No video

SABAYA ACHANGANYIKIWA NA MASWALI MAHAKAMANI/ AKIRI KUMILIKI SILAHA

  Рет қаралды 285,222

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 248
@mohamedkigwehe4025
@mohamedkigwehe4025 3 жыл бұрын
Ukovizuri sana mtangazaji unaonekana umesomeya kabisa kazi yako big up sana 👏👏👏
@rosemsima2862
@rosemsima2862 3 жыл бұрын
Mtangazaji uko vizuri sio muda wataanza kukung'ang'ania media tofauti kua makini usipotee
@Adeen.1
@Adeen.1 3 жыл бұрын
Mtangazaji umeeleza vizuri kiasi kwamba ningekuwa natakiwa nijibu mtihani baada ya kusikiliza hii habari ningepata 90% au 100% utadhani nilikuwa mahakamani. BIG UP Mwandishi wa habari 🙌🙌🙌👌💯
@alfanimwakipesile19
@alfanimwakipesile19 3 жыл бұрын
Mtangazaji unatangaza vizuri Sana umeitndea haki wasafi tv
@sponsor7882
@sponsor7882 3 жыл бұрын
Tatizo msharaha unachelewa
@noelilyatuu8129
@noelilyatuu8129 3 жыл бұрын
@@sponsor7882 😁😁😁😁😁
@lizzyjulie1604
@lizzyjulie1604 3 жыл бұрын
Mtangazaji nimejiona Kama nipo mahakamani, hongera Sana aisee upo vizuri sana
@wilbrodwemaonlinetv8379
@wilbrodwemaonlinetv8379 3 жыл бұрын
Mtangazaji uko vizuri big up
@carolinejohn1976
@carolinejohn1976 2 жыл бұрын
Mtangazaji .nimeipenda unavoturipotia habar,uko vizuri hongera
@jacobmichael1896
@jacobmichael1896 3 жыл бұрын
Alimdharau Sana hayati mama mwigira mfungeni hata miaka 1.5
@philbertemmanuel2882
@philbertemmanuel2882 3 жыл бұрын
Wasafi ❤️❤️❤️ naomba like zenu
@erastorjohn2756
@erastorjohn2756 3 жыл бұрын
Mhh nakuunga mkono kwa kumpongeza huyu mwandixhi katulia kwer kwer wasafi wamuuongezee mxhahara duuu
@witnessmmari9902
@witnessmmari9902 3 жыл бұрын
Wasafii mkizubaaa Huyumtangazaji mtamkosa kuna vyombovya habarivinamtolea macho hongera
@mwanahamis5487
@mwanahamis5487 3 жыл бұрын
Mashaa Allah mtagazaji nimekupenda buree 💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋
@sarahtaste2876
@sarahtaste2876 3 жыл бұрын
Mnamtetea coz hamumjui tu alivoumiza tena akae uko uko jela malipo duniani big up mahakama na sheria ifate mkondo wake
@irenekitomary7271
@irenekitomary7271 3 жыл бұрын
Wanaomtetea dear hawajui kitu
@islachristabinastaravista8104
@islachristabinastaravista8104 3 жыл бұрын
Nyinyi mnamjua ni michepuko yake achen kutudanganya wakat wote mmemjua baada ya Kuwa kiongoz
@frankjosephu5220
@frankjosephu5220 3 жыл бұрын
Unaumizwa unanini ww kobe
@sarahtaste2876
@sarahtaste2876 3 жыл бұрын
@@frankjosephu5220 kobe ni ww uliepanic kuja kujibu comment yangu pambana na keyboard yako kobe mzee
@sakinajuma6158
@sakinajuma6158 3 жыл бұрын
Sabaya Allah anakutosha, ikiwa haya yote ni kweli ulifanya hukumu ipite na uhukumiwe pasipo kudhulumiwa na ikiwa hukufanya haya nakuahidi Allah ninaemuamini atakusaidia na kuondoa mmoja mmoja katika wanao kusulubisha kisha upate amani. Endelea kusubiri na kuomba hukumu ipete bila dhuluma. Subiri malipo yako pasipo kupunjwa, haki itendeke kwa idhiini ya Allah!
@maryambudoya6707
@maryambudoya6707 3 жыл бұрын
Amiin
@maryambudoya6707
@maryambudoya6707 3 жыл бұрын
Maneno yako Allah Ajalie yawe dua
@mohamedmnjeja1429
@mohamedmnjeja1429 3 жыл бұрын
Perfect reporter.. 👏👏
@thakibuiddi1857
@thakibuiddi1857 3 жыл бұрын
Kijana kz yako nzuri sn aisee hongera kwakipaji chakutangaza
@husseinmmallesa6444
@husseinmmallesa6444 3 жыл бұрын
Free sabaya
@ramadhanihudhaifani4376
@ramadhanihudhaifani4376 3 жыл бұрын
Kongole sana,brother kaka-mtangazaji. Uko vema sana!
@africanmandetraveler2847
@africanmandetraveler2847 3 жыл бұрын
Huyo reporter ni level zingine soon nakuona ukienda kwenye media za mambele.
@issamwanga9934
@issamwanga9934 3 жыл бұрын
Mtangazaji nakukubali sana
@juliethnjiro7223
@juliethnjiro7223 3 жыл бұрын
Yuko vzr kwenye utangazaji, yaan anaeleweka
@gabrielkabato9909
@gabrielkabato9909 3 жыл бұрын
Uko vizuri ndugu mwandishi
@avitusmichael5
@avitusmichael5 3 жыл бұрын
Asee mtangazaji upo vizuri sana nakushauri ujiunge kwa Millard Ayo utatusua
@frankkudana7272
@frankkudana7272 3 жыл бұрын
mtangazaji poa san daaah👊👊👊👊
@hujatswai5798
@hujatswai5798 3 жыл бұрын
Big Up kwa mtangazaji kwa kweli.
@asnathurio6557
@asnathurio6557 3 жыл бұрын
Mtangazaji🥰🥰🥰🥰🥰
@priscajohn6090
@priscajohn6090 2 жыл бұрын
Hongera sn kwa utangazaji
@safwazungu2187
@safwazungu2187 2 жыл бұрын
Sabaya alishambiwa mwisowake utafka akaleta jeuri akiona dunia yake mungu asikia vilio vya Wana nchi
@enockmlimbila275
@enockmlimbila275 3 жыл бұрын
mtangazaji nime kukubali sana ya kwenye utoaji wa habali huna kigugumizi
@duweetherapytalk4656
@duweetherapytalk4656 3 жыл бұрын
OYA WAZEE HUYU JAMAA ANATANGAZA VIZURI KINOMA
@erastobartalome2709
@erastobartalome2709 2 жыл бұрын
Kama hujawahi kufika mahakamani au kituo chochote cha police nenda katoe sadaka na uzidi kuomba mungu usifike huku ni heri kusikia tu kwa watu
@n.y.smedia4145
@n.y.smedia4145 2 жыл бұрын
Mtangazaji uko vizuri
@maelezomaelezo9057
@maelezomaelezo9057 3 жыл бұрын
Nakuelewa baba
@ebenezernnko8251
@ebenezernnko8251 3 жыл бұрын
Huyo mjinga ujanja ujanja tuu wakili wakili wa serikali yuko makin sana
@prettyh7509
@prettyh7509 3 жыл бұрын
Mungu atakusaidia sabaya
@nicholauskilosa5336
@nicholauskilosa5336 3 жыл бұрын
Atafungwa huyu jamaa,maana ushahidi wake umekosa mtu wakusapoti hoja zake.Hana shahidi wakuthibitisha hoja zake
@leonardemmanuel9249
@leonardemmanuel9249 3 жыл бұрын
Aliymwagiza kama angejuwa haya yatamtafuna sabaya angeacha wosio kwa walio juu yake ingemsaidia ninachokiona hapa japo sheria siijui sabaya kifungo kinamhusu
@elishajailosy8346
@elishajailosy8346 3 жыл бұрын
Uko vzr brother
@dinimanabii833
@dinimanabii833 3 жыл бұрын
Mtangazaji uko vizuri sanaaa
@athumanhassani805
@athumanhassani805 3 жыл бұрын
Hiiiii dunia niyawatu ila akhela nihaki sisi wote tuta kufa tutaicha dunia ingawa dunia nitamu mengine siyajui kwakuwa sijui napiasija somea sheria
@alantonio855
@alantonio855 3 жыл бұрын
Huyu mtangazaji anafaa sana katika hiyi sekta ya habari za mashtaki na mahakama....anajitahidi sana
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 3 жыл бұрын
Mtangazaji katulia 💕😘
@salumramadhani4120
@salumramadhani4120 2 жыл бұрын
Saf na hongera kwa utangazaj mzr
@babylisa4650
@babylisa4650 2 жыл бұрын
Gud mtangazaji
@timashali7882
@timashali7882 2 жыл бұрын
Big up mtangazaji
@pendosamwel9289
@pendosamwel9289 3 жыл бұрын
Kazi nzur mtangazaj
@ramadhanishemweta371
@ramadhanishemweta371 3 жыл бұрын
.tangazaji yupo vzt
@rodsconehenry4249
@rodsconehenry4249 3 жыл бұрын
Tamthilia Kali sana
@reginandosi5419
@reginandosi5419 3 жыл бұрын
Mtangazajiiiiiiiii
@aishaaa1757
@aishaaa1757 2 жыл бұрын
Mtangazaji uko vizuri sana
@rossemaryeliya6113
@rossemaryeliya6113 3 жыл бұрын
Mtangaxaji uko juuu ,big up
@edsonbalige3702
@edsonbalige3702 2 жыл бұрын
Anyongwee kabisaa
@iranangole7007
@iranangole7007 3 жыл бұрын
Nimesoma comments zing mtangazaj anasifiwa na m sina bud mtangaj upo vzr
@priscadaniel6459
@priscadaniel6459 3 жыл бұрын
Muna mutesa bule sabaya wa watu yani hai jamani ebu muogopeni na mungu mbona munamusakama kaka watu pole kaka mungu hawezi kukuacha yani unapitua wakati mungumu muno ila mungu hata kuacha bule sikujuwi sabaya ila siasa izi jamani
@amosimariba9820
@amosimariba9820 3 жыл бұрын
Huyu mtangazaji wasafi wamuongezee mshahara maana yuko makini sana kiutangazaji
@lingwamalagila3003
@lingwamalagila3003 3 жыл бұрын
Hii inatumika naona comment nyingi humu wengi ni walewale
@constanciapeter2497
@constanciapeter2497 3 жыл бұрын
Upo mawinguni...upo kileleni Advocate Journalist
@marthamwasege1044
@marthamwasege1044 3 жыл бұрын
Upo vzr mtangazaji unaonekana unafuatilia kwa karibu issue hyo
@africantv172
@africantv172 3 жыл бұрын
Nasoma comment naona mnamsifia mtangazaji tu 😂😂
@yusufjuma3773
@yusufjuma3773 3 жыл бұрын
Weka hoja kwenye namba husika,mbonakma mnatetea upande wa serikali
@lordsmenas3267
@lordsmenas3267 3 жыл бұрын
Uko vizur KAKA
@rashidyally8715
@rashidyally8715 3 жыл бұрын
Mnatupigia kelele kila siku kesi ya sabaya tu Kama mnamfunga mfungeni Kama mnamuacha muachane
@godlovemrosso5973
@godlovemrosso5973 3 жыл бұрын
Huyu wamwachie huru tuu maana kila kona naona kama kuna shida sana kwenye hii kesi Mwachieni maana yawezekana kama mfanayakazi wa serikali alitumia madaraka yake kwa kuwaatetea wanachi wake ila beyond the scene wakatokea watu ambao hawakufurahishwa na style yake jamani
@laghanganuwagi49
@laghanganuwagi49 3 жыл бұрын
Mnapoteza muda mfungeni tu huyu!!!!
@charlescharles5057
@charlescharles5057 3 жыл бұрын
Fact man i don't think kama huyu jamaa anakosa kiasi cha kufungwa na waliomtuma ni serikali kwa ajili ya masilahi ya wananchi.
@laghanganuwagi49
@laghanganuwagi49 3 жыл бұрын
@@charlescharles5057 upuuzi mtupu hivi maslahi ya wananchi ni kuwapora watu na kuwakandamiza wanasiasa?
@babusadala5732
@babusadala5732 2 жыл бұрын
ila huyu dereva wa defender anapenda Kulala nayo kaaa kwani hawezi kukata Kona polepole 😁😁😁😁😁😁✋👮jambo afande
@mohdabdalla5931
@mohdabdalla5931 3 жыл бұрын
Hii sizon itaisha lini
@hassanmugire1497
@hassanmugire1497 3 жыл бұрын
Mtangazaj ni next level
@imsimk.khamis574
@imsimk.khamis574 2 жыл бұрын
Hawa akina Sabaya mimi nataka wawekwe ndani. Mamlaka aliopewa Sabaya alikuwa muuwaji alitumia mari 4 yenye nembo ya UN.Wakamfuata Mh.Mbowe kwenye Hoteli yake aliokaa ili wamteke wakamuuwe. Na Magufuli,Polepole na IGP walikuwa wanayajua
@sponsor7882
@sponsor7882 3 жыл бұрын
Mhuni sana huyu kama boss wake.
@mtuwamwisho.509
@mtuwamwisho.509 3 жыл бұрын
Sabaya out
@agneswilbard9059
@agneswilbard9059 3 жыл бұрын
Na hisi huko arusha hakuna kesi zingine ni sabay tu
@asteriambwei3349
@asteriambwei3349 3 жыл бұрын
Aliekuapisha mkuu WA mkoa humjui duh dharau za Hali ya juu aliemdhalilisha mwingine ni Nani ulimdharau Kwa sababu ni mwanamke ama kweli dharau ni mbaya
@fatumamsangi479
@fatumamsangi479 3 жыл бұрын
Anaonewa
@ayushjhay1979
@ayushjhay1979 3 жыл бұрын
Mashaallah mtangazaji saut umejaliwa
@hamisiyangakozwe2609
@hamisiyangakozwe2609 3 жыл бұрын
Usiombe ya kukute ya sikie Kwa sabaya
@sophiapeter1854
@sophiapeter1854 3 жыл бұрын
Daah Hakika ni hatari
@febbyedward3008
@febbyedward3008 3 жыл бұрын
Za mwizi arobaini duu wasiomjua sebaya poleni ni best angu lkn kwa vitendo vyako kaa tu ndani my dia umetutesa sana na roho yko mbaya
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 3 жыл бұрын
Dooo ukimuona hafanani
@febbyedward3008
@febbyedward3008 3 жыл бұрын
Alikuwa anajua kamaliza kila kitu kuwa kiongozi hahahahahaah
@islachristabinastaravista8104
@islachristabinastaravista8104 3 жыл бұрын
Acha kutudanganya hapa rafik yako wap
@febbyedward3008
@febbyedward3008 3 жыл бұрын
@@islachristabinastaravista8104 mjinga wewe namjua sebaya tangu 2015 bdo yuko mwanachama wa uvvccm uko hana hata uongozi ni best angu fala wewe umemjua akiwa kiongozi ananijua kindakindaki kuliko hata wewe fala so kaa tulia kama umjuiii sebaya so huongozi ulimchanganya
@febbyedward3008
@febbyedward3008 3 жыл бұрын
@@islachristabinastaravista8104 umjuii sebaya kama tulia wewe unamuona mungu au wenzio tunamuona mtu wa kawaida sana na tunakula tunacheka tunaenjoy ila anamambo yake mwenyewr akili zake zikimtuma na kins silivests wake au nikutajie group Lake lote mshenzi wewe kama unamjua sebaya basi muulize mimi nani okay alsfu atakuambia
@mohamedturanardan8871
@mohamedturanardan8871 3 жыл бұрын
Funga mtesaji mkuu wa arusha huyo japo miaka 1000
@mariaalenge2106
@mariaalenge2106 3 жыл бұрын
fimbo uliyo mpiga jirani yako ndiyo utakayo pigwa nayo unapo muombea mwenzako mabaya wewe unafikiri nini baada ya maombi yako?kumbuka dunia ni mzunguko kabisa leo kwasabaya kesho kwako nakama sikwako nikwa mwanao au kwa ndugu yako pole sana ndugu yangu kwakuuminzwa na Sabaya ila japo maumivu tuombeane mema ili Mungu wambinguni atubariki katika familia zetu namaombi yetu yatakuwa nakibali mbele za Mungu
@immanuelinvocavith1498
@immanuelinvocavith1498 3 жыл бұрын
Watu wanaomtetea sabaya ni wenzake kama hawakuhusika kwenye matukio ya sabaya aliyoyafanya Moshi na Arusha basi wanafanya matukio kama ya sabaya huko walipo krk majukumu wanayopewa, wanayegeuza kutesa watu na kujipatia fedha haramu nakuhakishieni
@manjaruu679
@manjaruu679 3 жыл бұрын
Njia muhongo fupi sana
@hamisipatrick4542
@hamisipatrick4542 3 жыл бұрын
POA mtangaZaji
@moodyzanzibar4336
@moodyzanzibar4336 3 жыл бұрын
MSENGE HUYO ALITUMIA VYOMBO VYA DOLA VIBAYA MSENGE SANA
@gidionkadaraja1403
@gidionkadaraja1403 3 жыл бұрын
Sabayaa ni Usalamaa wa taifaa ... lakn kusemaa haruhusiwi
@modesteryohana90
@modesteryohana90 3 жыл бұрын
Una hakika ndugu
@gidionkadaraja1403
@gidionkadaraja1403 3 жыл бұрын
@@modesteryohana90 maelezoo yake2 Yanaonyeshaaa ... alitekelezaa kazi kwa maagizoo ya juu sasa yap
@happynesskibona6658
@happynesskibona6658 3 жыл бұрын
Maswali Mengine ni ya kitoto kabisa nyie mahakimu haipaswi kumuhuliza mtu mnzima ni kupotezeana mtu nendeni kwenye maswali ya muhimu ndiyo cha msingi
@kipsjr3664
@kipsjr3664 3 жыл бұрын
ayo ndo maswali yanayo mfunga mtu na ukitaka kujua kama ni ya kitoto au la jaribu kushtakiwa na jamuhuri ndo utaelewa
@africanmandetraveler2847
@africanmandetraveler2847 3 жыл бұрын
Kwa hivyo wewe ndo unawafundisha kazi?
@adildube775
@adildube775 3 жыл бұрын
Hooo
@meditation884
@meditation884 3 жыл бұрын
Watu bhn mko mnasifia mtangazaji ila kilichotangazwa hamliangalii...
@pitargamba9208
@pitargamba9208 3 жыл бұрын
Pumbavu mtangazaji kumbe ni wale wale washenzi mlioundia sabaya kesi unajuwa maana ya kuchanganyikiwa amesema hivyo akiwa na maana yake.
@ashurahaji9115
@ashurahaji9115 2 жыл бұрын
Alijiamini aliona atafauru
@mikatejunior1362
@mikatejunior1362 3 жыл бұрын
Mtangazaji nilijua unasoma mahali
@godlovekilasi6250
@godlovekilasi6250 2 жыл бұрын
Ujage utangaze kesi ya mbowe
@lowassalaizer9167
@lowassalaizer9167 3 жыл бұрын
Pole sabaya hayo yoote yataisha tu
@rukundoibrahim807
@rukundoibrahim807 3 жыл бұрын
jama iko hatiani.
@fanuelymgabe3814
@fanuelymgabe3814 3 жыл бұрын
Hii headline ...ni kibokooo😂😂😂😂
@felixhaule7071
@felixhaule7071 3 жыл бұрын
Linajichanganya kama zuzu,Sabaya bwana,Jela linaihusu
@mshumbusideogratias9567
@mshumbusideogratias9567 3 жыл бұрын
Mwehu wew
@felixhaule7071
@felixhaule7071 3 жыл бұрын
@@mshumbusideogratias9567Kiburi,Ubabe na Dharau zote zile leo General Lengai Ole Sabaya anamwaga machozi Mahakamani!!!hakika maisha yanaenda kasi sana
@charlescharles5057
@charlescharles5057 3 жыл бұрын
Hii nchi ..Duu.Sijui atokee nani atusaidie. Mbon hakuhitaji cheti kuelewa alichokua anakifanya Sabaya. Leo eti mfungeni na kwa kazi ya masilahi ya wananchi. Tutapata shida mno kuelewa tunakoelekea
@maggie7701
@maggie7701 3 жыл бұрын
Sabaya unafungwa
@kassimukipingu5343
@kassimukipingu5343 3 жыл бұрын
Sabaya utawasababishia wenzio matatizo
@christiannyamamba9089
@christiannyamamba9089 3 жыл бұрын
Yani huyu akiachiwa itakua jambo la ajabu sana
@nicholauskilosa5336
@nicholauskilosa5336 3 жыл бұрын
Atafungwa huyu jamaa!Hawezi kushinda bila shahidi wakusapoti ushahidi wake.
@samwelemuniezi7524
@samwelemuniezi7524 3 жыл бұрын
Mungu Atakusaidia sabaya endelea kumuomba mungu wewe Ulikua mtekelezaji tu Kama mfanya kazi hivyo wamekugeuka hao wakubwa zako Utatoka tu kwa Uwezo wa mungu
@aloycemacha9894
@aloycemacha9894 2 жыл бұрын
@@samwelemuniezi7524 mungu wake amemfunga
@farajitz10
@farajitz10 3 жыл бұрын
Kesi Kama movie vile Duuuh
@hadijamagufuli2661
@hadijamagufuli2661 3 жыл бұрын
Kabisa mana duh hatare
@lissamsalu12345
@lissamsalu12345 3 жыл бұрын
Umeonaee
@rashidiathumani2300
@rashidiathumani2300 3 жыл бұрын
Maripo duniani arijigamba sana
@allymbwambo6820
@allymbwambo6820 2 жыл бұрын
Aliy nikonapambana
@eliasleonard6279
@eliasleonard6279 3 жыл бұрын
wasenge nyie na serikal yenu.. s mlisema n ole langai sayaba?? sio lengai sabaya? ... siasa n usenge mtupu. haya uwaneni wenyew na serikal yenu
@zawadimasula6253
@zawadimasula6253 3 жыл бұрын
Jama simumuache uyu sabaya
@robsondalink6206
@robsondalink6206 3 жыл бұрын
Me nikajua hapa ni BBC kwakwel presenter uko vizur
Yum 😋 cotton candy 🍭
00:18
Nadir Show
Рет қаралды 7 МЛН
Blue Food VS Red Food Emoji Mukbang
00:33
MOOMOO STUDIO [무무 스튜디오]
Рет қаралды 20 МЛН
AFANDE SELE ACHIZIKA (MCHAMBUZI WA INSTAGRAM)
1:03
MkaliWenuOriginal
Рет қаралды 222 М.
MASHUHUDA WA TUKIO LA MAUAJI YA ASKARI DAR
4:38
TBConline
Рет қаралды 226 М.
RAIS DKT. MAGUFULI AWASIMAMISHA TBA KUJENGA NYUMBA ZA MAGEREZA UKONGA
3:00
Nimekuchagua Wewe - Bob Rudala
5:07
Crea TV
Рет қаралды 2,4 МЛН
kilimo cha bamia kisasa (okra) shamba darasa kibaha
7:39
Kangeta kilimo
Рет қаралды 45 М.