SGR YAWAKOSHA ABIRIA, WAFURAHIA HUDUMA ZA KWENYE TRENI

  Рет қаралды 7,290

TRC RELI TV

TRC RELI TV

Ай бұрын

NI SIKU YA PILI

Пікірлер: 16
@athumaniabdi4122
@athumaniabdi4122 Ай бұрын
Mungu endelea kuibariki Tanzania🎉
@zobakazizi7637
@zobakazizi7637 Ай бұрын
Shida barabara za kuingia station morogoro ni mbovu sana. Hivi Tanroad mpaka mradi unakamilika hamkuwaza jinsi ya watu kufika station.
@filamupictures9349
@filamupictures9349 Ай бұрын
TARURA, sio TANROADS
@magorymara5515
@magorymara5515 Ай бұрын
Ndo maana mkaitwa Dania ya tatu kutokana na fikra zinabishana na maendeleo serikali ni moja kwanini wasijenge hizo barabara
@mosesfrancois752
@mosesfrancois752 Ай бұрын
Hili linaenda vizuri maoni ya Watanzania unaona kabisa sio ya kinafki
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 Ай бұрын
Watu wa mbeya pandieni dodoma itawafaa zaidi
@rajabuJumapili
@rajabuJumapili Ай бұрын
AKUMBUKWE MTOTO WA CHATO
@hassnsalim5156
@hassnsalim5156 Ай бұрын
MAGUFULI OYEEEEEEEEEE
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 Ай бұрын
Jambo zuri sana
@Kabwela776
@Kabwela776 Ай бұрын
Kuwe na jela humo maana wengine wataanza uchafu kunya pembeni kuchafua seat kushika matako hao wahudumu Na msiuze mayai na wasio oga hamna kupanda treni pombe msiuze !
@user-sj3wf5vz7l
@user-sj3wf5vz7l Ай бұрын
Tunaomba usafi. Marekebisho yafanuike kwa wakati. Siyo siti inachanika mpaka godoro inaonekana. Kama tumeanza quality tuendelee na hiyo quality. Maana watalii wengi wanapenda train . Tutunze vifaa vyetu na abiria tunzeni siti acheni kuchora chora. Kuwepo na ustarabu.
@EdwinShetuli
@EdwinShetuli Ай бұрын
Nashauli ilikuondoa msongamano apo stesheni ya treni ya mwendokasi mfungue office baadhi yasehemu kama msamvu ,mjini
@anthonygikuri
@anthonygikuri Ай бұрын
Hongereni!!! Je baada ya majaribio huduma itaendelea kuwa ya viwango? 😂 Tunapenda kula jojo na tukimaliza tunabandika kila sehemu😢
@UnitedAfrica-uw9ct
@UnitedAfrica-uw9ct Ай бұрын
yaani huyo mwenye jojo ukimkamata hata wewe chapa viboko....hatuna jinsi maana wengine hawataki kubadilika basi wabadilike kwa nguvu
@abelg2488
@abelg2488 Ай бұрын
@@UnitedAfrica-uw9ct😂😂bonge la point. Basi hata makosi yatembee kwa yule asiyetaka kuzingatia Ustarabu ustarabu unadhifu unadhifu muhimu mno mno
@mbwizax87
@mbwizax87 Ай бұрын
Beer zipo?
Inside Out 2: Who is the strongest? Joy vs Envy vs Anger #shorts #animation
00:22
Smart Sigma Kid #funny #sigma #memes
00:26
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 7 МЛН
"RELI YA SGR KUUNGANISHA NCHI ZA AFRIKA"
8:33
TRC RELI TV
Рет қаралды 12 М.
#SGR: TRENI YA UMEME TANZANIA   (Film)
23:56
WABONGO UGHAIBUNI MEDIA PRODUCTION LIMITED WU®
Рет қаралды 1,5 М.
MADEREVA WA TRENI KICHWA MCHONGOKO WAIVA
6:44
TRC RELI TV
Рет қаралды 22 М.
Mwanamke anaeendesha treni Tanzania
24:17
Kidani Show
Рет қаралды 128 М.
Station Tour : Station Mpya ya TRC Dar kama Airport ndogo
10:50