Jazzakah lauh kher Dr kimweri Allah akuongeze umri na akustiri Leo na kesho akhera
@Maheer_806 жыл бұрын
Dah! MashaAllah Sheikh Dr. Kimweri uko vizuri sanaaa...
@aminland81676 жыл бұрын
HUYO HAMZA ANAFATA MASLAHI UROHO WA PESA TU MTASUMBUKA NAYE BURE HAKI ANAIJUA SANA
@azizauledi41086 жыл бұрын
Jazakallah Allahu khair dr kimweri upo vizuriii hadi raha kufutilia mdaalo
@allymuhammad3256 жыл бұрын
Maalim kimweri,sina shaka nae, kawiva pande zote maa shaa Allah!
@jmazonge91176 жыл бұрын
?GB Yb Yb TV TX ex ex ex SC I'll 9 pm I'm
@navabusabimana54854 жыл бұрын
Allah awabarikini sana maulamaa wetu wa kiislamu mmee ainisha kila kitu kikawa wazi 📖📖hamza na wengine ni budhabi dhabina wanawo mfuuta hamza allah awajaliye wafuate muongozo wallah 🤲🤲hamza ni mjinga sana allah amnusuru
@mudiinasser43036 жыл бұрын
Mashallah kweri Allah akupe kila LA kher upo fiti wafahamishe hao watoto wadogo pao kimweri
@NADUAonlineTV3 жыл бұрын
SAFI SANA USISAHAU KUANGALIA NADUA ONLINE TV KWA ELMU ZINGINE
@jumahamis2276 жыл бұрын
Waislamu tumejaaliwa ufahamu, upeo wa kuchambua mambo na ufasaha wa kuzungumza mashallah, angalia jinsi Dk kimweri alivyowazidi maarifa na hoja hawa wakina hamza 😂.
@anasiatajovin2035 жыл бұрын
Nan kakudanganya ww kwa kipi unajua
@jumahamis2275 жыл бұрын
Anasiata Jovin tafuta mada uje kubishana na mm tu, hao jamaa grade kubwa sana hauwawezi.
@fundiwamoldzapevingblock63782 жыл бұрын
Uyo sheh wa drafti nimemuelewa sanaa
@kibeginiblue71883 жыл бұрын
Sheikh nakukubali ulie mlekebisha upo sahihi cc tunawajua masheikh wa kweli na wanafki
@brianmacharia54542 жыл бұрын
Yesu diye jia mungu kwigine nikupotea watu mungu
@munakassim35216 жыл бұрын
Laanatullah hamza and all groups
@ramadhanmussa63186 жыл бұрын
Walaniwe kabisa
@festokiraryo.61076 жыл бұрын
We Malaya kaa kimya
@missmoona44976 жыл бұрын
Zamahiz tutaona na kusikia meng, Tunamuomba Allah atupe mwisho mwema inshaallah
@ramadhankiponza67306 жыл бұрын
SHEIKH Kimweli Allah Akupe Umri Mrefu Wenye Manufaa.
@mayahhajih26366 жыл бұрын
Allahahumah Amiiiiiin inshaaallah pamoja nawe pia na wengine sote
@zahramoo1065 жыл бұрын
Ameen yaa Raaby dua maqbuul 👐
@noreenmillicient81015 жыл бұрын
Nashangaa na ndugu zangu waislamu,,,,,mungu ni yule mmoja bali tunamjua yesu aliyetufia msalabani ambaye ni njia pekee ya kutupeleka mbiguni kwa mungu,,,ndo maana yesu alilia,,,oooh,,ndugu zangu jueni njia ya kweli na ya uzima,,
@mwaswa18995 жыл бұрын
Hakunasiku hata moja Ambayo Itatokea Yesu akashindwa yeye atakuwa mshindi milele ,dini zote zinamtegemea yeye aje na anakuja mtaelewa somo
@nooor11204 жыл бұрын
Issa ni mshndi kweli hatujapinga kwasababu ni mtume wetu kwenye uislam kati ya mtume Daud akafata Mussa Kafata Issa ndio Jesus akamalizia Muhammad.
@kabasileissaya87866 жыл бұрын
Hawa jamaa jamani wanamatatizo kweli hii tafsiri wanayo tafsiri kwa akili zao wananiudhi kweli inshaallah mungu ataongoa
Nawaona nduguzangu iblahim kimweli shafii na wengineo pigeni kazi
@munakassim35216 жыл бұрын
Kimweri allah akupe umri mkubwa inshallah
@abdullahrashid62976 жыл бұрын
Amiin yarab
@mussahamisi11916 жыл бұрын
Sheikh kimweli ALLAH akujalie
@jadilaraphael36686 жыл бұрын
asante xan sheikh kimwel 😘😘😘😘😘😘, toa elimu babaaaa
@omarykyutta66816 жыл бұрын
Allah is greatest
@bjzee19815 жыл бұрын
Sahaba ni companions wa Mtume Swal Allahu alayhi wasalam. Sio wakata mitaa sisi wa zama hizi
@shariffkhaleed30216 жыл бұрын
hamza pole sana umeuacha mwislaam Ali yakuwa unaona tambua kuwa kudai unabii SAA HIV nikufru kwasababu anaona kuwa maneno ya alla yanagongana kwasabab Allah amesrma kuwa mtume Muhamad ndowamwisho ñahakuna nabii baada yake
@saidisalabi76933 жыл бұрын
Eti kasoma tamta mungu amuangamize
@bakarysuleiman67776 жыл бұрын
Safi sana shekhe kimweri nimekuelewa sana
@neemaabdul95536 жыл бұрын
Kweli liamza linatumia hizo falsafa za trump tu .hajui hata hiyo kur an ibilis huyu
@zuberimkala82736 жыл бұрын
Mungu amlaani hamza na maswaaba zake...
@kibeginiblue71883 жыл бұрын
Sheikh kimweli mashaallah
@olivermazuma9813 жыл бұрын
hamza anashindwa kuongea kwa sababu mmemiandama sana lakin yupo sahihi sana
@njokaawadhi31546 жыл бұрын
Hawa jamaa tunawaacha sana Waislam, huyu Hamza angekuwepo enzi za Sayidina Umar r.a angeendelea kuishi kweli???!
@sammarley14135 жыл бұрын
Hao nama nikipimo CA udhaifu wenu nyie wIslam watanzania. Nahayo nimatatizo makubwa kwenu siku zambele. Mna MCE wafitna unapandwa nanyie mnautizamisha maco tu.
@peterjoseph58885 жыл бұрын
hawa zalau huko kwao bukoba nikawaida sana wanajua. nimikoa.yote.inaujinga. kma .wakizalau kma wahaya. mwache aendelee kukashifu koloani.ala.atampa.kwa.Yale.ayafanyayo tujue huyo kwanza ni muhaya wao hujiita. niwajuzi wa kila.kitu kwa.hpa.atukubali hta kidogo
@peterjoseph58885 жыл бұрын
eti.anajiita nabii Lana za alaah ziwe juu yko na alaah akuzalilishe.dunia nakhela we nimuhaya tu wacha zalau za.uko kwenu eti nabii .ww kabisa muhaya. watu wakujidai
@omarymasoudykisondo3896 жыл бұрын
Uyo swahaba wa hamza anaongea nini cjajua point yake kasimamia nini makafili tupu hao izi ni laana uwezi kuichalenge Qur'an maana Allah kashamaliza kila kitu akuna kipya
@dennismataula2936 жыл бұрын
Waislamu wamefungwa macho ,shetani kawazunguka kila kona ,kwahy hapa kuna nguvu mbili ,Mungu na shetani
@fettyomy64026 жыл бұрын
Dennis we ni mtoto wa shetani mana baba ako yuko kanisani na kiti chake cha enzi,,,hatoki ng'oo
@salimmasongo26255 жыл бұрын
We we wasema
@helenmark79656 жыл бұрын
Shukran Sheikh Kimweri
@amanimnyanga20026 жыл бұрын
Mazinge upo wapi
@abdullahrashid62976 жыл бұрын
Huyo anatakiwa apewe Mazinge au Othman Maalim
@khatibumwalimu5913 жыл бұрын
@@abdullahrashid6297 kwani kimweri amekosea wapi?
@sawbaa63325 жыл бұрын
Allah awape maishamarefi
@hajikhatib88406 жыл бұрын
swahaba bogus !! Nabii bogus !! waislam tujitahid kuisoma dini!!!! watu kama Hawa ni kukatwa tuu vichwa ..ni halal!!!
@محمدمحمد-ن7ط3ح6 жыл бұрын
Wewe ulimpa nani uhai ndio useme watu wakatwe vichwa,nahuki wasema unamjua mungu,hakuna mtu analusiwa kua mwingine na mungu hio ni shelia yenu walimwengu,ukiua myu hiodamu ndio itakuhukumu siku ya kiama,mungu humba nayeye peke yake ndio ako na ruhusa ya kuchukua,
@komboomary80156 жыл бұрын
Mnaidhalilisha tamta ina maana tamta itoa ujinga wa kupotosha waislam,
@leonardabrahamh69064 жыл бұрын
Baza songa mbele sisi wote duniani TUNA kuona kama kiongozi wa kweli na kupitia wewe wote tumeuwacha uisilam na kumuamini YESU KRISTO ili siku mbona tuwe mbingu wewe songa mbele usiogope matusi ya hao watu wa kimwili YESU atakulipa suite mayo sheih wetu
@kautharmarik89046 жыл бұрын
Hii midaharo naona km kuna watu watapotoka kwa hzo tafsir zao,tuwe kitu ki1,huyu jamaa tumuondoe asipate mahala pa kusemea jaman tuandamane!!!,
@nyandwijonathan86664 жыл бұрын
Nabi feki hamza issa nawenzie wote walaniwe.
@enezermwafrica74432 жыл бұрын
Nabii Ilyass ndio mpango mzima
@chuinbonden87344 жыл бұрын
Shekhe kimweri umeueka uislamu juuu na hamza upo chini rudi kwa Allah hamza tul kadhab pamoja na wenzio
@Maheer_806 жыл бұрын
Mbona kamtaja Mtume Muhammad pekee kwenye Mukaddima, Hajamtaja Nabii Issa wala Mtume wake Ilyasa (Hamza )
@fettyomy64026 жыл бұрын
Shangaa nawewe yani vituko tu wajitafutia laana hawa waja was Allah
@mudiinasser43036 жыл бұрын
Sasa haya wanataka nini naona siwafahamu tatizo Lao vp naona wanajijibu wenyewe sijui Ata vp Hawa hamza na waafuasi wake
@mimahmimah87935 жыл бұрын
Mi pia najiuliza point yao nn mbona wanjikanyaga wenyewe izi ni dalili ya qiamah waislam wanapinga Quran au hamza si muislam
@helenmark79656 жыл бұрын
Uislam Allah atauhifadhi daiman
@zuenaahmad39955 жыл бұрын
weehamza Na makafaari.wenzio.tubieni kwaajili.allah
Nasikitika cpo ilo eneo la hao wanao jiita manabii na maswahaba.Mungu hapo pangekuwa vita ya badri.na hao jamaa.
@hassanyallybanj96026 жыл бұрын
Hamad Shein menamwamini axilimia 100
@fatmazenafzena9176 жыл бұрын
Ndio maana mkaitwa mashekh.Allah awazidishieni subra mashekh wetu.yaan mm imani yangu bado ndogo natamani niwaadhibu huyo Hamza na cjui masahaba zake.yaan
@محمدمحمد-ن7ط3ح6 жыл бұрын
dhambi ni dhambi hata wewe vile unasema unaweza muadhimbu nidhambi,ile wewe sio mungu uhukumu wengine
@anasiatajovin2035 жыл бұрын
Ndio maana mnaumia kwakua wanasema kweli
@nakundwamkubwe78236 жыл бұрын
Sura za Hamza na wenzie zimekaa kikafiri kabisa 😀alafu Hawajui Quaran. Nawapongeza waislam wenzangu mmewatoa out hao kafiri.
@ashrafhashimu72615 жыл бұрын
😂😂😂😂
@saidjoka12823 жыл бұрын
Huyo hamza keshalaaniwa atawapa tabu msikae nae tena ye mwenyewe hajijui pumbavu
@neemaabdul95536 жыл бұрын
Aliyesema kur ani ni muongozo wa watu wa tumboni ni nani? Shetani mkubwa we
@abubakarayubu89386 жыл бұрын
Yani hamzza alivyokuwa na dharau yani anajiona mtume kweri eti mwanafunzi wa tamta Rudi darasani hamzza nahaowanaojiita maswahaba wako nikama magarituu unayasukuma hayanakitukabisa
@akbarmpemba69904 жыл бұрын
Huyo hamza aende akafundishwe na sheykh kimweli
@ibrahimuanthony14854 жыл бұрын
Elias songa mbele Endelea kuhubiri injili
@essaumpuma29812 жыл бұрын
Njooni wote mbatizwe mnatapatapa2 njia kweli na uzima
@ibrahimhaioty11056 жыл бұрын
Shekhe kimwelii mashaallah mashaallah mollah akuzidishie ilmu itakae kufaa na itakayo tufaa nasi mashaallah mashaallah jamani umenikosha jamani unahikma
@kijuuborongo64056 жыл бұрын
Safi Sana uisilamu sasa utakaa sawa, Shekhe HAMZA anachokisimamia kinamazingatio ndani yake kwawenye kufikiri fikra sahihi ,yesu alipokuwa anahubiri injili alikuta makuhani, makuhani walimpinga yesu, je mafundisho ya yesu yalikuwa mabaya? Jibu rahisi hayakuwa mabaya, kama hayakuwa mabaya kwanni walimpinga, nikwasababu makuhani na walimu washeria elimu yao yakufikiri na kupambanua mambo ilikuwa finyu Kama hao mashekhe wanaompinga HAMZA, mfano mdogo, Hamza kaenda kanisani kufundisha walio potea wapate kuongoka, badala yakumpongeza, kama alivyofanya Nabii IBRAHIMU alipokuta watu wanaabudu nyota, lakini mashekhe hao walianza kumtenga, enye wanafki, nawenye fikra finyu kubalini kufundishwa msiyo yajua hapo mtajua yalio fichikana Shekhe HAMZA usikate tamaa endelea kuwafundisha hao vipofu ila sio Muda mrefu wataona
@bekamtanzanicongolise95605 жыл бұрын
shafii kakimbia
@kasimulau21466 жыл бұрын
KIMWERI NI MTAALAM, PIGA HAO
@seifzongo3205 жыл бұрын
Ustadh Hamza unaongeaga points kw muislam ambae n wakweli
@jumamwacharodzikowa81796 жыл бұрын
Hawa jamaa mm siwaelewi wana dini gani
@francinensavyimana56015 жыл бұрын
Ukisifu wakirisu unawaongeza misifa yao yaupotofu coroan Alishasema yeyendo ataiifazi mupende musipendi Mutume Muhamadi S.A.W niwamwisho wamoja sijuwi manabi ivi tuko ulimwengu wa historia unabi hautakiwi tena .manabi wasiyojua hatamaandiko
@masoudmullah13294 жыл бұрын
Yani hawa ni vibaraka wa kanisa , Allah asiwatie nguvu washenzi hawa
@hamisikulola84816 жыл бұрын
Alafu ndio wanaoaminiwa MAKANISANI Hahahhahahah wanafata chenga za mchele
@gladysjosephmacharia32505 жыл бұрын
waislamu mlikataa saudi ya mungu hata mutume wenu alikataa kwaivyio mpaki nyuma kristo yesu uwaja
@kautharmarik89046 жыл бұрын
Najihidi jazba hta kuwasikiliza hawa maswahaba wa kichina,,
@abuibra6 жыл бұрын
Kauthar Marik :TABU WENGI TZ HUJIFANYA KUWA WANAJUA SAAAANA NA AMBAPO WAJINGA KAMA WAO HAKUNA KIASI CHA KUFIKIRI KIJANA KAMA HUYU ANATAKA KUMSAHIHISHA IBNI KATHIR AMBAYE VYUO VYOTE VIKUU VYA KIISLAMU WANA MKUBALI IBNI KATHIR KUWA ALIM MKUBWA ,MSIKILIZE ANAVYO ZUNGUMZA KWA JAZBA,SUBHANALLAH FAHAMU ZAKE ZIPO KINYUME KABISA KATIKA TAFSIR NA DINI YA KIISLAMU ALAFU UKIWAONA LAILA’HAILALLAH WANASHANGAZA SANA KWA KUJIFANYA WANAJUA DINI,TABU ILIYOPO HAWATAKI KUTAFUTA ELIMU KATIKA VYUO HUSIKA.
@markojohn67714 жыл бұрын
Mnagombana wenyewe hahahaaa
@alimaalima60166 жыл бұрын
Dakika za mwisho mitihani teleeeeeeeee
@اياهامةالله6 жыл бұрын
hawajasomahaoo makafir hawajui chochote m bwahao
@abuibra6 жыл бұрын
TABU KUBWA KWA UFINYO WA ELIMU YA DINI MLIO NAWO SIJUI KWA SABABU YA NJAA AU UJINGA WA KUZALIWA MIFANO YA KIPUMBAVU MNATOA.IBNI KATHIR NI KATIKA MAULAMAA WAKUBWA KATIKA LUGHA YA KIARABU NA UISLAMU ANAIFASIRI QUR’ANI KWA KUFUATANA NA QUR’ANI YENYEWE NA HADITHI SAHIH NA PIA MTAALAMU WA LUGHA YA KIARABU ,NA QUR’ANI NA HADITHI ZA MTUME (SAW)ZINAONA YA ZAMANI YA SASA NA YAJAO,YADUNIANI NA AKHERA NK.AJABU AJABU KWANINI HAMTAFUTI KAZI MPATE KUENDESHA MAISHA YENU KWA RAHA,KUVAA KANZU NA HIVYO VIBAGHLISHIA NA KUZUNGUMZA UPUUZI HASARA KUBWA NYIE NDIO WAHUNI MNAISHI KWA KUTAPELI MASIKINI WASIO NA ELIMU,MNAACHA ARDHI KUBWA AMBAYO MNAWEZA KULIMA NA KUPATA RIZKI ZENU KWA HALALI,WAJINGA SANA HASARA KUBWA KUWA NA WATU WAVIVU KATIKA TAIFA,KUSOMA HAMTAKI KWAHIYO HAMTA JUA DINI ILA KULETA KERO KWA WATU NAHAYO MAZUNGUMZO YENU YA VIBARAZANI.
@nakundwamkubwe78236 жыл бұрын
Huyo Hamza na wafuasi wake sio waislam hao ni makafiri !! Wanawachanfanya tu hapo lakini wanajua wanacho kifanya !! Hao kama tz ingekuwa inaogozwa na sheria za kiislam walitakiwa wawe ahera muda huu !! Uyo Hamza ni sawa na kafiri Simbaulanga.
@saidshatry5585 жыл бұрын
Wewe huna Adabu sana tena wala usijisifu kuwa umesoma tamta hivyo unavyojigamba na hivyo elimu ndio uliyoipata huko tamta
@Ketekuntu2 жыл бұрын
huwa nikiwaona waafrika wamevaa kama waarabu na kuongea lugha ya kiarabu na kujiona ndo wanaelimu wakaacha tamaduni yao ilihali wakienda uarabuni wanauawa na kuaibishwa kama sio viumbe napata wasiwasi na akili zao
@selemanteketeke69116 жыл бұрын
Hamza na wenzako njaa zitawaua nyinyi ovyo kabisa
@ammonyalistides66386 жыл бұрын
Hamza so intelligent GOD bless you
@hajrambuguni86436 жыл бұрын
Usishadadie ujinga ambao hauna manufaa maana afadhali ujinga wenye mafufaa ukaushabikia kuliko ujanja ucyokua na faidah
@fettyomy64026 жыл бұрын
We Ammony no emptybox
@fettyomy64026 жыл бұрын
Ammony we ni empty
@yabeshsamuel24244 жыл бұрын
Ndio ni intelligent sema tu adui ya mtu awezi msuport mtu Bali ina tokea siku ana mkumbuka Na ipo siku wislam wata mkumbuka tu
@muhalakibwana40263 жыл бұрын
Amekiri yesu ni muislam hapo nyuma pia unakubali ama Hilo utakataa
@neemaabdul95536 жыл бұрын
Njaa sana wewe
@listenersalum21582 жыл бұрын
I SAY SHEKH KIMWERI? NI HATARII SANAA?
@salumuselemani-km2ee5 ай бұрын
Asa anajiita nabii afu anasema yesu ndio mkombozi kwani yeye kama nabii kwanini asikomboe yeye
@zinjankhan38196 жыл бұрын
Hao wana wamepewa pesa aidha na mashia au na makfiri ili walete mijadala ktk uislam ilihali wanajua njia sahihi.
@jadilaraphael36686 жыл бұрын
labda usiwe karibu yangu, nakuon kam kafir labda Badil maamuz yk ww unaejiit mtume Na hao maswaba zaid
@sikandarsuleimanTV6 жыл бұрын
huyu askofu ham kwa nini na mpaka lini atavuliwa kwa sababu anaichezea maandiko ya kiislam anachezea kama hivi !
@mirajisalehe2706 жыл бұрын
kimwei nyiangu umtongee zumbe yesu ni muungu Na mhonya.muokozi hafananishwa Na mtuhu .yani Hana ng'wiae kangi ni ng'wanangwa,wa mulungu mng'azi ekai kumpuuza neze amihomee mwe Ziwa ja moto.nimeshawaonya mbele Hakuna nabii au mtume aliyefanana, anayefanana au atakaefanana Na bwana wa Mbwana ,mfalme wa Wafalme Yesu christo mwana wa Mungu alie juu. Aliye Hai kwake yeye mauti ilishindwa alifufuka katika wafu akapaa kwenda mbinguni kwa Babaye.
@hajrambuguni86436 жыл бұрын
Weeee eka kumuufya kimwei
@noreenmillicient81015 жыл бұрын
Mbona kwa hizo vasi zenu,,,mtoaji wa maneno anajika kila mara asitambulake,,hivi,,basi issa ni nani wenu,,,
@vesitinalevocatus48866 жыл бұрын
hamza hongera maana hawa watu niwagumu naniwabishi
@jaliakamote54855 жыл бұрын
Mashetani wanafahamika tu.
@khatibumwalimu5913 жыл бұрын
@@jaliakamote5485 vitu vinatoka kwenye kitabu sio kichwani
@azizamini32266 жыл бұрын
Ust....mfahamishe Hamza mana hajielewi
@hamisikulola84816 жыл бұрын
niliiskia kuna nabii wa kiislamu nikashtuka Alafu nikasikitika Kumbe nabii mwenyewe ni mfuasi WA wakristo? Alafu Hata elimu ya dini Haijui wala elimu ya dunia Haijui
@nooor11204 жыл бұрын
Kumbe haogopi mmungu huyu Hamza ee ? Anafkiri ataruka hatokufa?
@sammarley14135 жыл бұрын
Hiyo aya ان لأرض يرثها عبادي الصالحين haihusian cocote na msikiti wapalestina kinaco kusudiwa hapo ni ardhi yote (dunia) kwaujumla sasa huyo mbumbu atwambie je waliopewa msikiti wapalestina wanaitawala dareslam?
@harunamateranya16876 жыл бұрын
Kwani uongozi wa kiislamu hauwezi ukazuiya hawa makafiri wasiendelee na huu ukafiri wao?
@yasserjeizan59204 жыл бұрын
Magufuri
@kaizanalysis92846 жыл бұрын
Kuna dada alikuwa ktk hatua yamwisho kbsa kusilimu kwasababbu yahawa jamaa kaahirisha uamuzi wake ewe Allah nakuomba kwasababu hiyo uwaadhibu Hawa jamaa kwa sababu wanafanya kibri ilhali wanajua ukweli kama alivokuwa firauni
@IbrahimSuleyman-j8n11 ай бұрын
Kimweliiiiii
@bakarysuleiman67776 жыл бұрын
Tupambane kwa ajili ya vizazi vijavyo Sie hawato tuweza hao manabii na maswahaba feki wapo kidunia zaidi na wajue uislam haitaji kiki
@shakiruabasi14686 жыл бұрын
hamza wewe umelaniwa
@abakuramaadan37886 жыл бұрын
Shakiru Abasi mashallah abass jina nzuri kama yangu Mi naonelea hamza issa ni mgonjwa
@محمدمحمد-ن7ط3ح6 жыл бұрын
We nani umujanji mwingine,mungu peke yake atamua,
@hamisikulola84816 жыл бұрын
hamza Rudi madrassa ama uangamie na makanisa kwa kuwa Allah keshasema quran 3:85 yeyote anayetake dini na sio uislam haitokubaliwa kwake na atakuwa miongoni mwa walio na hasara
@adamkatet2746 жыл бұрын
Mashehe wa kuwatengeneza hawa murtadi wote wako jela kina Mselem bin Ally Allah awape wepesi huko jela