Salamu za Mzee Makamba

  Рет қаралды 159,273

KKKT DKMS Online TV

KKKT DKMS Online TV

Күн бұрын

Salamu za Mzee Makamba kwenye Ibada ya kuwekwa wakfu na kusimikwa kwa Askofu wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch.Dkt Msafiri Joseph Mbilu na kuingizwa kazini kwa Dean, Mchungaji Michael Mlondakweli Kanju Mei 9,2021

Пікірлер: 83
@rahmahersi6584
@rahmahersi6584 Жыл бұрын
Mzee Makamba... Unafurahisha...unatakiwa Kuwa Comedy...hongera Sana....wakuongezee Dakika .your so good.
@rexxsimba
@rexxsimba 3 ай бұрын
Mheshimiwa Mzee Yusuf Makamba ( Gwiji Wa CCM ) hutoa hotuba Tamu saana .. !!!😂😂😂
@valenakomba7686
@valenakomba7686 7 ай бұрын
HUYU MZEE MSHENXI SANAA.
@SungiMahumbi-s8h
@SungiMahumbi-s8h Ай бұрын
Wewe Mbiaji acha unyaturu Kristu ni njia kweli na uzima mtu haji kwa baba ila kwa njia yangu
@magesamatiku7506
@magesamatiku7506 7 ай бұрын
Yuda iskariote wa Tanzania. #WAZURI #HAWAFI@BONGE LA MNAFIKI
@AbuuSwafwaan-w5i
@AbuuSwafwaan-w5i 7 ай бұрын
Huu ndio mfano wa waislamu wanaoingia madarakani sasa kwa hali hii kweli watakuwa na uchungu na madhila yanayowapata waislamu? Kutwa wanataka dini mseto
@gospelguest694
@gospelguest694 7 ай бұрын
Mwanasiasa asiyebatizwa Wala kuokoka anawahubiri wachungaji nao wanainama mbele yake.
@AlfaSaa-j4h
@AlfaSaa-j4h Жыл бұрын
Ndo maana kkt wanaunga mkono uuzwaji wa bandari Hata kuisifia gavoment ni sawa
@MsanangoMwalabu-rx1oo
@MsanangoMwalabu-rx1oo 7 ай бұрын
Yuko kidunia zaidi uyu mzee hajitambui.
@issahajjiira5411
@issahajjiira5411 5 ай бұрын
Hili babu lina dhihirisha kuwa Nafiki
@mmassyferguson4959
@mmassyferguson4959 7 ай бұрын
Mwenyez mungu akubariki mh makamba
@zaidyabdalah3691
@zaidyabdalah3691 Жыл бұрын
Mwenye busara sawasawa ataelewa, lakini mbumbumbu ataishia kufurahi na kupiga makofi Asanteni, Agayaaaaaaaaaa
@KiswiririSwaliki
@KiswiririSwaliki 7 ай бұрын
Huyo si muislamu na hawezi kua muislamu tena asijiite muislamu
@comradeandrewsaul5459
@comradeandrewsaul5459 7 ай бұрын
Acha uvaguzi na kuhukumu Kwani vigezo vya kuiona pepo sio Dinii Bali ni matendo mema na Mungu ndio anajuwa yupi atainfua yupi haioni pepo njema
@HassanSalim-hl8qs
@HassanSalim-hl8qs Жыл бұрын
Huu ni msiba hili jitu bora ungekuwa mkristo
@LusekeloMwakyalabwe-ux9xq
@LusekeloMwakyalabwe-ux9xq 5 ай бұрын
Udini utakua kenge wewe
@HousenAhmadi
@HousenAhmadi 2 ай бұрын
😂
@isaackiwelu1458
@isaackiwelu1458 3 жыл бұрын
Well said mzee Makamba, Mungu azidi kukubariki na kukujalia afya njema ili uwaone wana wa wana wa wana zako.
@mackrinamgani854
@mackrinamgani854 3 жыл бұрын
Tutoe kodi nyinyi mle si ndio hiyo asali ni kodi zetu walai mungu atawalaan hela za wanyonge
@zachariagyunda201
@zachariagyunda201 2 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu mzee wetu.
@makondorshimora5017
@makondorshimora5017 2 жыл бұрын
Na kweli......,
@simonmurithi534
@simonmurithi534 Жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu kuishi duniani ,,,, Mzee wa hekima
@malopemaliyamungu5243
@malopemaliyamungu5243 3 жыл бұрын
Mzee wetu Asante sana.. nikija Lushoto ntakuja nyumbani
@peterbangari4273
@peterbangari4273 Жыл бұрын
Huyu Mzee lazima awe chawa namba Moja Tanzania kwa sababu mtoto wake analamba asali ya kutosha sikia maneno yake ya shonmbo
@mshangamafurahini5292
@mshangamafurahini5292 7 ай бұрын
😂😂mungu akusamehe makamba kwa Maneno yako
@LusekeloMwakyalabwe-ux9xq
@LusekeloMwakyalabwe-ux9xq 5 ай бұрын
Udini utakuua
@meryshekoloa961
@meryshekoloa961 7 ай бұрын
Babu yangu wewe mungu akuafu
@ShabaniSaidi-y1e
@ShabaniSaidi-y1e 7 ай бұрын
Makamba jembe
@WilliamMwandwanga
@WilliamMwandwanga Жыл бұрын
Alisema wazuli awafi, inamana baba wataifa alikufa alikuwa mbaya, wewe mzee unakufaulu
@raphaelmchilo-kx4tt
@raphaelmchilo-kx4tt Жыл бұрын
Nyie mmemkaribisha huyo mzee mhuni huyo mfukuzeni harakasana
@hilaliusjohn8386
@hilaliusjohn8386 Жыл бұрын
Huyu aliyesema watu wema hawafi tutaona hata baada ya miaka kadhaa
@simonmurithi534
@simonmurithi534 Жыл бұрын
Happy happy Mzee wetu
@ramadhaniyahaya7286
@ramadhaniyahaya7286 Жыл бұрын
Mwanasiasa hafai hata mnacheka nchi inauzwa hongeleni
@rogersndossi6612
@rogersndossi6612 2 жыл бұрын
Mzee Mungu akuongezee umri
@maikoandrew58
@maikoandrew58 3 жыл бұрын
Shikamoo Baba yetu makamba
@thomaskiponda9704
@thomaskiponda9704 3 жыл бұрын
Mzee ana maneno matam sana.
@sesicasi1364
@sesicasi1364 Жыл бұрын
Lambeni tu, ila mwisho huo hapoooo!
@RobertNoman-bx5se
@RobertNoman-bx5se 7 ай бұрын
Mzee makamba alistahili kuwa mristo
@mwanahamisiMatipa
@mwanahamisiMatipa Жыл бұрын
Wewe umeshakula vingi bwana
@clausemsemwa297
@clausemsemwa297 3 жыл бұрын
Mzee Makamba kiboko
@joycesamweli1219
@joycesamweli1219 2 жыл бұрын
Na kweli wamelamba asali mtoto wake ni waziri wa Nishati
@ChristerShao
@ChristerShao 7 ай бұрын
Mmmmmm na mkumbuka mzee huyu akiwa RC Kigoma.Waliotikiswa na Mzee Yusuf Makamba tujuane.
@HousenAhmadi
@HousenAhmadi 2 ай бұрын
Safi sana
@bonabonala5559
@bonabonala5559 Жыл бұрын
mnamkaribisha nyoka ndani huyo msariti mpaka yesu anajua huyo mnafiki kabisa pesa ya bandari inamsumbua amekura mgao huyo inamtafuna bandari
@allythabiti8150
@allythabiti8150 7 ай бұрын
ila nyie watu bhn😂😂😂, chuki tu
@anthonypatrice5247
@anthonypatrice5247 Жыл бұрын
Mnafik mkubwaaa
@khamiskiondo6985
@khamiskiondo6985 3 жыл бұрын
Uwoooo ni msiba mkubwa
@isayamshihili1123
@isayamshihili1123 2 жыл бұрын
God bless
@fridamsemo9523
@fridamsemo9523 Жыл бұрын
,😂😂Mzee huy ana mafumbo
@issahajjiira5411
@issahajjiira5411 5 ай бұрын
Kafiri mkubwa
@swalehkataga8352
@swalehkataga8352 3 жыл бұрын
Makamba bwana
@ally2nyiii318
@ally2nyiii318 3 жыл бұрын
Huyu mzee safiiii
@elishavicentmhina3545
@elishavicentmhina3545 3 жыл бұрын
Kweli ukubwa dawa
@ibrahimshilinde6129
@ibrahimshilinde6129 Жыл бұрын
Ole wao ma nabii wa uongo walitumialo jina la Bwana kutakatisha ulambaji wa asali kwa kuvamia madhehebu yasiyo wahusu na kuhutubu
@jumamagembe-k8n
@jumamagembe-k8n 18 күн бұрын
jaman utaniua na kucheka
@zuenahamoud1532
@zuenahamoud1532 3 жыл бұрын
Uti ana tundu
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 3 жыл бұрын
Kweli mtaramba sana
@helencyprian8745
@helencyprian8745 7 ай бұрын
Kabisa
@momatv2019
@momatv2019 3 жыл бұрын
Inna Lillahi Wainna Ilayhi Rajiuun
@dyzoomgonja9892
@dyzoomgonja9892 2 жыл бұрын
mnafiki mkubwa ww
@KassimSalumu-fk6yk
@KassimSalumu-fk6yk Жыл бұрын
@@dyzoomgonja9892 kivipi
@raulianraphael6853
@raulianraphael6853 3 жыл бұрын
Ujanja wote huo ye na mwanae wameshindwa kuleta maendeleo jimboni kwao bumbuli
@deohank5995
@deohank5995 3 жыл бұрын
Kwelii Nyuki ingia katika Mzinga wa Babu.
@christinammassy1550
@christinammassy1550 3 жыл бұрын
Mzee anafanana na mama Maria Nyerere 🤔
@raymondkipipi516
@raymondkipipi516 3 жыл бұрын
😂😂 Christina duu umenivunja mbavu
@babaluxe8626
@babaluxe8626 3 жыл бұрын
Hhhh kafanana pia na, kiongozi wa upinzani, wa msumbiji, afono jakama.
@raymondkipipi516
@raymondkipipi516 3 жыл бұрын
@@babaluxe8626 😂😂😂🤦🤦
@sashawambura
@sashawambura 7 ай бұрын
Hekima kubwa
@thomaskiponda9704
@thomaskiponda9704 3 жыл бұрын
Utatamani kumsikiliza.
@sebajseba719
@sebajseba719 3 жыл бұрын
Mze una maneomazuzi mungu aku bariki
@shabanimbiaji
@shabanimbiaji Жыл бұрын
SUBHHANALLAH... innalillah wainnailaih rajiun....kafiri hana kheri yeyote... acha kuwasifia maskofu mzee utaulizwa na ALLAH siku ya KIAMA nani amekufundisha kuwa ukirsto ni DINID 8:50
@andrewkissavah8272
@andrewkissavah8272 Жыл бұрын
Shabani,shabani,shabani kwanini unachuki za kidini hivo ivi ni Mungu gani huyo mwenye chuki hiyo huyo alla Mungu wenu hakika huyo nijoka la mdimu aujoka la kibisa hakika mungu wawaislamu ni mwenye chuki na watu wasiyo waislamuna mwenye chuki ni shetani hivyo dini ya kiislamu nishetanina kuzimu
@leonardmhagama5828
@leonardmhagama5828 7 ай бұрын
Unachukia nn tena wakati uko dini sahihi!? Wanatiana wengine unakojoa wewe, ok DINI sahihi ni uislamu,swali langu dogo tu "ni wazi kuwa kila muislamu ataonja pepo!? Na kila mkristo ataenda kuzimu!?"
@marianmartin7483
@marianmartin7483 Ай бұрын
Ww ni mbaguzi Shaban, ww ndie AllAH atakuuliza kwa nn uliwabagua ndugu zako. Wala haufai hata kuwa barozi wa nyumba kumi.
@JumaBendera-no6bk
@JumaBendera-no6bk Ай бұрын
Mmmmh 😭😭😭😭😭😭
@andrewkissava9184
@andrewkissava9184 18 күн бұрын
Kwani shabani,kwa mambo ya dini ni chuki na uhasama ? Kama ni hivyo ninyi wenzetu kuona mwislamu akisifia ukristo kuwa ni ukafiri basi uislamu ni ufrauni kabisa hivyo sisi watanzania hatuchukiani kidini wewe mwenye kuendekeza uislamu wachuki basi nenda uarabuni madina na makha ukakae huko kwenye huo ufirauni wa chuki za kidini
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 3 жыл бұрын
BArakoa ,,zipo Safi sana
@katherinasamwel3937
@katherinasamwel3937 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@MsanangoMwalabu-rx1oo
@MsanangoMwalabu-rx1oo 7 ай бұрын
Yuko ki dunia zaidi uyu mzee hajitambui
Minecraft Creeper Family is back! #minecraft #funny #memes
00:26
Как мы играем в игры 😂
00:20
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,3 МЛН
The joker favorite#joker  #shorts
00:15
Untitled Joker
Рет қаралды 30 МЛН
Крутой фокус + секрет! #shorts
00:10
Роман Magic
Рет қаралды 24 МЛН
Baada ya kustaafu, haya ndiyo maisha ya Mzee Yusuf Makamba-2
8:18
Daily News Digital
Рет қаралды 150 М.
Nyakati Ngumu Hutengeneza Watu Hodari | Rev. Dr. Eliona Kimaro
14:25
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 6 М.
PART 1: MZEE MAKAMBA AMVUNJA MBAVU KIKWETE HADI MACHOZI YAMEMTOKA...
20:48
Mkuu wa KKKT Mstaafu na Mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini
23:38
DK-Jimbo Kilimanjaro Kati
Рет қаралды 3,9 М.
Minecraft Creeper Family is back! #minecraft #funny #memes
00:26