Рет қаралды 903
MWALIKO WA SEMINA YA ELIMU YA KATIBA, KANUNI ZA MARKAZ NA MCHAKATO WA KUYAENDEA MABADILIKO
Tunayo furaha kuwakaribisha kwenye semina maalum ya elimu ya katiba, kanuni za Markaz, na mchakato wa kuyaendea mabadiliko. Semina hii itahusisha washiriki kutoka majimbo 14 yaliyo katika kanda mbili, yaani Kanda ya Kaskazini na Kanda ya Mashariki Kati. Majimbo yanayohusika ni:
1 - Tanga Mjini 2 - Korogwe
3 - Muheza 4 - Pangani
5 - Handeni 6 - Maramba
7 - Moa 8 - Kilindi
9 - Lushoto 9 - Mjini
10 - Mkinga 11 - Singida
12 - Tawi la Pingamale
13 - Kanda ya Kaskazini
14 - Kamati ya Jimbo la Matui Azimio
Semina itafanyika katika Jimbo la Korogwe, kuanzia tarehe 08/06/2024 hadi 09/06/2024.
Tunatarajia ushiriki wenu ili kufanikisha mchakato huu muhimu wa kuyaendea mabadiliko ndani ya Markaz zetu. Karibuni sana!
📡🎥📸📰
IDARA YA HABARI NA UTANGAZAJI - MARKAZ KUU