JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV. KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
Пікірлер: 82
@RashidiAlly-et1sg15 күн бұрын
Nakuelewa brother
@selemonsalvatory441415 күн бұрын
Angechezaje peke ake uwanjan mmemletea magalasa misimu mitatu iloisha sema ukwel chama bado yuko kwenye ubora wake lkn usingeonekana akiwa na kikos kile semen ukwel
@mwanangusana15 күн бұрын
M nahic wanachama wa tawi la mpira pesa ..wanalipwa pesa na huyu jamaa ili waongozwe nae 🤣🤣🤣 .........
@jimmymnuano716515 күн бұрын
Eng.Helisi sasa hivi ananyapia nyapia Mo Dewiji amuhamishiye Yanga hizo za ndani nakupa akae akijuwa hivyo
@alphoncealmack924015 күн бұрын
Wanafiki wakubwa wakati wanaenda kulilia chooni hayo maneno ya "sizitaki mbichi hizi"😂😂😂😂😂wameumia sanaaa
Sio kweli we muongo tu sura inaonyesha Hindi gani ulivyoumia
@edwardmizambwa23715 күн бұрын
Uongozi wa Simba Sc hakika wamechukua uamuzi mzuri na wa maana sana. Chama kaanza kula pesa ya mwiko nyuma muda tu , na kwenda huko analipa deni. Yeye na Inonga wameihujumu sana Simba Sc. Kaenda pre season siku tano kabla ya kumalizika. Mechi ya kimataifa Chama alimzalilisha kocha wa viungo mbele ya mgeni rasmi wa mpira.
@georgegregory841415 күн бұрын
Chama nenda huko tunataka vijana wa kazi, umekaa miaka mitatu umefanya nini, umetuhujumu sana viongozi nawapongeza sana kutoa kirusi hicho
@user-hu4el2rx2u15 күн бұрын
Mchawi wa Simba chama
@AdnaneisufomomadeMomade15 күн бұрын
Mimi binafsi. Nasema chama ni mchezaji mzuri. Lakini niseme tu uamuzi waliofanya simba ni wakishujaa.nawapongeza sana simba
@allyshabani340415 күн бұрын
Chama yupo juu ya Simba Simba bila chama inaitwa paka nyiye mashabiki mpaka saah mlikuwa mnasema chama akiondoka mtashabikiya Azam mlifukuza Robert inho eti afate mfumo wa chama najuwa mashabiki mandazi mnaumiya sana
@namtingakassim552915 күн бұрын
Chama bora alivyoondoke chawa tu alikuwa kirusi ndani ya simba
@Luganoamos-jv5in15 күн бұрын
Wasaliti woote Simba waondoke,hyo Chama aliuza mechi Tano goli
@salimmalaka25615 күн бұрын
ASHURA CHEUPE NDIE ALIKUWA KUWADI WA MATOPOLO MSHENZI YULE
@selemonsalvatory441415 күн бұрын
Ila simba bana leo yanawatoka dah kwel chama noma
@nuruosward816115 күн бұрын
Mwache aende alikuwa anacheza kwa kujisikia ahaaaaa wala haja tuumizaaaa😂😂😂😂
@user-ff1it9og8y15 күн бұрын
Chama si mwaminifi huyo nimtafutaji tu wa mchongo hata Yanga ataealipua tu subiri daby Simba na Yanga akicheza chama kwanza kawa mzito umri ume endaaaa
@AshuraChamwana15 күн бұрын
Oyooooooooo nakubalishabani
@ChristianPazza14 күн бұрын
Naomba number
@masoudmongomongo24415 күн бұрын
Maneno ya mkosaji
@user-gn4cp2vq2y15 күн бұрын
Siyo shabiki maandazi huo ndo ukweli alituumiza sana mashabiki wa simba,....tunampenda ila yeye hakuliona hilo,...mungu atamuona huko aendako malipo ni hapahapa duniani km alikusudia kuiangusha simba
@saidimnyani333015 күн бұрын
Mnafiki mkubwa huyu
@stanslausmteme845515 күн бұрын
Mnajifariji tu
@user-ff1it9og8y15 күн бұрын
Chama mwanzilishi wa mgomo kwa wachezaji huyooooo Yanga wamepokea bomu
@user-xv2zm5ec9y15 күн бұрын
Nina amani kutoka Kwa mlija
@JumaVitaris15 күн бұрын
Mm hu
@RashidKaoneka-bj8mm15 күн бұрын
Aisee sumu imemuingi analiwa lohoni
@RemidiusBatungi15 күн бұрын
Bora asepe t mamuluki to huyo chama
@abujumanne757015 күн бұрын
Wasaliti wote wata ondoka tusha wa jua
@tosh767115 күн бұрын
Simba kama mazuzu 😂😂😂 hasa hili ngese
@namtingakassim552915 күн бұрын
2:15
@namtingakassim552915 күн бұрын
ACHENI MASWALI YA KEJELI NA DHARAU NAMBA 1O SIO YEYE TU MWANDISHI WEWE FALA KAMA CHAMA MUHIMU HUKO KWAO KAFANYA NINI
@AdamSimai15 күн бұрын
Football is intensity. Tme of attacking and time of deffensing together with mentality of playing. This is a modern football. So watch chama in simba when the game is high intensity chama collapse totally. Chama better for nbc league not for champion league
NYIE SHUKURANI MNAYO??? FEI KATOKA KWA MBINDE SAIDOO HATA HAMKUMUAGA MAYELE KAMALIZA MKATABA MNAMRUSHIA VIJINI KUTOKA RUFIJI BM 3 MMEMPA KIBUSHA GHAFLA MATOPOLO MACHOGO FC NYIE MNA ABUDU UCHAWI NA MIZIMU
@mwanangusana15 күн бұрын
@@salimmalaka256ukiwemo na wewe maana, unaependa kutoa matusi mazito..dunduka Waheed
@MohdAli-fl2ef15 күн бұрын
Wacha aende akawahujumu hawamjui anahasira nao yule ni jasusi wa Simba hii itawagharimu San watani wasipokuwa makini
@yilodhasunga396715 күн бұрын
Ndo tunamtaka afanye hivyo
@salimmalaka25615 күн бұрын
NA ATAFANYA TU
@bashirbaruan396915 күн бұрын
😅
@mwanangusana15 күн бұрын
@@salimmalaka256😂😂😂😂 dunduka
@user-ht5tc5yv5t13 күн бұрын
Hhaaaahaaa hasira hzo😂😂😂
@user-iz3hs8jl5p15 күн бұрын
maneno ya mkosaji na mwaka msimu ujao utaongea sana na uyu fondo anawasaidia nini mbona mko shirikisho wee pongo anaumia uyo anajikaza 2
@salimmalaka25615 күн бұрын
VIPOFU MMEONA PUNDA WACHEZAJI WAMEJAA HATUKOSI TOPOLO MACHOGO FC WEWE
@mwanangusana15 күн бұрын
@@salimmalaka256🤣🤣🤣 wamejaaaa si ndo ao akina jobe, Fred na onana
@SultanSuleiman-qf7cx15 күн бұрын
Muongo macho' sura yko vyote vyajulisha kuwa waumia sana furaha ya mwanadamu ikiwepo kiungo cha kwanza kujulisha furaha n uso wake ...ww n furha gani jicho lakutoka huna furaha hata kiasi kidogo
@salimmalaka25615 күн бұрын
SABABU WEWE NI MKEWE HATUKUPINGI UNAMJULIA ZAIDI
@ommymsangi918215 күн бұрын
Mdomoni anafuraha lkn rohoni mmh!!kwani uso auonyeshi furaha.
Uyuu jamaa anaushaidi wowote ..kuna mashabiki ni madazi kwel ..kuna mashabiki kama hawa inabidi wachapwe fimbo ..ukibwa wa simba umesabibishwa na chama hlf wewe unasema ujinga ujinga tuu
@MohdAli-fl2ef15 күн бұрын
Wacha aende akawahujumu hawamjui anahasira nao yule ni jasusi wa Simba hii itawagharimu san watani wasipokuwa makini
Timu ya simba mm nipo pale musimu ujao hawezi hata kushika nafasi 4 za juu ..chama mechi ngapi ametubeba hlf huyuu anaongea utumbo utumbo ...
@hassanabdala738315 күн бұрын
Simba sio chama elewa mpiraa ww chama ana miaka 33 unadhani angendelea kuchezea Simba miaka mingapi kama kweli Uto wamemuona chama ni WA maana kwann wampe mkataba wa mwaka mmoja Uto wamemsign chama kwa lengo la kuuza jezi 2
@salimmalaka25615 күн бұрын
KWANI WATAKAO KUJA VIWETE?? MWANGA WEWE
@mwanangusana15 күн бұрын
@@salimmalaka256kwani jobe au frediii 😂😂 , tumia akili kijana au unatumia kiungo Cha kupikia mchuzi
@hassanabdala738315 күн бұрын
Mechi za mwisho zote chama hakucheza na Simba walishinda kakojoe ulalee
@HABIBHASSAN-wf5mr15 күн бұрын
MANENO YA KUJIFARIJI..KAMA KA UNAFIKI FRAN HIVI...MAFANIKIO MAKUBWA KAWAPA SIMBA ALAFU UNASEMA UMEFURAHISHWA NA KUONDOKA CHAMA SASA AYA SI MANENO YA KIJINGA ?
@salimmalaka25615 күн бұрын
UNAONGEA UTUMBO WEWE MSHAHARA TUMPE NA HUKU ATUSALITI WACHEZAJI WAMEJAA DUNIANI.
@mwanangusana15 күн бұрын
@@salimmalaka256jobe , Fred na onana.... Wapo kibao leteniii tu sio ndo Chimbo la watoroo ilo
@EvaristJosiah15 күн бұрын
Hapo2 unaongea unataka kulia unasema unafuraha
@salimmalaka25615 күн бұрын
ALIE KWANI WACHEZAJI HAMNA DUNIANI??
@mwanangusana15 күн бұрын
@@salimmalaka256wapo akina jobe
@jumamchewa324615 күн бұрын
Maneno ya mkosajii mkia wewe
@salimmalaka25615 күн бұрын
KAUKOSA MKUNDU WAKO MACHOGO FC WEWE
@mwanangusana15 күн бұрын
@@salimmalaka256matusi ndo unayo jua ,,,,,, sijui unaishi chooni ... Maana jambo dogo unatukana , hiv unajielewa ndugu yangu ? Matusi na mpovuu endelea 🤣🤣🤣🤣
@AdnaneisufomomadeMomade15 күн бұрын
Mimi binafsi. Nasema chama ni mchezaji mzuri. Lakini niseme tu uamuzi waliofanya simba ni wakishujaa.nawapongeza sana simba
@AdnaneisufomomadeMomade15 күн бұрын
Mimi binafsi. Nasema chama ni mchezaji mzuri. Lakini niseme tu uamuzi waliofanya simba ni wakishujaa.nawapongeza sana simba