Shaikh wetu inaonekana ilimu yako kuna fasi inarudiliya jiyaribu uwa sogeleye ma ibadh utakuta wako katika njiya ya sawa mbele ya kucyukuwa hatuwa haziko sawa.shukran.
@drraizkidume8675 жыл бұрын
Assalam Alleiqum , ALLAH Subhana Watallah atuifadhi na Sunnah ya Mtume wetu Muhammad Swalalau Alleim Wassalam, Amiiin
@mohamedmasanga91343 ай бұрын
Dini ni Mali ya Allah sio ya taasisi au dhehebu Fulani acheni ujinga
@truthspeaker20626 ай бұрын
Mm nadhan bora mufanye mdahalo na maibadhu kisha haki itajukikana kwa atakaetaka kuifuata
@abdallahmkwalia74542 жыл бұрын
Fungamaneni katika kamba ya M/Mungu,bila kufarakana. Elimu zenye kutugawa ni za kiyahudi.
@hamzakimaro37642 ай бұрын
AHLUSUNNAH WALJAMAA ni wale wasiowatukaba MASWABA,IBADHI wanamtusi SWAHABA Ali bin Abutwalib,wala hawakubali kuwaita watoto wao jina la Ali!!
@Mustafiid2 жыл бұрын
Mbona asema uongo huyuuuuuuuuuuu usemea uongo ibadhi
@SaidMzee-mk4vw3 ай бұрын
Allah Akbar some din yenu waislam
@pavillioncry52412 ай бұрын
Kweli ni haramu kuswali kwa ibadhi, Kwanza wanamtukana othman vibaya sanaa
@user-cy1od5xr8x7 ай бұрын
KWANI IBADH NA NYINYI MASALAFI NANI WAMEKUJA MWANZO DUNIANI HAPA WATU LAZIMA MJUE HISTORIA JAPO KIDOGO
@binfarouq7335 жыл бұрын
Jengine ni kuwa hakuna kitu kinachoitwa kufunga swala na kufunga swala huko kukatafsiriwa kuinyanyua mikono na kuweka kifuani au eneo la juu au chini ya kitomvu ndio upo sahihi Mia kwa Mia,, kufunga swala ni kutoa salamu upande Wa kushotoni baada ya kitako cha mwisho cha attahiyatu, na kuinyanyua mikono ukaifumba kifuani au tumboni huko ni kufunga mikono swala inafunguliwa.
@AhmadaHassan-gy5uj2 ай бұрын
😂😂😂 huyu sheikh ana chuki na maibaadh
@user-dn3jh6oz8s3 ай бұрын
Kulla siwa LLAH MAKHLUUK chochote kisichokuwa Allah ni makhluuq
@z34-kp9qq3 ай бұрын
Sio swahiyh maneno hyo.
@ABUUALLY-tv8rl4 ай бұрын
Unaweza ukajiona wewe mbele ya Allah ni bora kuliko wengine ikawa wewe ndie wa motoni kuliko huyoo unaemkufurishaa 😢
@moklashh5 жыл бұрын
Ignorent guy that lies
@salumrashidabdullashmely2558 Жыл бұрын
Wewe mbwa ndio una mambo ya ajabu sana, wewe pia sio mwislam wewe ni kama mbwa tu huna tofauti na mbwa.
@user-cy1od5xr8x29 күн бұрын
Wapi IBADH anakafirisha muislamu? Tibia yenu mnawasingizia wengine Huyu jamaa ya uongo anasema ya ukweli hasemi
@hamzakimaro37642 ай бұрын
MAIBADH ni katika mapote ya opotevu ya KISHIA
@AhmadaHassan-gy5uj2 ай бұрын
Upeo wako umeishia hapo.
@user-dn3jh6oz8s3 ай бұрын
Maskin mtoa mada kama vile hujasoma yaani wewe sijui kama hukua unatafunwa
@user-cy1od5xr8x7 ай бұрын
SASA KILA MTU ANASEMA ANAENDA PEPONI KWA MUJIBU WA DHEHEBU LAKE NDIO MAANA YUPO KATKA DHEHEBU HILO LAKN NYINYI MNAWAKAFIRISHA WATU KILA SEHEMU NJE NDANI NA MNATANGAZA CHUKI WAISLAM KWA WAISLAM MIAKA YOTE MAIBADH WAPO NA MADHEHEBU NYENGINE HAIJAWAHI KUTOKEA WAKAGOMBANA
@user-cy1od5xr8x29 күн бұрын
Eti Fatwa za Ulamaa wa kiislam kwaio maibadhi sio waislam KUSEMA tu QURAN imeumbwa kama haijaumbwa imejiumba? Tatizo pia nyie Quran mnaitafsiri neno Kwa neno na ndio maana mnasema Allah amefanana na nabiiAdam Utaona hasa kuwa Hawa ni wasanii na nyie mnakaribiyana na Mayahudi Kwa mambo mengi
@saidsuleiman22188 ай бұрын
Kaeni meza moja usijitutumuwe pekee yako tu dini si hivyo nasaha upole unyenyekevu muhim
@aboudsaidaboud76675 жыл бұрын
sawa kabisa sheikh.
@khalfansharji97905 жыл бұрын
Omar khamis kensa nyingine katika uisilamu wewe unawakufurisha waibadhi umetumwa na nani wewe wahabi wewe usiswali nyuma ya ibadhi kaswali nyuma ya yahudi mwenzako usituletee Fitna za kiyahudi katika dini haya unayosema yote uongo mtupu na yawma lkiyama utayatolea ushahidi mbele ya ALLAH Tabaraka wataala.
@salimhabib21775 жыл бұрын
Khalfan Sharji usimtukane mtu sivyo tulivyo fundishwa usikatae kitu bila yakutafuta uchumbuzi
@khalfansharji97905 жыл бұрын
@@salimhabib2177 kutukana kupi !!! Uzushi sifa ya yahudi na huyu jamaa ilmu yake ya ya kukarishwa na mawahabi tu.Anaongelea upungufu wa ibadhi ktk sala lakini inaonekana hajui Faradhi za sala wala sunna zake.Yeye anajuwa kuswali ni Ameen kufunga mikono tena kwa kukaba mashingo na kutoa salamu mbili tena huyu muwahabi yeye naona hayani nguzo za ziada katika swala yake baada ya nguzo alizofundisha mtume s.a.w (17).Haya neno Ameen yeye mbona Bismilah anaiwacha!!!na hajaambiwa haya hicho kidole anachosema cha shahada yeye ana kichezesha watu wamemwacha kwakuwa ni akida!!! Haya nawe salim habib kama nawe mshirika wa omar khamis uchunguzi upi mtu afanye ?Hili jamaa linaonge nakuskika sasa!!!
@binfarouq7335 жыл бұрын
Kwanza tukazidishe kutafuta elimu na sio kukaa tu kutoa elimu hali ya kua tunamapungufu makubwa ya elimu.
@ABUUALLY-tv8rl6 ай бұрын
Je inafaa kuswali nyuma ya asiekuwa ibadhi ? Jawabu ndio inafaaa kuswali nyuma ya asiekuwa ibadhi kwa sababu sisi waislamu sote ni ndugu
@abdulhalim59504 ай бұрын
Mjinga www pia swali kwa shia bas na yy ni muislm anajiita
@mbarakrashid98187 ай бұрын
Acha uongo wa kuwazulia maibadhi Hayo unayoyasema kuhusu maibadhi na wewe msimamo wako ni huo huo asiye kuwa salafi ni mubtadiu ni ghurafi si muislamu safi Motoni!! Tafauti iko wapi? Kila mmoja anaona yeye ndio yuko sawa peponi moja kwa moja Na asiyekuwa yeye ni motoni Mwenye kazi ya kuingiza peponi na motoni ni الله peke yake
@ABUUALLY-tv8rl6 ай бұрын
Kwenye huu ulimwengu kuna vitu viwili tu hakuna cha tatu ! Ambayo ni mungu na viumbe kwahiyo kila asiekuwa Allah ni kiumbe cha Allah kwa hiyo je qur ani ni Allah? Jawabu qur ani sio Allah basi kama sio Allah basi ni kiumbe ambacho kakiumba mwenyezimungu ! Kwani kusema kiumbe dhambi ? Au ndio kumtukuza Allah s.w ? Yaani nyinyi mawahabi munahoja za kipumbavu kabisaaa 😂😂
@ABUUALLY-tv8rl6 ай бұрын
Sw maibadhi wanasema qur ani ni kiumbe ! Na nyie mawahabi munaempachika mungu viungoo sasa kati ya maibadhi na nyinyi mawahabi nani waovuu?
@abdulhalim59504 ай бұрын
Mungu akuongoze kaka
@ABUUALLY-tv8rl4 ай бұрын
Na wewe pia mungu akuongoze au tayari munajiona ushaongokaa ?? Hebu ni thibitishie kama wewe kweli ni mja wa peponi ? Unauhakika gani kama wewe wa peponi ? Huenda yule unaembashiria moto akawa wapeponi na wewe unaejiona mtakatifu ukaenda motoni 😢acheni siasa izoo za chukii mambo yamefanyika na makosaa yamefanyika kipindi Cha maswahaba nyinyi munataka kuyafufua acheni fitnaa izoo muogopeni Allah s.w acheni unafik
@SULEIMANMussinАй бұрын
Nyie sasa mnawagua waislam na mnauvuruga uislam sya gang iliyo zungumza madhehebu msitukane watu mbona wakristo hawabauni kama nyiee
@user-cu8xc5yl9x9 ай бұрын
😂😂😂hao ni majahil usiwasifu kama wanaelimu Kwa sababu fatwa zao za kubaguwa waislamu 😂😂😂
@MohamedAhmed-yi1yf5 жыл бұрын
Nyie maibadhi kama hamjui quran vizuri kwanini mwajiita waislam?
@saidalhabsi648510 ай бұрын
Wewe shekh au shekhena maneno yako yote yauongo hakuna chochote maibadhi hawana matatizo na mtu yoyote masunni wanasala nyuma ya ibadhi wewe ni fitna imekujaa na njaa inakusumbua
@feisalsaid77292 жыл бұрын
Hakuna lolote mpumbavu mkubwa huyu anaejiita ahlu sunna .wewe ndii una mambo ya ajabu kwa hiyo wewe . Kama kufunga sala mbona hata madhehebu ya malki hawafungi sala. Khanith waheed
@ABUUALLY-tv8rl6 ай бұрын
😂😂kwani huyo ibnu qayyim wako yeye ni nani ? Yeye ni mtume au? Hata atakachosema ni sahihi? Acheni kuwatukuza watu wapuuzi nyie kwenye huu ulimwengu anaestahiki kusikilizwa ni mwenyezimungu na mtume wake tu hakuna mwengine
@abalqasim Жыл бұрын
Maibazi niwajinga hawana lolote
@saidalkiyumi9270 Жыл бұрын
Mjinga wewe kwanza
@user-hz4bk8bn4e6 ай бұрын
Yahudiii huyu
@MohamedAhmed-yi1yf5 жыл бұрын
Maibadhi na mashia wakipewa ukweli kuhusu upotofu wao wanalaumu alhly sunna kwa kisingizio cha uwahabi
@MohamedAhmed-yi1yf5 жыл бұрын
Maibadhi na mashia nia yao ni kuharibu sunna sahihi ilioachwa na mtume Muhammad (saw)