SHABANI MPIRA PESA: ATAPIKA NYONGO"CHAMA ALIKUWA MRIJA WAO NDANI YA SIMBA" | TUMESAFISHA LINAKUJA

  Рет қаралды 10,054

wispoti tv

wispoti tv

17 күн бұрын

JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.

Пікірлер: 82
@RashidiAlly-et1sg
@RashidiAlly-et1sg 15 күн бұрын
Nakuelewa brother
@selemonsalvatory4414
@selemonsalvatory4414 15 күн бұрын
Angechezaje peke ake uwanjan mmemletea magalasa misimu mitatu iloisha sema ukwel chama bado yuko kwenye ubora wake lkn usingeonekana akiwa na kikos kile semen ukwel
@mwanangusana
@mwanangusana 15 күн бұрын
M nahic wanachama wa tawi la mpira pesa ..wanalipwa pesa na huyu jamaa ili waongozwe nae 🤣🤣🤣 .........
@jimmymnuano7165
@jimmymnuano7165 15 күн бұрын
Eng.Helisi sasa hivi ananyapia nyapia Mo Dewiji amuhamishiye Yanga hizo za ndani nakupa akae akijuwa hivyo
@alphoncealmack9240
@alphoncealmack9240 15 күн бұрын
Wanafiki wakubwa wakati wanaenda kulilia chooni hayo maneno ya "sizitaki mbichi hizi"😂😂😂😂😂wameumia sanaaa
@mwanangusana
@mwanangusana 15 күн бұрын
Generator limewashwaaaaaaaaaaaaaa linapiga keleeeee ......che malone 🤣🤣🤣🤣🤣🤣, huyu jamaaa daaah ndo mwenyekiti wa tawii kweli m nahisi huyu anawalipa anao waongozaaa
@user-er9xv9yz7b
@user-er9xv9yz7b 15 күн бұрын
Sio kweli we muongo tu sura inaonyesha Hindi gani ulivyoumia
@edwardmizambwa237
@edwardmizambwa237 15 күн бұрын
Uongozi wa Simba Sc hakika wamechukua uamuzi mzuri na wa maana sana. Chama kaanza kula pesa ya mwiko nyuma muda tu , na kwenda huko analipa deni. Yeye na Inonga wameihujumu sana Simba Sc. Kaenda pre season siku tano kabla ya kumalizika. Mechi ya kimataifa Chama alimzalilisha kocha wa viungo mbele ya mgeni rasmi wa mpira.
@georgegregory8414
@georgegregory8414 15 күн бұрын
Chama nenda huko tunataka vijana wa kazi, umekaa miaka mitatu umefanya nini, umetuhujumu sana viongozi nawapongeza sana kutoa kirusi hicho
@user-hu4el2rx2u
@user-hu4el2rx2u 15 күн бұрын
Mchawi wa Simba chama
@AdnaneisufomomadeMomade
@AdnaneisufomomadeMomade 15 күн бұрын
Mimi binafsi. Nasema chama ni mchezaji mzuri. Lakini niseme tu uamuzi waliofanya simba ni wakishujaa.nawapongeza sana simba
@allyshabani3404
@allyshabani3404 15 күн бұрын
Chama yupo juu ya Simba Simba bila chama inaitwa paka nyiye mashabiki mpaka saah mlikuwa mnasema chama akiondoka mtashabikiya Azam mlifukuza Robert inho eti afate mfumo wa chama najuwa mashabiki mandazi mnaumiya sana
@namtingakassim5529
@namtingakassim5529 15 күн бұрын
Chama bora alivyoondoke chawa tu alikuwa kirusi ndani ya simba
@Luganoamos-jv5in
@Luganoamos-jv5in 15 күн бұрын
Wasaliti woote Simba waondoke,hyo Chama aliuza mechi Tano goli
@salimmalaka256
@salimmalaka256 15 күн бұрын
ASHURA CHEUPE NDIE ALIKUWA KUWADI WA MATOPOLO MSHENZI YULE
@selemonsalvatory4414
@selemonsalvatory4414 15 күн бұрын
Ila simba bana leo yanawatoka dah kwel chama noma
@nuruosward8161
@nuruosward8161 15 күн бұрын
Mwache aende alikuwa anacheza kwa kujisikia ahaaaaa wala haja tuumizaaaa😂😂😂😂
@user-ff1it9og8y
@user-ff1it9og8y 15 күн бұрын
Chama si mwaminifi huyo nimtafutaji tu wa mchongo hata Yanga ataealipua tu subiri daby Simba na Yanga akicheza chama kwanza kawa mzito umri ume endaaaa
@AshuraChamwana
@AshuraChamwana 15 күн бұрын
Oyooooooooo nakubalishabani
@ChristianPazza
@ChristianPazza 14 күн бұрын
Naomba number
@masoudmongomongo244
@masoudmongomongo244 15 күн бұрын
Maneno ya mkosaji
@user-gn4cp2vq2y
@user-gn4cp2vq2y 15 күн бұрын
Siyo shabiki maandazi huo ndo ukweli alituumiza sana mashabiki wa simba,....tunampenda ila yeye hakuliona hilo,...mungu atamuona huko aendako malipo ni hapahapa duniani km alikusudia kuiangusha simba
@saidimnyani3330
@saidimnyani3330 15 күн бұрын
Mnafiki mkubwa huyu
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 15 күн бұрын
Mnajifariji tu
@user-ff1it9og8y
@user-ff1it9og8y 15 күн бұрын
Chama mwanzilishi wa mgomo kwa wachezaji huyooooo Yanga wamepokea bomu
@user-xv2zm5ec9y
@user-xv2zm5ec9y 15 күн бұрын
Nina amani kutoka Kwa mlija
@JumaVitaris
@JumaVitaris 15 күн бұрын
Mm hu
@RashidKaoneka-bj8mm
@RashidKaoneka-bj8mm 15 күн бұрын
Aisee sumu imemuingi analiwa lohoni
@RemidiusBatungi
@RemidiusBatungi 15 күн бұрын
Bora asepe t mamuluki to huyo chama
@abujumanne7570
@abujumanne7570 15 күн бұрын
Wasaliti wote wata ondoka tusha wa jua
@tosh7671
@tosh7671 15 күн бұрын
Simba kama mazuzu 😂😂😂 hasa hili ngese
@namtingakassim5529
@namtingakassim5529 15 күн бұрын
2:15
@namtingakassim5529
@namtingakassim5529 15 күн бұрын
ACHENI MASWALI YA KEJELI NA DHARAU NAMBA 1O SIO YEYE TU MWANDISHI WEWE FALA KAMA CHAMA MUHIMU HUKO KWAO KAFANYA NINI
@AdamSimai
@AdamSimai 15 күн бұрын
Football is intensity. Tme of attacking and time of deffensing together with mentality of playing. This is a modern football. So watch chama in simba when the game is high intensity chama collapse totally. Chama better for nbc league not for champion league
@mwanangusana
@mwanangusana 15 күн бұрын
Mbagien nyakiel pakocholooo .... Umeandika ushuzi mtupu nenda huko udundukani ukawasimulieee
@nicodemuswidambe5132
@nicodemuswidambe5132 14 күн бұрын
Kumtukana Chama mnatengeneza laana mtajuta.
@ChristianPazza
@ChristianPazza 14 күн бұрын
Mpira hauko hvy ,tunza maneno
@evansdecaprio8196
@evansdecaprio8196 15 күн бұрын
Kweli siku ya Azam kwani numba kumi alikuwa nani
@hassanabdala7383
@hassanabdala7383 15 күн бұрын
Mduka yote safishaaaa
@SurprisedFullMoon-gg9vu
@SurprisedFullMoon-gg9vu 15 күн бұрын
Aende kwa maveteran wenzakee hukoo
@mwanangusana
@mwanangusana 15 күн бұрын
😂😂😂😂 .... Tabu leeeeeeeeeee
@prince783
@prince783 15 күн бұрын
Hamna shukran
@salimmalaka256
@salimmalaka256 15 күн бұрын
NYIE SHUKURANI MNAYO??? FEI KATOKA KWA MBINDE SAIDOO HATA HAMKUMUAGA MAYELE KAMALIZA MKATABA MNAMRUSHIA VIJINI KUTOKA RUFIJI BM 3 MMEMPA KIBUSHA GHAFLA MATOPOLO MACHOGO FC NYIE MNA ABUDU UCHAWI NA MIZIMU
@mwanangusana
@mwanangusana 15 күн бұрын
​@@salimmalaka256ukiwemo na wewe maana, unaependa kutoa matusi mazito..dunduka Waheed
@MohdAli-fl2ef
@MohdAli-fl2ef 15 күн бұрын
Wacha aende akawahujumu hawamjui anahasira nao yule ni jasusi wa Simba hii itawagharimu San watani wasipokuwa makini
@yilodhasunga3967
@yilodhasunga3967 15 күн бұрын
Ndo tunamtaka afanye hivyo
@salimmalaka256
@salimmalaka256 15 күн бұрын
NA ATAFANYA TU
@bashirbaruan3969
@bashirbaruan3969 15 күн бұрын
😅
@mwanangusana
@mwanangusana 15 күн бұрын
​@@salimmalaka256😂😂😂😂 dunduka
@user-ht5tc5yv5t
@user-ht5tc5yv5t 13 күн бұрын
Hhaaaahaaa hasira hzo😂😂😂
@user-iz3hs8jl5p
@user-iz3hs8jl5p 15 күн бұрын
maneno ya mkosaji na mwaka msimu ujao utaongea sana na uyu fondo anawasaidia nini mbona mko shirikisho wee pongo anaumia uyo anajikaza 2
@salimmalaka256
@salimmalaka256 15 күн бұрын
VIPOFU MMEONA PUNDA WACHEZAJI WAMEJAA HATUKOSI TOPOLO MACHOGO FC WEWE
@mwanangusana
@mwanangusana 15 күн бұрын
​@@salimmalaka256🤣🤣🤣 wamejaaaa si ndo ao akina jobe, Fred na onana
@SultanSuleiman-qf7cx
@SultanSuleiman-qf7cx 15 күн бұрын
Muongo macho' sura yko vyote vyajulisha kuwa waumia sana furaha ya mwanadamu ikiwepo kiungo cha kwanza kujulisha furaha n uso wake ...ww n furha gani jicho lakutoka huna furaha hata kiasi kidogo
@salimmalaka256
@salimmalaka256 15 күн бұрын
SABABU WEWE NI MKEWE HATUKUPINGI UNAMJULIA ZAIDI
@ommymsangi9182
@ommymsangi9182 15 күн бұрын
Mdomoni anafuraha lkn rohoni mmh!!kwani uso auonyeshi furaha.
@salimmalaka256
@salimmalaka256 15 күн бұрын
SABABU WEWE NI MKEWE UNAMJULIA ZAIDI HATUKUPINGI.
@mwanangusana
@mwanangusana 15 күн бұрын
​@@salimmalaka256itakua mke mwenzako uyo ..... 😂😂😂
@felixmalima3024
@felixmalima3024 15 күн бұрын
Punguza chuki broo
@salimmalaka256
@salimmalaka256 15 күн бұрын
VP KAKUNYIMA KULA AU
@mwanangusana
@mwanangusana 15 күн бұрын
​@@salimmalaka256jobe
@UswegeMwaigomole
@UswegeMwaigomole 15 күн бұрын
Uyuu jamaa anaushaidi wowote ..kuna mashabiki ni madazi kwel ..kuna mashabiki kama hawa inabidi wachapwe fimbo ..ukibwa wa simba umesabibishwa na chama hlf wewe unasema ujinga ujinga tuu
@MohdAli-fl2ef
@MohdAli-fl2ef 15 күн бұрын
Wacha aende akawahujumu hawamjui anahasira nao yule ni jasusi wa Simba hii itawagharimu san watani wasipokuwa makini
@salimmalaka256
@salimmalaka256 15 күн бұрын
FIMBO UCHAPWE WEWE SHABIKI MACHAPATI SUPU.
@mwanangusana
@mwanangusana 15 күн бұрын
​@@salimmalaka256na wewe uchapwe unaetukana ovyoo dunduka 🤣🤣🤣
@UswegeMwaigomole
@UswegeMwaigomole 15 күн бұрын
Timu ya simba mm nipo pale musimu ujao hawezi hata kushika nafasi 4 za juu ..chama mechi ngapi ametubeba hlf huyuu anaongea utumbo utumbo ...
@hassanabdala7383
@hassanabdala7383 15 күн бұрын
Simba sio chama elewa mpiraa ww chama ana miaka 33 unadhani angendelea kuchezea Simba miaka mingapi kama kweli Uto wamemuona chama ni WA maana kwann wampe mkataba wa mwaka mmoja Uto wamemsign chama kwa lengo la kuuza jezi 2
@salimmalaka256
@salimmalaka256 15 күн бұрын
KWANI WATAKAO KUJA VIWETE?? MWANGA WEWE
@mwanangusana
@mwanangusana 15 күн бұрын
​@@salimmalaka256kwani jobe au frediii 😂😂 , tumia akili kijana au unatumia kiungo Cha kupikia mchuzi
@hassanabdala7383
@hassanabdala7383 15 күн бұрын
Mechi za mwisho zote chama hakucheza na Simba walishinda kakojoe ulalee
@HABIBHASSAN-wf5mr
@HABIBHASSAN-wf5mr 15 күн бұрын
MANENO YA KUJIFARIJI..KAMA KA UNAFIKI FRAN HIVI...MAFANIKIO MAKUBWA KAWAPA SIMBA ALAFU UNASEMA UMEFURAHISHWA NA KUONDOKA CHAMA SASA AYA SI MANENO YA KIJINGA ?
@salimmalaka256
@salimmalaka256 15 күн бұрын
UNAONGEA UTUMBO WEWE MSHAHARA TUMPE NA HUKU ATUSALITI WACHEZAJI WAMEJAA DUNIANI.
@mwanangusana
@mwanangusana 15 күн бұрын
​@@salimmalaka256jobe , Fred na onana.... Wapo kibao leteniii tu sio ndo Chimbo la watoroo ilo
@EvaristJosiah
@EvaristJosiah 15 күн бұрын
Hapo2 unaongea unataka kulia unasema unafuraha
@salimmalaka256
@salimmalaka256 15 күн бұрын
ALIE KWANI WACHEZAJI HAMNA DUNIANI??
@mwanangusana
@mwanangusana 15 күн бұрын
​@@salimmalaka256wapo akina jobe
@jumamchewa3246
@jumamchewa3246 15 күн бұрын
Maneno ya mkosajii mkia wewe
@salimmalaka256
@salimmalaka256 15 күн бұрын
KAUKOSA MKUNDU WAKO MACHOGO FC WEWE
@mwanangusana
@mwanangusana 15 күн бұрын
​@@salimmalaka256matusi ndo unayo jua ,,,,,, sijui unaishi chooni ... Maana jambo dogo unatukana , hiv unajielewa ndugu yangu ? Matusi na mpovuu endelea 🤣🤣🤣🤣
@AdnaneisufomomadeMomade
@AdnaneisufomomadeMomade 15 күн бұрын
Mimi binafsi. Nasema chama ni mchezaji mzuri. Lakini niseme tu uamuzi waliofanya simba ni wakishujaa.nawapongeza sana simba
@AdnaneisufomomadeMomade
@AdnaneisufomomadeMomade 15 күн бұрын
Mimi binafsi. Nasema chama ni mchezaji mzuri. Lakini niseme tu uamuzi waliofanya simba ni wakishujaa.nawapongeza sana simba
NERF WAR HEAVY: Drone Battle!
00:30
MacDannyGun
Рет қаралды 57 МЛН
Heartwarming: Stranger Saves Puppy from Hot Car #shorts
00:22
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 22 МЛН
Ruto's Biggest Mistake Firing Attorney General Muturi?
14:27
KimathiTV
Рет қаралды 257 М.
SAKATA LA MANULA LIPO HIVI l MAHAKAMA YAMUONDOA HERS YANGA
KISSFM TANZANIA
Рет қаралды 30
When Left Footies Win International Titles 🍼🐐
0:19
DeBall
Рет қаралды 2,5 МЛН
МОЛОДОЙ КАЗАХ ПОДАРИЛ СУЛЬЯНОВУ ШАПКУ
0:49
O MELHOR LATERAL DA HISTÓRIA 🚀🇧🇷
1:00
Nerdatletabr_Oficial🇧🇷
Рет қаралды 9 МЛН
Самый Безумный Спор 😱
0:42
EpicShortsRussia
Рет қаралды 3,5 МЛН