TUMEPATA NAFASI YA AKIZUNGUMZIA PETE NA NGUVU ZAKE KATIKA OFISI YA SHEIK KANDABUNGO NA TUMEPATA SOMO LA KUJIFUNZA TAZAMA HAPA
Пікірлер: 26
@user-ft8cb3rq2k6 күн бұрын
Sheikh Yuko, vizuri Sanaa..
@Abdulrahmanhassan18Күн бұрын
Hayaa ni maarifa makubwa sana
@user-ow2jv4vn8b3 күн бұрын
Hata utajiri mtu anaweza kufanya maalifa ukawa tajiri hii haipingwi kabisa
@yusuphomary74104 күн бұрын
Msikilize sheikh anachokiongea usikurupuke kwenye uchawi. Msikilize Kwa umakini ili umuelewe.
@sospetermwakoma9106 күн бұрын
4NIPE NAMBARI YA SHEIKH
@sospetermwakoma9106 күн бұрын
NIPE NAMBARI YA SHEIKH
@JumaAthuman-bk6hx5 күн бұрын
HAPO HAKUNA USOMI WA DINI ZAIDI YA USHIRIKINA UKIONA MAPETE HAYO UJUE NI MSHIRIKI NA, WAEPUKENI HAO.
@sawebenjamin40155 күн бұрын
Msingi wa uisilamu ni kupenda wenyewe kwa wenyewe na kusaidiana na majini ndugu zao.
@mussashaha-iv7gg4 күн бұрын
wewe ni mpumbavu huelewi hujui Mungu kaumba nini
@Hussein-gx4qu3 күн бұрын
Kwani wewe una utofauti Gani na majini
@sulekhan7119Күн бұрын
Sawa
@nabiimgongolwa87289 сағат бұрын
VIONGOZI WA DINI ACHENI MAMBO YENU BINAFSI FUNDISHENI IMANI YA DINI. MAJINI MAJINI WHAT IS MAJINI BWANA.
@msemakweli2436 күн бұрын
Nishawahi kusema narudia tena shetani hana uwezo wa kusema kitu kuwa lakn ana uwezo wa kufanya chochote kupitia vitu mfano pete,cheni,bangili na mengineyo
@bilid41286 күн бұрын
Hapo kwenye neno "kuwa lakn" umeniacha kidogo tafadhali naomba ufafanuzi kidogo
@msemakweli2436 күн бұрын
@@bilid4128 sijaweka mkato ndo maana unasema nimekuacha (kitu kuwa)
@ayubutwalbu65946 күн бұрын
Kwahyo wewe mzee kati yahawo walio toa elimu ya falaki na wewe mwenyeelimu ninani yani umejikanyagakanyaga sana
@msemakweli2436 күн бұрын
@@ayubutwalbu6594 yeye huyo mwalimu amejitoa katika ushirikina, lakn inabidi ufahamu kuwa hiyo elimu ya farak ni ushirikina amabo sheh yoyote lazima asome
@user133755 күн бұрын
Misir ndo uchaw ulipoupatia😮😮
@igurusitv65536 күн бұрын
Uislamu ni uchawi mtupu
@JamesJastin-bg1rx4 күн бұрын
Acha chuki za kidini
@mussashaha-iv7gg4 күн бұрын
wewe huelewi uislam ndio dini ya kweli hakika kama unataka kujua nitafute
@batashqiraa99364 күн бұрын
Uislamu sio uchawi, uislamu ni dini ya haki ambayo imeridhiwa na Mwenyezi Mungu, uislamu unakataza kufanya uchawi, uislamu unatambua kuwa uchawi upo lkn uislamu hauruhusu kufata na kufanya uchawi, kwaiyo usiuchafue uislamu kwa chuki zako, pinga kielimu na sio kichuki
@sospetermwakoma9106 күн бұрын
NIPE NAMBARI YA SHEIKH
@sospetermwakoma9106 күн бұрын
NIPE NAMBARI YA SHEIKH
@joezeno85 күн бұрын
@@SIMULIZIZONENafikiri ulirusha hii kipindi part 2 mbele badala ya part 1
@JumaAthuman-bk6hx5 күн бұрын
Acha kughulika na washirikina hawa utapoteza muda wako na kupigwa vijisenti vyako.Hawa ndo matapeli kwa kivuli cha dini,na ndo wanachafua uislamu