Wallahi sheikh hicho kisa sijui kma sisi vijana wa Leo twaweza kuvumilia kisa kma hicho lkn kwa uwezo wake Allah inshllah hatajalia nyumba zetu yasitokee mambo kma haya🤲
@cishahayoali1136 Жыл бұрын
Asalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh!
@kawambahamza4972 жыл бұрын
Huyu Sheikh ni Othman maalim mtupu mpk nimeburudika km namsikiliza Sheikh wangu kipenz changu othman maalim
@fatumaangatia82932 жыл бұрын
Allah atustiri, na atujaalie mwisho mwema inshaallah
@alinadee82072 жыл бұрын
Othman malim wapo wengi mashallah
@ahmadabdala21752 жыл бұрын
Asante sheikh Kwa kisa chako kizuri endlea ku2kmbsh Allah akupe maisha mem dunian na Akhera
@ndibwamiahmed87422 жыл бұрын
Sheikh. Unanifurahisha sana kwa Hilo somo lako Asanti sana mungu Akubariki
@swalehabdurahman89242 жыл бұрын
Masha ALLAH Ustadh Tumejifunza Mengi Kutoka Kwako Mungu Akipe Umri Mrefu Ufinze Wengine
@rehemashaibu76352 жыл бұрын
Mashaallah shekhe somo zuri sana ila kwa waume wetu wa sasa sizani kama wanaweza kusamehe kwanza tatizo hawtaki kuisoma din wala kuisoma ndoa yenyewe
@johnsamweli41602 жыл бұрын
Nimekuelewa sana shekh wangu🙏🏽alla akubariki shekh
@ummohamed44042 жыл бұрын
Sasa huo uchungu unaouona wewe mwanamme na ndio anao uona mwanamke.kwa hiyo mawaidha haya yapo pande mbili mwanamke na mwanamme.
@mbarakahmed38922 жыл бұрын
Wallah shekh maneno ulio yatowa yamenigusa sana Yani mungu atunusuru na mitiani
Sub hana Allah... Mtihani mzito huu wengi sirahisi kuuvumilia
@sadiamassage95892 жыл бұрын
ALLAH atustiri sikuhizi wanaadamu tumeweka zinaa mbele ukiangalia sana wanalalamika mume hanitoshelezi ama mume vilevile ALLAH atustiri tusiwe miongoni wa hao wenye kusema hivyo