Dah yaan ukimsikiliza chidi kwa kweli hii ni kichwa basi tu yaani anaongea point tupu big up sana Chidi
@albertkarisa86204 жыл бұрын
Mziki wa East Africa uko tanzania ĺakini wasanii wengi wa Kenya wanahela ndefu. Sababu tanzania deals zinapewa watu watatu tu. Kenya wasanii wadogo wanatengeza hela na ngoma moja tu. Chidi ameongea ukweli
@dkensmopainvevo36834 жыл бұрын
Kenya gani unaongelea bro
@frankparis83463 жыл бұрын
Goooooood brother
@mlokozibenedict294 жыл бұрын
Chidbenz ni mtu ambae is very smart upstairs sema tuu unaitaji kumsikiriza vizur ili uweze kumzoea ✌️🙏🙏
@rmags86544 жыл бұрын
He has said very valid points even the govt is contributing to suppressing other artists!!
@einsteinmboje47304 жыл бұрын
Anachojaribu Kusema Chidy Nakielewa ...Haswa Kwenye Point Ya Tz Kuwa Na Wasanii Wachache Tu ....Lakin Wachache Hao Ndio Wanaojua Kiukweli Japo Inauma Kuona Wapo Wachache ....Chidy Bado Anaamini Kwenye Vya Kale , Time Changes Hata Yeye Enzi Zake Kulikuwa Hakuna Kama Yeye Alipewa Sana Promotion So Alilalamikie Kizazi , Alalamike Why Wasanii Wa Zaman Hawataki Kwendana Na Soko Au Kuwa Wabunifu !! Mfano Mwana FA , alikiba ,Dully Sykes ...Ndio Wakongwe Ambao Wanaweza Kufanya Lolote Mda Wowote Kutokana Na Tabia Yao Ya Kubuni Kitu Kipya , Wasanii Wa Zaman Hawatakiwi Kuwa Wanatoa Nyimbo Mara Kwa Mara Coz Ubunifu Unapotea Washaimba Vingi Saaaana Mwishoye Wanarudia Tu ,Tulizen Kichwa Achia Moja Moja Au Hata Album Unaitengeneza Kwa Mda Mref ....Kiukweli Sanaa Yetu Uko Very Corrupted Na Yenye Choyo ...But Hardwork&Creativity Pays ...Mfano Tumeuona Kwa Diamond Platinumz Alibaniwa Sana Now Tunaona Yuko Wapi... Hata Chidi Anaposema Wasanii Wako Watatu Sio Watatu Ni Mmoja Tu anatuwakilisha ,Haswa Tunapoongelea Kutuwakilisha Kimataifa !! NATAMAN SIKU MOJA NIWE WAZIRI WA SANAA ,Nibadilishe Kitu Kwenye Industry Yetu...Uozo Mtupu
@oscarvipi56034 жыл бұрын
Iko sawa
@rogermunghezi2484 жыл бұрын
Haha Einstein chili game la bongo ushubwada
@roi25534 жыл бұрын
Bongo ni Utopolo
@mactone14 жыл бұрын
Mmetisha wanangu gwala mingi kwenu danzo,iddy Muller, Philbert na mkogoti
@faudhiasalum72794 жыл бұрын
Kaka chidbenzi 😍
@romadanromadan43984 жыл бұрын
Ched bez na dudu baya Wana sediya wasani madhambi Wana yaabeba waho🤣🤣🤣👍🇰🇪🇰🇪
@westonyjob17474 жыл бұрын
Chidi bhna ww nomaa kaka
@gerrarddanken51683 жыл бұрын
Dar!!!!! Aiseee jamaa nimemuelewa sana
@roi25534 жыл бұрын
Interview za huyu jamaa nazikubali sana mana ni za akili ya hali ya juu sana
@shootershilcon83074 жыл бұрын
Namkubali sana chidi salute uko sahihi
@manugwainvestments46174 жыл бұрын
chid umebadirika unapendeza kweli kweli just move foward bro
@denicegabriel66164 жыл бұрын
Kwendaa huko😁
@xtashrayvash29964 жыл бұрын
Huyu kaisha.... Mondi anasupport wasani wake
@ramermohamedy43444 жыл бұрын
Chid ana madini mengi sana sema hawa wafuasi wa team mondi, team kiba, team kode boy akili zao zmejaa matope ndio maana comment zao znaponda madini ya chid
@clemkiz23764 жыл бұрын
9:09 😅😅😅
@saidulaya73084 жыл бұрын
ChiDi beeeenz💥💥
@saidkanji45704 жыл бұрын
Uko sawa sana chid
@ramadhanimrisho55324 жыл бұрын
Chuma umeongea 🔥
@erickmichaelmugele21074 жыл бұрын
Etiii mmmmh..mhmmmh..
@clemkiz23764 жыл бұрын
28:30 🙌
@geofreybarama40004 жыл бұрын
Chid Benz umeongea point sana mziki usi baki kwenye tatu Bora tuna wasanii wengi sana
@thomasboniphace72544 жыл бұрын
Nomaaa, three whyyyyyyyy? Tunatengeza nini? Whyyyyyy? In chid's voice! Ila ni ukweli mchungu.
@gabrielomondi46304 жыл бұрын
HUYU MWENYE INTERVIEW PIA HANA MWELEKEO...NI KAMA ANAMCHOCHEA CHIDI AONGELEE TU HILI JAMBO MOJA...
@omarimwishee73403 жыл бұрын
Mbavu zangu Jamani kunyaaaa
@johnjay64084 жыл бұрын
Chid beeeeenz Chuma
@stevenoiro38154 жыл бұрын
Akili kubwa
@Jamesbrown-nz9ez4 жыл бұрын
IQ kubwa ....yupo real no fake
@aronnasloyaljr79454 жыл бұрын
Cheed genius sana, ila kutoka young lunya hadi young kunya hahahah
Dah!!! Chidy kanichekesha kifaraaa eti kama wakijuana na salamu anatimba nasibu wakijuana na seven anatimba kiba eti burnaboy ni konde 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😀😀
@gabrielomondi46304 жыл бұрын
JAMAA ANALIA LIA SANA..NI ISHARA YA KUFELI...HUWEZI KUKAA TU UKATEGEMEA ETI WENGINE WAKUINUE AU WAKUSAIDIE...KWANI WE NANI USAIDIWE..MBONA USIJISAIDIE KAMA WAO WENGINE WAMEJISAIDIA...VIPI HUYU??? NI WAZI HAELEWI BIASHARA YA MZIKI
@janguboitz43164 жыл бұрын
Babuuu hata hao anaosema wamusaidie kipindiii hawana kitu,chidi Ni moja ya Mtu aliyewasaidia Kipindi wanamlilia,na Ni chachu ya Mafanikio yao,Taja Kati yao hao watatu Nani ajasaidiwa na chidiii,!!Mchizi anachomaanishaa Apo wajifunzee kulipaa fadhilaaa,na Iko Waziii deal Kibao saiz zinachukuliwa na label 3,ndio wanafanya mziki Mzuri,Lakin sio Kwamba artist wengine hawafanyiii,Semaaa atrist share ya mkate Iliwee sawaaaa,Kingkong azingui Wala nini,Wasaniii Kibao wanaogopa kusema flont,Promo itakosaaa
@freelancer63684 жыл бұрын
@@janguboitz4316 So makampuni yakiwapa deal diamond,Alikiba au harmonize waisusie kwa sababu cheed hana endorsement ...Baada ya wao kuhangaika kutengeneza brand zao?
@produzerstino13954 жыл бұрын
Kaka chidy nimemuelewa ...kwanza hana chuki wala kinyongo ..bali Anastasia tasnia ya tanzania kiujumla ..wapo wasanii waliotangulia kwenye game ..waliopo na wanaokuja ..ili mziki ukue ..saport ni muhimu kusapotiana ..
@calvinloveambroce8424 жыл бұрын
Mnatakiwa kumshukuru MUNGU kwa kuwaletea diamond maana bila yeye muziki huu ungeshakufa muda mrefu Sana kwa maana bila diamond mmakonde angekuwa bado anauza maji kariakoo na bila diamond Ally kiba asingerudi kuendelea na muziki ,,,, huyo diamond kwsas si msanii wa Tanzania tu huyo ni wa dunia ni kosa kubwa Sana kumlinganisha na hao wasanii local
@fahamnitwahir92494 жыл бұрын
Muziki ungekufa? Kwa hiyo kabla ya diamond mziki ulikuwa umekufa
@spaice9954 жыл бұрын
Unachokiandika unakielewa au unajifurahisha tu sita kulaumu kama umezaliwa 2002 au 2005 sio kosa lako mziki hajaanzisha diamond na hakuna nyimbo ambazo ziko vichwan mwa watu na hazitafutika kamwe ni nyimbo za wasanii wa zamani hatachuja na hazijawah kuchuja mfan malaika ni nyimbo from Tanzania utaoa utaolewa na wajukuu watakuja wataisikia na wataiimba San na sio nyimbo ya diamond ambazo zinatoka leo zinachuja kesho sabab ya ushabiki Sio namkandia mondi anafanya vizuri lakin awape nafasi na wengine
@furahachuma90392 жыл бұрын
Duuh kweli ndugu yangu huelewi unachoandika. Diamondi kaukuta muziki iweje asingezaliwa muziki ungekufa?
@furahachuma90392 жыл бұрын
Punguza mahaba, muda wa Diamond umekwisha.
@furahachuma90392 жыл бұрын
Mungu akipanga amepanga. Hata bila Diamondi, Harmonize angeinuliwa na mtu mwingine. Hata huyo Diamond bila kuinuliwa asingekuwa hapo.
@kevoowasanya86754 жыл бұрын
ili jamaa nili janjaa
@sweetdaddydee59424 жыл бұрын
Chiddy Benz, muziki ni biashara. Mtu akiji-brand au aki-brand bidhaa zake vizuri, basi kizuri kinajiuza! Diamond ameji-brand na akafanya vilevile kwa bidhaa mpya zake alizozipeleka sokoni.
@azizayassin36234 жыл бұрын
Kweli shida tz shule nimekuelewa😂😂😂
@spaice9954 жыл бұрын
Tuangalie mifano nchi zingine kikubwa sio brand kinachongelewa hapa ni kuwapa nafasi wengine wasanii wadogo sababu ni wazuri kuliko hata hizo brand kubwa unazoongelea
@sweetdaddydee59424 жыл бұрын
@@spaice995 Gimme an example....... coz mimi mwenyewe nimeishi Europe for over 20 yrs, and it's all about branding! Si WCB, Konde Music, Kings Music na label zingine zinawapa nafasi wasanii......lakini ndio wapokelewe na soko, lazima watengenezwe. Hata mtu ajue kuimba vipi, bila uekezaji na branding, hafiki pipote!
@spaice9954 жыл бұрын
Mfano msanii mkubwa akitambukisha msanii hatakiwi kishindana nae sabab ni tayar jina unalo so you can't compare na chipikiz we unazan hatuna wasanii wengi Tanzania mfan burn boy kwa sasa amekaa kimya toka katoa album yake after wametokeza wasan kibao na wamefanya vizur sana kama burn boy angetaka kushindana nao usingesikia rora inakiki ila mondi asisikie msanii mpya kahit basi nae analeta lake kumzima mtu
@spaice9954 жыл бұрын
Wasanii wakubwa tanzania wanawazima wasanii wengine ni hawataki kabisa mtu yoyote a hit hata sekunde moja watafanya juu chini ndan ya hizo sekunde chache watafanya kitu kubadilisha muelekeo wa huyo mtu
@raymondmartin80484 жыл бұрын
Chidibkakosa hela za kampeni nini 😀😀😀mbona analalamuka jamani huumziki wa kongwe ndio wanasahaulika tena
@freelancer63684 жыл бұрын
Yaani😂😂😂😂malalamiko anawapelekea watu wengine ambao wamehangaikia majina yao
@zemgotanar52644 жыл бұрын
Basata naomba mfatirie hii intavyu maneno wanaongea yako sawa naire intavyu ya wcb
@manugwainvestments46174 жыл бұрын
hahahahah chiiid benz bhn unasema kwelii bhn
@williamjames68314 жыл бұрын
Chid umetisha Mzee
@Ng_muscat4 жыл бұрын
Muandishi anataka kumtoa kwa reli chidi anaendelea ku control muandishi ushauri kwa samisago enterview Kama uwe unashililia mwenywe cheedy kapitia mengi mziki wa bongo huwezi kuujua paka uwingie ndani na anacho maanisha mpeni kila msani mafasi tuendle
@shabanijuma20854 жыл бұрын
Ahaaa haha haha eti" masikini"
@salehally76194 жыл бұрын
Ulijiharibia mwenyewe na madawa ya kilevya usimlaumu mtu ulishindwa kujiendeleza hao unawataja wanatumia pesa kuwa hapo juu walipo usifikiri wamefika kimiujiza,wakimtoa mtu wanatumia pesa awamtoi mtu bure mziki ni biashara sasa siyo jina bro.
@wivinemwamini91103 жыл бұрын
Semamuzikiwenu unanjaa chuki
@gasanajacques22474 жыл бұрын
Eti youn kunya hahaha
@allyviva83284 жыл бұрын
Chid ama kwel, ukwel Siku Zote Hauwezi Fika Mbali Ila Urongo Dah! Mna Mambo ila Uko sawa Kabisa.......
@ladislausngoyinde43844 жыл бұрын
Wanaosema ni chiz wao ndo majiz
@gypsummzuri_tz4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@iddbakaridd33574 жыл бұрын
Bonge moja la interview Chidi he is very bright 🏄♂️
@goodlucktemu31494 жыл бұрын
sisi tunapiganishwa ili watu wale
@wilonjahatua20674 жыл бұрын
Huyu interview zake hazijawahi kunichosha hata siku moja Me namuelewaga sana
@TheTemba14 жыл бұрын
Huyu jamaaa anajua Sana Aljebra
@sanjookhan21204 жыл бұрын
Genius chidy beenz
@nurdin.mndeme34474 жыл бұрын
hahhah
@maestro19024 жыл бұрын
😂😂😂huu mziki bn
@erickmichaelmugele21074 жыл бұрын
Chidy mbona kila saa Zuchu mdomoni ,embu mtue mtoto wa watu.... Unaongea vitu vya msingi lakini hii ya kumkomalia Zuchuu Zuchu utasema hajui labda kuimba
@azizayassin36234 жыл бұрын
Chid umevurugwa ji ulize wle wte wa zaman wko wapi wacha vjina wapige dili wapige pesa juu wanajuwa kujipanga wewe uliweka starehe mbele imekula kwako😂😂😂
@Chuination_4 жыл бұрын
Click @
@revocatuswazia34474 жыл бұрын
bro tumekuelewa mwenye akili amelewa
@gabrielomondi46304 жыл бұрын
CHIDI PIA AWACHE UFALA...KAMA HATA HAJUI JO MAKINI AMEZINDUA RECORD LABEL...INA MAANA HAANA UMAKINI NA BIASHARA YA MUZIKI SASA HIVI...PIA AJUE MZIKI NI BIASHARA NA INA USHINDANI KAMA BIASHARA ZINGINE TU...UKIKOSA KUJIPANGA...UTAPANGWA..KAMA DAGAA KWENYE MAGUNIA
@shigangamussa29674 жыл бұрын
Eti Young Kunya😅
@salehabdalla77734 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣chd hna akili young kunya tna
@Mad1netv4 жыл бұрын
Watu hawasapoti ngoma mbaya, hata wasanii wao wanaowasapoti wamewahakikishia nyimbo zao kwanza, wewe akusapoti nani wakati hata busara huna, akusapoti mtu ashushe jina lake!
@stanslauselias90024 жыл бұрын
Mtu ukimutusi diamondi au ukimudisi tu hata utoe ngoma ya aina ngami siwezi kuangalia
@salimali79304 жыл бұрын
Kweli ndio maana waona kina barnaba na jux wapo kama awapo...
@erickmichaelmugele21074 жыл бұрын
Eti Demu wa Kawaida Anawinda...
@evandakaasa75384 жыл бұрын
Fact
@hamoudcreator63434 жыл бұрын
Daaaahhh!! Huyu jamaa akili zake, haziwafit Wafuasi wengi wa Muziki hapa Tanzania.. Na kwa Wafuasi wa Muziki wa Tanzania. Hawapendi kusikia ukweli... Muziki wa Tanzania umeshikiliwa na Washamba Wasiojielewa..
@azizayassin36234 жыл бұрын
Kwa nini wle wte wazaman wako wapi "chid anajuwa mziki lkn mlize pesa yke alipeleka wapi zaid y kula sembe sasa hzi anaona vjina wanapiga dili za pesa anakumbuka shuka kumekucha
@speciozadenis18004 жыл бұрын
Siukaimbe ww
@freelancer63684 жыл бұрын
We shoga kweli basi waachieni hao washamba wajitafutie riziki muache kuwalalamikia mpambane na hali zenu
@ashrafkaniki58054 жыл бұрын
😬😬why three
@ArarsoAli4 жыл бұрын
Chizi benz wacha ujinga
@jacksonhassanmgoma36674 жыл бұрын
Sio ujinga ukweli ndivyo ulivyo
@saeedmassoud2564 жыл бұрын
Ww ndo jinga
@wizpopa46104 жыл бұрын
Mjinga ww
@hanclove76314 жыл бұрын
Why 3
@tahiyasaeed4 жыл бұрын
Sasa chidi benz ulitakaje? Watu wana record labels wasiwa-promote wasanii wao? Me naona km ulikuwa una shida na promotion ungeomba usaidiwe tu sio unaingilia biashara za watu. Watu na biashara zao lazima waziendeleze
@taufiqkimpa16524 жыл бұрын
Etiii bwana bananazoroo upo kwenye mchezo ila tuliaaa km ulivoo kanichekeshaaaa
@denicegabriel66164 жыл бұрын
Interview za chid saiz ni malalamiko 2 jamaa anazingua kila siku kudiss wa2 tu msenge ww ulipokaa juu alikudis Nan!??
@manenojames20113 жыл бұрын
Kaka nimekuelewa ila naombs uyu jamaa msikilize kiumakini usimukumu kaka mfano kaka ww utakuwa unafatilia gemu kaka
@manenojames20113 жыл бұрын
Zuchu ametoa jimbo 2 akaitwa kugombea tuzo mnje mfano kaka jux kuna jibu ganu ww ya jux ukisikiliza ww kama ww unatoa au banaba kaka wako wap kaka
@manenojames20113 жыл бұрын
Aitosh kaka kweli zuchu nyimbo 2 anaitwa mbele ya nandi ana nyimbo ngap kaka kaenda wap kaka ruby kaka na zuch mbali kwa mbali ajaponda muelekwe uyo jmaa utamulewa sana apo
@denicegabriel66163 жыл бұрын
@@manenojames2011 ubora wa nyimbo kutoa nyimbo nyingi sio kushinda tuzo, master kg wa South Africa kashinda tuzo 3 kwa nyimbo 1 imba ki2 kizuri watu wapende
@benjaminsemwenda31524 жыл бұрын
Haki Ya Mungu Kwenye Hii Interview Zuchu Amekoma Kwa KuTajwa 🤣🤣🤣
@elbaricktv16324 жыл бұрын
Mi binafsi nmuelewa chid
@jasminealmasy96664 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@maestro19024 жыл бұрын
Bro chid tulia bn mambo ndo yamesha jisetoo ivi hayana la kufany