Mamaa Baraka Kabisa Mungu Kumbuka My Mom 💕 You Bi.Hilder 💕 Wako Anakupenda
@happynessemmanuel17114 жыл бұрын
shabik wako saana Goodluck, thank you Salama kwa kutulete huy mtu🔥🔥🔥
@theupperroomtz36864 жыл бұрын
Goodluck ameongea mambo mengi sana ambayo hajawahi kuyazungumza kwenye kipindi chochote cha dini..Interview za dini tujifunze jambo
@sheckycobb52404 жыл бұрын
Good luck natamani kumuona mama yake😭,huyo mwanamke wa shoka hasaa.Mungu awabariki wanawake na wamama wote
@chuzasaimoni43173 жыл бұрын
Amen mungu mkubwa
@cmsa1r4 жыл бұрын
Salama I have watched you grow before our very eyes. You are bringing various talents that are treasures to our society. Keep growing mama. Keep showing us how excellence is built..!!!!
@ilovejesus93034 жыл бұрын
I love the compliment. I love her too
@blessed-ke6fv4 жыл бұрын
@@ilovejesus9303 ppppppppppppppppppppppppppp
@lovenessibrahimu67304 жыл бұрын
Mungu Awatunze Wamamaa Wetu Jamani Nakupenda Bi. Hilder
@BBVMusics3 жыл бұрын
My Role modal
@usherphanesha59224 жыл бұрын
Mungu mwema kwakweli nikiwa kama mshabiki nafurahiswa na hii Mungu azidi kukutumia
@Djso264 жыл бұрын
goodluck ni msimuliaji mzuri,safi nimependa hiyo!
@bilihaniadriano94464 жыл бұрын
sana
@z.shondezshonde56634 жыл бұрын
Nmebarikiwa hata kabla sjaangalia kilichozungumzwa woooooooow😍😍😍😍😍
@Suziesuzzane4 жыл бұрын
Your story is a blessing. Your advice is very important, I hope it reaches to all youngsters. I love your songs kaka.
@jimmymollel72744 жыл бұрын
nakukubali sana Goodluck nipo hapa rafiki yako Jimmy😄😄😄😄
@jimmymollel72744 жыл бұрын
hahaha eti napika kama mpishi mwenye njaaa
@caritasmushi4613 жыл бұрын
Kusema kweli Salama uko viizuri na Goodluck ni kijana mnyenyekevu.Mungu awainue kiila mtu ktk eneo lake
@rithakuyala99514 жыл бұрын
Kipindi nimekipenda sana
@dorisalbert10094 жыл бұрын
Barikiwa sana braza Goodlucky sure napenda kazi zako tu ...Mungu azidi kukuinua kwa viwango vingine
@de.charlz Жыл бұрын
Good luck ana Logic 🎉
@mosesmligo9614 Жыл бұрын
Dah...Kaka anamjua Mungu aisee.
@dellah26734 жыл бұрын
Salama na sisi tunataka kukuhoji kwenye hii show 😂tusikie story of your life🙂
@ummulkheirzubeir63204 жыл бұрын
Na kweli
@swahiliwithZita4 жыл бұрын
Salama, msuko umekupendeza!
@vivianlucas63894 жыл бұрын
San
@blandinamnyinga83184 жыл бұрын
Mama aliwakabidhi mikononi mwa MUNGU na kweli kawakuza na jina lake libarikiwe.
@NeemaKipande-hr9rz Жыл бұрын
Nakupenda sana dada salama mungu akubariki uishi miaka mingi
@AngelShedrack-q4u5 күн бұрын
Nakukubali sana sister angu salama jah bless you
@amaliajoseph24934 жыл бұрын
Msalimie goodluck nampenda had mwanangu nilimpa jina lake
@lovenessibrahimu67304 жыл бұрын
Tupo Wengi
@ibrahimusamani30014 жыл бұрын
Salama vazi la baibui linakukubali Sana hata Kama hulikubali Mimi shabiki wako 💪wa nguvu
@duniayakijani78684 жыл бұрын
Safi Sana Goodlucky
@mwajumahemed75824 жыл бұрын
He's very humble jamani
@SaidBenjamin-hq4kx8 ай бұрын
🎉 29:12
@MonicaLoilibaКүн бұрын
Tunangojeya kwahamkubwa wakatiwa kuinuliwakwake atarudikwa kasikubwa MUNGU anakupenda sana
Daah jamn Nyie apo kwa mama kuwaacha peke yao nimeumia sana
@OmanOman-gc1zu4 жыл бұрын
maisha kam niloishi mm😞😞 Mungu ni mwema Alhamdulilah 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🌹
@messamwisongo7254 жыл бұрын
Very humble guy
@mercyjesus66374 жыл бұрын
Goodluck YESU akutunze umeongea vzr
@kemigisalydia35283 жыл бұрын
I like your songs good luck , God bless you dear
@directordavy1189Ай бұрын
Be blessed all 🎉❤
@ajaxjunior41514 жыл бұрын
Ninaomba salama na "joel lwaga, walter chilambo na paul clement" Tafadhali lakini ninakubali sana hizi interviews kwa kweli.
@enockbaina49044 жыл бұрын
''wazazi wetu wanatuombea sana bila sisi kuju'' hapa umenigusa
@srwetomichael74227 күн бұрын
2025 Jan 29😊big star Goz with Salama
@ilovejesus93034 жыл бұрын
Good luck is so real. Keep it up brother 🤗🤗🤗🤗 . Thanks Salama for this interview
@dorismkoma42283 жыл бұрын
Be blessed man of God
@juliustonga79553 жыл бұрын
Namkubali Sana mwamba
@reganmbigili94064 жыл бұрын
Very humble
@elyzahlizzy76744 жыл бұрын
I love goodluck 😫❤❤❤
@desderiadeogratiuskadati11314 жыл бұрын
I’m a greatest fun of y’all 🥺❤️... Bro be blessed too much🙏🏽🙏🏽
@swahilisweatshop79854 жыл бұрын
Hii imekaaa poa sanaaa..God is Greatest
@puttenyanthony92844 жыл бұрын
Mama nimwalimu ambae alietunukiwa hekima na mungu
@oscanyakunga96744 жыл бұрын
Mungu nimwema Kaka
@upendomtambo51034 жыл бұрын
🎸 sababu ya wokovu kwa GozB
@lovenessibrahimu67304 жыл бұрын
Mungu Akutunze Mamaa Oliver
@OliverSansoor3 күн бұрын
Nimamangu na mimi ndio Oliver mwenyewe 😊
@MonicaLoilibaКүн бұрын
Ukovizuri akilizako zikosawa moyowako unaovuya MUNGU anauwezo mkubwa jamanisikujuwa kamaana uu uwezo jamsingikwenye maishaya mtuwa MUNGU uchajiwa roo oni mnatakanyotayake muipelekewap ? jamani gudlki nimtumishi kawashinda wachungaji wanaoshabikiya yaliyomkuta ubarikiwa salama kwakumkaribisha uyomtumishi wa MUNGU
@leticiamussa6034 жыл бұрын
Goodluck uko vzr sana natamani story iendelee
@amaliajoseph24934 жыл бұрын
Yaan napenda sana interview za salama big up
@SamuelErnest4 жыл бұрын
Tumaini kwaya, mama ombeni, Mr. Foya na Parishwoker
@sikudhanimohammad76924 жыл бұрын
Nampenda huyu kaka jaman
@yustinageorge17714 жыл бұрын
Kweli saa nyingine tunawalaumu wazazi ila ukikua utajua
Salama umebadilika now kigensta umetoka kabisa upo kidada ila umependeza
@mwasirose53874 жыл бұрын
Salama, you have implacable interviewing style. I have watched several of your interviews & I always enjoy & learn something new. My only “issue “ is the setup of the studio. A lot of clutter. Such as those frames and scarfs on microphones. It takes away from your guests. All, the best!!!
@josephstephen20474 жыл бұрын
Pumbavu zako wewe hiyo ni creativity yake km unaona inakuboa acha kuangalia mbwa we
@mwasirose53874 жыл бұрын
Pluto Man 🙏🏾
@nahyialetomia92844 жыл бұрын
A very humble young man!
@yustinageorge17714 жыл бұрын
Wahoo hawa ndio wasanii wanafundisha
@tausingomeni25684 жыл бұрын
Mpk nimelia story ya g ya mama ake kama ya mama yangu 😭😭😭
@asiajuma83304 жыл бұрын
Kabisa hata mm yngu ivo ivo
@khadijaminaipendasanakapun49464 жыл бұрын
Nimaisha tu sio huwa tunapenda kuwacha watoto salama bila hivyo sidhani kama tunaweza kuwatimizia ndoto zao
@amamlen37314 жыл бұрын
Akuna mwanamziki aliewai kusema katoka kwenye maisha mazur tangu nianze kufwatilia
@ummulkheirzubeir63204 жыл бұрын
G ubarikiwe mnoooo
@maishakisunzu10294 жыл бұрын
Duuu salama ov coz umeniboa kwa muonekano wa kichwani rudisha muonekano wako pendwa wa salama na!!😁😁😁
@AngelShedrack-q4u5 күн бұрын
Salm hiyo kitu mnakunywa inaitwaje😂😂
@wemamlaga37144 жыл бұрын
Kama unataka salama Atuambie anaponunua skafu za kwny kitangazio..gonga like
@evalinenkana2734 жыл бұрын
Good
@MiriamMlele-j8p5 ай бұрын
Na ndiyomaana unatoa ujumbe unagusa mihoyo ya watu libarikiwe tumbo la mama aliye kuzaa
@violetteniyongabire38592 жыл бұрын
Yimbo Zake ntazibeda
@ednalucumay84694 жыл бұрын
G nakukubali
@joycejohn77544 жыл бұрын
Mtafute data aiseeee alikupenda sana 2012 k/hewa kipind hcho
@rosemofuga63134 жыл бұрын
Nice interview real
@fidurashidi57814 жыл бұрын
Hapo kwenye, "msanii bongo..!!?" 😀😀
@agnesmkanga46174 жыл бұрын
Wa kiume!😁
@lovenessibrahimu67304 жыл бұрын
Hahahahaha Hahahahaha Wa Kiume
@gladnessnourdin69214 жыл бұрын
Kumbe ipo full that NYC...
@albeleenalberto1584 жыл бұрын
Nilijua wa mbeya
@jamesmhanje29924 жыл бұрын
I Like this interview
@KING-kv1pe4 жыл бұрын
I am fisrt like me
@hawakameta6854 жыл бұрын
Nafurahia hii kitu ya enterview
@leticiamussa6034 жыл бұрын
Salama umedamshiiii
@daudasajile8134 жыл бұрын
Wey Bach
@mkuuhapingwi4 жыл бұрын
Salama tuletee konde boy jeshi
@sassboy93604 жыл бұрын
Good interview ila salama na wanyumbani waite kuwa promote wapo celebrate pia waliopitia hiyo milima na mabonde tunamuomba AT kwanza anamadini kuhsu music 🎼 ukimuhoji
@philemonmgasha36704 жыл бұрын
Yule jamaa alieenda Uganda usimsahau
@namalelokhaemba70374 жыл бұрын
Love this lady. Beautiful, beautiful listener, just amazing 😍
@gladnessnourdin69214 жыл бұрын
Mbona sio full interview y
@ilovejesus93034 жыл бұрын
Kuna part 2 itafute
@airtelmoney23664 жыл бұрын
.
@luhunganyerere63474 жыл бұрын
💥💥
@beberulambegu6604 жыл бұрын
Oi oi
@mandyfitnesstv67384 жыл бұрын
Salama msuko leo konk. 😍😍😍 watu wa mazoezi mpo ? Pitieni hapa na msubscribe kuna mazoezi kama yotee!