Hivi Zuchu si mama yake alisema alimpeleka kwa Diamond amuendeleze? Sasa nyota ya Zuchu ikoje juu kuliko ya Diamond aliyempaisha? Aondoke basi tuone
@OlgaAmboulou10 сағат бұрын
@@Brunn-mh2bqWIVU 😢
@rosebullens5155Күн бұрын
Alifikiria yeye ni bora kushida tanasha. Zari? Hamisa. .😂😂😂😂🎉hapo ni moto mama
@SarahHappy-k1oКүн бұрын
Hapo kwa nyota kweli zuchu ananyota kwakweli
@kariaagness4213Күн бұрын
Amweo mama yake mbwa lakini Tifa yupo atatombwa sana
@ashahassan21202 күн бұрын
Mnajichosha kisa maish yasiyo wausau aembu mtajeni na mtume kwanza mpate ata sababu mchana zuchu usiku zuchu
@LuluMalima-j1w8 сағат бұрын
Zuchu atarudi tuu he asikii ni sad
@rashidfatma21372 күн бұрын
👍💯🥰🎉
@GisèleNdayikeza-d6fКүн бұрын
Ninaco waomba tu kwenye swali la mahusiano muwe mna acha viherehere maana mta aibika kama mama mkwe na Barnaba😂😂
@chumchum152612 сағат бұрын
Kafanyaje tena mbona nilipitwa😂😂😂mama kimbo
@sweet16honey752 күн бұрын
Diamond ndio ali mnyorosha Zuchu ki music dada Diamond alikua na warembo wangapi kwani zuchu alikua hajui jamani na wote waliondoka na watoto haswa na alitangaza kama hataki mwanamke ata mpiga matukio
@aminaissa331221 сағат бұрын
Mwanaume anamzalau ndomana anaafanya hivo
@shadiwaigwa9230Күн бұрын
Zuchu aone hii tu, ajitoe kwa hiyo family, I wish ningekuwa na no ya zuu
@faridaalshabibi9226Күн бұрын
Lakini Mimi nilivyo ona Daimond alimuingiza zuzu kwa ajili ya kuimba lakini zuchu akaruka mipaka kupenda sehemu haipendeki sasa avumiliye makosa yake
@uwimana6533Күн бұрын
Kabisa 😂
@jamilajamila9682Күн бұрын
Ndio hivo diamond alimuingiza kwenye lebo yake kwa heshma na huruma na kwa ajili ya khadija kopa,sasa yeye alipoingia hapo alikuwa na malengo pia ya kumtamani diamond 😂😂sasa hakuona wenzake wangapi walipita hapo na wamezalishwa wakaachwa??yeye ndio nani asiachwe kama sio king'nganizi +hatakiwi kwenye family hiyo😢?,!khaa hebu aache shobo kujipensekeza mwisho unakuwa kama kujishusha personality akae kwa kutulia aache shobo afocus kwenye kuimba tu ,diamond si muowaji hapo.
@patriciambuvi8233Күн бұрын
Diamond wakati Yuko na Tanasha alijaribu kutulia kuliko wakati huu Ako na zuchu! Zuchu ulia Kila siku na wakati wa Tanasha hatukisikia diamond na mwanamke yeyote Hadi Tanasha akaja kutoka na kutoka kwake haikuwa kupigwa tukio ati alikuwa na mwanamke la hasha! Walimlazimisha hasifanye mziki
@MercyChemutai-dz6ur2 күн бұрын
Umeongea ukweli dada kama diamond anataka zuchu alipe pia yeye amlipe zuchu deni ni kulipa so walipane
@uwimana6533Күн бұрын
Nimuono wako salijiona atamueza daimond kuliko wengine avumilie mtoto akililia wembe mpee 😂😂
@YusuphMtanga2 күн бұрын
Wewe mkulima umetokea wapi zuchu ananyota kuliko daimond akapimwe akili kwanza ndio uropoke
@MaulidmtajiMaulid2 күн бұрын
Zuchu ana nyota kali bana
@YusuphMtanga2 күн бұрын
Wewe mbona unateswa na mpenzi wako na hautoki mjinga wewe mwenyewe unateswa na utoki
@Marry-u8m13 сағат бұрын
Kama niboso yeye asha maliza mkataba sasa aki toka hana shida hapo kwazuchu siongei ika boso toka sasa uji tafute zaidi