuru sana kunifanya nielewe maana yake, barikiwa sana mchungaji.
@fidelfidel-jz4iw11 ай бұрын
Miungu akubaliki pastor hizi ndoto mbili nimekuwa nikiota nipo nafanya mithihani simalizi na nipo kijijini sikuelewa tuombee mtumishi wa mungu
@neemacharles414411 ай бұрын
Ameen mtumishi ndoto hizi Huwa naziota sana nahitaji msaada
@florasingano58592 жыл бұрын
Amen baba, ubarikiwe
@maureenwanyama97302 жыл бұрын
Amen pastor me huota ile ndoto ya pili na ya tatu nafanya mtihani tena najikuta natembea kijijini
@priscasanga62112 жыл бұрын
Me pia
@elizabethwambui27662 жыл бұрын
Hello pastor I had the fast two dreams for sometime now the problem is the pastor of this days want money when praying for you
@NairobiHotGossip072 жыл бұрын
MIMI ya kufanya mtihani ndio huwa naota sana, any pastor who can help us?
@sekundaasenga21022 жыл бұрын
Mungu awabariki kwa utumihi wenu
@lizymuthonimuthoni73672 жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe,mm hivi jana nimeota nimerejea kutoka Saudi manake mm nko huku na sikuona nikigia kwetu nyumbani bali niligia kwenye kusanyiko la watu wa mungu kama ulikuwa mkutana na wale wote walio kuwa hapo ni wakanisa nililo lelewa kiroho na wote walikuwa gala mvua ikaaza kunyesha ikatulazimu tuigie ndani nilipo igia,wadada nawajua walikuwa wakinisalimu kwa mshagao na furaha huku mwaki nidakua eti mtoto wa fulani amerejea kutoka majuu ghafula nika gutuka
@shiplegcm49482 жыл бұрын
Niliota ndoto hiz last year jumba mbovu then niko shule lower class Mungu nakataa ndoto hiz kwa damu ya Yesu christo
@user-my5vs9gt7k4 ай бұрын
Nisaidie baba Mimi kijana maisha yangu yamekuwa ni yakuwa na mawazo abaya kwenye hakili yangu
@richardhaonga81382 жыл бұрын
Asante mtumishi kwa somo zuri
@felistabosta60802 жыл бұрын
Amina. Mungu akulinde daima
@kasondesampa71872 жыл бұрын
Kweli mtumishi mm Mara nyingi naota nipo Kijiji kwetu nilikuwa cjajua maana yake nashukuru mtumishi was mungu fro zambi
@annamasebo20612 жыл бұрын
Mm huwa naota Sana ndoto no 3 eeeh mungu niepushe na hili
@monicampokwa4412 жыл бұрын
Aminaaa mtumishi.ni kweli kabisa
@sarahandrea31103 жыл бұрын
Ameni,mungu Akupe nguvu,uzidikutufunuliaAmeni
@gidionsimon8875Ай бұрын
Amen mtumishi
@olivanooraladin54362 жыл бұрын
Hiyo ndoto ya mtihani imekua ikiniandama Sana lkn hujasema nin tafsili yake
@esternikata59482 жыл бұрын
Jamani asante ni kweli kabisa hizo ndoto zote niliota nanikasambalatika kiuchumi gafla
@emmysimon37062 жыл бұрын
Amina na mm naota sana nkiwa kijijin nyumban
@lydiakimani50872 жыл бұрын
I've had those 3 dreams, little did l know they were not good.
@SamwelMarcusАй бұрын
Amin .ndoto hizo zimenigusa sana naomba msaada
@lizzybahati98333 жыл бұрын
Kwel kabisa 🙏
@glodynkondo98002 жыл бұрын
Amen mimi 3 times nalota tuko na mke wangu tuna furayi
@judyliz45442 жыл бұрын
Amen jamani Mimi naota nikiwa Kwa siku za wa mama,hii inamanisha nini
@kadunawewe72483 жыл бұрын
Ameen mtume mimi.nilikuwa naota sana nipo kwenye nyumba mzuri na kijana wakizungu sijui maana yake nini mtume
@user-sn8ne4is8x14 күн бұрын
Amen
@judithcheptonui97642 жыл бұрын
So why can you do after dreaming
@lucyrichard51172 жыл бұрын
Aminaaa
@albertfabrigas53833 жыл бұрын
Ameen!! Tunafunguliwa kupitia Ufunuo huo wa Ndoto
@DogooHhayuma5 ай бұрын
Niombee mtumishi pia ubarikiwe
@user-nr8tr8dk2e7 ай бұрын
Niliota na ng'ombe wengi sana kijijini chetu na waliogopesha sana..walikua brown in color yamaanisha nini??
@FRADOSFAMILLY-mf6ch4 ай бұрын
Amen baba ubariwee
@asiamushi18982 жыл бұрын
Amina pastor mimi ndoto zote naziota jamani
@joycelivingstone74262 жыл бұрын
Ni kweli mtumishi DAMU YA YESU ITULINDE KILA WAKATI SAA DAKIKA KATIKA JINA LA YESU KRISTO ALIYE HAI
@kombayona89492 жыл бұрын
Amina mtumishi
@mebalkamonya42879 ай бұрын
Mimi nimeota maiti 4 wakiwa wamelazwa ndani ya jeneza zikiwa ndani ya magari maa nne aina ya Nissan maanake?
@godwinnyambulapi68162 жыл бұрын
Mafundisho ya mashetani ndo HYa. Hakuna Roho mtakatifu hapo. Hubiri Kristo na Sio ndoto. Ww unayeota ndoto badili mfumo wako wa maisha na mawazo hata chakula tu. Hakuna maadui. Adui yetu ni mmoja tu shetani ambaye ukitoka ushamshinda.
@joycekikome3832 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@Chep-oj7ogАй бұрын
Very true kabisa
@petronialushona1742 жыл бұрын
Ubarikiwe
@Haikakimaro2 жыл бұрын
Amina mtumishi sioni namba
@EvaLastonimwabobo2 ай бұрын
Mara nyingi naota Mume wangu kadufuka Hali alishakufa hii Ina maana gani mtumishi
@peterobiri25092 жыл бұрын
Amen 🙏 , zote mm nimeota kila siku
@ancillawanga90022 жыл бұрын
Mimi huota nimerudi shule yenye nilikuwa nasomea sekondari ....ama nakutana na marafiki wakitambo please pray for me towards that
@godrivermichaelsugwejo49792 жыл бұрын
Namimi naotaga hiviii
@happyzablon31062 жыл бұрын
Hiyo ya tatu ishawahi ntokea naona Kama wenzangu wamemaliza kufanya mtihan lkn wenzangu wanaona mtihan mwepesi nashindwa kuandika muda nap hauishii
@linetharon2 жыл бұрын
Hizi ndoto kwangu ni zote😳😳😳😳🙆🙆🙆🙆ghai
@mwanaidsalehe11093 жыл бұрын
Baba minaziota sana karibu zote asante baba kwa mafundisho mazuri.
@janethmushi53592 жыл бұрын
Mungu wangu nisaidie mtumishi ndoto hizi 2 nimeziota Leo usiku
@clarispendo85562 жыл бұрын
Pastor mm hizi ndoto zote zenye umezitaja huwa naziota kabisaa
@felisterandrew87412 жыл бұрын
Mungu nisaidie.
@zabronosima76923 ай бұрын
Hiyo ndoto ya mitihani
@VickKulekana-si1ib10 ай бұрын
Ni kweli ata mimi ya mitihan nilikuwa naiotaga na nikajuwa ni mbaya ndio matatizo yanaanzaga kwenye ulimwengu wa roho
@jacklinedanieli56842 жыл бұрын
Mi nimeota mala kibao jamani uwhiiiii. Zote hizo Sijui nipo shule mungu wangu mala kijijin
@priscapaul3392 жыл бұрын
Mungu.nisaidie
@VickKulekana-si1ib10 ай бұрын
Mtihani wenyewe mgumu
@user-ci6js4yt5q2 ай бұрын
Amen 🙏
@tompatrick1467 ай бұрын
NAOMBA mkaanzishe FACE BOOK Chanell.. kama mano nijulshe , shukran.
@linetkerubo73532 жыл бұрын
Amen Amen 🙏🙏🙏🙏
@citybirdproduction78282 жыл бұрын
Every dream has a meaning..hii ya kufanya mtihani ama kuota umerudi shule very dangerous.
@wamalwajoyce66082 жыл бұрын
Na Kuota ukifanya wedding
@rosemuthini60982 жыл бұрын
Nilijenga miaka 5 ilioyo pita nyumba kubwa na nimekua nikiota naishi ndani lakini ikiwa imebomoka na kweli maisha yangu kwa sasa imekua ya kuangaika
@user-ix5fw2mf8s2 жыл бұрын
Naomba tafadhali nieleze kuhusu Naoto ya kufanya mtihani yaani mimi huwa naota tu kila siku nafanya mtihani ngumu sana na shindwa kumaliza
@beatricemwamini20445 ай бұрын
Amen.
@sakinam36583 жыл бұрын
Mimi nilikuwa Nikiota sana nikiwa kijijini na Pia ndoto nikiwa Shuleni nikifanya mtihan na simalizi
@fatmahal98813 жыл бұрын
Ameen thanks yote nimeotaa
@yustermavika24222 жыл бұрын
Amen mtumishi wa Mungu aliye hai
@VickKulekana-si1ib10 ай бұрын
Ata kuna mchungaji alisema hayo .ndoto hizo mbaya
@luhyabae64712 жыл бұрын
Aki mm naota sana ndoto nikiwa kwetu na family ya upande wa babangu
@user-kg3ns5iw9p3 ай бұрын
Mi Niko singida nimeota vua inanyesha lakini ilitokea shoti zaywaya za umeme zimeowa mujini muzima ikiwa mpamoja na matunda ya zabarau mengi yamedodoka chini
@VeredianaKalembi-gs4vs2 ай бұрын
Kabisa umenena ukweli
@fabianbenardngatunga27134 ай бұрын
Niliota ndoto nimeng'atwa nanyoka mkono wa kulia naomba maana yake
@ireneaudax79782 жыл бұрын
Hiii imenigusa kabisa yote nayapitia
@florashirima1224 Жыл бұрын
Nikweli past hizindoto huwasina nisumbua San sinarudiarudia san
@StelaNyalukeАй бұрын
Amenj
@ChegeboyAssey3 ай бұрын
Mchungaji bwana yesu asifiwe
@nancymartin99622 жыл бұрын
Kusema ukweli nimekua nahisho doto saaaana
@poneandrew24612 жыл бұрын
Jamani Mungu nisaidie mimi nimewahi kuota
@RabieGerard5 ай бұрын
Mimi nimeota naenda shule tena ilikuwa siku ya mtihani maana yake nini
@nijulishenijue11683 жыл бұрын
hII INANIHUSU KABISA NAONA KAMA VILE ILIKUWA YANGU UJUMBE UNANIHUSU MIMI KABISA
@mainanjogu78722 жыл бұрын
Blessed
@annwanjiru3862 жыл бұрын
Ukiota ukishiriki ngono ama ukipigana na mtu unaye mjua ama usiye mjua inamaana gani ama ukiota ukinyolewa nywele yaonyesha nini
@estetyohana13222 жыл бұрын
Ameen baba
@masanjaemannuel19482 жыл бұрын
Amin pamoja sana
@greacembwnwilibati8197 Жыл бұрын
Mm nimeota zote 😭
@PIUSEMMANUEL-jq6qw11 ай бұрын
Huwa naota mala nyingi sana nipo nyumba
@kadunawewe72483 жыл бұрын
Ameen
@janelayala29142 жыл бұрын
Mara mbili nimeota nimeenda kwetu na kufanya harusi Kubwa mno. Wiki haikupita nephew wangu mpendwa akafa😭
@janenabwire32212 жыл бұрын
Ukweli🙏
@VeronicaNdunge5 ай бұрын
Naota nikifanya mtian na wanafunzi tuliomalisa shule miakamingi imepita😊