Follow Us On: INSTAGRAM: / miladu_tv FACEBOOK: / babdeo miladu/ TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan... KZbin: / @babdeomiladu
Пікірлер: 432
@YusufMatianyi13885 ай бұрын
Shiekh letu Nakupenda Kupitiliza ,much love from Kenya ,Warekebishe mawahabi waache kupotosha umma .Allah Akuhifadhii na vitimbi vyiao in shaa Allah
@rjqaasam45877 ай бұрын
شكرا لك وجزاك الله خيرا شيخنا الكريم
@abuujibriltv52337 ай бұрын
Shekh Muhammad idi usikae kimya muda mrefu . Tuna kupenda sana mwenyezi mungu akulipe, au refushe uhai wako katika kheri, akulipe na atulipe pepo ya juu aaamiin
@ayububakari99427 ай бұрын
hawezi atakimbia mda si mrefu...
@abiabi93537 ай бұрын
@@ayububakari9942akimbizwe na nani? Yani mawahabi mnajidanganya sana
@@abiabi9353 we labda ndio umenunuliwa smart phone juzi tafuta mijadala kuhusu mwezi muandamo akijadiliana na Sheikh abulfadhli qaasim mafuta Allah amuhifadhi uone alivyokimbia AKIDAI AMEKATAZWA NA WAZEE WAKE !!
@user-zk3dt3us7j6 ай бұрын
Alhmdulilah allaah akuifadhi zaidi shekhe abu idi kazi unayo fanya nikubwa twapaswa kukupongeza na kukuombeya saidi kwa allaah akuifadhi. unafanya hivyo kunusuru watu wasipotezwe nikazi kubwa sana allaah atakulipa. mimi ni mjukuku wa shekhe muhammad ayubu nimefundishwa kutoka kwa mwanafunzi aliye soma kwa shekhe muhammad ayubu.lazima nikupongeze na kukuombeya kwa allaah akuifadhi saidi.kazi unayo fanya nikubwa.allaah akuifadhi.na kila shari zote.
@user-bo1ew3xq6w7 ай бұрын
Asante sana sheikh wetu kazi yako ni nzuri sana yakupambana na mawahabi.kwa kweli wamemwaga damu za waislamu kuwagawanya waislamu na kuwaingiza katika shirki ya kuabudu miungu mitatu wakishikiana na mayahudi na waengeza.
@ibrahimjumbe81217 ай бұрын
Kutoka ndani ya moyo wangu Nampenda sana sheikh Muhammad abuu Idd
@ayububakari99427 ай бұрын
kutoka moyoni simpendi kwa ajili "Allah"
@Ahmadasshii-raazy88887 ай бұрын
احبك الله الذي احببته فيه
@abiabi93537 ай бұрын
@@ayububakari9942Sasa usipompenda wewe panya mmoja wakiwahabi ndiyo nini?
@noorululaatv89737 ай бұрын
@@ayububakari9942 KICHAAA WEWE
@dezainermedia10357 ай бұрын
Jazakallah
@hassanmadodi53967 ай бұрын
Jamaa ananifurahisha sana, eti mawahabi walivyojipanga ipo siku watakuwa na muft wao na sikukuu yao. Maa shaAllah Hii inaonyesha ni namna gani haqi inavyo eleweka na inavyo kuwa juu na hii yote ni tawfiq ya Allah baada ya waislam kushajihishwa kusoma dini yao.
@rjqaasam45877 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akupe Umri Mrefu Sheykh Muhammad Iddi
@mahmoudally39066 ай бұрын
Aaamiin
@SaidAlly-uh4qw7 ай бұрын
Jazaaka llahu shekh
@Ahmadasshii-raazy88887 ай бұрын
ASANTE SHEIKH WATU WAMESOMA KWA MASHEIKH ZETU WAO WAMEKUA NA ILMU
@mwalimuyussuph64697 ай бұрын
HAMNA CHA KUJIBU KWENYE MITANDAO NA NYIE SIO WATU WA KUITUMIKIA DINI.
@user-kv8ot1we6m3 ай бұрын
Mungu akulinde nakula baya
@noorululaatv89737 ай бұрын
ALLAH AKUBAARIQ SANA ... MWLM UMEKAA KIMYA SANA KIASI KWAMBA MAWAHABI WAJIGAMBA UMESHINDWA
@SalamaKhamis-un8vn7 ай бұрын
Mwendelezo ßhekh
@mohdomar67607 ай бұрын
Allah akuzidishie sheikh letu
@abuuhudhaifa51347 ай бұрын
Allah akujalie uendelee kujibu kwasababu watu wengi wasiojua sunna na bidaa wata bainikiwa na mambo mengi yalio zushwa ktk dini, na mawahabi nao wakibainisha basi sisi wanafunzi ambao tunajifunza dini yetu huwa tuna pata faida kwasababu yanaletwa majibu yenye nguvu kwadalili kutoka ktk Quran na sunna na ndicho tunacho kitaka
@mwalimuyussuph64697 ай бұрын
Wallahi nashukuru sana Allaaha, Huyu SHEKH WA kibid'a amezikubali jitihada za masafi
Sababu za kujibu hoja zao umezibainisha vizuri sana Sheikh.
@bashirusalumbigapsana6737 ай бұрын
Nakuelewa sana mzee wangu
@malengajuma26947 ай бұрын
Shukran sheikh,
@salumhamed50747 ай бұрын
Umechelewa sana
@SalimuAbdala-sg9cw7 ай бұрын
Mimi sijaona kiongozi tanzania hii. Ambaye nikiongozi mkuu wawaisilamu anawaunganisha waisilamu au kuwatetea waisilamu .
@bilalikaoneka50804 ай бұрын
ila suudia yupo
@WastarYoussuf-wb7fz7 ай бұрын
Uko sahihi sana Muhammad iddi
@mwalimjecha68937 ай бұрын
Kweli kabisa shekhe wetu Allah atupe afya njema na nguvu ya kujibu hoja zao hatua kwa hatua.
@DonadiMwapule-he1je7 ай бұрын
Mshauri imara asiwe anarudi mambo aliyoshindwa kuyajibu Uko ulishindwa Iddy?
@ayububakari99427 ай бұрын
mdanganyeni tu kwani alishakimbia hapo karudi sababu ya ushabiki wenu !!!
@abiabi93537 ай бұрын
@@DonadiMwapule-he1jetupe mfano wa mambo aliyoshindwa.mawahabi kazi yao ni uongo tu
@abiabi93537 ай бұрын
@@ayububakari9942alikimbia wapi.hivi nyinyi mawahabi mnahoja za kumkimbiza mtu kweli.nyinyi ndo mna historia ya kujikojolea mkisha banwa
@HamidHilika-kq3xx7 ай бұрын
Allah akubarik sana shekhe na Allah akulipe kwa jitihada hii
@allyhabibu37467 ай бұрын
mashallah ❤❤ allah amrehm shekh letu shekh muhammad abubakar al burhan allah akuhifadh pya shekh abuu eidi
@kagalihussein19597 ай бұрын
Umeongea maneno chukuchuku bila Dalili...Elimu yako Ndogo Muhammad Eid
@nassirzamzam93127 ай бұрын
Uislamu hauna dhehebu, dhehebu la muislamu ni kufuata mtume s.a.w.
@AbdulmajidHyder7 ай бұрын
Utamfuataje kama sio hao wanazuoni?. Wamefanya juhudi kubwa mpaka Uislaam ukatufikia hapa tulipo. Kama sio wao.....
@ahmadSeif8607 ай бұрын
Ww Ata hujuwi dhehebu ni nini!
@abakibibi99177 ай бұрын
UNGENIVUTA KWENYE MAULID KAMA UNGESEMA WATAKA KUYAFUTA MAULID MAWAHABI TULIOACHIWA NA MTUME (S A W)LAKINI WASEMA TUMEACHIWA NA BABU ZETU NA MASHEIKH WETU INA MAANA MTUME HAKUFANYA ZIRO HAPO
@imamumohamedmalina69957 ай бұрын
Allah akuhifadhi sheikh elimu nzuri sana umetoa
@jumaajambiamusa82147 ай бұрын
maashaaallaaah ndug shekh wangu mola akujaze heri
@FarajiAbdallah-yw2wn7 ай бұрын
بورکت یا ابو عید کلام الراٸعة بارک الله فیکم
@ayububakari99427 ай бұрын
یا أبا عید wacha kuvamia luga usomakinika nayo !! sema yaa Abaa Eid
@tellackyabdul93127 ай бұрын
Kumbe ni يا af kisha ابو 😂😂😂😂 يا أبا.......
@tellackyabdul93127 ай бұрын
@@ayububakari9942 بارك الله فيك أخي
@athumankalua5017 ай бұрын
Tunakuombeaa Allah usimame juu ya kuwasambalatishaa mawahabi
@MusaMkata7 ай бұрын
Ubavu huo hana hata kdg mtu wa bidaa hawezi kumtengua mtu wa haqq
@yusuphsaad43497 ай бұрын
Shukran sheikh Abuu idd... Upo sahihi sana
@kaliskaguzkalis44247 ай бұрын
Kwa kheri
@abdallahal-khaify7 ай бұрын
Ndio dhehebu lao ni qaala-llaah wa qaala-rrasuul kwa ufahamu wa wema waliotangulia(maswahaba, mataabi'i na mataabi'i taabi'iina) . Umesema sawa shekhe wa mnyamani.
@jumaciza4617 ай бұрын
😂😂😂😂 Shukrani
@adamjutto58497 ай бұрын
Aliulizwa maswali kuhusu uwahabi hajajibu😂,leo anatuletea tena kidevu chake kma andazi,huyu ndo maana aliambiwa na ndugu yake wa twariqa mwenye adabu kua amerudia tena bangi😂,ila masuuuufiii😂😂😂
@user-zr2pn5uv8b7 ай бұрын
kipigo alichopewaga kwenye ule mjadala na Sheikh Qassim bado hajakisahau
@AllyAhmad-zg2yp7 ай бұрын
Amekudhuru aliekuhadaa abuu sikukuu
@tellackyabdul93127 ай бұрын
😂😂😂abuu man???😂
@shaabansheehabdallah87707 ай бұрын
SubhannAllah umesema kweli sheikh, kumbe mumerithi maulid kwa masheikh na wazee wenu???? Poleni saana matwariqa. Tafuteni elimu kutoka kwa Mtume Muhammad Swallallahu Alleyhi Wassallaam nyie
@Mariam99-ld4gw7 ай бұрын
❤❤❤❤😂Wachapeni. Haswa
@Ahmadasshii-raazy88887 ай бұрын
UMEFIKA KUMBE AMA
@shaabansheehabdallah87707 ай бұрын
Alafu sheikh ukizungumzia uislamu toa uraia wako, uislamu hauna mipaka ya kiichi za kitwaut
@user-zx2yd4bl2x7 ай бұрын
KAZI UNAYO - LKN SUNA IKO PALE PALE
@Ahmadasshii-raazy88887 ай бұрын
KARIBUNI GROUND
@adamkilembwe.7 ай бұрын
Kweli kabisa,sheikh
@abuuuyaynah88017 ай бұрын
Sina shaka akijibiwa majlis moja tuuuuu anakimbia
@ramygichero10167 ай бұрын
amna kitu mawahabi so watu wa maaana kabixa wanajionyesha sana
@user-zr2pn5uv8b7 ай бұрын
huyu kichwa ngumu sana kujibu maswali hawezi na ha hajajibu
@user-zr2pn5uv8b7 ай бұрын
ule mjadala wako na Sheikh Qassim Mafuta ungeupitia tena ujibu yale maswali mbona kama umepiga chenga ya mwili
@user-xn3kz4mc4v7 ай бұрын
Hawajui hao
@abuurayaan39027 ай бұрын
Usisahau zile hoja za Mawlidi Bado hujajibu Na usije ukakimbia kama ulivyo kimbia mwanzo
@mustafaramadhan59417 ай бұрын
Yaani jamaa ana matatizo yasiyoelezeka hapa duniani hakujibu hoja alizoulizwa na Qassim mafuta ss kaamua kuja na upuuzi mwengine na akibainishiwa usawa anakimbia tena miaka mitano km alivyokimbia kujibu hoja huku nyuma zaidi ya miaka miwili ss Shortly tumechoka na ubabaishaji wako muhammad iddy
@abuuhudhaifa51347 ай бұрын
Lakini masufi mnatatiza Sana wafuasi wenu amejibiwa Shekhe lenu Alburhaaan mnalia kwamba "ooh anajibiwa hadi alie kufa" kwani nyinyi mkimsema vibaya ibn taimiyya mmesahau kua na yeye amekufa! Mizani yenu inapima vipi mbona hamna uadilifu,,,,, ndo mana mtaendelea kuwakosa vijana wengi ktk huo usufi wenu kwasababu watu welevu wanataka hoja na dalili sio porojo na michezo
@tellackyabdul93127 ай бұрын
Naaaam wajinga hawaa wakisufi
@swahilitherapytv38467 ай бұрын
Jisufi LOPOLOPO
@abuuhudhayfah51087 ай бұрын
Ungejibu kwanza majibu uloulizwa, sasa naona umekuja kwa stayl nyingen
@abubakarshaban61187 ай бұрын
Ndo namshangaa...
@AbuwSuhaylahSalafiy7 ай бұрын
Kwa hiyo Tofauti za ki FIQHI ni kuwagawa waislaamu? Yaani ulitaka watu wafuatane hata kwenye makosa kwa hiyo baba angu akiwa mtu wa Mawlid lazima na mimi niwe mtu wa Mawlid? Sasa ndo hoja gani hizo? Unaacha kuwabainisha ma Shia wanawatusi maswahaba kila kukicha, unakuja kuwazungumzia Salafiyuun? Harakati zako hazina afya ni kupoteza muda tu bora ukae darsa usomeshe hao unaowaita mawahabi wako busy kusomesha watu dini katika maraakiz zao ndio maana huoni KZbin wakiwasha Cameras kuongea ongea bila issue maalum acha ushekhe wa matukio.
@abuumaisarah65957 ай бұрын
SHEIKH WA MCHONGO HUYO HHH
@AbuwSuhaylahSalafiy7 ай бұрын
@@abuumaisarah6595 Ana feli sana. Halafu kuna ma jahl wengi wanamsifia kwenye comments.
@user-bo1ew3xq6w7 ай бұрын
Kwani nyie mawahabi ikiwa kama kweli mpo sahihi sini sawa kama mtazungumzia kuusu hao maswahaba kutukanwa na watu watwarika kuzumzia maulid kuli kuwatusi wanachuoni na kuwaita makafiri.
@AbuwSuhaylahSalafiy7 ай бұрын
@@user-bo1ew3xq6w Mwanazuoni gani kaitwa Kaafiri?
@AbuwSuhaylahSalafiy7 ай бұрын
@@user-bo1ew3xq6w Na wewe unavyotuita ma Wahabi unajua unaponda kumbe unatukweza "Al-Wahhab" ni katika majina ya ALLAH.
@ramadhanmbwana57187 ай бұрын
HII NI MUHIMU SANA MUHAMMAD IDI AMKIMBIA SHEKH KASIMU MAFUTA SIKILIZA HII HAPA ILI UPATE FAIDA ZAIDI NA UJUE KILICHO MKIMBIZA MUHAMMAD IDI kzbin.info/www/bejne/hKnWo5mdqNuDjtksi=-Q-lTcDHz8rFok8H
@abuuyusra61397 ай бұрын
Tatizo lako mzee auchelewi kukimbia tulizani umekufa kumbe uwahai unaonaje sasa tukaanza pale kwenye maswali ulioulizw ukayajibu kisha ndo mkaanza maadaiii
@IbrahMiracle-em4sh7 ай бұрын
Mamaa abuu idd baada yakuaibika mda mrefu ety kaamua kuja kupiga porojo tena pole utajibiwa vzr tena uje ujikanyage kama ulivo jikanyaga kama mtt mdogo
@user-in2lg9oq3h7 ай бұрын
Upo sahihi lakini vipi waislam kua na hospital, university, mahakama ya Kadhi hayo ndy mambo ya msingi coz waislam wengi wanapesa
@issaabdallah12057 ай бұрын
Hadith sahihi
@mchizisoo39537 ай бұрын
Mpaka leo unanyoa ndevu style ya O'' vipi unaweza kuongea haki watu wakakuelewa.. Allah akufaamishe haki uweze kuifata
@mwambashiiddi92956 ай бұрын
Msikilize shekh muhammad ayyub Allah amrehem amsamehe kzbin.info/www/bejne/mKHKnZKZgdKNgbssi=tx8yrbzeKC8xH0Iv
@AllyAhmad-zg2yp7 ай бұрын
Hakki hukaa juu wala haikaliwi juu
@selemankishema57807 ай бұрын
HUNA UBAVU WA KUMJIBU KASSIM MAFUTA INGALAU WOOTE MMEKUTANA WAPUMBAVU NA WAJINGA😂😂😂
@husseinibnuhassan12727 ай бұрын
Maulid ni Nini? Je Mtume Muhammad ametuachia maulid?je Maswahaba waliitambua Mawlid?
@khamisothman11547 ай бұрын
UPUUZI MTUPU
@rashidimatiwili75857 ай бұрын
Uozo mtupu,na sharubu hizo
@nassirzamzam93127 ай бұрын
Uislam Unapitia mafunzo kutoka kwa Quran na hadith za mtume maswahaba, maimamu na wanavioni, hakuna dhehebu la maswahaba wala la maimam, dhehebu ni la mtume s.a.w.
@Naaam3537 ай бұрын
Naam nakuelewa sana sheh
@amirialimshamba97547 ай бұрын
SHEKHE ungeanzia asiliyao tangia kipindi cha mtume (saw) mtume aliwatabiri vipi na happy najidi alipotokea muanzilishi wao abdul wahab
@user-zr2pn5uv8b7 ай бұрын
utalishwa matangopori mpaka lini
@ismailmursal19337 ай бұрын
Hhh jamaa atapatapa
@AllyAhmad-zg2yp7 ай бұрын
Na makafiri walisema mtume aliwakuta watu ni wamoja ( ktk batili zao) akawagawa, je sawa nisawa kusema ujinga kama huu
@fatibra77687 ай бұрын
Shehe aumwa na uharo. Hatuliiii.
@malikiwaziri34297 ай бұрын
Huku ni kukosa adabu Kwa mashekh zetu,kweli uwahabi umekuja kugawa waislamu Hadi unaandika hv Kwa shekh kama huyu,subhaanallah
@mwalimjecha68937 ай бұрын
Wewe hujijui hujitambui
@mwalimjecha68937 ай бұрын
Wewe hujijui hujitambui
@fatibra77687 ай бұрын
@@malikiwaziri3429 Ahsanteeeeeeeeeee kijana mweny adabu kwa mashaaikh
@mwalimjecha68937 ай бұрын
Wewe hujijui hujitambui
@ishakakhalid7 ай бұрын
MITANDAO BADO INAREKODI MASWALI HOJA 19. HAZIJAJIBIWA.. JIBUUUUUU😂😂😂😂😂
@HassanJamada-pf4jt7 ай бұрын
Mzee jibu Yale maswali 10 uliyoulizwa kwanza ndio uingilie kadhia hii Ama kweli umekutana na mwamba usiopasuliwa na baruti ukakimbia kimyakimya mpk tukadhani haupo , kumbe upoo! JIBU MASWALI 10 ULIYOULIZWA NDIO UJICHANGANYE NA HUKU
@kimingowameno40687 ай бұрын
Hua napenda sana mawaidha yake shekh abuu eid
@mwalimuyussuph64697 ай бұрын
WE KUBAKIZA SHARUBU HUO SIO MTASHADIDI?
@Ahmadasshii-raazy88887 ай бұрын
YAANI SHEIKH ABUU IDD UNAZUNGUMZA KAMA ULOPITA MOYONI MWANGU
@DonadiMwapule-he1je7 ай бұрын
Kwa hiyo umeamua kupiga Ramli eti kuna siku watakuwa na mufti wao.au unataka serikali iwashike? Nimeelewa kwanini Mashekh wengi wanapotea
@Ahmadasshii-raazy88887 ай бұрын
@@DonadiMwapule-he1jeWW NI MUISLAMU AMA?
@thabitsaidi15077 ай бұрын
Safar hii usikimbie tena kama ulivyokimbia kipindi kile maana huchelewi kukimbia. Huna uwezo wa kumjibu Sheikh Qaasimu
@SaidKondo-rw8wb7 ай бұрын
Muhammad iddi kaka ,maulid yapo madhehebu Gani? Kama mawaHabi hawana madhehebu,
@abiabi93537 ай бұрын
Hata kiongozi wenu kafiri ibn taymiyah pia anayakubali maulidi
@SaidKondo-rw8wb7 ай бұрын
@@abiabi9353 weee jamaaa hiii dini,sio mpira usifanye hivo,usiseme hivo ,kama hujui kitu nyamaza,umekosea kaka ,usimkufurishe mtu.ni jambo kubwa,hiii dini ni taaluma ,
@user-eb9ch5vt1e7 ай бұрын
Acha kueneza chuki mzee alafu soma maan ulivokuwa jahili huko nyuma umeweka picha 😭 Allah mustaan
@topfreelancer51517 ай бұрын
Tulikuwa tunakusubiri sheikh ili umjibie kielimu maswali sheikh abubakar Allah amsamehe makosa yake.
@MuslimYussuf7 ай бұрын
Sasa wachamba aw wajibu huja hatutaki maneno jibu huja
@abuuluqmaana84447 ай бұрын
Yaani toka alivyo pewa maswali ajibu mpaka leo ndio anajitokeza ama kweli ukiwa huna elimu halafu umewapoteza watu kwa kuwaaminisha kua wew ni sheikh kumbe sheikh kanzu sio elimu nafsi yakusuta
@mfalmenajjash21287 ай бұрын
Yote hayo yanatokana na kupingwa kwa maulidi na baadhi ya bidaaa nadhani dawa imekuingyeni Akina shekh Muhammad Iddi
@user-zx2yd4bl2x7 ай бұрын
UISLAMU SI DINI YA MASHEKHE NI QURANI na SUNNA - TATIZO WEWE HUJIELEWI
@taurehassan73997 ай бұрын
Ww ndo hujielewi Kuna jengine hujalidhihirisha hpo umeweka viwili tu
@mutumwinkaashura18977 ай бұрын
Hao mnao waita mawahabi, niwale ambao wanaisimamisha tauheed na kupinga bida'a Allah atujaalie tuendelee hio njia hadi Kufa. Na hilo jina la mawahabi mnalitunga tu ili kuchafuwa Allah awaongoze
@bakaribakari64446 ай бұрын
Mmekuwa kama nyani haoni kundule...
@maftahmusa95137 ай бұрын
يا شيخ أبوابوا ما تظنك على لمن قال عليهم رسول الله صل الله عليه وسلم من حدث عيشة رضي الله عنها " من احدث في امرنا هذا ماليس منه فهو رد، هل رسول الله صل الله قال على المؤمن او كفار ? علم رسول الله ستكون فريق من الذين يزعمون ان هم مسلمون يٸتون هم يحدثون في الدين.
@swalehejuma66117 ай бұрын
Dini hailazimishwi, wala hakuna utofauti wa uadui kama unavyodai. Hao mawahabi ni nani nani?! mtutajie, na nini uwahabi? Hao mawahabi wanasimamia nini. Tafadhali tueleze kwanza kuhusu uwahabi na mawahabi ili tuchague wenyewe
@fatibra77687 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@MuslimYussuf7 ай бұрын
Ww jubu huja nyie makhuraf munajua kuchamba tu lakin hamna elim
@mustafaramadhan59417 ай бұрын
Jamaa nusu saa nzima anazungumza porojo tu hana moja la maana alilolisema
@husseinsaid80217 ай бұрын
Sheikh Abu Eid unakaa kimya sana unatukosea sana tunaishi kama wanyonge
@shazyahya41217 ай бұрын
Sheikh wako amerithi maulid kwa masheikh zake si ibada bali ni mira 😅 msikilize vizuri Sheikh wako Ana hoja zaifu sana
@shabansaid23237 ай бұрын
Kumswalia mtume si ibada basi ibada nini?
@shazyahya41217 ай бұрын
@@shabansaid2323 kwanza unajua jinsi ya kumswalia mtume mohammad ( S.A.W ) tuanzie hapo sababu mtume mwenyewe ametoa maelekezo jinsi ya kumswalia na laukama utajua jinsi ya kumswalia mtume huwezi kua mtu wa maulid kwasababu Said jafar barzanji amejichanganya mwenyewe kwenye kitabu chake za barzanji kuna upuuzi wa kila aina ameandika tatizo Africa wengi hawajui kiarabu that's why Said jafar barzanji ametumia uwo mwanya kupotosha umma
@husseinsaid80217 ай бұрын
@@shazyahya4121 Kumswalia Mtume ni bidaa?
@shazyahya41217 ай бұрын
@@husseinsaid8021 kumswalia mtume ni ibada lakn unamswalia kwa taratibu zipi na kwa maelekezo gani mtume mwenye ameshaelekeza jinsi ya kumswalia
@abdulmalikmohamed7327 ай бұрын
😁 shkh abuu eid
@issaabdallah12057 ай бұрын
Ombi langu sheikh Iddi njoo utusomeshe BARAZANJI kwanza PAMOJA NA SHERH ZA BARZANJI ILI WATU WAYAJUWE YALIYOMO ndani yake ILI WASIYAWACHE HAYO MAULIDI. maana huku kwetu washaanza kuya wayawacha
@abdulrahmanbakar54167 ай бұрын
"Akiwa na nidhamu huyo sie wenye akili washaelewa" Mwenye kukaa nao atalijua hilo
@mwalimuyussuph64697 ай бұрын
KAMA NYIE HAMJIONESHI MBONA MNAFANYA MATANGAZO YA MAULIDI?
@abubakarshaban61187 ай бұрын
Huyu kaja tena wakati hajajibu maswali alopewa na Shaykh Kassim Mafuta....