Waulize mashafi wenyewe kama Ibadh hawaswali nyuma yao yaani unasema mambo ambayo hayapo hasa muogope ALLAH
@ABUUALLY-ch5jrАй бұрын
Huyuu Mzee ni mvuta bangii hajielewii ila ndio sifa zao mawahabii uwongoo mwingii hawana jengine😂
@salimmasoud12533 ай бұрын
Kasim mafuta namfananisha na mteja wa unga ata uyo mla unga ukimpa maneno haya ayaseme bs atasema hawezi
@ShyOnlineMedia3 ай бұрын
Poule fanya uadilifu katika kuhukumundugu yangu
@AsasAllykwasalafivitavyamasaha4 ай бұрын
Jambo la kuzingatia ni kuwa muislam halazimiki kufuata kila kitu cha maulamaa hata kama kajinasibisha na dhehebu lake.Hiyo ni amri ya Mungu.itkadi ya kiibadhi ni kuchukua jema kwa ulamaa yeyote na kuachana na baya la yeyote''.Hayo mengine ya kina Tiwani na wengine ni tafsiri yao na wana uhuru wa kuzngumza..KIMSINGI tafauti ni katika kuwawekea darja masahaba.HUWEZI kulazimisha kuwa Ibadhi lazima utukane baadhi ya masahaba.
@thuweinmassoud90624 ай бұрын
ikiwa msimamo wako ni kuwa maswahaba wote ni waadilifu je muawia amemfanyia haki na amefanya uadilifu kwa sayidna Aliy kumpokonya madaraka
@ABUUALLY-ch5jrАй бұрын
Tena wala usitake kufananisha maibadhi na kundi la kisalafi fekii 😂 hamuna hoja nyinyi porojoo jingii hamuna jengine kama wewe kweli unapenda haki basii hizoo riwaya zenu za hadithi za kutungaa ziondosheni kwenye vitabu vyenu maana zinaenda kinyume na qur ani
Fitna tupu km kweli omba mjadala km kweli ww n mwanaume
@AllyNassor-de6ck3 ай бұрын
Fitna za mawahabi
@SalehLofy3 ай бұрын
Huko Tanga huyu ndio Mufti wao hii ni hatari njoo ZANZIBAR tukupime
@adamcity94418 ай бұрын
Ungelizungumzia itikadi ya kiwahabi ya mungu baro baro ana mikono na miguuu na vidole na mabega na matako amekalia kiti na kila kitu isipokuwa uchi tu . Tunamuomba Allah atuepushe na itikadi hii ya kiwahabi Mujasima.
@hamoudyahya76356 ай бұрын
Muombe msamaha Allah kwa maneno yako. Hao mnaowaita Mawahabi hawajawahi kueleza kwa namna ulivyoeleza wewe kwa kuwakejeli mawahabi wakati unamtaja Allah. Wao hata ukisema wamekosea basi wameeleza hadithi na aya kama zilivyo elezea izo sifa na wala hawaleta Kayfiyya. Unavyotaja viungo kwamatashi yako ujue umefanya dhambi kubwa. Muombe radhi Allah
@ibrahimjumaa5385 ай бұрын
Naam
@ABUUALLY-ch5jrАй бұрын
@@hamoudyahya7635nyinyi munawatukana waislamu wenzenu munawaita Kila majina mabaya 😢halafu nyinyi mukiitwa mawahabii na wakati wahabi ni jina sheikh wenu munachukia ? Nyinyi ni wanafik tu na kama hamujatubia Kwa munayoyatenda basi moto unakusubirini
@SoudSanawari8 ай бұрын
Tupe faida upande Wa KIWAHABI
@SalehLofy2 ай бұрын
Huyu akiwa na watu wake anasema anachotaka kama wewe mkweli kwa unayosema Basi Omba mjadala na sheikh khalfan tiwany, au Juma Mazrui
@111dudi5 ай бұрын
Kama huji masunni wote ni makhawarij, waliopigana na sayyidna Ali.
@ibrahimjumaa5385 ай бұрын
Kama hauna ufahamu usicomment upuuzi!!
@111dudi5 ай бұрын
@@ibrahimjumaa538 kasome kwanza, ndipo ujie kujibu.usimtegemee Mafuta, ana agenda yake
@NasibuJuma-e6u9 ай бұрын
Ni kweli hata APA bujumbura kuna misikiti ya kisuni na ibadhi kama mabehewa
@adamcity94418 ай бұрын
Mafuta kama wewe ni mwanamme omba mjadala na Shaikh Juma Al Mazrui kuhusu Masahaba halafu tuone nani alietukana Masahaba baina ya Mawahabi na Ibadhi.
@saidhassansaid51407 ай бұрын
Hakuna dini inaitwa wahabi😂😂 ila ibadhi misikit yao imeandikwa kabisa neno ibadhi huwez misikit y Sunna wameandika ujuha Kam huo
@HadiyaAwad6 ай бұрын
Sheikh Kassim Ni mwannamme Na Zaidi. Mjadala inafanya Na watu watakaokubali haki vyengine Ni kupoteza mda tu Na sheikh Kassim Hana mda Wa kupoteza
@أبوفيصل-د3ش5 ай бұрын
Mjadala Wa nn sasa.Yeye si Ajibu Haya yaliyosemwa Na yeye tumsikilize . Hiyo mijadala ya nn Kwanza haizingatii Utulivu Na hawa Maibadhwi ni Makhawaarij wanapenda sana Vurugu. Hatutaki Ajibu tu nukta hadi nukta.
@SalehLofy2 ай бұрын
Duh yaani huyu jamaa mambo waliyokuwa nayo ndio anawaambia maibadhi
@suleimanahmad24838 ай бұрын
Mafuta mbona unakuwa mfitinishaji mkubwa kiasi hichi?
@abumuhammadmbwana39648 ай бұрын
Anatakiwa ajibiwe kwa hoja
@111dudi5 ай бұрын
Yeye na Bahrayani yamekaa kufitinisha waislam
@111dudi5 ай бұрын
Ni fabi yake kufitinisha.Jahannam inamsubiri
@SoudSanawari8 ай бұрын
Tupe maana ya walaa na baraa Kwa mujibu Wa KIWAHABI
Nyinyi watu munao comments wengi wanu munaelekea ni washabiki tu kwakuwa huyu shekh wetu mbora anatoa hoja za wazi kabisa kila anaetaka kuelewa anaelewa Lakini Cha kushangaza nyinyi munacommente mipasho na uhuni tu munanini lakini kwanini musimuombe ALLAH" awape afya na salama ktk maisha yenu Hivi hamujui kuwa aliechaguliwa na ALLAH" amechaguliwa na hukuna wa kumnyang'anya kama niwakweli nyie yapingeni anayo yasema sio munongone tu
@OmaryLiku7 ай бұрын
Umekosea ulivyo nukuu kuusu maneno ya wahabi
@aljahuur7 ай бұрын
Allah aache watu wachamungu achague washenzi wa kiyahudi
@wakwetu24448 ай бұрын
Ni kijuti kwa hizo fitina zako.
@jailaniramadhan17888 ай бұрын
dini ya kiwahab hauwezi kwenda bila kuzungumzia watu!
@ABUUALLY-tv8rl8 ай бұрын
😂😂😂😂 kwanza kabla hujakosoaa itiqadi ya kiibadhi kwanza kosoaa itiqadi zenu za kisalafi kama wewe kweli unapenda haki ,yaani nyinyi mawahabi munaitiqadi za kiyahudi hasaaa ambazo hazina kichwa Wala miguu😂😂 kabla hujakosoa ya wenzako anzaa ukosoe yako mwenyewe huo ndio uislamu
@pilabiliani93948 ай бұрын
Sasa wee kinachokuchekesha hapa ni Nini?
@OmaryTambi8 ай бұрын
Idhajaa
@ABUUALLY-tv8rl8 ай бұрын
@@pilabiliani9394 nacheka jinsi mlivyo kuwa munafatilia mambo ya sio kuhusuni na munakosoaa watu kichukiii ndio maana nacheka! Kama kweli munapenda haki basi kwanza rekebisheni akida zenu za kiyahudi mulizonazo ambazo hazina kichwa Wala miguuu kufuru tupuu
@aljahuur7 ай бұрын
Hawa ni mujjassima nipote la kiyahudi pembe ya shetani ya najid
@HadiyaAwad6 ай бұрын
Nenda kasome kisalaf Kwanza utajuta Na hio comment yako.
@salimmasoud12533 ай бұрын
Huyu dogo mafuta ana akili ajui kuishi na watu ata ao mateja na wala unga wenzake sasa hao mmaibadhi anawaambia hivyo atakua na macho gn Kwa Tanzania hii atakapopita
@wakwetu24448 ай бұрын
Ewe sheikh kama Huna kazi usilete Futuna kwa waislam.
@AbdillahiMkondo-t6p8 ай бұрын
Yan hua mkibanwa mnakimbilia kwenye kuleta fitna tulieni sisi tuwafahamu vzur Shekhe endelea kutuweka wazi usisikilize maneno yao tunapata faida
@masudbasra5666 ай бұрын
Kassimu mafuta huna elimu yoyote wewe ufai hata kisomesha watoto wadogo chuwoni
@ShyOnlineMedia6 ай бұрын
Hizo ni kelele za chura tu!
@thuweinmassoud90624 ай бұрын
@@ShyOnlineMedia tulieni nyie vijitu . kama kweli kabisa nyinyi muko katika haqi njooni tujadiliane huku
@111dudi5 ай бұрын
Wewe Mafuta hujakoma tuu, sheikh Nasor wa Dar alikujibu ukajosa la kuongeza. Alikushikisha adabu.Hebu wakome maibadhi wewe.
@abdallahdataguy5 ай бұрын
🤣unaumia kutokea wapi?
@SalehLofy5 ай бұрын
Mawahabi ni waongo kuliko Iblisi
@IbrahimuHusein5 ай бұрын
Umewasoma hao mawahabi au wazungumz kwa kusikia maneno ya watu