Jaman Masheikh wetu nawaonea huruma kwa kazi nzito hii mnayopambana nayo
@sleemhamoud43942 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/gYelcnSbaNVjhLs 👆 *TUPATE MAZINGATIO KATIKA KISA CHA NABII YUSSUF (AS)* _USISAHAU ku share subscribe na ku like_
@roidatadey86565 жыл бұрын
Awa waislam wanamrazimisha hamza awatetee wao epu muacheni uyo anamjua mungu na yupo kiroo zaidi yesu aendelee kukutia nguvu ameni
@Junior-rl2hj3 жыл бұрын
Wee roida kafiri ondoka umundani we kaa ukokanisani apa hapakuhusu
@sundaymsuya1433 Жыл бұрын
@@Junior-rl2hj shida yenu mnajiona mko safi mno na hy dini ya mwanadam aliye zikwa pale maka na hakuna wa wajinga na makafiri km waislam hk mtaan
@AbdulkarimuSuwedi-un8xq11 ай бұрын
Acha ujinga,jitambue
@alimatambwe34022 жыл бұрын
Subkhanallah Dunia ya mwisho kwa kweli Allah atupe mwisho mwema duh Nabi tena Kaja ?
@clynarsugar37304 жыл бұрын
Mungu aendele kukuongoza sheikh hamza Imani yetu ipo pamoja nawe ishalah
@nooor11203 жыл бұрын
Huna kazi nawewe
@kwezitwaha93994 жыл бұрын
Huyo ni mwendawazim tena wazim wake ni wabange sio kingine naomba mwenyezi mungu atunusuru juu yahili
@fatumahamisi70643 жыл бұрын
Subaha nna llah .Allah amunusuru uyo hamza arudi ktk kheri ( anatia kichefchef
@kristinaojambo36112 жыл бұрын
Allihamdullilah Allah aliye tuteremsha Qur'an Kwa mjawake (muhamad sww) ingelikuwa hatukupata Qur'an watu kama hawa wangetupoteza na generation yetu
@mohammed-_-home-_-boy001810 ай бұрын
Kabisaa
@rezikomer95523 жыл бұрын
Madina ndiyo mji uliyo salama na makkah ALLAH anajuwa ya zaidi
@noreenmillicient81015 жыл бұрын
Amen Amen Amen,,,,mungu anatuma ujumbe kwanza ....wape mwanga
@emmanuellikaare16614 жыл бұрын
Hi
@muyugalimbu37284 жыл бұрын
Ww umepata mwang gan
@nurdinimndeme29124 жыл бұрын
@@muyugalimbu3728 unajua siku zote hupotezwa hawa kwa ujinga wa akili na ufinyu wa elimu ~ mtu kuzua chochote na kupata wafuasi ambao ni wajinga ndo hawa brother .. so usishangae and PIA ni wakiristo hawa but wamefeli
@abdullahsalim65084 жыл бұрын
yaani kukaa na kumsikiliza huyu kiumbe inataka moyo ukweli mi ningekuwa mbele wa usowake nisingemudu kuyavumilia haya kuyaona
@hamidaalhabsi85682 жыл бұрын
Subhanaallah mungu wangu tusitili yaarabi manabiiii wamekwisha kufa huyu katoka wapi wasio ogopa mungu tanzania mambo mengi mnatuletea allahu aqbaru
@ttec94315 жыл бұрын
Allah akuongoe na akuepushe na Moto maana umelaaniwa kweli kweli wewe Khabith mmoja .... Hatuna nabii vitabu vipo wazi usipotoshe waislam ....
@derickomoghela99486 жыл бұрын
Yaani Mungu ni mwema sana kwetu, Wafundisge hao Issa, wakisikia mshukuru Mungu, wakikaidi, nawa mikono ushukuru.
@rahmashaban86937 жыл бұрын
Nahisi kupoteza fahamu. Machozi yamebubujika kama yalivyobubujika alipofariki baba yangu. Subhannallah
@benjaminadam93804 жыл бұрын
Okoka tu
@habibukalema31273 жыл бұрын
Maruhuni mkubwa huyu
@ngupalirashidi41046 жыл бұрын
Subhanallah ewe Allah mnusuru hamza na utujaalie waislam tuwe na hofu zaidi, ya Allah tuongoze kwenye jambo jema
@ramadhaniadamu59936 жыл бұрын
subhana llah...hata Quran kusoma shidddah...hii ngoma yafaa kudundwa!!!...
@ibnhassan99804 жыл бұрын
nikweli hata Qur an shida
@FatimaFatima-wk1jk2 жыл бұрын
Sio muislam mfatilie vizuri utaona video zake akihubiri anataka kutumia Qur'an ili kuchanganya watu tena waislam wasio jielewa
@TeamKRX2 жыл бұрын
Wote ni kulatwa vichwa
@selestinsongola27872 жыл бұрын
Haya majamaa yanahoji Kama yale yaliyo muuliza yesu yana sema . Hebu tufanyie kamuujiza kidogo ilituamini kuwa ww Ni mwana wa mungu
@amoury14812 жыл бұрын
Mm Naona Hao Walokuwa Wanataka Miujiza Kutoka Kwa Yesu Ili Wamuamini walikuwa Sahihi,Kwa Sababu Hata Mm Mwenyewe Naweza Jiita Mtume sasa Ili Niwathibitishie Watu Kuwa Mm Ni mtume Wa Kwel Ni Lazima Nioneshe kitu cha Kitofauti
@matukioyasikuzamwisho76534 жыл бұрын
hamza anajua kujenga hoja sema mashehe wanalazimisha tu
@mrlyrics85124 жыл бұрын
we huna akili
@nooor11203 жыл бұрын
Nawewe utakua km hamza hoja gani anazozijenga upumbavu mtupu
@pungopungo4112 жыл бұрын
Nabii Eliasa kula maini ndani ya Yesu. Waache wababaike.
@thoraiyahassiem47214 жыл бұрын
Mashekhe wangu mcpoteze muda kwa mshenzi huyo mwisho wadunia umekaribia
@wesakawesaka45497 ай бұрын
Ww n nabii wa kwel wa mungu tatizo hapo hao unaoongea nao wanajua kitabu kimoja na hadithi zake ila wakifatilia na history huyu jamaa ni sahihi sana mungu amulinde sana
@kilosa20007 жыл бұрын
HUYU HUYU ALIHUBIRI KANISANI AKASEMA HUU NI WAKATI WA INJILI SIO WA QURAN, KISHA AKAWAOMBA MSAMAHA WAISLAM KUWA ALIKOSEA, LEO ANAKUWA NABII ILYASA. MHHH FEKI
@zainaburajabu28635 жыл бұрын
Innalillah wainna ilayhhi raajiuun. hataa Allah hawezi kua na nabii anaefanana na Tito wa dodoma mtume ndo wa mwisho.kwetu hatujakusoma popote hamza kadhab ucwachokoze waislam km umetumwa jua mungu wetu hatowaacha nyie c tnamsubir nabii issah laanatullah we we.
@idrissajumakona58715 жыл бұрын
Mungu anakuona....muogope mungu...inshaalla mungu atakulipa
Laanatu llahi aleik Mungu akufishe Kwa Hali hio hio kama unamfanyia istihzaai mwenyezimngu...
@zahaljamal45205 жыл бұрын
UST Hamza upo sahihi kabisa huna makosa
@Dr.zaidi44 жыл бұрын
Anaeleweka!!!
@unknownafrica55682 жыл бұрын
Makafiri watkubali walikubali hata injili Mpya ya mzungu kafiri wamempnga na kumkodoa mmungu mwenye kitabu na kubadilisha mandolin na kufata madili ya mzungu injili taira tu zaburi vyote ni vitabu vya mmungu kile ya kwa ma na bee wa kweli sio hao makafiri kila siku mana bee wa uongo wanatakrija
@AbdulkarimuSuwedi-un8xq11 ай бұрын
Acha ujinga,jitambue
@jjtm1642 жыл бұрын
Nabii mwongo kweli, waislamu tubuni mje kwa kristo
@sheillar076 жыл бұрын
The Holy Prophet of Islam (pbuh) prophesised that "there will arise 30 imposters in my nation and each one of them will pronounce that he is a prophet, but I am the last in the line of the Prophets and no Messenger will follow me."
@ramadhanidkurata64702 жыл бұрын
Q
@ramadhanidkurata64702 жыл бұрын
Aaa
@ramadhanidkurata64702 жыл бұрын
Aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaà
@salehemwalimu68653 жыл бұрын
Mwenyezi mungu amfanyie wepesi na ampe ufahamu wa kujua ipi haki na ipi batiri
@fatmaally7147 жыл бұрын
jaman waislamu tusomee dini yetu maana dunia inaharibika watu kama hamza issa watuangamiza wa A'udhubillah
@kingjkingj24632 жыл бұрын
Ewe ndungu katika bindamu ogopa mungu kweli kweli hakika Allah hajaribiwi.
@djumamariam18104 жыл бұрын
Tujiandaeni na qiama zote dalili zipo wazi. ALLAHU atujalie mwisho mwema
@salmahanai36012 жыл бұрын
Miongoni mwa dalili.za kiama
@G.r.e.a.t.I.Q2 жыл бұрын
Huyo ni Mlaanifu! Allah amshinde! Anajua kabisa kuwa UTUME na UNABII uliishia kwa Muhammad (S.A.W.).
@huuasf7106 жыл бұрын
Ya Allah tunusuru waja wako tunafika pabaya
@geiguryusratee22027 жыл бұрын
Hamza Issa...kila swali kajibu...kama humkubali njoo getho
@rahmashaban86937 жыл бұрын
Dunia nzima waje tanzania wataishi wapi na watakula nini dunia yote
@anuaryally61774 жыл бұрын
Kwa uwezo wa allah wataishi na watakula
@mirembesumayah5 ай бұрын
tuliwahi kuwaona watu ambao walikuja wakijiita yesu na wamojs wao wafaliki wajifanyisha miugiza
@shwaibuathumani56565 жыл бұрын
Kweliiii nmeamini yalee yote mtume aliyetabiri yametimiah watajitokezaa Manabii wa uwongoo
@BONGOINMOTION5 жыл бұрын
Who is fake prophet?
@alexambrose47224 жыл бұрын
Lete aya ambayo mtume alisema watakuja manabii wa uongo?
@nyotayamashariki54114 жыл бұрын
Nimekuelewa hostazi
@nyotayamashariki54114 жыл бұрын
Nakuelewa NABI MUNGU AKUTIYE NGUVU
@unknownafrica55682 жыл бұрын
Kwa wenzetu mpaka zumaridi wamemkubali dini ya kislam haitaki mchezo mtu kujitungia eti na bee
@hancvonpop45989 ай бұрын
Cpat picha haya anayoropoka akiyaropokea msikitin alaf siku ya ijumaa nahis had leo hii msalaba wake kaburin ungekuwa umepata kutu.... Hongeren mashekh zetu kwa kuwa na subra zid ya huyu mwenye njaa
@iva-ox2qn8 ай бұрын
Siyo rahisi kuhubiria watu walionenewa mashetani kwenye masikio yao toka siku waliozaliwa na wapate kukuelewa , watakuuwa tu.
@samakimwenyekiundaniyamaji88857 жыл бұрын
Masheikh mue Na subra
@geiguryusratee22027 жыл бұрын
Hamza Issa....jenga mskiti tuje tuswali wewe ni Nabii wa kweli.
@a.a.70297 жыл бұрын
Alihamdulillah mashekhe wetu nimefurahi sanaa mnavosimamia ukweli ,huyo Alias ni kichaaa apelekwe hosptal akapimwe akili kama ziko sawa
@fatumashabanfatumawawapimy11574 жыл бұрын
Subhanalah huyo wapi kafeli jaman Kawa nabii kabsa anajiita bila aibu et nabiii
@fatumashabanfatumawawapimy11574 жыл бұрын
Hembu aache hizo Kuna clp amesema yeye haa in kama Kuna kifo et yeye hata kufa jaman kama mtume hatukonae yy vp abaki aaa Dunia Ina mambo sku za mwisho hzi jaman c mpaka masihidjali atukute majumban ndio huyo masihidjali mwenyewe
@upendokileo88404 жыл бұрын
Nabii hakubariki nyumbani pia waislamu wengu hawapendi ukweli duuu
@wazirihamisi64842 жыл бұрын
Uislam dini iliyo KAMILIKA huku hakuna tena unabii au utume
@rosemarysaidd95976 жыл бұрын
HV waislam huko mskitini huwa mnafundishwa kejeli na matusi au? Nmefuatilia video nyingi za Kikristo comments nyingi mnatukana tu. Huyu nae ni mwislamu mwenzenu kawaambia mambo yanayowachoma mnamrushia matusi ya kila aina. Jitafakalini acheni kijifunza neno la Mungu kimwili na acheni kukalili, japo in ngumu kuamini anachosema ila ni dhambi kutukana.
@barackamosi41162 жыл бұрын
Acheni kusumbuka bana mkubali mkatae shaulienu YESU ni bwana
@deathrow80045 жыл бұрын
Huyu bwana anatafsiri quran kwa ufaham wake..si wa waja wema waliotangulia((asalafu swaleyh))
@ericjosephat91806 жыл бұрын
mungu akuongezee ujasili zaid ili uwaelimishe hao walioweka imani yao ktk dini wameamini sheria mpaka wamekua na kutu lakini kweli n kristo peke yake.
@unknownafrica55682 жыл бұрын
Kristo bada ya isa kuondoka is sa ni muislam na anamsujufia mmungu mmoja tu injili ilibadilishwa na makafiri kumpinga mwenye kitabu mmungu
@alfaqeersaidsalimelbakry11107 жыл бұрын
sheikh Muharram mziwanda umempa Mzigo mzito huyo bwege,kwa hoja hizo ilibidi aombe udhuru tu kua maleria ilimpanda kichwani
@OverdozClassic5 жыл бұрын
AL MADRASAT IHSAANIYYAH AL MADRASAT IHSAANIYYAH 😀😁😂😂
@faysalmussa55934 жыл бұрын
Mashaallah sheikh muharam ameongea point sana. lakin huyo nabii muongo ata simuelewi ana ruka ruka tu
@abdimohamed96257 жыл бұрын
Mh!,hadi kufika mwisho wa hii dunia tutashuhudia mengi ila waislamu tujitahidi tuijue dini yetu kisawa sawa.Innalillah wa innailaikhraaj-uun
@jjtm1642 жыл бұрын
Eliya alisha kuja akampisha kristo ni ufahamu wa injili hamna
@birdmanhussein21827 жыл бұрын
Shehe wangu nakupendaka sana shehe issa Amuzah mutu hawezi pendawa nawatu wote
@abdullahally16656 жыл бұрын
BIRD MAN HUSSEIN we ni hasfu tena huna akili na hujakaa madrasa na wala huijui dini ya kiislam,unabaki kushabikia vitu usivyovijua
@buluush97416 жыл бұрын
kwanza kusema hujui😂😂et mutu😂😂wew na uyo issa wako nyote manabiii wasenge😂hamujui munaongea nn
@rajabuhassani84262 жыл бұрын
Nakukuchukia sana mbwa eliasa kama ninavyo wachukia wakiristo
@thamiyuucute70984 жыл бұрын
Hemu muashieni moto aingieee😂😂😂😂😂tutajuwa nabii au anaekti
@jasminyiddysulaiman98075 жыл бұрын
Mara ngwaaah allah akupa mtihan mzito we unajiita nabii utaisomaaa allah hachezew.. pumbavuuy
@anselmoonolius83625 жыл бұрын
Ataanza na ww unaetukana
@hajiomar18957 жыл бұрын
ww mshenz ww mungu anakuona na atakulipa inshaallah kwa uzush unaouleta ktk dini yetu laaanatulllah ww
@canoksancomprehensivelearn71827 жыл бұрын
usimtukane wala usimlaani bali muombee maana yawezekana ameingiwa na shetani na siyo akili yake na yawezekana pia uwazimu unamkaribia au pia ujinga waweza ukawa unamsumbua. tumuombee lakini kama akiendelea na mambo yake kwa jeuri hapo sasa dua mbaya maana atakuwa kakataa haki kwa ujeuri wake
@aminingarigari63135 жыл бұрын
Huyo issa yukovibaya yotehayo ninja inamsumbuwa nasikingine .amana hatakusoma.hakuwi .
@rezikomer95523 жыл бұрын
Ndiyo nikasema watanzaniya mji hadhari sana macho ya shaitwani yako kwenu mtajikuta kwakufuru bila kuji juwa mjihadhari saaana tena sana shatani ana watumishi na vituko vyake kama mfano ya manabi anaweza kuwatiya jwa kufuru ombeni ALLAH aqaoneshe ukweli wamambo hayo
@mirajimohamed57107 жыл бұрын
Sheikh mziwanda umemuua huyo hamza muongo kiukweli sheikh wng allah akuweke nimetosheka na elimu uliyoitoa hapo.
@norbertlilungulu50182 жыл бұрын
Sasa kama anaongopa mbona qnayoongea yanatoka kitabuni! ?
@wazirihamisi64842 жыл бұрын
@@norbertlilungulu5018 KASOMA HUYO
@marygaspar64295 жыл бұрын
Waislam mtamkumbuka Issah Hamza siku ya kiama! Yesu ni mtume wa Mungu, siyo Mungu, hata Biblia inasema.
@sleemhamoud43942 жыл бұрын
Uislam ndio din ya haqi na manabii wote wamezaliwa ktk bara la uarabuni sasa hakuna Nabii aliye zaliwa ulaya na ndio ukaona ukristo ni dini ya wazungu
SubhaAllah.Ati. watu wote waje Tanzania kufanya nn na tunajua kuna makka na madina
@rahmashaban86937 жыл бұрын
Jamani mpelekeni kwenye vipimo huyo mwenzetu jamani kabla mauti hayajamfikia
@mammyali34246 жыл бұрын
Bibilia inawaonya watu...wasitukane inaongoza watu wapende adui zao.... wala tusilipize kisasi ni cha Mungu...mbona waislam...mwatoa matusi jamani...mbingu gani inaruhusu ....watu ...watoe matusi hivi.... bibilia inasema hata mpumbavu akinyamaza ataesabiwa kuwa na hekima...basi heri... unyamaze....
@shuwehaharunaomariikwena2337 жыл бұрын
hatakusoma aya hawezi laanatulah
@maryerkayombo23586 жыл бұрын
Hongera baba waweza kuendelea¡!!!!!!!!!!!!!!
@yassinm696 жыл бұрын
Mbona shekh sharif hakujiita nabii wee hamza bangi hizo
@Dr.zaidi44 жыл бұрын
Napenda jinsi wanavyuoni wa dini wanaitetea imani na itkadi ya dini.Lakini kabla ya mtume wa kiarabu kusimamishwa walitangulia kina Malaki waliotabiri ujao ama kuachiliwa kwa roho ya Eliya.Ambayo itakuwa upokezi wa hile nguvu na maarifa kwa wajumbe wa tabaka nyingi sehemu tofauti tofauti.Huyu bwana anajiingiza kwenye mtihani akidhani kwamba yeye ndiye mwenye hiyo Monopoly pekee yake.Kwa mungu hakuna anayehesabika kufa.Wateule wote wa zama hizo wametukuka na wanafanya sala kwa niaba ya wenye ardhi na hupo msimu roho zao ujihusisha na watu
@rayasloom87112 жыл бұрын
Kama kuna dini nyingine kwanini hawa itaju hiyo lukha kama sio kiarabu .kwa sababu ni lugha ilio kamilika .sio dini nyingine isipo kuwa uwislam.huyu jama sijuwi kapatikana na nini 😂😂😂 kiala shetani anakuja na namna yake dininzitakuwa nyingi sana ndio mjuwe kiama kinakariabia
@imranihussen57642 жыл бұрын
Nabii issa me nakuelewa sanaa 🙌🙌 hapo unashindana bakwata🤣🤣 ila unapoint👏
@zinjankhan28834 жыл бұрын
. UDHAIFU. HUYU MNGEMPA MAZINGE TU AMTIE MASWALI MAKAVU YALIOSIMAMA
@salimujuma12444 жыл бұрын
Yaaaan wameyumba waampe mazinge
@georgekimasa73934 жыл бұрын
Hoja hizo kwann msinge zitumia pia kubaini utume wa Muhammad kuwa ni wa kweli au si wa kweli.
@nooor11203 жыл бұрын
@@georgekimasa7393 Mtume Muhammad haitaki tochi yeye ni mtume wa haki
@miraclemirajiathumani73332 жыл бұрын
mimi sina mashaka kwa sababu mungu azoeleki na kingine mnafikiri kama nabii eliya yeye haogopi kuangamia katika jahanam basi yy anatimiza wajibu wake
@hajiomar18957 жыл бұрын
yaan masekh mna moyo kweli mda wote kumckiliza mzushi huyo
@aleyslaim49357 жыл бұрын
Haji Omar nakwambia
@philipohunyu35846 жыл бұрын
Haji Omar
@alhamdulillah57966 жыл бұрын
Miujiza miujiza miujiza tunahitaji. Ndoto zpo zinazotokana na mashaitwani pia.
@mariamsuleiman71597 жыл бұрын
jamani hivi huyu mtu ni mzima kweli
@derickomoghela99486 жыл бұрын
Mariam Suleiman kwani shida ni nini kwako?
@danielectronics81615 жыл бұрын
Kama wewe ujui we mzima
@ngwearburhan54263 жыл бұрын
Hamza issa si mzima ata kidogo
@jorammsemakweli31162 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@Frankgamanuel6 жыл бұрын
ziaka sio nzuri Mungu ndie anayetoa ukumu cha msingi nikumsikiliza anacho sema ni sahii? lakini mi sioni tatizo juu yake yeye anasema kama Nabii kwa hiyo bado sio Nabii mab atabarikiwa, Mungu hamfanyie wepesi. halafu si vyema kuwa na jazba mnta mwelewa mtabaki kumpinga hata kwa jema halafu lugha sio sababu huo ni huzaifu kila mja Mungu anamwezesha atakavyo ninacho kiona hapo nyie mlio wengi mnaonyesha kujifanya mnajua lakini sivyo huyo jamaa anaoneokana kuna kitu cha ziada hila mnaonekana kama mko na hasira juu yake mi mkiniambia asijiite Nabii hapo nitawaelewa lakini tukumbuke mambo ya mwenyezi Mungu ni mambo yanayo hishi na yapo mengizaidi ambayo wapo waliojaliwa kuyatambua yale ambayo wengine hawakujaliwa kufunguliwa kwa nini tuwe na kebei anacho kifanya huyo Hamza nikuwakumbusha yaliyo mema sasa maswali mengine ni ya hila tu heti mtu anauliza We hulisha wahi fika Misri sasa hilo ni swali au hila? mi sioni baya kutoka kwake labda hilo analosema kuwa yeye ni Nabii hapo ndio niko na Mashaka?
@miraclemirajiathumani73332 жыл бұрын
huu wakati mungu anachiria manabii wake ili mpte kujua nn kinaendelea
@adventsumari69672 жыл бұрын
Yeye kasema cyo nabii kasema yeye ni kama nabii. Mtamuelewa tuu uyu amza anakitu ndani yake ila wengi amtaki kukubali. Ilasiku zinavyozidi kwenda mtamuelewa tuuu. Hamza tuko pamoja barikiwa sana
@unknownafrica55682 жыл бұрын
@@miraclemirajiathumani7333 mmungu alikuambia mmungu Alissa sema kua ma nabee nivae zamani alijua ni was mwisho ni muhamad saw Angela wapo watakuja huyu ana tafuta sadaka ya dhambi mbona watu wamemkalisha ktk Islam hamna mtu ajitokee kua yy ni na bee kwani wanajua mmungu ni mmoja tu na yy ndio wenye mana bee huyu mjinga tu mchukueni awe na bee fekk kama hao wa wakristo kila siku wanakuja mana bee na wanakubalika hakuna mana bee manabee walikuja zamani
@unknownafrica55682 жыл бұрын
@@hemedikassimu9604 kabisaaa ukitoa erufi moja inajulikana sembuse kubadilisha mmungu ndio alkamilsha kila kitu humo ndio mtume wa mwisho hamna na bee tena mpka kiama
@sundaymsuya1433 Жыл бұрын
Muhammad mwenyewe ni nabii feki yuko kwenye Quran 2 ht torati na injili hajawahi mtaja hy Muhammad xaxa nabii wa mwisho kwa nan kwa waarabu au kwa mungu waislam wote niwapinga kristo
@fatmakhanii16764 жыл бұрын
Sijui huyu kasoma sana hadi kaingia wazimu au hana radhi zawazee siju hata niseme Nini huu msiba ya Allah tuhifadhi waja wako ama kweli hii dunia ya mwisho subhana Allah 😭😭😭😭😭😭😭
@malickabbas82717 жыл бұрын
Hahaha,akapimwe akili
@rezikomer95523 жыл бұрын
Ombeni swaalatul istihara what ever swala ishaallah mutajulishwa ukweli wamambo ya watu wakila njiya mbaya za kuwa poteza ishaallah maana waislam watanzaniya mashaallah mko mbele msitari wakwaza naona mengine sijui ALLAHu yalam
@mwanakijacho6405 жыл бұрын
yani ww Hamza utakikukubali kama ujui dini vizuri mana wajua utaaibika ila Allah akusame mana ujui unacho kifanya
@rashidbusanya71667 жыл бұрын
Shekh hamza nilikupenda sana tena nilifatilia clip zako sana ila shetan kakupenda zaid SO INNA LILLAH WAINAH ILAYH RAAJIUUN
@rehemanhamanilo52947 жыл бұрын
Rashid Busanya 😂😂😂
@alfaqeersaidsalimelbakry11107 жыл бұрын
najiuliza,huyu kituko hamza ilyaas asema KAZI YAKE NI KUWAITA WATU WAJE TANZANIA,sasa watakaa wapi wakati sie wenyewe hapatutoshi??? nashangaa na hao maswahaba zake sijui wamerogwa na nani??=== JIBU NI KUA WAMEROGWA NA NJAA
Said Saalim :::hahahahahahahahaha said unaniua mbavu. Unajiuliza na jibu unajipa mwenyewe hahahahahaha. Hao maswahqba sijui Abuu Bakari swidiq ni yup na Sayyidina Ummar ni yupi. Yaani ni vumbi tupu
@salmagogo99677 жыл бұрын
Said Saalim harmorapa huyo
@kassimrajabu78057 жыл бұрын
Hahahahhaahha
@rashidadam39007 жыл бұрын
Huyu Jamaa hajielewi yy analalamika Kuwa anapingwa hadithi zote hata ya kweli sio anapingwa laiti angejiita shekhe asingepingwa kinachokataliwa ni unabii wake anaoulazimisha
@stanslausmteme84553 жыл бұрын
Gud Hamza Nabii anatakiwa azunumze lugha inayotambuliwa
@fatmaally7147 жыл бұрын
kofia lina mpwelepweta
@zaitunramadhan32324 жыл бұрын
Hahaha
@pungopungo4112 жыл бұрын
Mungu hana hasara dunia nzima kua samadi yeye anaangalia moyo
@saidishabaninguku86557 жыл бұрын
Hakuna kauli nzuri kwa mnafiki kama wewe, ila ulisha sema kuwa unatafuta umaarufu na hao wendawazimu wenzio yaani hao maswahaba wanafiki hao.
@roidatadey86565 жыл бұрын
Wewe muabudu majini kaa kimya
@omanbarka158810 ай бұрын
Kejeli na thihaka hazimpendezi mwenyezi mungu Kwa viongozi wake kama huelewi Bora ukae kimya usije uka laanika na mungu
@rezikomer95523 жыл бұрын
Mujihadhari nawakristo wanaweza kumtumiya kwanjiya kuwa bomowa nyinyi kama mnavyo sema wakrito wako nanabi saa hizi isije ikawa ni njama tu hiyo muwe wangalifu sana nasiyasa za shaitwani rajim
@habibusalum58007 жыл бұрын
Inna lillah wainna ilaihi rajiun. huyu jamaa ametumwa na shetan. upeo wake alionao hafai hatakuwa mkuu wa mtaa.
@asmabintikiwasha136 жыл бұрын
HABIBU SALUM ibiris haonekani ila huyu ndie
@YonahMwamwaja3 ай бұрын
Ipovizuri nabii wabwana damu ya YESU ikufunike
@shuwehaharunaomariikwena2337 жыл бұрын
asante kwa muendelezo umenifanya mpaka nime subscriber
@muhammadmuhaznun3802 жыл бұрын
Huyu sheikh Mwenye alimjibu nampenda Sana afu nimsomi Mashallah napenda jibu lako huyu nabii mrongo Sana...
@sleemhamoud43942 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/gYelcnSbaNVjhLs 👆 *TUPATE MAZINGATIO KATIKA KISA CHA NABII YUSSUF (AS)* _USISAHAU ku share subscribe na ku like_
@achanifumos10933 жыл бұрын
Huyu ni mwenda wazimu...hata nashangaa hawa mashaikh wetu wanapoteza wakati na huyu abnormal..hata qur ani hajui kusoma vizuri
@yusufuvea53113 жыл бұрын
Mbora no mwenye kusikiliza Kisha akachagua ritakalomnufaisha
@khamisijuma31675 жыл бұрын
Huyu jamaa atawapotezea mda mpelekeni hospitali huenda anamatatizo ya kiakili, Yani muonekano wake tu kuchekacheka tuu
@mamual-ismaily75994 жыл бұрын
Wallah kweli 😄😄
@nyotayamashariki54114 жыл бұрын
Mungu akupe nguvu hata Yesu alikataliwa usijali simama katika haki ikikubidi ufe katika haki waongoze kwa hekima mana hata wakati was nuhu walipinga
@abordecapester9086 Жыл бұрын
Elia yupo vizuri kiroo
@likungaduu64457 жыл бұрын
hahahahah.....HAMZA atakua anakula sana BANGI yenye MBEGU.....MSHAURINI AWE ANATOA MBEGU KWANZA...PIA ASIVUTIE CHOONI AKIENDELEA SOON ATAJIITA MUNGU.
@salumsalum70576 жыл бұрын
liku ngaduu hahahahahahahaha na mimi nilifikiri hivo hivo
@saudamachocho92316 жыл бұрын
Ke ke ke ke ke ke inna Lillah wa inna illah rajiun
@asiajuma57846 жыл бұрын
liku ngaduu 😂😂😂😂
@maryambintukhadija16043 жыл бұрын
Awe ata anachemsha ilo bangi ata makali wapungue manake anakribia pabaya
@samirsumary82307 жыл бұрын
kwa kweli magufuli huko tanzania katia watu vifachaaaaa,please magufuli punguza kibanoooo maaana maradhi ya uchiz yamezidi kwa njaaaaa
@seifjumabhansigiye28677 жыл бұрын
acheni kumtukana yeye kama kapoteza busara nyinyi msipoteze busala ninyi mnaomtuka ndiyo wapuuzi..
@jonathanmasu68037 жыл бұрын
Seif Juma Bhansigiye ndugu una busara sana
@hassinarahbi3526 жыл бұрын
Mbona hata herufi za qur'ani hazijuwi kizitamka inavotakikana
@suleimanngondo37875 жыл бұрын
Seif Juma Bhansigiye mpuuzi ww na shangazi yako
@hamudmuhammed5365 жыл бұрын
wewe mpuuzisana mshenzi kabbisa ww wamaa muhammadun illa rassuulu llaaah hakuna mtumetena wala hatotokea zayd yamuhammad nahuyo hatakihoja ataka tu atolewe kichwa na washenzi km nyie wote munaomuunga mkono kafiri km huyu kaaafiri mtoeni kichwaaa asiitie dosari dini au km hana kijio mpeni ale asipoteze watu laanatullaah
@zaharahasan19124 жыл бұрын
@@hassinarahbi352 Yaan anaonekana kabisa huyu ni mwislam, ila tuu kwa sababu tuu yuko upande mwingine ndo maana unasema hatamki maneno vizuri
@christinamatrida62196 жыл бұрын
Usipo mkubali YESU Mbingu hautoiona kwa sababu hakuna mwenye Mbingu isipokuwa YESU
@dennisthomas81646 жыл бұрын
kwani alichokisema siyo kweli,tatizo huyu kawazidi elimu na maarifa ,ndymaana mnamchukia ,
@showfive44134 жыл бұрын
WEWE DENIS KUMA LA MAMA AKO
@Ricky_melody2 жыл бұрын
Nakukubali sana Nabii Isaya,Wacha nicheke2,Unavowachanganya na Quran yao,Ila ww uko kweny Ukweli wa Yesu.Kichwa ki1 kinachanganya miwatu😂😂
@amoury14812 жыл бұрын
Atawachanganyanje Na Qur'an wakati Yeye Mwenye Hajui Qur'an Anababaisha babaisha Hakuna Alichowanganywa Hapo,Labda Ww Umechanganywa Kwa Sababu Huijui Quran
@abubakarimwasumilwe72937 жыл бұрын
Mh....! Dunia inamambo. Miye Natoa wito kwa mashekhe Wamkanye huyo mpuuzi. Aache kuuchafua Uislamu... na km akiendelea itolewe hukmu ya kumkata kichwaa.....!
@muhammadfarijala23247 жыл бұрын
Abubakari Mwasumilwe twahibu
@asmabintikiwasha136 жыл бұрын
Abubakari Mwasumilwe hao mashekhe wanamuendekeza kubishana nae afadhar wabishane na wakristo huenda wakabadiri dini kuriko huyu kafir
@mwanaidjuma85705 жыл бұрын
bora usivuke mipaka ukajiita mungu manake umefanana na firaun
@binalone1346 жыл бұрын
Raha tupu hamza mapoint kama Bungeni
@siafuonlinetv7 жыл бұрын
Dah Mungu anakupenda bado wabongo hawajakuchinja njoo zenji tukupe Zawadi
@francismhilu29365 жыл бұрын
We n mkichaa..izo zwad n nan wew had uhukumu.kwn kaz yk n kukomboa ukion ujakombok wapo waliokombok usiharalishe na kuhimiz uov