Рет қаралды 14,283
Sadaka ni kitu cha kiroho ambacho kinaweza kuleta baraka kwenye maisha ya mtu au kikaleta laana.Sadaka iendayo na uaminifu huleta baraka lakini iendayo na udanganyifu huleta laana na hata mauti katika vitu vingi.Kama mtu unajua nadhiri uliyoweka hutoweza kuiondoa ni afadhali kutokuweka maana hugeuka na kuwa dhambi ikiwa haikutekelezwa.
Karibu ujifunze namna sadaka ya fungu la kumi inavyofanya kazi katika maisha yetu.
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our KZbin: kzbin.info/door/67L...