No video

Salama Na Darassa Ep 16 | KAWIA UFIKE Part 1

  Рет қаралды 108,130

YahStoneTown

YahStoneTown

Күн бұрын

#YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
‪KZbin Link bit.ly/KZbinS...
Thabit Shariff Ramadhan my guy, siku zote mkimya, yupo kama hayupo, anayeona lakini humkuti anaangalia na mwenye kuyabeba yanayobebeka na kuyaacha ambayo hayapaswi kuchukuliwa, huyo ndo yeye na leo ukimuona mpe tu heshima zake, pengina si kwasababu kakuzidi umri, ila kwasababu aliyechelewa lakini KAFIKA.
Tena, sikumbuki lini ilikua mara ya kwanza mi naye kukutana ila nakumbuka nilipomuona 2016 mwezi wa 12 kwenye mazoezi ya show ya usiku ya Tuzo za Muziki za EATV, alikua wa mootoh, ukiachana na watu waliokua ndani ya game, hakuna aliyejua alitokea wapi, ila boom!! Kwenye sikio na kila mdomo wa wana Afrika ya Mashariki dunia kwa ujumla, kiiila mtu alikua anaimba MUZIKI wa (ya) Darassa.
Hapa atatuambia kwamba alikua kwenye game muda mbona? Ila muda wake tu ulikua haujafika (pengine ushaisikia hiyo story) ila ni kweli, muda wako kama Mwenyezi Mungu hajasema ndo huu basi inakua hata ufanyeje haufiki mjini. Imagine kuwepo toka enzi za ECT, Dully wakati wamooto, wakati Complex bado yuhai na Q Chief ana nywele zake zote kichwani na rasta juu lakini 2016 ndo akapata break yake kubwa ya kwanza sio mchezo. Kwa hilo pekee tunafaa tumpe salute zake.
Muziki haikua single yake ya kwanza, haukua wimbo wake wa kwanza kurekodi, haikua video yake ya kwanza aidha, ila kwa baadhi ya watu Darassa alikua ‘msanii mpya’. Hapa, tuliongea juu ya maisha baada ya MUZIKI, na kabla. Baada ni kwasababu lilikua ndo swali la kila mtu, kipi kilikosewa, nini kilitokea? Hakua na uwezo wa kutengeneza hit tena? Ilikua bahati tu ile? Na kabla ya hapo alitokea wapi haswa? Ali struggle kabla ya kupata mwanya? Shuleni ni vipi? Changamoto za kazi? Ana mtoto? Mke? Mwenza? Nani ni rafiki yake kwenye muziki? Subira haswa anayo? Alijifunzia wapi?
Majibu yako humu, tafadhali enjoy.
Love,
Salama,
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown

Пікірлер: 292
@samoocoolingsystem93
@samoocoolingsystem93 4 жыл бұрын
Nani Kaelewa Hii Point....Siwezi Kujifunza Hesabu Kwenye Biashara Ni Bora Nifunge Nikajifunze Kisha Nafungua Nawaambia Njooni Niwauzie 🔥🔥🔥🔥🔥What The Amazing Quote 👍👍🙏👊👊
@dysamarcus8462
@dysamarcus8462 4 жыл бұрын
nmeeleewa sana aseeee
@leonardcharles3169
@leonardcharles3169 4 жыл бұрын
Wimbo wa darasa sikati tamaa ulinifariji sana katika safari ya maisha yangu,
@leonardcharles3169
@leonardcharles3169 4 жыл бұрын
Nimekuja kusoma degree ya pili, na ninamwaka mmoja tu nimeoa na nina mtoto wa miezi mitano, mshahara ukasimamishwa kwamba ruhusa ya Mimi kwenda masomoni ilitolewa kimakosa. Ikanibidi nitoke nyumba niliyopanga kijitonyama na kupanga chumba mburahati, jirani na madoto bar, siku moja hali mbaya sana kifedha, wakati nashuka daradara tiptop ili nitembee mpaka mburahati, suruali ikachinika kwenye maungio, nikachomolea shati. Sasa nafika home, mtoto anaumwa sana, pesa sina alafu kwenye TV ndio sikati tamaa ya darasa inachezwa EATV,
@shaphyvuai6805
@shaphyvuai6805 4 жыл бұрын
Aiseeeeee Ngoma Kali sana ileeee
@CheupeEceJay
@CheupeEceJay 4 жыл бұрын
@@leonardcharles3169 Keep Going! ♥️
@jayratumaulid582
@jayratumaulid582 4 жыл бұрын
@@leonardcharles3169 big up sana
@kiernanforbes4590
@kiernanforbes4590 4 жыл бұрын
Usikate tamaa bro
@almasially6509
@almasially6509 4 жыл бұрын
"No complaints, Mungu ananpenda sana"
@davinagodfrey6240
@davinagodfrey6240 4 жыл бұрын
"I Know What I Want And I Know How To Get It.." - Darassa This Is Powerful, May God Bless You Bro...Am Your Number One Fan...
@lucasmagesa940
@lucasmagesa940 4 жыл бұрын
Yeah 🔥🔥
@TheAlternativeVoice
@TheAlternativeVoice 4 жыл бұрын
so deep
@salomecomedyofficial
@salomecomedyofficial 3 жыл бұрын
Huyu jamaa ako na akili sana,, karne hii ya ishirini na moja
@stoppersan
@stoppersan Жыл бұрын
Jichukue!! Ndugu!🧠🔬
@naimamwambe8083
@naimamwambe8083 4 жыл бұрын
Duh Nimerudia kama Mara tatu hii interview sikuridhika nikaona bora no download hii kitu ili mwanangu asome kiatu cha mama yako kinanitosha Darasa Asante kwa Darasa naomba Allah akupe kila la kheri class
@abousamirfakhii7757
@abousamirfakhii7757 3 жыл бұрын
hyu jamaa anaishi kweny Sanaa na mziki wake Hana skendo respect Sana huyu
@salmaluhombero9809
@salmaluhombero9809 4 жыл бұрын
Hodari sana nimempenda sana Huyu kaka Ana akili kupita kiasi wow tunahitaji watu kama hawa kumbe Alisoma madrasa God bless you bro Darasa
@oscarmponzi1597
@oscarmponzi1597 2 жыл бұрын
he is my exceptional rapa in this country-----he is the best since day one--kila nikisikilizaga nyimbo zake sijawahi kutana na mstari mbovu----keep it up darassa
@ramadhaniabdi9530
@ramadhaniabdi9530 4 жыл бұрын
Ukisikiliza jingle ya Salama kabla kipindi utaelewa nn maana ya kipindi . Hizi ni interview tunataka kusikiliza na kuona kwa ajili ga kujifunza #Darasa👊
@nicholascharles5547
@nicholascharles5547 4 жыл бұрын
Watu wa Hip Hop wengi wanajielewa
@josephapolinary5269
@josephapolinary5269 4 жыл бұрын
The guy has brain #respect
@mariammwiso
@mariammwiso 4 жыл бұрын
He is so talented, he doesn't know. I hope he gets better publicist especially for Kenyan market, his music is easily accepted
@dottokuhanga
@dottokuhanga 4 жыл бұрын
Napata darasa kutoka kwa darassa ...Thanks Salama ...!!
@pendondossy2158
@pendondossy2158 4 жыл бұрын
Dotto Kuhanga nice
@allyndevi6271
@allyndevi6271 4 жыл бұрын
Pamoja jamaa anajielewa sana
@therealmsopa
@therealmsopa 4 жыл бұрын
Darasa taught me something as a young artist! Nakubali sana
@jumarajabu1479
@jumarajabu1479 3 жыл бұрын
Mafunzo,ujasili,kujitambua na kupambana usikatetamaa ndani ya hii interview CMG ✊✊✊ PAMOJAA nakubali
@hassanjuma01
@hassanjuma01 7 ай бұрын
What i live about him is that he doesn’t talk ill about his father ✊🏾
@kassimkinonono1466
@kassimkinonono1466 4 жыл бұрын
I always appreciate all Darassa's interviews u guy is very tallented...u never let me down...
@mimikazani8511
@mimikazani8511 4 жыл бұрын
+254 tunaipenda darassa yuko real sana ...epic
@kevinhussein5229
@kevinhussein5229 3 жыл бұрын
Darasa anakuaga mgumu sana kufunguka nashangaa leo anafunguka kiasi hiki Big up salama
@daprince7545
@daprince7545 4 жыл бұрын
Alafu mzee baba darasa umeiva kishenz naona jicho damu . Alafu salama Hana time ya maswali magumu kwako 😄😄😄. I can see salama the way she is rolling her eyes, mouth , white teeths , and beautiful face. Salama your so good fantastic interview more love Allah bless you 🙏🙏🙏
@robertandrea9257
@robertandrea9257 4 жыл бұрын
darasa natamani ma superstar wetu wawe hivi hata kama umeongea uongoo ila man uko calm saaana aiseee, salama hikik ipindi ningekua na pesa ningedhamini kwa chochote ila one of the best shows........big up
@mariamaico8132
@mariamaico8132 4 жыл бұрын
Tunaomba umlete soudy brown nae tumsikilize
@EMMA-oe9yt
@EMMA-oe9yt Жыл бұрын
Ndo huna pesa sasa
@josephshirima6985
@josephshirima6985 4 жыл бұрын
The best interview ever tokea kwenye hii show! Jamaa anajua sana kuongea
@eliudmapula
@eliudmapula 4 жыл бұрын
Cheki ya Fid
@idrisashelimo307
@idrisashelimo307 4 жыл бұрын
salama leo umenifuhisa san kumleta darasaa bado king 👑
@AfiSoul103
@AfiSoul103 4 жыл бұрын
Nimeipenda sana hii iterview Darasa anaonekeana ni mtu honest sana... Salama mie nakukubali swaga zako mama na tabasam lako...pia unavohoji ni kiprofesional🤗
@all_things_lifestyle
@all_things_lifestyle 4 жыл бұрын
Big up Salama! huwa najifunza mengi kupitia hiki kipindi chako na maisha ya hawa celebrities Wetu. Umetusaidia kuwajua hawa celebrities wetu ni watu wa aina gani kwa jinsi wanavyojibu maswali. Ila huyu darasa nimempenda zaidi na kujifunza vitu vingi Sana. It's the best interview so far!
@salomecomedyofficial
@salomecomedyofficial 3 жыл бұрын
Watoto wakalale kuna lugha za kikubwa humu,,, Hio title ni noma,, ,,Dopest introduction lines I have ever seen!!
@lasalocomedian
@lasalocomedian 3 жыл бұрын
hahahahahaa
@isamiloprezdent6807
@isamiloprezdent6807 4 жыл бұрын
Mwanangu darassa since day one kwenye sikati tamaaa nakuelewaaa mpka wa leooo
@naimamwambe8083
@naimamwambe8083 4 жыл бұрын
Salama miehuku Oman sijajitunika Bana joto lililoko zaid ya hiyo kitu ya kujifunika, ila ni hivi Asante sana Salama nafurahia mno vipindi vyako hukuwai kuniangushia tokea mkasi mpaka saiz sijui nisemeje sijui hili ni panga ama jembe kama Jina la mkuu wa nchi neno moja likutoshe nakupenda sana mdogo wangu nakukaribisha Oman sikumoja njoo ututembelee jaman😭😭😭
@ZaharadaffaZaharadaff
@ZaharadaffaZaharadaff 4 жыл бұрын
Hii interview bado sijafika mwisho kiangalia lkn imebidi niweke comment kwanza sijawah kufikilia darasa yupo hivi kumbe ni mtu ambae anaweza kufikilia khs kubadilisha mtoto permpers duh big up kwake
@bomarobota152
@bomarobota152 4 жыл бұрын
This guy is genius.....ahsante kwa darasa shareef🙏🙌😘😘😘
@bahatimwankemwa7736
@bahatimwankemwa7736 4 жыл бұрын
Sikuwahi kuwaza this guy is this much brave. Am inspired. Nimekuwa fan wako mpya...
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 жыл бұрын
Darasa thank you for sharing your life with us. You are such a humble man and thank you Salama J for sharing his story with us. 🤗🤗🤗🤗🇹🇿🇹🇿🇺🇸🇺🇸🇺🇸
@beatriceben8611
@beatriceben8611 4 жыл бұрын
What a humble en smart man! GOD bless u Darasa!🙏
@mubarakkanyika7820
@mubarakkanyika7820 4 жыл бұрын
Ila hiyo beats kwenye background ni nyoso🙏🏽♥️
@babakokushuby1707
@babakokushuby1707 4 жыл бұрын
MLETE 20% KWENYE SALAMA NA.......
@kijangapeter5135
@kijangapeter5135 4 жыл бұрын
Akili kubwa sana aisee, yani hujamlaumu mshuwa kwakusepa and everything,,big up bro 👊👊
@kingkili8838
@kingkili8838 4 жыл бұрын
Smart business man,Mungu akujalie ufike mbali zaidi na zaidi,to me ya always the Best in East Africa
@malakimisana8956
@malakimisana8956 4 жыл бұрын
Maisha yako Ni sawa na yangu tofauti Ni umaarufu tu
@joycembata2238
@joycembata2238 4 жыл бұрын
the best interview huchoki kumsikiliza 😍😍
@TheAm21st
@TheAm21st 4 жыл бұрын
Thank you Ant , Darassa is very smart One.... Other Rappers /Artists, Need to watch and learn from him... from this interview.
@kakag5940
@kakag5940 4 жыл бұрын
huyu kijana ana akili nyingi sana bless up Salama, bless up Darassa
@imasigaro2968
@imasigaro2968 4 жыл бұрын
Jamaaa anaakili sanaa!afu Hizi interview zinanipa pcha wasani wengi wamelelewa namama zao
@balozibalozi5257
@balozibalozi5257 4 жыл бұрын
Amen yaan mim penda sana darasa Nakupenda sana yaan I believe Na wewe akili sana Hata mim sipendi kumlaumu mtu
@kachekamakoko8538
@kachekamakoko8538 2 жыл бұрын
Kind of emotional speech from de best rapper
@homajojomatemu2385
@homajojomatemu2385 4 жыл бұрын
Wanahiphop wako na IQ kubwaaa sanaaa..Fatilia utakubali.
@jacklinmasawe2697
@jacklinmasawe2697 2 жыл бұрын
Huyo ndiyo baba bora hongela darasa
@amouramour1256
@amouramour1256 4 жыл бұрын
Realest words from the realest KING 🤴
@bish_daddiyao
@bish_daddiyao 4 жыл бұрын
Nice Salama Mlete Juma Nature Wanamambo Sana..Aunty Umefanya poa Kumatukia Mr Burudan🎶❤️👐🏻💖🇰🇪
@linnetmbotto7212
@linnetmbotto7212 4 жыл бұрын
Wow! Wonderful daddy, Rare kind of father:-)
@fatmaismail7683
@fatmaismail7683 4 жыл бұрын
Baba bora mungu akubariki na uendelee kutupa burudani
@rojaa_mwadime
@rojaa_mwadime 2 жыл бұрын
Salama is The best entertainment Interviewer in East Africa 🙌🏾🥳
@othumanomary4032
@othumanomary4032 4 жыл бұрын
Salama uko vizur mnooo interview zangu bora moja ni ya lil ommy ya pili ni hiii wote mko na smile la elfu kmi
@mariabahati1264
@mariabahati1264 4 жыл бұрын
Yes the best interview love you salama
@lydiabuyungu5117
@lydiabuyungu5117 4 жыл бұрын
Darassa you are so smart, nahisi mziki wako haukutesi wala kukupa stress ktk akili. Congrats
@abdulrahimahmed4545
@abdulrahimahmed4545 4 жыл бұрын
Bonge ya intervw big up darasa...umeongea point kinomaa
@geofreybarama4000
@geofreybarama4000 4 жыл бұрын
Juzi nimewai nyumbani kuangalia kipindi si adampta ya kingamuzi imeungua aise roho iliniuma sanaa
@dysamarcus8462
@dysamarcus8462 4 жыл бұрын
DARASSA YOU ARE UNDERRATED
@salomecomedyofficial
@salomecomedyofficial 3 жыл бұрын
Darasa kando na mziki umejaaliwa na akili nyingi sana ,,
@sameeribnephraim1862
@sameeribnephraim1862 4 жыл бұрын
Daaah one of the best interview
@smwatsuma
@smwatsuma 3 жыл бұрын
I like this guy... Viewing from Kenya..
@nickalreadyknows
@nickalreadyknows Жыл бұрын
Very smart man 📍
@emmanuelernest2354
@emmanuelernest2354 4 жыл бұрын
uyu jmaa anajilew respect
@africanyoung5410
@africanyoung5410 4 жыл бұрын
Salamaa tunamtaka chid benzi kwenye hcho kiti
@DanielAmos-eg7bh
@DanielAmos-eg7bh 4 ай бұрын
Uwakka mzee
@samycool3822
@samycool3822 Жыл бұрын
Tunahitaji part 3 na 4
@hassanabdulhauf99
@hassanabdulhauf99 4 жыл бұрын
The big rap tz nzima sijaona mkali kwako maana unajua sana kucheza na maneno bila hata kupepesa kitu darasa wewe ni noma sana waga nakupenda bule my brother big up
@khisaerima4143
@khisaerima4143 2 жыл бұрын
Big love from kenya....ur the bongo hip hop kaka sungura.
@neywen5451
@neywen5451 4 жыл бұрын
This interview 🙌 💯🔥
@erastolukonde2112
@erastolukonde2112 4 жыл бұрын
My best artist ever.
@ALIMOHD-bk9lr
@ALIMOHD-bk9lr 4 жыл бұрын
DARASA NI MFANO WA KUIGWA NA NI MUELEWA. MUNGU AMUONGOZE.
@Ulfy305
@Ulfy305 4 жыл бұрын
I love your Consistency Salama
@ernestlaizer3753
@ernestlaizer3753 2 жыл бұрын
Huyu jamaaa hamna zaid Ake he is thinker
@CertifiedStoic
@CertifiedStoic 4 жыл бұрын
Darassa's parental situation is the same a mine.
@johannahakim8470
@johannahakim8470 2 жыл бұрын
Darasa handsame and very humble i like him
@kipajifilamu4718
@kipajifilamu4718 4 жыл бұрын
Cjawahi kuwa Na shaka Na darassa
@fatnamfalingundi8427
@fatnamfalingundi8427 4 жыл бұрын
This is a Lecture theater not a classroom.One Man n' a half#Darasa
@Jxcjs
@Jxcjs 3 жыл бұрын
Tanzania interview za kusikiliza sana ni za watu wa hip hop wana point sana
@priscillahlema7778
@priscillahlema7778 4 жыл бұрын
Nasubiri kukuona goodluck gozbert Sasa
@Godfreykaimenyi
@Godfreykaimenyi 10 ай бұрын
Salute to the king OG wa tz
@ibnrashadmammytashi7167
@ibnrashadmammytashi7167 4 жыл бұрын
Mkali waoo jibaba LA maneno ya vina
@bellahyuzzomylife4428
@bellahyuzzomylife4428 4 жыл бұрын
what a man big up daaa unamuongelea with a big smile whats love gonna do
@tenstar9261
@tenstar9261 4 жыл бұрын
My role model CMG broo class💣
@pendondossy2158
@pendondossy2158 4 жыл бұрын
Dalassa we n noumaaaa kinoma Nouma hongera kwa kunifundisha
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 4 жыл бұрын
the only hiphop artist(raper) in this country with some amaiziiiiiing, incredible and unforgetable punch lines in his music.remember guys their many rapers but non of them are like"""" DARASSAaaaaa""" it's like in Kenya who is like Kaka sungura,the rabbit"""KING KAKA him self""" I love music and all artist in general in East Africa but these 2"😘😘
@omaiim4014
@omaiim4014 4 жыл бұрын
Nampenda sana kaka darasa yupo vizur
@kachekamakoko8538
@kachekamakoko8538 2 жыл бұрын
I real love this interview....
@TheAlesry
@TheAlesry 4 жыл бұрын
CMG noma sana
@sostentete3395
@sostentete3395 3 жыл бұрын
Kinacho nifurahisha nikiacha maswali ya salama ni majina ya juisi na vyakula vya samaki samaki big up my sister Salama
@Agnes-qq4np
@Agnes-qq4np 3 жыл бұрын
Intarview zamana nikama izi za dada Salama zinajenga na kufariji
@khamisrubea5083
@khamisrubea5083 4 жыл бұрын
Mbona wanaune wengi hawako na walozaa nao tatizo nn wanaume au wanawake
@rashidhamza710
@rashidhamza710 4 жыл бұрын
"KILICHOSHINDIKANA KWENYE NJIA YA KIBINADAM HUWA KINA SABABU" NANI KAONA HYO
@subhiiynation7446
@subhiiynation7446 4 жыл бұрын
Bro hatar iyo
@mr.yahzadochuno7914
@mr.yahzadochuno7914 4 жыл бұрын
My favourite
@deobandebe212
@deobandebe212 4 жыл бұрын
Salama alikua anatabasamu sana wakti darassa anaongea yaani tabasamu balaaa it is like this nigga is killing it
@amiriramadhan7753
@amiriramadhan7753 4 жыл бұрын
Darassa cmg is something else bro
@hilalifabian7445
@hilalifabian7445 3 жыл бұрын
I see
@husseinkhamis2351
@husseinkhamis2351 2 жыл бұрын
This man is wise ...salute bro
@daudipeter7971
@daudipeter7971 3 жыл бұрын
Dahh Salama ukovzur sana huwa una maswar ya kumfanya mtu aendelee kujiereza yani we mzur na kipindi chako kizur
@syproelvistru2610
@syproelvistru2610 4 жыл бұрын
Salama inawezekana 80% ya unaowahoji wanafanya BABA aonekane wakawaida sana au hawajali au wahovyo.
@mr.piellenoposzi3302
@mr.piellenoposzi3302 4 жыл бұрын
So genius
@goodluckleonard1581
@goodluckleonard1581 3 жыл бұрын
Salama watu ambao umekua ukiwaita kwenye show yako wako very smart
@swalehemhando6921
@swalehemhando6921 4 жыл бұрын
Nzuri sana
@richardcastromzena5136
@richardcastromzena5136 2 жыл бұрын
10:46 11:37 12:34 12:52 17:12 21:40 23:22
@nasibukiangai4639
@nasibukiangai4639 4 жыл бұрын
Ongeza bando inaendeleaa😂😂😂
@mrfashion1687
@mrfashion1687 4 жыл бұрын
Nasubiri ya adam mchomvu na ya bdozen
Salama Na Darassa Ep 16 | KAWIA UFIKE Part 2
14:57
YahStoneTown
Рет қаралды 51 М.
Salama Na Idris Ep 8 | TROOPER Part 1
33:07
YahStoneTown
Рет қаралды 310 М.
Nurse's Mission: Bringing Joy to Young Lives #shorts
00:17
Fabiosa Stories
Рет қаралды 13 МЛН
PEDRO PEDRO INSIDEOUT
00:10
MOOMOO STUDIO [무무 스튜디오]
Рет қаралды 24 МЛН
拉了好大一坨#斗罗大陆#唐三小舞#小丑
00:11
超凡蜘蛛
Рет қаралды 16 МЛН
Unveiling my winning secret to defeating Maxim!😎| Free Fire Official
00:14
Garena Free Fire Global
Рет қаралды 16 МЛН
Kunchako Boban in Nerechowe | Manorama News
24:07
Manorama News
Рет қаралды 690 М.
The Muslim Money Experts Ep.1: Khabib Nurmagomedov
1:06:15
Wahed
Рет қаралды 1 МЛН
Salama Na Baba Levo Ep 26 | ALL IN ALL Part 1
41:27
YahStoneTown
Рет қаралды 473 М.
LULU DIVA : SIKU YAKWANZA KUVUTA BANGI
9:10
Jonijooo
Рет қаралды 536 М.
Nurse's Mission: Bringing Joy to Young Lives #shorts
00:17
Fabiosa Stories
Рет қаралды 13 МЛН