Wallahi waislamu mwenyezi mungu awajaalie subra na mziidi kutumia hekima kujadiliana na wanafiki kama hawa, kwani mimi kama mtu aliyesilimu nazidi kupandwa na imani na kuthibitisha kuwa uislamu haukenezwa kwa upanga kama wanavosema makafiri Bali ni kwa hekima. Allah awazidishie naitwa Mustafa natokea huku Nairobi , Kenya.
@AziziRajabu-mv8jzАй бұрын
Mashaallah
@omarameirsalum88796 жыл бұрын
Wewe Shaafii wewe,wallahi Mungu akuzidishie elimu ya hapa na huko na Mungu namuomba akupe Pepo wewe na sisi pia Shaafii. Fanya kazi ya daawa nasi tunayo huku kwetu.
@zuu__954 жыл бұрын
aamin yarabbilaalamin
@nolanandy42033 жыл бұрын
i dont mean to be so offtopic but does someone know of a method to get back into an instagram account? I was dumb forgot the password. I would love any tricks you can give me.
@nakundwamkubwe78236 жыл бұрын
Hongerani Mashekhe wetu !! Allah awaongeze mzidi kuipigania Dini yetu! ! Inshallah
@SalumKhamis-28910 ай бұрын
Asante Shekhe Shafii Mungu akuzidishie elimu watu kama Hamza Wazalilike kwa kutaka kutujaribia Uislamu wetu.
@harrishussein69924 жыл бұрын
Wallah ustz shafii uko vizuri Allah akupe mwisho mwema wallah nakuelewa unachozungumza kimenyooka sana
@tumajunior60804 жыл бұрын
Shekh shafii mashaallah Allah akuzidishie elmu zaidi uokoe wiislam
@saidmbarouk35532 жыл бұрын
Allhamdulillah ALLAH akulinde na mitihani kaka yangu shekhe wangu shafi endeleni kulingalia dini ya ALLAH yeye ndiye atakae walipa lnssaallah
@absameosman91133 жыл бұрын
Hahhahahahaahaha sheikh wangu shafii umewamaliza.... Ety akajisema aliokoka na kapatizwa n maji mengi Alf saizi kajiita muislamu..... ustadhi Shafii your one of my loved sheikh....
@mohammedrajabu74494 жыл бұрын
Masheikh. Ustadh Shaafi na Sheikh Diwani nakundi lenu( kutoa la Hamza kafiri Na kundi lake ). Allah awabaariki kwa kazi mnayo ifanya Jazaakallahu khaira 🙏 nduguzangu
@bahatihadijabahati74565 жыл бұрын
Mashaa Allah Mimi hata nawapenda Sana masheihk wetu huyo hamz atapoteza hao makafiri wenzak
@osamaalharthy41504 жыл бұрын
Shekhe. Shaffi mashallah. Umemwambi ukweli. HamzA
@raiswamaraishalisi84265 жыл бұрын
Mnatisha ma hustadh wangu Shaffi na wengine vigogo vya ALLAH
@zaharanihassan90136 жыл бұрын
hapa nakula daku huku nawafatilia, kiukweli Allah awalipe kwa kazi nzito hio inayohitaji moyo na ujasir
@hamisikulola84816 жыл бұрын
Asante ustadh shafi hawa mambumbu wa kawaida
@kibeginiblue71883 жыл бұрын
Mashaallah Sheikh Shafii
@asilclub3 жыл бұрын
بارك الله فيك يا الشيخ شافي
@OverdozClassic5 жыл бұрын
Ma sha Allah... wote tungekuwa kama wewe wallahi Uislam ungekuwa mbali sana
@amenaallahawazidishieumrin62353 жыл бұрын
MWENYEZIMUNGU awape umri mrefu mashed wetu na kumtetea mtukufu wa dara Ja pamoja na mola wetu kwa kusingiziwa mambo kama hayo mola awlipe pepo ishallah
@martinmkoba3613 жыл бұрын
Kweli Yesu kitu kingine aisee waislamu wao kwa wao wanambishania Yesu leo hii
@maamasuli93516 жыл бұрын
Kweli mungu anamuongoza ampendae, Askof Hamza ni ibilisi
@absameosman91133 жыл бұрын
Tena lile suali nlitamani kuuliza Hamza y kwamba ka anajitangaza yy ni nabii wapi kitabu chake mungu alimpa.... Ustadh Shafi kauliza ht nliridhika
Allah akuhifadhi shafi.. huyo Hamza njaa inamsumbua
@jamalbalozi22805 жыл бұрын
M
@whonshineargay48046 жыл бұрын
HAKIKA YA MAMBO NIKUA HUYO JAMA HAMZA ISSA NA MASAHABA ZAKE HAKIKA NI WAONGO KISHA JUWENI YAKWAMBA HAO WOTE WANALIPWA PESA NYINGI SANA NA WANA CHAMA CHAO NA HAO WOTE KWANZA SI WAISLMU MUJUE.HAO WAKO KAZINI WANALIPWA ILI KUUKOROGA UISLAAMU NA WANA PEWA MAFUNZO NA WAPO WENGI BAADAE WATAJITOKEZA TU, NA KUNAO WANAO PEWA MAFUNZO WAKIWA WATOTO PIA JUENI ENYI WAISLAAMU....LENGO KUU LAO NI KUIBADILISHA QUR'AN UL KAREEM.NA HAWATAEZA KATTU.
@ramadhanmussa63186 жыл бұрын
Hawataweza kuivuruga Quran ALLAH ameshaiprotect
@issaramadhan40152 жыл бұрын
Swadacta
@hassanabdalah86072 жыл бұрын
Huyo ni kanyanga kashapotea
@saidmbarouk35532 жыл бұрын
Ndugu zangu kiukweli tuka tufikirie sisi ni wanadamu ipo siku tutakufa na tutakwenda kusimama mbeli ya ALLAH
@mwanahamisyahya93545 жыл бұрын
Umenifundishi na umenifulahisha MUNGU akupaliki ln shaalaaah
Hamza issa ubalikiwe sana kwajina LA Yesu piga injili hadi waislam waokoke wamjue Yesu ninani utakua umejivua waachie majini yao yawashike vizur
@fatumamwalimu57654 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣,hapa pia hujaelewa? Hamza ISSA anasema anakuja kanisani maana nyinyi hamumjui MUNGU wa kweli na wala hamna dini, leo unafurahia apa!!hakuna muislam atamfata huyu kafiri mwenyewe duniani hayupo na akhera unatafutwa
@enezermwafrica74432 жыл бұрын
Kila Goti litapigwa na kila Ulimi utakiri kwamba Yesu ni Bwana
@josephkiswili19556 жыл бұрын
Asante sana UST shafii kuwambia mwaislamu kwamba mtume wenu Mohammad hataiona kiama maana umesema isa akija ataenda kwa wana wa Israeli.nasio mtume tuu mbali na waislamu wote.
@mohamedAli-vf8hp6 жыл бұрын
Waallahy ustadh shafii ww huwa napenda sanaa unavyoongea yani uko sahihi
@tumajunior60804 жыл бұрын
Nafurai nikikuona unajibu maswali wanigusa ndani yamoyo yani maustadh nawakubali mungu awalinde
@myself41282 жыл бұрын
Waabudu Sanamu mnajifariji kweli...Kiarabu hakitowafikisha mbinguni...Mnaabudu jiwe kule Macca mnakoelekea wakati wa ibada!!!poleni
@salmafaraj92936 жыл бұрын
Ustadh shafi maneno yk ishallah yawaingie nyoyoni mwao hao ni kweli akifika kanisani anasema haleluya alf anajifanya muislam mbona hawaambii km dini ya kweli ni uislam mnafik huyo sijui likoje hy nikafiri tu mana makafiri wanamiyoyo migumu sana
@kautharmarik89046 жыл бұрын
Salma Faraj eeeh eti!!kwann asiseme hko kanisan kuwa dini ya haki na ya kweli ni uislam..
@hassinarahbi3526 жыл бұрын
Salma Faraj mwehu huyoo anawapotezea wakati
@khalidunited59786 жыл бұрын
Salma Faraj Allah akbar
@AhmedSaid-xz3kj4 жыл бұрын
Jazakallah kheir sheikh shafii na wenzako
@hassanimdimu80515 жыл бұрын
Innalilaah wainnailayh rajiun,hao hamza na wenzake ni makafiri,nahao sio waislamu
@victordisper59836 жыл бұрын
Mungu akusaidie kidogo ustadhi...kwa maana busara name hekima huna
@zainabukhalifa39676 жыл бұрын
mashaalh ustadhi mungu akupe yaliwe mema
@aleemaalrahbi3385 жыл бұрын
We kaka shafii wallah unaongea ukwel mtup lkn wanivunja mbav sio kwa manen hy unaympa 😂😂😂😂
@atinaminzani13726 жыл бұрын
Kristo anakuja na kila goti litapigwa......nyie bishana wee ila mwisho wa cku mtauelewa ukweli, sio kama hamjui mnajua ila bado mnaweka ugumu kwenye mioyo yenu...Kristo ni Mungu na anakuja hakika
@amdaniamimu98396 жыл бұрын
Wew ni kiazi nn
@roidatadey86566 жыл бұрын
Awa waislam watapata tabu sana wajinga awa yesu ni kila kitu
@financialloan98185 жыл бұрын
@@amdaniamimu9839 njia ni moja tuu yesu basi wengine aho wanapiga kelele tuu amna jipyaa
@omarykatongo49435 жыл бұрын
Ina ilah wa ina lillah rajiun
@bxgdhydydh65055 жыл бұрын
Moto unawasubiri wana yesu kwa kufata njia potovu
@jumaalhamid52423 жыл бұрын
Paulo hamza ni kichaa anatapatapa
@AhmedSaid-xz3kj4 жыл бұрын
Allah ibarek sheikh shafi na wenzako
@latinusjohny69063 жыл бұрын
Shafi haujibu hoja, na hujajibu hoja yoyote, unatoa maeleozo nnje ya hoja kuzungumza personal life na sio hoja za maswal ma 4 ya upande ulioulizwa..
@babylidyaandrea45686 жыл бұрын
Nakupenda sana Hamza Issa unaongea ukwer siku zote ukwer unauma wabishi hao achana nao twende kanisan mwaya
@nooor11203 жыл бұрын
Mchukue mkacheze kwaya
@huseinshedrack61802 жыл бұрын
Hatuwez kuwa wote pepon wakat ww una muita kanisan wenzio tunatoka huko tunaufuata ukwel
@asilclub3 жыл бұрын
ومن يبتغ غير الاسلام دينا فلن يقبل منه وفي الآخرة هو من الخاسرين
@hamzaadrin9416 жыл бұрын
shafii ha ha ha du we jamaa hapana mkali sana
@osamaalharthy41504 жыл бұрын
Hamza na wezako njaa. Zitawatia. Motoni
@abdullahnassor95045 жыл бұрын
Jaman hili jambo la hamza tunalichukuliwa izy yani rahisi ila likija likizoeleka basi atapoteza wengi ombi langu ni kumkata shingo
@elizamsisizio45025 жыл бұрын
Kama dini yako inavyo kuelekez
@jaffaryramadhani14676 жыл бұрын
Petro katupoteza sana jamani mimi naamini mumgu wa waislam ndio mungu wa duniani na mbinguni kwa sabab cha kujiuliza kitu kidogo sana wakati muokozi wetu yesu tunayempa sifa ambayo sio yake alivyosulubiwa msalabani akafa sasa rizki alikuwa anatoa nani maana si tunaambiwa riziki anatoa mungu na mungu ndio kafa msalabani
@PhilipobonifacSado9 ай бұрын
Sijamsikia akisema wakristo hawana mungu duh nyi wabongo sana wakristo hatuna dini sisi niwakristo nakristo sio dini kubalini mfundishwe na hamza mtamkumbuka huyo skuhio
@dezainermedia10354 жыл бұрын
Maashallah
@selemaniniyonkuru65765 жыл бұрын
Hhh kwel shafiii nakubali
@yakobomkristo8722 жыл бұрын
Shafii Anasema Kuna Clip Kaiona Mtandaoni Hamza Anajinadi Kanisani Kuwa Ameokoka, Lakini Hapo Kwenye Mdahalo Hamza Anajiita Mwislamu, Mpaka Hapo Shafii Katuhakikishia Kwamba Mwislamu Hana Sifa Ya Kuokoka Bali Kuangamia, Na Kweli Wataangamia Quran 40 : 60
@sospeterezekiel72625 жыл бұрын
Wanamacho lakini hawaoni wana maskio lakini hawasikii ,,Mungu awasaidie ,Mungu hakuleta dini Mungu alileta mitume manabii MUNGU awaongoze mpate kujua nini kusudio lake Kwa wanadamu acheni usisi in bora kuliko wale kumbukeni bila wale hakuna mijadala
@florrakaneza43886 жыл бұрын
Ukweri kama mimi na jua Yesu ndio njia
@salimmasongo26255 жыл бұрын
Safi
@elinathanmpigiye62986 жыл бұрын
Ukweli wa hamza utazihilika na pia namshukuru Mungu wa baba yetu kumupa elimu ya kuwaelimieha waisilamu.
@chefmasai20206 жыл бұрын
hayo makafiri yametumwa hapo yalipo yanalipwa. maisha ya duniani ni mafupi na malipo yake ni makubwa either ukufuru au ufanye mema. na Moto au pepo no ya milele. inalillah wainaillah rajoun kwa kina hamza
@maryambintukhadija16043 жыл бұрын
Shee shafii nakukubal sana Allah awalipe kwa kaz zenu amiin
@hamisikulola84816 жыл бұрын
yani maswali ya chekechea quran haijasema yesu ni mungu Kama waijua Quran 5:116 Quran 4:171 Quran 5:72-75.
@fundiwamoldzapevingblock63782 жыл бұрын
Duuuu mnatuelimisha sanaaaa
@jonathanmasu68036 жыл бұрын
Mimi ninachowashauri waislamu ni kwamba tafuteni uhalisi au ushahidi wa maneno ya Mungu, moja ya mafundisho potofu litakalowaingiza waislamu motoni ni kumkataa Yesu Kristo kama masihi. Subirini siku Yesu akirudi ndo mtajua kwamba ustadhi wenu hamza Issa alikuwa anawadanganya au alikuwa anawaambia ukweli.
@mustayoo6 жыл бұрын
Jonathan Masu kakangu.kasome quraan vizuri.waislamu hatuezi.kumkataa yesu sababu yuko.kwenye quran ana.ukimkana yesu kuwa sio masihi basi uislamu wako haujakamilika
@jonathanmasu68036 жыл бұрын
mustafa abdul, sasa kwa nini mnakataa kwamba hakufa kwa ajili ya dhambi za watu?, tatizo kubwa liko hapo halafu cha ajabu quran yenu inasema muhammad anadai yy ni nabii mkuu au bora kuliko Yesu!, hivi kweli hamuoni mnadanganywa.
@nohatredbutlove57866 жыл бұрын
Jonathan Masu tunakataa kuwa alisulubiwa kwa sababu Mungu amesema Yesu hakusulubiwa.
@jonathanmasu68036 жыл бұрын
Nurse for life kwanza nilichogundua viongozi wenu hawajui neno la Mungu, ivi shekh mzima anasema eti pumzi aliyopuliza Mungu kwa binanadamu ni roho, hilo tu linatosha kabisa kuona kuwa mnadanganywa
@santyhassan41866 жыл бұрын
Jonathan Masu hakuna mwislamu anaemkataa yesu Bali mfumo wake tu
@joshuatanzanite58712 жыл бұрын
Mlisema wote ni waislamu saiz mnawakataa hawa wabishi wanaokataa na kukubariii
@josephharri90156 жыл бұрын
Mtaelewa tu kuwa YESU NI BWANA
@hassankitende30565 жыл бұрын
Mimi pia bwana
@mlulamsiliwa71236 жыл бұрын
Mimi nilikuwa mkristo. ni biblia hiyohiyo ndiyo ilinifanya niwe muislam. Tatizo la wakristo wengi zaidi ya asilimia tisini hatusomi vitabu vya dini. Mbaya zaidi hata biblia yenyewe hatuisomi tunawaachia wachungaji na mapadri watusomee. Tunakaa na vitabu hivi kama mapambo tu. Mimi sikuwahi kukutana na muislam akanishawishi kuwa muislamu. nimefanya utafiti wangu na nikakubali njia ya uislamu kuwa sahihi kabisa. Nawaacha na aya ya Matendo 5:31. Vinginevyo tuijadili biblia kwa kina.
@abdullahbizzo33426 жыл бұрын
Mlula Msiliwa hongera sana Allah akubarik
@steventitus21745 жыл бұрын
Weweje sokigeugeu uislam din ya Majin din ya washirikina din ya wauaji dinyakugombea maslai din yakuombea Majin shafii hunalolote
@halidihassan37964 жыл бұрын
Assalam alayikum njina Nayitwa khalidi Hassan Ujumbe wangu watu kama akina Hamza ni tatizo laki mayisha ndilo linalo wasibu Sasa wasubiri huko sokoni watakuwa na shayitwani jahanm
@soccertv2936 жыл бұрын
Mashekhe wavumilivu Hawa! Ningekua hapo ambulance inahusika kwahamnza Na watu wake
@nooor11203 жыл бұрын
Kweli eee hhhhhh hata mie
@mawazoamily26786 жыл бұрын
Kukubali ukwel sio dhambi mashekh kubalini kua hamza Issa kawazid ilimu mashekh wote...... Acheni ghadhibu
@nyunhamkuki40116 жыл бұрын
Heri kukumbushwa kumrudia Mungu kuliko kujifanya kuwa uko na Mungu na kumbe ni ujinga mtupu.
@rezikomer95523 жыл бұрын
Sheitwan ana watumishi wake kila upande
@mucaatycaiser68016 жыл бұрын
Hakika murtadi ndiye kafiri muhovu zaidi na hukumu yake ni kumuhua tu
@josephkiswili19556 жыл бұрын
Elimu ndogo shafii na wezio mtakuwa vipofu hadi lini
@Amishjuma6 жыл бұрын
Joseph Kiswili Ww wajua kipofu? ww mkristo ww ndio kipofu unamuabudu mtu ilhali kuna aliyekuumba.
@tommariam43936 жыл бұрын
Jamani masheikh na wanazuoni bado mnamlea lea huyo kafiri Asi aliposema yy ni nabii Eliyas ilikuwa imetosha kuachana nae.. lkn asitumie aya za Quran atafute kitabu chake aitumie na kuhubiria.
@kisaleking1546 жыл бұрын
Yesu wa bibilia na issa wa Quran ni wawili tofauti piteni ktk maandiko mtagunduwa
@roidatadey86566 жыл бұрын
Wewe fala tu
@zenaabdala27765 жыл бұрын
avue hyo kanzu anadhalilisha uisilam
@shadrackmusyoka33506 жыл бұрын
kwa kweli watu wengi watateketea kwa kukosa hekima but MWENYEZI MUNGU atawafungua macho ya kirohoo ndugu zetu waislam kwasababu 90 percent yao wameposha na walimu watangulizi
KUMBE WAISLAM MNAKUBALI KWAMBA YESU ATARUUDI,QUARAN INANIFANYA NIZIDI KUMWAMINI YESU NA KUWA NIPO UPANDE SAHIHI.
@roidatadey86566 жыл бұрын
Ameni
@mohdshebe56404 жыл бұрын
Huyu Hamza anatafsir Quruani kwa mtazamo wake tuu siyo kama kitabu kinavyosema ,yaan ametawaliwa na fikra za watu wa magharibi Duhh subbhana Allah maan mpka kajiita mtume
Slimtabiri Muhammad saw bada ya yy kuondoka isa ni na bee si mmungu atakuja kupinga hilo kumuota yy mungu mmngu hazaliwi na isa ni kizazi cha ibrahim na ibrahim alimuabudu mmungu na yu kuanzisha mji wa Mecca kua mji wadini yy sliamrishwa aende huko na kujenga alcabah kiblah kwa dunia nzima imsujudie mmungummoja tu
@mwanahamisyahya93545 жыл бұрын
Hamza kamila inaiyogopa shafii ww simnafiki nimeipenda buleee
@luluamin13886 жыл бұрын
Huyu MTU Kama nabii Tito nae pia awekwe ndani. Apimwe Na akili
@iddshabalehe71316 жыл бұрын
kwani wale wanaowapima mkojooo wapooo
@linahkikin25906 жыл бұрын
Hamza nimnafiki mwambiene kama anataka kua mkristo avue uislam tu awache kucheza na Quran na kuitafusiri kinyume kuwapoteza watu yeye aede uisla hautawai kufaa nduniani ndio kwa ajili yake tumeona wengi walipaka uislamu uowongo mwishowe walijoka na kama anaogwa na maskofu Allah awape adabu kali
@deepestmathematics188810 ай бұрын
Shafi huyu ndo pumba kbisa hamna kitu baada ya kujib hoja anachekesha. Mwenyekit anaonekana kama kibaka
@beatricenicholausiwasa76016 жыл бұрын
YESU NDIO NJIA NA UZIMA
@hawankungu76495 жыл бұрын
Kama yesu n uzima mbona yy kafa msalaban,,,kwa maneno yenu lkn
@jovovichmedia94246 жыл бұрын
Mungu anasema kutatokea watu watauza aya zake kwa thamani ndogo tu ya pesa
@davisrotich1165 жыл бұрын
Najivuniwa kuwa Mkristo wala siungi mkono waislamu ila namuona kama mweu kisha kafiri huyu mtu anajiita nambii Hamza Quran haijui wala Biblia kafiri wakawaida tu huyu aende shamba akalime Shekh Shafi ebu muaibishe kiasi ajue elimu hana labda yakuendea chhooo tu
@mwasitijumaarafa980510 ай бұрын
Mm nige kuwa karibu na hamuza hapo nige muvuwa vazi hilo lakisimal mujiga huyo sindo aliye kuwa ana tafusiti kisa cha yusu huyo hamuza ww unakitu unataka mugu akupe hamuza ww
@soccertv2936 жыл бұрын
We unajua hamza hamnazo ww unasema Mwalim wako kweli unaakili kweli
@salehlofy42516 жыл бұрын
Kwa fikra zangu huyu HAMZA anatumiwa na wakristo kuharibu uislam lakn hatapata chochote zaidi ya kuadhirika kuaibika
@abdullahbizzo33426 жыл бұрын
Ni kweli bro hujakosea na ndo ilivo aswaaa huyu anatumiliwa na wakristo kichwa ngumu huyu km maaskofu wenziwe
@roidatadey86566 жыл бұрын
Wewe fala fanyeni yenu ya wakirsto ayawausu
@jonathanmasu68036 жыл бұрын
Poleni sana waislam
@nsjjsjdjjdjd8416 жыл бұрын
Jonathan Masu Nanyie poleni
@madammaggie77796 жыл бұрын
wenye macho nawaone Na wenye masikio wasikie. God show as holy way
@erastomajaliwa76296 жыл бұрын
Hizo nikelele tu ila ujumbe ndo huo usipo mkili kwamoyo na ulimi bwana mbingu siyako ujumbe umeshafika acheni ujanja ujanja wakuongeya Hamza pigakazi haupo mbali na ufalume wa mbinguni
@sultanhamad49245 жыл бұрын
Hata hilo jina la hamza naona kama mnalidhalilisha mtafutieni jina jingine lakini sio hamza huyo ni mkristo
@israelimjema50015 жыл бұрын
Waislamu kama unaamini yesu alitenda miujiza akaondoka akaja muhamadi naye alitenda miujiza gani
@samwellwiza53396 жыл бұрын
Issa siyo Yesu...Yesu siyo Issa wakristo tunajua hilo 🇮🇱
@nyingos5 жыл бұрын
Yesu inabidi azungumzwe kwa hali zote, kwa ubaya au kwa uzuri, kwa elimu au kwa ujinga. Yesu atasimama
@AbdulRahman-wx6iv5 жыл бұрын
Hao wakina Hamza msiwape kiki Kama washaritadi waacheni elimu yao yenyewe ndogo..
@robertwilliamkingsn44186 жыл бұрын
Yaan hapo Hamza ndo ana akili kuliko wote....jamaa ana ufunuo wa nguvu
@maulidiyusufu11486 жыл бұрын
Aja usani Wewe mujinga
@Amishjuma6 жыл бұрын
Robert William King Ww huna akili unaabudu Yesu ilhali kuna Aliyekuumba ww na mm.
@mussahamisi11916 жыл бұрын
@@Amishjuma hana akili Kama ulivyokua ww huna akili kichwa chako ni boga
@Amishjuma6 жыл бұрын
Kheri bogart utakula kuwa huna akili ni hatari kubwa ....manake mfano waasiye na akili ni vile kondoo ufuata tu bac kama nikuzama zitazama zote ....Binadamu wamejitwika uhayawani .
@hamisikulola84816 жыл бұрын
hawa si waislamu hawa ni makafiri lakini alhamdullillah ulimwengu mzima watu wanaslimu pili Uislamu ndio unaongoza ulimwengu mzima
@martinmkoba3613 жыл бұрын
Hacha ujinga wako wewe umetoka usingizini nini yaani uislamu ukaongoze dunia,alafu ukristo ukaongoze nini? hivi bila ukristo dunia itaenda hii
@adammasunga63825 жыл бұрын
Qruhan huwezi kuitumia zaidi ya biblia ndiyo mwongozo mkuu wa imani ya wakristo na si qruhan badili useni wako
@yahyayusuf79676 жыл бұрын
Hahaha mwenyekiti yuabanja tu... Tena kistizai haha...