"Hizi hesabu mnaona nazidisha mimi nilipata F ya hisabati"

  Рет қаралды 188,566

BBC News Swahili

BBC News Swahili

Күн бұрын

Leonardo @laughs_on_leonardo ni moja kati ya wachekeshaji mahiri na msomi kutoka nchini Tanzania.
Mwandishi wa BBC @mcdavid_nkya_ aliongea na @laughs_on_leonardo na kuzungumza masuala mbalimbali ikiwemo msemo wa D mbili na wazo la kutumia shati lake maarufu katika vichekesho vyake mtandaoni.
Tembelea ukurasa wa KZbin wa BBCSwahili kutazama mahojiano haya kwa urefu
#bbcswahili #tanzania #uchekeshaji
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili

Пікірлер: 179
@josephezekielmasolwa8283
@josephezekielmasolwa8283 3 ай бұрын
Huyu jamaa ni mtu mwenye IQ kubwa sana. I apriciat
@drom_inthehouz
@drom_inthehouz 3 ай бұрын
"You once saw a homeless guy listening to house music" 😂😂
@vipackyummy6916
@vipackyummy6916 2 ай бұрын
😂😂😂
@deestarsniper3315
@deestarsniper3315 2 ай бұрын
This’s crazy bro 🤣
@AmbroseMamole
@AmbroseMamole 2 ай бұрын
This is the first Tanzanian nimeona akuflow English na nikampa Kongole.Bravo bro!
@ezramnyilinga3735
@ezramnyilinga3735 2 ай бұрын
jaman kumbe mahojiano yapo 20 on trending na hamsemi🎉
@haidarykufakunoga8869
@haidarykufakunoga8869 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂 You are my ICON. You are so cool bro and very Bright & Brilliant. Be Blessed Always always. AMINA. 🙏🙏🙏
@joannysalvatory7251
@joannysalvatory7251 3 ай бұрын
Anaongea na kujibu vizur sana *very technical*
@AmbroseMamole
@AmbroseMamole 2 ай бұрын
You speak fluently,you're creative too!
@NoahMayala-kh1ds
@NoahMayala-kh1ds Күн бұрын
😂🤣😂😁😁😁huyu jamaa hatali sana
@LatifaSaid-iq7zc
@LatifaSaid-iq7zc 25 күн бұрын
Spitii kitu halaf yuko serious😂😂😂😂
@geraldmanoti1716
@geraldmanoti1716 3 ай бұрын
Hongera wasu bwachatata waongera mmabox.
@evaristgamba4204
@evaristgamba4204 Ай бұрын
Mjita mwenzangu unajua....nakukubali sana
@michaelmichael8612
@michaelmichael8612 13 күн бұрын
Pamoja Sana kijana,Kasubi Jilatu,Magulyati.
@heriethngigwa1782
@heriethngigwa1782 Ай бұрын
waoooooh your english is really, nimependa 🔥🔥🔥🔥🔥
@MackKombole-jg9vv
@MackKombole-jg9vv 3 ай бұрын
leonaldo to the world
@albertjohn8902
@albertjohn8902 2 ай бұрын
Hahaha Lazlo 😂😂😂😂😂😂 nani anakumbuka CAMP LAZLO
@immakulathamwambi3868
@immakulathamwambi3868 2 ай бұрын
Safi sana mdogo wangu zidisha juhudi ili ufike mbali zaidi kumbuka wewe ni daraja kwa wengine ambao ni bado hawajatoboa uwaombee pia ongeza juhudi na uvumilivi ili upnye zaidi duniani ipo siku unaweza kua namba moja kwa uchekeshaji one love
@annamariajackson4842
@annamariajackson4842 2 ай бұрын
Leonard uko vema. I am watching you from Germany 🇩🇪
@JumaMickidadi
@JumaMickidadi 2 ай бұрын
big up leonardo
@Omar-n3q7u
@Omar-n3q7u Ай бұрын
Smart mwanangu
@vanessastafford6426
@vanessastafford6426 3 ай бұрын
Upo vizuri sana, unaondoa stress zangu. Ahsante sana
@DotoOmary-i9q
@DotoOmary-i9q 3 ай бұрын
Walahiii huyu jamaaa niko radhii nimpeee dada angu namkubaliii sanaa 😅😅😅😅😅😅😅
@ahz6907
@ahz6907 2 ай бұрын
Duh 😮
@JumaJuma-i9p
@JumaJuma-i9p Ай бұрын
uko smart
@phantyrhymes9536
@phantyrhymes9536 2 ай бұрын
Smart
@Igauf3
@Igauf3 3 ай бұрын
That’s where everyone gets lost, eti nichekeshe huh ! Comedy doesn’t work that way…
@YohanaCharles-d2s
@YohanaCharles-d2s Ай бұрын
Mnyama sana huyu jamaa🔥
@fatmashillah5482
@fatmashillah5482 Ай бұрын
Nampenda Leonardo jaman ❤❤❤❤
@anthony_genge
@anthony_genge 4 күн бұрын
Et unarud ushetu😂😂😂😂
@selestinfrancis5904
@selestinfrancis5904 2 ай бұрын
Acha kudharau mkoa wetu,tutakuroga ohooo😅😂😂
@Rasoulhk98
@Rasoulhk98 2 ай бұрын
Kigoka hamchelewi
@mkilwaabdul9230
@mkilwaabdul9230 2 ай бұрын
dah huyu jamaa ni mpuuzi sana😂😂😂😂😂
@huishabitabo9407
@huishabitabo9407 3 ай бұрын
Ahhh Renaldo we ni nyoko duh😂😂😂😂
@mgalabeatrice5940
@mgalabeatrice5940 2 ай бұрын
Ni Leonardo siyo Renaldo😂😂😂
@martinnawe9698
@martinnawe9698 Ай бұрын
Kijana uko vizur
@Kuyasiwa
@Kuyasiwa 2 ай бұрын
Hongera broo
@Wamanyafu
@Wamanyafu Ай бұрын
Kwenye u serious pana hela apoooii
@LiuChen-t7o
@LiuChen-t7o 2 ай бұрын
Nice bro Leonard
@DatiusMajara
@DatiusMajara 2 ай бұрын
good
@NeemaMassawe-y7u
@NeemaMassawe-y7u 19 күн бұрын
Hahahaha
@AmonBuzinza
@AmonBuzinza 2 ай бұрын
Sawa.
@glorymaeda
@glorymaeda Ай бұрын
😂😂😂😂 hehehe
@Frank-n2z
@Frank-n2z 2 ай бұрын
Good babu
@benjaminikazi
@benjaminikazi 2 ай бұрын
Noma sana Bro
@StellaMalando
@StellaMalando 2 ай бұрын
Uwiiii🙆🙆🙆🙆🙆
@comfort-rjtv3291
@comfort-rjtv3291 3 ай бұрын
Kwani wewe mwandishi hujui anapomwagilia😂
@emmanuelwafulakhaita3073
@emmanuelwafulakhaita3073 2 ай бұрын
You speak good English
@MargrethMloka
@MargrethMloka 3 ай бұрын
Hongera Sana Kaka uko vzr sana
@MohamedAshif-l7k
@MohamedAshif-l7k Ай бұрын
Your 7 days in a cave weren't just about survival-they were a masterclass in resilience, grit, and determination. It’s incredible how you faced the darkness head-on and emerged stronger. Watching this challenge reminds me that no matter how deep the cave, there's always a way out if you keep pushing forward. Keep inspiring us all, MrBeast! 🌟💪
@kosmasbukuku9362
@kosmasbukuku9362 2 ай бұрын
Hatarii
@ErasmusMakavery
@ErasmusMakavery Ай бұрын
hongera cn dogo .
@nozesybafikege8417
@nozesybafikege8417 2 ай бұрын
Eti bungeni uweza , unaweza ukala hela za wananchi 😂😂😂😂
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 2 ай бұрын
Ila huyu mjinga😂😂😂😂😂😂
@upendolema3323
@upendolema3323 Ай бұрын
❤❤❤
@nicksonmotta4012
@nicksonmotta4012 2 ай бұрын
I wish to see him on Apollo live - London. Anaweza
@MohamedAshif-l7k
@MohamedAshif-l7k Ай бұрын
This challenge shows that no matter how deep the cave, there's always a way out if you keep pushing forward. And remember, tough times don't last-tough guys do! For the boys! 💪🔥
@samsuyatv4594
@samsuyatv4594 Ай бұрын
Mbona hilo sofa la bbc limechakaa sanaaaa
@mohamedrajabu524
@mohamedrajabu524 2 ай бұрын
Ety sipitii kitu😅😅😅
@AdrianvianusAdrianvianus
@AdrianvianusAdrianvianus Ай бұрын
Yego masatu uliyogo myemba
@IssaKhamis-v9y
@IssaKhamis-v9y 3 ай бұрын
Yesss
@HERMANKAGOROBA
@HERMANKAGOROBA 2 ай бұрын
Igakonko iwachu tulashashe ila ntitulabhakeneeeee
@upendolema3323
@upendolema3323 Ай бұрын
😂😂😂
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 2 ай бұрын
Kiufupi jamaa anajua na anajua. Hasa English pronunciation yuko vizuri atatoka kimataifa kuliko wengine wataishia mipaka ya Tanzania tu.
@Angle-bw4jr
@Angle-bw4jr 2 ай бұрын
Leonardo good mwanangu
@mtukufusafari5535
@mtukufusafari5535 2 ай бұрын
Huyu jamaa yuko vzr sana
@naychris6548
@naychris6548 3 ай бұрын
Tarakea😂😂
@MOKIRIMaro-i3n
@MOKIRIMaro-i3n Ай бұрын
Leo nado ninoma sana kwa hesabu
@ShabaniMatukutu
@ShabaniMatukutu 2 ай бұрын
umejipangaje katika maisha yako utaendelea na komedi au utaludi kwenye sistim
@Rasoulhk98
@Rasoulhk98 2 ай бұрын
Hesabu ya Advance balaa sana
@princenelsonsinko5237
@princenelsonsinko5237 2 ай бұрын
This guy is good in English
@ahz6907
@ahz6907 2 ай бұрын
😂 which country is he 😂
@PatrickJulius-uy3yb
@PatrickJulius-uy3yb 3 ай бұрын
Nomaa sana reonado
@ezramponzi-pf9ls
@ezramponzi-pf9ls 2 ай бұрын
Pamoja sana kaka
@kiatu
@kiatu 3 ай бұрын
Great interview poor lighting
@atenionesmo_A10
@atenionesmo_A10 2 ай бұрын
kweli reonaldo haonekan vzur
@DM_15
@DM_15 3 ай бұрын
Reonardo mpuuzi wewe, umesema kiswahili ni lugha mama halafu kingereza luga baba kwahivyo unataka kusema lughayetu inafanywaje nakingereza😂😂
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 2 ай бұрын
🤣🤣🤣We mtu!!!!
@DM_15
@DM_15 2 ай бұрын
@@hafsalucky1088 katuangusha bwana
@HassaniMohamedi-lk7ow
@HassaniMohamedi-lk7ow 2 ай бұрын
Lugha yetu inabakwa
@AmanaAmos-hv3yz
@AmanaAmos-hv3yz 2 ай бұрын
😂😂😂😂 acha
@ibbu-tz
@ibbu-tz 2 ай бұрын
Dah mpaka kuandika pia hujui kutofautisha baina ya L na R asee.... Kuongea sawa, basi mpka maandishi. Noma sana 😂😂
@JosephJunda
@JosephJunda 2 ай бұрын
Huyu anaweza kua
@amosethantheking8815
@amosethantheking8815 Ай бұрын
Mimi nina 4.0 GPA...kwa hiyo tuna 4😂😂😂
@empafricatv
@empafricatv 2 ай бұрын
😂😂😂 Leonardo
@andrewmkini4323
@andrewmkini4323 2 ай бұрын
Huyu Jamaa ndio kanifanya niipende hii fan ya uchekeshaji
@mtumeananiasjohachim8760
@mtumeananiasjohachim8760 3 ай бұрын
Mtangazaji anaitwa David Nkya,
@timizomlokole
@timizomlokole 2 ай бұрын
Hivi Kuna mtu kakuuliza
@upendolema3323
@upendolema3323 Ай бұрын
😂😂😂kajisikia tu kumtaja
@MOKIRIMaro-i3n
@MOKIRIMaro-i3n Ай бұрын
Mhhhh
@abhralyrics9816
@abhralyrics9816 3 ай бұрын
Uyu jamaa anajua sana
@AnthonyNdaula
@AnthonyNdaula 2 ай бұрын
This can affect air users only
@PascalJohn2-vx8qk
@PascalJohn2-vx8qk Ай бұрын
Jamaa ni wamoto hatar
@MohamedAshif-l7k
@MohamedAshif-l7k Ай бұрын
MrBeast doesn’t just give away money, he’s actually planting seeds of kindness in every heart that watches his videos. 🌱💰 Watching you give back inspires me to spread generosity in my own way!
@gilbertkimath1175
@gilbertkimath1175 2 ай бұрын
Devi una mtoto ila hujaoa yaani single fadher
@marikwilliam9886
@marikwilliam9886 2 ай бұрын
Nimeshindwa kucheka sijaelewaa
@sumayaishengoma4543
@sumayaishengoma4543 2 ай бұрын
👍👍👍👍
@johnjames6743
@johnjames6743 Ай бұрын
70×80+20 ×10 umekosa zingatia magazjuto
@RevocatusJulian
@RevocatusJulian Ай бұрын
apo kwenye kucheza na hisia za watu sasa
@GivenMwatebela
@GivenMwatebela 2 ай бұрын
Eng ulipata F ya hesabu ni fedheha
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 ай бұрын
Huyu ana akili sana bas tuu
@rweumbizalugaimukamu4905
@rweumbizalugaimukamu4905 2 ай бұрын
Ana akili nyingi sana huyu kijana.
@joycekasimbazi9817
@joycekasimbazi9817 2 ай бұрын
Jamani watu mmejaliwa nacheka mpk basi
@TimotheoKisambo
@TimotheoKisambo 2 ай бұрын
Ushetu😂😂😂
@kiatu
@kiatu 3 ай бұрын
Kiswahili 🫡. Mchekeshaji wima 😅
@MartinsAgufana
@MartinsAgufana 3 ай бұрын
Stand Up Comedian
@godymbanyi1878
@godymbanyi1878 Ай бұрын
Kakonko kwetu! Sio kweli kwamba Kakonko ni watu maskini! Maisha yetu ni sawa na yale ya Watanzania wengine wa kawaida
@ValerianusMunna
@ValerianusMunna Ай бұрын
Sorry bro usijisikie vibaya HUYU n mchekeshaji tu
@elbaricktv1632
@elbaricktv1632 3 ай бұрын
😂😂et kiswahili lugha mama ila kingereza rugha baba😂
@francomwacha2262
@francomwacha2262 2 ай бұрын
Kwani ulitaka kusemaje kuhusu kibosho my home town😂
@francomwacha2262
@francomwacha2262 2 ай бұрын
Na takwimu zinaonyesha kibosho ndo sehem ya tanzania yenye matajiri wakubwa lakini hawana umaarufu.. 😊
@lazarombala5320
@lazarombala5320 Ай бұрын
Ana English imenyooka kama ya Gigy money 😅
@josephgatunzi1670
@josephgatunzi1670 3 ай бұрын
Kazi nzuri😂
@AthanasGabriel-j9p
@AthanasGabriel-j9p 2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@EmmanuelSima-qz1gd
@EmmanuelSima-qz1gd 3 ай бұрын
🎉🎉🎉😂
@Mariam-fm8vq
@Mariam-fm8vq 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂eti nn
@musagervas947
@musagervas947 2 ай бұрын
Huyuuu jamaaa IQ yake hakupaswa kua commedian ❤❤😅😅😅😅😅😅
@EdwneWigne
@EdwneWigne 2 ай бұрын
Uyu jamaa nmekuta ananimalizia mb zang sana
ROASTING NDARO VS LEONARDO BONGO MOVIE VS BONGO FLEVA
23:04
Cheka tu
Рет қаралды 754 М.
Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel
40:37
BBC News Swahili
Рет қаралды 104 М.
🕊️Valera🕊️
00:34
DO$HIK
Рет қаралды 7 МЛН
Seja Gentil com os Pequenos Animais 😿
00:20
Los Wagners
Рет қаралды 26 МЛН
Matangazo ya Dira ya Dunia TV Alhamisi 17/10/2024
27:48
BBC News Swahili
Рет қаралды 12 М.
SALIM KIKE NDIO  MMILIKI WA CROWN FM
18:28
Dizzim Online
Рет қаралды 154 М.
Ndaro na Leonardo Waoneshana Ubabe Jukwaani, Ona hapa nani mkali?
21:33
LEONARDO ALIVYOWAVUNJA MBAVU WAFANYAKAZI WA CRDB!
17:39
Visit Tanzania
Рет қаралды 316 М.