Twende kazi jamani, tuko nyuma kwa miaka mingi sana. Bado mikoa ya kusini inatudai, Dar-Lindi-Mtwara-Ruvuma reli iguse mbamba bay iambae kuelekea mpaka wa Tz na Malawi iende mpaka mbeya-Rukwa ikaungie Tbr. Inawezekana kabisa tukiweka vipaumbele vyetu vizuri.
@loner_wolfАй бұрын
Huyu cjui anaongea nini😅😅😅😅 Train ya sgr hata mzigo wamesema hairuhusiw .... yeye anasifia tu bila break . Au pombe nini ....
@user-ys3gt8lp5h5 ай бұрын
Sis tunataka kuona reli inakamilika Imani ya wananchi ndo itakuja
@Kabwela7765 ай бұрын
Wachina watamaliza ila waturuki watakuwa wanasuasa
@fidelfidel-jz4iw5 ай бұрын
Fanyeni KAZI Sisi tunatambia ya uvivu . wakoloni waliweza Kwa nguvu ya Wananchi kuchimba milima Kwa nguvu za watu Leo tuna technology kubwa lakini bado mnalalamika lazima muende na muda sio blabla.
@musakatwale19592 ай бұрын
JPM❤
@richardbegga66795 ай бұрын
Huyu anaongea nn?😂😂😂
@mosaidi26335 ай бұрын
Kila siku blah blah huyu afyekwe
@Kabwela7765 ай бұрын
Sasa si Ndio kazi ya serikali kujenga miundo mbinu na huduma za kijamii au serikali ulitaka ifanye Nini ?