@@Hamis-ks1sy nikiulizwa mimi we inakuhusu nini wahabi mkuubwa we!!!! Masalafi uvundo mna shida sana nyinyi , ahlu'Farqa walfitna.
@yusufsingano620216 күн бұрын
Sura ya 7 aya 17 ibilis amepiga msalaba nitawazukia mbele nyuma kulia kushoto
@yusufsingano620216 күн бұрын
Muonekano wa dhahili (ibada)....nitawazukia mbele nyuma kulia kushoto wengi
@SaidAbdallah-sm1ft13 күн бұрын
Mzee wa usuul Yuko wap mziwanda?
@binseif221617 күн бұрын
Huwa nafurahi sana kumuona sheikh mazinge
@yusufsingano620216 күн бұрын
Ibilisi kaziyake ni kumzuia mwanaadam asimuabudu molawake
@yusufsingano620216 күн бұрын
Kweli elimu bila khofu ni mtiihani
@MbegaOmari17 күн бұрын
Ndio Kwa hakik ni kweliiiiii ila hat kukumbusha kunahitaji hekma punguzeni ukal wa maneno Kwa viongozi
@saidilindukwa17 күн бұрын
Itasikika sauti ya wanawake bila ya shaka watasoma Qur'an hawaji kuimba mziki pale,nimekujibu
@user-ot2dk9kt6k17 күн бұрын
Kipozeo usigeuke ukawa kiwashio omar bin khatwab kusikia sauti ya dada yake kusoma QUR'AAN sidalili ya mwanamme kwenda ktk kiwanja kusikiliza saut ya mahaarima yake anapo soma Qur'aan
@SaidAbdallah-sm1ft13 күн бұрын
Diwani hamna kitu
@jumawaziri850117 күн бұрын
hili tukio halijafanyiwa promotion kwa waislamu wakalijua
@mrafm728517 күн бұрын
Kazi ipo
@stedeteam53117 күн бұрын
HII AYA MKIWAULIZA MAS ALA WAULIZENI NYUMA YA PAZIA NAWAKAE MAJUMBANI MWAO HAIFANYI KAZI TENAA NIFAHAMISHENI BISMI LLAAAHI
@faridahalil445617 күн бұрын
Tunaambiwa sauti ya mwanamke isiweze kuwa kubwa zaidi ya mwanamume iweje leo mwafanya mashindano ya mabinti????
@jumakapilima729517 күн бұрын
Tatizo siasa za kidunia zimeingia katika dini ya Mungu hapa Tanzania
@Tupena-ov7xq17 күн бұрын
Mbona hakuna wanawake hapo juu
@user-wv8ec6ls2e17 күн бұрын
Ni wanawake kwa wanawake?
@user-ot2dk9kt6k17 күн бұрын
FALAATAKHDHA ANABILQAULI nyie watu munaotoa tangazo hilo itizameni tafsiri ya hii aya ktk surat ahzaab walipita watu walio kua na fasaha na mantiq na swarfa kuliko nyinyi lakini walishindwa kuibadilisha maana ya hii Qur'aan Allah kawafeka nanyi muko nyuma yao anasema ALAM NUHLIKIL AWWALIIN THUMMA NUTB GHHUMUL AAKHARIIN
hivi hopo huyo kataja bidaa mbona unajishuku wewe niwawapi ?
@Tupena-ov7xq17 күн бұрын
Dini hizi zinanyanyasa wanawake viongozi wote wanaume hakuna wanawake na wanawake wamenyamaza kimya,
@HamduMasud-xw6qc17 күн бұрын
Usiseme bila elimu au kuwauliza wanaofam
@HamduMasud-xw6qc17 күн бұрын
Kasome biblia Timotheo 1_2 na 8_2 na pia kasome wakoritho1_14.
@jumakapilima729517 күн бұрын
Hujalazimishwa uzifuate, katafute dini yako kawapromote wanawake,,,, kafiri wewe
@AbasHabimana17 күн бұрын
Kafiri mkubwa ww nenda kanisani kaimbe kwaya maandiko hujuwi ww
@yasinmasawe642117 күн бұрын
Mlitaka na mafuta awepo si ndio mtume wenu
@user-ot2dk9kt6k17 күн бұрын
Ekesha hata haya hamuna munadharauliwa watizameni wenzenu wabunge kila mmoja ktk kiti chake ana maiki au hupelekewa nyie munafuata maik
@rashidyyusuph438617 күн бұрын
Kwahy sauti ya wanawake itasikika kwa wanaume??
@HemedSerious17 күн бұрын
Wewe kichwa chako kina matatzo, wanawake c tunawaskia sehem mbali mbali? C tunawaskia kwenye madaladala, masokoni, mitaani, kwenye mashghuli mbali mbali km vile maharusi, party mbali mbali, mipira nk. Na hamsemi chochote na masalafi mpo 😂😂😂 sasa mnasikia kuhusu kur.an mnaanza kubweka nyny mna matatzo, Yani mkiskia wenzenu wanataka kufanya kheri mnabweka. Poleni sana ndgu
@rashidyyusuph438617 күн бұрын
@@HemedSerious ALHAMDULLAHI NASHUKURU KWA KUJUA USALAFI KWELI DAAWA SALAFIYYAH INAFANYA KAZI ILA ACHA KUTUMIA AKILI BASI MAMBO YA DINI NA YA KILIMWENGU NI VITU TOFAUTI NDUGU UKIZUNGUMZA QUR'AN NI DINI UKIZUNGUMZA MPIRA NI MAMBO YA KILIMWENGU HIVYO HAIWEZI KUFANANA KWENYE HUKUMU ZAKE
@MohamedMkwepu17 күн бұрын
WATU WA BIDAA WANAKAZI KWELI KWELI
@JAHAZIYAH-TV17 күн бұрын
Bidaa ipi hyo? Qur'an ni bidaa? Nyie mmesoma wp
@abdunasiriathumani901117 күн бұрын
Muhammad ibni sirin aliingiza vidole vyake masikioni ili asisikie Quran ya mtu wa bidaa
@user-xo9rb7wj7s17 күн бұрын
@abdunasiriathumani9011 kajitia violence mkunduni kwake,, hukumuelewa tuu na wewe muigize hivyo. Bachu kasoma kitaab cha imamu ssuyuuti kuwa anafundisha raaha za kuto--'mba na kupitia Qur'an
@Hamis-ks1sy17 күн бұрын
Sabbas Majaza kumbe yupo
@HemedSerious17 күн бұрын
Majazi ni kitu kikubwa ktk elimu , unakebehi kutokana na ujinga wako tu, mtume Muhammad katumia sana iyo majazi kweny maneno yke mengi acha ujinga na umwehu 😂😂
@Hamis-ks1sy17 күн бұрын
@@HemedSerious mbona hayakufanya kazi Tanga kule alikua anarukaruka2😂😂
@Hamis-ks1sy5 күн бұрын
@@HemedSerious mbona Tanga hayakufanya kazi?
@Hamis-ks1sy5 күн бұрын
Hahahaha
@jumakassim111217 күн бұрын
jamani nyie watu hawaa za nafsi mcheni Allaah basi waacheni wanawake majumbani mwao sauti zao kwa wanaume ni fitnah jamani kuweni basi waelewah japo hata kwa robo ya elimu zenu mbona mnafelishwa na vijambo vidogodogo wazee daaaaah
@salimaljahwari117 күн бұрын
Ikiwa wanawake ni wakubwa wamebaalegh haifai. Sauti zao ni fitna.Labda wataohudhuria wawe wanawake watupu peke yao na sauti zao zisitoke nje. Wallahu A'alam.
@salimaljahwari117 күн бұрын
Jee inafaa sisi wanaume kuwashuhudia na kuwaona na kuzisikia sauti zao jahraa.
@IsmailJuma-zb5ni17 күн бұрын
@@salimaljahwari1 kwani unasikiliza sauti au qur'an mbona watu mumekua mapimbi kupitiliza?
@jumbemaalim425017 күн бұрын
Kuna majitu ni majinga sana,yaani kila kitu yenyewe ni kupinga tu,mtihani sana mnafanya dini ionekane ya hovyo