Salamu za Mzee Makamba kwenye Ibada ya kuwekwa wakfu na kusimikwa kwa Askofu wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch.Dkt Msafiri Joseph Mbilu na kuingizwa kazini kwa Dean, Mchungaji Michael Mlondakweli Kanju Mei 9,2021
Пікірлер: 83
@rahmahersi6584 Жыл бұрын
Mzee Makamba... Unafurahisha...unatakiwa Kuwa Comedy...hongera Sana....wakuongezee Dakika .your so good.
@rexxsimba3 ай бұрын
Mheshimiwa Mzee Yusuf Makamba ( Gwiji Wa CCM ) hutoa hotuba Tamu saana .. !!!😂😂😂
@valenakomba76867 ай бұрын
HUYU MZEE MSHENXI SANAA.
@SungiMahumbi-s8hАй бұрын
Wewe Mbiaji acha unyaturu Kristu ni njia kweli na uzima mtu haji kwa baba ila kwa njia yangu
@magesamatiku75067 ай бұрын
Yuda iskariote wa Tanzania. #WAZURI #HAWAFI@BONGE LA MNAFIKI
@AbuuSwafwaan-w5i7 ай бұрын
Huu ndio mfano wa waislamu wanaoingia madarakani sasa kwa hali hii kweli watakuwa na uchungu na madhila yanayowapata waislamu? Kutwa wanataka dini mseto
@gospelguest6947 ай бұрын
Mwanasiasa asiyebatizwa Wala kuokoka anawahubiri wachungaji nao wanainama mbele yake.
@AlfaSaa-j4h Жыл бұрын
Ndo maana kkt wanaunga mkono uuzwaji wa bandari Hata kuisifia gavoment ni sawa
@MsanangoMwalabu-rx1oo7 ай бұрын
Yuko kidunia zaidi uyu mzee hajitambui.
@issahajjiira54115 ай бұрын
Hili babu lina dhihirisha kuwa Nafiki
@mmassyferguson49597 ай бұрын
Mwenyez mungu akubariki mh makamba
@zaidyabdalah3691 Жыл бұрын
Mwenye busara sawasawa ataelewa, lakini mbumbumbu ataishia kufurahi na kupiga makofi Asanteni, Agayaaaaaaaaaa
@KiswiririSwaliki7 ай бұрын
Huyo si muislamu na hawezi kua muislamu tena asijiite muislamu
@comradeandrewsaul54597 ай бұрын
Acha uvaguzi na kuhukumu Kwani vigezo vya kuiona pepo sio Dinii Bali ni matendo mema na Mungu ndio anajuwa yupi atainfua yupi haioni pepo njema
@HassanSalim-hl8qs Жыл бұрын
Huu ni msiba hili jitu bora ungekuwa mkristo
@LusekeloMwakyalabwe-ux9xq5 ай бұрын
Udini utakua kenge wewe
@HousenAhmadi2 ай бұрын
😂
@isaackiwelu14583 жыл бұрын
Well said mzee Makamba, Mungu azidi kukubariki na kukujalia afya njema ili uwaone wana wa wana wa wana zako.
@mackrinamgani8543 жыл бұрын
Tutoe kodi nyinyi mle si ndio hiyo asali ni kodi zetu walai mungu atawalaan hela za wanyonge
@zachariagyunda2012 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu mzee wetu.
@makondorshimora50172 жыл бұрын
Na kweli......,
@simonmurithi534 Жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu kuishi duniani ,,,, Mzee wa hekima
Huyu aliyesema watu wema hawafi tutaona hata baada ya miaka kadhaa
@simonmurithi534 Жыл бұрын
Happy happy Mzee wetu
@ramadhaniyahaya7286 Жыл бұрын
Mwanasiasa hafai hata mnacheka nchi inauzwa hongeleni
@rogersndossi66122 жыл бұрын
Mzee Mungu akuongezee umri
@maikoandrew583 жыл бұрын
Shikamoo Baba yetu makamba
@thomaskiponda97043 жыл бұрын
Mzee ana maneno matam sana.
@sesicasi1364 Жыл бұрын
Lambeni tu, ila mwisho huo hapoooo!
@RobertNoman-bx5se7 ай бұрын
Mzee makamba alistahili kuwa mristo
@mwanahamisiMatipa Жыл бұрын
Wewe umeshakula vingi bwana
@clausemsemwa2973 жыл бұрын
Mzee Makamba kiboko
@joycesamweli12192 жыл бұрын
Na kweli wamelamba asali mtoto wake ni waziri wa Nishati
@ChristerShao7 ай бұрын
Mmmmmm na mkumbuka mzee huyu akiwa RC Kigoma.Waliotikiswa na Mzee Yusuf Makamba tujuane.
@HousenAhmadi2 ай бұрын
Safi sana
@bonabonala5559 Жыл бұрын
mnamkaribisha nyoka ndani huyo msariti mpaka yesu anajua huyo mnafiki kabisa pesa ya bandari inamsumbua amekura mgao huyo inamtafuna bandari
@allythabiti81507 ай бұрын
ila nyie watu bhn😂😂😂, chuki tu
@anthonypatrice5247 Жыл бұрын
Mnafik mkubwaaa
@khamiskiondo69853 жыл бұрын
Uwoooo ni msiba mkubwa
@isayamshihili11232 жыл бұрын
God bless
@fridamsemo9523 Жыл бұрын
,😂😂Mzee huy ana mafumbo
@issahajjiira54115 ай бұрын
Kafiri mkubwa
@swalehkataga83523 жыл бұрын
Makamba bwana
@ally2nyiii3183 жыл бұрын
Huyu mzee safiiii
@elishavicentmhina35453 жыл бұрын
Kweli ukubwa dawa
@ibrahimshilinde6129 Жыл бұрын
Ole wao ma nabii wa uongo walitumialo jina la Bwana kutakatisha ulambaji wa asali kwa kuvamia madhehebu yasiyo wahusu na kuhutubu
@jumamagembe-k8n18 күн бұрын
jaman utaniua na kucheka
@zuenahamoud15323 жыл бұрын
Uti ana tundu
@salumjumaruhaga25133 жыл бұрын
Kweli mtaramba sana
@helencyprian87457 ай бұрын
Kabisa
@momatv20193 жыл бұрын
Inna Lillahi Wainna Ilayhi Rajiuun
@dyzoomgonja98922 жыл бұрын
mnafiki mkubwa ww
@KassimSalumu-fk6yk Жыл бұрын
@@dyzoomgonja9892 kivipi
@raulianraphael68533 жыл бұрын
Ujanja wote huo ye na mwanae wameshindwa kuleta maendeleo jimboni kwao bumbuli
@deohank59953 жыл бұрын
Kwelii Nyuki ingia katika Mzinga wa Babu.
@christinammassy15503 жыл бұрын
Mzee anafanana na mama Maria Nyerere 🤔
@raymondkipipi5163 жыл бұрын
😂😂 Christina duu umenivunja mbavu
@babaluxe86263 жыл бұрын
Hhhh kafanana pia na, kiongozi wa upinzani, wa msumbiji, afono jakama.
@raymondkipipi5163 жыл бұрын
@@babaluxe8626 😂😂😂🤦🤦
@sashawambura7 ай бұрын
Hekima kubwa
@thomaskiponda97043 жыл бұрын
Utatamani kumsikiliza.
@sebajseba7193 жыл бұрын
Mze una maneomazuzi mungu aku bariki
@shabanimbiaji Жыл бұрын
SUBHHANALLAH... innalillah wainnailaih rajiun....kafiri hana kheri yeyote... acha kuwasifia maskofu mzee utaulizwa na ALLAH siku ya KIAMA nani amekufundisha kuwa ukirsto ni DINID 8:50
@andrewkissavah8272 Жыл бұрын
Shabani,shabani,shabani kwanini unachuki za kidini hivo ivi ni Mungu gani huyo mwenye chuki hiyo huyo alla Mungu wenu hakika huyo nijoka la mdimu aujoka la kibisa hakika mungu wawaislamu ni mwenye chuki na watu wasiyo waislamuna mwenye chuki ni shetani hivyo dini ya kiislamu nishetanina kuzimu
@leonardmhagama58287 ай бұрын
Unachukia nn tena wakati uko dini sahihi!? Wanatiana wengine unakojoa wewe, ok DINI sahihi ni uislamu,swali langu dogo tu "ni wazi kuwa kila muislamu ataonja pepo!? Na kila mkristo ataenda kuzimu!?"
@marianmartin7483Ай бұрын
Ww ni mbaguzi Shaban, ww ndie AllAH atakuuliza kwa nn uliwabagua ndugu zako. Wala haufai hata kuwa barozi wa nyumba kumi.
@JumaBendera-no6bkАй бұрын
Mmmmh 😭😭😭😭😭😭
@andrewkissava918418 күн бұрын
Kwani shabani,kwa mambo ya dini ni chuki na uhasama ? Kama ni hivyo ninyi wenzetu kuona mwislamu akisifia ukristo kuwa ni ukafiri basi uislamu ni ufrauni kabisa hivyo sisi watanzania hatuchukiani kidini wewe mwenye kuendekeza uislamu wachuki basi nenda uarabuni madina na makha ukakae huko kwenye huo ufirauni wa chuki za kidini