Рет қаралды 6,666
#TANZANIA: SHEIKH KADOGOO NI BALAA, "MSHAHARA WA POLISI UNASIKITISHA"
Sheikh Kadoo, Mwanachama wa Chadema afunguka mazito, "Polisi mishara yao utawaonea huruma, wanapata hasira ndio maana wanatupiga virungu, maisha yao ni magumu", Serikali ya CCM wanazidiwa hadi na Bakhresa"
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE KZbin Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram