Dah kitambo maalim sasa hivi kashazeeka Allah amuhifadhi sana sheikh wangu Othman maalim
@user-mq4qc2jw4v13 күн бұрын
Aamin yaarab tunamuombea dua sana sheikh wetu huyu 😊
@SoudShuraim13 күн бұрын
Wala hajazeeka
@mdauwetu12 күн бұрын
Aliyezeeka babuyo tuachie maalim wetu. Ameen, allah atuhifadhie wazee wetu na mawazuoni wetu..
@mdauwetu12 күн бұрын
Mashhalllah hapa ni kile kipindi Nuru za wengi zilikuwa zimefichikana
@CyuzuzovanessaSalim11 күн бұрын
@mariamsefu8252 күн бұрын
Maasha Allah shekhe warid uso wako ndani ya Nuru mpaka umeonekana kijana m/mungu akupe umri mrefu wenye kheri amina
@user-mx4wi8ic5e13 күн бұрын
Allah akbar,sheikh walid umemkaribisha kwa kutumia kauli nzito sana na heshima kubwa masha Allah,,Allah awahifadhi nyote kw jumla tuzidi kunufaika .
@user-fy4op1sw2f13 күн бұрын
Ma shaa allah huu ulikua usiku mzuri sana namuomba mwenyezi mungu atukutanishe peponi in shaa allah
@ramadhanitwahili683713 күн бұрын
Mashaa Allah masheikh zangu wote ila sheikh wardi umetumia busara kubwa ya maneno, alafu sheikh wangu mkubwa ninae mpenda sana kisiliza sheikhe othumani malim mungu akuweke na akupe mwosho mwema.
@OptimisticMoonLanding-jd2ho13 күн бұрын
Hakika
@OptimisticMoonLanding-jd2ho13 күн бұрын
Hakika
@nakundwamkubwe782313 күн бұрын
Hahaha Shekhe Walid hapa ulikuwa young 😅😅. Allah akuhifadhi Allahuma Amiin.
@samiaahmad618213 күн бұрын
Allah Akbar..😭..nakuomba mola wangu mlezi mimi na umma wa kiislam utuzidishie mapenzi na hofu juu yako ya darja ya juu kabisa..ameen yarabii ameen..ameen Allahhumma ameen
@CharafimalisalimoAli-qw3hk12 күн бұрын
ndio maana anatukanwa na mawahabi huyu shekh dah, kiboko kwa siasa hekima adabu umaridadi wakusoma yaani we acha tu. ALLAH atuhifadhie kipenzchetu amiin.
@alyeali985911 күн бұрын
Masha ALLAH mwenyezi mungu awahifadhi masheikh wetu
@fazeelshomary87439 күн бұрын
Dah nawaona masheikh kadhaa hapo wametangulia mbele ya haki, Allahuma Fiilahu Warhamhu Waaskunu Filjanna🙏🏽
@amanisaidi934813 күн бұрын
Allah azid kuwaweka masheikh zetu maashaallh
@salamahmngoya29323 күн бұрын
Ndugu zangu ktk imani tupunguzeni ubahili umati ulokwepo hapo na movement ilonyanyuka kupeleka sadaka nitofauti.. Allah atuongoze tuwe na mapenzi na dini yetu na wepesi wakutoa sadaka wallah huu ni muswiba wenzetu upande wapili wanatusema sana tubadilikeni wallah tuwe wepesi ktk kutoa sadaka
@RajabuLusambi-bk5nu11 күн бұрын
Maashallah mashekh zetu ALLAH awahifadhi tuendelee kupata faaida
@RashidiKirua13 күн бұрын
Mashaallaah nampenda Sana walid na maalim
@FabianTebeka13 күн бұрын
ALLAH atuifadhi na masheik Othman na walid Ameen
@hassanlibingai8811Күн бұрын
Mash Allah! Mash Allah! Allah (S.W) awahifadhi nyote
@chikumansab117312 күн бұрын
Ma shaa Allah sheikh walid na sheikh othman maalim Allah awahifadhi
@amanisaidi934813 күн бұрын
Maashaallh Allah awahifadh masheikh wetu
@amirimbago832513 күн бұрын
Mashallah Allah atuhifadhi Duniani na Akhera
@mariamharoon184013 күн бұрын
❤❤❤ mashaallah shehe wLd tunawapeda
@ashrafkhamis10519 күн бұрын
Masha Allah mola awahifadhi ma sheikh wetu
@RajabuLusambi-bk5nu11 күн бұрын
Allahuakbar
@KhadijaIdirisa13 күн бұрын
Mashallah ❤❤❤
@ZuaKika10 күн бұрын
Allah akbar Allah awape maisha marefu mashekhe zetu inshallah
@rashidyrashidy392313 күн бұрын
mashaAllah
@a.85613 күн бұрын
Jazakallah khayran
@jamilahali-jg8er13 күн бұрын
Ma sha Allah
@user-fh7wu8vx1y11 күн бұрын
Ma shaallah Allah akulipe khery
@abubakardin323313 күн бұрын
Masha'Allah, Allahu Akbar mwaka gani huu.....?
@balkisamisi21317 күн бұрын
MaashaAllah tuna soma kwenu sifa yaku ji dogosha. Allah aku hifazini
@user-dn7gn6ib4k12 күн бұрын
Mashallha ❤❤ may Allah protect you all amin amin
@AndulHida-hs5py13 күн бұрын
Mash Allah tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri mashekhe wetu, kinachonisikitisha kwamba miaka 10 ijayo kunavijana ambao wanafanya juhudi kuwa kama Hawa kweli, siju sisi vijana tukae chinitujiulize tunafanya jitihada Gani ? Kuwa kama ivi au zaidi ya Hawa?
@mariamsefu8252 күн бұрын
M/mungu awazidishie maarifa na kujitambua amina
@JamalySalehe13 күн бұрын
Maasha Allah.
@ceclizbon178312 күн бұрын
Asalam mualykum warhamatullah wabarakat naombeni kujua maana ya jina la kilha ndugu zangu katika iman
@user-vn3bd2pc8k8 күн бұрын
Allah awaongezeee elimu mashekhe zatu
@MustaphaMhojera7 күн бұрын
Mashaallah hakika hawa ni miamba katika zamma zetu,Allah atuhifadhie.
@kugotwa00413 күн бұрын
Tunaaapenda sana Allah atuweke pamoja na peponi pia inshaa Allah
@balkisamisi21317 күн бұрын
Allahuma sali ala Muhamad wa ali Muhamad
@alhimnamussasaid36199 күн бұрын
Sheikh walid ALLAH akuhifadhi na macho ya walimwengu mashallah fasaha tupu
@AmriSharifu8 күн бұрын
Mlazimisha kuiangalia bidaa si mutuachie bidaa zetu au tumewaita mtuzike,tukifa sisi watu wa bidaa msije.Hata kuna wenzenu huwa hatuwausishi mama yetu(wananzengo) mnatusumbua
@jafarinauma679810 күн бұрын
Manshaallah Allah awahifadhi Mashekh zetu hawa na wengine natamani kuwaona pamoja tena na sasa hivi wakitoa dawaa
@user-ef6iu5or3c13 күн бұрын
Maa shaa Allah❤
@meowzna12 күн бұрын
Masha'Allah🙏
@andreamakaba45112 күн бұрын
mashallah
@AbdallahAbdurahman-cj2qp9 күн бұрын
Allah awape tawfiq mtoke ktk bidaa
@aliiddi75659 күн бұрын
Mashaallah
@masoudomar51768 күн бұрын
Mashallah
@RashidiNtunda8 күн бұрын
mungu awahifadhi mashehe zetu
@rahmahasan327 күн бұрын
Ameeeeen yaarabi
@fatmahussein123812 күн бұрын
Jamani mi naona Jana au juzi
@abdulhamidjabu653013 күн бұрын
❤❤❤
@SirlemNasir10 күн бұрын
Maulidi ni UZUSHI
@princesaha32624 күн бұрын
Ulikuwa mwaka Gani??
@HijaSaid-xd7fg10 күн бұрын
Usifuate jeneza la watu wa bidaa asema mtume
@solihanegier89013 күн бұрын
Zamani apo tokea shekh walid sharo
@Aminamuhamed7 күн бұрын
S. A.W REHMA NA AMAN ZIMFIKIYE JUU YAKE NA MASWAHABA ZAKE NA AAL ZAKE 🤲 YAA ALLAH NAOMBA UTUJALIYE TUKAWE KTK WALE WATAKAO KUWA KTK UOMBEZI WA MTUME MOHAMMAD S.A.W ❤❤❤
@user-zt6re1dr5f8 күн бұрын
Alhamndulilah,Allahwape umri mrefu viongoz wetuna sis ili kukuabudu vema wew Muumba wa mbingu na ardh na kumtakua kheri nyng mtume wetu (s.a.w)
@chikumansab117312 күн бұрын
Ma shaa Allah sheikh walid na sheikh othman maalim Allah awahifadhi