TOFAUTI YA UPENDO NA MAPENZI | DEO SUKAMBI

  Рет қаралды 25,097

Deo Sukambi

Deo Sukambi

Күн бұрын

Пікірлер: 200
@ibrahimukikwilili4368
@ibrahimukikwilili4368 8 ай бұрын
Anafundisha vizuri sana nimekubali unaelimisha jamii vizuri hata mb zangu kula tuu
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Haleluyaaa
@genevievesunday
@genevievesunday 4 ай бұрын
Uko vzr baba
@JosphineAtieno-m6t
@JosphineAtieno-m6t Ай бұрын
Najee,mtu,mwenye,alitaka,kuniuwa,nilipomwuliza,aliniambia,ati,nikunipenda,ni,ukweli,
@jeremiahsanga899
@jeremiahsanga899 Ай бұрын
I really. Admire you Pastor Umebarikiwa mnooo Unatusaidia sanaaaa
@noelinasaru1496
@noelinasaru1496 8 ай бұрын
Nilidhani ananipenda kumbe ilikuwa ni mapenzi tuu baada ya muda mfupi tukaachana .mtumishi Sasa nimeelewa asante sana be blessed.from Saudia
@Pili-m8r
@Pili-m8r 22 күн бұрын
Shukuruni Sana nime ji funza upendo na mapenzi
@AgnessDavid-y5e
@AgnessDavid-y5e 5 күн бұрын
Nashukuru nimeelewa pastor
@Oman-ue5el
@Oman-ue5el 19 күн бұрын
Asante sana unafundisha vizur sana .nipo oman jazila
@Oman-ue5el
@Oman-ue5el 19 күн бұрын
Shukran sana nimejifunza mengi sana.from oman
@judymwangi6370
@judymwangi6370 7 ай бұрын
Kwa mafundisho haya,🙌 basi asante sana mume wangu kwa kunionyesha upendo, kuhusu mapenz, nitapunguza haya matarajio, eeh Mungu tupe afya njema kama familia🤲...baba Emma📢📢📢📢📢🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤ out with my head down
@filomwageni4333
@filomwageni4333 11 күн бұрын
❤ thank you kwa somo pastor🎉
@jennytugara9470
@jennytugara9470 8 ай бұрын
Hata mimi umenifurahisha sana Mr Sukambi umewatoa Watu wengi upofu. Wadada wengi kwa kweli they cant tell the difference katika Upendo na Mapenzi ndio maana ndoa zinachechemea. Kumbe expectations zao zinakuwa off🙏🏾
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Barikiwa sana ndugu
@mhamadaldo7338
@mhamadaldo7338 8 ай бұрын
​@@DeoSukambishukurani sana
@OmanOman-c9d
@OmanOman-c9d 8 ай бұрын
Nimekuelewa pastor ila kuna mwanaume anaupendo sana na mm ila tumeachana wazazi wamemtafutia mwanamke mwingine ila nahisi ana upendo sana bado na mm na bado nina upendo na mm je inawezekana aliyemuoa anamuonyesha upendo au ndo mapenzi tu
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
@@OmanOman-c9d sasa kama upendo wake kwako haukutosha yeye kusimama upande wako ina maana gani? Wazazi wanamuamulia mke wa kuoa? Sifikiri kama huyo anajua maana ya kuwa mume
@jennytugara9470
@jennytugara9470 8 ай бұрын
@@OmanOman-c9d kama ana kupenda ni jambo jema hata bible inasema pendaneni. Ila swala la mapenzi ni hisia na hisia huwa zinaisha ila upendo ndio kinacho dumu. Kama Mke alietafutiwa anampenda basi ndoa itadumu ila kama ni Mapenzi tu hisia huwa zina expire.
@fatumamesso2573
@fatumamesso2573 8 ай бұрын
Upendo ninmaana kuliko mapenzi. Asante pastor
@InviolataLuena-f2j
@InviolataLuena-f2j 6 ай бұрын
Kuhusu Uvamizi wa Mizimu ktk mahusiano Kupitia mila potofu unaonaje? Kuna kiburi kumbe si MTU anafanya. Mie Heri Halisi Niko Songea Kanisa Halisi. Hongera kwa kujitoa
@DeoSukambi
@DeoSukambi 6 ай бұрын
Uvamizi wa roho chafu upo lakini kabla hujafikia huko ni vema kutathmini vyanzo vingine vya tabia hizo
@MwinyiAli-k9x
@MwinyiAli-k9x 29 күн бұрын
Uko sawa bro
@LucyEzekiel-gm2jr
@LucyEzekiel-gm2jr 8 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu, Yesu aendelee kukupatia mafunuo ili uwasaidie watu wa Mungu kwa sababu hiki kizazi kinahitaji mafundisho sana.
@loycep7785
@loycep7785 8 ай бұрын
Mimi Loyce niko Marekani nabarikiwa na mafundisho haya na nimejifunza kitu Barikiwa sana mchungaji
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Amen Loyce
@ClailleICIDUHAYE-xh3ll
@ClailleICIDUHAYE-xh3ll 4 ай бұрын
Kweliiii unafundisha vizuli,nakupenda ten napend gisi unafundisha ❤from burundiii
@frolaibrahim1257
@frolaibrahim1257 8 ай бұрын
Uko vizuri Pastor Uko sawa kabisa. Hongera kwa Kipawa hicho.
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Asante..utukufu kwa Mungu
@maryamChumas
@maryamChumas 8 ай бұрын
Asante baba nimejifunza japo sina mtu ila naogopaaa maaana hiyo engo inahitaji msaada wa mungu inshaallah khery ya allah anipe kilicho bora kwangu nami niwe bora kwakeee amin ❤❤❤❤❤shukran sana
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Mungu atakujalia aliye bora na kufaa. Endelea kujifunza
@maryamChumas
@maryamChumas 8 ай бұрын
@@DeoSukambi amin
@esthermliga4875
@esthermliga4875 8 ай бұрын
Asante sana Pastor Kwa Somo zuri, tangu nimeanza kufuatilia vipind vyako Kuna kitu napokea siku Hadi siku ambavyo ni msaada San ktk familia yangu!!! Mungu akubariki sana
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Ameeeen
@hammerymachogu3885
@hammerymachogu3885 5 ай бұрын
Bravo pastor somo zuri sana nimejufunza kitu ,barikiwa sana mtu wa Mungu
@WemaJohn-r1e
@WemaJohn-r1e 7 ай бұрын
Mungu akubariki sana tena azidi kukujaliza hayo madili nimechukua nondo hizo da! Hakika umenitoa upofu god bless you pastor
@SimpleNdagije
@SimpleNdagije 4 ай бұрын
Nimefurahi sana kwa somo Asante sana ubarikiwe sana ❤❤❤
@ipyanaangetile38
@ipyanaangetile38 7 ай бұрын
Uko vizuri mtumishi .niko Arusha tunakupata
@MarcelBlessing-ef7rz
@MarcelBlessing-ef7rz 8 ай бұрын
Papa ubarikiwe unanifadha kujuwa mapenzi na upendo ✊
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Amen..barikiwa sana
@AbubakariAmani-g9j
@AbubakariAmani-g9j 25 күн бұрын
​@@DeoSukambipasta ninachangamoto kubwa katika maisha yangu kuhusu mahusiano sina wakunishauri wala kunifariji naisi kwako nitapata kitu sjui nakupata vipi kimawasiliano
@davielubuyih-yh7sx
@davielubuyih-yh7sx 7 ай бұрын
Ahsante kwa nondo za uhakika unatutoa tongotongo kwakweli
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 ай бұрын
Asante sana
@JoyceKileo-c3e
@JoyceKileo-c3e 10 сағат бұрын
Unakuta mtu anakuchunguza unaishi wapi mara nakukubali Sana ina Manisha nini
@work24onme
@work24onme 8 ай бұрын
Holy Spirit Amen 🙏🏼 Asante sana mwalimu Joel, God Bless you, Amen 🙏🏼
@rozaliaWilson
@rozaliaWilson 26 күн бұрын
Mm hana mixemixe nyingi ❤
@salambajosephine3211
@salambajosephine3211 4 ай бұрын
Nikweli unacho kiongeaa ubarikiwe
@inkflygraphix
@inkflygraphix 8 ай бұрын
Mungu akubadiriki sana Pastor
@RukiaMdide
@RukiaMdide 5 ай бұрын
Asante sana yupo mwanaume anaupendo na mimi lakini mimi nipo mbali nipo Oman ameniambia atanivumilia mpaka nitakapo rudi ila anasema ananipenda
@manmanonline6394
@manmanonline6394 3 ай бұрын
asante sana bro Mungu akubariki,hakika umenipa ujasiri wa kujua na kutoka ktk madhila
@beera.g5302
@beera.g5302 7 ай бұрын
Asante sn pastor 🥺, very educative ✍🏼🙏🏼😊❤
@sifaoksbagirishyasie2410
@sifaoksbagirishyasie2410 6 ай бұрын
ASante kwa Ujumbe huu mzuri Jamani😊🌻, nimejifunza Mengi saana. Lazma kurudi kwenye asilia, kama mababu zangu.
@HalimaHalimaomary
@HalimaHalimaomary Ай бұрын
Hap kwenye SIM shukran
@matildakaria1532
@matildakaria1532 8 ай бұрын
Mwenzangu tulipendana tuna mwaka wa 14 hatujafunga ndoa ila tuna mpango lkn tutafanya biashara pamoja na tuko vizuri hakuna shida tunashirikiana kwa mambo mengi na ananishauri mambo mazuri hata yanayohusu familia yangu.napia tunafanya miradi kwa ajili ya maisha yetu ya baadaye.
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Mungu awafanikishe kwenye nia yenu hiyo ya kufunga ndoa
@matildakaria1532
@matildakaria1532 8 ай бұрын
@@DeoSukambi Amina pastor nafaidika sana na mafundisho Yako na tayari Nina majibu ya maswali niliypkuwa najiuliza kwa kukusikuliza Kila wakati Mungu akubariki sana.
@NuratyAlly-lq7xc
@NuratyAlly-lq7xc 8 ай бұрын
Dada umeona jibu la deo jitafakari
@NuratyAlly-lq7xc
@NuratyAlly-lq7xc 8 ай бұрын
Kutengeneza mali pamoja bila ndoa ni riziki san
@joycebosire3434
@joycebosire3434 7 ай бұрын
Subiri kukimbiwa tu na huyo mwanaume. Nafikiria huwajui wanaume wewe ataenda tafuta mwanamke mwingine wa kuowa na atakula hizo Mali be careful 😅
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 8 ай бұрын
Bora upendwe kuliko mapenzi
@MamaNabii
@MamaNabii 7 ай бұрын
Asante Sana pastor kwa mafunzo
@VivianAudax-f1l
@VivianAudax-f1l 8 ай бұрын
Hasante mchungaji umenisaidia namimi mungu akubariki
@MonikaAsedi
@MonikaAsedi 6 ай бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri ,ubarikiwe sana
@StevenMatei
@StevenMatei 8 ай бұрын
Yanu una madini sanaaaa kaka ubarikiwe sanaaaa
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Ameeeeeen
@harosicharo2736
@harosicharo2736 3 ай бұрын
❤❤unaongea ukweli kbsa nasikiliza nikiwa mombsa likoni
@SubiraSanga
@SubiraSanga 7 ай бұрын
Asante kwa somo zr barkiw
@Khadjaty
@Khadjaty 8 ай бұрын
Asante Sana tunajifunza mengi kupitiya wewe
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Karibu sana
@LilianMbangwa
@LilianMbangwa 4 ай бұрын
Ubarikiwe kwa somo
@dianajuma2734
@dianajuma2734 6 ай бұрын
Asanteee mi wangu yuko bize lakin ananijali pale ninapo kua n uhitaji na hua ananiuliza kuusu changamoto zangu maan yupo mbali na mimi
@williardfesto5162
@williardfesto5162 2 ай бұрын
Ubarikiwe sana doctor
@mavelyenlaurent8103
@mavelyenlaurent8103 8 ай бұрын
Asantee sana Kuna sehemu umenipeleka
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Barikiwa
@Gladysalbinus
@Gladysalbinus 7 ай бұрын
Asante sana barikiwa sana nimejifunza sana adi nimejikuta nina subscribe.
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 ай бұрын
Karibu sana
@claricemapenzi7581
@claricemapenzi7581 5 ай бұрын
Hakika umenifunza kitu asante sana
@politenessjasper4100
@politenessjasper4100 8 ай бұрын
Asante sanaa,nimekuelewaa
@DeniseKarafuli-fn2qb
@DeniseKarafuli-fn2qb 6 ай бұрын
Asante kwa mashauri kuhusu ukimia wamwanaume
@enerstmusa5398
@enerstmusa5398 8 ай бұрын
nakukubari sana kaka naomba kitabu chako cha usilolijua kuhusu mwanaume
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Asante sana kaka..piga namba 0786903727 kukipata
@rithatekakwitha666
@rithatekakwitha666 8 ай бұрын
Asante sana mafundisho ya maana
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 8 ай бұрын
Mwenye upendo wa dhati duniani ni mama tu🎉
@josephlubaba
@josephlubaba 8 ай бұрын
sio mama wote tu
@SaraEmmanuel-f9d
@SaraEmmanuel-f9d 7 ай бұрын
Mm ni mgonjwa aiseee pastor hapo mwsho umeongea nimimi kabsa lakin mwanaume nilienae hawezi kabisa....pia if possible naruhusiwa kukupigia cm kwa namb hzo nikuelezee kitu kidogo tafadhal
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 ай бұрын
Sawa unaweza kupiga japo ni vizuri ukanitext whatsap ili tupange appointment
@DorothyNambeye
@DorothyNambeye 8 ай бұрын
Nimekupata nipo Zambia umenitoa upofu mkubwa Mungu akuongezee maarifa
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Asante sana kutoka Zambia
@fatmakombo9793
@fatmakombo9793 8 ай бұрын
Asante kaka nimejifunza mengi sana 🎉
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Barikiwa
@rithatekakwitha666
@rithatekakwitha666 8 ай бұрын
Asante sana
@godwineliya5434
@godwineliya5434 8 ай бұрын
Daah masomo mengine yalipaswa kufundishwa miaka kadhaa nyuma but somo nzuriiii nimejipatia kipande changu barikiwa Pastor Deo
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Amen amen ndugu
@work24onme
@work24onme 8 ай бұрын
Holy Spirit Amen 🙏🏼
@sarah-hy7gz
@sarah-hy7gz 8 ай бұрын
Nipo ugaibun huku gulfu ndy kufa Tulia sana deo
@HyleneGesare
@HyleneGesare 8 ай бұрын
Amen mungu àkubariki
@jamilamanariyojamila1487
@jamilamanariyojamila1487 8 ай бұрын
Asante kumbe Wengiwetu tulikuwatunadanganyika na mapenzi🤭🙏🙏
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Yeah wengi wanalaghaiwa na mapenzi
@JohnVincent-fc3vp
@JohnVincent-fc3vp 6 ай бұрын
John vicent ,Toka singida mada nzuri
@angeldeusdedith2918
@angeldeusdedith2918 6 ай бұрын
Ashsante Mr sukambi
@TasusiSalum
@TasusiSalum 8 ай бұрын
Asante sana ,Mungu akubariki
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Amen
@PatrickMusyoka123
@PatrickMusyoka123 3 ай бұрын
Safi mwalimu
@SubiraSanga
@SubiraSanga 7 ай бұрын
kwahiy m mme wangu sipaswi kumnunulia hata yebo za kuogea
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 ай бұрын
Mnunulie haina shida kabisa
@KhadijaMayange
@KhadijaMayange Ай бұрын
Nakupata. Mkubwa
@josephwawuda3204
@josephwawuda3204 8 ай бұрын
Josphine nakupata vizuri kutoka Jordan 🇯🇴
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Asante sana kutoka Jordan
@SarahTsuma-g3r
@SarahTsuma-g3r 8 ай бұрын
Very true
@menshitunze
@menshitunze 5 ай бұрын
Pastor your👍good,bravo,🙏🙏
@HalimaHalimaomary
@HalimaHalimaomary Ай бұрын
Je utajuaje kama anakupenda
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 8 ай бұрын
Nimekuelewa
@fatumakale7004
@fatumakale7004 5 ай бұрын
Shukrn kakngu
@rithatekakwitha666
@rithatekakwitha666 8 ай бұрын
Kweli nimejifunza
@rozaliakimwaga4648
@rozaliakimwaga4648 8 ай бұрын
Hakika umenifundisha vingi mtumishi
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Asante sana kwa mrejesho
@DoreenMwende-te7zd
@DoreenMwende-te7zd 4 ай бұрын
Big up🎉🎉🎉
@johnathumani6891
@johnathumani6891 8 ай бұрын
John kuyoka US nakupata vizuri
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Asante sana kutoka ISA
@aateriadaniel1135
@aateriadaniel1135 7 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏
@jenipherkavusha1661
@jenipherkavusha1661 8 ай бұрын
❤❤❤
@SahimSahil
@SahimSahil 3 ай бұрын
Nakupata viziri npo uturuki kaka salma hapa
@LeticiaShoka-me2wq
@LeticiaShoka-me2wq 8 ай бұрын
Asante mtumishi uko vzr sanaaa
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Amen amen
@luselose9944
@luselose9944 8 ай бұрын
Nakufuatilia kutoka Saudi
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Asante sana kutoka Saudi
@PriscaWiliam-vh5tl
@PriscaWiliam-vh5tl 4 ай бұрын
Pastor ndoa yangu ipo ICU umenigusa sana nahitaji kukuona
@rozaliaWilson
@rozaliaWilson 26 күн бұрын
Mm hana mixemixe nyingi
@josephwawuda3204
@josephwawuda3204 8 ай бұрын
Asate sana kwa mafundisho nyako hakii nimejifuza mengi sana kupitia haya mafundisho GOD BLESS YOU 🙌
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Amen amen ndugu
@perpetuaganyara2048
@perpetuaganyara2048 8 ай бұрын
Somo hili liimenigusà mno, limenihusu, naitaji kufànya appointment nipone nafssi
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Karibu sana
@SarahTsuma-g3r
@SarahTsuma-g3r 8 ай бұрын
Nafatilia nkiwa saud arabia am a kenyan
@SalamaAliy-lf6vl
@SalamaAliy-lf6vl 5 ай бұрын
Naomba Jina la icho kitabu cha kumsoma mwanaume sijafahamu jina
@LilianMbangwa
@LilianMbangwa 4 ай бұрын
Usichojua kuhusu mwanaume ndo kinaitwa hivyo
@rozaliaWilson
@rozaliaWilson 26 күн бұрын
Mm nina mahusiano ya mtu ambae mambo hayo ya kuonyeaha mapnzi hana mixemixe za kisasa. Kukupa pesa wala kukusaidia kitu lkn huwa anaonba msamaha na kunifundxa baadhi ya vitu ila bado hatujaoana
@frolaibrahim1257
@frolaibrahim1257 8 ай бұрын
Pasta kiukweli nakuelewa sn. Ila tunavunjika sn Kuwapenda wasio tupenda.
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Naelewa..Neema ya Kristo isiwapungukie
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 8 ай бұрын
Kama Yesu KRISTO alivyonipenda,,,,,
@universalgospelministriesh8751
@universalgospelministriesh8751 8 ай бұрын
niko kenya
@DeoSukambi
@DeoSukambi 8 ай бұрын
Asante sana salamu zangu kenya
@LupiPrisca
@LupiPrisca 6 ай бұрын
Nashuruku kwa somo zuri na vipi kuhusu mtu ambae hatoi huduma yyt na anajiangalia yy na hufanya vitu kiubinafsi hapo nko kwenye upendo au nko miaka 4 Sasa naishi nae
@DeoSukambi
@DeoSukambi 6 ай бұрын
Kuna shida mahali..upendo unaendana na kutoa sio kupokea..kama mtu hatoi basi kuna uwalakini kwenye huo upendo wake unless iwe hana uwezo kabisa
@PauloMatone
@PauloMatone 5 ай бұрын
Jamani mimi ninae mpenzi nampnda xana lakini kw xax ameow mke mwngine jamani kila nikfkilia naumia xana
@MwajeyMussa
@MwajeyMussa 6 ай бұрын
Ndio
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 8 ай бұрын
Jamani kihelehele kibaya
@happnesskitumbo5713
@happnesskitumbo5713 8 ай бұрын
Kibaya Sana, ndicho kinachpwafanya watu wengi waumizwe kwenye mahusiano.
@EstherGoodwell-jb5wq
@EstherGoodwell-jb5wq 7 ай бұрын
Asante sana mtumishi wa Bwana umenitowa upofu kweli yote uliyangumza kama umeniona Mimi jinsi navolalamika Mme wangu asiponigiya SIM naona kama hanipendi nimejifunza mengi sana alafu nimeamini Kweli mapenzi hayalazimichiki
@lightnessmamuya3893
@lightnessmamuya3893 3 ай бұрын
❤❤❤
@KabulimboElie
@KabulimboElie 6 ай бұрын
Jambo habari za huko Tanzanian, mimi naishi marekani ,sasa natakujuwa jinsi ya kuondoa hayo majeraa (wakati moyo umesha kauka kwa kutokana nayale uliyo yapitia)
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Inabidi upate therapy ya kukusaidia..wasiliana whatsap 0746104034 kubook session
TOFAUTI YA MKE NA MSAIDIZI | DEO SUKAMBI
53:50
Deo Sukambi
Рет қаралды 6 М.
MAKOSA YA WANAWAKE #mapenzi #upendo #ndoa #uaminifu #love
36:21
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 13 МЛН
小丑家的感情危机!#小丑#天使#家庭
00:15
家庭搞笑日记
Рет қаралды 38 МЛН
This dad wins Halloween! 🎃💀
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 33 МЛН
سورة البقرة كاملة لطرد الشياطين من منزلك وجلب البركه باذن الله surat albaqra
3:52:00
Bora Mtu akuvuruge kichwa kuliko awe amepoa, maumivu yake ni makali sana
1:01:20
Madam Leila Abubakar
Рет қаралды 10 М.
Fix You: Namna ya kuishi na watu wenye tabia tofauti kabisa na wewe
1:01:08
Aina 5 Za Watu Muhimu - Joel Nanauka
1:02:23
Joel Nanauka
Рет қаралды 170 М.
SIFA TATU (3) ZA MKE | DEO SUKAMBI
1:03:07
Deo Sukambi
Рет қаралды 147 М.
Fix You: Makosa makubwa watu huyafanya wanapoingia kwenye Mahusiano
1:06:20
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 13 МЛН