SHAFI ALIPOSIFIA UJINGA WA SWAHABA MUIMBA KWAWA WA ASKOF HAMZA .SEHEMU YA NNE

  Рет қаралды 189,288

Saimu gwao Online tv

Saimu gwao Online tv

Күн бұрын

Пікірлер: 360
@anthonykariuki2438
@anthonykariuki2438 6 жыл бұрын
Wallahi waislamu mwenyezi mungu awajaalie subra na mziidi kutumia hekima kujadiliana na wanafiki kama hawa, kwani mimi kama mtu aliyesilimu nazidi kupandwa na imani na kuthibitisha kuwa uislamu haukenezwa kwa upanga kama wanavosema makafiri Bali ni kwa hekima. Allah awazidishie naitwa Mustafa natokea huku Nairobi , Kenya.
@AziziRajabu-mv8jz
@AziziRajabu-mv8jz Ай бұрын
Mashaallah
@omarameirsalum8879
@omarameirsalum8879 6 жыл бұрын
Wewe Shaafii wewe,wallahi Mungu akuzidishie elimu ya hapa na huko na Mungu namuomba akupe Pepo wewe na sisi pia Shaafii. Fanya kazi ya daawa nasi tunayo huku kwetu.
@zuu__95
@zuu__95 4 жыл бұрын
aamin yarabbilaalamin
@nolanandy4203
@nolanandy4203 3 жыл бұрын
i dont mean to be so offtopic but does someone know of a method to get back into an instagram account? I was dumb forgot the password. I would love any tricks you can give me.
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 6 жыл бұрын
Hongerani Mashekhe wetu !! Allah awaongeze mzidi kuipigania Dini yetu! ! Inshallah
@SalumKhamis-289
@SalumKhamis-289 10 ай бұрын
Asante Shekhe Shafii Mungu akuzidishie elimu watu kama Hamza Wazalilike kwa kutaka kutujaribia Uislamu wetu.
@harrishussein6992
@harrishussein6992 4 жыл бұрын
Wallah ustz shafii uko vizuri Allah akupe mwisho mwema wallah nakuelewa unachozungumza kimenyooka sana
@tumajunior6080
@tumajunior6080 4 жыл бұрын
Shekh shafii mashaallah Allah akuzidishie elmu zaidi uokoe wiislam
@saidmbarouk3553
@saidmbarouk3553 2 жыл бұрын
Allhamdulillah ALLAH akulinde na mitihani kaka yangu shekhe wangu shafi endeleni kulingalia dini ya ALLAH yeye ndiye atakae walipa lnssaallah
@absameosman9113
@absameosman9113 3 жыл бұрын
Hahhahahahaahaha sheikh wangu shafii umewamaliza.... Ety akajisema aliokoka na kapatizwa n maji mengi Alf saizi kajiita muislamu..... ustadhi Shafii your one of my loved sheikh....
@mohammedrajabu7449
@mohammedrajabu7449 4 жыл бұрын
Masheikh. Ustadh Shaafi na Sheikh Diwani nakundi lenu( kutoa la Hamza kafiri Na kundi lake ). Allah awabaariki kwa kazi mnayo ifanya Jazaakallahu khaira 🙏 nduguzangu
@bahatihadijabahati7456
@bahatihadijabahati7456 5 жыл бұрын
Mashaa Allah Mimi hata nawapenda Sana masheihk wetu huyo hamz atapoteza hao makafiri wenzak
@osamaalharthy4150
@osamaalharthy4150 4 жыл бұрын
Shekhe. Shaffi mashallah. Umemwambi ukweli. HamzA
@raiswamaraishalisi8426
@raiswamaraishalisi8426 5 жыл бұрын
Mnatisha ma hustadh wangu Shaffi na wengine vigogo vya ALLAH
@zaharanihassan9013
@zaharanihassan9013 6 жыл бұрын
hapa nakula daku huku nawafatilia, kiukweli Allah awalipe kwa kazi nzito hio inayohitaji moyo na ujasir
@hamisikulola8481
@hamisikulola8481 6 жыл бұрын
Asante ustadh shafi hawa mambumbu wa kawaida
@kibeginiblue7188
@kibeginiblue7188 3 жыл бұрын
Mashaallah Sheikh Shafii
@asilclub
@asilclub 3 жыл бұрын
بارك الله فيك يا الشيخ شافي
@OverdozClassic
@OverdozClassic 5 жыл бұрын
Ma sha Allah... wote tungekuwa kama wewe wallahi Uislam ungekuwa mbali sana
@amenaallahawazidishieumrin6235
@amenaallahawazidishieumrin6235 3 жыл бұрын
MWENYEZIMUNGU awape umri mrefu mashed wetu na kumtetea mtukufu wa dara Ja pamoja na mola wetu kwa kusingiziwa mambo kama hayo mola awlipe pepo ishallah
@martinmkoba361
@martinmkoba361 3 жыл бұрын
Kweli Yesu kitu kingine aisee waislamu wao kwa wao wanambishania Yesu leo hii
@maamasuli9351
@maamasuli9351 6 жыл бұрын
Kweli mungu anamuongoza ampendae, Askof Hamza ni ibilisi
@absameosman9113
@absameosman9113 3 жыл бұрын
Tena lile suali nlitamani kuuliza Hamza y kwamba ka anajitangaza yy ni nabii wapi kitabu chake mungu alimpa.... Ustadh Shafi kauliza ht nliridhika
@KelvinMlay-mi7kc
@KelvinMlay-mi7kc 6 ай бұрын
Shekh Shafi anakosea sana
@najmagudeh203
@najmagudeh203 4 жыл бұрын
Ustadhi shafiiii m.mungu akuzidishie umriii inshaallah
@malicboy7973
@malicboy7973 5 жыл бұрын
Allah akuhifadhi shafi.. huyo Hamza njaa inamsumbua
@jamalbalozi2280
@jamalbalozi2280 5 жыл бұрын
M
@whonshineargay4804
@whonshineargay4804 6 жыл бұрын
HAKIKA YA MAMBO NIKUA HUYO JAMA HAMZA ISSA NA MASAHABA ZAKE HAKIKA NI WAONGO KISHA JUWENI YAKWAMBA HAO WOTE WANALIPWA PESA NYINGI SANA NA WANA CHAMA CHAO NA HAO WOTE KWANZA SI WAISLMU MUJUE.HAO WAKO KAZINI WANALIPWA ILI KUUKOROGA UISLAAMU NA WANA PEWA MAFUNZO NA WAPO WENGI BAADAE WATAJITOKEZA TU, NA KUNAO WANAO PEWA MAFUNZO WAKIWA WATOTO PIA JUENI ENYI WAISLAAMU....LENGO KUU LAO NI KUIBADILISHA QUR'AN UL KAREEM.NA HAWATAEZA KATTU.
@ramadhanmussa6318
@ramadhanmussa6318 6 жыл бұрын
Hawataweza kuivuruga Quran ALLAH ameshaiprotect
@issaramadhan4015
@issaramadhan4015 2 жыл бұрын
Swadacta
@hassanabdalah8607
@hassanabdalah8607 2 жыл бұрын
Huyo ni kanyanga kashapotea
@saidmbarouk3553
@saidmbarouk3553 2 жыл бұрын
Ndugu zangu kiukweli tuka tufikirie sisi ni wanadamu ipo siku tutakufa na tutakwenda kusimama mbeli ya ALLAH
@mwanahamisyahya9354
@mwanahamisyahya9354 5 жыл бұрын
Umenifundishi na umenifulahisha MUNGU akupaliki ln shaalaaah
@earlymanhamza5018
@earlymanhamza5018 6 жыл бұрын
mashaallah sheikh shafi mfahamishe mshenzi huyo.akizidi mzabe makofi
@omarymbalala6224
@omarymbalala6224 6 жыл бұрын
😂😂😂😂
@jorammarushwa1533
@jorammarushwa1533 6 жыл бұрын
Hamza issa ubalikiwe sana kwajina LA Yesu piga injili hadi waislam waokoke wamjue Yesu ninani utakua umejivua waachie majini yao yawashike vizur
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣,hapa pia hujaelewa? Hamza ISSA anasema anakuja kanisani maana nyinyi hamumjui MUNGU wa kweli na wala hamna dini, leo unafurahia apa!!hakuna muislam atamfata huyu kafiri mwenyewe duniani hayupo na akhera unatafutwa
@enezermwafrica7443
@enezermwafrica7443 2 жыл бұрын
Kila Goti litapigwa na kila Ulimi utakiri kwamba Yesu ni Bwana
@josephkiswili1955
@josephkiswili1955 6 жыл бұрын
Asante sana UST shafii kuwambia mwaislamu kwamba mtume wenu Mohammad hataiona kiama maana umesema isa akija ataenda kwa wana wa Israeli.nasio mtume tuu mbali na waislamu wote.
@mohamedAli-vf8hp
@mohamedAli-vf8hp 6 жыл бұрын
Waallahy ustadh shafii ww huwa napenda sanaa unavyoongea yani uko sahihi
@tumajunior6080
@tumajunior6080 4 жыл бұрын
Nafurai nikikuona unajibu maswali wanigusa ndani yamoyo yani maustadh nawakubali mungu awalinde
@myself4128
@myself4128 2 жыл бұрын
Waabudu Sanamu mnajifariji kweli...Kiarabu hakitowafikisha mbinguni...Mnaabudu jiwe kule Macca mnakoelekea wakati wa ibada!!!poleni
@salmafaraj9293
@salmafaraj9293 6 жыл бұрын
Ustadh shafi maneno yk ishallah yawaingie nyoyoni mwao hao ni kweli akifika kanisani anasema haleluya alf anajifanya muislam mbona hawaambii km dini ya kweli ni uislam mnafik huyo sijui likoje hy nikafiri tu mana makafiri wanamiyoyo migumu sana
@kautharmarik8904
@kautharmarik8904 6 жыл бұрын
Salma Faraj eeeh eti!!kwann asiseme hko kanisan kuwa dini ya haki na ya kweli ni uislam..
@hassinarahbi352
@hassinarahbi352 6 жыл бұрын
Salma Faraj mwehu huyoo anawapotezea wakati
@khalidunited5978
@khalidunited5978 6 жыл бұрын
Salma Faraj Allah akbar
@AhmedSaid-xz3kj
@AhmedSaid-xz3kj 4 жыл бұрын
Jazakallah kheir sheikh shafii na wenzako
@hassanimdimu8051
@hassanimdimu8051 5 жыл бұрын
Innalilaah wainnailayh rajiun,hao hamza na wenzake ni makafiri,nahao sio waislamu
@victordisper5983
@victordisper5983 6 жыл бұрын
Mungu akusaidie kidogo ustadhi...kwa maana busara name hekima huna
@zainabukhalifa3967
@zainabukhalifa3967 6 жыл бұрын
mashaalh ustadhi mungu akupe yaliwe mema
@aleemaalrahbi338
@aleemaalrahbi338 5 жыл бұрын
We kaka shafii wallah unaongea ukwel mtup lkn wanivunja mbav sio kwa manen hy unaympa 😂😂😂😂
@atinaminzani1372
@atinaminzani1372 6 жыл бұрын
Kristo anakuja na kila goti litapigwa......nyie bishana wee ila mwisho wa cku mtauelewa ukweli, sio kama hamjui mnajua ila bado mnaweka ugumu kwenye mioyo yenu...Kristo ni Mungu na anakuja hakika
@amdaniamimu9839
@amdaniamimu9839 6 жыл бұрын
Wew ni kiazi nn
@roidatadey8656
@roidatadey8656 6 жыл бұрын
Awa waislam watapata tabu sana wajinga awa yesu ni kila kitu
@financialloan9818
@financialloan9818 5 жыл бұрын
@@amdaniamimu9839 njia ni moja tuu yesu basi wengine aho wanapiga kelele tuu amna jipyaa
@omarykatongo4943
@omarykatongo4943 5 жыл бұрын
Ina ilah wa ina lillah rajiun
@bxgdhydydh6505
@bxgdhydydh6505 5 жыл бұрын
Moto unawasubiri wana yesu kwa kufata njia potovu
@jumaalhamid5242
@jumaalhamid5242 3 жыл бұрын
Paulo hamza ni kichaa anatapatapa
@AhmedSaid-xz3kj
@AhmedSaid-xz3kj 4 жыл бұрын
Allah ibarek sheikh shafi na wenzako
@latinusjohny6906
@latinusjohny6906 3 жыл бұрын
Shafi haujibu hoja, na hujajibu hoja yoyote, unatoa maeleozo nnje ya hoja kuzungumza personal life na sio hoja za maswal ma 4 ya upande ulioulizwa..
@babylidyaandrea4568
@babylidyaandrea4568 6 жыл бұрын
Nakupenda sana Hamza Issa unaongea ukwer siku zote ukwer unauma wabishi hao achana nao twende kanisan mwaya
@nooor1120
@nooor1120 3 жыл бұрын
Mchukue mkacheze kwaya
@huseinshedrack6180
@huseinshedrack6180 2 жыл бұрын
Hatuwez kuwa wote pepon wakat ww una muita kanisan wenzio tunatoka huko tunaufuata ukwel
@asilclub
@asilclub 3 жыл бұрын
ومن يبتغ غير الاسلام دينا فلن يقبل منه وفي الآخرة هو من الخاسرين
@hamzaadrin941
@hamzaadrin941 6 жыл бұрын
shafii ha ha ha du we jamaa hapana mkali sana
@osamaalharthy4150
@osamaalharthy4150 4 жыл бұрын
Hamza na wezako njaa. Zitawatia. Motoni
@abdullahnassor9504
@abdullahnassor9504 5 жыл бұрын
Jaman hili jambo la hamza tunalichukuliwa izy yani rahisi ila likija likizoeleka basi atapoteza wengi ombi langu ni kumkata shingo
@elizamsisizio4502
@elizamsisizio4502 5 жыл бұрын
Kama dini yako inavyo kuelekez
@jaffaryramadhani1467
@jaffaryramadhani1467 6 жыл бұрын
Petro katupoteza sana jamani mimi naamini mumgu wa waislam ndio mungu wa duniani na mbinguni kwa sabab cha kujiuliza kitu kidogo sana wakati muokozi wetu yesu tunayempa sifa ambayo sio yake alivyosulubiwa msalabani akafa sasa rizki alikuwa anatoa nani maana si tunaambiwa riziki anatoa mungu na mungu ndio kafa msalabani
@PhilipobonifacSado
@PhilipobonifacSado 9 ай бұрын
Sijamsikia akisema wakristo hawana mungu duh nyi wabongo sana wakristo hatuna dini sisi niwakristo nakristo sio dini kubalini mfundishwe na hamza mtamkumbuka huyo skuhio
@dezainermedia1035
@dezainermedia1035 4 жыл бұрын
Maashallah
@selemaniniyonkuru6576
@selemaniniyonkuru6576 5 жыл бұрын
Hhh kwel shafiii nakubali
@yakobomkristo872
@yakobomkristo872 2 жыл бұрын
Shafii Anasema Kuna Clip Kaiona Mtandaoni Hamza Anajinadi Kanisani Kuwa Ameokoka, Lakini Hapo Kwenye Mdahalo Hamza Anajiita Mwislamu, Mpaka Hapo Shafii Katuhakikishia Kwamba Mwislamu Hana Sifa Ya Kuokoka Bali Kuangamia, Na Kweli Wataangamia Quran 40 : 60
@sospeterezekiel7262
@sospeterezekiel7262 5 жыл бұрын
Wanamacho lakini hawaoni wana maskio lakini hawasikii ,,Mungu awasaidie ,Mungu hakuleta dini Mungu alileta mitume manabii MUNGU awaongoze mpate kujua nini kusudio lake Kwa wanadamu acheni usisi in bora kuliko wale kumbukeni bila wale hakuna mijadala
@florrakaneza4388
@florrakaneza4388 6 жыл бұрын
Ukweri kama mimi na jua Yesu ndio njia
@salimmasongo2625
@salimmasongo2625 5 жыл бұрын
Safi
@elinathanmpigiye6298
@elinathanmpigiye6298 6 жыл бұрын
Ukweli wa hamza utazihilika na pia namshukuru Mungu wa baba yetu kumupa elimu ya kuwaelimieha waisilamu.
@chefmasai2020
@chefmasai2020 6 жыл бұрын
hayo makafiri yametumwa hapo yalipo yanalipwa. maisha ya duniani ni mafupi na malipo yake ni makubwa either ukufuru au ufanye mema. na Moto au pepo no ya milele. inalillah wainaillah rajoun kwa kina hamza
@maryambintukhadija1604
@maryambintukhadija1604 3 жыл бұрын
Shee shafii nakukubal sana Allah awalipe kwa kaz zenu amiin
@hamisikulola8481
@hamisikulola8481 6 жыл бұрын
yani maswali ya chekechea quran haijasema yesu ni mungu Kama waijua Quran 5:116 Quran 4:171 Quran 5:72-75.
@fundiwamoldzapevingblock6378
@fundiwamoldzapevingblock6378 2 жыл бұрын
Duuuu mnatuelimisha sanaaaa
@jonathanmasu6803
@jonathanmasu6803 6 жыл бұрын
Mimi ninachowashauri waislamu ni kwamba tafuteni uhalisi au ushahidi wa maneno ya Mungu, moja ya mafundisho potofu litakalowaingiza waislamu motoni ni kumkataa Yesu Kristo kama masihi. Subirini siku Yesu akirudi ndo mtajua kwamba ustadhi wenu hamza Issa alikuwa anawadanganya au alikuwa anawaambia ukweli.
@mustayoo
@mustayoo 6 жыл бұрын
Jonathan Masu kakangu.kasome quraan vizuri.waislamu hatuezi.kumkataa yesu sababu yuko.kwenye quran ana.ukimkana yesu kuwa sio masihi basi uislamu wako haujakamilika
@jonathanmasu6803
@jonathanmasu6803 6 жыл бұрын
mustafa abdul, sasa kwa nini mnakataa kwamba hakufa kwa ajili ya dhambi za watu?, tatizo kubwa liko hapo halafu cha ajabu quran yenu inasema muhammad anadai yy ni nabii mkuu au bora kuliko Yesu!, hivi kweli hamuoni mnadanganywa.
@nohatredbutlove5786
@nohatredbutlove5786 6 жыл бұрын
Jonathan Masu tunakataa kuwa alisulubiwa kwa sababu Mungu amesema Yesu hakusulubiwa.
@jonathanmasu6803
@jonathanmasu6803 6 жыл бұрын
Nurse for life kwanza nilichogundua viongozi wenu hawajui neno la Mungu, ivi shekh mzima anasema eti pumzi aliyopuliza Mungu kwa binanadamu ni roho, hilo tu linatosha kabisa kuona kuwa mnadanganywa
@santyhassan4186
@santyhassan4186 6 жыл бұрын
Jonathan Masu hakuna mwislamu anaemkataa yesu Bali mfumo wake tu
@joshuatanzanite5871
@joshuatanzanite5871 2 жыл бұрын
Mlisema wote ni waislamu saiz mnawakataa hawa wabishi wanaokataa na kukubariii
@josephharri9015
@josephharri9015 6 жыл бұрын
Mtaelewa tu kuwa YESU NI BWANA
@hassankitende3056
@hassankitende3056 5 жыл бұрын
Mimi pia bwana
@mlulamsiliwa7123
@mlulamsiliwa7123 6 жыл бұрын
Mimi nilikuwa mkristo. ni biblia hiyohiyo ndiyo ilinifanya niwe muislam. Tatizo la wakristo wengi zaidi ya asilimia tisini hatusomi vitabu vya dini. Mbaya zaidi hata biblia yenyewe hatuisomi tunawaachia wachungaji na mapadri watusomee. Tunakaa na vitabu hivi kama mapambo tu. Mimi sikuwahi kukutana na muislam akanishawishi kuwa muislamu. nimefanya utafiti wangu na nikakubali njia ya uislamu kuwa sahihi kabisa. Nawaacha na aya ya Matendo 5:31. Vinginevyo tuijadili biblia kwa kina.
@abdullahbizzo3342
@abdullahbizzo3342 6 жыл бұрын
Mlula Msiliwa hongera sana Allah akubarik
@steventitus2174
@steventitus2174 5 жыл бұрын
Weweje sokigeugeu uislam din ya Majin din ya washirikina din ya wauaji dinyakugombea maslai din yakuombea Majin shafii hunalolote
@halidihassan3796
@halidihassan3796 4 жыл бұрын
Assalam alayikum njina Nayitwa khalidi Hassan Ujumbe wangu watu kama akina Hamza ni tatizo laki mayisha ndilo linalo wasibu Sasa wasubiri huko sokoni watakuwa na shayitwani jahanm
@soccertv293
@soccertv293 6 жыл бұрын
Mashekhe wavumilivu Hawa! Ningekua hapo ambulance inahusika kwahamnza Na watu wake
@nooor1120
@nooor1120 3 жыл бұрын
Kweli eee hhhhhh hata mie
@mawazoamily2678
@mawazoamily2678 6 жыл бұрын
Kukubali ukwel sio dhambi mashekh kubalini kua hamza Issa kawazid ilimu mashekh wote...... Acheni ghadhibu
@nyunhamkuki4011
@nyunhamkuki4011 6 жыл бұрын
Heri kukumbushwa kumrudia Mungu kuliko kujifanya kuwa uko na Mungu na kumbe ni ujinga mtupu.
@rezikomer9552
@rezikomer9552 3 жыл бұрын
Sheitwan ana watumishi wake kila upande
@mucaatycaiser6801
@mucaatycaiser6801 6 жыл бұрын
Hakika murtadi ndiye kafiri muhovu zaidi na hukumu yake ni kumuhua tu
@josephkiswili1955
@josephkiswili1955 6 жыл бұрын
Elimu ndogo shafii na wezio mtakuwa vipofu hadi lini
@Amishjuma
@Amishjuma 6 жыл бұрын
Joseph Kiswili Ww wajua kipofu? ww mkristo ww ndio kipofu unamuabudu mtu ilhali kuna aliyekuumba.
@tommariam4393
@tommariam4393 6 жыл бұрын
Jamani masheikh na wanazuoni bado mnamlea lea huyo kafiri Asi aliposema yy ni nabii Eliyas ilikuwa imetosha kuachana nae.. lkn asitumie aya za Quran atafute kitabu chake aitumie na kuhubiria.
@kisaleking154
@kisaleking154 6 жыл бұрын
Yesu wa bibilia na issa wa Quran ni wawili tofauti piteni ktk maandiko mtagunduwa
@roidatadey8656
@roidatadey8656 6 жыл бұрын
Wewe fala tu
@zenaabdala2776
@zenaabdala2776 5 жыл бұрын
avue hyo kanzu anadhalilisha uisilam
@shadrackmusyoka3350
@shadrackmusyoka3350 6 жыл бұрын
kwa kweli watu wengi watateketea kwa kukosa hekima but MWENYEZI MUNGU atawafungua macho ya kirohoo ndugu zetu waislam kwasababu 90 percent yao wameposha na walimu watangulizi
@najmamakame9881
@najmamakame9881 6 жыл бұрын
Wallah thumma wallah huyu Mimi ningekuwepo hapa huyu ningempa hata sumu
@nooor1120
@nooor1120 3 жыл бұрын
Huruhusiwi kuua kwenye uislam hhhh
@mwenemaseko4921
@mwenemaseko4921 6 жыл бұрын
KUMBE WAISLAM MNAKUBALI KWAMBA YESU ATARUUDI,QUARAN INANIFANYA NIZIDI KUMWAMINI YESU NA KUWA NIPO UPANDE SAHIHI.
@roidatadey8656
@roidatadey8656 6 жыл бұрын
Ameni
@mohdshebe5640
@mohdshebe5640 4 жыл бұрын
Huyu Hamza anatafsir Quruani kwa mtazamo wake tuu siyo kama kitabu kinavyosema ,yaan ametawaliwa na fikra za watu wa magharibi Duhh subbhana Allah maan mpka kajiita mtume
@lawjoseph6590
@lawjoseph6590 4 жыл бұрын
Yesu haliondoka hakawambia ninawachia roo mutakatifu swani nimutume naomba jibu waisilamu
@unknownafrica5568
@unknownafrica5568 2 жыл бұрын
Slimtabiri Muhammad saw bada ya yy kuondoka isa ni na bee si mmungu atakuja kupinga hilo kumuota yy mungu mmngu hazaliwi na isa ni kizazi cha ibrahim na ibrahim alimuabudu mmungu na yu kuanzisha mji wa Mecca kua mji wadini yy sliamrishwa aende huko na kujenga alcabah kiblah kwa dunia nzima imsujudie mmungummoja tu
@mwanahamisyahya9354
@mwanahamisyahya9354 5 жыл бұрын
Hamza kamila inaiyogopa shafii ww simnafiki nimeipenda buleee
@luluamin1388
@luluamin1388 6 жыл бұрын
Huyu MTU Kama nabii Tito nae pia awekwe ndani. Apimwe Na akili
@iddshabalehe7131
@iddshabalehe7131 6 жыл бұрын
kwani wale wanaowapima mkojooo wapooo
@linahkikin2590
@linahkikin2590 6 жыл бұрын
Hamza nimnafiki mwambiene kama anataka kua mkristo avue uislam tu awache kucheza na Quran na kuitafusiri kinyume kuwapoteza watu yeye aede uisla hautawai kufaa nduniani ndio kwa ajili yake tumeona wengi walipaka uislamu uowongo mwishowe walijoka na kama anaogwa na maskofu Allah awape adabu kali
@deepestmathematics1888
@deepestmathematics1888 10 ай бұрын
Shafi huyu ndo pumba kbisa hamna kitu baada ya kujib hoja anachekesha. Mwenyekit anaonekana kama kibaka
@beatricenicholausiwasa7601
@beatricenicholausiwasa7601 6 жыл бұрын
YESU NDIO NJIA NA UZIMA
@hawankungu7649
@hawankungu7649 5 жыл бұрын
Kama yesu n uzima mbona yy kafa msalaban,,,kwa maneno yenu lkn
@jovovichmedia9424
@jovovichmedia9424 6 жыл бұрын
Mungu anasema kutatokea watu watauza aya zake kwa thamani ndogo tu ya pesa
@davisrotich116
@davisrotich116 5 жыл бұрын
Najivuniwa kuwa Mkristo wala siungi mkono waislamu ila namuona kama mweu kisha kafiri huyu mtu anajiita nambii Hamza Quran haijui wala Biblia kafiri wakawaida tu huyu aende shamba akalime Shekh Shafi ebu muaibishe kiasi ajue elimu hana labda yakuendea chhooo tu
@mwasitijumaarafa9805
@mwasitijumaarafa9805 10 ай бұрын
Mm nige kuwa karibu na hamuza hapo nige muvuwa vazi hilo lakisimal mujiga huyo sindo aliye kuwa ana tafusiti kisa cha yusu huyo hamuza ww unakitu unataka mugu akupe hamuza ww
@soccertv293
@soccertv293 6 жыл бұрын
We unajua hamza hamnazo ww unasema Mwalim wako kweli unaakili kweli
@salehlofy4251
@salehlofy4251 6 жыл бұрын
Kwa fikra zangu huyu HAMZA anatumiwa na wakristo kuharibu uislam lakn hatapata chochote zaidi ya kuadhirika kuaibika
@abdullahbizzo3342
@abdullahbizzo3342 6 жыл бұрын
Ni kweli bro hujakosea na ndo ilivo aswaaa huyu anatumiliwa na wakristo kichwa ngumu huyu km maaskofu wenziwe
@roidatadey8656
@roidatadey8656 6 жыл бұрын
Wewe fala fanyeni yenu ya wakirsto ayawausu
@jonathanmasu6803
@jonathanmasu6803 6 жыл бұрын
Poleni sana waislam
@nsjjsjdjjdjd841
@nsjjsjdjjdjd841 6 жыл бұрын
Jonathan Masu Nanyie poleni
@madammaggie7779
@madammaggie7779 6 жыл бұрын
wenye macho nawaone Na wenye masikio wasikie. God show as holy way
@erastomajaliwa7629
@erastomajaliwa7629 6 жыл бұрын
Hizo nikelele tu ila ujumbe ndo huo usipo mkili kwamoyo na ulimi bwana mbingu siyako ujumbe umeshafika acheni ujanja ujanja wakuongeya Hamza pigakazi haupo mbali na ufalume wa mbinguni
@sultanhamad4924
@sultanhamad4924 5 жыл бұрын
Hata hilo jina la hamza naona kama mnalidhalilisha mtafutieni jina jingine lakini sio hamza huyo ni mkristo
@israelimjema5001
@israelimjema5001 5 жыл бұрын
Waislamu kama unaamini yesu alitenda miujiza akaondoka akaja muhamadi naye alitenda miujiza gani
@samwellwiza5339
@samwellwiza5339 6 жыл бұрын
Issa siyo Yesu...Yesu siyo Issa wakristo tunajua hilo 🇮🇱
@nyingos
@nyingos 5 жыл бұрын
Yesu inabidi azungumzwe kwa hali zote, kwa ubaya au kwa uzuri, kwa elimu au kwa ujinga. Yesu atasimama
@AbdulRahman-wx6iv
@AbdulRahman-wx6iv 5 жыл бұрын
Hao wakina Hamza msiwape kiki Kama washaritadi waacheni elimu yao yenyewe ndogo..
@robertwilliamkingsn4418
@robertwilliamkingsn4418 6 жыл бұрын
Yaan hapo Hamza ndo ana akili kuliko wote....jamaa ana ufunuo wa nguvu
@maulidiyusufu1148
@maulidiyusufu1148 6 жыл бұрын
Aja usani Wewe mujinga
@Amishjuma
@Amishjuma 6 жыл бұрын
Robert William King Ww huna akili unaabudu Yesu ilhali kuna Aliyekuumba ww na mm.
@mussahamisi1191
@mussahamisi1191 6 жыл бұрын
@@Amishjuma hana akili Kama ulivyokua ww huna akili kichwa chako ni boga
@Amishjuma
@Amishjuma 6 жыл бұрын
Kheri bogart utakula kuwa huna akili ni hatari kubwa ....manake mfano waasiye na akili ni vile kondoo ufuata tu bac kama nikuzama zitazama zote ....Binadamu wamejitwika uhayawani .
@hamisikulola8481
@hamisikulola8481 6 жыл бұрын
hawa si waislamu hawa ni makafiri lakini alhamdullillah ulimwengu mzima watu wanaslimu pili Uislamu ndio unaongoza ulimwengu mzima
@martinmkoba361
@martinmkoba361 3 жыл бұрын
Hacha ujinga wako wewe umetoka usingizini nini yaani uislamu ukaongoze dunia,alafu ukristo ukaongoze nini? hivi bila ukristo dunia itaenda hii
@adammasunga6382
@adammasunga6382 5 жыл бұрын
Qruhan huwezi kuitumia zaidi ya biblia ndiyo mwongozo mkuu wa imani ya wakristo na si qruhan badili useni wako
@yahyayusuf7967
@yahyayusuf7967 6 жыл бұрын
Hahaha mwenyekiti yuabanja tu... Tena kistizai haha...
@tameemothman8192
@tameemothman8192 2 жыл бұрын
Hii mjadala mkali sana
@yusufathman2478
@yusufathman2478 4 жыл бұрын
Waidhaa lakuladhiina aaamanuu kaluu aamanaa waidhaa khalau ilaa shayaatwiinihim kaluu innaa maakum inamaa nahnu muhtahziuun...
MAJUMUISHO.. sehemu ya tano. ASKOFU HAMZA HOJA NZITO ZA SHAFI  DIWANI  NA KIMWERI
1:22:59
Wednesday VS Enid: Who is The Best Mommy? #shorts
0:14
Troom Oki Toki
Рет қаралды 50 МЛН
Почему Катар богатый? #shorts
0:45
Послезавтра
Рет қаралды 2 МЛН
ССЫЛКА НА ИГРУ В КОММЕНТАХ #shorts
0:36
Паша Осадчий
Рет қаралды 8 МЛН
TAZAMA// WANAFUNZI WALIVYOJADILI KUHUSU MARBURG
2:43
ELIMU YA AFYA ONLINE TV
Рет қаралды 4
Ostadh shafii;majibu kwa anaedai ni murtadi..........0716747459
19:45
Mfaume Mwarabu
Рет қаралды 98 М.
Hamza issa asambaratishwa na hoja zake za kikafiri Sehem ya kwanza
44:34
UTAFURAHI SHEIKH SHAFI ALIVYO KUTANA NA WAHUNI WAKATI WA KUZIKA
10:05
ISLAAH ISLAMIC TV
Рет қаралды 84 М.
ASKOF HAMZA SASA AOMBA MSAADA KWA SHEKH DIWANI ..
41:11
Saimu gwao Online tv
Рет қаралды 524 М.
Wednesday VS Enid: Who is The Best Mommy? #shorts
0:14
Troom Oki Toki
Рет қаралды 50 МЛН