Asante sana Sheikh kwa elimu yako nzuri nimekuelewa vzr Allahu atakulipa
@CishahayoCishahayoАй бұрын
Jazakumullahu janah Aamiin!
@Sidrasidra63616 күн бұрын
MashaAllah! Hakika
@AishaAisha-vt3ngАй бұрын
Barakallah sheikh wetu Allah awahifadhi ma shekh wetuh nyooote kwa jumla bila ya kuchaguwa
@user-ln8hy7jz1y28 күн бұрын
Allah Akbar jazakallahu kheir Sh.Abdul Shakur mawaidha mazuri sana yatawafaa wenye kuzingatia alafu ayo maneno mawi umemalizia yamenikosha sana Allah atuwezeshe Inshallah. Nimekuskiliza kutoka Egypt.
@mozakhalfansaid7246Ай бұрын
Subhana Allah, skhehe umesemake, Allah atuhifadhi na maaswiya, AMII, ALLAH AWAZIDISHIE ELIMU YENYE MANUFAA AMIIN
@HakizimanaSalima-sg7cvАй бұрын
Jazzakallahu khayra Sheih shaqur
@gamalashur541226 күн бұрын
MASHA ALLAH TABARAKA ALLAH
@salimaburadmanradman920314 күн бұрын
Pongezi Shekhe wa Burundi Alah Akuzidishie Elmu wewe na Sheikh Kishq na kila Msomi Salim Said Mashjery Mombasa Kenya Baraka Lah Fiykum
@NiyonkuruYazidiАй бұрын
🎉MashaAllah shukran
@ZenaRamadhan-sx4rb27 күн бұрын
allah akupe umri mrefu na afya njema viwe nivenye manufa na baraka
Mashaallah nimejifunza kitu apo ❤❤❤ najivunia kuwa Muslim
@JigflouАй бұрын
❤🎉❤ Masha Allah ❤️
@user-sr8nc2kq5xАй бұрын
Imana imuhe amahoro nimihezagiro
@ChafimsufosaideSaideАй бұрын
Nshaa allah.
@hamadKhamis-p6kАй бұрын
Sasa kweli utakereka nguo mtu anayovaa bc utakereka San mwenzangu mavaz yanayomkera mtu ni Yale wanayovaa baadhi ya wanawake Hali ya kuwa wako uchi kabisa hicho ndicho kinachokera tu bc sio kuwa kavaa kofia kaisogeza mbele ndio ni uhuni tunakosea waislamu tujirekebishe maneno yetu hasa kwa watu watukufu km Hawa mashekhe tujitahid kuchunga ndimi zetu kwao wao sio km sie tuelewe jamni nyiii
@rehemarashid982923 күн бұрын
Kweli kabisa
@AmadHassanRashidАй бұрын
Mashallah
@Zanha582Ай бұрын
Mashallah mashallah mashallah shekhe Allah akulipe heri
@SeifAlly-g9iАй бұрын
Vizuri Sana sheikh kutoka huko Burundi ahsant
@nsaguyeclaver311429 күн бұрын
mungu atupe mwisho mwema
@mvuyekureabbas5441Ай бұрын
Na cheikh wetu Allah amlipe kwa ukumbusho wake
@Mydearyasin25 күн бұрын
Huyu shekh nampenda kwa ajili ya Allah/ jina lake pls
@KHIDMAONLINETV35025 күн бұрын
Sheikh AbduShakur
@shadidumabote9262Ай бұрын
Hongereni Sana mashekh zetu, Kuna kitu huwa chanikera Sana ni uvaaji wa kofia Kama huu wa kishki huu niuhuni Tena huu uhuni wanao ahlu Sunnah, huu uhuni ndo fasheni yao we mtu unapanda mimbari kofia umeeka kwa kope za macho, Kama mwatamani niqabu mseme tuwanunulie
@HemediJafari-if3odАй бұрын
Haikatazwi mtu jufanya jambo ambalo kinakukera wewe, ingekua linamkera mungu ilikua haifahi sheikh kuvaa kofia hivyo, Tupunguze ukali wa maneno,masheikh zetu hao ndo warithi wa mitume Alhabiby....
@shemsasalum-yn4zcАй бұрын
Chuki tuu , kuvaa kwake kunakukera wapi!! Vaa wewe yako kwenye komwe lako
@shadidumabote9262Ай бұрын
@@shemsasalum-yn4zc sikumsema kwa chuki na kishki mannhaji yake ndo ya pia dini inaendeshwa kwa nasaha so kiushabiki,, mifumo ya wasomi Hawa wakisasa katika suala la mavazi wanaharibu utaikuta shekh kava nisfi saq. Mashaallah lakini Kama ni suruali mnyonyo, Kama nikanzu imebanwa imeshep mwili, kofia wanavalia kwa kope za macho sasa kofia inavaliwa kwa kope, dini si kujifananisha na watu au mtu, binafsi nimakosa hayo, sikumoja mwalim wangu Allah amraham, shekh sariko, alimkosoa kijana flani tukiwa darasani kutokana na uvaaji huu huu, hicho ni (kibri) utake usitake hicho ni kibri,
@AyuminchasiАй бұрын
😅😅😅😅😅😅komwe lake @@shemsasalum-yn4zc
@jumahamad3723Ай бұрын
Taratibu isiwe na lugha chafu jamani@@shemsasalum-yn4zc
@user-fp9ei8gg8sАй бұрын
Mungu akujalie insha allah
@JUBRANBULAYHl-yb4keАй бұрын
Kandi kurinda, n'umutekano, n'ubumenyi, n'ibihome, n'ingabo, inkota, icumu, n'amaboko akomeye, no gukumira ibibi n'akaga, ni We Nyirububasha na Nyirububasha. Turamushakira ubuhungiro mu bibi roho n'imyuka, Mana we, uri Umwe uhagije kandi uri uwishingikirije, kandi uri Imbere na Manifeste, Uwa mbere n'uwa nyuma ukomeye, Nyirububasha, Umutsinzi, kubwicyubahiro cyawe nicyubahiro, ibiremwa byose birayoboka. . Umugaragu wawe w'umukene, wicisha bugufi, wicisha bugufi, yewe Wahab, mpa umucyo mu mutima wanjye, ubwoba mu maso yanjye, amacakubiri mu gituza cyanjye, no gushishoza mu mutima wanjye Kandi uburinzi kuri wowe hafi yanjye n'amahoro kuriwe kuri njye, Benshi Nyirimpuhwe, Mana, kubwa Q M H E E Kuri S K K F N Q D R S Kh D L Y B na Mana, Mana, Mana, Mana, Mana, Mana, Mana, Mana, Mana iteka ryose, yewe ubaho, yewe Mbaraga, O Nyirububasha, yewe Nyirububasha, yewe Nyirububasha, yewe Mutsinzi, Mana we, Mana, utsinde buri mukandamiza, umunyagitugu, n'umunyagitugu Ku isi no munsi y'ijuru kubwa Muhamadi, amasengesho y'Imana n'amahoro bibe kuri we n'umuryango we wose hamwe nabagenzi. Mana, nyereka ibitangaza byubushobozi bwawe, imbaraga, gukandamizwa, nigitugu mubagaragu bawe bakandamiza, b'igitugu, Bin Yamin Netanyahu, hamwe nabasirikare ba Zioniste bakandamiza. Mana, tanga abamarayika bubahwa, Gaburiyeli , Mikayeli, Israfil, na Azrael, abasirikare b'Imana bashyizweho.
@AliHassanAli-jd9ruАй бұрын
Assalam aleikum warahmatullah wabarakatuh
@yunusrashid932229 күн бұрын
Allaikum salam warahmatullah wabarakatuh
@amimwinni4829Ай бұрын
kweli sana kweli
@salimaburadmanradman920314 күн бұрын
Nataka Kujua Yule Imaam Alie Muuwa Nguruwe Alie Ingia Msikitini Akafungwa Miaka 5 Badali ya kufungwa mwenye Nguruwe Kuachwa kuingia Msikitini ime kuaje Ametolewa Jela Au bado yuko Jela Wa Islamu Tu anze Kuyaingilia Afunguliwe makosa ni ya Mwenye Nguruwe majibu please ndugu Yani Uma saana
@user-fd5pb1dt4jАй бұрын
S,A,W
@ednamachocho3059Ай бұрын
Sheikh Kishki tafadhali hiyo kofia yako yakera sana uvaaji wako. Mbona unaficha kope. Sisi wake ndio tunastahili kuficha kope. Pole kama nimekuudhi.(Nisamehe Sheikh wetu mzuri)
@salumuseif3324Ай бұрын
hehehehehehehehehheeheheh
@mvuyekureabbas5441Ай бұрын
Huo niukumbusho sio Mara yakwanza kuyasikia ao kuyajua
@SheikhYussuf-iv6loАй бұрын
Bas umekumbushwa na ndo maana Mtume صلى الله عليه وسلم aliambiwa akumbushe
@Sh_TaqeeАй бұрын
Unataka mapyaaaaa au unatakiwa kusikiliza na kutii ya Allah?
@MwinyimvuaOmaryАй бұрын
Assalaam alaykum jamani Mimi ni imamu massjd SIRAAJULMUNIRI MAJANI MAPANA BAGAMOYO MJINI Nilikua nauliza shekh huyu wa kigeni tunawezaje kumpata huku kwetu bagamoyo? Wabillahi tawfiq
@Niget-us1npАй бұрын
Kashaondoka tayari
@FazilKarim-nm8vdАй бұрын
Atarudi tena ;uku darasa zake tunafata
@cornerstone10791Ай бұрын
Inyigisho nziza
@mvuyekureabbas5441Ай бұрын
Maaana Yake nikwamba kipimo ça ucamungu wa mtu ni pesa
@Assiya39Ай бұрын
Ni kweli binaadamu akipata pesa ndo kipimo cha uchamungu wake wengi wao hubadilika sana 😢
@user-rs1bo1ic7jАй бұрын
A.ww . Yeah mimi yalinikuta . Myaka 8 tulikaa bila tatizo kwa sababu Hana kazi . 1999 mpaka 2007 . Na 2007 ndiyo mwaka alipata kazi ya maana tena nzuri . 2008 nilipata ujauzito . Alihama mji akasema yeye siyo wakukaa kwenye mtaa hule. Kweli alihama bila kuniaga . Kiukweli aliikaa sababu ikifika kunako mwezi wa 11 mwishoni ima 12 lazima Ahamiye mjini town .na kwenye kazi nyingi huwa mwishoni mwamwaka huwa wanapewa Mishahara miwili . Kwahiyo yeye anaviziya mwishoni mwa mwezi 11 anazuwa kisa kisha anahama . Mnamo mwezi wa kwanza ima mwezi wa pili kama tarehe 10 anarudi na nguo zake pesa ya mwisho wa mwaka imekwisha . Patamu kazi mimi ndiye niliyo imtafuriya . Kulipa nyumba halipi . Masomo ya watoto halipi .katika mwezi mtukufu wa ramadhani tunafunga siku 14 hajahemea futari awo daku .awo hata sukari . Nikisubutu kumwita ndani nakumwambiya mbona leo tunataka kugawa mwezi hujahemea futari ? Basi kesho atakuja saa nne usiku tayari yeye kisha futuru huko huko . Kwakweli mungu ni mwema . Leo hii Hana kazi hadi ahata pesa yakupanga chumba Hana. Bali analala barazani kwa mama yake mzazi . Watoto wamesha kuwa na umri wa 20 . Na myaka 15 . Kwakweli mungu analipa hapa hapa duniani .
@toyikudratullah1466Ай бұрын
Kwani kofia inakipo chakuvaa acheni kupotosha
@mariamkai2705Ай бұрын
Kwel kabsa
@mvuyekureabbas5441Ай бұрын
Usiseme yakwamba hayajawahi kusemwa
@hamadKhamis-p6kАй бұрын
Jamn watu musiwaambie mashekhe kuwa wanapovaa vivaz vyao kuwa ni uhuni hamna tuelewe tu kuwa Kila mtu anavaa anavopenda Kwan hakuna wanapovaa kanzu fupi na wengine refu sasa Kila mtu na mapendekezo yake
@salimaburadmanradman920314 күн бұрын
@Shadidu Mabote Huna Adabu wewe Uliza Kuvaa kofia ninini ? Ujue Zuzu Fala wewe Kuswali bila kufinika kitu thawabu 27 ukivaa kofia au kufnika kichwa thawabu zake ni 700 Mtume A,S,Aliema Shenzi wewe Zuzu na Falla kumtaja Sheikh Qishq Mbupamvu wewe shekhe ukimtembelea nikama kutembelea Mitume 100 mtume Muhama A,S alie sema
@AishaAisha-vt3ngАй бұрын
Sisi wote ni wamoja
@khairatabbas8523Ай бұрын
Mashaallah
@user-sr8nc2kq5xАй бұрын
Imana imuhe amahoro nimihezagiro
@mvuyekureabbas5441Ай бұрын
Huo niukumbusho sio Mara yakwanza kuyasikia ao kuyajua