Huyu ndio waziri mkuu!!!!! Ndio tumaini la wanyonge,faraja ya Kila mwenye huzuni,mtatuzi wa Kila aina ya mgogoro tunakuombea Kila lakheri mwenyezimungu akupe maisha yenye baraka siku Moja uingozoze nchi hii inshaallah
@nicksonlyimo156211 күн бұрын
Mh Majaliwa Mungu akubariki sana na akulinde ,kazi ya kutetea wanao onewa na kudhulumiwa na watu wasiojali na kuwa waadilifu , hii ni kazi ambayo hata Mungu anataka watumishi wote wafanye ili Haki iwe juu ya watu wote ,Mungu akulinde sana .
@user-zu8ou2oe4c20 күн бұрын
Ingekuwa ni mm nina maamuzi waziri mkuu wa sasa angekuwa Raisi na mkuu wa mkoa wa arusha makonda angekuwa Waziri mkuu na waziri wa katiba na sheria angekuwa tundu Lisu na jaji mkuu angekuwa wakili mwabukusi au wakil kibatala
@chrismassawe293919 күн бұрын
Kabisa
@user-oj3fq4pi2u19 күн бұрын
@@user-zu8ou2oe4c na hilo mbona ndio neno!!!!!
@abuumuhammad713317 күн бұрын
Tambuwa anaewaongoza yaani Mkuu wa Nchi ndio anaewatuma wafanye kazi hiyo acheni roho mbaya na chuki baadhi yenu yaudini
@upendoeliya932916 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@zebedayokatamaduni967616 күн бұрын
@@abuumuhammad7133acha ubinafsi
@elimuvisioncenter10 күн бұрын
SAFI SANA MR. KASSIM MAJALIWA
@fridamarco212217 күн бұрын
Tena wangemlipa na pesa ya ussumbufu.
@MatronaThomas-wz5si15 күн бұрын
Majaliwa ni chuma ndo maana hata Magu alimteua leo tuna SGR na Madaraja na Bwawa❤❤❤❤
@richkaja331714 күн бұрын
Majaliwa ulikaa kimya sana lakini weye nchi yako unaijua vizuri sanaa kaa nao vizuri sanaa gombea uraisi tutakupa
@LusajoKabuka20 күн бұрын
Tunaomba mungu utupe kama huyu awe kiongozi wetu anayeenda hata pembezoni kusikiliza shida tuhulumie mungu
@aminamollel663919 күн бұрын
Najisiki Fahari sana viongozi wanapo simamia haki za wanyonge. Hongera sana Mhe Waziri Mkuu Majliwa.
@TM.Sullusi15 күн бұрын
Kwanin huyo Mkurugenzi hakusimamia haki ya huyo Mzee Kwa Wakati? Mpaka Waziri Mkuu aje (milioni 7 kweli?).😢, viongozi Wengi hawajui hata wanapaswa kufanya nini
@HellenLemilya15 күн бұрын
Huyu mwamba hata nafasi ya uraisi anaweza
@user-rq4fq4pw4y17 күн бұрын
Kassim majaliwa ni kiongozi bora sana
@ernestaassenga964613 күн бұрын
Hongera Mh Majaliwa upo vizuri
@user-tr3bi1ry6t15 күн бұрын
Mtu wa maana kabisa
@angellomarcel567713 күн бұрын
Waziri mkuu..Kama kijana wake Makonda
@ntegrity27719 күн бұрын
TATIZO NI CCM HAPA NDO UNAONA MADHARA YA RUSHWA NA UONGOZO MBOVU, KWELI HADI AJE WAZIRI MKUU!
@HashimYahaya-hd3zm13 күн бұрын
Raisi majariwa oyeeeee shida unapitaje apo mh
@emmanuelkaminyoge400815 күн бұрын
Majaliwa we we ndo rais ajae mama akwachie kijiti.
@mackchacha41146 күн бұрын
Miongoni mwa miamba iliyobaki kwenye system ni majaliwa
@HellenLemilya15 күн бұрын
Baada ya Samia tumpe raisi naikubali kazi ake
@chuzilapweza65176 күн бұрын
my future president
@MRASISKA7 күн бұрын
Mwaka wa kampeni piga kazi mkuu japo ni miaka kadhaa ulikuwa kimya tuliimis slogani ya JPM
@jeremiahblazio478120 күн бұрын
Huyu ndo rais sasa waziri mkuu makonda supika wa bunge ruhaga mpina
@franknnko474419 күн бұрын
Naiwe ivyo
@abelelisha95239 күн бұрын
Hiyo nchi itanyooka hadi wakome
@ntegrity27719 күн бұрын
Waziri mkuu ungemuongeza fedha kidogo
@ponsianomnyaru91406 күн бұрын
Samia hatosh kile kiti naona hii nchi tumpe majaliwa
@user-er5to1ko1y7 күн бұрын
Uko wazir
@cyprianboniphace-oz5lw6 күн бұрын
Huyu ndie anafaa kuwa rais wa nchi hii.
@azmankiddo887220 күн бұрын
Hivi how dumb watanzania are we? Tumelogwa na nani? Yaani mambo kama haya mpaka aje waziri mkuu kuyatatua?🤦🏾♂️
@piuspanga86413 күн бұрын
Safi sana waziri mkuu
@valenakomba921817 күн бұрын
HAWA WAKUU WAKIPEWA NAFASI WANAKUWA HAWANA ADABU WALA HURUMAA. NA MUNGU AWALAAANI KWA KWELI.
@user-er5to1ko1y7 күн бұрын
Mkuu wa wilaya kwa maelekezo yes
@MwanaishaShattry15 күн бұрын
Ulipwe na distabus allowance na faida juu maana angefanya biashara zingekywa mtaji mkubwa sasa.
@gladistaemanueliy633615 күн бұрын
Majaliwa mungu akilinde babangu tunakupenda sana baba
@lukomanomaliki544215 күн бұрын
Mama kashasema wazi hataki mabango.Mbona hawa wasaidizi wake wanadili na mabango.Haoni kama wanamkosea.
@samolamsille392814 күн бұрын
Mambo ni moto Tanzania inaanza kuchangamka Kwa viongozi
@monicachacha45510 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@djfiremoto34295 күн бұрын
MUNGU BABA 2035 MAJALIWA AWE RAIS🙏
@barakaabel48216 күн бұрын
Dah! Yaani kwakweli
@HellenLemilya15 күн бұрын
Huyu mwamba hata nafasi anaweza
@caesar774515 күн бұрын
Je wengine mbona hawalipwi. Miaka na miaka au kwa vile alifanya kazi almashauri
@andrewmaiga433117 күн бұрын
Hongera sana Waziri mkuu wetu, Samia oyeee
@user-wi8og3sv4j17 күн бұрын
Maana mtu asipolipwa stahiki zake Kwa muda muafaka thamani yake inakuwa ishapotea
@user-wi8og3sv4j17 күн бұрын
Rais ajae majaliwa mungu akubariki unahuruma na haki za wetu
@hemedwalid657012 күн бұрын
Bahat mbaya sana ukishakua waziri mkuu huwezi kua rais tena
@EliaHiluka14 күн бұрын
Hii ndiyo tanzania
@user-oj3fq4pi2u19 күн бұрын
Good Mzee Majaliwa, Bravoo...unatukumbusha Enzi Zenu za Mzee Baba Magu...
@user-yx4xe4hq3l15 күн бұрын
Tanzania ya leo
@FredymaswiMwita-oj6gv16 күн бұрын
Serikali bwana,,, hiyo mifuko serikali imeikomba haina hata akiba ,wasitafu wetu wataangaika mno..labda serikali ilipe deni lake kwa hiyo mifuko then watu na wasitaafu wapete hauweni
@user-rc1dp6ux3k12 күн бұрын
Udhalimu makubwa walipe na fidia uovu tu
@user-zu8ou2oe4c20 күн бұрын
Sasa kama mambo madogo hayo had wazir mkuu aingilie kati sasa mm najiuliza ni wangap wenye matatixo kama hayo ambao hawawez kumuona wazir mkuu na hawajapata suluhisho? Daa ccm bwana hiki chama changu sa zingne
@adelinelyaruu303620 күн бұрын
Kazi kwa mazoea. Wanamtakia nini huyo mzee jamani??
@lidwinaebrahim38512 күн бұрын
@@adelinelyaruu3036
@chandeyusufu957011 күн бұрын
Uchuguzi unakaribia
@africanreaction850120 күн бұрын
Asa ukoachana na makonda uyu ndo funga kazi sasa akii hoji huyu ina uzito haswaa respct
@ilynpayne749115 күн бұрын
Yani milion 7 una shindwa kulipa mtu
@jumabonge857715 күн бұрын
waache watuzulumu tu ao
@PapyNgosha-hk2vq13 күн бұрын
Kula Chuma icho
@PhilipoMwita-b2x12 күн бұрын
Ccm mnatengeneza matatizo halafu mnayatatua kuwapumbaza wananchi
@EmmaPonera6 күн бұрын
Wanaotengeneza matatiz ni watendaj wa chin Sasa ulitaka aache
@deniskaguo469812 күн бұрын
Chuma cha pua
@lukomanomaliki544215 күн бұрын
Hawa viongozi wa chini wananyanyasa sana wananchi.
@user-wi8og3sv4j17 күн бұрын
Wastaafu wanahidiwa uwongo tarehe za kulipwa mafao ,wanakopa mabenki wakijua serikali inaenda na mda matokeo wanauziwa na benki hadi vibanda vyao vya kuishi na mwisho kufapresha