Follow Us On: INSTAGRAM: / miladu_tv FACEBOOK: / babdeo miladu/ TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan... KZbin: / @babdeomiladu
Пікірлер: 42
@AleiHadji-js3ed6 ай бұрын
Hasomekiiiii😂😂
@soudbako59256 ай бұрын
Bakwata bhana
@AleiHadji-js3ed6 ай бұрын
Huyu Mzee Jasusi SanAa ha
@EnthusiasticAtv-gn6pbАй бұрын
NENDENI IRAN
@ag-rabbitzenj13796 ай бұрын
توضيح الواضحات من المشكلات 😂😂
@iddihamisiharuna82616 ай бұрын
Mhhh watu wa bidaà, basi hawawafundishi wake zao na mabinti zao kuvaa stara vizr, yani hata kwenye mahafla yao ya maulidi wanavaa hovyoo hovyoo. Allah awaongoze. Wanawake wa kisunna maasha-Allah ni kama wake wa zama za mtume swalallahu alayh wasanlam. Allah awajaze kheri na atuongoze wanawake wote wakiislamu wajitahid kuvaa stara ktk maisha yao ya kila siku
@allyelbusaid98886 ай бұрын
Mnaumia kweli yani.. 😅😅 Mawahabi kwenye ubora wao
@iddihamisiharuna82616 ай бұрын
@@allyelbusaid9888 Sisi watu wa sunna tunawasikitikia watu wa bidaà, mko mbali na alivyokua mtume na maswahaba wake. Dini yenu ipo kwenye maulidi, hali yakua maulidi sio dini, kwakua mtume na maswahaba wake hawayajui. Sasa nyinyi dini yenu imebaki huko
@rashid35626 ай бұрын
Acha upumbavu una sunna gan ww unayo ifata ...sifa tu
@AdamRajab-xd3zgАй бұрын
Una upunguf wa elimu
@iddihamisiharuna8261Ай бұрын
@@AdamRajab-xd3zg Kweli kabisa watu wa bidaa mna upungufu wa elimu mkubwa. Tena wake zao ndio kabisa wamesaulika masikin kidogo wanaume utawaona maulidini wakila ubwabwa, lakini wake zao stara ni mtihan utawaona wakienda misikitin na mitandio ya kanga huku mikono kuanzia kiwikoni ipo wazi na miguu nayo yaonekana, ni mtihan mtupu hawafundishwi hata masharti ya swala
@user-lz6kt3dh2r6 ай бұрын
Wapo kidunia Zaidi naona na bidaa kwenda mbele tu
@allyelbusaid98886 ай бұрын
😅😅 Mnaumia mkiwa wapi.!?
@awadhally1052Ай бұрын
Kwel kabisa bidaaa tupu hapo
@pavillioncry52416 ай бұрын
Yani alhadi mussa ajiona yy ndo anastasia kuwa shekh tu
@jumakapilima72956 ай бұрын
Acha chuki
@abuufarsyalsalmaan77306 ай бұрын
Mwanachuoni gani huyoo aliesema..توضيح الواضحات من المشكلات...😂😂😂😂😂😂
@hilalkhalfan14526 ай бұрын
Weye sio darja zako hizo. Ndio maana hujui
@user-mf2ll7nz5g2 ай бұрын
أنت جاهل مركب😂
@abunajreenELSESANY6 ай бұрын
Sheikh JONGO huwa ni COMEDY COMEDY tuu. Huwa hana lolote la KI ILMU.
@abdulsakibu6 ай бұрын
Mbona shekhe kasema toka awali yeye kapewa jukumu la kutoa shukran tu sasa maneno gan ya kielimu ulotaka ayazungumze katika neno la shukran?
@iddihamisiharuna82616 ай бұрын
Masheikh wa bidaa wanakula hela za watu,
@Al.habeebAl.habaaibАй бұрын
Pana maulidi hapo? Au ni commedi tu😅
@EnthusiasticAtv-gn6pbАй бұрын
Mti wenye matunda ndio hupigwa mawe siku zote. Tangu mwaka 1979 Iran imekuwa kwenye vikwazo kwa vile tu iliwafukuza na kufuta Ubalozi wa Marekani na Israeli. Kitendo cha ujasiri sana
@user-du9kd9ks3b6 ай бұрын
Duu Saudia sasa pombe tukitoka hapo sijui tutakwenda wapi yaa Rabbi
@fahadfaraj64746 ай бұрын
Ndugu fata utaratibu ulowekwa kwenye quran na hadith basi Saudia nao viumbe na kwa Mungu hawana utukufu wowote kama hawatamcha Mungu ivyo rufiji au wete inaweza kuwa na watu Bora kama watamcha Mungu kuliko wasaudia wataomkufuru Mungu.
@allyelbusaid98886 ай бұрын
😅😅 Ikitoka pombe ni Bangi nahisi
@allyelbusaid98886 ай бұрын
@fahad nyie si ndo mnaotuambia tufuate Saudia kwa kuwa kule ndiokitovu cha dini.!? 😅
@fahadfaraj64746 ай бұрын
@@allyelbusaid9888 kwenye uislam mbora ni mcha Mungu wali si utaifa wala kabila la mtu kwahiyo akili kichwani
@banihashim53476 ай бұрын
JAMANI HII NDIO MAULIDI INAYOPINGWA KILA SIKU
@thabitjumbe65276 ай бұрын
Na ndiyo Maulidi inayoungwa Mkono Kila siku.
@banihashim53476 ай бұрын
@@thabitjumbe6527 Video hii ni dalili tosha yakua MAULIDI si DINI Bali ni DILI
@allyelbusaid98886 ай бұрын
Wakati we unapinga wenziowanaunga mkono.. Kasome 😊
@twalijiismail28816 ай бұрын
ACHA wachukue hizo pesa KWANI zako? au roho mbaya tu inakusumbua.
@yusufmohamed88746 ай бұрын
Watu wa bidaa wanajua kuchukua pesa za watu
@jaulamedia95176 ай бұрын
Na WA Sunna huchukua pesa za saudia
@allyelbusaid98886 ай бұрын
Na nyie wahabi kuchukua za mwana mfalme Bin Salman kukufurisha watu