SHEIKH KADOGOO AUWASHA MOTO, AICHAKAZA SERIKALI YA CCM, "WANAZIDIWA HADI NA BAKHRESA,"WAKATAEN HAWA"

  Рет қаралды 6,666

Mwanzo TV Plus

Mwanzo TV Plus

Ай бұрын

#TANZANIA: SHEIKH KADOGOO NI BALAA, "MSHAHARA WA POLISI UNASIKITISHA"
Sheikh Kadoo, Mwanachama wa Chadema afunguka mazito, "Polisi mishara yao utawaonea huruma, wanapata hasira ndio maana wanatupiga virungu, maisha yao ni magumu", Serikali ya CCM wanazidiwa hadi na Bakhresa"
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE KZbin Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Пікірлер: 34
@KassimHanga-xr7rb
@KassimHanga-xr7rb Ай бұрын
Hee shehe mm mpenzi wa ccm lakiñi hotuba yako imeniingia vizuri nimekukubali❤❤❤❤❤❤
@benedictgamuya8855
@benedictgamuya8855 Ай бұрын
Allah uhakbal...... God is great.....umemleta huyu sheikh azungumze maneno ya maama sana. Umeongea maneno mazuri na hata Mungu anakuona. Ubarikiwe sana.
@johnhaule9520
@johnhaule9520 27 күн бұрын
Msema kweli mpenzi wa Mungu, uko vizuri Sheikh.
@lupyanamatimbwi8064
@lupyanamatimbwi8064 Ай бұрын
Shee bora no,1 Tanzania Tutoe ujinga
@lwitikomwakatumbula5672
@lwitikomwakatumbula5672 Ай бұрын
Sheikh wangu ubarikiwe sana
@yomseyyomsey5114
@yomseyyomsey5114 Ай бұрын
Huyo Sheikh Yuko VIZUR Sana Mungu Amlinde na Anafaa Kuwa Kiongoz Mkubwa Hakika Apewe Maua Yake Na HAKIKA HUYU Ni Kiongozi wa Dini Kwelikweli Hataki UNAFIKI,FITINA, UONGO HAKIKA Yuko Vizuri na Apewe Jimbo HUYU Kiongozi wa Dini
@user-tb4gh1sm9k
@user-tb4gh1sm9k Ай бұрын
SHEKHE UKO VIZURI MWENYEZIMUNGU AKULINDE AKUPE AFYA NJEMA BAKI CHADEMA NAOMBA UPEWE JIMBO UGOMBEE UBUNGE TUKUONE BUNGENI KAWASHE MOTO
@giftyjackson2461
@giftyjackson2461 Ай бұрын
Swafi shehe
@admaumsengi4230
@admaumsengi4230 Ай бұрын
Sheikh Kadogoo wewe ni kamanda wa makanda big up bro
@AbasiAbdi
@AbasiAbdi 26 күн бұрын
Shekhe umesema kweli
@johnnyoni3976
@johnnyoni3976 28 күн бұрын
UMEONGEA UKWELI SANA
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 Ай бұрын
Sheikh kadogo big brain educate tanzania people to the maximum vary clear l don't know lf ccm have capacity of answering chadema let ccm use police force they can't answering chadema only police force lteligince
@ezekielkiduge8730
@ezekielkiduge8730 Ай бұрын
Shekhe uko vizuri sana wengine sijui wako wapi !!!wanogopa utafikiri hawatakufa!!!!!!
@hamidmussa838
@hamidmussa838 Ай бұрын
Njaa njaa!
@maligiretongora3333
@maligiretongora3333 Ай бұрын
Shekh uko umewapa ukweli ccm safari hi mmefundishwa
@tumainimwaifunga3884
@tumainimwaifunga3884 Ай бұрын
Shelve kama Shelve👏🏼👏🏼
@user-tb4gh1sm9k
@user-tb4gh1sm9k Ай бұрын
NDUGU TUNAOMBA GOMBEA UBUNGE KWELI UNATOSHA
@FabianJustine-bq6qv
@FabianJustine-bq6qv Ай бұрын
Ukweli umesema wakukusikia sasa hapo kazi ipo
@user-kl8xf1yk2b
@user-kl8xf1yk2b Ай бұрын
Siasa kama izi huwA nazikubali
@SundaySteven-bz4yq
@SundaySteven-bz4yq Ай бұрын
Yaani Hawa ccm wanaojipambanua kuwaniwema huku Marais wasitafu wameijeruhi inchi Kwa kuuza rasilimali zetu na wanaendelea kuchukua mishahala huu ni ubwege huu uzalendo Bora tuuache kabisaa
@user-bq4tk6yq2q
@user-bq4tk6yq2q Ай бұрын
Ccm hawjibu hoja za chadema zinawahukumu kwasababu ni ngumu.
@RaymondKilomeye
@RaymondKilomeye Ай бұрын
Yunahtaji mashekh wanaojitambua km huyu msema kwel co wanafk kaz yao kusifia ujinga, pongez kwako shekh mungu akubariki kwa Nia yako njema
@PaskaliCharles-pz8ds
@PaskaliCharles-pz8ds Ай бұрын
Sheikh nakukubali sana viongozi wa dini mkipaza sauti hivi tutaikomboa inchi yetu mikononi mwa mafisadi ya CCM ambayo hawataki hata katiba mpya inchi yetu
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 Ай бұрын
Nakubali she wanyoshe
@tugemwakilewa1298
@tugemwakilewa1298 Ай бұрын
Jamaa siasa zake zipo vizuri hachishi kumsikiliza asipobadika kwenye uongeaji wake anaweza kujipatia wafuasi wengi sana. Anatumia lugha ya kistaarabu sana.
@user-kg8dn6qr8o
@user-kg8dn6qr8o Ай бұрын
Napenda Kala uko vzr sana
@allyhasani3750
@allyhasani3750 Ай бұрын
Kadogoo unajua sanaaa
@frankcharles3980
@frankcharles3980 Ай бұрын
UPO VIZURI KAMANDA
@user-gp1hi7sw5k
@user-gp1hi7sw5k Ай бұрын
Unatosha
@user-vl4rz6lf6d
@user-vl4rz6lf6d Ай бұрын
Mwiiteni kadogo msimwte sheghe Hana elimu ya kuitwa sheghe
@akidajulius1581
@akidajulius1581 Ай бұрын
🎉
@davidkawesa3594
@davidkawesa3594 Ай бұрын
Mataahira Duuh
@gidongailo7174
@gidongailo7174 Ай бұрын
Chawa wa mama. Kwahiyo mama ana chawa ndani ya nguo😂?! #&@+😢😮 Chawa ndani ya nguo za mama au chawa ndani ya mama?!? &#@ Chawa wanaishi kwenye nguo za mama au chawa wapo mwilini mwa mama?! # CCM tafuteni slogan nyingine. Hii inachefua sana
@paulmadundo8084
@paulmadundo8084 Ай бұрын
Shekh uko vizuri, pata barka zote za mtume!
MWANZO HABARI LIVE: CHADEMA KUWASHITAKI AWADHI NA NYAHOZA
22:12
Mwanzo TV Plus
Рет қаралды 1,4 М.
艾莎撒娇得到王子的原谅#艾莎
00:24
在逃的公主
Рет қаралды 28 МЛН
Я обещал подарить ему самокат!
01:00
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 10 МЛН
ТЫ С ДРУГОМ В ДЕТСТВЕ😂#shorts
01:00
BATEK_OFFICIAL
Рет қаралды 10 МЛН
CHOCKY MILK.. 🤣 #shorts
00:20
Savage Vlogs
Рет қаралды 26 МЛН
WAMETUKOMOA AU WAMEJIKOMOA? SHEIKH KADOGOO AHOJI WATAWALA
17:11
SK Media Online TV
Рет қаралды 9 М.
艾莎撒娇得到王子的原谅#艾莎
00:24
在逃的公主
Рет қаралды 28 МЛН