Mungu awabariki Kwa wimbo mzuri ,Marco tumekumiss endelea kupumzika Kwa amani kaka Mungu akupunguzie adhabu ya kabur
@Sara-c6t8r2 ай бұрын
Ktk kusikiliza kwangu nyimbo zote sijawai ona wimbo mzuri kama huu na hautawai kuja kutokea kamwe
@everydaylifebyrozy61743 жыл бұрын
Mumetoka mbali kweli, love from Kenya
@moureenodhiambo86344 ай бұрын
Very true ... God really lifted them it's Saad Marco had to leave earlier 😢😢
@stanleymhozi7590Ай бұрын
Walianza zamani sana Mungu awalinde nabarikiwa
@shizney.norry4522 күн бұрын
Mungu awainue kapisaaa 🇦🇪🇦🇪🇦🇪🙌
@daudmanjale47365 ай бұрын
Hakika ninabarikiwa sana na wimbo huu japo nimara yangu yakwanza kuusikiliza lakn watumishi wabwana hakika tujiandae kwa kila jambo kwani dunia hii imejaa majonzi hivyo tumtegemee mungu kwakila jambo pia wimbo huu unanitoa machoz
@Destin-z3f24 күн бұрын
Wimbo ule ni jenga sana mbaliikiwe n'a bwana
@smilenancie87124 ай бұрын
Nani mwingine Ako hapa huu mwaka wa 24 mwezi wa 9 analia kuhusu kifo cha ndugu yetu Marco 😭😭😭...
@Teaching3563 ай бұрын
@@smilenancie8712 tupo wengi we acha yani
@smilenancie87123 ай бұрын
@@Teaching356 😭
@JeremiahmaogaMaoga22 күн бұрын
Huu wimbo naupenda sana congratulations
@LydiaKiemaАй бұрын
Hakika mmetoka mbali Wimbo mzuri BT tunamkumbuka ndugu yetu marco
@AgnessStephano-fb8op5 ай бұрын
Hakika mmetoka mbali Mungu akawe mfariji tupo pamoja katika kipindi hiki kigumu
@Ednah_M.M3 жыл бұрын
Wimbo mzuri kweli, mara ya kwanza kuuskia wimbo huu.
@fatumantirampeba81862 жыл бұрын
Sawa
@avelinaelias93823 жыл бұрын
Umenikumbusha mbali sana weken na nyimbo zote za kwenye hii album
@tomkyalo46983 жыл бұрын
Zabron nawapenda sana hakuna wimbo wenu unanipita. I wish nigekuwa Kwa iyo family
@carolineomori10323 жыл бұрын
Wimbo huu mzuri sana.
@MajaliwaPapaa2 ай бұрын
Wimbo huu utabaki kuwa bora katika maisha yetu yote namuona Yesu kila ninopousikiliza huu wimbo.
@marylucas69573 жыл бұрын
Mungu ni mkuu sana. Kutoka hapo mlipokuwa, mpaka mkono wa Bwana na sasa Sweet Sweet.🔥🔥🔥😥🔥
@Happykifwete-zo8ndАй бұрын
Hongereni San wimbo ni mzuri San nimeupenda
@AnnoyedCanoe-jp3bm3 ай бұрын
Nyimbo nzuri sana ❤❤❤❤ nawapenda watumishi wa MUNGU
@monistella6301Ай бұрын
Hongereni mkaka amepatia sana
@Daicytoorop12 ай бұрын
Amazing 😍 I think Japheth zabron re-emphasized on this ❤
@EstherManyama-z1w4 ай бұрын
Mmetoka mbali ndugu zangu wimbo wenu umenibariki sana Mungu azidi kuwainua zaidi japokuwa kaka yetu kutangulia mbele za haki lakini mlobaki mtayafanya makubwa zaidi tunazidi kuwaombea🌹🌹❤️🧡💛
@misungwimwisagilwa57313 жыл бұрын
Amen mbarikiewe Sana
@gresimanity39463 ай бұрын
Zabron singers mlianzia mbali kweli mpaka mlipo leo ni jina la Bwana lihimidiwe mpaka namshangaa mtoto wa dada vic alokuwa mdg saiv ni mdada wa kuheshimiwa🙏
@carloskaaya11333 жыл бұрын
Kaka naomba utupie na nyimbo zingine kwenye hii albam km wimbo wa ndoa
@JoyceMwita-e3wАй бұрын
Acha Mungu aitwe Mungu amewatoa mbaali
@GraceKerubo-z7i2 ай бұрын
For sure mmetoka mbali na mtaenda mbali.
@kalebuntebi Жыл бұрын
wimbo huu ñi mzuri mno, mbarikiwe sana; ikiwapendeza mziweke pia nyimbo zenu za zamani mtandaoni, tunazihitaji (mfano: Talanta, Omba bila kukoma, n.k)
@FatumaNtirampeba-pk3yq7 ай бұрын
Nawapendasana
@winfridayohana90813 жыл бұрын
Mbarikiwe San nimeupenda wimbo
@winfridayohana90813 жыл бұрын
Mungu mmwtoka bali
@firdausqutty20675 ай бұрын
Mungu awe mfariji ktk kipindi hichi kigumu.
@StevenYouze3 ай бұрын
Da kumbe ii nyimbo ndio ilikua kwa mfumo uu jaman mungu kawatoa watu mbali ashukuriwe kwa ilo
@ZachariaZachariamssa-y7m3 ай бұрын
Kazi nzuri sana watu wamungu nawependa sana
@nancygilliad28835 ай бұрын
Wimbo mzuri barikiweni san na mkawe na nguvu mpya ktk Yesu❤
@FandoriKaseseroAime-ht5gr3 ай бұрын
Wimbo hi ninzuri sana kuzidiya zingine yachukuwa nafasi yakwanza.
@emmanueltowett68283 жыл бұрын
God bless you zabrons
@fatumantirampeba81862 жыл бұрын
Amenr
@fatumantirampeba81862 жыл бұрын
Amene
@suzanemusumba92604 ай бұрын
Poleni ndugu zetu wa zabron singers mungu atutie nguvu sisi wote kufuatia kifo cha ndugu yetu Marco
@geldamkama5625Ай бұрын
Barikiweni sana
@EBBYWANASWA4 ай бұрын
Poleni sana kumpoteza mpendwa wenu Mungu ailaze roho yake pahali pema peponi😢 but this song give me hope for living on earth .God remember the wondow windower and orphanage
@alimasha70174 ай бұрын
Zabron nawapenda..rip marco😢😢😢
@phenyojal60444 ай бұрын
Nimemuona Marco nikahisi kulia tu. Jamani alienda mapema RIP
@magejoseph92583 жыл бұрын
Kwa hakika watu Mungu hututoa mbali Sana sifa na utukufu ziwe kwake Mungu wetu,hakika mmetoka mbali Sana,Mungu azidi kuwainua viwango na viwango
@irenendungwa-jn6dr4 ай бұрын
Since I come across this song inachezwa every hour.i love it.
@KonsolataKomba4 ай бұрын
Duuuu wametoma mbali sana Zabron singers! Mungu azidi kuwapa nguvu
@mariamambo5 ай бұрын
❤❤❤❤ jamani mungu amewatoa mbali
@Migapogospel6784 ай бұрын
Mungu u mwema🎉🎉
@Petersauly3 ай бұрын
M barikiwe Mimi binafc imenikonga moyo
@rachealsiuji83493 ай бұрын
Mbarikiwe sanaaaaa
@emanuelmjema61175 ай бұрын
mbarikiwe ndugu zetu tupo pamoja kwa kipindi hiki kigumu😢😢
@irenendungwa-jn6dr4 ай бұрын
Indeed mungu amewatoa mbali mpaka yesu amefanya sura zenu zingae tena.may the Lord keep you strong at this moment one of you left you.
@NiceCharles-vs8wn4 ай бұрын
Mumetoka mbali Sana mungu azidi kuwalinda milele na milele
@abinelkisenga26943 жыл бұрын
Mungu awabariki na kuwatia nguvu kwa kazi yenu njema ya uimbaji
@user-xk5we1iz6c4 ай бұрын
Be blessed mungu azidi kuwatia nguvu...Marco forever in our heart😢
@AzilrviereViereАй бұрын
Amén amén
@susumakomanya97623 жыл бұрын
Nyimbo yangu Bora kabisa toka kwenu
@KalebuPius4 ай бұрын
Tumetokq mbali tumemfata dijei mungu awabarik san
@janechegem36473 жыл бұрын
Be blessed the Zabron family 💕 💕 I love your unity
@fatumantirampeba81862 жыл бұрын
Yesi
@EstherAkal5 ай бұрын
Wimbo huu ni mzuri sana mbarikiwe kapisa ❤
@fridahlusweti23064 жыл бұрын
God is always good to those who worship them ,his grace is enough I envy their compatibility, wametoka mbali
@fatumantirampeba81862 жыл бұрын
Amen
@nonta71743 жыл бұрын
Amen and amen nice song
@JenipherBohela2 ай бұрын
Kwa kweli tutafute hela
@eliwazadaniel65355 ай бұрын
Wametoka mbali sana aiseee mpaka hapo walipofika ni mungu tu
@priscamhandi16764 ай бұрын
Aise na huu ni wenu nawapenda sana❤
@valencemtey58204 ай бұрын
Mungu awazidishie baraka
@gracemwendia84572 ай бұрын
Mmetoka mbali
@Alinebella-Niyogushima5 ай бұрын
Mungu awabariki munanibariki kupitia wimbo huu
@rhodawangui-c7d5 ай бұрын
@wangui Hey. MMetoka mbali kweli Hapo mlikuwa wadogo sana. Hongera. Mungu amubariki siku zote.
@FAITHANGEL.4 ай бұрын
Wow God is really great 👍
@lilian26033 жыл бұрын
Amen amen inabariki sana
@doreenmoraa14105 ай бұрын
Kweli mmetoka mbali Rip marco
@RosmeryDomician4 ай бұрын
Asnte kwa wimbo mzuri.
@MARYKEMEI-x9m2 ай бұрын
Mungu utoa wapi mbali
@simonIbrahim-hc8vm5 ай бұрын
Hallelujah!!!!🎁🎁🎁🎁🎁👏👏👏👏🌹🌹🌹🌹🎂🎂🎂✔️
@JudyNMichael5 ай бұрын
Mungu akawe mfarij wenu
@happinesskisasi44543 жыл бұрын
Mbarikiwe watumishi wa MUNGU
@HattaHatta-pk7hr5 ай бұрын
Dah pumzika kwa Amani ndgu Marco😢
@ValentineWanyama-l1m4 ай бұрын
Team Irene na rk weka likes zenu
@JosephemasKachele5 ай бұрын
Wimbo bomba san
@Barick2 Жыл бұрын
Mungu awabariki sana,mmetoka mbali.
@patriciaboniphace2883 жыл бұрын
Hongeren Sana nmetoka mbali
@georgettealenga59353 жыл бұрын
Nice song
@fatumantirampeba81862 жыл бұрын
Napensa
@JacoboBonifas4 ай бұрын
ASANTE BWANA YESU KWA KUWAPA UWEZO WA KUIMBA UTUKUFU UKULUDIE WEWE BWANA YESU
@dorothyokongo9014 ай бұрын
Sister Grace was expectant😊
@Hundson_Jospeezy5 ай бұрын
Jameni mumetoka mbali
@rebecacrement59133 жыл бұрын
Ama kweli mmetoka mbali hapo nimewajua wa tatu tu mweeee
Vilio vyenu wana family ya zabron mungu anajua polen sana wapendwa?
@JenniphpauloMachumu3 ай бұрын
Mbalikiwe jamani
@Teaching3564 ай бұрын
Hapa marehemu alikuwa bado hajaoa vile pumzika Marco 😢
@viviankemunto44353 ай бұрын
Maisha mafupi 😢😢😢
@benterchepngetich53403 жыл бұрын
God bless you abundantly 🙏🙏
@winfridayohana90813 жыл бұрын
Amna wa nimeupenda Sana uowimbo mubarikiwe
@JescaSimon-sg3rt3 ай бұрын
Jamani katoto kanamiaka mingapi hakoo
@GeorgeRichad4 ай бұрын
Rip marko
@roselusenaka75483 жыл бұрын
God bless you
@janewaithaka55104 ай бұрын
Hakika watu hutoka mbali
@LeahJoshuwa5 ай бұрын
MUNGU tusamehe kama tunataka kuanziya juu kumbe watu huanziya chini maana ukiangaliya zabroni singers walikotoka na hapa walipo utataka tu kuwaona hapa walipo yesu nipe uvumilivu
@roselusenaka75483 жыл бұрын
God is able and faithful
@liliansam12824 ай бұрын
Mr Marco kumbe alinza uwimbaji wake kitambo😢
@atumwinuka28403 жыл бұрын
Ndo kwanza nawatch hii nyimbo leo, kwakweli imenibarikk mno🙏