Mama ako ni best mama ever.Napambana pia kwa ajil ya wanangu 3,uwa naliaaaaaa yaan naelewa izo situations,ila namwamini Mungu nitavuka.Wamama tunapitia vitu vng sana kwa ajil ya watoto
@blandinamnyinga83184 жыл бұрын
Emen dear,Nina ushuhuda na nitaendelea kushuhudia wema wa Mungu kwenye maisha yangu na watoto wangu,nafanya kazi ya umatron kwenye shule fulani Arusha ninaishi na kulala kazini.watoto wangu wanaelewa na dada.Huwa namwambia Mungu Asante kwa ajili yao kila iitwapo leo.
@momoledonatus12204 жыл бұрын
Sana nakuelewa wengi tunapita lkn pale tunapoamua kukaaa kwa Mungu huwa hatuaachi jmn
yes mama tunajinyima ili watoto wakae maisha mazuri maisha yaende na Allah anatusaidia
@eliassanga69074 жыл бұрын
Pongezi kwa wakina mama wote wapambanaji🤲
@blandinamnyinga83184 жыл бұрын
💪💪💪💪
@jacksonmkamba8144 жыл бұрын
"najivunia makosa yangu, hayo yamenifanya na kunitengeneza kuwa mimi". Thank you Goz B.
@fadhilalukindo16594 жыл бұрын
Maneno mafupi mazito,nikweli kaka G kuna makosa yametukuta ili cc tuwe HV Leo,tumepitia hayo ili tufike pale mungu alitaka tuwe leo
@mkmkjj4 жыл бұрын
"Nami nitakuonyesha mambo makubwa na magumu usiyoyajua" , maana yake kuna ninayoyajua, Nimeipenda iyo mtumishi Mungu akubariki.
@Agnes-qq4np4 жыл бұрын
Dada salama ubarikiwe sana🙏🙏 kipindi cako kizuri najifunzaga kitu kupitia vipindi vyako naskitika kukijuwa nimekawa. wewe pia unaonekana mustarabu sana
@OmanOman-gc1zu4 жыл бұрын
Kaka anamanen ya busara na hekima.. Mungu akupe afya njema na umri 🙏🏻🙏🏻🌹🤝
@oscarmalogo6104 жыл бұрын
I can feel it when ur mama cried ulipokosa msaada😥😥
@tedkadodo27904 жыл бұрын
hongera gozb.una hekima sana kaka pia mnyenyekevu..mungu azidi kukupea marifa tokea mbinguni
@magrethkihombo83284 жыл бұрын
Mungu akubariki kaka naomba unisaidie naomba unierekeze inasalia wapi nikutemberee siku moja mengine tutaongea tukionana naomba mrejesho mm pia namtumikia Mungu!
@magrethkihombo83284 жыл бұрын
Utakapo ona msg yangu naomba maelekezo niweze kufika hapo kweli kakaangu, Mungu azidi kukuinua mara 1000 nakazi
@magrethkihombo83284 жыл бұрын
Yako amen.
@lovenessibrahimu67304 жыл бұрын
Mungu Amuinue Zaidi Mamaa Kemmy Ubarikiwe Mamaa Kemmy
@hatimalnaamani8764 жыл бұрын
Asante Salama kwa kumleta nimepata kumfahamu maana ata nilikuwa sijui ni mtu wa wawapi thanks
@julytito38914 жыл бұрын
Tungeelewa wote kuwa Mungu mara nyingi anatupitisha mahali kwa utukufu wake na kwa ushuhuda wa badaye na kuwafunza wengn kwahy tupo hapa kwa neema ya Mungu
@jullypendo9664 жыл бұрын
Mungu akueke kakangu nakupenda sana kaka kwamaongezi yako unajibu vizuri sanaa
@elizabethhilam80884 жыл бұрын
Nimependa sana, hii ni inajenga watt wa familia masikini
@maishakisunzu10294 жыл бұрын
Gozbeth una nidhamu katika kujibu maswali vzr sana!!!
@BBVMusics3 жыл бұрын
I LIKE THIS ONE, GLORY BE TO GOD
@bandioamwesiga12504 жыл бұрын
Salama you are the best.Hongera sana. Asante sana Goodluck umetupa ushuhuda. Super interview
@lotinyumba15734 жыл бұрын
Goodluck ni mtoto wa MUNGU na amebarikiwa sana
@cmsa1r4 жыл бұрын
Salama naomba Mungu akuinue zaidi. Wewe unaweza. Tanzanian Oprah. Sky is the limit
@rhodasamwel24854 жыл бұрын
Najivunia makosa yangu hayo yamenifanya kuwa mimi'''💪
@pilimbilinyi26104 жыл бұрын
Duuuuuh apo kwenye mama gudluck kulia pameniliza pia
@adamabui61214 жыл бұрын
Kama umemuonaa Salamaaaa kasukaaaa minyoooooosho ya kiunguja
@gloryamon34933 жыл бұрын
Nimefrahi kumleta Goodluck Salama nakupenda tunaomba pia kufaham story yako nta frahi pia coz nakukubali sana
@dastanfuraha99674 жыл бұрын
Goodluck Gozbert ni mmoja wa shabiki yako nakubali sana kazi zako!!! Mungu akupe maisha marefu na yenye baraka tele, 🙏
@orverfredy26944 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi, unahekima ya kizungumza.. Roho azidi kukuongoza..
@jullypendo9664 жыл бұрын
Wamama woote duniani mungu amueke jamani kwamajukum yeenu ikiwemo mm
@maureenandrew86364 жыл бұрын
Salama my darling...you are the best interviewer. There is something about you that i love. Goodluck your very wise na unajibu maswali vizuri
@mwanaidsalehe11094 жыл бұрын
Umeniliza sana goodluck,kweli Mungu ni Mungu.
@deborahnguo78844 жыл бұрын
Nimelia piah
@srwetomichael74227 күн бұрын
MUNGU ambariki STELLA❤ mama yangu
@zakarialubita72914 жыл бұрын
Salama .mjue goodluck na chidi n watu wawili tz ambao wanamajibu ya kila kitu kwa wao n ma genius.
@balozibalozi52574 жыл бұрын
Nimependa sana
@beberulambegu6604 жыл бұрын
Mtafuteni father p aliandika nyimbo za zamani sana zilizofanya vizuri
@callebt8342Күн бұрын
Best interview 🎉
@kaskaziniansgang12884 жыл бұрын
Ila nilichogundua ni kuwa Muziki wa Gospel una vita sana.
@princemujuni98034 жыл бұрын
Shout out kwa wamama wote wapambanaji aisee, Goodluck kumbe kaandika nyimbo nyingi hivyo aisee watu huwa tunasikiliza tu hata wasanii hawasemi kuwa wameandikiwa
@linahedward68734 жыл бұрын
Nimeipenda mno yaan nmejifunza kitu
@graceandrew67183 күн бұрын
Ndiyo nimeona hii leo, Godluck Mungu akuvushe kwenye hili pia.
@OliverSansoor3 күн бұрын
Hata me ndio naiangalia now yaan anazidi kunibariki anahekima sana
@mustafajuma83414 жыл бұрын
Namkubal xana goodluck nyimbo zake nazielewa xana mung amubarik xana
@happinesskaali47504 жыл бұрын
Goodluck iz the Best
@edwarddeus19485 ай бұрын
Safi sana kaka naipenda sana huduma yako
@zakariamdeta69684 жыл бұрын
Hongera zake mama mpambanaji
@khamiskhamis54954 жыл бұрын
SALAMA UTULETEE NA JB ,SHEIKH KIPOZEO
@richarddominick31724 жыл бұрын
Interview kaliii mnooo Yani salama hukosei interview zako zote Kali nashndwa had kuchagua ipi namba moja..
@ladyhappinessenock75234 жыл бұрын
Yaani Goodluck ameongea hadi nimetoa machozi,kwakweli Kwenye maisha tunapitia mengi,Eee Mungu wajalie kina Mama wote na kuwasamehe
I was waiting for this to so Long .. ..napenda Sana nyimbo zake kaka gozbert,,maisha yake leo yamenipa nguvu Sana yakaendelea kusonga mbele zaidi ..... Mama goodluck ni super stronger woman
@sarafinakadege32694 жыл бұрын
Nimeipenda sana hiyo interview yn goz b unahekima sana na dada angu salama hongera sana kwa interview nzuri.
@mohammedbakari35194 жыл бұрын
Kipindi changu pendwa ni SALAMA NA.♥️♥️ Wewe je?
@fodymwaipopo74954 жыл бұрын
god bless you gozb...humbleness observed in you
@erizabethdeus16243 жыл бұрын
Best mom
@renataraymond15453 жыл бұрын
Very special boy
@melisamaro25494 жыл бұрын
Usifocus kueleweka na wanadamu...Mungu kukujua wewe INATOSHA!
@williaellymarawiti49374 жыл бұрын
Gozbert, salvation is personal relationship btn you and God. Christianity lies in the heart! Live your life trusting God...you will never be able to please people. Just make it right with your creator. Salama job well done as always.
@mariakelly10464 жыл бұрын
This guy is very smart, I like the way anavyojibu maswali yake
@ibel4lf4 жыл бұрын
Best of the best interview Salama na Gozbert
@moreenkasekwa65214 жыл бұрын
Waooo g b mungu azd kukuinua
@zawadichalale40474 жыл бұрын
Nimekupenda bure God z
@agnesndetaramo72094 жыл бұрын
Nimependa sana anavojua kujibu maswali
@happynessemmanuel17114 жыл бұрын
Hata makosa yangu najivunia, that is nice🔥
@Miss_mckenzie3 жыл бұрын
Ave watched this interview 3 times..wow
@joycewilium16494 жыл бұрын
Jaman salama ni mcute jamen nampenda huyu dada
@starluzenja98613 жыл бұрын
Huchoki kumsikiliza yani....
@abcdg19954 жыл бұрын
I appreciate what you say Youngblood generation DO your best always and God will do the rest
@annanyoni19814 жыл бұрын
R.i.p mamaa dah heshima kwa wanawake wote,Mungu atusahidie
@lovenessibrahimu67304 жыл бұрын
Hakika Viva GG Viva GG Viva GG Viva GG
@alicethobias9324 жыл бұрын
Hiki kipindi nakipenda sana jaman
@kemigisalydia35283 жыл бұрын
Thank you so much good luck , alike your story about your life , God bless you dear
@afandebrighttz28874 жыл бұрын
Goodluck saaafisna story imevutia sana
@duniayakijani78684 жыл бұрын
Daah....aiseh huyu jamaa nimeangalia Hadi mwisho
@tausingomeni25684 жыл бұрын
Hakuna party 3 salama
@evalinenkana2734 жыл бұрын
God bless you.
@sarahfaith30743 жыл бұрын
Jamn Mama ake Godluck Ni kama Mama ang Yaan anapenda kulia sana jamn😢😊
@balegadaffi44724 жыл бұрын
Kma unaangalia hii interview leo like hpa 😊🌶🍷
@ashleymechack50374 жыл бұрын
This show is very inspiring🙏🏽🙏🏽
@Luccierick4 жыл бұрын
Nibadilishe wimbo mzuri sana maana hata kucheza mfalme Daudi alicheza hadi nguo kutaka kumvuka. Watu tu wa sasa wanapenda tu ku judge maana hata Angela Bernard aliwahi kusemwa kisa tu alijiremba kny video. Mtu akiwa ameokoka haimfanyi asidance ndio maana hata guitar na vinanda vyote tunavitumia kumsifu Mungu...
@jamesmhanje29924 жыл бұрын
Aseee Salama huwezi weka part 3 kwa hiki kipindi maana hatariiiii Sana🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@jimmykasinde84394 жыл бұрын
Kabisa🙏🙏🙏🙏
@_danOkumu4 жыл бұрын
#Awesome, there’s just something about this interview 👌🏾👌🏾👌🏾
@glorianymuna81344 жыл бұрын
Inteview inayo jibiwa kwa akil sana hii
@ingabireritha37404 жыл бұрын
Nice one kilasiku sister keep doing good job
@kaskaziniansgang12884 жыл бұрын
Daaaah your story is so touching
@enocksilungwepondajr97074 жыл бұрын
Dada salama ure best
@lamarjr74424 жыл бұрын
Wa kwanza Mimi apa nipe like zangu
@franklinmziray91104 жыл бұрын
best interview ever anaongea vizur sana
@rjsawere4 жыл бұрын
Great interview
@thomasmsasa58134 жыл бұрын
Yah stn ...best show in tz now... congrat to u Salama ...
@winfridaanania90474 жыл бұрын
Mengine yatasemwa tukifa
@mariajacob36004 жыл бұрын
Can we see Wema Sepetu in this show please
@fortunathabarabara84714 жыл бұрын
Hii nzuri sana
@nobbylovetv49774 жыл бұрын
Ukiachilia Sauti yake ya kuimba, goodluck anasauti nzuri zaidi ya kuongea.. Alafu mtu uchoki kumsikiliza yaan.. Ana sauti Fulani hivyiiiii...... If you know you know.. 😝😝
@masalakulwa76014 жыл бұрын
Mtamu balaa
@jestinabenedict46204 жыл бұрын
GOODLAK HAJAPEWA JUIC YA NYEGEZI🙈🙈🙈
@otinawailes96984 жыл бұрын
😁😁😁
@batulimakame79474 жыл бұрын
😃😃😃
@Ali_Manzu4 жыл бұрын
Hapo dakika 15:58 Salama imenigusa aisee..
@Gentriez4 жыл бұрын
Amen 🙏
@gladnessnourdin69214 жыл бұрын
Salama bhana ety ukisifu mashairi yanashuka
@issajuma50324 жыл бұрын
Kind hearted
@leticiamussa6034 жыл бұрын
Maisha uliyopitia kama yangu hadi umeniliza Goodluck
@patriciankilijiwa13344 жыл бұрын
Salama una mauno gani weye 🤣
@najma32684 жыл бұрын
Mi nilikua bado naendelea kumsikiliza ,kumbe kamaliza kaman