SHEIKH JONGO AMJIBU SHEIKH ALHAD WAZIWAZI MBELE YAKE BAADA YA KUPIGWA DONGO

  Рет қаралды 21,010

BABDEO MILADU

BABDEO MILADU

6 ай бұрын

Follow Us On:
INSTAGRAM: / miladu_tv
FACEBOOK: / babdeo miladu/
TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
KZbin: / @babdeomiladu

Пікірлер: 42
@AleiHadji-js3ed
@AleiHadji-js3ed 6 ай бұрын
Hasomekiiiii😂😂
@soudbako5925
@soudbako5925 6 ай бұрын
Bakwata bhana
@AleiHadji-js3ed
@AleiHadji-js3ed 6 ай бұрын
Huyu Mzee Jasusi SanAa ha
@EnthusiasticAtv-gn6pb
@EnthusiasticAtv-gn6pb Ай бұрын
NENDENI IRAN
@ag-rabbitzenj1379
@ag-rabbitzenj1379 6 ай бұрын
توضيح الواضحات من المشكلات 😂😂
@iddihamisiharuna8261
@iddihamisiharuna8261 6 ай бұрын
Mhhh watu wa bidaà, basi hawawafundishi wake zao na mabinti zao kuvaa stara vizr, yani hata kwenye mahafla yao ya maulidi wanavaa hovyoo hovyoo. Allah awaongoze. Wanawake wa kisunna maasha-Allah ni kama wake wa zama za mtume swalallahu alayh wasanlam. Allah awajaze kheri na atuongoze wanawake wote wakiislamu wajitahid kuvaa stara ktk maisha yao ya kila siku
@allyelbusaid9888
@allyelbusaid9888 6 ай бұрын
Mnaumia kweli yani.. 😅😅 Mawahabi kwenye ubora wao
@iddihamisiharuna8261
@iddihamisiharuna8261 6 ай бұрын
@@allyelbusaid9888 Sisi watu wa sunna tunawasikitikia watu wa bidaà, mko mbali na alivyokua mtume na maswahaba wake. Dini yenu ipo kwenye maulidi, hali yakua maulidi sio dini, kwakua mtume na maswahaba wake hawayajui. Sasa nyinyi dini yenu imebaki huko
@rashid3562
@rashid3562 6 ай бұрын
Acha upumbavu una sunna gan ww unayo ifata ...sifa tu
@AdamRajab-xd3zg
@AdamRajab-xd3zg Ай бұрын
Una upunguf wa elimu
@iddihamisiharuna8261
@iddihamisiharuna8261 Ай бұрын
@@AdamRajab-xd3zg Kweli kabisa watu wa bidaa mna upungufu wa elimu mkubwa. Tena wake zao ndio kabisa wamesaulika masikin kidogo wanaume utawaona maulidini wakila ubwabwa, lakini wake zao stara ni mtihan utawaona wakienda misikitin na mitandio ya kanga huku mikono kuanzia kiwikoni ipo wazi na miguu nayo yaonekana, ni mtihan mtupu hawafundishwi hata masharti ya swala
@user-lz6kt3dh2r
@user-lz6kt3dh2r 6 ай бұрын
Wapo kidunia Zaidi naona na bidaa kwenda mbele tu
@allyelbusaid9888
@allyelbusaid9888 6 ай бұрын
😅😅 Mnaumia mkiwa wapi.!?
@awadhally1052
@awadhally1052 Ай бұрын
Kwel kabisa bidaaa tupu hapo
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 6 ай бұрын
Yani alhadi mussa ajiona yy ndo anastasia kuwa shekh tu
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 6 ай бұрын
Acha chuki
@abuufarsyalsalmaan7730
@abuufarsyalsalmaan7730 6 ай бұрын
Mwanachuoni gani huyoo aliesema..توضيح الواضحات من المشكلات...😂😂😂😂😂😂
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 6 ай бұрын
Weye sio darja zako hizo. Ndio maana hujui
@user-mf2ll7nz5g
@user-mf2ll7nz5g 2 ай бұрын
أنت جاهل مركب😂
@abunajreenELSESANY
@abunajreenELSESANY 6 ай бұрын
Sheikh JONGO huwa ni COMEDY COMEDY tuu. Huwa hana lolote la KI ILMU.
@abdulsakibu
@abdulsakibu 6 ай бұрын
Mbona shekhe kasema toka awali yeye kapewa jukumu la kutoa shukran tu sasa maneno gan ya kielimu ulotaka ayazungumze katika neno la shukran?
@iddihamisiharuna8261
@iddihamisiharuna8261 6 ай бұрын
Masheikh wa bidaa wanakula hela za watu,
@Al.habeebAl.habaaib
@Al.habeebAl.habaaib Ай бұрын
Pana maulidi hapo? Au ni commedi tu😅
@EnthusiasticAtv-gn6pb
@EnthusiasticAtv-gn6pb Ай бұрын
Mti wenye matunda ndio hupigwa mawe siku zote. Tangu mwaka 1979 Iran imekuwa kwenye vikwazo kwa vile tu iliwafukuza na kufuta Ubalozi wa Marekani na Israeli. Kitendo cha ujasiri sana
@user-du9kd9ks3b
@user-du9kd9ks3b 6 ай бұрын
Duu Saudia sasa pombe tukitoka hapo sijui tutakwenda wapi yaa Rabbi
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 6 ай бұрын
Ndugu fata utaratibu ulowekwa kwenye quran na hadith basi Saudia nao viumbe na kwa Mungu hawana utukufu wowote kama hawatamcha Mungu ivyo rufiji au wete inaweza kuwa na watu Bora kama watamcha Mungu kuliko wasaudia wataomkufuru Mungu.
@allyelbusaid9888
@allyelbusaid9888 6 ай бұрын
😅😅 Ikitoka pombe ni Bangi nahisi
@allyelbusaid9888
@allyelbusaid9888 6 ай бұрын
@fahad nyie si ndo mnaotuambia tufuate Saudia kwa kuwa kule ndiokitovu cha dini.!? 😅
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 6 ай бұрын
@@allyelbusaid9888 kwenye uislam mbora ni mcha Mungu wali si utaifa wala kabila la mtu kwahiyo akili kichwani
@banihashim5347
@banihashim5347 6 ай бұрын
JAMANI HII NDIO MAULIDI INAYOPINGWA KILA SIKU
@thabitjumbe6527
@thabitjumbe6527 6 ай бұрын
Na ndiyo Maulidi inayoungwa Mkono Kila siku.
@banihashim5347
@banihashim5347 6 ай бұрын
@@thabitjumbe6527 Video hii ni dalili tosha yakua MAULIDI si DINI Bali ni DILI
@allyelbusaid9888
@allyelbusaid9888 6 ай бұрын
Wakati we unapinga wenziowanaunga mkono.. Kasome 😊
@twalijiismail2881
@twalijiismail2881 6 ай бұрын
ACHA wachukue hizo pesa KWANI zako? au roho mbaya tu inakusumbua.
@yusufmohamed8874
@yusufmohamed8874 6 ай бұрын
Watu wa bidaa wanajua kuchukua pesa za watu
@jaulamedia9517
@jaulamedia9517 6 ай бұрын
Na WA Sunna huchukua pesa za saudia
@allyelbusaid9888
@allyelbusaid9888 6 ай бұрын
Na nyie wahabi kuchukua za mwana mfalme Bin Salman kukufurisha watu
@RamadhanSuleymani-yw3dq
@RamadhanSuleymani-yw3dq Ай бұрын
😂😂😂😂😂kweliii​@@jaulamedia9517
БАБУШКИН КОМПОТ В СОЛО
00:23
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 18 МЛН
Они так быстро убрались!
01:00
Аришнев
Рет қаралды 1,7 МЛН
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 9 МЛН
SHEIKH WALID AKIMKARIBISHA SHEIKH OTHMAN MAALIM KWA AINA YA KIPEKEE
40:58
WEWE MSELA WA MELI GANI ACHA UJINGA- SHEIKH NYUNDO
19:42
HAJI ONLINE TV
Рет қаралды 6 М.
SHK.MSABBAH ATOA SOMO ZITO MNO KWA HAPA HUWEZI KUPINGA HOJA MADHUBUTI KAMA HIZI
23:03
БАБУШКИН КОМПОТ В СОЛО
00:23
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 18 МЛН