Sababu za UKIMYA wa Wanaume kwenye Mahusiano | Uponyaji wa Familia | Pastor Deo Sukambi |

  Рет қаралды 78,343

Deo Sukambi

Deo Sukambi

10 ай бұрын

Karibu katika kipindi cha UPONYAJI WA FAMILIA na Deo Sukambi.
Leo tutajifunza SABABU ZA UKIMYA WA WANAUME KWENYE MAHUSIANO
Unaweza kupata kitabu cha USICHOKIJUA KUHUSU WANAUME kwa link hii
www.getvalue.co/search_result...
Kama una swali lolote unaweza kulituma kwa SMS au Whatsapp kwenye namba hii +255 746 104 034
Unaweza Kusapoti huduma hii
TIGO PESA 0715 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
M PESA 0746 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
Endelea kunifuatilia kwenye kupitia
/ deosukambi
/ deosukambi
/ sukambideo
Usisahau ku subcribe kwa mafundisho zaidi
www.youtube.com/@DeoSukambi?s...
#DeoSukambi #Familia #Malezi #Watoto #Ndoa #Mahusiano

Пікірлер: 156
@sijartv9554
@sijartv9554 7 ай бұрын
Huyu jamaa ukimfuatilia utamkubali tu yani anajua mwamba big up sana mdogo wangu Deo
@fatmakombo9793
@fatmakombo9793 10 ай бұрын
Asante kaka ninejifunza vitu vingi sana kuhusu wanaumee nilikuwa nagombana karibu kila siku na mume wangu nimejirekebisha kupitia wewe nakufatilia kutoka sweden ❤
@DeoSukambi
@DeoSukambi 10 ай бұрын
Asante sana Fatma..nafurahi kusikia kuwa umejirekebisha
@fideavenceslaus
@fideavenceslaus Ай бұрын
🙏
@user-ci8te5vv1y
@user-ci8te5vv1y 8 ай бұрын
Amina na barikiwa sana, huu ni ukweli 🎉
@TrizahBhoke
@TrizahBhoke 8 ай бұрын
Amen 🙏 God bless you
@user-gn7xd1yg3t
@user-gn7xd1yg3t 8 ай бұрын
Ubarikiwe sana kaka umekua ukinitibu sana na semina zako.
@jamilamanariyojamila1487
@jamilamanariyojamila1487 8 ай бұрын
Shukran nimejifunzakitu ❤
@SubiraSanga
@SubiraSanga 3 ай бұрын
Ahsante kw somo zr
@user-hg2gr9gm1x
@user-hg2gr9gm1x 8 ай бұрын
Nashukuru sana umenifundisha sana
@user-pi5uc3ke3n
@user-pi5uc3ke3n 6 ай бұрын
Hongera mtumishi Mungu akuinue zaid karibu biharamulo kwa pastor mahili
@user-ki4pw1rw7m
@user-ki4pw1rw7m 6 ай бұрын
Nimekuelewa Mtumishi, asante kwa mafundisho mazuri.
@janethmlay7602
@janethmlay7602 4 ай бұрын
DAAH ASANTE PASTOR ILA KUNA WANAUME WANANUNA SANA 😄
@JenesterRwambo
@JenesterRwambo Ай бұрын
Amen
@nimpayeibrahim
@nimpayeibrahim 4 ай бұрын
Asante sana mutumichi wa mungu unanisaidia Mungu akupe maisha malefu uzidi kusaidiana
@user-hz9ss9xv8t
@user-hz9ss9xv8t 8 ай бұрын
My brother that's true
@sein.208
@sein.208 Ай бұрын
Shukran sana. 🙏
@user-yo3jv1ry3t
@user-yo3jv1ry3t 6 ай бұрын
Shukran sana
@user-xl6qw3tl1s
@user-xl6qw3tl1s 6 ай бұрын
Amina
@user-xd3sl1wm1q
@user-xd3sl1wm1q 6 ай бұрын
Amina ubarikiwe sana kaka
@erastohongerasanasamamagor7939
@erastohongerasanasamamagor7939 5 ай бұрын
Nakufutilia nikiwa mwanza ubarikiwe sana kwa somo zuri.
@angelchuwa3668
@angelchuwa3668 6 ай бұрын
Asante kiongozi umenitoa mbali kwakweli
@reginarichard3349
@reginarichard3349 5 ай бұрын
Asante sana kwa hii🙏
@user-nk8yi2hk3y
@user-nk8yi2hk3y 5 ай бұрын
Ubarikiwe
@janethnjau
@janethnjau 8 ай бұрын
Umenifurahisha sana jamani
@user-jk6qy6il7v
@user-jk6qy6il7v 6 ай бұрын
Asant sana sur wallah kila siku nagomban nawenzi wangu kisa namuuliza kitu anakuja kuniambia et ulikuwa ukisem nin hapo naanza fikaa mbaya kwe ila leo nimejifunza kutok kwako asant sana🙏🙏🙏
@gloryswai3119
@gloryswai3119 5 ай бұрын
😂😂😂... Asante Mr Deo nimejifunza kitu muhimu sana 🙏🙏
@user-no7fg8kh9y
@user-no7fg8kh9y 3 ай бұрын
God bless you 🙏
@user-xl6qw3tl1s
@user-xl6qw3tl1s 6 ай бұрын
Nashukuru umenifudisha tabia yakulshi na mume
@user-lk1oi5qi8f
@user-lk1oi5qi8f 7 ай бұрын
me wangu kutwa nzima kanuna me nachukia kweli
@JanethStanley
@JanethStanley 7 ай бұрын
Asante kaka
@user-ue4or5rc1j
@user-ue4or5rc1j 5 ай бұрын
Uko sawa nimekuelewa kaka saaana
@nauriyasalim2045
@nauriyasalim2045 8 ай бұрын
Habari Yako Mr Deo nashukuru sana kwa good lesson 😇 kwaajili ya kuwatambua waumee zetu zaidi kwa upande wangu nilikuwa namuona kimya hataki kabisa nimuhoji nikawa simsikilizi kabisa namuhoji kila wakati ili aniambiee kinacho msibu but akawa anafokea na kuniambia kwa hupendi kunisikiliza ninacho kwambia but nikawa mpole na kusikiliza hata leo ninavyo kwambia nikikuta that situation kma ni kimya najua hyo mtu yupo ktk dunia ya kutatua changamoto zake au zetu 😅 kwa hyo namwambia naomba ukapumzike kabisa 😆 so nilipo sikiliza hii nimecheka sna 😅 na kujifunza zaidi shukran sna Mr Deo Mungu akubariki zaidi kwa unachokifanya aamin am from zanzibar.
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Very good..ulijua kumuelewa mumeo..itawafaa sana
@user-ol3hc1bj5o
@user-ol3hc1bj5o 7 ай бұрын
Ni kweli tumejifunza sana alhamdulillaah ubarikiwe
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 ай бұрын
Amen amen
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 9 ай бұрын
Asante
@bonifacebeatrice3981
@bonifacebeatrice3981 8 ай бұрын
Nikweli Mungu aturehemu 🙏
@janetkwatalami
@janetkwatalami 6 ай бұрын
Amen 🙏
@asmaafamau8307
@asmaafamau8307 5 ай бұрын
Shukran Sana tumejinza mengi
@SsAl-bp8wc
@SsAl-bp8wc 8 ай бұрын
Barikiwa sana kaka nimejifunza vizngi sana kutoka kwako nipo omani na nimekuwa mpya kabisa kwenye maisha yangu nakuombeya mungu akupe umri mrefu kaka yangu
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Asante sana ndugu
@eddymaphy
@eddymaphy 4 ай бұрын
Kwanini kila video yako inaanza na ukimya adi nafikiria simu yangu ndio iko na shida
@EsperanceNsabimana
@EsperanceNsabimana 4 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu Mimi nafatiliya kila kipindi chako niko Kuwait warabuni
@DeoSukambi
@DeoSukambi 4 ай бұрын
Amen..asante sana kutoka Kuwait..nimefurahi
@mouzahal-alawi6474
@mouzahal-alawi6474 8 ай бұрын
Love from oman🇴🇲❤️
@elizabethdamas-zp9xl
@elizabethdamas-zp9xl 10 ай бұрын
yani leo umeniambia kitu kikubwa sana yan nilikua nakasirika nikidhani mume wng ana kua ana ninunia kumbe ndo mlivyo had nikawa namwambia acha tabia ya kununa nuna wanawake hua ndo tunanuna na sio nyie wanauma yani iyo tabia ilikua inanikeraaa sana yani sijui nisemeje saingine mtu unakua ata unajutia
@user-xy6kg3jf2i
@user-xy6kg3jf2i 4 ай бұрын
Mimi ni KaMBALE vahugho Charles pa Congo DRC. N'a shukuru sana
@DeoSukambi
@DeoSukambi 4 ай бұрын
Asante sana ndugu
@monicaanthony683
@monicaanthony683 6 ай бұрын
Asant San baba leo nimejifunza kitu nilikuw nalalamika san ila Leo nimejifunza kitu nashukuru sana na Mungu akubarik 🙏
@DeoSukambi
@DeoSukambi 6 ай бұрын
Amen amen
@user-cv8zx4cd9h
@user-cv8zx4cd9h 5 ай бұрын
Duuu❤❤
@jenifaamosi8649
@jenifaamosi8649 8 ай бұрын
Exactly Kitabu chako kimenisaidia jinsi ya kuishi na hawa viumbe ni kizuri mnooo 😊
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Asante sana barikiwa
@mussangangala836
@mussangangala836 6 ай бұрын
❤❤❤ kaka umenipa moyo sana make nilikuwa nachukia kweli kwa ukimya wake maana Dah! Huwa inakera sana. Ila saivi nimepata majibu.
@DeoSukambi
@DeoSukambi 6 ай бұрын
Asante sana
@DBrownstain
@DBrownstain 7 ай бұрын
I like you doc 😊 Bless up ❤
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 ай бұрын
Thanks
@JoyceLucas-zk7nv
@JoyceLucas-zk7nv 3 ай бұрын
Asante Sana kakaangu nimeelewa zaidi kuhusu mwanaume. Umwalim mzuri sana
@DeoSukambi
@DeoSukambi 3 ай бұрын
Asante sana
@user-iz9ci4rs3d
@user-iz9ci4rs3d 7 ай бұрын
Nashukuru sana aisee
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 ай бұрын
Karibu
@AishaOman-qz7tn
@AishaOman-qz7tn 10 ай бұрын
Fact ❤❤❤
@sarah-hy7gz
@sarah-hy7gz 10 ай бұрын
Kabisa
@elizabethdamas-zp9xl
@elizabethdamas-zp9xl 10 ай бұрын
na nilikua nikimuuliza kwanini unanuna nuna ovyo anakwambia sinuni nakua sijisikii tu kuongea eeh aiseh 🙌
@DeoSukambi
@DeoSukambi 10 ай бұрын
Hanuni bana ndio tulivyo😆😆😆😆😆😆
@jojosada174
@jojosada174 8 ай бұрын
Ubarikiwe kabisa nimejifunzamengi
@user-co4ii6gb9s
@user-co4ii6gb9s 7 ай бұрын
Natazama hii video kutoka Kenya 🇰🇪 Stella
@Dmsiris5
@Dmsiris5 10 ай бұрын
Amen.God Bless You abundantly Pastor Sir🙌🇹🇿
@DeoSukambi
@DeoSukambi 10 ай бұрын
Amen amen
@helenlyamuya4224
@helenlyamuya4224 9 ай бұрын
Kipindi kizuri sana. Hongera kaka Deo
@helenlyamuya4224
@helenlyamuya4224 9 ай бұрын
Kipindi kizuri sana. Hongera kaka Deo
@reginajoel3785
@reginajoel3785 Ай бұрын
Asante Pastor Deo,ndo hali ninayopitia sasa na mpenzi wangu,ghafla amekuwa kimya nilihisi anipendi tena kumbe makosa ni yangu,kuna mambo nimeyatenda sikufahamu kuwa yaweza mfanya kuwa kimya,ki ukweli ili somo limenitoa machozi na najiona ni mkosaji sana na pia nilikuwa namuomba Mungu anipe jibu la kwa nini yupo kimya sasa nimelipata.Pastor naumia sana nahitaji nianze upya,ni nini nikifanye kwa kipindi hiki yeye yupo kimya?
@carolinenakirutimana1559
@carolinenakirutimana1559 6 ай бұрын
Kuna wanaume wanataka wangee wao kama wako nawanaume wengine musiseme wanamke tu. History ya kunikwaza vizuri ayiache
@user-kq2qy2pg3x
@user-kq2qy2pg3x 9 ай бұрын
Sidhani uko sahihi Deo kwenye haya. Kinachotakiwa ni mwanaume ajue psychology ya mwanamke na mwanamke ajue psychology ya mwanaume na kila mtu ajaribu kuji adjust kutokana na mapungufu ya mwenzake
@DeoSukambi
@DeoSukambi 9 ай бұрын
Asante..wewe unaijua psychology ya wanaume?
@evelynwilbert3431
@evelynwilbert3431 5 ай бұрын
Nimejifunza kitu kikubwa mno leo. Mungu akubariki Sana mtumishi ndoa zetu zikapone, maana tunaharibu wenyewe
@evelynwilbert3431
@evelynwilbert3431 5 ай бұрын
Hakika nitaanza kujishkilia😅😂
@MarylineAmina
@MarylineAmina 7 ай бұрын
Mm nakusikiza nikiwa eldoret Mimi n amina
@user-jk4ct2ld2r
@user-jk4ct2ld2r 5 ай бұрын
Mume wangu alikuwa mkinya sana Hadi mkigombana ana nyamaza nilikuwa nachukia kimya chake
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Msamehe bure..ndivyo tulivyo
@user-gt2wl6ry3z
@user-gt2wl6ry3z 8 ай бұрын
Nakubaliana na ww Sanaa 😂😂
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Asante
@zawadichalale4047
@zawadichalale4047 5 ай бұрын
Huyo ni mine wangu ndio anatabia hizo hizo zote
@satomatondo-wr9ss
@satomatondo-wr9ss 6 ай бұрын
God bless you
@rosechemaiyo4900
@rosechemaiyo4900 8 ай бұрын
Nilimtumia message mia 😢mbaka sai haijaireplaiwa😅😅😅
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
🤣🤣🤣
@victorphilibert1629
@victorphilibert1629 4 ай бұрын
Mvumilie
@sophiakayumba5974
@sophiakayumba5974 10 ай бұрын
My mentor.........
@DeoSukambi
@DeoSukambi 10 ай бұрын
Naam..asante kwa kunifatilia
@user-lk1oi5qi8f
@user-lk1oi5qi8f 7 ай бұрын
Weee me wangu kutwa nzima kanuna2 ananikera kweli
@joycehaule9717
@joycehaule9717 7 ай бұрын
Km mm
@jasper849
@jasper849 10 ай бұрын
Moçambique
@DeoSukambi
@DeoSukambi 10 ай бұрын
Wooow Asante kwa kutufatilia kutoka Mozambique
@joycehefsiba2750
@joycehefsiba2750 5 ай бұрын
😂😂kumbe awa jamaa hawananga uwezo wa kufikiria mambo ma wili kwa mara moja, minacheka kweli, nawaelewa basi nitapunguza maneno.
@visionaryyouthorganization
@visionaryyouthorganization 6 ай бұрын
😂sio mimi hapo...
@agnessshole
@agnessshole 7 ай бұрын
Kama wameumbwa kufocuss na jambo moja ,,,, inakuwaje wanaona Bora kuwa na wake zaid ya mmoja..?
@victorphilibert1629
@victorphilibert1629 4 ай бұрын
We nae wivu to
@plumbingtanzaniaplumber7570
@plumbingtanzaniaplumber7570 8 ай бұрын
Unavyosema viumbe wengine wamechanganyika unamaanisha watu gani hao naomba ufafanuzi wako..
@carolinenakirutimana1559
@carolinenakirutimana1559 6 ай бұрын
Na kuna wanaume wanaongea kama ndege
@lampardmaini2241
@lampardmaini2241 7 ай бұрын
😂😂😂😂 kwahio tukiongea sana hawaelewi
@LatifaJabiriAmmar28
@LatifaJabiriAmmar28 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@lampardmaini2241
@lampardmaini2241 7 ай бұрын
Hatar
@carolinenakirutimana1559
@carolinenakirutimana1559 6 ай бұрын
Kujakutana na wanawake ambao ni wakimya
@zawadichalale4047
@zawadichalale4047 5 ай бұрын
Hapo kwenye kujishkilia ss wakati amekosea 😂😂😂
@carolinenakirutimana1559
@carolinenakirutimana1559 6 ай бұрын
Hiyo kuwa kimya yao ndio inawaletea kufaliki mapema na ugonjwa waroho kwanii wanaweka ndani ya miyoyo yawo . Wanamke kusema ndo kupona kwao kwani hana nguwu yakujipigania kingivu wanaume kuna ambae anakuwa kimya kumbe anapanga mabaya kwamwenzio
@asmarashidi9295
@asmarashidi9295 5 ай бұрын
L
@carolinenakirutimana1559
@carolinenakirutimana1559 6 ай бұрын
Ni kusena ya kuwa wanaume ni watu wangu kuongea Hiyo sasa ukiwa hivo mukeo atajuwa aje yaku unatafuta shuluhisho na hawezi ingia kwenye mawazo yenu. Mbona dunia inafika mbali na dunia inajaa wanaume?
@user-pw2dv9fr6r
@user-pw2dv9fr6r 8 ай бұрын
Bwana we mnajitetea tu ,kila kitu ni utayar na kila kitu ni msingi kama mumewekeana misingi ya kuwasiliana kuna misingi kuongea na nani unawasiliana nae na nani unaongea nae kila kitu mnaweza mbona mkipata michepuko mnayaeleza yote tena Kwa utuo kwa kuyachambuo moja Hadi moja ,hapo sioni chochote zaid ya kutetea na kuzidisha kukuwa Kwa hio tabia ktk familia
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Ukiona mwanaume anaongea kuhusu saikolojia ya wanaume hlf mwanamke ndio anapinga basi ujue huyu anayepinga ana tatizo kubwa..ni sawa na mwanamke aongee saikolojia ya wanawake hlf mimi mwanaume nipinge, itakuwa mimi nina shida..angepinga hizi hoja mwanaume nafikiri kungekuwa kuna tatizo lakini wanaume wanakubaliana na hiki ninachokisema ingetosha sana kukusaidia kujua kuwa unachojua na kuamini kuhusu wanaume sicho na ukajifunza
@mwanaidhozzer1575
@mwanaidhozzer1575 8 ай бұрын
Deo jmn unaongea sana bila kwenda kwenye point pia mda mref unaongea
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Ndio namna yangu ya kufundisha ndugu..pole sana kama inakuwia vigumu kunielewa
@MS.independent8934
@MS.independent8934 4 ай бұрын
Eti vikao avinaga ajenda wala havijulikanii vilianza aje na vitaisha saa ngapi😂😂😂😂
@hasfaastore929
@hasfaastore929 5 ай бұрын
Ila apo kwenye uongo mmh niwaongo kweli😅😅😅
@carolinenakirutimana1559
@carolinenakirutimana1559 6 ай бұрын
Kuongea ndio maumbile yetu, na wanawake ndio maumbile yao. Sasa tufanyeje baba
@user-cj6pw8zd4e
@user-cj6pw8zd4e 9 ай бұрын
Sasa ikiwa mwanamme amekosea na kosa lenyewe linahusiana na yale anayokwambia utafanyaje ili kufikisha ujumbe?
@user-qv8uo3bc6o
@user-qv8uo3bc6o 5 ай бұрын
Kuna wanaume wanaongea mpaka basi nahawezi kua kimyaa atakutafuta wanawake wengi kuchati nao ilimradi apate kuongea nao tu inakuaje hii kaka😮😅
@brightyona9815
@brightyona9815 10 ай бұрын
Hellow pastor nmekua nikijifunza vingi sana toka kwako naomba kuuliza 1. Je kitabu chako cha usichojua kuhusu mwanaume audio nakipataje na bei yake shingap 2. Je namna gani ukimya wa mwanaume unaweza leta madhara badala yakutatua changamoto akaamua yeye kujiondoa dunian kimya kimya ? 3. Ni namna gan unaweza mpenda mungu wakati jilan yako haumpend/ je namna gan unaweza kumwombea mema adui yako ilihali akiadhibiwa moyo wako unahisi maombi yako yamejibiwa yan unafurahia na ulikua unamuombea mabaya kama malipo?
@DeoSukambi
@DeoSukambi 10 ай бұрын
Asante sana 1. Bei yake ni 15,000..wasiliana nasi kwa namba ya simu kwenye description Maswali yako nitajibu kwenye kipindi leo..ila swali la tatu liweke vizuri sijaelewa
@happnesskitumbo5713
@happnesskitumbo5713 9 ай бұрын
❤Z
@vickysteven1172
@vickysteven1172 5 ай бұрын
Aisee nimejikuta nacheka maana huyu ni mimi kabisa sikumoja mwanangu aliniambia nimemkuta baba anaongea saana kule kijiwen mi nikashangaa hee hiv anaongeaga maana hapa home mimi ndo muonfeaji jaman😂😂😂 Mungu anisaidie kumbe anaamuaga kunyamaza
@user-dy6mx4yc6y
@user-dy6mx4yc6y 4 ай бұрын
Mmh nmejifunza pia yan mm pia huu mdomo wangu ndio unampa stress kaka wa watu yan nikianza kulalamika ni masaa manne mwanaume yupo kimya tu na mada ninavyozichanganya sasa😂😂😂
@user-lg5nk2fn6p
@user-lg5nk2fn6p 6 ай бұрын
Asante sana kaka mimi niko kwenye mahusiano na kaka mmoja hivi yaan siku nzima inapita hakutafuti mpaka usiku saa nne ndo anakujulia hali mimi hii kitu inanikera sana mpaka nahisi labda ana mwanamke mwingine ila yeye anasema anakuwa bz sana mpaka muda wa kushika simu anakosa tuko mtaa mmoja lakini naweza kumaliza hata wiki 1au mbili hatujaonana je huyu ana upendo kweli au nimevamilia penzi la mtu
@hasfaastore929
@hasfaastore929 5 ай бұрын
Mmmmh ubize gani huo 😊
@user-lg5nk2fn6p
@user-lg5nk2fn6p 5 ай бұрын
@@hasfaastore929 ndo sielewi ila nikikaa nae nikama ananipenda
@happynescostat7420
@happynescostat7420 10 ай бұрын
Ni kweli Mchungaji Deo Mimi Niko ivyo na likologa Sana kwa kusema Sana,je Ni kila mwanamke Yuko ivyo? Mbona wanaume wakikimbia maneno ya wake zao uwa wanaenda kwa mchepuko na he mchepuko yeye Ana maneno maneno?
@DeoSukambi
@DeoSukambi 10 ай бұрын
Asante kwa swali lako..nitalijibu leo kwenye kipindi
@queenmilan2024
@queenmilan2024 9 ай бұрын
Tafadhali kuna kelele kwenye video zako. From Italy. Chris Mauki video sale ziko very clear bila kelele wala sound
@DeoSukambi
@DeoSukambi 9 ай бұрын
Asante sana kwa mrejesho..nimeshawasiliana na watu wa technical wanalifanyia kazi..
@joycehaule9717
@joycehaule9717 7 ай бұрын
We naye mmbea tu kwani lazima umtolee mfano wa Mauki? Siuseme tu atoe kelele basi ....
@ireneewensley7802
@ireneewensley7802 6 ай бұрын
​@@joycehaule9717umesema aisee
@joycehaule9717
@joycehaule9717 7 ай бұрын
Sa ndo anunenine hovyo???
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 ай бұрын
Kama kweli ananua basi hayupo sawa ila isije ikawa unachanganya yeye kukaa kimya na kununa..wanawake wengi huwa hawawezi kutofautisha
@songweforecast9685
@songweforecast9685 8 ай бұрын
KWELI KABISAA YANI HIZO TABIA ZOTEEEE NINANZO,I USED TO KEEP SILENT WAKATI MKE WANGU ANAONGEA..... WANAWAKE WENGI NI PROBLEM CRAETORS NA WANAUME WENGI NI PROBLEM SOLVERS
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Safi
@user-tm7qi4kv9l
@user-tm7qi4kv9l 9 ай бұрын
Na mwanaume ambaye ameondk kwakukwaluzan alaf haji nymbn kunitafuta anitafuti mpak nimtafute na anamgogolo wakazin kwao huyo han dharau kwel na online unamuona lakn hanitfat ukimulza kwann unitafti anajibu Kwan ww ukinitaft Kun nn nahuyo nivipi nimeache au naomb nijibiwe jamn
@hanamakamba373
@hanamakamba373 7 ай бұрын
katafute pesa
@zurisana8068
@zurisana8068 4 ай бұрын
Kwa hiyo wanaume wanakataa ili wasiombe msamaha..I referred to your example mwanamke aliye mfumania mume wake;mume akakataa. So sad
@DeoSukambi
@DeoSukambi 4 ай бұрын
Yeah..ni rahisi wao kukataa kuliko kuomba msamaha..kukataa kuna preserve manhood, kuomba msamaha kunaua manhood especially kama amebanwa kwenye kona ya kuhojiwa na mkewe
@songweforecast9685
@songweforecast9685 8 ай бұрын
HUO NI MTEGO HAHAHAHAAAAAAA
@JescerProsper-hg1bf
@JescerProsper-hg1bf 8 ай бұрын
😪😪 me mpenz wangu ni ananuna nuna ovyo ad nakelekwa yan daah naumia sana
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Kama kweli ananuna Huyo sasa atakuwa na tatizo la kisaikolojia..japo pia wakati mwingine wanawake hutafsiri ukimya wa wanaume kama kununa..ila wapo wanaume wanaonuna
@JescerProsper-hg1bf
@JescerProsper-hg1bf 8 ай бұрын
@@DeoSukambi nimemfatilia sana now ndo nimejua kua amepitia maisha magumu ya kuteseka na pia ni yatima ila sasa ataki ata kuongea na mm sijui kwann amekaa kimya na ata ndugu zake naulizia wanasema ndo ivyo anapenda kujiweka peke ake nifanyaje
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Kama amepitia maisha hayo na ni yatima its obviuos atakuwa na tatizo la anxiety disorder na mengineyo..muhimu muelewe kwanza usilazimishe kufanya kitu ambacho hayupo tayari kufanya
@JescerProsper-hg1bf
@JescerProsper-hg1bf 8 ай бұрын
@@DeoSukambi sawa nimekuelewa nitamuacha tu sito msumbua now
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Good..akiwa tayari kuzungumza utaanzia hapo kumuelewa zaidi..hajifanyishi ni tatizo alilonalo ndo linafanya awe hivyo
@songweforecast9685
@songweforecast9685 8 ай бұрын
PASTOR UMEPIGA MWINGI SANA,YANI WIFE YANGU HUA ANAONGEA ASILIMIA 95% MIMI ANANIACHIA TANO 5% TUUUUUU HAHAHAHA SHIKAMOOO WANAWAKE
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Asante sana ndugu
@hasfaastore929
@hasfaastore929 5 ай бұрын
😅😅😅
@RukiaMdide
@RukiaMdide Ай бұрын
Mimi naitwa Rukia nipo Oman
@agnessshole
@agnessshole 7 ай бұрын
Kama wameumbwa kufocuss na jambo moja ,,,, inakuwaje wanaona Bora kuwa na wake zaid ya mmoja..?
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 ай бұрын
Hahahaa 1. Mke sio "jambo" 2. Wanaume wengi hawajui kama wana hiyo nature ya kushindwa kudili na mambo mengi 3. Wengi wanaooa wake wengi ni kwasababu wanatafuta mke ambaye anaweza kumsaidia kufocus..akivurugwa na huyu anaongeza mwingine akiamini anatatua tatizo kumbe inawezekana anaongeza 4. Tofautisha ASILI na UTASHI..utashi unawasukuma kuoa wake wengi, asili inagoma ndo maana wengi wanapata shida na wake wengi
@agnessshole
@agnessshole 7 ай бұрын
@@DeoSukambi shukuruni Mungu azidi kutusimamia maan hizo focus kwake ndo hadi pawepo na uelewano eti,
@user-mn8nr2lp4y
@user-mn8nr2lp4y Ай бұрын
Nimefatilia waalimu wengi upande wa mahusiano nimengundua wewe upo makini na unagusa vitu mhimu
@user-qv8uo3bc6o
@user-qv8uo3bc6o 5 ай бұрын
Kuna wanaume wanaongea mpaka basi nahawezi kua kimyaa atakutafuta wanawake wengi kuchati nao ilimradi apate kuongea nao tu inakuaje hii kaka😮😅
Aina 5 za Wanaume kwenye Ndoa | Uponyaji wa Familia | Deo Sukambi
1:00:36
That's how money comes into our family
00:14
Mamasoboliha
Рет қаралды 11 МЛН
SABABU ZA WANAWAKE KUTOKUWA WAAMINIFU KWENYE NDOA | Deo Sukambi
26:01
FAHAMU VIASHIRIA VYA KUWEPO KWA HESHIMA KATIKA MAHUSIANO
16:41
Mwl. JOYCE KISHA
Рет қаралды 2,9 М.
Dr. Chris Mauki: Dalili 5 kwamba upo kwenye mahusiano feki
31:04
Chris Mauki
Рет қаралды 451 М.
MCHUNGAJI HANANJA AINA NNE ZA MAHUSIANO, AINA NNE ZA MKE
20:39
Tacmen Group
Рет қаралды 573 М.
SIFA TATU (3) ZA MKE | DEO SUKAMBI
1:03:07
Deo Sukambi
Рет қаралды 134 М.