Shida barabara za kuingia station morogoro ni mbovu sana. Hivi Tanroad mpaka mradi unakamilika hamkuwaza jinsi ya watu kufika station.
@filamupictures9349Ай бұрын
TARURA, sio TANROADS
@magorymara5515Ай бұрын
Ndo maana mkaitwa Dania ya tatu kutokana na fikra zinabishana na maendeleo serikali ni moja kwanini wasijenge hizo barabara
@mosesfrancois752Ай бұрын
Hili linaenda vizuri maoni ya Watanzania unaona kabisa sio ya kinafki
@nasibugunda7927Ай бұрын
Watu wa mbeya pandieni dodoma itawafaa zaidi
@rajabuJumapiliАй бұрын
AKUMBUKWE MTOTO WA CHATO
@hassnsalim5156Ай бұрын
MAGUFULI OYEEEEEEEEEE
@omarybakunda2554Ай бұрын
Jambo zuri sana
@Kabwela776Ай бұрын
Kuwe na jela humo maana wengine wataanza uchafu kunya pembeni kuchafua seat kushika matako hao wahudumu Na msiuze mayai na wasio oga hamna kupanda treni pombe msiuze !
@user-sj3wf5vz7lАй бұрын
Tunaomba usafi. Marekebisho yafanuike kwa wakati. Siyo siti inachanika mpaka godoro inaonekana. Kama tumeanza quality tuendelee na hiyo quality. Maana watalii wengi wanapenda train . Tutunze vifaa vyetu na abiria tunzeni siti acheni kuchora chora. Kuwepo na ustarabu.
@EdwinShetuliАй бұрын
Nashauli ilikuondoa msongamano apo stesheni ya treni ya mwendokasi mfungue office baadhi yasehemu kama msamvu ,mjini
@anthonygikuriАй бұрын
Hongereni!!! Je baada ya majaribio huduma itaendelea kuwa ya viwango? 😂 Tunapenda kula jojo na tukimaliza tunabandika kila sehemu😢
@UnitedAfrica-uw9ctАй бұрын
yaani huyo mwenye jojo ukimkamata hata wewe chapa viboko....hatuna jinsi maana wengine hawataki kubadilika basi wabadilike kwa nguvu
@abelg2488Ай бұрын
@@UnitedAfrica-uw9ct😂😂bonge la point. Basi hata makosi yatembee kwa yule asiyetaka kuzingatia Ustarabu ustarabu unadhifu unadhifu muhimu mno mno