SHEIKH MUHAMMAD IDDI AWAJIBU TENA WAPOTOSHAJI KUHUSU ARAFA.

  Рет қаралды 86,688

BABDEO MILADU

BABDEO MILADU

5 жыл бұрын

Пікірлер: 849
@hatibmintanga7325
@hatibmintanga7325 5 жыл бұрын
Mashaallah Shekhe Muhammad iddy umeongea Vzuri sanaa,Allah akubarik Sana uendelee Kutoa Elim Alla atakulipa... Nlitaka Mashekhe wote wanaokataa utofaut wa Muandamo wangekuja na Hoja Thabit za Kujibu kuhusu Mashekhe hao
@abuuammar4924
@abuuammar4924 3 жыл бұрын
Sikujua kuwa Shekh Muhammad Ayoub alikuwa hakosei
@parasuminazi4403
@parasuminazi4403 5 жыл бұрын
Asante shekh hatamimi nimeliona hilo Leo nilipomskiliza shekh kilemile nanikatoa maoni yangu nikawaabia wakae watupe jibu moja kwamana wanakhitilifiana
@shosiabdalla6880
@shosiabdalla6880 4 жыл бұрын
Swadakta parasu minazi jazakallahu khairan
@jamalbahdela524
@jamalbahdela524 5 жыл бұрын
Al allama sheikh Muhamad Idd uko sahihi kabisa na Allh amekujaalia ilmu na istiqama, Usichoke kuwarudisha ktk mstari wasemaji semaji, Allah baarik.
@ibrahimmkoko5850
@ibrahimmkoko5850 5 жыл бұрын
Tatizo lao huwa wanakusikiliza kwaajili ya kukujibu, badala ya kusikiliza kwaajili ya kuelewa. Shukran sana Sheikh, Allah akulipe.
@HamiduMtandika-lc2tp
@HamiduMtandika-lc2tp 7 ай бұрын
It is not easy to keep somebody in the right track who willingly ignore the truth because of personal interest OR illiteracy.....IN FACTS MUHAMMAD IDDI IS LOGICALLY CORRECT FOR ANYONE WHO UNDERSTANDING LOGICAL STATEMENTS............OOOH ! ALLAH GUIDE US......... OOH ! ALLAH BLESS MUHAMMAD IDDI.......... .......JAZAKA ALLAH KHAIRA YA SHEIKH MUHAMMADI IDDI ; WAKO ONLINE STUDENTS HAMIDU MTANDIKA
@rehemasalimini5466
@rehemasalimini5466 5 жыл бұрын
Shukrani shekh uko sahihi haswa mwenye kuelewa na kaelewa asielewa basi ache afate tv sababu mwezi ni mmoja ila muandamo unatofautiana kwa masaa na mdio tunafuata muandamo wa mwezi nchi tulipo sio kufata ushabiki wa watu furani Shekh Allah akuhifadhi duniani na Akhera
@saidhoki6502
@saidhoki6502 5 жыл бұрын
Ivi shekhe nikulize ujasiri wakushambulina mitandaoni mmepatawapi ndivo Shekh wenu muham madi ayubu ndivo alivo wafundisha
@rwechunguraissa1394
@rwechunguraissa1394 2 жыл бұрын
Hongera Sana Shekhe, Allah akuhifadhi. Tunapitia fitna kubwa katika Uislamu.
@kanyasicongo7918
@kanyasicongo7918 5 жыл бұрын
Hebu jifikirieni sana mufti waoma kazaliwa Zanzibar na akaja kuwa mfuti waoman hiyo nidalili yaelimuyake kubwa mimi naona allah kampakipaji kikubwa sana chakufahamu mambo allah amuhifadhi amin.
@fahadomar6177
@fahadomar6177 2 жыл бұрын
Alafu hoja nyengine Sheikh Muhammad iddi kuhusu awo wanaopinga mwezi mwandamo mm nawauliza jee, dini haikukamilika adi ilipokuja utandawazi maana hapo Zamani watu walikuwa wakihitalifiana kwasababu kulikuwa hakuna mawasiliano ya kujua kama Maka wamesimama arafa?, 2.) Hoja ya pili wao wakisema kama tufunge mwandamo wa kimataifa Sasa Ramadhani inaingia siku Moja na wakati mmoja jee, swali ikiwa unataka kufungua si unaangalia wakati ikiwa jua limepinduka yaani limezana basi kwa kurudia kuangalia wakati Sasa ikiwa adhuhuri imeingia Tanzania, 🇹🇿, Oman, Kenya, Sasa huyu marekani, ambae yupo nyuma kwa masaa 13, na Canada wapi nyuma kwa masaa 8 na china wapo mbele kwa masaa 7 jee wataswali vp adhuhuri mbna ktk swala tunahitilafiana Sasa wao wanashangaa kuhitilafiana kwenye mwandamo wa mwezi
@salamakhamis7245
@salamakhamis7245 5 жыл бұрын
Allah akubarik. wewe na Shekh wako
@mbossowcb1915
@mbossowcb1915 4 жыл бұрын
Shekhe Muhammad ayub Allah amlipe khery
@salamakhamis7245
@salamakhamis7245 5 жыл бұрын
Ahsante Yaa Sheykh. naamini wako wanaobadilisha misimamo yao kupitia daawa zako. usichoke mzee wangu. Alla akuhifadhi
@amrihamis5420
@amrihamis5420 2 жыл бұрын
Wallhay mwenyezi mungu akusamehee na a kuingize peponi shekh ni mkweli sana amini
@muslihmohd3685
@muslihmohd3685 Жыл бұрын
Huyu sheikh yupo kimakundi zaidi na sio kutoa elimu, Allah akuongoze uache usufi
@abdulhameed-ur9pu
@abdulhameed-ur9pu 5 жыл бұрын
Lamwisho sheikh Mohammad ayyubu na sheikh khamis bin khalfan walikua wachamungu sana Allah awarahamu wazee wetu hawa moja ya tofauti katiyenu na wao nyinyi wengi ni usalama WA taifa Kwaio acheni hyo ni Kazi ya kiyahudi msigeuke kuwa askari wa pelelezi kwani walinganiaji wafundishaji wandishi acheni usalama wa taifa mtaulizwa mbele ya Allah
@kaulimakame9444
@kaulimakame9444 5 жыл бұрын
Hoja siyo kumpinga au kumjenga MTU au kudhalilishana. Toeni hoja za kielimu zisizoonyesha kasoro za elimu ya Jiografia. Hoja za kbezana na za uchonganishi hazitusaidii sisi waumini wenu. Ilindeni Dino msilinde maslahi yenu au kutafuta umaarufu.Allah tulinde na elimu iliyofunikwa na hawaa za nafsi.
@hashimfarsy1828
@hashimfarsy1828 5 жыл бұрын
Usiifiche haki ukaidhikhirisha baatil ila jitambue hiii dunia tu usione unapta nofu ukaonaa ohook kuna mauti
@jumamnyage5395
@jumamnyage5395 5 жыл бұрын
Huna sifa ya kusikilizwa yan ndevu zako umeweka wapi unaboa wewe yan hakuelewi ila mtu bariidu katika watu
@jumasaid8777
@jumasaid8777 3 жыл бұрын
Mohamed iddy wewe ni mbishi , hauna elimu ya ikhtilafu .adabu ya ikhtilafu , unajifanya wewe jambo hilo unalijua zaidi kuliko maulamaa , kwa sababu hilo ni katika masaili mukhtalafu fihha ., usijifanye wewe ni msomi sana. Wakati ni ikhitlafu ya wanazuoni .
@m.othman866
@m.othman866 5 жыл бұрын
Mi binafsi nimekuelewa sana tena sana na zaidi ya saaaaaaaaaaana.
@theworldandcraziestguys2729
@theworldandcraziestguys2729 5 жыл бұрын
Nieleweshe na mie Maalim mimi sijaelewa badoo la3laa wewe umemuelewa kuliko wengine
@jumamnyage5395
@jumamnyage5395 5 жыл бұрын
Mimi nasema Abu idi kabla hujausemea uislaam chochote kaondoe sharubu zako katafute ndevu ulizonyoa una hata haya
@shariffhabshy6770
@shariffhabshy6770 5 жыл бұрын
@@jumamnyage5395 Nini aliekufundisha sheria ndevu ni fardhi ni sunna ilio kokotezwa. Kwahivyo mashia na mabohora wako sawa.
@theworldandcraziestguys2729
@theworldandcraziestguys2729 5 жыл бұрын
@@jumamnyage5395Ahahahahaahahahaha Linajifananisha na majusii....من الذي أمرك بهذا يا أبى عيد!!!!!!
@alishariffshariff9083
@alishariffshariff9083 5 жыл бұрын
Kweli yako Sheikh Mwenyezi mungu ashasema katika surah arrahmaan (mola mashariki mbili na mola magharibi mbili)
@mohamadally5732
@mohamadally5732 5 жыл бұрын
Sheikh nimekuelewa sana na asiekuelewa hatukuelewa mpka roho yake inatoka
@electronicstechnician939
@electronicstechnician939 5 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/jajGe2lqqqp7sM0
@ahmadmadaai1357
@ahmadmadaai1357 3 жыл бұрын
Upo vzr sn Allah akupe umri mrefu mashaa Allah
@hatjjuma6150
@hatjjuma6150 2 жыл бұрын
Tunajua kuna baadhi ya mambo yanamapishano ila yasiweke tofauti baina ya sisi waisilam.Alhamdulilah tupo kwenye haki kwajili ya shahada zetu.
@brotherissesu
@brotherissesu 5 жыл бұрын
Mm hoja yangu kwa shekh eid naona uislamu ni dini pana sana sasa tunatakiwa tumfuate Allah na mtume. Mashekh wanaweza kukosea na mwamedi Ayoub ni binadamu pia anaweza kukosea. Mkishindana kwajambo lolote rudini kwa Allah na Mtume.
@hamidharunsaid1666
@hamidharunsaid1666 5 жыл бұрын
Hehee me naunga mkono maneno yako kaka. Lakini hii dini twasomeshwa na kupata ufahamu wa dini kutoka kwa mashekhe hakuna malaika aliyetumwa kwako au mtume kukufundisha. Mashekhe wanachukua nafasi katika dini kaka
@jumasukari8082
@jumasukari8082 5 жыл бұрын
@@hamidharunsaid1666 Shukrani kwa Mwongozo wako unaolinda heshima ya Masheikh.
@rajabujuma4976
@rajabujuma4976 5 жыл бұрын
Upo sawa lkn dini yetu tukufu, mafundisho yake yapo kwa lugha ya kiarabu na watu wengi, tunamatatizo ya kuijua lugha hii ya kiarabu kwa ufasaha wake na upana wake bali tunachukua tu tafsiri za juu juu na ndo maana hua tunakua wabishi na hatunufaiki kabisa na elimu yetu tukufu
@rajabujuma4976
@rajabujuma4976 5 жыл бұрын
Na hatuwezi kumfuata Allaah na Mtume bila kupitia kwa Mashaykh walosoma vizuri nafasi yao ni kubwa sana ktk hii dini na tukifuata tu kama tutakavyo, ndo utaona tunavyo pingana kwakuto elewa kama sasa
@abdulhameed-ur9pu
@abdulhameed-ur9pu 5 жыл бұрын
Allah amrahamu sheikh wetu sheikh khamis bin khalfan mudiru WA madrasat ihyai mtoni kwa azizi Ally amewafundisha wanafunzi wake taswaufu ya hali ya juu kabisa hutowasikia wakibishana na yoyote kiukweli ni mfano wa kuigwa sana natamani wanazuoni waleo wangefata silsila kama hii wallah wange izza kubwa
@salmarajab8707
@salmarajab8707 5 жыл бұрын
abdul hameed daaa
@abdul-rahmanfakijuma1879
@abdul-rahmanfakijuma1879 5 жыл бұрын
Allwahumma aamiyn,
@safinabakari9140
@safinabakari9140 5 жыл бұрын
Shaikh Muhammad Eid najua utapitia comment zetu. mimi nina maoni yangu kwako kwa maslahi mapana ya dini yetu..... kosa halirekebishwi kwa kosa, wale unaowaona katika mashaikh tunaowahishimu kuwa wamekosea andaeni meza moja ya sulhu haya mambo muyaoongee indoor n sio humu mitandaoni, italeta fitna kubwa. pili nakushauri tena mwalimu wangu, mkubwa hakosei,kama unakiri kuwa shaikh ni kaka yako basi yeye ni mkubwa kwako jishushe msishindane, nachelea zaidi fitna ambayo itaondosha mapenzi baina yenu. Tatu waliokujibu sio hao tu, nimesikia clip z mombasa kutoka kwa salafiy na nyingine ya qasim mafuta markaz pongwe, nae ametoa hoja nzito tu kama ukipata muda zisikilize na kama unaona kuna majibu dhidi ya hoja zake kwa maslahi ya umma basi unaweza kutoa darsa za kuzijibu ili watu wajue mbivu na mbichi. mwisho kabisa mnaweza mkaratibu mdaharo baina yenu na jopo la mashaikh wa msimamo huu na jopo la mashaikh wa msimamo ule na mufti akiwepo na ikiwezekana mwalikeni na mufti wa suudia aje aamue mtafaruku wetu ili tujenge umoja wetu na si kubomoa. Naomba kuwasilisha na Tawfiq inatoka kwa Allah.
@sabraham5308
@sabraham5308 5 жыл бұрын
Jazakallahu lheir umezungumza kwa busara na hekima,tatizo elimu ndogo,mdahalo utaleta muongozo,lakini kuna wengine wanatengeneza umaarufu.
@yahayaathumani1588
@yahayaathumani1588 5 жыл бұрын
Hawa masheikh wanatumia hii mitandao kwa maslahi binafsi, wanasubiri likes na subscribers wachukue mshiko KZbin, wangekuwa na busara wangeitana na kumalizana wenyewe halafu wangetujuza nini sisi tufanye
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 5 жыл бұрын
jitahidini masheikh mkae pamoja muwelewane
@saidimiraji1903
@saidimiraji1903 5 жыл бұрын
hassan mahmud mohamed hapo ndugu yangu ninakuunga mkono
@yusufwewe8600
@yusufwewe8600 5 жыл бұрын
👍
@athumanmohammad5052
@athumanmohammad5052 5 жыл бұрын
Usisahau kuhitimisha hoja zako kwa kutathimin kuwa wafuasi wako wanazidi au wanapungua
@hafidhsaleh7878
@hafidhsaleh7878 5 жыл бұрын
Athuman Mohammad hoja cio kuzid au kupungua kw watu, hoja ni kufuata haki tu
@bokerarahaa6533
@bokerarahaa6533 5 жыл бұрын
Mi niliongezeka inshaallah
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 5 жыл бұрын
Ukweli ni kuwa wafuasi wake wanapungua!!!!
@omarymussa4815
@omarymussa4815 5 жыл бұрын
Miongoni mwa masheikh wa hovyo tena mwenye chuki na answar ni huyu anaona bora mashia kwasababu jalala shia wa kigogo wamesoma kwa sheikh mmoja bin Ayub rh
@user-qm2of7vd3k
@user-qm2of7vd3k 3 ай бұрын
Ansar ya upotoshaji
@shariffhabshy6770
@shariffhabshy6770 5 жыл бұрын
Sheikh Abu ldd usijupaue moyo kuna watu ni summun bukmun ummyun na wengi wengine siwasomi wao wamjibu Sh. Swaleh Al Utheimin.
@abuualban12
@abuualban12 5 жыл бұрын
Wanachuon wanamuheshimu sheikh swaleh al utheimin lakin, amekosea katika hilo Na zipo qauli sambaba na sheikh Alban na ibn baaz wakielezea juu ya kufunga siku ambayo mahujaji wanasimama siku ya 'arafa.
@abuualban12
@abuualban12 5 жыл бұрын
firqatunnajia.com
@jumamnyage5395
@jumamnyage5395 5 жыл бұрын
Abu idi kwanza ndevu zako umeweka wapi msizame kwenye arafa kua kidevu kama .....alafu sharubu umeacha ni mafunzo ya nani ?
@salamakhamis7245
@salamakhamis7245 5 жыл бұрын
Allahumma baarik yaa sheykh
@mirajiissa4603
@mirajiissa4603 5 жыл бұрын
Asalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh... Alhamdulillah nimefuatilia hii mada toka kwa masheikh zangu. Kama sote yaani makundi yote mawili wanaofuata Arafa kwa kufuata Saudia na wale ambao wanaona funga kwa kufuata tarehe za muandamo toka nchini mwao. Kama sote tunalikuabali hili na tunakiri kuwa kuna ikhitilafu za wanazuoni kwa nini basi masheikh zetu , wanazuoni wetu tunaowategemea kwa nini ninyi kwanza kwa elim mlizojaaliwa msilikubali hilo kwa vitendo? Kwa nini msiwaige wanazuoni wwliotangulia pindi walipokhitilafiana walishikamana vip ili kutokuuvunja ummah huu? Pia Sheikh Muhammed suala la kumpinga sheikh wako si dhambi mradi tu waamini kuwa hii njia ndo sahihi kwa sababu hata maimam wetu wakubwa , imam Shafii na imam Hambari walikhitilifiana , ila hawakuchafuana na kuona huyu yuko sawa ila hata nawe sheikh wangu unaposema hawa masheikh hawa niwapotoshaji mithali unakiri kuwa ni jambo lenye ikhitilafu bado nawe unakosema kwa sababu nao wanadalili wanazoziamini toka kwa wanazuoni wakubwa. Binafsi ninatamani kama masheikh wetu muwe na kauri zenye umoja kauri ambazo ktk jambo lenye ikhitilafu hazitofanya kujiona mimi ndo niko sawa na flani hayuko sawa kwani nyote ni wasomi , msirushiane maneno. Hakika mnadhima mbele ya mwenyez mungu kuhakikisha hamuugawi ummah allah atuongoze ummat Muhammad ikhitilafu hizi kama wanazuoni kama masheikh zetu msirushiane maneno kwenye vyombo vya habari kaeni shura mjadili kisha rudini kwa waumini mkiwa na jibu moja.
@hamidharunsaid1666
@hamidharunsaid1666 5 жыл бұрын
Yani hii ndio kauli iliyoenda shule kabisa. Upo sawa
@fahadomar6177
@fahadomar6177 2 жыл бұрын
Mshaallah kwa majibu mazuri Sheikh Muhammad iddi
@uwesusinde9976
@uwesusinde9976 5 жыл бұрын
Yaani we Mohammed Iddy utaendelea kuwa mjinga kabisa pamoja na wingi wa vitabu vya madhehebi ya kishaafia kutoa maelezo kuwa wazi lakini bado wazidi kubisha na kupotosha watanzania na kua mkaidi tu.
@hafidhsaleh7878
@hafidhsaleh7878 5 жыл бұрын
Uwesu Sinde kw upande wangu mm cjaona upotoshaj wake hapo! Just kasimamia mcmamo wake kw kujenga hoja na cio vyengnevyo! Ktk masheikh wote nliockilza hoja zao wamekubal kua haya mambo yana khilafu tangu zaman lkn jambo nililoligundua na la kushangaza ni kua upande 1 unajiona bora na upo sahihi kulko upande mwengne!
@uwesusinde9976
@uwesusinde9976 5 жыл бұрын
@@hafidhsaleh7878 c kazi yetu kumfanye mtu aongoke ni kazi ya Allah hiyo sisi kazi yetu ni kuwabainishia watu haki.
@kaifamstafa9871
@kaifamstafa9871 2 жыл бұрын
ABUU MUHAMMAD IDD WEWE NI SUFI UMEPINDA! ALLAH AKUONGOZE KTK SUNNAH .... Wewe ndiye mpotoshaji huna hoja kwa Abul fadhil
@user-qm2of7vd3k
@user-qm2of7vd3k 3 ай бұрын
Huo usufi waingiaje hapo kama una dalili Lete wewe ndio mpotoshaji na mungu akuongoze
@allisekondo4951
@allisekondo4951 5 жыл бұрын
Allah akulipe kila la Kheri kwa kazi kubwa,unayo ifanya.
@jumamnyage5395
@jumamnyage5395 5 жыл бұрын
Abuu idi shekhe uliopoteza manhaji ndevu zako umezizika wapi ?
@user-pz8cb9cj3i
@user-pz8cb9cj3i 5 жыл бұрын
wallahi mm namkubali huyu sheikhi coz huku saudia hata iDD inaswaliwa sakumi na mbili na kwetu africa hua ni sambili mda haupo sawa kwahio sheikh apo sawa
@swahilitherapytv3846
@swahilitherapytv3846 5 жыл бұрын
HUNA MISINGI YA ELIMU SAHIHI..!! MBABAISHAJI TU
@jumamnyage5395
@jumamnyage5395 5 жыл бұрын
Ndevu Abu idi ebu achana na misimamo ya kihizbi jifunze upya dini umepoteza njia shekhe wangu Abuu idi ttz njia ushaikosa
@mustayoo
@mustayoo 3 жыл бұрын
Assalam alykum. Sheikh kutoweka ndevu ndo upotovu.weka ndevu kama alivyotuusia mtume
@user-qm2of7vd3k
@user-qm2of7vd3k 3 ай бұрын
Umekosea hojja sasa waingilia masala ya ndevu ukweli unaumma toa dalili zako wa ngonjera
@abduliddy9620
@abduliddy9620 5 жыл бұрын
sheikh wangu abuidd uko vizur sana nimefurai ukwausaili wavitabu nimependa.sana
@jumamnyage5395
@jumamnyage5395 5 жыл бұрын
Shekhe ndevu mtoto wa kiume wewe umezinyoa umeweka wapi unalinga apo kidevuni umenyoa ndio pambo gani ilo uwoni haya shekhe wangu ?
@user-hb8vi9fx6g
@user-hb8vi9fx6g 5 жыл бұрын
MWENYEZI MUNGU AKUHIFADHI WANAKUELEWA SANA BALI KUKUBALI HAWATO KUBALI KWA KUTETEA HADHI
@MohamedAli-ip4iq
@MohamedAli-ip4iq 5 жыл бұрын
Acha upotofu lete dalili ya kuh arafa ni mwez 9
@user-hb8vi9fx6g
@user-hb8vi9fx6g 5 жыл бұрын
@@MohamedAli-ip4iq LETA KWANZA DALILI YA KUWA SIKU YA ARAFA NI SIKU WANAYO SIMAMA MAHUJAJI KWA MUJIBU WA HADITHI ZA MTUME
@yusuphkwaya7843
@yusuphkwaya7843 5 жыл бұрын
الزغوي الزغوي namu malimu
@rizikisalum9678
@rizikisalum9678 5 жыл бұрын
Umesema kweli kabisa
@user-qm2of7vd3k
@user-qm2of7vd3k 3 ай бұрын
​@@MohamedAli-ip4iqfungua vitabu vyote vya fiqhi utaona vinasema siku ya arafa ni mwezi tisa wa dhulhijja wala hakuna kitabu chochote Cha fiqhi kinacho sema siku ya arafa ni siku ambayo mahujaji wamesimama kwenye viwanja vya arafa
@allyramadhani2632
@allyramadhani2632 5 жыл бұрын
Asalan alaykum, Sasa mbona maneno yako unajikanyaga. kama tunaangalia tareh mbona Arafa ilikua tar 9 hio hio halafu idi ikaswaliwa tar 11 wakat sio sawa?? Ina maana hii din inawekewa sheria na Mufti??
@seydouside4081
@seydouside4081 4 жыл бұрын
Kumbe inawezekana kuswali.. Siku moja.. Mwaka huu.. 2020..tumeswali pamoja duuuh..sikusikia Kama siku ya pili paliswaliwa na waislam wengine..
@bxgdhydydh6505
@bxgdhydydh6505 5 жыл бұрын
Shekhe msengenyaji
@hilalalhabsi2047
@hilalalhabsi2047 4 жыл бұрын
Kusengenya ni kusema akiwa mwenyewe hajui. Hem kasome clazma useme
@mroojnr.2756
@mroojnr.2756 5 жыл бұрын
Hana chochote cha kujibu zaidi ya yeye kupotosha umma, ye analinda tu tumbo lake.
@whonshineargay2543
@whonshineargay2543 5 жыл бұрын
Ahsant ya Sheikh Saddaqta.Hao si makosa yao illa ni Uchache wa Elimu...Na waki Elimishwa hawataki Hao watu Hatari Sana.
@katalayshemndolwa3146
@katalayshemndolwa3146 5 жыл бұрын
Mashaallah
@captain_kharus4784
@captain_kharus4784 5 жыл бұрын
Masha Allah sheikh Mohd unajitaahid na huo ndio uadilifu unatoa hoja na dalili na umesimama kwa ushahidi wa masheikh na wanazuoni wakubwa
@bakiryusuph9971
@bakiryusuph9971 5 жыл бұрын
Izondevu zako tuzinaonesha namna unavyo fata Mila zakiyaudi kwaiyo wasio nafikira ndio utaendelea kuwapoteza
@bakiryusuph9971
@bakiryusuph9971 5 жыл бұрын
Ndgu yetu we apo umewekwa kwaaajili yawatu sio dini
@hajimgwami5224
@hajimgwami5224 5 жыл бұрын
Video ya Ward Imam wa Magomeni kichangani kweli ilikatwakatwa, na nia ilikua kupotosha mimi ni Editor na nakubaliana na Ward....
@saidimiraji1903
@saidimiraji1903 5 жыл бұрын
Haji Mgwami ndugu yangu hawa jamaa lazma wakate kwakua wanahitaji kiki
@mzeewa6999
@mzeewa6999 4 жыл бұрын
Mtume Muhammad s.a.w. anasema nyoweni mustachi na fugeni ndevu mtofautiane na mayahud
@user-qm2of7vd3k
@user-qm2of7vd3k 3 ай бұрын
Hayo mambo ya ndevu na masharubu yaingia wapi hapa hali mjadala ni kuhusu saum ya arafa Wacha fitina zako hizo zako ni chuki kama una hojja jibu
@abdulhameed-ur9pu
@abdulhameed-ur9pu 5 жыл бұрын
Sheikh Mohammad ayyubu ni miongoni mwa wanazuoni wakubwa sana tanzania Allah amrahamu ila kwa usulubi wenu huu nyote mmemukhalifu sheikh wenu moja ya Kazi alizo zifanya ni uandishi wa vitabu Mpaka hata sisi tuishio nje ya nchi twa visomesha sana Kwaio fanyeni dawa pili safisheni nyoyo kwa kusoma vitabu kma vya Kina imam ghali ibnu aatwaillah ssakandary imam haddad alhabibu Ally Mohammad alhabshy Al imam abdallah ba saudani alafu mushughulike na utunzi wa vitabu
@abubakarimwanyuki4963
@abubakarimwanyuki4963 5 жыл бұрын
Huyu jamaa bado akasome
@barakasinna844
@barakasinna844 3 жыл бұрын
Dunia inaweza kuwa ndan ya siku Moja Ila tutakua katika vipande tofauti vya siku wengine watakua usiku wengine watakua mchana
@machedajanka669
@machedajanka669 5 жыл бұрын
Umeeleweka vizuri sana
@jumamnyage5395
@jumamnyage5395 5 жыл бұрын
Hakika hii elim ni dini tazameni kutoka kwa nani mnachukua dini yenu ? maneno ya ibn siriin Shekhe wangu Abu idi umepoteza sifa ya kuchukuliwa elim yako wewe ni hizbi , Yan umenyoa ndevu umeacha sharubu Allahu akbar .
@swahilitherapytv3846
@swahilitherapytv3846 5 жыл бұрын
IMAMU AHMAD ALLAH AMRAHAM HAKULAUMIWA KWENDA KINYUME NA KAULI ZA IMAMU SHAFII ALLAH AMRAHAM IWAJE WEWE UWALAZIMISHE MASHEIKH WALAZIMIANE NA KAULI YA SHEIKH WAO.!! KAMA SIO KUKOSA MISINGI YA ELIMU SAHIHI..!! RUDI UKASOME BWANA
@mohamedmnjeja70
@mohamedmnjeja70 5 жыл бұрын
Tarehe yetu na makka ni moja shekh
@harunankusa1705
@harunankusa1705 5 жыл бұрын
Muhammad idi hadithi ulizo tajiwa na qauli za ulamaa bado hajaelewa tu rudia hadhi hizo na uzitafakari uzuri alivyo taja mtume saumu ya arafa hakusema saumu ya tisa angalia mudhwafu na mudwafu ilayhi angalia haqi na uifuate
@hassanmohd7541
@hassanmohd7541 2 жыл бұрын
Mimi nitasema mashaalah
@feisalfaraj44
@feisalfaraj44 2 жыл бұрын
jirekebishe
@AbuuHaneef
@AbuuHaneef 5 жыл бұрын
La kunyoa ndevu na kufuga sharubu mbona lenyewe liko wazi zaidi, inakuwa vipi hujalielewa? Unaweza kutunukulia fatwaa ya Ibn Uthaymin kuhusu kunyoa ndevu pia, au unahitaji fatwaa yake unapotaka kufitinisha?
@alishariffshariff9083
@alishariffshariff9083 5 жыл бұрын
Abū Hanīf Utheymin is one the moat notorious sheikh our time calling Muslims to the gates of hellfire
@user-ql2om7qj3v
@user-ql2om7qj3v 5 жыл бұрын
Yes umemjibu
@zakirkatabwa4501
@zakirkatabwa4501 4 жыл бұрын
Kwanza nyoa sharubu zako
@machanochum1969
@machanochum1969 2 жыл бұрын
Inasikitisha sana kuona leo masheikh wetu wanasimamia misingi ya kutokupingana lakini wanazidi kudidimiza na kuleta taharuki na sitofahamu kwenye dini ya allah
@princeshurem9575
@princeshurem9575 5 жыл бұрын
Allah ni mmoja dini ni moja mtume mmoja jua ni moja mwezi mmoja mwezi ulionekanwa saudia ndo mwezi huoo huoo tuliouona huku tofaut yake ni ukubwa tu..... Na siku ya kuona je kma hatujaon kwetu kutokana na mawingi inabd tusifunge
@bongatv3157
@bongatv3157 4 жыл бұрын
Wapo watu wa astronomy Tanzania lazma utaonekana kwa vyombo hatakue na mawingu vp, tatizo ni tarehe za muandamo wa mwez kila eneo ndio tofaut ya arafa inaanza apo.
@ibrahimracho4203
@ibrahimracho4203 5 жыл бұрын
Mwanzo we mwenyewe umekhalifu hadithi ya mtumeﷺ aliposema khaliful yahuda wa nasara.sasa we we umenyoa ndevu ukaacha masharubu itakuaje sasa.nani mpotoshaji
@dullysavage5939
@dullysavage5939 2 жыл бұрын
Unganisha waislamu tuwepamoja usitutenganishe na tumche mola duniani tunapita .
@zaidumohamed8118
@zaidumohamed8118 5 жыл бұрын
HAKUNA SABABU WEWE SHEKH MOHAMED KUMUOMBA RADHI KILEMILE NI MPOTOSHAJI TU NA NI MKOSA RADHI WA SHEKH WAKE MOH AYUUB SALAMA YAKE AJIREKEBISHE
@abdichamshama9460
@abdichamshama9460 5 жыл бұрын
Kwa hiyo sheikh hakosei!?amekuwa malaika!!?
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Al marhumu sheikh kilemile alikuwa mwanachuoni mkubwa, huwezi mfananisha na huyu mhuni abuu idd
@bakarikalama6099
@bakarikalama6099 5 жыл бұрын
Mmeshindwa kuunganisha waislam na kusimamisha hukmullah mnachapana mwenyewe. Masheikh pesa bhana
@hatjjuma6150
@hatjjuma6150 2 жыл бұрын
Je yote sawa?yani (a)kuangali waliokua arafa? (b)kuangali mwezi wa kwako?
@mrangi4454
@mrangi4454 5 жыл бұрын
Asalaam Aleykum warahmatulahu wabarakaki shekh kwanza hakuna takhala katika Asalaam
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 4 жыл бұрын
hivyo kwann saumu ya alafa imewekwa??
@user-ql2om7qj3v
@user-ql2om7qj3v 5 жыл бұрын
Sheikh gani wewe una sharubu kama wapishi wajikoni.sheihk ajiweke kama makufar wewe hatukutambuwi kasome mwanzo ujuwe dini yako vizuri alafu uje utupe elmu
@sefosaide7014
@sefosaide7014 5 жыл бұрын
Wewe unamtukana shehe kisa ndevu tubia uchungu sio midevu
@ahmedkhamis2567
@ahmedkhamis2567 5 жыл бұрын
Hana maneno
@allyhassan7522
@allyhassan7522 5 жыл бұрын
Hata mi namshangaa kujifananisha na makafiri kufuga masharubu haliyakuwa tumeambiwa kuzipunguza.May Almighty Allah guide him to the right path.
@allyhassan7522
@allyhassan7522 5 жыл бұрын
@Mustafa Jumah Sasa hayo ni meneno au au povu?
@user-ql2om7qj3v
@user-ql2om7qj3v 5 жыл бұрын
@Mustafa Jumah mazuzu muko wingi sana.hata wewe zuzu mwengine
@sheikhsheikh1291
@sheikhsheikh1291 5 жыл бұрын
Sheikh Muhammed Iddi ni mwalimu 'ulamaa mzuri tuu ila ananishangaza ninapomuona anapuuza sunna ya kufuga ndevu na kuacha sharubu pekee...kuna siku moja nikaribia kugombana na rafiki yangu aliponitania kwa kuniambia "wewe unamkubali sana sheikh wako Muhamed Iddi ila nadhani hujui kuwa is a man of system kwa kivuli cha dini" yani nilikuwa mkali na tulikaribia wiki hatusemeshani kwa kumsema vibaya sheikh wangu huyu.
@hashimnjaid9511
@hashimnjaid9511 5 жыл бұрын
Umeshasema sunna
@salumalabry9627
@salumalabry9627 5 жыл бұрын
Allah akuhifadhi inshaallah. Unaeleweka vizur tu
@jumamnyage5395
@jumamnyage5395 5 жыл бұрын
Yan ungejua nikikutana na mtu amenyoa ndevu ameweka sharubu naona kama nimekutana na mmajusi na nikumuona mtu ameacha ndevu ameondoa sharubu naona kama nimekutana na swahaba wa mtume .
@mariamfaki1166
@mariamfaki1166 5 жыл бұрын
Mimi ninachoshangaa wanaposema masaa yanpishina wanataka America kwani nyie tz mmepishana masaa mangapi na saudia?huko American na ulaya yote siku ya arafa ni moja waote wanafata saudia ni nyie huko Africa ndio wenye mashindano kila shekhe yupo juu subhanallah
@elikambembela306
@elikambembela306 3 жыл бұрын
Tuludi katika quran na sunna shekh allah atatuongoza
@mahmoodyahaya6058
@mahmoodyahaya6058 2 жыл бұрын
Shekh jikite kuwalingania watu waingie ktk Dini na waislam waache madhambi kuliko kuleta ushindani ktk Dini. Unazingua sana
@abilahihaule1251
@abilahihaule1251 5 жыл бұрын
Hivi nyinyi amuoni munatuharibia funga zetu hadi tunashindwa kufunga kwasababu ya elimu zenu? USHAURI 1.ufanyike utafiti wa kisayansi dhidi ya mwezi na maeneo yote duniani kisha litolewe jibu sahihi. Kwa sababu tukisema tuwasome na kuwafuata mashekhe kila shekh anaupande wake alioutolea fatuha, hii haitoi jibu sahihi zaidi ya maneno ya vitisho. 2.Turudi ktk Quran na hadithi wakati wa kufanya utafiti huo. 3.Tumwogope Allah tuache kuiharibu dini yake. Inshaallah.
@hafidhsaleh7878
@hafidhsaleh7878 5 жыл бұрын
Abilahi Haule saf sana, umetoa hoja nzuri coz wakituambia tukasome bac hili jambo halitokaa saw mpka wao masheikh waunde jopo LA wasomi wa pande zote 2 walitafutie ufumbuzi hili jambo. Lkn maswali ya kujiuliza ni!! 1) Mbna Oman hawafuat Saudia tangu zaman!? Na hujawahi kuwaskia Oman wakilumbana na saudia kuhsu hayo mambo ilihali wao ndio wana elimu kubwa za dini kulko cc Tanzanian 2) Mbona masheikh wa Makka wanaokuja Tanzania wakiulzwa kuhsu haya masuala ya khitilafu hawasemi kua Tanzania lazma mufuate saudia!?? Na badala yake hua wanasema watu wamfate mufti wao ktk eneo husika!
@abilahihaule1251
@abilahihaule1251 5 жыл бұрын
@@hafidhsaleh7878 Amani ya Allah na rahama zake ziwe juu yako. Hata hayo maswali yako yanaonesha kuwa utafiti wa kisayansi unaitajika ili kuliondoa hili.
@jumahussein7579
@jumahussein7579 5 жыл бұрын
Nakuliza swali shekh baada kufunga hvyo unavyosema kinafata nin? Je kuchinja au kufanya nin,
@HamisiAli-uy3sg
@HamisiAli-uy3sg 2 жыл бұрын
Haki ndo hio lakin Njaa na tumbo linadai Enakuwaje umesomweshwa ukiwa Mtoto Hadi umekuwa..mtu mzima..lakin unakubali vipi na kutojiamini Kujidharau na kumfharau Mwalimu wako wa zamani... Kumkubali haya ya kugeuzwa kwa maslahi Basi pia kubali mlioyaabudu mda huyo pia hayakuwa sawa...anzeni kufanya hoja mlipe mlichokikosea siku zile..
@aishamalaki116
@aishamalaki116 5 жыл бұрын
ALHAMDULILLAH ALLAH akujaalie kila lenye kher na wewe tumekuelewa na wanakuelewa na watakuelewa! Wasione haya kurudi kundini
@abdullatwifujuma3745
@abdullatwifujuma3745 3 жыл бұрын
Sawa we Sufi unaongeaje HIV , umemwagiwa. Maji ya moto au , lipotoshaji likubwa hilo
@feisalfaraj44
@feisalfaraj44 2 жыл бұрын
aslmu alyk d shekh ilikuwa ukisema arafaa hauposahihii jirekevishe usipotoshe umaa
@jumajafari7206
@jumajafari7206 3 жыл бұрын
elimu hunna acha bidaa zako ww huna hoja za msing nakushaur Taft kitabu Cha fiqh us Sunnah upte SoMo kwanz pia naona huelew kuhusu dini pia ptia vzur fatwa inb uthayeemen uelewe vzur we co shekhe we ni jahiri ebu uache porojo prove your words with correct words as akhar Sunnah waljamaa do asalaf Saleh cjw tukuite jna gan we kwanz ndev unenyoa na tumekatazwa kuwasikilza nyiny watu wa bidaaaaa dah subhanallah
@duidala3228
@duidala3228 5 жыл бұрын
Mufti waOman ni Ibadi
@rashidabdallah1661
@rashidabdallah1661 5 жыл бұрын
Asalaam aleykum,kuna mtu aliniambia kuna ibada za wakati na mahali mfano kuhiji ni ibada ya sehemu je Arafa ni ibada ya kuangalia mwezi kama ramadhani au ibada ya sehemu?kwa anajejua plz naomba msaada.wabillah taufiq
@rizikisalum9678
@rizikisalum9678 5 жыл бұрын
Ni ibada ya kuangalia mwezi na Sikuangalia mahali
@rizikisalum9678
@rizikisalum9678 5 жыл бұрын
Wanalazimisha kufata Saudia kwa maslahi yao tu
@mbagatamohamedmohamed871
@mbagatamohamedmohamed871 5 жыл бұрын
Wewe bwanaeujitambui
@manenohassan9537
@manenohassan9537 5 жыл бұрын
Jazakallaahu Khayr, Sheikh Abuu 'Iddi Mohammed.
@jumamnyage5395
@jumamnyage5395 5 жыл бұрын
Hivi angekuja mtu apo yupo uchi atoa fatwa mungemsikiliza ? jawabu la sababu mwajua kakhalifu utaratibu . pia nataka mufaham kukaa kwake apo akiwa anenyoa ndevu katuwekea visharubu vyake hafai kusikilizwa kwanza akaondoe sharubu zake
@allymudi5192
@allymudi5192 5 жыл бұрын
Usilazimishe kwamba video ajaeditiwa utakosea angalia msimamo wake upo wapi
@yussufdaudi9408
@yussufdaudi9408 5 жыл бұрын
Wallahi fitna mbaya maustadhi peki
@jumamagoma1743
@jumamagoma1743 Ай бұрын
Mufti.sio.mpango.wa .mungu.mpango.wa.ccma
@abdukadiliissa8076
@abdukadiliissa8076 4 жыл бұрын
Unaacha mustachi Duh huyu kwelii mjinga wa ilmu ya Dini
@abufauzan9417
@abufauzan9417 3 жыл бұрын
Ww ndomjinga
@abufauzan9417
@abufauzan9417 3 жыл бұрын
Ww ndomjinga
@kingwabaonlinetv7914
@kingwabaonlinetv7914 5 жыл бұрын
Sheik mi binafsi nakupenda maana unajua kufafanua na unatumia vitabu lkn wengine hawatuoneshi wanatumia vitabu gani endelea ivo ivo waislamu tunakufahamu vizur sana
@yusuphkwaya7843
@yusuphkwaya7843 5 жыл бұрын
Ali Ali nikweli
@kassimmgwami
@kassimmgwami 5 жыл бұрын
Hao akina Kilemile ni masheikh wa kimagharib /wakizungu.
@bilalabas7567
@bilalabas7567 4 жыл бұрын
Sheikh uko sahihi maelezo yako yapo wazi wanayaelewa ila hawataki tu kuyakubali hao.allah atawaongoza
@athumanikaroyo5999
@athumanikaroyo5999 5 жыл бұрын
Kumbe mnadini yenu ya shekh Mohamed ayubu
@yusuphkwaya7843
@yusuphkwaya7843 5 жыл бұрын
Athumani Karoyo nyinyi nyinyi mnavineno Sana
@mooking7913
@mooking7913 5 жыл бұрын
Umoja wa waislam Tz ulikufa baada ya kuanzishwa bakwata sheikh sema ukweli na muogope mungu wako.
@user-go3bk6wr8u
@user-go3bk6wr8u 5 жыл бұрын
Shekh kwani hitilafu zimeanza leo? Mbona unajibu kiubishi ubishi na maneno ya ovyo ivyo? Kwani nikuulize kuna nchi tumeachana (tofauti) masaa 24?
@issaisandeko6217
@issaisandeko6217 2 жыл бұрын
Kwa hiyo kama ulifundishwa na mwalimu mpotoshaji au hakua na elimu flani hata ukiujua ukweli unatakiwa uendelea kubaki na msimamo wa mwalimu wako. Kweli huu ndo upotoshaji sasa
@amrimatole337
@amrimatole337 5 жыл бұрын
Swali. Arafat unaitambua Kwa jambo lipid. Nitarehe au nikisimamo? Kipi nikipi?
@aminajuma1435
@aminajuma1435 5 жыл бұрын
Arafa utaitambua kwa tarehe ambayo utaanzia muandamo wamwezi kwa eneouliopo… sio kufuatatu kisimamo cha makka. Ila ikitokea tarehezikafanana yaani mweziulipoandama maeneoyenu nakule kwaopia basihapo arafa itakuwa moja.
@jumamnyage5395
@jumamnyage5395 5 жыл бұрын
Abu idi ndevu zako umeweka wapi umewakhalifu wacha mungu walokutangulia kabla yako nani katika wacha mungu walopita alinyoa ndevu akaacha sharubu ? Allah akuongoze
@ismailmansour8013
@ismailmansour8013 5 жыл бұрын
Kwani kuna aibu gani kwa Sheikh kuteleza?!! Mbona Maimam walipingana,ijapokuwa wao kwa wao wamefunzana?!! Hakuna ubaya,ikiwa ww ni Mwanafunzi ambae ni مفيد,kushika njia unayoiona ipo sawa
@jumamnyage5395
@jumamnyage5395 5 жыл бұрын
Mimi nipo hapo kwenye sharubu zako hizo kama wamajusi ndio nini sasa unaona sifa au ndio inadi ? kama ndio unaamini sunna kufanya hivyo je kuwakhalifu wamajusi uwoni jambo jema tena mtume kalihimiza umekwama wapi shekhe wangu ?
@saadiawarfa3480
@saadiawarfa3480 3 жыл бұрын
Unaelumu ya fiqi lakini hunaelimu ya jiografia. Watumieni wataalam wa jiografia. Unawapotoaha waislamu na kuwafanya wafunge siku ya Idi. Mtabeba dhambi zao. Hakuna tarekhe 2 dunia nzima ni tarwkhe moja ila saa tofauti
@kagetaabdallah3712
@kagetaabdallah3712 5 жыл бұрын
Uyo sio sheikh mropokaji tu
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Mhuni tu huyu!!
@kassimmohammed4949
@kassimmohammed4949 5 жыл бұрын
Wewe Ndio mpotoshaji
@Suleimansalum
@Suleimansalum 5 жыл бұрын
amepotosha nini?
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
@@Suleimansalum kasome!!
@Suleimansalum
@Suleimansalum 4 жыл бұрын
@@jumakapilima5674 ivi hadi hii leo mnaenda kufukua hizi video kwa lengo gani, ivi nimimi au weee nani ambae anayetakiwa akasome hapa?
@zuwenamkwizu337
@zuwenamkwizu337 3 жыл бұрын
Ila kwa ss Tanzania na Saudi Arabia tarehe yetu Moja kigeographia kuhusu utafauti ni kwamba hata neema mungu hajatupa sawa kunawengine watapata wengine watakosa acha kwenda nchi nyingine je tz na Saudi Arabia tumetofautiana masaa ?hata tusiwafate mahujaji?
@eddyjustin5890
@eddyjustin5890 5 жыл бұрын
yaani wewe ulimi wako umekariri sheikh sheikh huyo shehe ni mtume? nakila mwaka wewe ndio kazi kutoa mipasho tu huyu muft anafaida gani kwa waislam?watanzania nyie mpo kwa maslay yamatumbo yenu
@abduhamzasungura1642
@abduhamzasungura1642 5 жыл бұрын
Shaban Suleiman akisema Shekh Shekh Siyo Mtume ila Kila Binadam Kasoma chuoni sasa kama humuheshimu shekhe aliye kusomesha unataka umuheshimu nani?
@najashihassani8501
@najashihassani8501 4 жыл бұрын
Shaban Suleiman shekhe abuidi mungu akubariki sanaa hawa mashekhe wanao jiita sunna wanapenda sana kuawaharamisha wenzao pepo wanajiona wao ndio wanahaki yapepo kuliko wengine nalayti pepo wangekua wanaigawa wao sisi wengine tusnge gawiwa ukivaa kanzu ndefu utaingia motoni ukikosa kufuga ndevu utaingia motoni yani utasema hii dini waliletewa wao pekeao nakushukuru sana shekhe muhammdi idi
Shekh Abdallah Bawaziri Avunja ukimya atoa onyo kwa Mashekh
12:13
BABDEO MILADU
Рет қаралды 24 М.
Shekh Waleed ajibu wanaomshambulia kutokana na Video yake kusambaa
20:43
Советы на всё лето 4 @postworkllc
00:23
История одного вокалиста
Рет қаралды 4,8 МЛН
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 21 МЛН
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,8 МЛН
SHE  KILEMILE, SERIKALI INADANGANYWA
12:36
HAYATUL IIMAAN MAISHA YA KIIMANI
Рет қаралды 46 М.
SHEIKH MUHARRAM MZIWANDA AIELEZEA BID`AA
19:51
Masjid Riyadhwa - Kwa Mnyimaki
Рет қаралды 1,7 М.
MAJIBU YANGU KWA MPOTOSHAJI KASSIM MAFUTA KUHUSU ARAFA _SEHEMU YA PILI
36:03
JEE ARAFA TWAFUNGA LINI
5:57
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 85 М.
Upungufu wa ilmu ya Muhammad Bachu kwenye funga ya arafa
17:48
Maawy Muhammad
Рет қаралды 49 М.
NGUZO TANO ZA NDOA  ZIKIFAFANULIWA VIZURI NA SHEIKH IDDI MOHAMED IDDI
37:51
TAZAMA UFUNDI WA KUZUNGUMZA WA SAYYID AHMAD ALWIY BADAWIY - 2023
29:19
Siku ya Arafa ni Lini?  ::: Sheikh  Mbarak Ahmed Awes
40:01
Sheikh Mbarak Ahmed Awes
Рет қаралды 43 М.
Смотреть до конца!
0:19
Привет, Я Ника!
Рет қаралды 2,8 МЛН
Девушка великан ходит по городу #фильм #кино
0:48