Ya Allah mfnyie wepesi Sheykh Othman Maalimu yeye na wazazi wake wawe miongoni mwa watakaoingia peponi Aamin
@siafuonlinetv10032 жыл бұрын
Maalim wew hutaki kuingia peponi???
@luqmanajmal86472 жыл бұрын
MaashaAllah ulamaa east africa tunajivunia kwa Allah uwepo wako Allah akuhifadh kwenye rehma (huruma zake) dunian na qiyama Ahsante sana kwa daawa zenye hekma na elimu.
@alimasiga84222 жыл бұрын
Alhamdulillah kwa hii khutba iliyojaa ilm, hikma na Takwa. Allah akuhifadhi Hapa duniani na kesho akhera.
@adeshrostom99052 жыл бұрын
Tunakupenda sheikh Kwa minajili ya Allah SW. Allah akupe jazaa na atupe hidaya katika Amr bil maarif nahi 'anil munkar. Isiolo Kenya
@kadulathumani75172 жыл бұрын
Mashallah Sheikh Othman . Mmungu akubarik na akupe Umri Taweel. Jinsi khutba zako zilivyojaa Taqwa na upana elimu na busara na miongozo mikubwa. Kipindi kigumu sasa duniyani, Vita hivi , maradhi na majanga mengi. Kweli si ya mmoja. Binaadamu tunahitaji khutba kama hizi kulingania haki na usalama na kumjuwa Mmungu wakati mgumu huu. Tuwaombee Duaa wenzetu hawa na kwa kila penye mabalaa ya aina yake. Allah awahifadhi wao na sisi . Aameen
@hawayussuf92442 жыл бұрын
Amin Amin Amin 🤲🤲🤲
@sakinat25272 жыл бұрын
Amiin Amiin Amiin
@alexbayingana78792 жыл бұрын
Aameen
@fatmaathuman46002 жыл бұрын
aamiin Aamiiiiin AllahumaAmiin
@faudhiaramadhani46752 жыл бұрын
Mashaaallah nakupenda kwa ajili ya Allah sheikh Othman, Allah akujaalie umri mrefu
@sturbbornvideoz85472 жыл бұрын
Masha Allah Allah akupe mwisho mwema sheikh wetu
@maryamabdallah31402 жыл бұрын
Assalaamaleikum warahmatullah wabarakatuh ya ummati Islam... Allah akupe umri mreeeefu mnooo wenye manufaa na kheri ktk dini... Nakupenda mnoo sheikh wetu kwa ajili ya Allah
@harunamkakaro1132 жыл бұрын
Mashaalah sheikh allah azidi kukulinda nahasad zawalimwengu, nakupenda kwaajili ya allah.
@allyjuma68482 жыл бұрын
MASHALLA UJUMBE MZURI SANA
@salumjumaruhaga25132 жыл бұрын
Kwa kipi hasa ambacho ni kipya,huyo shee Hana jipya,ana taka watu waingie peponi kama bi halusi
@yahayasaidi39512 жыл бұрын
@@salumjumaruhaga2513 wewe utakuwa kafir tu
@abdallahsaid29242 жыл бұрын
89
@khadijakurdish75272 жыл бұрын
Mashallah tunakupenda sana kwaajili ya Allah na tunakuombea kila lenye kheri katika maisha yako hapa duniani na kesho akhera Na Allah akupe umri mrefu ili uendelee kuitoa elimu hii yenye manufaa katika vizazi vijavyo
@fatmamasafu86062 жыл бұрын
MashaAllah tabaraka Allah mwenyezi Mungu akupe uzima, afya na amani na imani na atupe mwisho mwema
@ashuraramadhani99812 жыл бұрын
Amiin Inshaalah!!!!!!
@RamaMkongwe2 жыл бұрын
Allah amuhifadhi sheikh Othman Maalim
@salumjumaruhaga25132 жыл бұрын
Yaani nyie mbona hamueleweki ,waparestina miaaka na miaka wanauwawa na mayahudi wakisaidiwa na marekani mbona hamuliii ,makafiri kigusana kidogo na mahutuba mnatoa
@fahadkhamis15622 жыл бұрын
@Salum Juma Ruhaga. Tatizo letu sisi tunatoa maoni bila ya kitu kukifaham sheikh hajamtetea mtu ila mada ya hapo ni usifurahie baya linalomkuta jirani yako hemu kwanz sikiliza vizur alafu utapata lakusema
@fathatjuma92652 жыл бұрын
Maashaallah ALLAH akupe nguvu usichoke kutufikishia nasaha...
@aminaismail97364 ай бұрын
MASHA ALLAH BARAAKKALLAH ...NAMPENDA SHEKH OSMAN SANAAA ..ALLAH AKULINDE AKUPEE AFYA .ILI TUENDEELEE KUPAATA MAWAIDHA MAZUR .. AMEEEN
@halyberryrahmeyadams33352 жыл бұрын
jazakallah khayran sheikh Othman kwa mawaidha nzuri sana
@zainulabideen69552 жыл бұрын
Assalam alaykm ya sheikh Othman Maalim, Allah the greatest may bless you this world and hereafter, ameen
@mbwanambwana36462 жыл бұрын
Maashaallah Allah akupe mwisho mwema Inshallah
@mbwanambwana36462 жыл бұрын
Maashaallah
@rashidshukery2 жыл бұрын
MashaAllah alhamdu lillah jazakum Allahu kheir sheikhi alhabib wataqabbala minkum amin mkono kwa mkono hadi peponi 🌹
@bayuuharoub26912 жыл бұрын
Mashalaah, mungu akuweke, akupe zaid ya elimu ulionayo, mawaidha yako, ni mazuri sana mashallah
@isihakaabubakari69062 жыл бұрын
Daaah wallah khutba imejaa elimu,Hikma na busara kubwa mnoo ujumbe umegusa uongozi wa nchi yetu na hao wanaopgana Allah tuletee nusra... Mungu akujaalie Jannatu firdaus pamoja na mtume wetu (s.a.w)
@dadamaisha44702 жыл бұрын
Ameen YaRabb. Ameen
@zuhurasalumu66682 жыл бұрын
Allah akulipe shekhe wetu duniani pamoja na akhera
@aminaismail97362 жыл бұрын
Waaleikum salam warrahmatuullah wabarakatuh ..MASHA ALLAH...MAWAZO MAREFU YA SHEKH WETU KIPENZI...UKISIMAMA KUTOA MAWAIDHA BASI...NAFURAHIA SANA WALLAH..MAANA NAONDOKA NA VITU MUHIM KUTOKA KWAKO..SINA LA ZAID NI KUKUOMBEA DUA ..ALLAH AKUPE MAKAZ YALIO BORA MEMA PEPON WW NA FAMILY YAKO NA UMMAT WA MUHAMMAD SAW..WANAEKUSIKILIZA..NA AFYA NJEMA ALLAHUMMA AMEEN 🤲
@ramadhanikhamis24932 жыл бұрын
Masha Allah she othmaan nakufananisha na swahabha flan Allah aruhifadh sote Tena kwa khee
@cjireri56512 жыл бұрын
Mimi nimkristo ila napenda kumskiliza sana sheikh Othman 👍👍😘🙏🙏🙏🙏🙏
@alialamoudi97292 жыл бұрын
Mungo akupe hidaya uingia katika uslaam mimi kutoka makaa
@shemelaruhinda61132 жыл бұрын
Amiina manshahallah Allah akuzidishie 🙏
@imamushafiiforgoodislamict54202 жыл бұрын
Maneno makubwa sana hayo Allah akulipe kheri
@amourhemed43432 жыл бұрын
Mashaallah Allah akupe umri mrefu wenye kheri na mafanikio ns uzidi kutupa elimu ya dini
@awamimzamiru84612 жыл бұрын
Mashallah Mungu akufanyie wepes kwa kila jamb lako Shekh wang
@sabihaibrahim1432 жыл бұрын
Naam Shekh inshallah Allah atufanyiye wepesi
@mussaaskar33562 жыл бұрын
Mashaa allah❤
@amissiyagara77182 жыл бұрын
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh jazakalh kheri kiogozi Allah akulipe kila lakheri Insha Allah
@jimjam41482 жыл бұрын
MASHAA ALLAH. ALLAH akuzifishiye furaha apa duniani na kesho kiyama amin amin YARABI amin.
@bongue60032 жыл бұрын
Mashallah bonito meu sheikh allah huakbaru
@jafarykangwa25882 жыл бұрын
Allah akupe umri mrefu pia akuzidishie ujuz zaid utupe mawaidha yaliyo bora zaid
Sunna ya ndevu ni sunna tulioamrishwa na Mtume (saw). Kasema tuache ndevu tutowe masharubu. Nafurahi sana kukuona shekh Uthman na ndevu. Mungu akubarik
@heyumi23402 жыл бұрын
usipokuwa na ndevu huwi mwislam ana au lazima kuwa nazo
MashaAllah Allah ni Mkubwa na ni mfalme wa mbingu na ardhi
@HassanAli-eq8ko2 жыл бұрын
Amiin yaarabaliaalaamiin yarab tuhifadh na utulinde pamoja na mashekh wetu na viumbe nyako
@fardoshnassor78472 жыл бұрын
Mashallah Allah 💕
@wasiahussein54932 жыл бұрын
Allah akupe umri zaidi shegh
@ameali12512 жыл бұрын
Tabaraka llah ujumbe umefika
@munasayed86572 жыл бұрын
Maa shaa allah, jazakallah sheikh wetu.
@kapondamsita4762 жыл бұрын
Mashallah Allah atujalie amani
@muddymuzungu43572 жыл бұрын
Allah akulipe sheikh
@khaajaahmed74642 жыл бұрын
Masha Allah shekh
@kusematv57372 жыл бұрын
Tuwaombeeni wamalize Vita ivyo insha'Allah
@filmflm53892 жыл бұрын
Sheikh mungu kakupa khekima na elmu nanimfasihi wa kauli
@fauznuhu99812 жыл бұрын
Shukrani
@djmedymovie68152 жыл бұрын
Umeongea vizuri sana Othman na tunomba uendelee kufamisha jamii
@aliseif26912 жыл бұрын
Hadithi ya panya na kuku ni nzuri inafundisho zuri sana.
@ismailmajani91622 жыл бұрын
Hakika tuwe makini inshaa allah
@kombojuma28072 жыл бұрын
Mashallah wa marhaba
@kheryonlinetv2922 жыл бұрын
Mashaallah
@arafalubuva38552 жыл бұрын
Alaah akulind shk naatulinde na viongozi wabaya
@usamaahmed26242 жыл бұрын
Maasha Allah
@kadogoomushadi54092 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akupepepo wallah miminatamani karma ningekuwa na uwezo niwalainishe rohozao hao wanaouwana waache wasikilizanetu lakini watu ndio kwaanzaa wanachocheatu hilijanga nasisi litatupataabu mungu tusaidie
@godfreysanga60912 жыл бұрын
Mm ni mkristo ila nampenda sana maalim , othman..
@hussensangoda38552 жыл бұрын
Maashaallaah
@umsalim65152 жыл бұрын
Amin yarabby, kweli yashatufika, petrol imeshapanda bei na bidhaa zote zitapanda ,
@mikidadimuhando23152 жыл бұрын
Sheikh, usemayo ndiyo lakini tutakaa wapi ili tusahau utumwa na ukoloni, ubeberu na unyanyasaji wa wazungu ,leo wasema tuwaombee dua, waache wauwane ,sisi tuliwana kwa fitinisho lao, Mungu ni wetu sote
@mwawekomiuda97792 жыл бұрын
Yote hayo ni kutomjua ALLAH. Ukimjua ALLAH lzm utakumbuka kuna kufa na kufufuliwa siku ya kiama na utahisabiwa ni lazima. Ukifikiria hivyo unakumbuka yupo ALLAH na ndie Mkuu mwenye sifa zote na uwezo wa kila kitu.
@omarabedi13722 жыл бұрын
Allah Akbar mweyezimungu atupe mwisho mwema
@munamuna74882 жыл бұрын
مساء الله
@yasinamiri76492 жыл бұрын
Waleiku salam warahmatullah wabarakatuh
@zainathaljumaa48252 жыл бұрын
Asallam Allykm.m/mungu akujalie afya njema
@salmakundi27172 жыл бұрын
MashaaAllah sheikh uko vizuri
@salehrashidshekidele10392 жыл бұрын
🙏🙏
@mwajitajunior76332 жыл бұрын
Mashallah....maneno ya kisomi
@salumjumaruhaga25132 жыл бұрын
Mbona chi za waislam hampazi sauti,mssichana wakizanzibar yupo gerezani Kenya miaaka imekarka alishikwa akienda masomoni sudani,wakasema at l S,mbona hampazi sauti,
@tycoonally62572 жыл бұрын
😳😳
@saidihaji37392 жыл бұрын
Twayyib Wew ushafanya jitihada gan juu ya hilo ?? Halafu una uhakika gan kuwa sheikh analijua jambo hilo ??
Safi inapendeza kuona shekh anaenda na wakati km mtume alivokua
@jamilahamisi54582 жыл бұрын
🔥🔥🙏
@hashirally43112 жыл бұрын
Big up
@indamajid74392 жыл бұрын
SHK wangu
@azzasalti61242 жыл бұрын
Sheikh huyo allah atampa kheir za dunia na akheira maana anajuwa kitu gani anakisema...hawa ndo masheikh ambayo sllah kawapa elimu na vipaje ....hazungumzi kuropoka kasoma na anajuwa dini lakini baadhi ya wengine ni kuzudisha number tuu..allah atuhidi sote na akupe kila la kheir sheikh othoman
@emmanuelogorenisanafocus80162 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@ramygichero10162 жыл бұрын
Urusi anatakiwa ashinde vita hivi vya Ukraine Inshaalah
@mbwanakiting71802 жыл бұрын
Naenda maswali sheikh
@gahangazaituni96332 жыл бұрын
Asalaam alaykum sheikh wetu Palestinians walipo pigwa mabomu ya nuclear na Israeli takribani watu 2200 waliouwawa na Israel mbona amja react kama hivi subhannallah
@nasymchuzi86672 жыл бұрын
Anazungumzia sana ayo sheikh tafuta mawaidha yke
@fahadkhamis15622 жыл бұрын
Kwanza uifahamu mada yeye hajatetea anachosema yeye usifurahie baya linalomkuta jirani yako kwa iyo usizungumze kama hujafaham kwanza
@fadhilisalehe46392 жыл бұрын
Gombea urais shekh Zanzibar utapita bila kupingwa
@rasurmasoud57622 жыл бұрын
Adui muombee njaa shekh ,na mtanganyika apaswi kuchangia Vita hii toa Banz jichoni mwako Kwanza bora we mzenji utofautian na na myukrain
@fatmaahmed86372 жыл бұрын
Mola akupe Umri wa afya,Maneno yako hekima,ndio tulivyoamrishwa,kuwa n washauri kila pahala.kwani linapofika halifiki kwa MMOJA ila ni DUNIA nzima yatatuangamiza
@shahidhassani19602 жыл бұрын
Hakuna kitu UISLAMU uliacha ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️✊✊
@fredjoel13502 жыл бұрын
Kweli mpk wazaramo na wandengereko hawana lugha zao kisa kiarabu!
@iddyissa81102 жыл бұрын
Othumani wewe unaitaji kuwa mshauri wa dunia hii hikima unayo Kama vile Mungu alivyo mpa suluemani hikima
@mwawekomiuda97792 жыл бұрын
Mmm! Ashauri dunia gani na mijitu mikafiri. Hawamjui M'mungu na hawamdhamini kabisaaa!
@shabanhussein53662 жыл бұрын
mashaallah tunakuombea duwa sana sheikh odhman mali allah akupe mwisho mwema
@mohdjuma25752 жыл бұрын
Ia
@khamisalli12822 жыл бұрын
Da mbona hamkua mkisema parestina waislam walipokua wanapigwa na kuuliwa!!!
@Heismasai2 ай бұрын
😢 now 2025
@jeremiahmwalukosya84312 жыл бұрын
Ndo namwona mwislamu mwenye hekima nakili sana wengi wamejaa mihemko ya chuki juu ya watu fulani waliokinyume nao
@fundileani10072 жыл бұрын
Afwaan
@abuusaleh71152 жыл бұрын
Shehe kwenye uislam hakuna demokrasia kwbb demokrasia imekuja juzi na demokrasia ni mfumo wa kutenganisha dini na maisha kwa maana utenganishe maisha na maelekezo ya Allah hiyo ndio demokrasia. Sasa shehe unaposema uislam una demokrasia maana yake unautukanisha na unautia dowa la ukafiri. Wakat uislam ni mfumo wa Allah aliyetakasika na kila kasoro.
@makacharatv42572 жыл бұрын
Waache wazungu wapambane ndio maana salafi wanakupinga. Ao wote makafiri waache wauane.
@nasymchuzi86672 жыл бұрын
Una ndugu aliekua huki ndiomana unasema ivyo
@abdallahesika84072 жыл бұрын
SHK OTHUMAN MAALIM:ANAZUNGUMZIA VITA INAYOENDELEA UKRAIN/ NA UISLAM UNALIZUNGUMZIAJE SUALA HILI. eti jaman ni kweli hichi ndo alichokizungumzia shekh? Nyie Riyadh tv muogopeni Allah. ACHENI UONGO
@fizomakuya41422 жыл бұрын
Sheikh aboud rogo Samir khan Ibrahim rogo Hassan rahimullah
@mjahidosama95382 жыл бұрын
Huna lolote we ni mushiriki unaleta mfano usio wa kweli
@aflow90852 жыл бұрын
Hii ni hekma
@ramygichero10162 жыл бұрын
Shekhe apo mimi siku ungi mkono kabixa wao miaka yote walinyamaza kimiya wakati waislamu wa Palestine wanauwawa sasa wewe unawaombea wao ili iweje
@sabunisop10502 жыл бұрын
Hujui din na maana ya dini hujui ,na uwezo wa kufikir pia Ni mdogo sana. (Akili finyu)
@ramygichero10162 жыл бұрын
@@sabunisop1050 Hujui sisa za kimataifa wewe ata kidogo najipendekeza kwa kumtetea Ukraine wakati mmeshindwa kuwa tete wapalestina wairaqi na walibya Tatizo hamna elimu mmesoma Quran peke yake
@user-qe8xp6ii1u2 жыл бұрын
Kwan Huyo Athumani Ni Sheikh!???Au Ni Sufi
@husseinmkanga81822 жыл бұрын
je ww ni nan,unajua nn kuhusu dini ww....????je unajilinganisha nae..?
@user-qe8xp6ii1u2 жыл бұрын
@@husseinmkanga8182 mim ninafuata Salafu. Huyo ni Msanii.anaejivika vyeo vya Uwanachuoni au Ulamaa Kwa sabab Aonekana kweny TV na radion akiskika. Kama hukusoma huwez kiwajua Maulamaa ni kina nan
@user-zj5nk7pm7m2 жыл бұрын
@@user-qe8xp6ii1u basi hujajua uislamu vizuri🚮
@faisalyusuf89862 жыл бұрын
@@user-qe8xp6ii1u wewe bado hujawa salafi wewe ni muhuni tu, salahi hawakuwahi kujibeza na kudhalilisha watu wala kuwakataa wanazuoni kwa itikadi na mafundisho yao kawasome vzr maimam walivyo kua wakiheshimu hoja za wanazuoni wenzao hata kama walikua hawazikubali. Kwa kifupi kaka wewe ndo msanii tu. Watafuta nn sasa huku mitandaoni?
@daudymlaule34332 жыл бұрын
Yani wewe sheikh ni bure kabsa inaonesha unamlaum putini lkni hukumbuki hawa wa ukrein walihusika na mauaji huko libya wakafa weisilamu hamjaona leo hii makafiri wakipigwa mnajifanya mnaona huluma au kwa kuwa gaddafi hakuwa mwanadamu kuanzia leo sito kusikiliza maana wewe ni mamluki mkubwa sana Hii ni zamu yao acha wakipate
@subirajohn7282 жыл бұрын
Sheikh yupo sahihi kabisa usimchukie!
@abdulhamidjafar31762 жыл бұрын
Vp ww aah kuna watu wengne bn wanasema t hawafkrii
@fatumafadhili83272 жыл бұрын
Bure kwako wapo watu wananfaika kwa elimu yake kuwa na hekma kuna watu tunawapenda wanazuoni wetu usituchukize ww