SABABU 3 ZA KUKU WA KIENYEJI KUTOTOA VIFARANGA WACHACHE

  Рет қаралды 27,265

Changamkia Fursa

Changamkia Fursa

Күн бұрын

Пікірлер: 69
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Video hii nimejibu changamoto ya utotoleshaji wa vifaranga wachache. Kwanini unapata vifaranga wawili kwenye mayai 10 uliyoatamiza
@ihucha
@ihucha 4 жыл бұрын
Tuko pamoja
@zaitunkhamis3854
@zaitunkhamis3854 3 жыл бұрын
Ni changamoto. Yangu hiii
@muniramussa1530
@muniramussa1530 11 ай бұрын
Mm ni mfugaji mchanga na nitajiunga kwenye group lenu Inshallah. Ila nimepata changamoto nimempoteza jogoo mmoja ALIKUA amezoofika na ALIKUA anakohoa. Kiukweli niliumia sana maana sikujua nimpe nn.
@user-vi7uq1cp6h
@user-vi7uq1cp6h 11 ай бұрын
Asante sana
@Jane-qj6oy
@Jane-qj6oy 9 ай бұрын
Kazi nzuri sana Sdakta👌
@DenisShayo-lv3gw
@DenisShayo-lv3gw Жыл бұрын
Asante san aise nimeweza kuelewa kbc
@beatricemwombeki1651
@beatricemwombeki1651 4 жыл бұрын
Asante kaka ngoja nipambane nimepata na faida ya kugeuza mayai nilikuwa Sijui shukrani sana.
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Asante sana
@ihucha
@ihucha 4 жыл бұрын
Pole kaka nasikia fluu inakusumbua Allah akuponye
@twororeturimekijambere5491
@twororeturimekijambere5491 2 жыл бұрын
🇧🇮🙏👌🇧🇮munanifanya mufugaji muzuri sana
@elizabethlweya5011
@elizabethlweya5011 2 жыл бұрын
Asante kaka nahitaji somo lako
@user-we6sr9wq3h
@user-we6sr9wq3h Жыл бұрын
Asante sana nilipenda unitumiye namba Yako ikuwa n'a alama yakuonyesha ichiyako mimi niko Nord Kivu ndani ya DRC
@Godneverfailed
@Godneverfailed 4 жыл бұрын
Asante Mwalimu
@givanosiako8646
@givanosiako8646 3 жыл бұрын
Nimependa
@josephinemuthoni5986
@josephinemuthoni5986 4 жыл бұрын
Thanks for today's lesson i never knew eggs are supposed to turned twice a day for good hatching.thank you God bless us.
@amanishayo2211
@amanishayo2211 3 жыл бұрын
Hongera bro
@hajidumi4100
@hajidumi4100 Жыл бұрын
Bro unaelezea vizur san.mung akulipe
@mariethamgabo2530
@mariethamgabo2530 4 жыл бұрын
Mimi napenda sana kufuga kuku wa kienyeji naomba nijiunge kwenye mtandao, nitapataje vifaranga wa kienyeji
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Karibu kwenye darasa la ufugaji wa kuku
@eliakimupaulo1716
@eliakimupaulo1716 3 жыл бұрын
Safi sana kwa elimu. Kuna hali kuku kuwa kama anaachama au kuacha mdomo wazi kwa muda. Hii ni dalili gani?
@LevinaMushi-gf3nj
@LevinaMushi-gf3nj 5 ай бұрын
Naomba nielekezwe namna ya kulea vifaranga vya bata
@catherinekavishe8885
@catherinekavishe8885 10 ай бұрын
Habari Mimi ni mfugaji mchanga wa kuku wa kienyeji kwanini kuku anataga mayai ambayo hayaja komaa.
@omaryabdalla5218
@omaryabdalla5218 Жыл бұрын
Habari mi mfugaji mdogo tatizo nililonalo kuku wangu anatotoa vizuri tu tatizo vifaranga vyangu avikui baada ya wiki ya pili wanakuwa wanyonge na kuanza kufa
@clemencejulius
@clemencejulius Жыл бұрын
Vyombo gan ni muhimu kw ajili ya kulishia vifaranga wachanga na wale chakula kipi??
@user-jl8wo8gg2g
@user-jl8wo8gg2g Жыл бұрын
Shida kuku wangu wakiatamia hata Kam maayai ni machache mfano mayai nane anavunja mayai kwenye kiota chake kabla ya kutotoa nakuyazila mayai yaliyobaki nakuahirisha kutotoa
@abubakarmzee8601
@abubakarmzee8601 3 жыл бұрын
Hello mm naaza kufuga kuku wa kienyeji nilipata vifaranga lakini hanizalia tena mayai vifaranga vimekuwa wakubwa
@maryjepkorir6968
@maryjepkorir6968 4 жыл бұрын
Ni vyakula vipi ambavyo vina virutùbisho?
@rosemaryetome5341
@rosemaryetome5341 4 жыл бұрын
Mimi ni Rosemary Je kuku wakilalia/kuatamia wawili kuna madhara gani?
@sarahbukachi6484
@sarahbukachi6484 4 жыл бұрын
Hujambo, Mimi nafuga kuku Wa keinyeji. Wanachukua wakati mrefu sana kulallia. Sababu ni nini?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Kuku wa kienyeji hatakiwi kuzidisha siku 21 kinyume na hapo mayai yameharibika
@sarahbukachi6484
@sarahbukachi6484 4 жыл бұрын
@@changamkiafursa Asamte, lakini nilimaanisha wanataga kwa muda mrefu, wemetaga kwa miezi mitano Sasa . shida ni nini? Hazija lalia
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Hao sio kienyeji, hao ni chotara
@hellenmgungus2935
@hellenmgungus2935 4 жыл бұрын
Mm kuku wangu ni chotara wanasumbukiwa sana na mafua yaani wanakoroma sana
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Chotara wako sensitive sana kwenye mazingira ya kubanana na hali ya hewa ya baridi
@hellenmgungus2935
@hellenmgungus2935 4 жыл бұрын
Hivi ukiwapa kuku dawa za binadamu zinamadhara??kama utatumia nyama au mayai??
@dripkeyzer5284
@dripkeyzer5284 4 жыл бұрын
Kuku wangu hawalalii japokuwa ni wakienyeji
@dripkeyzer5284
@dripkeyzer5284 4 жыл бұрын
Dah mimi kuku wangu hawalalii japokuwa ni wakienyeji
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Pole sana, hao ni kienyeji waliochanganya. Siku hizi watu wanapandisha kienyeji na chotara
@dripkeyzer5284
@dripkeyzer5284 4 жыл бұрын
@@changamkiafursa dah poa nc
@ramamazanindegebedua7214
@ramamazanindegebedua7214 4 жыл бұрын
Hapa nimepata faida ya kugeuza mayai. " TUNAISUBIRI SAANA HIYO YA CHAKULA"
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Mwezi huu itatoka inshallah
@rossamengo7211
@rossamengo7211 4 жыл бұрын
Naomba kujua nikitaka kununua vifaranga wasiku moja tuseme kama mia 200 nifanyeje ili nipate vifaranga wazuri ambao sio dhaifu kama wale wanao pandwa na kaka na dada,
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Mfugaji makini wa kuku wa kienyeji huwa anazingatoa kubadoli jogoo mara kwa mara
@nemburisrobinson8898
@nemburisrobinson8898 2 жыл бұрын
Ninakuk wangu ametaga yai moja leo ni wiki yatatu ajataga Tena nisaidieni
@shakurfaith
@shakurfaith Жыл бұрын
Hali chakula kizuri huyo. Unamlisha tu pumba
@merinaemmanuel206
@merinaemmanuel206 2 жыл бұрын
Pilet ni aina gani ya chakula je kinapatika ?
@evalinegodfrey270
@evalinegodfrey270 2 жыл бұрын
Nimejifunza mengi na Mimi nitaanza ufugaji wa kuku.
@patrickmtama3568
@patrickmtama3568 4 жыл бұрын
Namimi hiyo changamoto nakutana nayo sana
@clausuvaboyissa3205
@clausuvaboyissa3205 2 жыл бұрын
Mimi Nina matatizo kuku wangu ameatamiya ila siku zimepita lakini kuku akuwa ata kifaranga kimoja
@hamisimusaa1698
@hamisimusaa1698 4 жыл бұрын
Namna bora ya kutunza vifaranga wa kienyeji , je ni walishaje kuku wa kienyeji ili wanipe faida
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Nimetoa video ya jinsi ya kuwalisha
@abdurahmankaid3681
@abdurahmankaid3681 2 жыл бұрын
Habari mbona kuku wangu hawatagi na nimewanunua Kama mwezi mmoja umepita
@salhakassim7860
@salhakassim7860 4 жыл бұрын
Naomba kujua kuku wangu wanataga sana but wanakula mayai nn sababu
@doricaszephania9632
@doricaszephania9632 4 жыл бұрын
Na je majogoo yakiwa mengi mfano majogoo 8 au 7 Kwa majike 12 hiyo ina madhara gani
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Matetea watakosa utulivu kwa kupandwa mara kwa mara
@cornelfaya3746
@cornelfaya3746 4 жыл бұрын
Kuku wangu katotoa vfaranga 15 lakin kaua wote " nn nifanye ili vifaranga vyangu vikue na nitumie dawa gan ili wasiumweumwe
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Sababu ya vifo ilikuwa ni nini?
@mohdfaki9324
@mohdfaki9324 2 жыл бұрын
Tunakuomba tuandalie video ya ufugaji wa bata wa kienyeji tunaokuomba hata video moja mimi ni mfuatiliaji mziri tu wa chanel yako tunakuomba kaka
@christophesaiba1354
@christophesaiba1354 4 жыл бұрын
Mimi nakua na shida ya kulisha kuku. Kwani jogoo anahitaji ale peke yake na kuwafukuza wengine. Nisaidie na wazo
@manchibwa6301
@manchibwa6301 2 жыл бұрын
MNA PAKANA WP
@sayunielisha735
@sayunielisha735 2 жыл бұрын
Unisaidie ninakuku wawili huwa wana penda kubakiza mayai nusu wanatotoa nusu wanaacha nifanyeje kuwasaidia
@veronicalaizer4322
@veronicalaizer4322 3 жыл бұрын
Bado kuna nafasi ya kujiunga na ukiehajinga ndo maja kwa moja au ni kila mwezi
@rosemaryetome5341
@rosemaryetome5341 4 жыл бұрын
Mimi ni Rosemary Je kuku wakilalia/kuatamia wawili kuna madhara gani?
@patrickmtama3568
@patrickmtama3568 4 жыл бұрын
Namimi hiyo changamoto nakutana nayo sana
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Pole sana
@patrickmtama3568
@patrickmtama3568 4 жыл бұрын
@@changamkiafursa nahitaji kujiunga na darasa nafanyaje
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Darasa litaanza tarehe 1 mwezi wa 10, kujiunga tuma 5,000 tigo pesa 0656528455 kisha tuma meseji ya jina na namba yako ya what's app
FAHAMU NAMNA BORA YA KULEA VIFARANGA VYA KUKU
11:56
Amina Mollel
Рет қаралды 4,8 М.
JINSI YA KUANZA UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI (HISTORIA YANGU)
12:54
Changamkia Fursa
Рет қаралды 38 М.
女孩妒忌小丑女? #小丑#shorts
00:34
好人小丑
Рет қаралды 99 МЛН
Nurse's Mission: Bringing Joy to Young Lives #shorts
00:17
Fabiosa Stories
Рет қаралды 15 МЛН
Dad gives best memory keeper
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 20 МЛН
NJIA  RAHISI YA KUPATA VIFARANGA WENGI WA KIENYEJI UKIANZA NA KUKU WA 5
10:53
UFUGAJI WA KUKU SULUHISHO LA AJIRA
10:23
Amina Mollel
Рет қаралды 14 М.
MAMBO MUHIMU YA KUFANYA KILA SIKU ASUBUHI
10:10
Changamkia Fursa
Рет қаралды 45 М.
Uleaji wa Vifaranga wa Kienyeji kwa Kutumia Kuku Mzazi
10:59
Changamkia Fursa
Рет қаралды 25 М.
Njia Rahisi ya Kupata Vifaranga 200 Wa Kienyeji Kwa Muda Mfupi
9:39
Changamkia Fursa
Рет қаралды 20 М.
YAI KUPASUKIA TUMBONI  MWA KUKU: SABABU, DALILI NA  TIBA YAKE
8:10
女孩妒忌小丑女? #小丑#shorts
00:34
好人小丑
Рет қаралды 99 МЛН