SAMAHANI ASANTE |ep 18|

  Рет қаралды 94,123

KitaleMkudeSimba

KitaleMkudeSimba

Күн бұрын

Пікірлер: 886
@KitaleMkudeSimba
@KitaleMkudeSimba 26 күн бұрын
Hoya Huko Mbele sio Poa nyie Natamani Niwawekee Uhondo wote Hapa..!!!
@SelewawaSelewawa
@SelewawaSelewawa 26 күн бұрын
Tuwekee mzee
@JamilaAbdallah-i4v
@JamilaAbdallah-i4v 26 күн бұрын
Asa kwanini unatuwekea dakika 17? Si angalau ungeweka 20
@KalamundoyaKalamundoya
@KalamundoyaKalamundoya 26 күн бұрын
Weka
@AlesMgogo
@AlesMgogo 26 күн бұрын
Sasa ndo utuwekee nying tutachoka tutazila kitale
@paulinusdominic-b1m
@paulinusdominic-b1m 26 күн бұрын
tatioz unazingua unachelewesha kutoa alaf unatoa dakika chache sasa bora uweke dakika chache ila kilabaada ya siku1 au 2 uweumetoa muendelezo
@HappyRightgirl-u6o
@HappyRightgirl-u6o 26 күн бұрын
Mpo vizuri ila tunaomba tuongezewe dakika ,tunao kubaliana na hili tujuane
@FarajaAlois-c1e
@FarajaAlois-c1e 26 күн бұрын
Kabisaa
@mpondajuma2095
@mpondajuma2095 26 күн бұрын
Kunywa soda popote ulipo waambie ntalpa
@HappyRightgirl-u6o
@HappyRightgirl-u6o 26 күн бұрын
@mpondajuma2095 yakweli hayao mbona kama napigwq na kitu kizito hivyo
@mpondajuma2095
@mpondajuma2095 26 күн бұрын
@HappyRightgirl-u6o unakunywaaa2
@eunicecharles612
@eunicecharles612 25 күн бұрын
Kweli
@HasanooTozzy
@HasanooTozzy 25 күн бұрын
Daah nimependa saana mzee KAMA RAMADHANI KAMA anaisaidia kwa kuilinda familia yake licha ya madhaifu yaliyojitokeza kwa mwanae pamoja na mjuu wake. KWELI UTU UZIMA DAWa 💥TEAM RAMADHANI KAMA .💪🏽
@DonMooFILMES_Express
@DonMooFILMES_Express 26 күн бұрын
Kuna tamthilia hii ya SAMAHANI halafu kuna DUNIA, hizi ndizo kazi zenye mafunzo na kusisimua KZbin nzima Tz. Weka like kama unakubaliana na mimi.
@abubakarali2123
@abubakarali2123 26 күн бұрын
Kunywa energy nitalipia
@DonMooFILMES_Express
@DonMooFILMES_Express 26 күн бұрын
@abubakarali2123 nimeshakunywa kaka Mangi anasubilia hela hapa 😁
@zuleyakeah220
@zuleyakeah220 26 күн бұрын
Umeiwacha wapi mission impossible
@kabonakabona8121
@kabonakabona8121 26 күн бұрын
Afu Kuna mission impossible 😅🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@GASPERTARIMO
@GASPERTARIMO 26 күн бұрын
Yaan hapa Niko nasubr next episode SAMAHAN ASANTE na hyo DUNIA Kwa hamu sana jmn
@MussaMpemba-g7t
@MussaMpemba-g7t 26 күн бұрын
Filamu ipo sawa sana kwanza Nampa hongera sana mzee wanguu kama ramadhani kama kwa kucheza filamu hiiii kwa asilimia %100 hongera sana ahsanteni wote kwa pamoja
@Momramso
@Momramso 26 күн бұрын
Daah mzee kama ramadhan kama wajna wa mwanaguu samarekooooo🤝😂❤❤❤❤🎉🎉🎉
@morganijoshua2633
@morganijoshua2633 26 күн бұрын
Da mzee kama noma sana huyu mzee anajua hadi anaboa😅😅😅😅😅
@kitaraabdi9529
@kitaraabdi9529 26 күн бұрын
Mzee nomaaa 😂😂
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 24 күн бұрын
Kabisa😂
@ANTHONIAKADOYI-l1v
@ANTHONIAKADOYI-l1v 26 күн бұрын
Kwa ajili ya mashabiki zenu na wanaofatilia move hii, naomba msicheleweshe sana.
@profesakiongozi3930
@profesakiongozi3930 25 күн бұрын
Kabisa
@NagibKhamis
@NagibKhamis 26 күн бұрын
Asante sanaaa Mr kitaleee kazi nzuriii,sana na tumehurahiaaa,nyoyoooo zimeburudika vilivoo kwa muendelezoooo huuu,asanteee tumevuttiwaaa sana kwa mipangilio wa tamthilia hiii,,,,,,shukran sana tukopamojaaaa,,,na tunazidiii kusubiriaa muendelezooooo ujaoooooooo
@NagibKhamis
@NagibKhamis 25 күн бұрын
Asanteee sanaa,tukoopamojaa
@Malyunsaidisaidi
@Malyunsaidisaidi 26 күн бұрын
Oya sio powa🙏🙏🙏🙏
@SABURIMUTRA
@SABURIMUTRA 26 күн бұрын
Samahani asante, imenipa funzo sanaa nawapa hongera nimejifunza vingi kitale hatariii,ila mmechelewesha jamanii, kama mzee hatarii
@Kaka_kenny
@Kaka_kenny 23 күн бұрын
Professor Gumlasenga ukiacha character alovaa, aisee ni mwamba sana ame nail vzl sana kwenye Movie 😅
@RatifaMusa-c5i
@RatifaMusa-c5i 26 күн бұрын
Move nzurii fupi then mnachelewesha jitahidin kutufraisha na kazi zenu tnawapenda jmn😍😍
@DamarisDuuTausi
@DamarisDuuTausi 26 күн бұрын
Watufurahisha dakika kidogo movie ikosawa kitale hongera sana ❤❤❤❤❤❤❤
@asha-r1d3w
@asha-r1d3w 25 күн бұрын
naitwa asha ramadhani kama sasa njooni talatibuu😂😂😂😂😂😂
@AlymisagoSwami45
@AlymisagoSwami45 26 күн бұрын
Jamani nataka na mim like zangu mzee ramadhani kama yuko vizur kwenye uuu serious kbsa
@MwanashaRashid-i9y
@MwanashaRashid-i9y 26 күн бұрын
Babu uko swa❤❤❤
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 24 күн бұрын
❤❤❤
@aminahhuawei1133
@aminahhuawei1133 25 күн бұрын
Mzee kama ubarikiwe sanaa baba yangu mungu azidiii kukubarikiii akupemaisha marefu ameen❤❤❤❤❤
@SabraSef
@SabraSef 12 күн бұрын
Mzee kama ndo anaefanya niangalie Big up mzeee🎉🎉🎉🎉
@StarBwoiyz
@StarBwoiyz 26 күн бұрын
Mzee kamaa 😂😂😂🎉🎉🎉🎉 🔥 🔥 kiboko ya wachawi
@Najmahnyangasi
@Najmahnyangasi 26 күн бұрын
Wa mwisho jaman kutoka kenya mimi ❤❤❤❤ila hakuna hata anae sapoti movie kazi nihiyo ya kwanza na wa 5 hajulikani wa ishirini ninani mmmh 😂aaah jaman
@LoiceLoice-c1b
@LoiceLoice-c1b 23 күн бұрын
Nampenda san baba Aisha ana cheza pat yke vzur hongera san babu❤❤❤❤❤
@DamarisDuuTausi
@DamarisDuuTausi 26 күн бұрын
Mzee kama hongera sana mimi niwewe tu nakutazama hapa
@MERRYMEENAH
@MERRYMEENAH 26 күн бұрын
Mama shafii anaigiza vizr hatumii nguvu ila mko vzr sana 🎉❤
@jumazahoro3537
@jumazahoro3537 26 күн бұрын
Kwanza mama ni pisi kali
@aikt.
@aikt. 26 күн бұрын
kwangu kitale wewe ni story creator mzuri sana. Niswala la muda na Mungu. 💥💫
@AshaLazaro-u9m
@AshaLazaro-u9m 26 күн бұрын
Hawana imani na mganga waoooo 😂😂😂😂😂 make kwanza nicheke vibe limewaisha marafiki wabaya hawaaa mmmh😂😂😂😂
@AngelMbaraka
@AngelMbaraka 26 күн бұрын
Huu mwandiko niliujua kabla ya kusoma jina nikajua kama sio Asha,Bas Aisha au Mwajuma 😂😂😂
@JulianaMwilongo-o7y
@JulianaMwilongo-o7y 25 күн бұрын
SAMAHANI ASANTE👐👐👐👐KITALE
@NaimaNuhu
@NaimaNuhu 26 күн бұрын
Oyooooo wakwanza mm leo😂 yarabii tupe uzima na afya 🙏🙏
@mtindogenious_jr-on4vu
@mtindogenious_jr-on4vu 26 күн бұрын
From USA congratulations💯💯💯
@nishawangaiwangai9765
@nishawangaiwangai9765 25 күн бұрын
Mzee ramadhani big love❤❤❤❤ from Kenya 🇰🇪
@umentco9600
@umentco9600 26 күн бұрын
Hogera sana babu haisha napenda sana kila kipindi uko nimefatilia sana kutoka kwa maneno ya kwambia uko sw babu
@RashidashaibuIssa-e8m
@RashidashaibuIssa-e8m 24 күн бұрын
Nampenda bure sana huyu yangu jaman 🎉🎉🎉🎉
@KareemJuma-n7b
@KareemJuma-n7b 25 күн бұрын
Mzee kama honger kwako🎉🎉🎉🎉🎉
@IzzAl-DinFadheel
@IzzAl-DinFadheel 26 күн бұрын
sema huy mzee aliyepokonywa uganga ana mawenge san 😂😂 kifup namkubal...✌️✌️
@ukhutymamuu7470
@ukhutymamuu7470 13 күн бұрын
😂😂😂😂
@petromatola5426
@petromatola5426 26 күн бұрын
Kazi nzuri sana kila mtu amevaa uhusika vizuri 🫡🫡🫡
@Malyunsaidisaidi
@Malyunsaidisaidi 26 күн бұрын
Jamani walioko makina vip mzigo huw😢😢😢
@OkinawaMchizi
@OkinawaMchizi 26 күн бұрын
Kilio changu kipo kwenye dakika kwenu nyie wakali wa izi kazi. all in all good work 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@maryamanalisi197
@maryamanalisi197 26 күн бұрын
Maa shaa Allah ❤❤🎉🎉
@beatricerauteli3578
@beatricerauteli3578 26 күн бұрын
Huyu mzee kama awe babu yangu basi naona Aisha na mama ake wanafeli aisee ningetamba vibaya mno 😂😂😂😂😂
@FatmaBakar-up7jv
@FatmaBakar-up7jv 26 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@OkinawaMchizi
@OkinawaMchizi 26 күн бұрын
Tuongezewe dakika bana aah sio kweli 🎉🎉
@RIZIKIDola
@RIZIKIDola 26 күн бұрын
❤❤❤❤jamani mutuweke ndefu kidogo mzee kama Ramadhan yupo sawa
@JoyceShayo019
@JoyceShayo019 26 күн бұрын
Mtuongezee dk vpand n vifupi. Alafu Kam inawezekam muitoe kila siku jmn ❤❤❤❤
@GeraldChamlonde
@GeraldChamlonde 26 күн бұрын
Mapema ngoma tunayo
@JustinStyno
@JustinStyno 26 күн бұрын
Mzee kama kazi yako nzuri kabisa
@SalumuKilwanda
@SalumuKilwanda 24 күн бұрын
Mzee kama noma sana🎉
@osmankiaaba
@osmankiaaba 26 күн бұрын
Kaka kazi nzuri lakin dk ni chache mno fanya utuongeze
@khamisimbogha615
@khamisimbogha615 26 күн бұрын
Dakika ni chache mno
@MwantumuAbdallah-iy9wj
@MwantumuAbdallah-iy9wj 26 күн бұрын
Jaman mbona dk chache afu utamu kunoga
@NeriaMwaibako
@NeriaMwaibako 26 күн бұрын
Kwakwel waongeze jamanii
@yusterchesco8818
@yusterchesco8818 26 күн бұрын
Kweli kabisa
@Mainatongwe
@Mainatongwe 26 күн бұрын
Nampenda sana Ramadhan kama wachezeee hao😂😂😂
@azizamtamile1308
@azizamtamile1308 26 күн бұрын
Huku Dunia huku samahani asantee huku my doungter unyama sanaaaa❤️❤️
@ZeinabMohammad-t2z
@ZeinabMohammad-t2z 26 күн бұрын
Kazi nzur sana❤❤❤❤❤❤❤
@FaridaKarembo
@FaridaKarembo 25 күн бұрын
Huyu mzee kipoko ❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 nimependa
@gullkhan3399
@gullkhan3399 25 күн бұрын
nawapenda san lakin kazi munakauza san❤❤❤❤
@AminaMpoto
@AminaMpoto 26 күн бұрын
Ongela cn kakangu
@Naeema-d9s
@Naeema-d9s 26 күн бұрын
Kazi nzur big up sana❤❤
@HalimaMkop
@HalimaMkop 26 күн бұрын
Kaz nzur🎉
@ThomasKibutwa
@ThomasKibutwa 26 күн бұрын
Safi sana. Kazi nzuri.
@Sidik-d7e
@Sidik-d7e 26 күн бұрын
ASSLAMALAKUM WARAMATUALLAH WABARAKATU I LOVE THIS FILM FROM BOTTOM OF MY HEART ❤️ 💗❤❤❤❤ I LOVE PEOPLE OF TANZANIA 🇹🇿. I AM LIVING IN UK 🇬🇧 LONDON BUT I AM ORIGINAL FROM KENYA MOMBASA . MY ALLAH BLESSED EVERYONE WHO MAKE THIS 🎥 FILM AND ALSO ACTOR AND ACTRESS MY DUA ALWAYS WITH THEM UR BROTHER SIDIK FROM LONDON 🇬🇧 UK WS ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 24 күн бұрын
Tunazidi kulisongesha kama kawaida tupo na mzee kama❤🎉
@AsmahAmilikhan
@AsmahAmilikhan 25 күн бұрын
Tupostie ata vipande viwili dabo hongera kwa kazi nzuri
@majidayubu8221
@majidayubu8221 25 күн бұрын
Kitale salute zote pls hakikisha ina kwisha vizuri mana weewe umaliziaji mtihan
@MaryamTerran
@MaryamTerran 26 күн бұрын
Iko powa sana ❤❤❤❤❤
@Salmamazige
@Salmamazige 26 күн бұрын
Mie pia nimewahi jamaniii Maasha'allaah kazi nzuri wameitendea kazi
@kitaraabdi9529
@kitaraabdi9529 26 күн бұрын
Daah simchezooo Babu noma sanaa
@MealiiOmar
@MealiiOmar 26 күн бұрын
Jamn mschelewa kutoa yn Babu uko vzur sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@rosembaja2752
@rosembaja2752 26 күн бұрын
Nimekuwa wa kwanza napenda kumuona kama Ramadhan kama❤❤❤❤❤❤❤
@Singidaicon
@Singidaicon 26 күн бұрын
@@rosembaja2752 mm ni wakwanza
@RamadhaniOmary-e3d
@RamadhaniOmary-e3d 26 күн бұрын
Mjuu wangu Asante
@rosembaja2752
@rosembaja2752 26 күн бұрын
@@RamadhaniOmary-e3d mungu akupe afya na neema kipaji unacho na tunatamba na wewe♡♡♡♡♡♡♡
@RamadhaniOmary-e3d
@RamadhaniOmary-e3d 26 күн бұрын
@rosembaja2752 shukran sana mjukuu wangu
@PillyAbdelNasser
@PillyAbdelNasser 26 күн бұрын
Unajua kutupa Raha kwa kwel daah hongera brooo
@ShadiaOthman-vq1jy
@ShadiaOthman-vq1jy 26 күн бұрын
hamuwez mzee kama nmefrahii kumuona mzee kama kaweka ulinzi halaf kafikaje😂😂😂😂
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 26 күн бұрын
Mm nilijua tu asingewaacha kizembe😂😂
@Shadia544
@Shadia544 5 күн бұрын
Miee naendelea nayo mpaka niwafikie mlipo jamaniii 🎧🪑🪑
@IreneMsile
@IreneMsile 26 күн бұрын
Mnazingua bhana mbona dk ni chache sana ongezen basi kidogo
@emmyfaustine4323
@emmyfaustine4323 26 күн бұрын
Mzeee kama ni 🔥🤸🤸🤸🤸🤸
@darprprime3492
@darprprime3492 25 күн бұрын
Haya niwape ratiba DUNIA SAMAHAN ASANTE CHAKI KIZAZI CHA ABDALLAH KIUNO season 2 SITUATION SHIP 😊😊
@harithmohd6318
@harithmohd6318 26 күн бұрын
Jaman mbn dakika kidog wadau uk yan hii mov Big up
@jumaluaga7092
@jumaluaga7092 26 күн бұрын
Mnaonaje mkiniita mzee kama😂
@lucykavundo9133
@lucykavundo9133 26 күн бұрын
😅😅😅😅😅
@KikwapeTz
@KikwapeTz 26 күн бұрын
😅😅😅😅
@tausimussa6553
@tausimussa6553 25 күн бұрын
Haya Mzee kama juma kama 😂😂😂😂😂
@JamesMlajile
@JamesMlajile 25 күн бұрын
❤❤ makopa kwa lamazani kama
@dalalimrembo
@dalalimrembo 25 күн бұрын
Yaani haka kazee kachawi noma sana.... Ndo mara ya kwanza kwenye game na kaua aisee ni zaidi ya fundi anajua mno na sauti yake sasa na macho mie hoi😅😅😅😅😅😅 umesema "ya aisha? Ya kwakwe? Una uhakika?? Ya kwake? He killed it💝😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂👌
@Samiyabahatinanti
@Samiyabahatinanti 26 күн бұрын
Babu aisha nakukubari weye kiboko 🎉🎉🎉❤
@NeemaJumanne-h5d
@NeemaJumanne-h5d 26 күн бұрын
Uuuuuwiiiih, jamani jamani jamaaaniii, mbona patam hvi 💋
@TrishaBebeh
@TrishaBebeh 26 күн бұрын
Siwez kuishi bila mzee kama 😍🥰😘
@CarolineJoseph-l2h
@CarolineJoseph-l2h 26 күн бұрын
Anh mzee kamaakuna kama ww🙌🏽😂😂
@RiphaWhite
@RiphaWhite 24 күн бұрын
🎉🎉
@RiphaWhite
@RiphaWhite 24 күн бұрын
Daah mzee ramadhan jaman huy0 ndiye I Like 🌹🌹
@perfectsong5459
@perfectsong5459 26 күн бұрын
Duh tatzo mnaweka fupi sana Aisee mbaka inakata ham mana mnachelewa pia kupost
@priscusmboya4877
@priscusmboya4877 26 күн бұрын
Kitaleee unajuaaa
@Udron_09
@Udron_09 26 күн бұрын
Mzee kama🔥🔥🔥🔥
@EtoAsukulu-zc1iu
@EtoAsukulu-zc1iu 26 күн бұрын
Munachelewesha sana jamani tunabaki wa pweke sana
@sofiaabdallah8741
@sofiaabdallah8741 26 күн бұрын
❤❤❤❤❤🎉🎉dakika nikidogo😂😂😂😂
@mohdabdi4157
@mohdabdi4157 25 күн бұрын
Kama Ramadhani kama 💪💪💪💪
@stelasalum1234
@stelasalum1234 26 күн бұрын
Mimi huyu babu namkubar anajuaaa❤
@frankkagosso3093
@frankkagosso3093 25 күн бұрын
Mzee Kama Ramadhan Kama 🙌🏾😂😂😂😂😂
@Hurusla
@Hurusla 26 күн бұрын
Mash allah tabarrak allah kazi nzuri sna ❤❤
@FaustineJonasi
@FaustineJonasi 26 күн бұрын
Top 5 Mission impossible Dunia Samahani ahsante My daughter Last chance
@abdul-hamidali6534
@abdul-hamidali6534 26 күн бұрын
Chaki by madebe lidai
@alphoncebenedictor9538
@alphoncebenedictor9538 26 күн бұрын
my daughter imefika ep8 wamealibu kila kitu
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 24 күн бұрын
❤❤❤
@qiessentials
@qiessentials 25 күн бұрын
Mzee KAMA 😹 Huyu Mzeee Hataniwi toka Maneno ya Kuambiwa, hacheki na wowote 😛
@mrben227
@mrben227 26 күн бұрын
Mzee kolelo ni mafia sana 😂😂😂
@MercianMlewa
@MercianMlewa 26 күн бұрын
Mungu ni mwema Kwakila jambo Kaz nzur ongera kaka
@estherkimaro
@estherkimaro 25 күн бұрын
Jmn ni nzr sana na inafundisha lakn naomba iwe ndefu kidogo maana unatuacha na hamu 😅
@sahirangel9991
@sahirangel9991 23 күн бұрын
Mzee RAMADHAN KAMA ni noma Wallah ❤
@SWAHILINEWS
@SWAHILINEWS 26 күн бұрын
Ila mashoga🙌🙌wanafki sana
@ReginafrancisNkalyan
@ReginafrancisNkalyan 26 күн бұрын
Kila mtu wa kwanza kila mtu wa kwanza...mbona hatuongelei swala la Aisha tujue tunamsaidiaje?mimi nataka namba ya Aisha nimpe ukweli
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 26 күн бұрын
😂😂😂achana nae bwana siwameshindwa kumskiliza aliyewahi kuliona jua.mwache apambane nahali yake
@abubakarnassorali8452
@abubakarnassorali8452 26 күн бұрын
😂😂
@FatinaShabani-k7j
@FatinaShabani-k7j 14 күн бұрын
😂😂😂
@ShemsaMohamed-y5j
@ShemsaMohamed-y5j 26 күн бұрын
Fantastic wiki episode tatu
@JaneSanga-b4i
@JaneSanga-b4i 26 күн бұрын
Jamn niliimic🎉🎉🎉
@faswilatshrof2728
@faswilatshrof2728 26 күн бұрын
Kwann wanataka aisha afe lakin mzee kama ramazani kama upewe mauwa yak❤
@JessicaIrakoze-w4e
@JessicaIrakoze-w4e 26 күн бұрын
Hata mimi nimekuwa wakwanza Bana 😂
@JasmineAbdallah-u3d
@JasmineAbdallah-u3d 25 күн бұрын
Mmmmmmmh sema samahani asanteee atarrr bhn dah
@EdsonJonas-m5m
@EdsonJonas-m5m 26 күн бұрын
Boss kitale ongeza muda kidogo
SAMAHANI ASANTE |ep 17|
18:47
KitaleMkudeSimba
Рет қаралды 101 М.
SAMAHANI ASANTE | ep 19|
19:50
KitaleMkudeSimba
Рет қаралды 105 М.
It works #beatbox #tiktok
00:34
BeatboxJCOP
Рет қаралды 41 МЛН
Sigma Kid Mistake #funny #sigma
00:17
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 30 МЛН
SAMAHANI ASANTE  EP 23
16:02
KitaleMkudeSimba
Рет қаралды 91 М.
SAMAHANI ASANTE |ep 21|
21:25
KitaleMkudeSimba
Рет қаралды 102 М.
SAMAHANI ASANTE |ep 20|
18:47
KitaleMkudeSimba
Рет қаралды 101 М.
SAMAHANI ASANTE |ep 22|
19:11
KitaleMkudeSimba
Рет қаралды 89 М.
BSS 2024 SE15 EP05 DAR | FULL SHOW
1:30:47
BongoStarSearch
Рет қаралды 166 М.
MY DAUGHTER  | episode 1 & 2 |
27:46
CLAM VEVO
Рет қаралды 885 М.
MY DAUGHTER  I ep 14 I
17:04
CLAM VEVO
Рет қаралды 415 М.
AGANO (Ep 20) FINAL
33:24
ASMA FILMS
Рет қаралды 179 М.
SAMAHANI ASANTE |ep 16|
17:49
KitaleMkudeSimba
Рет қаралды 94 М.
MY DAUGHTER  I ep 13 I
20:51
CLAM VEVO
Рет қаралды 472 М.
It works #beatbox #tiktok
00:34
BeatboxJCOP
Рет қаралды 41 МЛН